TRAINER WA KAJALA DENZEL AMWOMBA MSAMAHA ALIKIBA MBELE YA UMATI/NILIWAGOMBANISHA/MWIJAKU /TOMMYFLAVA

Ойын-сауық

TAINER WA KAJALA DONZEL AMWOMBA ALIKIBA MBELE YA UMATI KWENYE UZINDUZIN WA ALBAMU TOMMYFLEVOUR #TRAINERDENZELKAJALA #TRAINERDENZELALIKIBA #TRAINERDENZEL #tommyflavour #carrymastorytv #MAZOEZIALIKIBA

Пікірлер: 52

  • @ZaynabMshihiri-du9rj
    @ZaynabMshihiri-du9rj11 ай бұрын

    Maashallah nimependa sana msamaha wa dhati kabisa kutoka moyoni😘,hakika kila mwenye kusamehe yu pamoja na Allaah

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya521311 ай бұрын

    Ili jamaa chawa safi yani pure ana sifa zote z uchawa

  • @dogopapaa6004
    @dogopapaa600411 ай бұрын

    Ma Sha allah bless you all

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi494311 ай бұрын

    Allahummah ameen ❤❤❤🙏🤲 nimependa saaana wallah uyu kaka nimependa kaomba msamaha kwa dhati kabisah🎉🎉

  • @ummuadam2423
    @ummuadam242311 ай бұрын

    Maskini alipo maliza kashusha pumzi nzito mashallah, ila Ali ndio kusamehe anasamehe ila kwenye kitowe sahani moja ndio bas

  • @user-xg2wb9ye2g

    @user-xg2wb9ye2g

    11 ай бұрын

    Wasanii maskini wenye roho mbaya hawana hela wanatia aibu mjini omba omba

  • @westonyjob1747
    @westonyjob174711 ай бұрын

    Amekusamehe

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem907111 ай бұрын

    Mwijaku 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣💕

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil612111 ай бұрын

    Hakutakua na training tena zaidi ya kuogopana tu

  • @vibetz9991
    @vibetz999111 ай бұрын

    Mazoezi hayawezi kuwa serious tena hapo,,,,,

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    11 ай бұрын

    Kweli maneno

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange775811 ай бұрын

    Maskin kaka wawatu alimkosea nn kiba

  • @nelsonmaganya5391
    @nelsonmaganya539111 ай бұрын

    Alikiba msani wangu

  • @user-so2tx4jt2k
    @user-so2tx4jt2k11 ай бұрын

    Kumbe mwamba alijichanganya

  • @khadija5761
    @khadija576111 ай бұрын

    Mashaallah 🎉🎉🎉

  • @erickmillanei4346
    @erickmillanei434611 ай бұрын

    Huyo ni Trainer wa alikiba

  • @deboraezekiel784
    @deboraezekiel78411 ай бұрын

    mwijaku msamaha umekuwa wako tena 😀😁

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar8 ай бұрын

    Huyu kaka nampendaga wallah' ana busara sana'

  • @barakamwandiga2327
    @barakamwandiga232711 ай бұрын

    Hapo danzel anashusha2 brand yake kwa Level aliyofikia sio wa kumlilia Alikiba hadharani angemfuata private akigoma asepe 🤝

  • @neemaneykisanga

    @neemaneykisanga

    10 ай бұрын

    Kila mmoja,anajua tgaman ya,mtu kuomba,msamaha ni kitu kidogo sana macho mwa watu ila,ni kikubwa sana mbele ya mioyo yetu amejua,alikosea na,ndio maana amejitambua

  • @user-gv1ym3we5o

    @user-gv1ym3we5o

    10 ай бұрын

    Watu wanajua wapi walipotoka wewe weee unajua jema gani aliofanyiwa Denzel mpka reo kuomba msamaha mbere ya watu anasabu uyo

  • @SalamaNauthar

    @SalamaNauthar

    8 ай бұрын

    Akimfuata pembeni itakua ni unafik

  • @jacksonbundi6298
    @jacksonbundi629811 ай бұрын

    Alikiba bado mguu wa kuku anaumiliki mh naona 😮

  • @albertmuyenga7895
    @albertmuyenga789511 ай бұрын

    Mungu akubadirishie maisha Danzel 🙏

  • @tatumhogo5742
    @tatumhogo574211 ай бұрын

    Safiiiiii

  • @user-iq7gq7mn7u
    @user-iq7gq7mn7u11 ай бұрын

    Mwijaku jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar8 ай бұрын

    Nampeda sana Ali kiba uwa ana hofu ya MUNGU

  • @marlonjr294
    @marlonjr2948 ай бұрын

    Mambo haya si kuonyeshena hadharani, huyu CLOWN kama anajua dini vipi unampigia magoti binaadam mwenzako..

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk11 ай бұрын

    Vipi tena

  • @lovvy854
    @lovvy85411 ай бұрын

    Mwijaku Ali akikupa ata mboro utainyonyaa hadharani mume bwege wew

  • @user-dl6ft9fy9b
    @user-dl6ft9fy9b11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @nizclemencelampslabiche2007
    @nizclemencelampslabiche200711 ай бұрын

    Ivi Mwijaku kweli ni mzima 😂😂😂😂😂

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    11 ай бұрын

    Chawa wa pesa

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews11 ай бұрын

    😢😢❤

  • @deathrow8004
    @deathrow80045 ай бұрын

    HAKUNA JAMBO ZURI KM KUMUOMBA MSAMAHA

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx11 ай бұрын

    Denzel trainer amemkosea nn Kiba mbona sielewi

  • @fadhilphone2515
    @fadhilphone251510 ай бұрын

    Maskini daah

  • @kigoracredit7314
    @kigoracredit731411 ай бұрын

    😢😢

  • @vibetz9991
    @vibetz999111 ай бұрын

    Kwani alifanya nn???

  • @happysanga6846
    @happysanga68469 ай бұрын

    Mwijaku mpana

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar8 ай бұрын

    Ali Kiba Mshauri Denzel abadilishe dini' aingie kwenye dini yetu ya Haki ' ni mwelewa na anajitambua pia ana hofu ya MUNGU

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina397411 ай бұрын

    maskin jmn kwel

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze396611 ай бұрын

    Amekusame kiba soyo waroho mbaya kama wengine afu mwijaku wewe unamatqtizo mengi mtu mzima ila hukuwi akili

  • @sabrinasabrina3974

    @sabrinasabrina3974

    11 ай бұрын

    baadhi ya wasemaa mwijak anaroho safi tn ni mtu mwenywe hekimaa semaa tu anajichetuaaaa

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc11 ай бұрын

    Heeeh makubw

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina397411 ай бұрын

    mwijakuu jmn eti mwez mnzmaa

  • @williamkazimoto6548
    @williamkazimoto654811 ай бұрын

    Ha ha, kufuta jasho na shati. Mwijaku bhana

  • @robertwafula3100
    @robertwafula310011 ай бұрын

    Huyu mwijaku angekua tu mkenya

  • @missindependent1893

    @missindependent1893

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😅😅😅😅😊😊😊

  • @udizungwahimalaya5213

    @udizungwahimalaya5213

    11 ай бұрын

    Hamumiezi huyo tuachieni wenyeweee😂😂😂😂😂

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu40611 ай бұрын

    Baba levo hayingi Pamoja na H baba kwa Marino hayo

Келесі