MWANZO MWISHO HOTUBA YA MBOWE AKIFUNGUA BARAZA LA CHADEMA TAIFA
Baraza Kuu la Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema limekutana leo Jumanne Desemba 17, 2019 katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa kuchagua viongozi wa chama hicho .
Пікірлер: 39
Nakubali sn Baba 2020 tupo pamoja love san
Tangu uhudhurie sherehe za Uhuru, umeanza kubadirika!! Yaani utadhani umefanya kikao na watu wa JPM.
Hiki kichwa hadimu tz
msimu wa kulaghaiwa umewadia tutasikia mengi,mengine ya kutaka huruma zetu wananchi
Miccm mnaumwa na nn kuhusu kamanda Mbowe? Ndye choice wetu.
✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼💪🏽💪🏽💪🏽
Kiongoz Mbowe naamin wewe ndiyo mwarobain wa udikteta wa ccm tz.
RAIA yeyote anapaswa kutii sheria asiishi kwa visasi ndiyo maisha. Joto LA uchaguzi hilo.
no hate no fear vizuri sana.kwa mwendo huu mbowe umejitenganisha na tundu lisu mwenye chuki kali hususan kwa raisi wetu.kwa hatua hiyo sasa chadema itasonga mbele ni kuna uwezekano 2020 mtapata angalau viti.
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Mkimtaja Lissu msisahau risasi zilizo mjeruhi na jinsi MUNGU alivomtendea
Maumivu yepi ukiwa mtii wa sheria bila shulti utaishi kwa amani ila kama utaonekana ni mvunjifu wa amani utapigwa tu
@ramadhanimahongole8764
4 жыл бұрын
amani bila haki we choko kwel !!
LEO KIONGOZI ANASEMA UMASIKINI SIO SIFA, TUNDU LISU UGHAIBUNI ANASEMA TUSIJIMWAMBAFAI KWAMBA TUNAHELA WAKATI NI MASIKINI, TUWANYENYEKEE DONNER'S.... TAAABU KWELIKWELI
hivi nani kakuloga ww
Magufuli ni Rais wa watanzania wote na anawapenda wote anawahudumia wote vyema inavyostahili. Pongezi kwa JPM.
M/kiti Chadema ungetumia mkutano kama huu kumpitisha mgombea uraisi 2015 mbona tungesema Chadema ni chama cha democracy ya kweli
Mbowe Anatosha
Kukosa elimu ni shida. Macho upande mjinga huyu
Hauwezi kufananisha unzuri wa kumbi za ccm na ukumbi wowote hapa nchini na Africa mashariki tena ccm haikodi hizo kumbi ila nizakwake kabisa kwakuzijenga
@joackimdaud8965
4 жыл бұрын
Kwahiyo hizo pesa walizo jengea nizanan hao ccm
wambie hao kina lusinde na pole pole wanaopenda kuongelea zaidi chadema kuliko lichama lao lilichoka la ccm
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Ccm wanaipenda sana CHADEMA wa natamani sana chama chao kiitwe CHADEMA hutamanisana kuinunua CHADEMA, ona wanavyopambana kupata mtu mmoja tu kutoka CHADEMA na wakimpata wanafanya karamu
Kujenga ofisi ndo nini ?
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Wanafikiri kuwa na OFISI nzuri nyingi na Kubwa bila kazi bora za kiofisi ni jambo LA maana kuliko utekelezaji bora,
mafuta unayomaanisha ww aliyamwaga babu yako
2vuxhe kaka jembe la chdema.
Nashaangaa sana watu wengine hivi nini tafsiri ya nembo ya taifa namaanisha ile ngao uhuru na umoja sasa je uhuru upo na umoja upo ? Nauliza tu alafu napita
@abeljames7941
4 жыл бұрын
Uhuru ukikosoa kidogo lokap kwa sana majimbo yanayoongozwa na upinzani ushirikiana kuu wapi uhur na umoja?
@emanuelelius3994
4 жыл бұрын
Nice kiongoz
@magdalenageliawe8789
4 жыл бұрын
Mungu awe nanyi daima popote matangulizeni atawapigania maana penye haki Mungu yupo
@magdalenageliawe8789
4 жыл бұрын
Bwana yesu akutie nguvu kaka yetu
Tangu 2004 mbowe m/kiti, baada miaka 15 ndo uchaguzi unafanyika!!!!. Mbowe hao uliowakaribisha kwa mbwembe lowasa, sumaye wako wapi? Kwa nini ulimfukuza zito? Wako wapi dr slaa, katambi na wengine?
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
M4C
Acha ulaghai unasema unawivu na maendeleo wkat toka mzee mtei akuachie chama umeshindwa kujenga hata ofsi ya chama
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Mnapozungumzia OFISI mnamaanisha utendaji uliotukuka, au majengo makubwa? Mbona kuna chama kongwe imekua na majengo kwa miaka mingi wakipiga hela tu,na kutokana na msukumo wa utendaji wa chama wanayodai haina OFISI wanatetemeka na kuzinduka kujidai wanahuruma na wanyonge
Mh.jengen jengo la chama
@mohamedijuma7406
4 жыл бұрын
Litakusaidia nini
CHAMA CHA KURITHISHANA. People's???
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Ukitaka kujua kurithishana angalia majina ya viongozi ccm kwa nyakati mbali mbali,utakosa JINA mrithi kwa wachache sana