MAMAYANGU KICHAA PART 2

Фильм және анимация

#school

Пікірлер: 1 800

  • @Steve_Mweusi
    @Steve_Mweusi10 ай бұрын

    JAMANI ZIKIFIKA COMMENT ELFU MOJA TUTAPOST MWENDELEZO HAYA TWENDE KAZI COMMENT KAMA UNATAKA IWE HIVYO NA PIA ASANTE KWA SUPPORT YAKOOOOO

  • @Setifils

    @Setifils

    10 ай бұрын

    Kazi mbele bwana steven king of 🇹🇿 comedian

  • @machiyajofrey1672

    @machiyajofrey1672

    10 ай бұрын

    Tuko pamoja sana @steve mweusi endelea kuchapa kazi ,Mwamini Mungu atakuzidishia zaidi,@ Jesus Christ..

  • @DEF832

    @DEF832

    10 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @khamisyaa6927

    @khamisyaa6927

    10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @gun60jgt40

    @gun60jgt40

    10 ай бұрын

    Zitafika usiwaze we andaa mzigo kaka

  • @mwanaashahamisi554
    @mwanaashahamisi55410 ай бұрын

    Kama wewe ni 😢mzazi umetokwa na machozi kwa hii movie 😢gonga like yako 😢

  • @user-tu6xc6mh6s

    @user-tu6xc6mh6s

    10 ай бұрын

    sio kutokwa tu nimelia haswa😢😢

  • @mwanaharusimohamed2408

    @mwanaharusimohamed2408

    10 ай бұрын

    Daaaah swezi aki😢😢😢😢

  • @PauloMagoti

    @PauloMagoti

    10 ай бұрын

    Kiukwel imeniumza sana

  • @mwanaashahamisi554

    @mwanaashahamisi554

    10 ай бұрын

    @@PauloMagoti Yani hii movie iko kwenye uhalisia wa Sasa tunayoishi kwahaya maisha yetu ya Sasa , mtoto mdogo unamnyanyasa kweli 😭😭so sad

  • @reynaah-zo4rw

    @reynaah-zo4rw

    10 ай бұрын

    Atakama sio mzazi ila ap😭 lazima jamn

  • @ShurweRinah-bc1ix
    @ShurweRinah-bc1ix10 ай бұрын

    Maskini ya mungu wallh natamani upendo wa mamangu❤❤❤🧑‍🍼🧑‍🍼🤱🤱😭😭🙆🙆🙆🥹🥹🥹

  • @user-re8ns7cj1s

    @user-re8ns7cj1s

    4 ай бұрын

    🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽

  • @joshuasakwa1548
    @joshuasakwa154810 ай бұрын

    With Steve and clemo, I can confidently say bongo movie is back, 💯 love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @queenandchill91
    @queenandchill9110 ай бұрын

    Nawashangaa sana wanawake wanaotesa watoto ambao hawajawazaa sijui uwa wanafaidika nini. Kazi nzuri Steve🇹🇿✌🏼

  • @user-samweli

    @user-samweli

    10 ай бұрын

    Hapa tuna funzwa tu kwamba haya yapo kwenye hii dunia

  • @queenandchill91

    @queenandchill91

    10 ай бұрын

    @@user-samweli Ndiyo yapo na ndio maana nimesema uwa nashangaa sana .

  • @muhozastanslaus8402

    @muhozastanslaus8402

    10 ай бұрын

    Uko sawa

  • @user-zi6if2uh5u

    @user-zi6if2uh5u

    8 ай бұрын

    mtakat lol f 😊

  • @user-lt9lw8vz1c
    @user-lt9lw8vz1c10 ай бұрын

    Kazi zuri dogo sele mngu akutanguli katika maisha❤❤

  • @hellenhellen3615
    @hellenhellen361510 ай бұрын

    From tik tok ..crying and following it to cry very funny the video is worth listening

  • @omarmweri7882
    @omarmweri788210 ай бұрын

    Funzo tele wallah kwa hii movie, Steve kakake Hamad kijicho nakubali matokeo Sele pia moral kwa kazi nzuri alafu Hajra acha roho chafu wamtesa sana Sele🤣🤣.

