PMTV TANZANIA

PMTV TANZANIA

PMTV is an Online TV based in Dar es salaam Tanzania which provides Current affairs, Entertainment ,Educational and Sports Content. For more information and Advertising Services send us an email at [email protected]

Пікірлер

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN21 сағат бұрын

    Mmh

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis77623 сағат бұрын

    Hajui nn

  • @hajially4527
    @hajially452723 сағат бұрын

    Aaah lomalisa na Guede mh wangebaki tu

  • @sadothleo7624
    @sadothleo762423 сағат бұрын

    Usajili wa wachezaji ndani ya timu ni mchakato mrefu, kwanza msimu ukimaliza kocha na benchi lake hutoa ripoti yao juu ya maeneo imara na mapungufu ili yafanyiwe kazi, pili kuna mtathimini wa timu na wachezaji wake yaani viwango vya wachezaji na timu pinzani hutoa ripoti na baada ya hapo wanachakata na kuikabidhi timu ya usajili yaani scouting management na wengineo ambao ndio wahusika wa usajili hivyo kocha haingii sokoni kununua wachezaji ispokuwa husubiri utekelezaji wa uongizi kupitia tume ya usajili na kingine kocha mpya hawezi kusajili au kutoa mapendekezo ya nafasi zinazohitajika hivyo tuwe waelewa katika hili

  • @magrethkapingu3332
    @magrethkapingu3332Күн бұрын

    Umbea tu, kuoga aaah😂

  • @magrethkapingu3332
    @magrethkapingu3332Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @FakiHamadi-um4pp
    @FakiHamadi-um4ppКүн бұрын

    Tuleteeni kocha acha kujilamba bas

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qwКүн бұрын

    Huyu kweli mpira sio fani yake nimeamini leo

  • @sadothleo7624
    @sadothleo762423 сағат бұрын

    Hukuelewa alichokisema au umeamua kutoa povu, kocha msimu unapoisha anaacha ripoti yake na timu yake wanatoa ripoti na baada ya hapo sio kazi yake kusajili ni kamati, cha pili kocha mpya hawezi kusajili au kutoa ripoti kwa sababu yeye hakuwa na timu last season so wakati mwingine tuelewe mpira tusiamini ubishi wetu kwenye vijiwe tunajua mpira✍️

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis77623 сағат бұрын

    We ndio hujui

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lКүн бұрын

    Ona mpuuzi huyu, Kwani Mutale hiyo miaka 22 siyo ya pasport? Kwani Tshabalala na Kapombe nao ni miaka 24???

  • @drdd774
    @drdd774Күн бұрын

    Huyu anaye kuja ni bora zaidi ya benchika???

  • @Muna-en4yq
    @Muna-en4yqКүн бұрын

    Okra ni mzuri jamani

  • @ClarenceJasson
    @ClarenceJassonКүн бұрын

    Mbn jina la Kocha hamna ww

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927Күн бұрын

    Guede is so good

  • @hashamadewa6451
    @hashamadewa6451Күн бұрын

    Bora angeondoka mussonda

  • @josephinenyangi9484
    @josephinenyangi9484Күн бұрын

    Kabisa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920Күн бұрын

    Guede alikuwa na msaada sana mbona.

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920Күн бұрын

    C bora wangemuacha Musonda.

  • @josephinenyangi9484
    @josephinenyangi9484Күн бұрын

    Yaani Guede Bora kuliko msonda

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682Күн бұрын

    Shaffih Dauda anajua

  • @JumaHassani-ed3vy
    @JumaHassani-ed3vyКүн бұрын

    Simba nguvu moja

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821Күн бұрын

    Harafu ili iweje??? Pumbavu wewe

  • @lukmanfafa1997
    @lukmanfafa1997Күн бұрын

    Wow 🎉

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Күн бұрын

    sio kweli chama Mkewe alifariki akiwa simba na tayari aisharudi toka Morocco

  • @PlacideLwabagumaHeri
    @PlacideLwabagumaHeri2 күн бұрын

    Nipeni wakwanza like.

