Mwanamke aliyejenga nyumba kupitia kazi ya udalali Mwanza
Anna Mkina ni mama wa watoto watatu mwenye umri wa miaka 32, kazi yake ni Udalali wa Nyumba, Viwanja, magari na mengine, AyoTV imefika nyumbani kwa Anna eneo la Buhongwa Mwanza na amekubali kuzungumza kuhusu kazi yake hiyo ya udalali.
Пікірлер: 35
mwana mke aki wezeshwa ana weza hongera sana mama
@calvinpaul2171
5 жыл бұрын
Cristina Mrema Ur beautifully
Udalali ni wizi nadhuruma. Wengine ni wake wa ngedele.hamna aliyekuulizanumeolewa. KWA awamu hii hakuna tena dili
Thanks so much for the Great News #MillardAyo and the woman she so strong may God bless u bro #Millard
hongera saana
Hongera mwanamke mwenzangu
Hongera sana endelea kupambana ni mfano mzuri kwenye jamii
Weka mawasiliano tukupe kazi hapo Mwanza Nina nyumba inahitaji mtu wa kupanga. Karibu
MashaAllah, hongera sana
hongera mama.
safi sana Mama hakika wew ni shujaa pamoja sana #MillardAyo kwa habari safi big up sana #Ayotv
hongera sana ndg
Hongera sana mama
Kazi ya udalali inalipa sana ukitumia pesa vizuri unayopata.kwasb malipo yake Niko kodi ya chumba au nyumba anayochukua mpangaji
@dotoathumani8595
2 жыл бұрын
Pia nabichi nyingi kigambon naziuza
hata mimi nilishakuwa dalali......kuna pesa mbaya.
Hongera mama
honger mama
Mie nahisi riba ipo ktk hii kazi au vip jamani.
@salmaalimusa547
5 жыл бұрын
Hata haifai hiyo mumy kwasababu chajuu ndo faida yako
wow!
@saidsaid9463
7 жыл бұрын
Wanawake kujishulisha safi
Mm broka dsm nataka broka mwaza
Nipe namba yako tufanye kazi mm broka doto mtoni kijichi
habari Dada dalali nitafute nataka nyumba na speaker ya laptop
number zake hazipo
Mungù mwema
niwizi mtupu ,mtajiwako nikutapeli mteja
@justusowino7642
6 жыл бұрын
IBRAHIM SHILINDE hehehe
@tinambaga8957
5 жыл бұрын
IBRAHIM SHILINDE una akili mbovu kama Baba ako nyooo
acha umbeha mama lmma hata umbeha hat kiwanja huna asiyekujuwa kigwagula wew huna nyumba wew njaa kali
@tinambaga8957
5 жыл бұрын
Agnes Katuma tuonyeshe yako mbweha weee
@danielx8
4 жыл бұрын
Chuki ni ugonjwa
@gracekapinga4356
2 жыл бұрын
Naomba no ya huyu dada dalali
wanawake na maendeleo tufanye kaz tusonge mbele