  • @Setifils
    @Setifils10 ай бұрын

    Kazi mbele bwana steven king of 🇹🇿 comedian

  • @Kingboyjuniorderrick
    @Kingboyjuniorderrick10 ай бұрын

    More love from kenya🎉🎉🎉🎉na upitie nyimbo zangu Steve mm nwako bloody

  • @juliassamweli2048
    @juliassamweli204810 ай бұрын

    Kazi nzuri kaka ❤ Sele umejitahidi mdogowang ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ef3px7op2z
    @user-ef3px7op2z9 ай бұрын

    I'm from Congo but this series makes me cry courage really you did well

  • @kisotaleonard
    @kisotaleonard10 ай бұрын

    kaka kazi nzuri mungu akuongoze na visokoro kwinyu wasiopenda maendeleo ya mtu❤❤❤❤

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma938810 ай бұрын

    Ongera sele❤❤❤Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💞💞💞Mungu akulinde na Husda In shaa Allah 🙏🙏🙏

  • @lalylaabdi2572

    @lalylaabdi2572

    10 ай бұрын

    Ameen

  • @Wasynafylifestyle

    @Wasynafylifestyle

    2 ай бұрын

    🥲🥲🇰🇪

  • @noellahmakorongo5473
    @noellahmakorongo547310 ай бұрын

    Kwa dogo sele nimeliaaah weeee😭 kwa Steve nikacheka 🤣🤣much love dogo sele nakukubali sana❤❤❤❤❤

  • @user-du2nw6db4j
    @user-du2nw6db4j10 ай бұрын

    Ww ndio baba bora naipenda iyo kuwajasiri baba wako wengine hawawapendi hata watoto wao wa kuwazaaa❤❤❤❤

  • @FelixKamuti
    @FelixKamuti10 ай бұрын

    You always make my day stive Kwanza Vile unapenda kumtanja Hamandi kijicho😂😂 anyway Felix hapa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪nakupa likes zangu👍 7:02

  • @ElikanaGelad-gc2ll

    @ElikanaGelad-gc2ll

    10 ай бұрын

    Jamn unapotaka kuoa mwanamke wapili ufikilie sana Tena kuwa mkin san ndugu

  • @alfredkasololo5242

    @alfredkasololo5242

    10 ай бұрын

    Hii jambo unacheza, dada Hadjira, sikupendi. Kweli !!! Unacheza umama mbaya😭😭😭🇨🇩💟. Na japo mama ni chemu chemu ya mapenzi

  • @dozepofficial6465

    @dozepofficial6465

    10 ай бұрын

    Mwanetu kutoka mkulanga 😂😂😂

  • @HelanaMathei

    @HelanaMathei

    7 ай бұрын

    Steve mweusi anakooesha wanawake tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-zl8pu6gd8t
    @user-zl8pu6gd8t10 ай бұрын

    Nawashangaa sana wanawake wanaotesa watoto ambao hawajawazaa sijui wanafaidika nini, kazi nzuri sana steve🇹🇿🤝

  • @PascalNduwimana-vk6vo
    @PascalNduwimana-vk6vo10 ай бұрын

    Steve mweusi unaweza. Naweka Mungu mbele yako utaendelea ❤❤

  • @EmmaNiyonkuru-kg4ky
    @EmmaNiyonkuru-kg4ky10 ай бұрын

    Nimejikuta nariya machozi mengi kwasababu mama yangu mpaka afariki Arikuws mwenda wazimu hivyo hivyo 😰😰😰😭💪😭

  • @willegamba1479

    @willegamba1479

    10 ай бұрын

    Pole sana bro inagusa sana

  • @shadrackndossy8181

    @shadrackndossy8181

    10 ай бұрын

    Pole

  • @cathemn5788

    @cathemn5788

    9 ай бұрын

    Pole Sana 😢😢

  • @princekillian3640
    @princekillian364010 ай бұрын

    Wakwanza leo from kenya 🇰🇪much love👊💥💥

  • @ManenomoshiabdallahManen-tk1nf
    @ManenomoshiabdallahManen-tk1nf10 ай бұрын

    Umetisha sana stivu saruti kwako Stiven wewe nimekuvulia kofia pamoja na huyo mbibi

  • @user-ro7tm2mh8o
    @user-ro7tm2mh8o10 ай бұрын

    All the way from Mombasa Kenya....kazi safi...❤❤ love you guys

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk673610 ай бұрын

    Daaah Mambo ya Kutoana Machozi Hayaa Mara ya Mwisho Mm kutoa Chozi ilikua N filam ya Kihindi HATYA ya Govinda..!!! Wallah Leo tena Nimelia Hiyo Scene Ya Kumlipisha Nyanya Kichaa Imenitoa MACHOZI 😭😭😭😭 Et Chukua Msamehe Mama yangu Ata Mm hiyo Ela narudisha..!!

