Muhammad Bachu HUU NI USHIRIKINA WA WAZI KATIKA KITABU CHA BARZANJI

Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya.

Пікірлер: 345

  • @ramadhanabdallah9476
    @ramadhanabdallah94762 жыл бұрын

    Mtihan kwa kweli Muhammad ALLAH akuhifadhi kwa kutuelewesha

  • @lemalisipilali

    @lemalisipilali

    Жыл бұрын

    Ukweli hujificha Sana wachache husema ukweli

  • @alfanikanju1911
    @alfanikanju19112 жыл бұрын

    Sheikh salaam alykum nimefurahi sana ulivyochambua barzanji alhamdulillah nimetoka kwenye usufi kwa kufuatilia darasa zako ningeomba utuchnganulie na waslatu Shafi.

  • @farishfarish3568

    @farishfarish3568

    2 жыл бұрын

    Upo xawa xana Muhammad Bach

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Жыл бұрын

    mimi babake huyu shehk wetu nassoro bachu mungu amrehemu nilimkubalii sana

  • @abuuabuurashid2754
    @abuuabuurashid2754 Жыл бұрын

    Walah nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy65622 жыл бұрын

    Nashindwa nikupe sifa za aina gan ila yatosha kusema Allah azidi kukuapa shufaa natuzidi kawaiyidhka inshallah

  • @MOHAZBOY29
    @MOHAZBOY29 Жыл бұрын

    Masha allah wafundishe tu huenda watakuelewa sheikh

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur11 ай бұрын

    Allah akuhifadhi Muhammad bachu tumejua tulikua hatujui Allah atusamehe ameen.

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy93889 ай бұрын

    ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    عالم الغيب فلا يظهر على غيبه أحدا إلا من ارتضى من رسول. Na Aya ilioko katika suratul anaam 59 nitofauti, Wewe ndio muhuni. مفاتيح الغيب لا يعلمها إلا الله

  • @raiyanijuma-ge4gj
    @raiyanijuma-ge4gj Жыл бұрын

    Waislam tuamke,hap shirki ipo waziwazi

  • @MirajiHemedi
    @MirajiHemedi15 күн бұрын

    Marko2:10, lakini mpate kujua ya kwamba mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, Yesu ambaye ni mwana wa Adamu ndiye Mungu wa kweli aliye hai mile na milele, yeye anayo hiyo amri ya kusamehe dhambi, sasa wengine wanaomba mitume waliokufa ,ni kosa, wengine mizimu ,ni kosa, wengine majini ni kosa, wengine makaburi ni kosa, Baba Mungu wetu wa mbinguni, anaye mwana, yaani Mungu mwana, Yohana 1:18 , hakuna aliyemwona Mungu wakati wowote Mungu mwana pekee aliye kati kifua cha Baba huyu ndiye aliyemfunua huyu mwana anaombwa tena anaabudiwa luka 24:52 wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wenye furaha kuu,

  • @salummzee9739
    @salummzee97392 жыл бұрын

    Sifa za Mtume Muhammad s a w kusifiwa ni kapinga mm naogopa kwa Allah

  • @khamissalim2648
    @khamissalim26482 жыл бұрын

    Swadakta sheikh ushirikina tuu huo braza

  • @SaidKibama-px8mz
    @SaidKibama-px8mz Жыл бұрын

    Masha Allah habeeb

  • @awathislammwalile4537
    @awathislammwalile45372 жыл бұрын

    Asssalaam allykm sheikh mungu akuongoze njia iliyonyooka inshaallah

  • @abynduwimana81

    @abynduwimana81

    2 жыл бұрын

    Allah akulipe kher

  • @khamistv922
    @khamistv9222 жыл бұрын

    Daaa yaani umesoma sana uliko wanazuoni,kweli kusoma nikuoelewa,naossoro bachu umesoma sana kuliko alietunga kitabu,daaa

