MWANDISHI MVUNJA MBAVU RAIS MWINYI IKULU "Wanaume wengi wanawake wachache, tupunguze au tuongeze"
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 22
Endeleeni kuzaana zanzibar population yenu bado mnoo. Mungu awabaliki
@waforo
Жыл бұрын
Utakuwa uiongelea kichuki sas
Maswali ya kipuuzi sana kuyaongeles ikulu! Tuwe serious
Huyuu mzee noma sana kafikir mbali sana
Hayo tuyaaache
Ongezeni
Huyu kavuta
Majibu yalikuwaje
nlikuwa nauliza swl liko wp , ila mwisho nashkuru nimelielewa, ha ha ha
Kichaa huyu
Jinga
Daah! Jamaa anaakili sana huyo, wenye utimamu pekee ndio wanaweza kumuewa nini anamaanisha, kiufupi ametumia busara kuufikisha ujumbe wake kuhusu hali nzima ya uchumi wa wananchi, mfumuko wa bei ya vyakula, na idadi ya wanafamili, mf. Mchele 1kg 4000 nyumba inawanafamilia 15 watakula mchele kilo ngapi?
Kuongea huwezi kabila gani wewe
Huyu mtu ameuliza swali gumu kwa njia rahis na utani na ukiwa kichwa box utamlaumu
@allyzanzibar8983
Жыл бұрын
Hana mpango mnyamwezi mwenzako
uzee dawa
Mnajiskia rahaaa kua watu ili muitwe .Marais eee 🤣🤣🤣 subirieni tutafika tuu.
huyu jamaa kachanganyikiwa
@alawiali3475
Жыл бұрын
Haja changanyikiwa hujamuelewa point yake ila ameomgea vizuri.
🤣🤣
Haaaaahaaaaa
Bangi mbaya mno...Kaongea nn sasa???....Pumba tupu...Ishu ya kwmba kupunguza au kuongeza watoto kwa Tanzania bado ni ishu huru na unazaa unavopenda provided ya kwamba unatoa huduma kwa mama na watoto....Huyu mzee hana alicholuiza hapa na age ishaenda na maji🤭🤭