  • @mbarukuabdallah2891

    @mbarukuabdallah2891

    10 ай бұрын

    Same to me

  • @NubisonBunera-em7oy

    @NubisonBunera-em7oy

    10 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭 Daaaaaaaa!!!! Adi chizii analipishwa nyany a jamani mhhhhh!!! Dunia hii atali sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @SafinaRamadhani-eb8rf

    @SafinaRamadhani-eb8rf

    22 күн бұрын

    Kazi nzuri sele 🎉

  • @amosidaniel1830
    @amosidaniel183010 ай бұрын

    Kazi zuri san mwenyezi mungu akutangulie katika maisha yako mdogo wangu upo vzr san

  • @hadijasuleiman3856
    @hadijasuleiman385610 ай бұрын

    Sele umejuwa kuniliza Sana😭mama ni mama hata awe chiz jmn tuwapendeni mama zety love you Mom😭🙏 like zangu kwaajil ya sele

  • @patricianyariki620

    @patricianyariki620

    9 ай бұрын

    😂

  • @HelanaMathei

    @HelanaMathei

    7 ай бұрын

    Sele anammwambia huyo mama "eti we mama yang utamuweza anapigana had na baba🤣🤣🤣🤣🤣🤣😘😘😘

  • @hadijasuleiman3856

    @hadijasuleiman3856

    7 ай бұрын

    @@HelanaMathei 🤣🤣mbavu zangu mieee

  • @HelanaMathei

    @HelanaMathei

    7 ай бұрын

    @@hadijasuleiman3856 huyo mama apana

  • @moreennafula1765
    @moreennafula176510 ай бұрын

    TANZANIA NAWAPENDA SANA .. LOVE FORM KENYA ❤

  • @user-yf7ys2pv1h

    @user-yf7ys2pv1h

    10 ай бұрын

    🎉

  • @WakienyejiSamwel-zu3qg

    @WakienyejiSamwel-zu3qg

    9 ай бұрын

    Mama nimama tu atakama nikicha tuwapende mama zet

  • @HasnabiKamtande

    @HasnabiKamtande

    8 ай бұрын

    Tunakupenda Pia

  • @Wasynafylifestyle

    @Wasynafylifestyle

    2 ай бұрын

    Tumetoka western kenya hadi Tanzania 🫶🫶

  • @mutundaaugustinaugustinmut8914
    @mutundaaugustinaugustinmut891410 ай бұрын

    Courage stiven Mukuranga hamadi kijicho tuta muona siku gani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-kz3dk7bv7e

    @user-kz3dk7bv7e

    10 ай бұрын

    So smart steve na hamadi kijicho nataka kumwona

  • @aikaignasi4292
    @aikaignasi429210 ай бұрын

    Mmejua kuniliza sana, Ee Mwenyez Mungu naomba unipe maisha marefu na yenye afya njema niwez kuwalea watot wangu

  • @DismasBayubahe
    @DismasBayubahe9 ай бұрын

    Pole sana dogo sele yatapita ,nawapenda sana from BURUNDI 🇧🇮

  • @kusasiraarthur2764
    @kusasiraarthur276410 ай бұрын

    How can I like these series a thousand times 😊❤❤❤❤❤❤

  • @jumafrancis855

    @jumafrancis855

    10 ай бұрын

    Congrats lete part 3

  • @Johar903

    @Johar903

    10 ай бұрын

    Part 3 linii

  • @WakienyejiSamwel-zu3qg

    @WakienyejiSamwel-zu3qg

    9 ай бұрын

    Ongeren sana

  • @Iam_Bosco
    @Iam_Bosco10 ай бұрын

    How can like these series a thousand times 😊❤❤

  • @debamba

    @debamba

    10 ай бұрын

    reta muzigo part3

  • @user-jc3ss1gx2e

    @user-jc3ss1gx2e

    10 ай бұрын

    Nc

  • @SaidaSalim-dz6pc

    @SaidaSalim-dz6pc

    7 ай бұрын

    Jaman mungu amlani mbwa huyu aspate mtoto

  • @HelanaMathei
    @HelanaMathei8 ай бұрын

    Steve mweusi anakooesha wanawake tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 half anammwambia boss wake eti amanembeleza sn🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌

  • @philipmutua6643
    @philipmutua664310 ай бұрын

    Kazi Yako nzuri sana! alafu nataka kuja Mkulanga

  • @user-eh2jz8rw3o
    @user-eh2jz8rw3o10 ай бұрын

    Best comedian steve mozes good job endelea kutupa muburudiko🎉🎉🎉

  • @user-ow6fr2cv4e
    @user-ow6fr2cv4e10 ай бұрын

    Daah wakwaza leo nipe like 👍 ❤❤❤🎉

  • @user-ty9bu6eb3q
    @user-ty9bu6eb3q3 ай бұрын

    Kazi nzuri sele Mungu akutangulie kwenye Maisha yko,mama n mama tu hta awe kichaa vpi

  • @user-wj5ez7yp7p
    @user-wj5ez7yp7p10 ай бұрын

    Masha Allah mzuri TU sana wallah tena ❤

  • @emanuelngonyoka871
    @emanuelngonyoka87110 ай бұрын

    Steve una very talented actors& actresses keep going

  • @enosokwaro14
    @enosokwaro1410 ай бұрын

    Much love from matungu kakamega county in Kenya

  • @user-uj2xk2rw2v
    @user-uj2xk2rw2v2 ай бұрын

    Story nzuri sana japo inaumiza llakini inaamafunzo mengi sana

  • @saumuomar-ge5rk
    @saumuomar-ge5rk10 ай бұрын

    Inahuzunisha sana but pia inafundisha....congrats bro tupe muendelezo plz

  • @gun60jgt40
    @gun60jgt4010 ай бұрын

    Mko fasta hatari ❤much Love mweusii

  • @user-li7kl3og4h
    @user-li7kl3og4h10 ай бұрын

    Hadi nimelia hapo alipo sema msamee mama yangu 😢😢😢

  • @user-fh6vu2fw8c

    @user-fh6vu2fw8c

    9 ай бұрын

    Really machozi yamenitoka

  • @saifullahalimas3002
    @saifullahalimas30029 ай бұрын

    Kosa hapo dogo sele amekutana nahuyu mama akaenda kumteteya dogo kwao huyu dogo angegoma kumpeleka yule mama dogo angekimbia ili amuonyeshe yule mama kama maisha yake magumu ili yule mama atafute babayeke na dogo sele hapo umearibu ila Bigger up sana nakubali sana ❤❤❤

  • @coasterherman
    @coasterherman10 ай бұрын

    Kazi nzuri steve, kikubwa endelea ivyo ivyo tumekua tukikupenda sana couse life staily yoko uko pw sana yani hauvimbi,

  • @mohammedganyuma3445
    @mohammedganyuma344510 ай бұрын

    😢😢😢😢 nashindwa kujikaza hii inasikitisha sana...kz nzuri🎉

  • @Njerii301

    @Njerii301

    8 ай бұрын

    inaliza sana unashindwa ata kuzuia chozi😢😢

  • @josephineuwizeye8250
    @josephineuwizeye825010 ай бұрын

    Courage Mr stève c est une leçon!

  • @zamdaamissiamissi3317

    @zamdaamissiamissi3317

    10 ай бұрын

    Inauma sana adi tumbo la,uzazi linageuka

  • @user-si8tg6nr9e
    @user-si8tg6nr9e9 ай бұрын

    Sele unaju kuigiza mpaka unaniliza nakupenda sna❤

  • @sheilaemmanuel2
    @sheilaemmanuel210 ай бұрын

    Ni nzuri sana hongera Steven na dogo sele tunawapenda sana

  • @user-ou4oy8uo7i
    @user-ou4oy8uo7i10 ай бұрын

    The series is fantastic

  • @carolyneokoma
    @carolyneokoma10 ай бұрын

    Can't hold my tears, but the boy is purfect though

  • @boomrapa9879
    @boomrapa987910 ай бұрын

    Itabidi tuingie mpaka vijijini .maan hii chuma kali saana🔥🔥🔥

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm10 ай бұрын

    😅😅😅 ila Steve movie nimeiangalia kwa huzuni ila hapa mwishoni mwishoni umenifrahisha kwenye kuzidisha chenchi🔥🔥🔥