  • @othumansimba6670
    @othumansimba6670 Жыл бұрын

    allah akujaalie afya njema undelete kutuelimisha

  • @ameirchum-qw5yv
    @ameirchum-qw5yv Жыл бұрын

    Mmhh mwalimu wee mtume(s.a.w) darja yak0 t0fauti naww

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Жыл бұрын

    Shekh sio kila kitu ufasihii kwaakili yako mche allah abi zari anasema alimsikia mtume akisema mwenyekumuita mtu kwaukafiri au akasema aduwi wa allah nakuwa hivyo mtu huyo iyo sifa itamrejea shekh mung akusaidie utaja nikumbuka

  • @abutafawa
    @abutafawa2 жыл бұрын

    Allâhu Musta'an

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim57322 жыл бұрын

    Shekhe tupe muendelezo shekhe usikiache hata punje. Usijali maneno ya watu ndo walivyo utaskia baba yako hakua hivo nineno wameligeuza kam fimbo. Sasa watujibu km waliwahi mkuta ktk hivk vikao akipiiga dufu . Hii dini ya Allaahu na mtu anafikisha kwa uwezo alo jaaliwa na Allaahu .ndomana tukaambiwa kufikisha walau aya inamaana kila mtu afikishe kwa kadri atavyo weza tunagawana majukumu kwa lengo moja Allaahu akupe kheri

  • @jumahassan6919
    @jumahassan69192 жыл бұрын

    Hata kwenye attahiyaatu tuna sema Assalaamu alaiku ayyuhannabiyu. Tunasema na Mtume sallalaahu alaihi Moja Kwa moja

  • @marznazir282
    @marznazir2822 жыл бұрын

    Safisha safisha baba..

  • @ZuleikhaAbdallah
    @ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын

    Swali langu kwako Muhammad Bachu Tangu umeanza kutoa video za kutasfiri hicho kitabu na kukinyambua kwa kadri ulivyoweza je ushasikia kuna pahala popote mtu hata mmoja tu kakichoma moto maana wew umesema watu watavichoma moto

  • @mohamediabdirashidi1099
    @mohamediabdirashidi10992 жыл бұрын

    Mashaallah shekh jazakallah khairaah Allah akuhifadhi na kila Shari masufi wanakazi Allah atuongoze katka haqqi

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    Shekh usio yajuwa niusiku wagiza. Muhammad bachu enda kasome usiropokwe kutafuta umaarufu. Mwenye barazanji ni msomi hawezi fanya shirki

  • @sabahikhamisabdulla4361

    @sabahikhamisabdulla4361

    2 жыл бұрын

    Hivi mtu anaeleta ibada iliokua haipo kabla inawezaje kumkingia kifua kutofanya shirki. Inawezekana kafanya hiyo shirki bila yeye kujua na ndio maana Bin Bachu anatuonesha hizo shirki ziliomo humo kwenye kitabu (Barzanje) cha huyo sheikh.

  • @kitosio
    @kitosio9 ай бұрын

    Sasa Darsa Hizi ndio zinazotakiwa na ziwekwe Kwa clips video nyingiii Kwa kishungu kimoja. Zikusanywe pamoja Kwa video ndogo2

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari45258 ай бұрын

    KWENYE HILI MI NITAONGEA..MI HUWA NAFANYA DUA...LAKIN SIMUELEKEI MTUME,,,NAKUSUDIA MWENYEZI MWENYEWE,,,KISHA NIKIMALIZA NAFANYA IZO NYIRADI ZA KUMSIFIA MTUME...NA MATOKEA NILIYAONA LIVE LIVE BILA CHENGA

  • @husseingolicha3967
    @husseingolicha39672 жыл бұрын

    Huyo MTU ni sawa na ngombe

  • @abdulkajo3097
    @abdulkajo3097 Жыл бұрын

    Yaani leo ni miaka takriban miaka 104 toka khilafa kuanguka mashekhe bado mwangangana na mambo ya maulidi sijui ni bidh a badala kulingana katika kuirudisha.Khilafa ni ngao ya umma mzima.

