MUNGU ANAWEZA KULETA MTUME MNYAKYUSA ETI MWAMPOSA NAE MTUME, TUNA RESPONSIBLE SISI. USTADH MAZINGE.

Пікірлер: 1 700

  • @zubedaabass6766
    @zubedaabass67662 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akulinde na maadui ndani ya uislamu na nje ya uislam Ameen

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji22002 жыл бұрын

    Sheikh Mazinge umeslimisha wengi hadi wanajitokeza wenyewe. Mashaallah

  • @khadijaramadhani3340
    @khadijaramadhani33407 ай бұрын

    Mashaallah shekhe mazinge allah akulinde na shari za wanadamu

  • @aziziamimu6011
    @aziziamimu60113 жыл бұрын

    Allah atusamehe. Hakika yeye ndio hakimu. Sina haki ya kumjaji huyu sheikh. Ila busara ni jambo la kheri sana na sio kila mmoja wetu atapewa kwa kiasi cha kuridhisha wengi.

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Busara gani fafanua

  • @yakubumikega9654

    @yakubumikega9654

    2 жыл бұрын

    Duu noma

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Hakuna mtume mnyakyusa wewe funguka akili..!

  • @jakayakigoda58

    @jakayakigoda58

    2 жыл бұрын

    Kwa maana ya hoja yako unaona sheikh kakosea hana hekima eti? Hizi kauli za maswara sheikh, Allah akusamehe

  • @aziziamimu6011

    @aziziamimu6011

    2 жыл бұрын

    @@jakayakigoda58 Elimu ilikua ni moja tuu kwamba Mtume Mohamed S. A. W ni mtume wa mwisho na hakika waislamu tunaamini. Ila sio kudhihaki. Tatizo linakuja kwenye kauli. Wapo viongozi wenye elimu ya dini na wakakosa hekima. Wakaishia kupandikiza chuki pasina kutoa elimu ama kukumbusha vizuri. Mwenye akili asiyekuwa muislamu akitazama hii video atapokeaje uislam? Allah atusamehe sote.

  • @rochiusromward8495
    @rochiusromward84952 жыл бұрын

    Waweza kumponda mtu kumbe unazidi kumuinua kwa njia hiyo Bwana Yesu asifiwe sana🙏

  • @saddybrezzy9777

    @saddybrezzy9777

    10 ай бұрын

    Pole sana

  • @PurtyEramson-vw1fo

    @PurtyEramson-vw1fo

    4 ай бұрын

    Amina

  • @RinoMajembe

    @RinoMajembe

    2 ай бұрын

    Toa andiko yesu aliposema bwana yesu asifiwe kitabu gan kam ipo nkutumie 5M

  • @directordyser8420

    @directordyser8420

    5 күн бұрын

    ALLAH AKBAR

  • @juliusakilimali3038
    @juliusakilimali30383 жыл бұрын

    Hata Yesu alidharauliwa!! Hata Mtume Muhammad alidharauliwa!! Kazi zao zinawashuhudia!!! Mungu ndo mwenye majibu yote!!

  • @pongwebeachhotel2806

    @pongwebeachhotel2806

    2 жыл бұрын

    Uislamu unakubali na kukiri kuwa ISSA ( a.s) yesu ni nabii wa mungu km alivo Muhammad,ila yesu sio mungu km wanavoamini wengineo.na Tanzania huezi kusema raisi ni magufuli au ukiwa upinzani ukasema raise wako ni lissu ondosha upenzi ukweli raise was awamu hii ni mama samia.ni hivohivo mtumwe was umati huu ni mtume Muhammad (s.a.w)na ni mtume wa mwisho imma huu ndipo kitasimama kiama .

  • @olgaaaron3003
    @olgaaaron30033 жыл бұрын

    Nashukuru Sana kumbe na wew unamfuatilia uhuhuhuuuu!

  • @andembwisyemwakalinga9351
    @andembwisyemwakalinga93513 жыл бұрын

    Mimi niendako sikujui lakini namtegemea nabii Issa bin Maarium,, Mwamposa anamhubiri kristo

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Kristo sio mungu hapo ndo mnakosea

  • @muhsinmwambule9435
    @muhsinmwambule94353 жыл бұрын

    Sasa kabila limekujaje Sheikh? Nakuelewa ila kutaja makabila ya baadhi ya watu sababu ya mtu sidhani kama ni sawa.

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    He sasa sikabila lake

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    Hakuna mkamilifu ni binadamu

  • @msakagroup1695

    @msakagroup1695

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @astridachiwalala9664
    @astridachiwalala96643 жыл бұрын

    YESU NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA . HATA IWEJE YESU NI MUNGU. ASANTE YESU KWA MATENDO YAKO MAKUU.

  • @rossmaryphases8509

    @rossmaryphases8509

    2 жыл бұрын

    Amina hkk yes nimngu

  • @mundhirhemed6495

    @mundhirhemed6495

    2 жыл бұрын

    Shika adabu yko wewe yesu sio mungu wala sio mwana wa mungu

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 жыл бұрын

    @@mundhirhemed6495 utasubiri sana

  • @RinoMajembe
    @RinoMajembe2 ай бұрын

    Shekhe wangu mungu akuzidishie maisha uishi kama manabii ata miaka 5000

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara54803 жыл бұрын

    Ahubiri ya waislam waende mbinguni, awache kujadili mambo ya wengine

  • @chandukochanduko9416

    @chandukochanduko9416

    3 жыл бұрын

    Kazngumzia waislam ndio maan kasema kunawadada wanaenda kuritadi kwahuyo mtumr

  • @israfilnassib4393

    @israfilnassib4393

    3 жыл бұрын

    Kwahiyo naww una aminn mwamposa ninabii innalilah wa innalilah rajiun

  • @tedymwandara5480

    @tedymwandara5480

    3 жыл бұрын

    @@israfilnassib4393 Sheria za nchi zipo kuongoza tabia yako na yangu, dini yoyote ile inasisitiza kuheshimu watu km unavyojiheshimu Mwenyewe, kupenda wengine km unavyojipenda.Sitakiwi kujua km Mwamposa ni nabii au mtume nijuacho ana wafuasi wake anayafanya yampasayo kwa nini dini nyingine badala ya kujadili yawapasayo kwenye dini yake amjadili dini nyingine.Ni ukorofi.

