Kwanza nlivo Kuta mwendelezo wa mwanafunz mtukutu mefurah sana jamaa anajuwa sana huyu🎉🎉🎉🎉🎉yako hayo mzee
@alfredmchami429510 ай бұрын
Hongera Steve. Nakushauri umalizie vizuri kipande cha wanafunzi. Ukiacha hivihivi wanafunzi wengi watasumbua shuleni wakidhani ndiyo ujanja. Naomba uweke kipande cha kufundisha. Wanafunzi waone kwamba mtu anaweza kubadilika na akawa mwanafunzi mwenye mafanikio makubwa kwa kuwasikiliza walimu wake.
@ruthysarakikya1813
10 ай бұрын
Kabisaa
@reybasso6605
10 ай бұрын
Kila unachokifana ni burudani Steve. Siku nyingine utuoneshee hamadi kijicho
@CharlesNyangi
9 ай бұрын
Aaaa? Steven ananifurshisha sana
@cishahayoadolphe280810 ай бұрын
Steve ni kiboko yao endelea kabisa unatuburudisha huku burundi tunakupenda sana❤
@herenamkemwa3805
9 ай бұрын
endelea kuigiza kishule mkuu
@SharifuAlbughul-ls4mw10 ай бұрын
😂😂😂Kwan Steve huwez kuongea mpk umtaje hamadi kijicho 😅😅😅😅😅😅😅😅
@herbertking110 ай бұрын
😂😂😂 Steve wee msheenzi kwelikweli 😂😂 ety akurudishe wapii 🤭
Steven moses😂😂😂 msalimie Hamad kijicho😂😂 respect saaana
@francisjonas897310 ай бұрын
❤❤❤ endelea na maigizo hayo ya shule baadae uwendelee na udocta
@orediflavour10 ай бұрын
Hamadi kijicho 😂😂
@maikokideha10 ай бұрын
Nakubar Sana Kaka ni Mimi APA toka pande za Dom ww unatisha Sana mweusi
@kassimtindwa10510 ай бұрын
Enderea za shule bana unanikumbusha mbali sana😂 afu unavotaja Mkuranga unanifurahisha sana Mana na Home 😂😂
@AmosiKinyunyu-ec8nc10 ай бұрын
Sema umemtenga ndaro mwanangu mi nakubali sana kazi zako ni kujifyatua tuh
@VickyVictoire-rq8nv10 ай бұрын
Stive unajuwa sn kk yangu👌👌👌👌
@herbertking110 ай бұрын
Kutoka makao makuu Kenya 😂😂 naamka na furaha 😂😂😂😂💖❤️show love Wapenzi wangu 💝🙏
@mmaniamos
10 ай бұрын
Rudi ulale wewe mzee
@herbertking1
10 ай бұрын
@@mmaniamos 😂😂da! Asaivii 😚 nimerudii 😂😂
@abdulazizsharif2984
10 ай бұрын
Hio makao makuu unakalia we na nani😂 #❤
@herbertking1
10 ай бұрын
@@abdulazizsharif2984 😂😂mii ndiye King wa ukuu, karibu kwanguu ✨✨😊
@jamesnyenza
10 ай бұрын
Nakubali dokta fyatu
@FeysalKi-mj8fh8 ай бұрын
Nakubal kaka 💥
@user-lu4fj9uh4i10 ай бұрын
Uko vizuri Steve zidi kufanya vizuri daima
@patrickkalahuka634010 ай бұрын
Kuja Goma Congo Steven
@Megatrackerzz10 ай бұрын
kazi safi kaka kibaji unajo mungu akuzidie maarifa
@user-fs7hl6vg2p10 ай бұрын
Umetishaass mwamba steeeeeeveeeee
@user-ts4zn1sx7h2 ай бұрын
Steven mweupe unastail vzr Sana kwenye mamb hayo
@juvenalkimario725410 ай бұрын
Kazi nzuri Steve undeleeni kufanya kazi nzuri
@user-ep2ir9df8q7 ай бұрын
Keep it up 🎉
@arsenebuzima914610 ай бұрын
mweusi mwirabure kwa kirundi. courrage on t'aime au burundi
@omyhermit-ki1io10 ай бұрын
Ayo ya shul mazuri sna kaka big up
@mgumclassic643110 ай бұрын
Noma sana stive malizia meanafunzi mwenye majini alafu anza ya dokta fyatu🤗🤗
@user-oz6rm6in5j10 ай бұрын
Dio bro una weza kushinda wote ni ww tu brother Steve love you comedian
@twalihamohamedi89810 ай бұрын
Ummh mwamba hyuu aseee endelea mwamba umeupga mwing sana
@user-yh7dc6tx4x10 ай бұрын
Kipande kinachofuat nataman kumuoana ndaro kama mwalimu wa nidhamu😂😂😂😂😂😂
@miriamnyamvula9 ай бұрын
Asante Sana stive Moses Yani huku Mombasa tunacheka Sana bro moral bigup Sana bro
@dennisondieki241210 ай бұрын
Kutoka Kenya kazi safi Steve nawapenda wote salimia huyo mrembo lovenes endelea na hiyo ya shule
@majisifu477310 ай бұрын
One love steve from Nairobi kenya;, I can't wait to miss any episode which you are in sir.