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy30162 жыл бұрын

    Bwabwaja jihashuwee washwaa lkn maulid yapo na yatakuwepo mwanzo mwishoo tena ndy unaongezea speed zaid.

  • @yustoedward2085

    @yustoedward2085

    2 жыл бұрын

    Inna lillah Allah kuhfdh nas twasema bidaa

  • @MohammadJumah-qk2xc

    @MohammadJumah-qk2xc

    Жыл бұрын

    Ndo maana allaah sw wataala ameandaa pepo na moto kwa hiyo maovu na wafanya maovu yatakuwepo mpaka kiyama kwa hakki ikikudhihirikia badilika baranji kama binaadamu amekosea na kunasehemu amepatia kwa hiyo makosa yake hatutakiwi kushikamana bayo hiiii ndio hakki tuachane na maulid

  • @AhmedHussein-xu4hz
    @AhmedHussein-xu4hz2 жыл бұрын

    Hujui kitu ww kabisa

  • @adimudachi7984
    @adimudachi79842 ай бұрын

    Mm nime kuelewa xhe bachu watu Wana ixhi kimazoea nawaislam wengi wanadini zakulithi cio kusoma nakujifunza mm naamini uliosema nikweri wavumilietu ndiohaki ilivyo

  • @hemedahmadimbwambombwambo9047
    @hemedahmadimbwambombwambo90472 жыл бұрын

    Vaa kofia vizuri kwanza,Acha Qibri

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Жыл бұрын

    Wanamping bachu manake wako kwenye ILO jahaz la shirk

  • @abamohamed7092
    @abamohamed70922 жыл бұрын

    Mawahabi mtampoteza mjinga ,lkn mwenye akili zake timamu ,hamtamuweza

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk84652 жыл бұрын

    Shekh wng Ebu mtafuteni Shekh mmoja anaitwa Othman Khamis alafu kama kuna ziada ya maswali mumuulize awapeni Elimu kdg

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Qur'an na hadithi pekee ndio majibu yapo na Allah ashatoa ufafanuzi juu ya bidaa

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    Enda katika musnad Ahmad uangalie hadithi ya abdallah bin amri akasema: Siku moja mtume alitokezea mbele yetu na mikononi mwake ameshikilia vitabu viwili kimoja kuliani na kingine kushotoni. Maswahaba wakamuuliza mtume hivo vitabu ni vyanini.? Mtume akawambia kitabu chakulia ni watu wa peponi na majina yao na majina ya baba yao na makabila yao. Na kitabu chakushotoni ni majina ya watu wamotoni na majina yao na majina ya baba yao na makabila yao. Enda kaitafute hi hadithi Kisha ukuje na jibu kuhusu hadithi hi

  • @jumahassan6919
    @jumahassan69192 жыл бұрын

    Wewe wajuaje kuwa hajui

  • @AliAli-uk4kb
    @AliAli-uk4kb Жыл бұрын

    Moh'd bachu badala ya kuongoza watu hawaswali mujtamaa umezoroteka ww kazi ni kuwaradi wanaume waulifanya kazi usiku na mchana usipote wakati wako.

  • @princeabuu9399
    @princeabuu93992 жыл бұрын

    Masha~Allah akuzidishie na akulinde Allah Halafu huyo sheikh hajataja mtu Wala kumchokoza yeyote bali anatafsiri tu yalioko ndani ya hicho kitabu..... Sasa Ukiona kakugusa hujalazishwa kumfuata wewe baki katika JAHILLIA na utuachie nafasi tuelimike sio kuanza kumtolea vitisho.... TUMUOGOPENI ALLAH

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed34672 жыл бұрын

    imam barzanje hawezi fanya shirki sio lugha ya kiwahabi hio chunga kuna balagha kila harfu hapo chunga sana na mdomo wako

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma20852 жыл бұрын

    Allah akuzidishie kwa kutupa mafundisho.