  • @wilemakunga1016

    @wilemakunga1016

    3 жыл бұрын

    Mungu kasema tujadili kwa wapotofu waelewe kam utakaa kmy utaulizwa na mungu kwa kwann ulifungia macho lle Jambo

  • @abelimathiasi7509

    @abelimathiasi7509

    3 жыл бұрын

    @@wilemakunga1016 hUyo mwenyezi MUNGU amewapa kazi nyie ya kujadili na WAPOTOVU yeye kazi yake nini ssa

  • @taarifaafricatv
    @taarifaafricatv3 жыл бұрын

    ndio maan naonaga dini ya kiislam sio nzuri maan hapo baada ya kuhubr dini yako unaponda watu na makabila yao huo si utu ni ubaguzi

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    3 жыл бұрын

    Kwa hiyo kuongea ukweli ndio kaponda mbona bungeni watu huongea uislam inaongea ukweli hata isa alipo kuja aliongea ukweli kua mmungu yupo walio bisha basi hakuna mana bee tena zaidi ya walio pita na wote hao ni wa mmungu aliwateremsha

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    @@eastafrica6858 *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @josephkassian2247
    @josephkassian22473 жыл бұрын

    Upuuuzi mtupu ........ muamini msiamini YESU ni MUNGU 🔥🔥🔥

  • @wardahmoubaarak9489

    @wardahmoubaarak9489

    2 жыл бұрын

    Pole

  • @muhammadmuhaznun380

    @muhammadmuhaznun380

    2 жыл бұрын

    Kabla hajazaliwa Mungu alikua Nani? Tumia akili wew dunia inaisha hii Yesu sio Mungu ....Yesu ni mtume wa Mungu....wee uliskia wapi Mungu katahiriwa...huyo alomtahiri Mungu alikua haogopi ....Mungu anasehemu za Siri kama wew...sasa kunatafauti gani wew na yy Mungu wako...anakula anaenda chooni....fikirieni nyinyi musipoyezwe na wachungaji wenu ....hata huyo Yesu asema kutakuja manabii wauongo....ushawai sikia muisilamu akidai unabii...nyie mnapotezwa....

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    2 жыл бұрын

    Na yesu alikaa tumboni pia kabla ya kuzaliwa wakristo wote duniani walikua wanaomba namna hii Mungu wetu uliye tumboni.aisee huu kweli ni mtihani

  • @rossmaryphases8509

    @rossmaryphases8509

    2 жыл бұрын

    Yesu ni nimng syo mtume wng wanavyodhania amin usiamin hata Marian mwnyw anakir km yesu ni bwana achana nao

  • @user-cn7gq2bc6n

    @user-cn7gq2bc6n

    2 ай бұрын

    Duniani wajinga ni weng kuliko wajanja

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82933 жыл бұрын

    جزاك الله خيرا اخوي

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn3 ай бұрын

    Shekh mazinga Asante kwa kutuelimisha na ku2burudisha.Allah akulinde

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi14863 жыл бұрын

    Nilikuona una hekima kumbe una ujinga mtupu.

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    3 жыл бұрын

    Ujinga first class

  • @mussakasimu2811

    @mussakasimu2811

    3 жыл бұрын

    hamkosekanagi nyie wajinga wachache mnaowakejeli wachamungu

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    @@mussakasimu2811 Mcha MUNGU , Hatukani Wengine

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @stewardaidankilamlya1037

    @stewardaidankilamlya1037

    3 жыл бұрын

    @msema kweli, upo sahihi kabisa hadi kesho, mtu hatetewagi na binadamu na kama mwezio kashawishi watu wamejaa nawe fanya hivyo kuliko kupoteza mda mwingi kumhubiri mtu mwingine.

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj54073 жыл бұрын

    Kwann usifundishe neno la Mungu unaanza kuponda watumishish waMungu vivaaa baba Mwamposa Vivaaaaaaaaaa we love you Mwamposa Mungu akupe maisha marefu

  • @carenlaizer8624

    @carenlaizer8624

    3 жыл бұрын

    Apa kweli!!!! Tatizo ndugu zetu wanatuona sisi wakosefu sana

  • @khaalidcheo5383

    @khaalidcheo5383

    3 жыл бұрын

    @@carenlaizer8624 mwamposa nimganga nasi nabiii anawaongopea watu tu.

  • @mohamedbakar2267

    @mohamedbakar2267

    3 жыл бұрын

    Kala ugal wa wawap huyu

  • @ahmadpaschal7205

    @ahmadpaschal7205

    3 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu yupi mwamposa na yule mlevi huna akil

  • @MrNoNonsenseYes

    @MrNoNonsenseYes

    3 жыл бұрын

    Kwahio ni mtume mwamposa 😂😂😂

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85543 жыл бұрын

    Mungu adhiakiwii siku zote kila mtu asimame kwa nafasi yake hakuna mtu aliyebora kuliko mwingine awe mtume,nabii hata rasuli wote wanafanya kazi ya kutangaza neno la mungu kwa imani yake hivyo sio busara wala hekima kumsema mtu kwa ubaya sidhani km Uislamu wa kweli au ukristo wa kweli unaagiza kuwasema vibaya viongozi wa dini tuwe makini viongozi tusiwe chachu kupoteza watu na kuwaza watu maneno yasiyofaa ili kupandikiza chuki tumtumikie mungu aliye juu kila mmoja kwa imani yake yeye pekee ndio anajua kweli ikiyomo moyoni mwa mtu

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Lazima muambiwe ukweli kwamba allah ndio anae pasa kuabudiwe hao wengine hawapaswi

  • @sexy_baby9599
    @sexy_baby95993 жыл бұрын

    Kumbe na wewe unafuatiliaga 😊😊😊😊.. Mungu akubariki

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12433 жыл бұрын

    WALLAH ALLAH ANA MAANA YAKE KUMUWEKA HUYU MTU HADI SASA TUKO NAE: KIUKWELI TUNAMDHANIA PEPO KWA ALLAH SUBHANAHU WATAALA.