@joshlyjosh10 ай бұрын
Steve upo sawa sana na hii comedy yako kwanza nampenda sana huyo dem wa miwani naitwa Rashid kutoka kenya nairobi
@jacobnashonopiyo53728 ай бұрын
nakipenda sana, one love kutoka Mtwapa,Mombasa, Kenya.
@muzafarsharif946510 ай бұрын
best comedian ❤❤
@ndayishimiyeibrahim83110 ай бұрын
Vp kaka nakukubali sana endeleya apo apo kwenye shule umepatiya mungu akubariki sana
@gradiusernest471610 ай бұрын
Hongera sana Steve, ww ndo comedy bora kwa sasa Tanzania. Hajira anapendeza sana anapovaa uhusika wa Mwalimu hongera kwake
@evanssimiyu766010 ай бұрын
Video nzuri hiyo❤❤❤...keep it up
@hailehim110 ай бұрын
Endelea na shule kaka nzuri sana
@esmaellyramadhan-bk4uy10 ай бұрын
Shekh endelea na uanafunz bhna unaua knom an
@user-bp8xf5oq5v10 ай бұрын
Hahaha mtoe majini huyo
@yaka-de-hero10 ай бұрын
Steve Steve Steve nimekuita mara ngapi❤❤kanumba 2
@steveoluoch5368 ай бұрын
Pokea kusifiwa sana na mimi ...kazi unayoifanya imenoga naomba uje kenya kisumu
@mfalmekitaofficiel10 ай бұрын
Steve mweusi rudiliya hiyo style Yako yaku jitoa fius kama kwenye mke mwenza.
@under84810 ай бұрын
Stephen umeweza kipaji talanta unayo kazi yako twaifurahia uku mtaani
@victorvictor-ff9di10 ай бұрын
Endelea na shule
@SalumuMrimbo10 ай бұрын
Na kukubali steve kwa kazi zok nzul
@emmanuelsinkolongo227910 ай бұрын
Steve unatisha nakukubari mi Niko luanshya Zambia endelea
@dottowache514910 ай бұрын
Good Stive Ahmad kijicho kama kawa hila stori za shule achana nazo tupe vitu vingine
@bintifikirini-wy3kc8 ай бұрын
nakupenda Bure stivin mweusi ❤️❤️❤️❤️
@user-bb9ly9ge1y9 ай бұрын
😂 umeweza
@norahmhanga361910 ай бұрын
Mke mwenza hujamalizia mbk leo
@MakoloKe10 ай бұрын
nimesoma tu headline na nikaona Stephen mweusi nikacheka kabla sijaona cinema❤❤❤❤❤
@josbrown19910 ай бұрын
Anza udokta yaani sisi apa mikia kaka popote tuko na we❤❤❤
@BonifaceMwau-ws4zi2 ай бұрын
Usiwache Braza endelea
@wnma25410 ай бұрын
Steve uko dope...one love from kenya
@patrickkimanzi59298 ай бұрын
Twataka mwendelezo wa mtoto mtukutu, one love from🇰🇪
@user-tu9ek8co2j4 ай бұрын
Steve mweusi we noma unatisha kama njaa
@herbertking110 ай бұрын
Mtoa majini 😂😂😂uodoke miguu chini miguu juu 😂😂😂 acha kiherehere
@BelindaAchieng-yj1so10 ай бұрын
Uko Sawa dogo❤❤❤ nigotee kidawa
@amnestysilwany922710 ай бұрын
Endelea nayoo hii unaua kinoma nomaa naambavyo ujawah kumdahau amadi kijicho kutoka mkulanga
@user-do4rj8xu1s8 ай бұрын
Dan nimecheka mpaka mbavu zaniuma da pole sana stivu kofi sio dogo ningepijwa mm ningezimia 😂😂😂😂
@dicksonbenard17419 ай бұрын
Hapo kwenye shule Steve unabamba sana yani tuendelee hapohapo tulipo ishia
@aishamridy47749 ай бұрын
Steve endelea na hii Ya wanafunzi nzur sana 😂😂😂😂
@DollarBoy-su1or8 күн бұрын
Wewe mnoma steve frombkeny
@issaskighanga319910 ай бұрын
Indelea ivo mkuu😂😂😂😂😂