  • @HelanaMathei

    @HelanaMathei

    8 ай бұрын

    Nimeipenda ☕☕

  • @enosmwema3828
    @enosmwema382810 ай бұрын

    Continue educating us and at the same time entertaining us❤❤

  • @francismuthiani349
    @francismuthiani34910 ай бұрын

    Mbele pamoja ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪

  • @user-kv5je2nk6m
    @user-kv5je2nk6m10 ай бұрын

    😢😢 blaza mimi niko Congo drc kwa jina naitwa Dieudonne serizi iyi ina niliza sasa mimi na familia yangu kiujumbla asante sasa mungu azidi kumipa marifa tena.😢😢😢😢😢❤❤❤❤

  • @Chedowork258
    @Chedowork25810 ай бұрын

    Kazi zuri dogo mungu akutaguli katika maicha yako🎉🎉🎉🇲🇿

  • @FavourGeorgez
    @FavourGeorgez9 ай бұрын

    Why am i weeping anyway sele is a creative man

  • @BIRLIUMBARLOSSA
    @BIRLIUMBARLOSSA10 ай бұрын

    Stive never disappoint😂😂😂😂😂😂😂

  • @saidbaraka8996

    @saidbaraka8996

    9 ай бұрын

    ❤❤❤❤sele ft steve

  • @vyizigirochanceline1215

    @vyizigirochanceline1215

    8 ай бұрын

    Oky

  • @EsperanceNyirarwaka-sj4dc

    @EsperanceNyirarwaka-sj4dc

    7 ай бұрын

    Kama I mama

  • @ijidionjiru540
    @ijidionjiru54010 ай бұрын

    Your best fan From Nairobi Kenya. Mko juu sana man

  • @mrsmilecollectiona9819
    @mrsmilecollectiona981910 ай бұрын

    ❤❤❤Nzurii Umetishaa Broo Keep Going

  • @emmanuellkfightforjusticea2474
    @emmanuellkfightforjusticea247410 ай бұрын

    Thank you for the good Educations Steve. I follow you from italie

  • @russdavy4918
    @russdavy491810 ай бұрын

    Good chemistry 👊

  • @IddiMkambalah
    @IddiMkambalah3 ай бұрын

    Hii move jamn full machoz kwa kweli inauma sana

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx9 ай бұрын

    Congratulations Steve Family Nakubal Xan Kaz Ambay Mnafanya Na Hili Lazm Tushike Adabu Nakupat Somo Kweliiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ChoraleBmukungu
    @ChoraleBmukungu10 ай бұрын

    Creativity❤❤

  • @user-zn4jg2dn5j
    @user-zn4jg2dn5j10 ай бұрын

    Nice one Stiven from Iyayi😂😂

  • @thumawaziri1099
    @thumawaziri10999 ай бұрын

    Mashallah ❤ hyo n nzuri sana na ina mafunzo

  • @NaomyAllenilikethismovie-pd2zi
    @NaomyAllenilikethismovie-pd2zi10 ай бұрын

    Nimejikuta natoka namachozi kwasababu uyu mtoto changamoto anazozipitia ninyingi ukiangalia anaumri mdogo😢

  • @muyangetv
    @muyangetv10 ай бұрын

    Good job bro❤❤❤

  • @francisca_cc
    @francisca_cc10 ай бұрын

    Big up to this series ❤🙌

  • @mfalmekitaofficiel
    @mfalmekitaofficiel10 ай бұрын

    Good job Steve mweusi, one love from DR CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩.