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    3 жыл бұрын

    Allah ampe afya shehk

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    3 жыл бұрын

    Allahumma Aammeen

  • @fatmahassan6497

    @fatmahassan6497

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    3 жыл бұрын

    @@msemakweli8064 fanya adabu kama hujui kitu kaa kimya munapotoshwa na hai mapadri wenu usisokijua huwez kukitolea maelezo tafuta vitabu usome Muhammad ninani

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 жыл бұрын

    Mimi naomba waislamu tusisitize matumizi ya neno inshaAllah, mfano mungu akujaalie inshaAllah, Aamin inshaAllah, inakuwa kanakwamba hujiamini na tunaambiwa usipoamini kunakuwa na TASHWISH utata, Mungu atuzidishie UFAHAMU Aamin 🤲🏽🤲🏽🤲🏽💪🏽

  • @rachelevarist70

    @rachelevarist70

    3 жыл бұрын

    Ally futo nikusaidie neno inshallah maana yake mungu akipenda

  • @ummuhkhalfan5542

    @ummuhkhalfan5542

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @ummuhkhalfan5542

    @ummuhkhalfan5542

    3 жыл бұрын

    Hii inakuwa pale mtu anapoomba dua yaan mfn anasema Ya Rabbi naomba unijaaalie hiki na hiki Insha'Allah hapo ndo inakuwa kidg kuna walakini ila yaan hutakiwi kumuomba mungu yaan dua af unasema Insha'Allah

  • @omariayubu1149

    @omariayubu1149

    3 жыл бұрын

    @Rachel evarist 'Akitaka' siyo akipenda.

  • @ruu6592

    @ruu6592

    3 жыл бұрын

    Inshallah ameen nilazma Kama unajipeleka bila mungu usiseme Ivo😂

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын

    Jina la Yesu ni jina lipitalo majina yote,Bwana Yesu asifiwe sana

  • @adammj6258

    @adammj6258

    3 жыл бұрын

    Na Mwamposa, sio!?

  • @trillhappybeautypoint9874

    @trillhappybeautypoint9874

    3 жыл бұрын

    @@adammj6258 mwamposa kafanyaje

  • @trillhappybeautypoint9874

    @trillhappybeautypoint9874

    3 жыл бұрын

    @@adammj6258 Mmeroga mkashindwa eee

  • @adammj6258

    @adammj6258

    3 жыл бұрын

    @@trillhappybeautypoint9874 mbona kuroga unakutaja sana ndugu vipi!!!!!

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    @@adammj6258 *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    May Allah bless you always Ameen!!!(chapa kazi mazinge mkono kwa mkono hadi peponi)

  • @timothtonollah4736
    @timothtonollah47363 жыл бұрын

    Ubiri watu wamtafute mola sio kuponda wenzio ubiri kwa nafas yako

  • @sexy_baby9599

    @sexy_baby9599

    3 жыл бұрын

    Sure

  • @fridakarugila8509

    @fridakarugila8509

    3 жыл бұрын

    For sure give me 5🖐️

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Hivyo anavyo ubiri ndo sawa haswa

  • @RinoMajembe

    @RinoMajembe

    2 ай бұрын

    Wewe inakuuma nn kaka

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam15132 жыл бұрын

    Dini iliyosafi ni kutenda mema na kuwajali maskini, wajane, yatima. Dini bila matendo mema ni upuuzi mtupu. Achana na kuhukumu maana nawe utahukumiwa.

  • @sadakyando9524

    @sadakyando9524

    2 жыл бұрын

    Iyo dini inaitwaje?

  • @prosperulungi2998
    @prosperulungi29983 жыл бұрын

    Mungu hawezi kumteua mtume mnyakwisa kweli watu weusi tunajizalau Sana

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    3 жыл бұрын

    Mmungu atakupa utajiri hakuzalau ila kwa ma na bee kwa sasa uongo mana bee ni wale walio teuliwa na mmungu husan waje duniani na vitabu vyao mbona wa sasa hawana vitabu

  • @upendorealestateagentintan190
    @upendorealestateagentintan1903 жыл бұрын

    Hata yesu nae alizihakiwa.

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa76973 жыл бұрын

    Kumbe unamfuatilia kaka mwamposa

  • @christinadaniel5584

    @christinadaniel5584

    3 жыл бұрын

    Ndo ivo Bila mwamposa haana llt

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Atumfatilii ila tunamsikia tu anavo kufuru

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga34783 жыл бұрын

    Yesu ndio Njia kweli na uzima

  • @mwahamedychilungu8981

    @mwahamedychilungu8981

    3 жыл бұрын

    Kafili wewe kwenda uko

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    3 жыл бұрын

    Yesu muislam pia hajaingia kanisani ulizia ma nabee wote waislam

  • @emmanuelmanga3478

    @emmanuelmanga3478

    3 жыл бұрын

    kafili ni yule hamuamini yesu, maana ukimuamini yesu na Mungu umemuamini, poleni sana

  • @emmanuelmanga3478

    @emmanuelmanga3478

    3 жыл бұрын

    Siku zina kuja atakama mtakuwa mmesha kufa mtaamini kuwa Yesu ndio NJIA KWELI NA UZIMA NA MTU HATA ENDA MBINGUNI ASIPO MWAMINI YESU YAKUWA NI BWANA NA YAKUWA ALIFUFUKA KTK WAFU

  • @rehemaabinelynyagawa2878

    @rehemaabinelynyagawa2878

    2 жыл бұрын

    @@eastafrica6858 Yesu na uisilam kipi kilianza? Yesu aliingia kwenye sinagogi za wayahudi siyo waisilam usiongee vitu usivyo vijua

  • @rochiusromward8495
    @rochiusromward84952 жыл бұрын

    Mungu akupe Hekima sana kwa kazi yako juu ya watumishi wa Mungu Yeye mwenyewe ndo kawaita na anawajua watumishi wake zaidi ya uwajuwavyo wewe😞

  • @user-oc3zv6wc7j
    @user-oc3zv6wc7j4 ай бұрын

    Allah akulinde na azidi kukupa nguvu sheikh mazinge akika unafanya kazi kubwa

  • @subiramakanga1716
    @subiramakanga17163 жыл бұрын

    Mbona sijawahi kuona Mwamposa akimkandia yeyote muislam au mkristo?Sitamani mkaleta udini vita vya udini ni vibaya unawezaje kusimama kuwasema uongozi wa wakristo wote Tanzania ?Nachunga imani yangu lakini sitaki kukashifu za wengine.