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi2 күн бұрын

    Hiki. Kijamaaa. Kisengekweli

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n2 күн бұрын

    Acha mabwege wamakolo wabwekeeeee

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n2 күн бұрын

    Hili jamaadishii lilishayumba ,chizi tayarihuyoooo😂😮😅

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza2 күн бұрын

    Huyu oluma hajaacha ushoga tu

  • @Piuszeluba
    @Piuszeluba2 күн бұрын

    Exxxx za ngono

  • @MakameMakame-q1p
    @MakameMakame-q1p3 күн бұрын

    Sherehe ya mwaka kongwa

  • @SaidaAli-kr3bi
    @SaidaAli-kr3bi3 күн бұрын

    Cute❤❤❤

  • @alialhabsi9952
    @alialhabsi99523 күн бұрын

    Malaya mama ako

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje3 күн бұрын

    Malaya huyo

  • @user-gs5rp1xg2v
    @user-gs5rp1xg2v3 күн бұрын

    Ivi unajielewa ww unayetaja ukristu acha ujinga ivi umefatilia wanaovaa mavazi ya aibu ni watu wa dini gani wanaofanya ufuska ni waislaam ni kweli wakristu wa navaa nguo fupi ilia si kama wanazovaa watoto wa bamdogo

  • @JijinaKifafi
    @JijinaKifafi3 күн бұрын

    nakupenda ulivyo

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide3 күн бұрын

    Nime enjoy sana Nganga nga Tatu tatu 6:27 6:33

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo3 күн бұрын

    Wakitoka kuchukua fomu na kuiba kura wanaanza kupiga virungu machinga 😂😂

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo3 күн бұрын

    Maisha yenu magumu alafu mwajikuta mnamchangia ela ya fomu hivi hamna pa kupeleka izo ela dah kujipendekeza Ni kazi

  • @SadikBakary
    @SadikBakary3 күн бұрын

    uo msimu na uanze tu😂😂

  • @simbabenney3560
    @simbabenney35603 күн бұрын

    umeongea vizur wewe ndio mshabiki halali wa simba sio wafamaji wanalopoka ata mimi inaniuma sana kuondoka kwa mwamba wa lusaka

  • @amaniomar1755
    @amaniomar17553 күн бұрын

    Kiboko ya Madunduka 🎉🎉🎉

  • @user-ys8gg9xr8j
    @user-ys8gg9xr8j4 күн бұрын

    Ahamedy ally anajua sana kuongea maana ni kama story ya kuhuzunisha sana chama ni wetu na tunatamba nae ,,

  • @eliapendakileo
    @eliapendakileo4 күн бұрын

    Leo umeongea vizuri

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h4 күн бұрын

    Ya fei ni ya fei, Ya YANGA NI YANGA, sisi na YANGA yetu.

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua9954 күн бұрын

    Huyo mchambuzi wa kati domo zege kuhusu chama ...ni kolo Huyo mwanaume aongee basi naona Leo ataikuballi Yanga😅😅😅😅

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji78564 күн бұрын

    Umejifunza nini kutoka la liga

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk4 күн бұрын

    Innalillah wainna ilayhi Rajuun Allah ampe qauli Thabit

  • @WasiraKilungu-bf1gn
    @WasiraKilungu-bf1gn5 күн бұрын

    Jamani tutengeneze tim yet

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani40725 күн бұрын

    INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUUN.HAKIKA SOTE NI WAMILIKIWA WA MWENYEZI MUNGU NA KWAKE YEYE SOTE. TUTAREJEA.TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AMRAHAMU,AMSAMEHE KILA ALIYOKOSEA,NA AMZIDISHIE MEMA YAKE AAMIIN!!

  • @vffvff6317
    @vffvff63175 күн бұрын

    Alwatan wambie vijana ache ugumu ndoa ni Baraka

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira71975 күн бұрын

    Nenda ukawe mnafiki uko wakutumie watakabyo

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira71975 күн бұрын

    Leo ndo nimekubali kumbe msigwa alikua anatusaliti kumbe kwaheri msigwa kama utasikika tena kwenye siasa labuda upewe ukuu wa wilaya au mkoa mi naama tz