@yassiraliy765210 ай бұрын
steve huna baya endelea na mzigo uwo upate bao jengine 😂😂😂😂😂😂
@hkingtv24610 ай бұрын
Endelea navyo ni vizur sn man🎉🎉
@fayojarso377710 ай бұрын
Steve mweusi asante sana, endelea tafadhali, mimi from Kenya,
@heritiernaira569210 ай бұрын
Steve mweusi we ni nomaa kaka
@bingwathedon10 ай бұрын
Endelea nzuri sana
@user-me1kh8kr1t5 ай бұрын
Steve mweusi mimi naipendanga, i am from mozambique
@pascalpetro662310 ай бұрын
Dah we noma mweusiiii
@KipolomaHasani3 ай бұрын
Mimi nampenda love uyo jaman naomba ata kukutana nayo tu moyo wangu utalizika san
@hansisimion253810 ай бұрын
Safi sana ndugu unafundisha jamii vizuri
@EsekOporia-vp4xc8 ай бұрын
Naomba kumuona amad kujicho 😅😅 bwana Steve
@Shukutu10 ай бұрын
Kazi zuri uko uko ndo vizuri ss ivi naona ivo
@user-zd4ef8bs8r10 ай бұрын
naipenda sna steve mweusi family kitu mchongo mno sana babu saluti za kwako
@johnstonebos325710 ай бұрын
Hey Steve na gang yako yote Johnstone hapa from Germany but natokea Kenya.. Diani Kenya .. naapenda kazi yenyu keep up the good work ... na muhimu asanteni kwa comedy yenu.
@dericko10
10 ай бұрын
vpi kaka
@happinesskalionga18559 ай бұрын
Endelea na ya wanafunzi steve
@zekelly_02510 ай бұрын
Ety jini makudubela😂😂😂😂
@JulienmbossoKalengani10 ай бұрын
❤ iyi ume isheza poa sana uhendeleshe iyi 😮😮😮😮
@GermainAzabakurana-ot2rg10 ай бұрын
Endelea mnacheza vizuli, nawapenda sana.
@meshackkyalo9610 ай бұрын
Steve mweusi hiko poa sana from nairobi kenya
@aminakatana872110 ай бұрын
Waah jaamaa mnajua drama aki ukiwa na stress out zote
@bitekindole642910 ай бұрын
Hapa nidio kwako mzee endelea unatisha
@fatmaally725210 ай бұрын
Wallah nimecheka adi nimelia kwa sauti kubwaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@VictorWesonga-kq1cx10 ай бұрын
Steve kazi nzuri huku kenya.kwamradi hamadikijicho ni nani kwako maana unapenda kumwongelea sana...
@SideBoy-ni1xy2 ай бұрын
Nawakubali sana muna tixha
@AllComediesTv10 ай бұрын
Mzee endelea 😂😂😂😂
@suleimanmandela2656
10 ай бұрын
yeah yeah haahahaaaaaa
@ishasidaty20010 ай бұрын
nimecheka sana nataman nifanye maigizo na wewe steve unaelimiaha sana
@evancethoya235310 ай бұрын
Nakubali Steve bana......pull up
@prefau764110 ай бұрын
Endelea na. Shule kwanza jamani nilikuwa sikufatilii ila kwa sasa nipo na ww hatari 💃🏻💃🏻💝😁😁
@JohnMuthui-kd6oo9 ай бұрын
Uko Sawa mwanagu edelea ivyo tu
@user-jb8vq6cg9r9 ай бұрын
😂,,😂😂kaka nakukubali sana yani me ni mdugu kucheka ila wewe ni noma adi nimecheka leo😅😅😅😅
@richardsiocha74392 ай бұрын
unda filamu mzima inayokuwa na mfululizo wa mawazo
@faustinilungamwendaofficie436410 ай бұрын
Toujours likolo wangu mimi faustin ilunga mwenda officiel Congo Kolwezi
@francismuthiani34910 ай бұрын
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪😆😆 STEVE MWEUSI WEWEEE 🤣🤣🤣🤣.