  • @jakayakigoda58

    @jakayakigoda58

    2 жыл бұрын

    Tatizo lenu ninyi wakristo hamjui kutofautisha baina ya batili na haki

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan94673 жыл бұрын

    ما شاء الله تبارك الرحمٰن

  • @gospelslaiton5975

    @gospelslaiton5975

    3 жыл бұрын

    Mnajitoa ufahamu huyo Mungu anaelewaga kiarabu peke yake. Hahhhh Mungu gani hajui lugha zingine. Yesu wetu anajua kila lugha na ndiye mwasisi wa mambo yotee

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j7 ай бұрын

    Mashaallah shekhe wetu mungu akupe umri mrefu

  • @timothymalonja7712
    @timothymalonja77123 жыл бұрын

    Huyu anatupeleka kwa vita ya udin. Hafai hata kidogo! Kwa nyumbani ya mwenyezi mungu

  • @muhammadmuhaznun380

    @muhammadmuhaznun380

    2 жыл бұрын

    Dini ni moja yausilamu kubalini yaishe

  • @balozimedia4891

    @balozimedia4891

    2 жыл бұрын

    @@muhammadmuhaznun380 Kwani lazima? Mambo ya Imani ni mambo binafsi ndugu. Viongozi wa dini wa siku hizi wamejikita tu kwenye kutafuta umaarufu kwa kutaja taja kwa kashfa majina ya viongozi wa iman nyingine! Wanajitahidi kuuondoa uadui uliopo baina ya Shetani na Imani zetu na kuufanya uwe uadui wa imani kwa imani. Kanisani au Misikitini lihubiriwe neno la Mungu na tupewe misingi ya kuishi ili kuifikia pepo ya muumba, Wote tunajua adui wa Imani zetu ni Shetani, hivyo tupewe miongozo ya kumshinda kulingana na imani zetu.

  • @abdulijumaa496
    @abdulijumaa4963 жыл бұрын

    Mungu akulinde San

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    3 жыл бұрын

    follow my Twitter twitter.com/LCIVgcdEu513k4s?s=08

  • @alibell5246
    @alibell52463 жыл бұрын

    Mashaallah shekh mazinge allah akujaalie maisha mema dunian na akhera

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    3 жыл бұрын

    follow my Twitter twitter.com/LCIVgcdEu513k4s?s=08

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @alibell5246

    @alibell5246

    3 жыл бұрын

    @@msemakweli8064 ewe mpakwa mafuta lete aya usilopoke tuu njoo ktk dini ya haki isiyokua na shaka ndan yake

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    3 жыл бұрын

    @@msemakweli8064 naona kila coment unaongea ujinga hutoi ata aya umeshika alioa kibint nawe zaa cha kwako afu kioe

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    @@zalhathasaid2060 Uislamu, Buddha, Hindu n.k hizi zote ni dini potofu na zimeanzishwa na malaika walioasi. Ni mbwa mwitu aliye vaa ngozi ya kondoo

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena59703 жыл бұрын

    Sheikh Mazinge mwenyezi mungu amzidishie umri

  • @gospelslaiton5975

    @gospelslaiton5975

    3 жыл бұрын

    Anazeka vby huyo anatakiwa aokolewe na Bwana

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi12413 жыл бұрын

    Sheikh wangu mazinge Allah akulinde na mahsidi n hasad z wat

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi48873 жыл бұрын

    Allahumma Aamiin

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    3 жыл бұрын

    follow my Twitter twitter.com/LCIVgcdEu513k4s?s=08

  • @exaverykigosi3252

    @exaverykigosi3252

    2 жыл бұрын

    Kawaida yao watoto wa mamdogo..

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53123 жыл бұрын

    Shehe m/mungu akupeumri mrefu naakupe mwisho mwema

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mchezakamaliog265

    @mchezakamaliog265

    3 жыл бұрын

    Una maana kwamba wewe hutaki kuongezewa umri wa kuishi?

  • @jumakalukule5312

    @jumakalukule5312

    3 жыл бұрын

    @@mchezakamaliog265 mimi huwa najiombea ivo ndomana nayeye nimemuombea ivo

  • @mchezakamaliog265

    @mchezakamaliog265

    3 жыл бұрын

    @@jumakalukule5312 kwann usingejianza wewe katika coment yako na kisha kufuatia ya mazinge kila mtu akaona

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @adellsefu2485
    @adellsefu24853 жыл бұрын

    Mansha Allah

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso24242 жыл бұрын

    Amen asiwavunje moyo huyo imani yake iko kwenye kujiinua na kujisifu Kazi ya Mungu siyo ya kujisifu huyo hana roho ya Mungu anapigania imani lakini imani ya Mwamposa ni kubwa ndiyo maana watu tunamfuta wenyewe Kama anaweza atangaze mkutano tuone watu watamfuata nani Mwamposa Mungu ambariki

  • @benjaminisalustian6643
    @benjaminisalustian66433 жыл бұрын

    Shek bwna kumbe na ww unaenda kuchukua upako umejuaje kama anajaza na wanawake Wa Zanzibar's wanatoroka wanakuaja hahaahah shek bwana njoo kwa mwamposa upone maana watatoroka wote