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    يا ماحي الذنوب. Kama kweli umesoma balagha huwezi ropokwe . Enda usome mlango majaaz utayapata, Nakuomba urudi madrasa kwa sababu utapoteza watu sana

  • @user-fi2mz9gc4v
    @user-fi2mz9gc4v2 жыл бұрын

    دع القافلة تسير والكلاب تنبح Wew kama mwanaume una elimu Waite hao masheikh ukae nao meza moja

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Mbona midahalo tayari mingi tu imeshafanyika,ww andika tu midahalo ya maulid itakuja kibao ni ww tu kufuata haki

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Mbona midahalo tayari mingi tu imeshafanyika,ww andika tu midahalo ya maulid itakuja kibao ni ww tu kufuata haki

  • @user-fi2mz9gc4v

    @user-fi2mz9gc4v

    2 жыл бұрын

    @@medimisi6930 sawa Kama ipo midahalo hio basi nyie msiitegemee sisi twamtaka yeye sio wenzake waliotangulia

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Жыл бұрын

    Na bado mtateseka sana kwa sababu mmewafanya maswahaba kuwa ndio manabii sasa hivi mmewasahau mayaudi hii dini hadithi ndio dini

  • @user-br9je1qd2d
    @user-br9je1qd2d9 ай бұрын

    HUO NI UWONGO MUSHRIK NI WW HAPO WATU WAJUA SANA MUNGU NANI NA MTUME NANI HYO MANENO NI YAKO WW UMEOMGEZEA UTACHOMA KITABU HICHO CHAKO PEKEYAKE MAULID MPAKA QIYAMAH UMETUMA NA NANI UMELIPWA PESA NGAPI UHARIBU WATU MUNGU AKUONGOZEE

  • @sanukyt5615
    @sanukyt5615 Жыл бұрын

    Sasa yamaanisha kuwa daktari akiwa yweza kupoza pia ni shirki maana ww ndo uzungumzavo hivo Jua ya kwamba kwenye kiarabu kuna majaz maana yake ni annusnu dal fiila ala ghairi faailihi almusamma bilmajaazil aqlii Kasome lugha ya kiarabu

  • @maherzain615
    @maherzain6152 жыл бұрын

    Hakuna msomaji maulidi hata mmoja anaeamini hayo unayosena eti mtume ajua cku yakiyama.na acha kulazimisha kuwa mtume ni mungu mtu.acha kumkosea mtume

  • @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    2 жыл бұрын

    @ Maher Zain hakuna au hujui wewe? Keki ya kilo 100 🍞🍞🍞😆

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka2 жыл бұрын

    Kamtafute shekh akusomeshe utaelewa Mtume Muhamadi alikuwa na nani,ni nani na atakuwa nani kwa uma wake

  • @East_Africa_120

    @East_Africa_120

    2 жыл бұрын

    We ni mtu wa bidaa?

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    Siku ya Qiyamah mkimbilie Allah. Kwa sababu siku ya Qiyamah hadithi ya shufaa imethubutu. Na kama wewe unalipinga ni sawa, Nenda uangalie sharhe za burdah zote uone alicho kusudia katika hayo

  • @mafaza.tv.tz255

    @mafaza.tv.tz255

    2 жыл бұрын

    Kiufupi maulid hayana asili katika dini, kabla hatujaongeza ibada katika dini tuanglie zile alizokuja nazo mtume tumezimaliza????? Ni sawa na kuagiza sahani nyengine ya chakula wakati ile ulonayo hujui kama utaimaliza

  • @salehpandu2250
    @salehpandu22502 жыл бұрын

    Shida yako unatafsiri neno kwa neno kuliko kufahamu maudhui pole sana

  • @jadujadunga4228
    @jadujadunga42282 жыл бұрын

    Nilichogundua mimi ni huyu shekhe anamchukulia mtume kama mtu wa kawaida hajui kwanini kaitwa mtume

