MWANDISHI MVUNJA MBAVU RAIS MWINYI IKULU "Wanaume wengi wanawake wachache, tupunguze au tuongeze"

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 22

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Жыл бұрын

    Endeleeni kuzaana zanzibar population yenu bado mnoo. Mungu awabaliki

  • @waforo

    @waforo

    Жыл бұрын

    Utakuwa uiongelea kichuki sas

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Жыл бұрын

    Maswali ya kipuuzi sana kuyaongeles ikulu! Tuwe serious

  • @ariifrazakh9371
    @ariifrazakh9371 Жыл бұрын

    Huyuu mzee noma sana kafikir mbali sana

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Жыл бұрын

    Hayo tuyaaache

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Жыл бұрын

    Ongezeni

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Жыл бұрын

    Huyu kavuta

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    Majibu yalikuwaje

  • @ussihadji2248
    @ussihadji2248 Жыл бұрын

    nlikuwa nauliza swl liko wp , ila mwisho nashkuru nimelielewa, ha ha ha

  • @salyali7807
    @salyali7807 Жыл бұрын

    Kichaa huyu

  • @magabelab
    @magabelab Жыл бұрын

    Jinga

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 Жыл бұрын

    Daah! Jamaa anaakili sana huyo, wenye utimamu pekee ndio wanaweza kumuewa nini anamaanisha, kiufupi ametumia busara kuufikisha ujumbe wake kuhusu hali nzima ya uchumi wa wananchi, mfumuko wa bei ya vyakula, na idadi ya wanafamili, mf. Mchele 1kg 4000 nyumba inawanafamilia 15 watakula mchele kilo ngapi?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Kuongea huwezi kabila gani wewe

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Жыл бұрын

    Huyu mtu ameuliza swali gumu kwa njia rahis na utani na ukiwa kichwa box utamlaumu

  • @allyzanzibar8983

    @allyzanzibar8983

    Жыл бұрын

    Hana mpango mnyamwezi mwenzako

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Жыл бұрын

    uzee dawa

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 Жыл бұрын

    Mnajiskia rahaaa kua watu ili muitwe .Marais eee 🤣🤣🤣 subirieni tutafika tuu.

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert5562 Жыл бұрын

    huyu jamaa kachanganyikiwa

  • @alawiali3475

    @alawiali3475

    Жыл бұрын

    Haja changanyikiwa hujamuelewa point yake ila ameomgea vizuri.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Жыл бұрын

    Haaaaahaaaaa

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Жыл бұрын

    Bangi mbaya mno...Kaongea nn sasa???....Pumba tupu...Ishu ya kwmba kupunguza au kuongeza watoto kwa Tanzania bado ni ishu huru na unazaa unavopenda provided ya kwamba unatoa huduma kwa mama na watoto....Huyu mzee hana alicholuiza hapa na age ishaenda na maji🤭🤭

Келесі