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    Dah! Kweli, Zanzibar Wamejaa Sana Pale.Wameshtuka

  • @tryphonraphael1646

    @tryphonraphael1646

    3 жыл бұрын

    Mwambie Kaka maana hawawez kufundisha yakwao moaka waponde ya wenzao..wakisha kosa manena ya kuwdanganya waumin wao wanaanza kiingilia din zingine..mm naamin eaislaam wengi wanafuata din amboyo hawaielewi kwa sabab lugha wanayo itumia hawaielewi wanafuata tuuuu Kama mbuzi apelekwaye malishon

  • @alexanderkwaslema4706
    @alexanderkwaslema47063 жыл бұрын

    Hutakiwi kumponda mtu ustadhi bali unatakiwa kuhubiri dini YAKO tu hakuna umuhimu wa kumponda imani ya mwingine

  • @RinoMajembe

    @RinoMajembe

    2 ай бұрын

    Wew tuachie hostadhi wetu anahubili din kwaiyo ukweli unauma

  • @rajahamy9700
    @rajahamy97003 жыл бұрын

    🕋Inshallah 🕋

  • @jonasyohana3258
    @jonasyohana32583 жыл бұрын

    Acheni twende kwa mwamposa tujaombewe dua tupone mana kuna kina muhhamad huko mitaan wanatuloga sana na kutupigia ramli alaf wengine ni magaid kama kina masheh wa uamshoooo.....sio wanawake wa zanzibar napemba tyuu hadi wa tanga na mombasa wanakuja ahahahah sheh bwana acha kabisa nguvu ya jinabla yesu kina jina mazinge ana maimuna wanalia nabkukimbia aahhahaha

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88883 жыл бұрын

    Allah amhifadhi kipenzi chetu huyu

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    3 жыл бұрын

    follow my Twitter twitter.com/LCIVgcdEu513k4s?s=08

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    3 жыл бұрын

    Amiin Ya Rabb

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @fakhimwinyi4521
    @fakhimwinyi45213 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mashaallah hakika ni ukumbusho.

  • @alexpanga5334

    @alexpanga5334

    3 жыл бұрын

    Wewe mavi tu na dini yako ya kichawi oohh wakristu achana na wakristu fata imani yako yenu yamewashinda unawaza ukristo

  • @alexpanga5334

    @alexpanga5334

    3 жыл бұрын

    Matako wewe huna lolote imani ya kweli ukristo sio hayo mapepo yenu

  • @asmaally5568
    @asmaally55683 жыл бұрын

    Wallah nakupenda sheikh Mazinge kwa ajil ya Allah

  • @pendalwatuu4473

    @pendalwatuu4473

    3 жыл бұрын

    Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatu, kwa jina Asia August shirima,ALLAH amuandalie mwisho mwema shekh Mazinge,inshaallah:

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @saimonijackisoni2412
    @saimonijackisoni24123 жыл бұрын

    Mzee wangu muongpe mungu Mana Unyajui ya kesho

  • @rambostalon2888

    @rambostalon2888

    11 ай бұрын

    Huyo anajifanyaga mungu mtu.

  • @wesleymuro1101
    @wesleymuro11013 жыл бұрын

    Neno la Mungu ni upanga ulao ushamla huyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rizikibahati7400
    @rizikibahati74002 жыл бұрын

    Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, Kama ilivyo kwa mashehe waoongoza kusoma lbada na dua misikitini, kwanza Hana chuki na waislamu, Yule Apostle anasaidia watu wote hata wasiokuwa na dini anawasaidia Hana ubaguzi na dini.

  • @pongwebeachhotel2806

    @pongwebeachhotel2806

    2 жыл бұрын

    Hats mashehe husaidia waumini wa dini zote ila muhimu ni kuamini ila muislamu kwenda kuombewa na mushrik ni ukafiri na ni dhambi kubwa na hatosamehe mungu Hadi mja utubie kikweli na ujutie dhambi hiyo.mungu awaongowe njia wotewashirikina walopotea na kwenda kwa mwamposa.

  • @alimasiallyalimasially5202

    @alimasiallyalimasially5202

    2 жыл бұрын

    Huyo ni mganga wakienyeji tu huwezi fananisha na mshehe ww

  • @alimasiallyalimasially5202

    @alimasiallyalimasially5202

    2 жыл бұрын

    huyo ni mganga wakienyeji tu huwezi fananisha na mshehe ww

  • @gnetmedia5740
    @gnetmedia57402 жыл бұрын

    Wewe ndugu Yesu anakupa muda uokoke, hayo unayoyasema uyahifadhi, Mungu yeye haui mtu anataka tu utubu

  • @usajiliusajili6511
    @usajiliusajili65113 жыл бұрын

    Tunamtaka huyo huyo mnyakyusa kwa sababu anafundisha neno la Mungu, pole yako mpiga taarabu

  • @neemamsigwa871
    @neemamsigwa8713 жыл бұрын

    Wakutoa hukumu sio we ni mungu mwenyewe

  • @ommyisilaam2148

    @ommyisilaam2148

    3 жыл бұрын

    Kwan nyie mnaoja gan lamda ukirsto kila mtu akianzisha kanisa anajiita mtume

  • @joanaomarali2968
    @joanaomarali29682 жыл бұрын

    Na mimi namuunga mkono huyo mtu wa marekan, huyo ambaye akasema, ya kwamba, kwa kueli sheik Mazinge anafanha kazi nchini tanzania, na mimi nasemaje, sio nchini tanzania tu, ni ulimwengu mzima tunaiona kazi ya ustadhi Mazinge, yupo sahii uyo mtu wa marekan,tukiingiya motoni au kufa kafir tumependa sisi wenyewe. Masha Allah Sheik Mazinge, Mwenyezi mungu akuzidishiye.

  • @abiudmawazo116
    @abiudmawazo1163 жыл бұрын

    Asa wew unafundisha watu au unatengeneza visa miyoni mwao wawachikie watu fundisha neno la Mungu usiwe ivyo kutafuta kiki uonekane

  • @yahyamassawe8011
    @yahyamassawe80113 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi ili uwakomeshe

  • @gerkombo6512
    @gerkombo65123 жыл бұрын

    Ukipigwa mnaanza maandamano na kusema waislamu mnaonewa. Mazinge una akili za kitoto sana.