  • @eastzooadmin6416

    @eastzooadmin6416

    2 жыл бұрын

    Hakuna mtume anaejua kiama kitasimama lini, Mwenyezimngu ametukataza kupunguza au kuongeza chochote katika dini, iweje leo mnamuongezea maneno Allah na mtume wake ambayo hayapo kwenye Quran wala Hadith, toka lini mwenye kuokoa watu kutokamana na moto au Shari yoyote ile akawa mtume, au nani anaeijua yaumul kiama zaidi ya Allah. Hizi zote ni shiriki. Kisha pia mnatwambia kiumbe wa kwanza kuumbwa alikua mtume, maneno haya mmeyatoa wapi jamani 😭

  • @selemanmartin

    @selemanmartin

    Жыл бұрын

    Jadu: Kwa hiyo ni halali maombi yetu yaelekezwe kwa Mtume?

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas63272 жыл бұрын

    Maiti ya Mtume sio sawa na maiti yako au babu yako.

  • @Masoudmohamed001
    @Masoudmohamed0012 жыл бұрын

    Assalam alykum sheikh niko na swali : tunaposema Kuwait wanao soma maulidi Wana fanya shirki je watakuwa watu Wa motoni ama ni vipi

  • @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    2 жыл бұрын

    @Daawa Media Allah ndo anajua hukumu yao... sisi kazi yetu ni kufikisha tu.

  • @Masoudmohamed001

    @Masoudmohamed001

    2 жыл бұрын

    @@Muhammad_Nassor_Bachu_. shukran sheikh naomba tujuane vizuri sheikh

  • @F.j84

    @F.j84

    2 жыл бұрын

    Assalam aleykum mm naishi kuwait, na sunni kuwaitis hawajui kamwe maaulid, wanaosoma ni SHIAS kuwaitis tena wanafanya manyumbani mwao. WASUNNIS hawajishuhulishi kabsaa na mambo ya kishis na mambo ya kuongezwa kwa dini.

  • @abdurahimabdulkadir3926

    @abdurahimabdulkadir3926

    2 жыл бұрын

    @@Masoudmohamed001 ust anafikisha anaeskia askie ukiendelea utajuana ww na ALLAAH ust ashafikisha hilo

  • @kondorajab6277

    @kondorajab6277

    2 жыл бұрын

    Shekh bachu kua na adabu na mashekh wenzio usijifanye wewe uko sahihi Sana Bora uongee mada nyengine tu acha umakundi

  • @ally5814
    @ally58142 жыл бұрын

    Ndug zangu waislamu . Uislamu unapigwa vita na makafiri duniani kote. muislamu anajuulikana kama gaidi tu uwe shia, uwe answari sunna, uwe ibadhi wote wanatuwita magaidi na wamefanikiwa kueneza propaganda hiii mbali na kuwa wao pia wana makundi mbalimbali lakini wamefanikiwa juu hili. Hii inatupa funzo gani? Tusipoungana na sisi tukaupiga vita ukafiri tutajikuta tunagombana kila siku na umoja na mshikamano hautapatikana daima zaidi ya kuuitana sisi kwa sisi makafiri . Tumuombe allah

  • @ahmedhusseinshnoor1210

    @ahmedhusseinshnoor1210

    2 жыл бұрын

    Ni naani ambaye alikuambiya Shia Ni waislaamu??, wewe hujuwi kitu hebu nyamaza

  • @ally5814

    @ally5814

    2 жыл бұрын

    @@ahmedhusseinshnoor1210 😷😷😷

  • @ahmedhusseinshnoor1210

    @ahmedhusseinshnoor1210

    2 жыл бұрын

    @@ally5814 good boy

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Жыл бұрын

    Leo nimeamini sio kila mtu anaetoa dawa anajua, Hicho kitabu kama hujasomeshwa huwezi kukielewa, Unatafsir unavyopenda wewe bila ya makusudio yalio kusudiwa humo, Mungu akusamehe sana hujui unalo litenda, ki Ufupi hujui kitu kabisa kabisa, matatizo makubwa yapo akhera , na ndipo utakuja kuona msaada wa mtume mbele ya mtume wake, Mtume atasujudu na kumuomba Allah juu ya waumini kusamehewa na watasamehewa je hii ni shirki ? Hujui Maulidi ukae kimya

