MWANZO MWISHO HOTUBA YA MBOWE AKIFUNGUA BARAZA LA CHADEMA TAIFA

Baraza Kuu la Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema limekutana leo Jumanne Desemba 17, 2019 katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa kuchagua viongozi wa chama hicho .

Пікірлер: 39

  • @noresajoseph6336
    @noresajoseph63364 жыл бұрын

    Nakubali sn Baba 2020 tupo pamoja love san

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam68314 жыл бұрын

    Tangu uhudhurie sherehe za Uhuru, umeanza kubadirika!! Yaani utadhani umefanya kikao na watu wa JPM.

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga52314 жыл бұрын

    Hiki kichwa hadimu tz

  • @festuskussy4485
    @festuskussy44854 жыл бұрын

    msimu wa kulaghaiwa umewadia tutasikia mengi,mengine ya kutaka huruma zetu wananchi

  • @christinasteven9315
    @christinasteven93154 жыл бұрын

    Miccm mnaumwa na nn kuhusu kamanda Mbowe? Ndye choice wetu.

  • @edwardsilingo4963
    @edwardsilingo49634 жыл бұрын

    ✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼💪🏽💪🏽💪🏽

  • @zakayomgelleka8042
    @zakayomgelleka80424 жыл бұрын

    Kiongoz Mbowe naamin wewe ndiyo mwarobain wa udikteta wa ccm tz.

  • @gutabangilitunafuatiliasan2252
    @gutabangilitunafuatiliasan22524 жыл бұрын

    RAIA yeyote anapaswa kutii sheria asiishi kwa visasi ndiyo maisha. Joto LA uchaguzi hilo.

  • @edwardmakonge3371
    @edwardmakonge33714 жыл бұрын

    no hate no fear vizuri sana.kwa mwendo huu mbowe umejitenganisha na tundu lisu mwenye chuki kali hususan kwa raisi wetu.kwa hatua hiyo sasa chadema itasonga mbele ni kuna uwezekano 2020 mtapata angalau viti.

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Mkimtaja Lissu msisahau risasi zilizo mjeruhi na jinsi MUNGU alivomtendea

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga12474 жыл бұрын

    Maumivu yepi ukiwa mtii wa sheria bila shulti utaishi kwa amani ila kama utaonekana ni mvunjifu wa amani utapigwa tu

  • @ramadhanimahongole8764

    @ramadhanimahongole8764

    4 жыл бұрын

    amani bila haki we choko kwel !!

  • @hamistemba5612
    @hamistemba56124 жыл бұрын

    LEO KIONGOZI ANASEMA UMASIKINI SIO SIFA, TUNDU LISU UGHAIBUNI ANASEMA TUSIJIMWAMBAFAI KWAMBA TUNAHELA WAKATI NI MASIKINI, TUWANYENYEKEE DONNER'S.... TAAABU KWELIKWELI

  • @lawrencelukoa9799
    @lawrencelukoa97994 жыл бұрын

    hivi nani kakuloga ww

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87634 жыл бұрын

    Magufuli ni Rais wa watanzania wote na anawapenda wote anawahudumia wote vyema inavyostahili. Pongezi kwa JPM.

  • @mawazontonda1838
    @mawazontonda18384 жыл бұрын

    M/kiti Chadema ungetumia mkutano kama huu kumpitisha mgombea uraisi 2015 mbona tungesema Chadema ni chama cha democracy ya kweli

  • @emmanuelpantaleo5938
    @emmanuelpantaleo59384 жыл бұрын

    Mbowe Anatosha

  • @gracemima5234
    @gracemima52344 жыл бұрын

    Kukosa elimu ni shida. Macho upande mjinga huyu

  • @jacobmsola4491
    @jacobmsola44914 жыл бұрын

    Hauwezi kufananisha unzuri wa kumbi za ccm na ukumbi wowote hapa nchini na Africa mashariki tena ccm haikodi hizo kumbi ila nizakwake kabisa kwakuzijenga

  • @joackimdaud8965

    @joackimdaud8965

    4 жыл бұрын

    Kwahiyo hizo pesa walizo jengea nizanan hao ccm

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole87644 жыл бұрын

    wambie hao kina lusinde na pole pole wanaopenda kuongelea zaidi chadema kuliko lichama lao lilichoka la ccm

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Ccm wanaipenda sana CHADEMA wa natamani sana chama chao kiitwe CHADEMA hutamanisana kuinunua CHADEMA, ona wanavyopambana kupata mtu mmoja tu kutoka CHADEMA na wakimpata wanafanya karamu

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli19144 жыл бұрын

    Kujenga ofisi ndo nini ?

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Wanafikiri kuwa na OFISI nzuri nyingi na Kubwa bila kazi bora za kiofisi ni jambo LA maana kuliko utekelezaji bora,

  • @lawrencelukoa9799
    @lawrencelukoa97994 жыл бұрын

    mafuta unayomaanisha ww aliyamwaga babu yako

  • @zakayomgelleka8042
    @zakayomgelleka80424 жыл бұрын

    2vuxhe kaka jembe la chdema.

  • @abeljames7941
    @abeljames79414 жыл бұрын

    Nashaangaa sana watu wengine hivi nini tafsiri ya nembo ya taifa namaanisha ile ngao uhuru na umoja sasa je uhuru upo na umoja upo ? Nauliza tu alafu napita

  • @abeljames7941

    @abeljames7941

    4 жыл бұрын

    Uhuru ukikosoa kidogo lokap kwa sana majimbo yanayoongozwa na upinzani ushirikiana kuu wapi uhur na umoja?

  • @emanuelelius3994

    @emanuelelius3994

    4 жыл бұрын

    Nice kiongoz

  • @magdalenageliawe8789

    @magdalenageliawe8789

    4 жыл бұрын

    Mungu awe nanyi daima popote matangulizeni atawapigania maana penye haki Mungu yupo

  • @magdalenageliawe8789

    @magdalenageliawe8789

    4 жыл бұрын

    Bwana yesu akutie nguvu kaka yetu

  • @samsonmwijage1602
    @samsonmwijage16024 жыл бұрын

    Tangu 2004 mbowe m/kiti, baada miaka 15 ndo uchaguzi unafanyika!!!!. Mbowe hao uliowakaribisha kwa mbwembe lowasa, sumaye wako wapi? Kwa nini ulimfukuza zito? Wako wapi dr slaa, katambi na wengine?

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    M4C

  • @majaliwamhoja4954
    @majaliwamhoja49544 жыл бұрын

    Acha ulaghai unasema unawivu na maendeleo wkat toka mzee mtei akuachie chama umeshindwa kujenga hata ofsi ya chama

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Mnapozungumzia OFISI mnamaanisha utendaji uliotukuka, au majengo makubwa? Mbona kuna chama kongwe imekua na majengo kwa miaka mingi wakipiga hela tu,na kutokana na msukumo wa utendaji wa chama wanayodai haina OFISI wanatetemeka na kuzinduka kujidai wanahuruma na wanyonge

  • @nasrakibonge9640
    @nasrakibonge96404 жыл бұрын

    Mh.jengen jengo la chama

  • @mohamedijuma7406

    @mohamedijuma7406

    4 жыл бұрын

    Litakusaidia nini

  • @zefamange7281
    @zefamange72814 жыл бұрын

    CHAMA CHA KURITHISHANA. People's???

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Ukitaka kujua kurithishana angalia majina ya viongozi ccm kwa nyakati mbali mbali,utakosa JINA mrithi kwa wachache sana

Келесі