MWALIMU ANAYEFUNDISHA KWA KUCHEZA MUZIKI, KUPIGA SARAKASI, AFUNGUKA - "WANAFUNZI HAWATOROKI"
MWALIMU ANAYEFUNDISHA KWA KUCHEZA MUZIKI, KUPIGA SARAKASI, AFUNGUKA - "WANAFUNZI HAWATOROKI"
GLOBAL TV imefanya mahojiano na Mwalimu Yusupg Pangoma, anayefundisha shule ya msingi aliye trend kwenye mitandao ya kjjamii kutokana na staili yake ya ufundishaji kuwavutia wengi akiwemo Msemaji mkuu wa serikali, Gerson Msigwa.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 25
hongera sana maana watoto wengi hawapendi kabisaa kuenda shuleni ila kukiwa na mwalimu mu smart kama wewe mtoto analala akiwaza tu shule much love maestro💕🇰🇪🇪🇺🙏
Asante Yusufu .ata sisi wa mbali we acha tuu tunatamani sana
Hongera sana mwalimu natamani kama mwnangu angekuja kusoma kwako angeichoi sana
Huyu mwalim yaani ako vizur sana nimekupenda
Wewe ndiye mwalimu mtoto anaelewa vizuri sio walim wauza kashata na darasani hawafundishi kazi kulazimisha watoto waende twisheni .ila angalia tu walim wavivu wasije kukuloga
Mashanllah anllah akudhidishie kilalakheli brother
Very talented
Excellent
Wewe ndo mwl, Safi sanaaaaa
Ata kukeketwa watagoma,safi mwalimu kwa uvumbuzi huo
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
🤣🤣
namkubali sana
Good
Shule za mwenzetu mbele watoto wanasoma na kufurahi na wanafaulu walimu wanacheza na watoto ila Africa mpaka watumie fimbo cha jabu watoto awafaulu
Kazana nwalimu. Hapo hapooo
Jmn si wampe ata usafiri walau morari ya kazi ipande usishangae ata pikipiki hana anayoyafanya ni makubwa huyu mwl
Ama kwel
huyu ndio mwalimu sio waalimu wanapiga watoto km.jambazi mpk mtoto anakua anaogopa shule kwa ajiri ya mateso
Usichrze na ualimu.unaweza vuna mabua.kila kitu kwa kiasi
🤣🤣👏
😂😂😂
Mwalim mchangamfu hadi raha
Safi sana hata Mtume Muhammad watoto walikuwa wanampanda mgongoni kama ng'ombe!!!
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
Sasa mtume wako mudi ameingiliaje hapa😏
@abuumbegu8657
2 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 swali zuri, kiimani ukifanya kitu ambacho yesu alikifanya basi hakika kitakuwa ni kitu kizuri. Nimejibu hoja.