  • @warriorking9227
    @warriorking922710 ай бұрын

    Yani nimeinjoyi video Sele Naku salute mdongo wangu

  • @kevinr7552
    @kevinr755210 ай бұрын

    Is good 😢🔥🔥🔥🔥🐐 Dogo sele❤

  • @clarejeps
    @clarejeps10 ай бұрын

    So educative to we women ,, I feel so touch let love children , even. It's not our own❤

  • @FestoMahayu

    @FestoMahayu

    9 ай бұрын

    Khjjjjttt😢 guy is yuuuhbnnb 2:32 😊 I

  • @Latifa-ob7dc

    @Latifa-ob7dc

    9 ай бұрын

    Jaman mnatukumbusha mbali sana sele uko vizuri sana

  • @dianakerubo377
    @dianakerubo3779 ай бұрын

    Nimejipata mm nalia aki ,,,God bless our children

  • @user-nz8hg1ed6s
    @user-nz8hg1ed6s10 ай бұрын

    Kali saan asee sema mzee ndaro angehusika pia ingkua unyama

  • @rayvanny2629
    @rayvanny262910 ай бұрын

    So touching ❤❤ Good work

  • @elphas25474
    @elphas2547410 ай бұрын

    Huku Kenya 🇰🇪twaipenda content Yako na ucheshi❤🔥

  • @user-oz6rm6in5j
    @user-oz6rm6in5j10 ай бұрын

    Comment naipenda sana comedian kwasabu una nitowa kwenye stress

  • @user-vp1cu2hm6l
    @user-vp1cu2hm6l10 ай бұрын

    aise nimeliaa sanaa dogoo selee nakukubali sanaa na steve huwa ananiachaa hoi anavyo mtaja hamadi kjicho 😂😂😂😂😂

  • @user-fm5hp1uc7c
    @user-fm5hp1uc7c10 ай бұрын

    Good job Steve

  • @mohamedikitambulio
    @mohamedikitambulio8 ай бұрын

    Good job bro 🙏 nimependa sana movies 🎥 zako hizo vizuri sana

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga8329 ай бұрын

    Mungu awalind wazazi wetu waish na sisi miako miref kuish na mama wa kamb inaitaj moj San japo sio wot il nawapenda sana jmn Kaz nzur wapendwa

  • @elogeeltengo3719
    @elogeeltengo371910 ай бұрын

    Ahsanteni sana 🔥🔥

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat16510 ай бұрын

    Creativity 😊😊😊😊

  • @user-gw7qi7bv9g
    @user-gw7qi7bv9g9 ай бұрын

    Wababa muwe Makini sanaa mnapo Lea watoto wenu na wamama wakufikia

  • @julietokuba
    @julietokuba10 ай бұрын

    Steve na dogo mmetisha walai kazi safi

  • @MRCHARLES277
    @MRCHARLES27710 ай бұрын

    Good job😊

  • @getsanyaledy8608
    @getsanyaledy860810 ай бұрын

    Pamoja sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤

  • @tumajunior6080
    @tumajunior608010 ай бұрын

    Nalia😭😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰na siachi kuangalia muko talented nyote

  • @user-kx1lb4wd3z
    @user-kx1lb4wd3z9 ай бұрын

    Vos desejo um bom trabalho 🎉🎉🎉🎉 continue com mais força🎉🎉🎉

  • @aksapauline7903
    @aksapauline790310 ай бұрын

    ❤❤❤❤god job guys

  • @masterjemoh880
    @masterjemoh88010 ай бұрын

    Leo npo on time.... Npewe likes wadau❤

  • @EliasBigirimana-th2gn

    @EliasBigirimana-th2gn

    10 ай бұрын

    Good job

  • @ramadhanindaula6675
    @ramadhanindaula66759 ай бұрын

    Steve kazi nzuriii mungu awape nguvu ila ndaro cjamuona

  • @kevinkioo254
    @kevinkioo25410 ай бұрын

    Young man uko more fire. Nakupata vizuri nikiwa Nairobi ❤

  • @VincentKashindi-vj4qo
    @VincentKashindi-vj4qo10 ай бұрын

    Good 🔥🔥🔥

  • @ramadhanjmzuzury4111

    @ramadhanjmzuzury4111

    10 ай бұрын

    😢

  • @TOO-MUCH-MUSIC
    @TOO-MUCH-MUSIC10 ай бұрын

    Kali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @icksa5782
    @icksa57829 ай бұрын

    Dogo anawez mashala mungu akulinde ❤❤❤

Келесі