Пікірлер: 690
Kwanza nlivo Kuta mwendelezo wa mwanafunz mtukutu mefurah sana jamaa anajuwa sana huyu🎉🎉🎉🎉🎉yako hayo mzee
Hongera Steve. Nakushauri umalizie vizuri kipande cha wanafunzi. Ukiacha hivihivi wanafunzi wengi watasumbua shuleni wakidhani ndiyo ujanja. Naomba uweke kipande cha kufundisha. Wanafunzi waone kwamba mtu anaweza kubadilika na akawa mwanafunzi mwenye mafanikio makubwa kwa kuwasikiliza walimu wake.
@ruthysarakikya1813
10 ай бұрын
Kabisaa
@reybasso6605
10 ай бұрын
Kila unachokifana ni burudani Steve. Siku nyingine utuoneshee hamadi kijicho
@CharlesNyangi
9 ай бұрын
Aaaa? Steven ananifurshisha sana
Steve ni kiboko yao endelea kabisa unatuburudisha huku burundi tunakupenda sana❤
@herenamkemwa3805
9 ай бұрын
endelea kuigiza kishule mkuu
😂😂😂Kwan Steve huwez kuongea mpk umtaje hamadi kijicho 😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 Steve wee msheenzi kwelikweli 😂😂 ety akurudishe wapii 🤭
🤣🤣😂wangapi wanamkubali huyu mwalimu? Mwezenu😂 Likes jamani ❤👇
Steven moses😂😂😂 msalimie Hamad kijicho😂😂 respect saaana
❤❤❤ endelea na maigizo hayo ya shule baadae uwendelee na udocta
Hamadi kijicho 😂😂
Nakubar Sana Kaka ni Mimi APA toka pande za Dom ww unatisha Sana mweusi
Enderea za shule bana unanikumbusha mbali sana😂 afu unavotaja Mkuranga unanifurahisha sana Mana na Home 😂😂
Sema umemtenga ndaro mwanangu mi nakubali sana kazi zako ni kujifyatua tuh
Stive unajuwa sn kk yangu👌👌👌👌
Kutoka makao makuu Kenya 😂😂 naamka na furaha 😂😂😂😂💖❤️show love Wapenzi wangu 💝🙏
@mmaniamos
10 ай бұрын
Rudi ulale wewe mzee
@herbertking1
10 ай бұрын
@@mmaniamos 😂😂da! Asaivii 😚 nimerudii 😂😂
@abdulazizsharif2984
10 ай бұрын
Hio makao makuu unakalia we na nani😂 #❤
@herbertking1
10 ай бұрын
@@abdulazizsharif2984 😂😂mii ndiye King wa ukuu, karibu kwanguu ✨✨😊
@jamesnyenza
10 ай бұрын
Nakubali dokta fyatu
Nakubal kaka 💥
Uko vizuri Steve zidi kufanya vizuri daima
Kuja Goma Congo Steven
kazi safi kaka kibaji unajo mungu akuzidie maarifa
Umetishaass mwamba steeeeeeveeeee
Steven mweupe unastail vzr Sana kwenye mamb hayo
Kazi nzuri Steve undeleeni kufanya kazi nzuri
Keep it up 🎉
mweusi mwirabure kwa kirundi. courrage on t'aime au burundi
Ayo ya shul mazuri sna kaka big up
Noma sana stive malizia meanafunzi mwenye majini alafu anza ya dokta fyatu🤗🤗
Dio bro una weza kushinda wote ni ww tu brother Steve love you comedian
Ummh mwamba hyuu aseee endelea mwamba umeupga mwing sana
Kipande kinachofuat nataman kumuoana ndaro kama mwalimu wa nidhamu😂😂😂😂😂😂
Asante Sana stive Moses Yani huku Mombasa tunacheka Sana bro moral bigup Sana bro
Kutoka Kenya kazi safi Steve nawapenda wote salimia huyo mrembo lovenes endelea na hiyo ya shule
One love steve from Nairobi kenya;, I can't wait to miss any episode which you are in sir.
Steve upo sawa sana na hii comedy yako kwanza nampenda sana huyo dem wa miwani naitwa Rashid kutoka kenya nairobi
nakipenda sana, one love kutoka Mtwapa,Mombasa, Kenya.
best comedian ❤❤
Vp kaka nakukubali sana endeleya apo apo kwenye shule umepatiya mungu akubariki sana
Hongera sana Steve, ww ndo comedy bora kwa sasa Tanzania. Hajira anapendeza sana anapovaa uhusika wa Mwalimu hongera kwake
Video nzuri hiyo❤❤❤...keep it up
Endelea na shule kaka nzuri sana
Shekh endelea na uanafunz bhna unaua knom an
Hahaha mtoe majini huyo
Steve Steve Steve nimekuita mara ngapi❤❤kanumba 2
Pokea kusifiwa sana na mimi ...kazi unayoifanya imenoga naomba uje kenya kisumu
Steve mweusi rudiliya hiyo style Yako yaku jitoa fius kama kwenye mke mwenza.
