TRAINER WA KAJALA DENZEL AMWOMBA MSAMAHA ALIKIBA MBELE YA UMATI/NILIWAGOMBANISHA/MWIJAKU /TOMMYFLAVA
Ойын-сауық
TAINER WA KAJALA DONZEL AMWOMBA ALIKIBA MBELE YA UMATI KWENYE UZINDUZIN WA ALBAMU TOMMYFLEVOUR #TRAINERDENZELKAJALA #TRAINERDENZELALIKIBA #TRAINERDENZEL #tommyflavour #carrymastorytv #MAZOEZIALIKIBA
Пікірлер: 52
Maashallah nimependa sana msamaha wa dhati kabisa kutoka moyoni😘,hakika kila mwenye kusamehe yu pamoja na Allaah
Ili jamaa chawa safi yani pure ana sifa zote z uchawa
Ma Sha allah bless you all
Allahummah ameen ❤❤❤🙏🤲 nimependa saaana wallah uyu kaka nimependa kaomba msamaha kwa dhati kabisah🎉🎉
Maskini alipo maliza kashusha pumzi nzito mashallah, ila Ali ndio kusamehe anasamehe ila kwenye kitowe sahani moja ndio bas
@user-xg2wb9ye2g
11 ай бұрын
Wasanii maskini wenye roho mbaya hawana hela wanatia aibu mjini omba omba
Amekusamehe
Mwijaku 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣💕
Hakutakua na training tena zaidi ya kuogopana tu
Mazoezi hayawezi kuwa serious tena hapo,,,,,
@Zainab_salat
11 ай бұрын
Kweli maneno
Maskin kaka wawatu alimkosea nn kiba
Alikiba msani wangu
Kumbe mwamba alijichanganya
Mashaallah 🎉🎉🎉
Huyo ni Trainer wa alikiba
mwijaku msamaha umekuwa wako tena 😀😁
Huyu kaka nampendaga wallah' ana busara sana'
Hapo danzel anashusha2 brand yake kwa Level aliyofikia sio wa kumlilia Alikiba hadharani angemfuata private akigoma asepe 🤝
@neemaneykisanga
10 ай бұрын
Kila mmoja,anajua tgaman ya,mtu kuomba,msamaha ni kitu kidogo sana macho mwa watu ila,ni kikubwa sana mbele ya mioyo yetu amejua,alikosea na,ndio maana amejitambua
@user-gv1ym3we5o
10 ай бұрын
Watu wanajua wapi walipotoka wewe weee unajua jema gani aliofanyiwa Denzel mpka reo kuomba msamaha mbere ya watu anasabu uyo
@SalamaNauthar
8 ай бұрын
Akimfuata pembeni itakua ni unafik
Alikiba bado mguu wa kuku anaumiliki mh naona 😮
Mungu akubadirishie maisha Danzel 🙏
Safiiiiii
Mwijaku jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nampeda sana Ali kiba uwa ana hofu ya MUNGU
Mambo haya si kuonyeshena hadharani, huyu CLOWN kama anajua dini vipi unampigia magoti binaadam mwenzako..
Vipi tena
Mwijaku Ali akikupa ata mboro utainyonyaa hadharani mume bwege wew
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Ivi Mwijaku kweli ni mzima 😂😂😂😂😂
@Zainab_salat
11 ай бұрын
Chawa wa pesa
😢😢❤
HAKUNA JAMBO ZURI KM KUMUOMBA MSAMAHA
Denzel trainer amemkosea nn Kiba mbona sielewi
Maskini daah
😢😢
Kwani alifanya nn???
Mwijaku mpana
Ali Kiba Mshauri Denzel abadilishe dini' aingie kwenye dini yetu ya Haki ' ni mwelewa na anajitambua pia ana hofu ya MUNGU
maskin jmn kwel
Amekusame kiba soyo waroho mbaya kama wengine afu mwijaku wewe unamatqtizo mengi mtu mzima ila hukuwi akili
@sabrinasabrina3974
11 ай бұрын
baadhi ya wasemaa mwijak anaroho safi tn ni mtu mwenywe hekimaa semaa tu anajichetuaaaa
Heeeh makubw
mwijakuu jmn eti mwez mnzmaa
Ha ha, kufuta jasho na shati. Mwijaku bhana
Huyu mwijaku angekua tu mkenya
@missindependent1893
11 ай бұрын
😂😂😂😂😅😅😅😅😊😊😊
@udizungwahimalaya5213
11 ай бұрын
Hamumiezi huyo tuachieni wenyeweee😂😂😂😂😂
Baba levo hayingi Pamoja na H baba kwa Marino hayo