  • @subiramakanga1716

    @subiramakanga1716

    3 жыл бұрын

    yaani kiukweli amenishangaza sana

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Za kikubwa zako zikowapi

  • @user-cs4ku1dm7f
    @user-cs4ku1dm7f7 ай бұрын

    Mungu azidi kukulinda amina

  • @gracelasoi3971
    @gracelasoi39712 жыл бұрын

    Hakika mung amekujaalia ujasiri wa aina yake mung akulinde shekh wetu na maadui wabaya inshaallah

  • @chrisfelix3174
    @chrisfelix31743 жыл бұрын

    Usimhukumu mwenzako, saivi ni ubishani wa dini tu kwa watu wazima hadi kwa watoto maana kila mmoja anaona dini yake inampeleka mbinguni na ya mwenzake inampeleka motono

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Atahukumiwa mpaka ache kujiitamtume

  • @alimasiallyalimasially5202

    @alimasiallyalimasially5202

    2 жыл бұрын

    Sio kwa ukristo

  • @charmyochu7174
    @charmyochu71743 жыл бұрын

    We so mungu usimuhukumu mwanadamu mwenzio kwendaaaaa

  • @abdalahsuleiman8989

    @abdalahsuleiman8989

    3 жыл бұрын

    Ha ha ha ha ha makafir jaman yaani kweli mwamposa eti mtume

  • @charmyochu7174

    @charmyochu7174

    3 жыл бұрын

    Makafil unawajua ww kwendaaaaa

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    @@abdalahsuleiman8989 *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @omanbarka1588
    @omanbarka15883 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu hashindwi na jambo kama kaweza kumumba munyakyusa anashindwaje kumfanya awe mtume Kwan we mzinge we ndo nani mpaka mwamposa akufate anataka nini kwako we mwenye shida mfate mtume mwamposa kama huna mapepo

  • @rasempb

    @rasempb

    3 жыл бұрын

    Mitume c wametajwa kwenye maandiko, uyo mwamposa katajwa wapi ndugu?

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    @@rasempb *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga21263 жыл бұрын

    Wallah Yaalam!

  • @mamymdogomamy3670

    @mamymdogomamy3670

    3 жыл бұрын

    Ukiamanisha nn

  • @poul.firesongspeter6914

    @poul.firesongspeter6914

    3 жыл бұрын

    Unahukumu wew kama nani toa bort kwenye jicho lako kabla ya kibanzi cha mwenzako

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert86773 жыл бұрын

    Sheikh mbona Afande bado yupo.....usimseme mtu wa Imani tofauti na wewe tena vibaya,mbona sisi watumishi wetu hawawasemi vibaya....Mungu wa kweli hayuko hivyo mjifunze vzuri

  • @onesmoemmanuel3842

    @onesmoemmanuel3842

    3 жыл бұрын

    Anahangaika

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Naam yupo lakini itafika muda hatakuwepo

  • @gabrielrobert8677

    @gabrielrobert8677

    2 жыл бұрын

    @@aishaarusha894 yess hata huyo sheikh ambae kutwa kuwaponda kina Mwamposa na ukristo Hana siku nyingi so yeye asihukumu na ndio maana hata sala yake haijajibiwa

  • @amaniseme1608
    @amaniseme16083 жыл бұрын

    Hana akili maana hajuh anacho kisema,anajivunia uchawi kuwa atawaweza wakristo wote hata mm hatoweza kufanya chochote uweza kinyume na mapenzi ya mungu maana yy hana tofauti na nguruwe anayesubiliwa kuchinjwa

  • @wachugypsumtz5089

    @wachugypsumtz5089

    3 жыл бұрын

    Uchawi ameutaja wapi?..

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Ndo sikumoja utajua kwamba mazinge si nguruwe ila wewe ndo nguruwe

  • @fikirmachela3699
    @fikirmachela36992 жыл бұрын

    Allah akuweke inshallah

  • @husseintv1840
    @husseintv18403 жыл бұрын

    Mashallah

  • @africayetutv339
    @africayetutv3393 жыл бұрын

    Kwa nini mnyakyusa asiwe mtume wew tulia wew haunaunacho kijua

  • @abdullahbinmubaraka9456

    @abdullahbinmubaraka9456

    3 жыл бұрын

    yeye. hajui jambo. ndio. ila. na. babayo na. mamayo. pia. hawajui. jambo. mbwaw w

  • @jonasyohana3258
    @jonasyohana32583 жыл бұрын

    Ww mwenyew unafanya kazi gani mbwa ww....unasubir watu wakahangaike ndio wakuletee pesa alafu unawasema mshenz ww

  • @narbgroup5590

    @narbgroup5590

    3 жыл бұрын

    Ww mbn unatukan kwann lakn mbn wislam hauko hvy

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    @@narbgroup5590 soma quran 2:62

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    @@narbgroup5590 soma quran 2:62

  • @mugabeatofficial7760
    @mugabeatofficial77603 жыл бұрын

    Dah shekhe mungu akufanyie

  • @mugabeatofficial7760

    @mugabeatofficial7760

    3 жыл бұрын

    Mungu akufanyie wepes wakila jambo

  • @user-cc6fd2no4k
    @user-cc6fd2no4k3 ай бұрын

    Ndio mwamposa ni mpumbav Kam wapumbavu wengine tu makafiri nyote motoni shekh mazinge mungu akulinde na husda za makafiri