Stephen umeweza kipaji talanta unayo kazi yako twaifurahia uku mtaani
Endelea na shule
Na kukubali steve kwa kazi zok nzul
Steve unatisha nakukubari mi Niko luanshya Zambia endelea
Good Stive Ahmad kijicho kama kawa hila stori za shule achana nazo tupe vitu vingine
nakupenda Bure stivin mweusi ❤️❤️❤️❤️
😂 umeweza
Mke mwenza hujamalizia mbk leo
nimesoma tu headline na nikaona Stephen mweusi nikacheka kabla sijaona cinema❤❤❤❤❤
Anza udokta yaani sisi apa mikia kaka popote tuko na we❤❤❤
Usiwache Braza endelea
Steve uko dope...one love from kenya
Twataka mwendelezo wa mtoto mtukutu, one love from🇰🇪
Steve mweusi we noma unatisha kama njaa
Mtoa majini 😂😂😂uodoke miguu chini miguu juu 😂😂😂 acha kiherehere
Uko Sawa dogo❤❤❤ nigotee kidawa
Endelea nayoo hii unaua kinoma nomaa naambavyo ujawah kumdahau amadi kijicho kutoka mkulanga
Dan nimecheka mpaka mbavu zaniuma da pole sana stivu kofi sio dogo ningepijwa mm ningezimia 😂😂😂😂
Hapo kwenye shule Steve unabamba sana yani tuendelee hapohapo tulipo ishia
Steve endelea na hii Ya wanafunzi nzur sana 😂😂😂😂
Wewe mnoma steve frombkeny
Indelea ivo mkuu😂😂😂😂😂
steve huna baya endelea na mzigo uwo upate bao jengine 😂😂😂😂😂😂
Endelea navyo ni vizur sn man🎉🎉
Steve mweusi asante sana, endelea tafadhali, mimi from Kenya,
Steve mweusi we ni nomaa kaka
Endelea nzuri sana
Steve mweusi mimi naipendanga, i am from mozambique
Dah we noma mweusiiii
Mimi nampenda love uyo jaman naomba ata kukutana nayo tu moyo wangu utalizika san
Safi sana ndugu unafundisha jamii vizuri
Naomba kumuona amad kujicho 😅😅 bwana Steve
Kazi zuri uko uko ndo vizuri ss ivi naona ivo
naipenda sna steve mweusi family kitu mchongo mno sana babu saluti za kwako
Hey Steve na gang yako yote Johnstone hapa from Germany but natokea Kenya.. Diani Kenya .. naapenda kazi yenyu keep up the good work ... na muhimu asanteni kwa comedy yenu.
@dericko10
10 ай бұрын
vpi kaka
Endelea na ya wanafunzi steve
Ety jini makudubela😂😂😂😂
❤ iyi ume isheza poa sana uhendeleshe iyi 😮😮😮😮
Endelea mnacheza vizuli, nawapenda sana.
Steve mweusi hiko poa sana from nairobi kenya
Waah jaamaa mnajua drama aki ukiwa na stress out zote
Hapa nidio kwako mzee endelea unatisha
Wallah nimecheka adi nimelia kwa sauti kubwaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Steve kazi nzuri huku kenya.kwamradi hamadikijicho ni nani kwako maana unapenda kumwongelea sana...
Nawakubali sana muna tixha
Mzee endelea 😂😂😂😂
@suleimanmandela2656
10 ай бұрын
yeah yeah haahahaaaaaa
nimecheka sana nataman nifanye maigizo na wewe steve unaelimiaha sana
Nakubali Steve bana......pull up
Endelea na. Shule kwanza jamani nilikuwa sikufatilii ila kwa sasa nipo na ww hatari 💃🏻💃🏻💝😁😁
Uko Sawa mwanagu edelea ivyo tu
😂,,😂😂kaka nakukubali sana yani me ni mdugu kucheka ila wewe ni noma adi nimecheka leo😅😅😅😅
unda filamu mzima inayokuwa na mfululizo wa mawazo
Toujours likolo wangu mimi faustin ilunga mwenda officiel Congo Kolwezi
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪😆😆 STEVE MWEUSI WEWEEE 🤣🤣🤣🤣.
Kakupenda sn stive kutoka kenya
Endelea stev
Endelea Steve unatuburudixha hatar