  • @shadrackmgeni5458
    @shadrackmgeni54583 жыл бұрын

    Usikashifu iman za watu kaa na iman yako

  • @dastanmbaga4595
    @dastanmbaga45953 жыл бұрын

    Ww elimisha watu wako kuhusu mungu wako acha kujadili mambo ya watu

  • @rambostalon2888

    @rambostalon2888

    11 ай бұрын

    Huyo shehe hajitambui

  • @ahmadpaschal7205
    @ahmadpaschal72053 жыл бұрын

    Allah akubariki

  • @t.v.a.i.s.s6842
    @t.v.a.i.s.s68423 жыл бұрын

    Ameen Thuma ameen

  • @eveassey5162
    @eveassey51623 жыл бұрын

    Braza angalia dini yako na maisha

  • @maryjaselly7772
    @maryjaselly77723 жыл бұрын

    We oustadhi pumbavuuuuuuuu! Kafie mbele na umaskini wako

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    3 жыл бұрын

    follow my Twitter twitter.com/LCIVgcdEu513k4s?s=08

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Mpumbavu ni wewe usio kuwa na akili shetwani habith

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy97778 ай бұрын

    Allah Akujaalie kheri professor tusichoke kualingania makafiri

  • @ethanuk9437
    @ethanuk94373 жыл бұрын

    Wivuuu tuh na mashetani yamekujaaa....ndo waislamu wamejaa kwake sasa

  • @hadijaalmasi1225

    @hadijaalmasi1225

    3 жыл бұрын

    ww cheza na dini zote lakini sio uwisilamu

  • @ethanuk9437

    @ethanuk9437

    3 жыл бұрын

    @@hadijaalmasi1225 aaaah hamna mpyaa mmejaaa chuki tuh...mwaposa kawakosea nn Ehhehe. Vurugu tu ndo zenu

  • @mwahamedychilungu8981

    @mwahamedychilungu8981

    3 жыл бұрын

    @@ethanuk9437 kafili tuu mwamposa

  • @ethanuk9437

    @ethanuk9437

    3 жыл бұрын

    @@mwahamedychilungu8981 kafili anayewapa headche.....Nenda kaone waislamu walivyolundikana kwake....Ni Yesu tuh

  • @ethanuk9437

    @ethanuk9437

    3 жыл бұрын

    @@hadijaalmasi1225 hamna kitu ...kazikulazimisha watu na kuuwauwa. Ndo hivyo wamejaa wenzio kama wewe kwa Mwaposa anayewapa headche. Ni Yesu tuh

  • @rahelgika3870
    @rahelgika38703 жыл бұрын

    Acha wivu wewe, acha kila mtu asimamie anachokiamini, wewe simamia uislam wako, acha na sisi tusimamie ukristo wetu,tukutane mbinguni.

  • @vintz338
    @vintz3383 жыл бұрын

    Cdhan Kam ni busara watu mnaomtumikia mungu huyhuyu mmoja kurushiana maneno ,mungu anampa yeyote anaestahili bila kujali

  • @Mohammad_shidogo
    @Mohammad_shidogo Жыл бұрын

    Masha Allah ume wadunga ndipo.....ume wachoma hadi wana teketea moto wa kweli......hawa jamaa wa mitume wame pokea dosi lao lawakereketa tu.......

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z3 жыл бұрын

    MashaAllahu.amiin amiin amiin

  • @marysan8935
    @marysan89353 жыл бұрын

    Duh! Utumwa wa fikra, kifikiria kabila/Afrika hawezi kuwa na Mitume/Manabii. Mitume siyo lazima wawe waarabu au wazungu. Kuwa mkubwa siyo kujua, Hata wajinga wanazeeka

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    Kabisaaaaa wajinga pia wazeeeka

  • @johnkafwanzala6591

    @johnkafwanzala6591

    3 жыл бұрын

    Hakika umeongea jambo jema

  • @kasindejonathan978

    @kasindejonathan978

    3 жыл бұрын

    Anaona kamaliza wakati mtume wake anamsubiri YESU amfufue na amhukumu chezea Yesu ww.tena huyu sheh anadharau Sana watu wanaenda kwa mwamposa anawasaidia wanapona kila mtu na kipawa alichopewa usidharau mwenzio si vizuri she..

  • @nasirzegema2654

    @nasirzegema2654

    2 жыл бұрын

    @@kasindejonathan978 are u sure?

  • @badmeetsevil7643

    @badmeetsevil7643

    2 жыл бұрын

    Humu kuna mifala tu hivi inaingia akilini kweli mtume ana itisha sadaka hahaha

  • @superkiller754
    @superkiller75411 ай бұрын

    Mashallah Allah akujaze imani

  • @hamisisalumu5485
    @hamisisalumu54852 жыл бұрын

    mashaallah

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige84733 жыл бұрын

    Ww huwa hauna hekima ya neno la Mungu zaid ya kupenda vijembe km mwanamke Hata huyo Muhaamand hakuwa Mtume

  • @subiramohd1895

    @subiramohd1895

    3 жыл бұрын

    Mtume babaako na flora si basiii yesu anasema watakuja manabii wa uongoo sasa wewe unabisha nini wewe fuata mkumbo tu uone adhabu za mwenyezi mungu dini ya biashara ukiristo kila mmoja anataka unabii atajirike soma ndugu yangu muda haupo

  • @sukariyao6537

    @sukariyao6537

    3 жыл бұрын

    @@subiramohd1895 kwani ushaosha kuma leo wee dada shehe mazinge akakutombe sehemu safi naona unawashwa na muhao sugu 🤪🤪👌🙊

  • @rasempb

    @rasempb

    3 жыл бұрын

    @@sukariyao6537 alikwambia kwenye ukiristo kuna ndoa nani, bahati uislamu ni Dini ya amani na hatuna mikwaruzano na watu, na ndomana humsikii huyo jamaa akirudisha matusi kwa wanamtukana uwe na maisha mema

  • @sukariyao6537

    @sukariyao6537

    3 жыл бұрын

    @@rasempb kaalishe huko kuna watu wanaongoza kwa umalaya wa kuoa oa ovyo nakutekereza familia zao kwaiyo huyo mazinge anamuongelea bibi yako hapo chefuuu embu kakojoe ulale huko 😏

  • @rasempb

    @rasempb

    3 жыл бұрын

    @@sukariyao6537 😀😀, ndo shida ya wakiristo wakiambiwa ukweli sasa mimi nimesema baya gani hapo? Au ndo huna cha kusema

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 жыл бұрын

    Aamin Aamin Aamin 🤲🏽🤲🏽🤲🏽

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    3 жыл бұрын

    follow my Twitter twitter.com/LCIVgcdEu513k4s?s=08

  • @kuchimillionaire6683

    @kuchimillionaire6683

    3 жыл бұрын

    Tutaendelea kwenda kwa Mwamposa

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

  • @kouswayisaidahamada9979
    @kouswayisaidahamada99792 жыл бұрын

    Professor big up

  • @raziaidd2392
    @raziaidd23923 жыл бұрын

    Ameen

  • @lwagamwakalinga8038
    @lwagamwakalinga80383 жыл бұрын

    Wanyakyusa tumekukosea nini sheikh mbona mfano wako una chembe za dharau !

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    Wanyakusa mnakufuru ndomaana mnaelimishwa

  • @lwagamwakalinga8038

    @lwagamwakalinga8038

    2 жыл бұрын

    @@aishaarusha894 sijawahi sikia mtu anatangaza dini kwa kejeli juu ya watu fulani halafu arudi tena kuwahubiria hao hao na wamsikilize ! Dini nzuri ni inayoheshimu watu na asili zao,na sio kauli za dharau

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    @@lwagamwakalinga8038 ivi wewe zimo kweli ata ajazarau kawaambia ukweli sikuzote ukweli unauma upol

  • @lwagamwakalinga8038

    @lwagamwakalinga8038

    2 жыл бұрын

    @@aishaarusha894 hivi asha unawezaje kumuuliza mtu mzima na akili yake tena mwanaume kuwa 'hivi zimo kweli ' je mafundisho ya dini yako yanakutaka uwe unauliza watu hivyo ? Tena mwanaume ! Kwa kuuliza hivyo unaleta taswira ya namna ulivyo hata nyumbani kwako, sababu unaona ni kawaida kumuuliza mtu kama zimo au la ndio maana hata hoja zangu huzielewi. Kwa taarifa yako zangu zimo pengine mara 1000 zaidi yako.

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    2 жыл бұрын

    @@lwagamwakalinga8038 😂😂 mimi ni mtumzima mwezako usijali vipi unataka kusilimu

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru53683 жыл бұрын

    Wallah tena uislam wa maznge ndo uislam saih wa mitume na manabii na maswahaba Wallah wengi tulio bak tuna ongozwa na siasa na woga

  • @omariayubu1149

    @omariayubu1149

    3 жыл бұрын

    Uislamu wa manabii na mitume ulikuwaje mpaka uufananishe na wa Mazinge?

  • @harrisonsamwel3112

    @harrisonsamwel3112

    3 жыл бұрын

    ninyi niwapuuzi sana kwanini msifwate yenu kila mtu afanye analotaka

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    Umevuk mipaka aiseee acha iyo zambi isikutawale tena...mazinge huyajui mabaya yake siku zote itetee nafsi yako kwanza

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim54383 жыл бұрын

    MA SHA ALLAH SHEIKH MAZINGE MWENYEZI MUNGU AKUHIFADI ALLAHUMMA AMIIN.

  • @abumuhidin6842
    @abumuhidin68422 жыл бұрын

    Mashallh

  • @issmuking3987
    @issmuking39873 жыл бұрын

    Ameen ya rabbi tujaalie khusna l khatma

  • @gospelslaiton5975

    @gospelslaiton5975

    3 жыл бұрын

    Alafu ww ni mtu mweusi ila unapenda kiarabu kuliko lugha yako 😄😄😆🤣🤣 jmn ww tumieni kiswahili Mungu sio mwanadamu anaelewa lugha zote acheni kuwa assimilated na Arabic policy

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    @@msemakweli8064 njoo nikufundishe uislamu

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    @@msemakweli8064 lete namba yako

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    @@msemakweli8064 unaniogopa kumbe njoo masharti ya nn km kweli unataka mm nikusaidie jini ni kiumbe aliyeumba kw moto na allah aliyemfanya asionekani kw macho ya kawaida ya binadamu .nifupishe shaitwani ni kiumbe aidha binadamu au jini anayefanya vitendo au tabia maalumu au fulani zinazomchukiza allah na viumbe vyake ambavyo ndio sababu ya kuitwa shaitwani .kw ufupi

  • @andembwisyemwakalinga9351
    @andembwisyemwakalinga93513 жыл бұрын

    we ustadhi wewe kwani Mnyakwisa je? mweeeeee ....mbona Mtume Muhammed s r w, Kuna wakati walikuwa hawamuelewi ,,,mweeee

  • @cosmasmduba9462

    @cosmasmduba9462

    3 жыл бұрын

    Ana visa tu na wanyakuysa huyo atukome

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    3 жыл бұрын

    Anakuambia ukweli mitume ni wa lio pita nyinyi kila mru akisema mm mtume mnakubali hakuna mitume aseme mm mchungaji wa kondo walio potea sio na bee na bee wana vitabu vyao na wote ni ndugu uliwahi sikia na bee mzungu

  • @msemakweli8064

    @msemakweli8064

    3 жыл бұрын

    *Muhammad Alilala na Kitoto cha miaka tisa (darasa la tatu). Akamuoa Mke Wa mtoto wake(Zayd ibn Harithah ) , Hii ni baada tu ya huyu manawe kutoa talaka kwa mkewe Zaynab. Akafanya Muujiza Wa Kumfanya mtu awe Kipofu. Akaagiza Watu Wakatwe Viganja na Miguu. Akaweka Chuki na Mtu Asiye Wa Dini Wako. Akasema Mungu Allah(Mungu Mwezi) Aabudiwe. Akasema Kuna Majini Wazuri (Mungu Alikosea Kuwafukuza Mbinguni? ). Mtume pekee Asiye jua Anapokwenda Baada Ya Kufa (HAKUWA NA UHAKIKA NA ANACHOKIFANYA).*

Келесі