  • @ushindiushindi5749

    @ushindiushindi5749

    Жыл бұрын

    Ni kwel siku ya kiama mtume atawaombea msamaha waumini nakubal lakin leta hoja na vioja BADO maulid itabaki Ni bidaa

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    Mambo matano mtume hajui. Usuzue uongo

  • @maherzain615
    @maherzain6152 жыл бұрын

    Acha jazba bhana sheikh acha kutupa kitabu chenye jina la Allah na mtume wake kuwa adabu kiasi kama una elimu kweli

  • @abubakaribashiru7525
    @abubakaribashiru75252 жыл бұрын

    Waulize wanaosoma ndugu yangu unaonaje maneno yako yakawa sio sahihi utamjibu nin Allah siku ya kiyama

  • @mutomubaya

    @mutomubaya

    2 жыл бұрын

    Wewe tueleze kama umesoma ...kwani yaliyoandikwa hapo hayaeleweki kwa wepesi...au? Huyu Sheikh anafunza watu kuelewa Qur'an atakuwa hana maarifa ya kuelewa kauli ya mwanadamu. ?

  • @lemalisipilali

    @lemalisipilali

    Жыл бұрын

    Elimu yenu ni ipi mbona tunasikia tu mkimponda Mohammad bachu badala ya kumjibu majibu mazuri yanayo pendedha ata kwa Allah Sheikh elimu yenu tuna mashaka ni yabiashara kama hakuna majibu mazuri Allah atuokoe na viongozi sio

  • @mabroukmabula1874
    @mabroukmabula18742 жыл бұрын

    Mm nataka unisaidie unapatikan wap

  • @tariksalim2659
    @tariksalim26592 жыл бұрын

    Naomba ustadh ukisoma barzanji uisome kwa mahadhi ambayo wao huisoma Ili wajue ww unajua unasema nn,hakika ww n kiboko Yao makhurafy,shukran

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin34022 жыл бұрын

    WACHENI KUZOZANA HADHARANI.

  • @mahfudhakassim9592
    @mahfudhakassim95922 жыл бұрын

    Sheikh kiukweli huna unyenyekevu wala upole wa kueneza Dini unachosha watu na hujielewi kuwa mwenye kuingiza waislamu sio kuwasema waislamu roho yako yaonesha sio Safi kw masheikh wenzio na Hy sio sifa ya watu wa peponi

  • @abdulgadiralahdal901
    @abdulgadiralahdal901 Жыл бұрын

    Ewe kijana mdogo wa ilmu na akili soma hapo ujione kiasi gani wewe ni mjinga . عَنِ ابْنِ عُمَرَ ، عَنِ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ : " أُوتِيتُ مَفَاتِيحَ كُلِّ شَيْءٍ إِلَّا الْخَمْسَ " : { إِنَّ اللَّهَ عِنْدَهُ عِلْمُ السَّاعَةِ وَيُنَزِّلُ الْغَيْثَ وَيَعْلَمُ مَا فِي الْأَرْحَامِ وَمَا تَدْرِي نَفْسٌ مَاذَا تَكْسِبُ غَدًا وَمَا تَدْرِي نَفْسٌ بِأَيِّ أَرْضٍ تَمُوتُ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ } قال ابن مسعود رضي الله عنه وارضاه : " أوتي نبيكم صلى الله عليه وسلم مفاتيح كل شيء غير خمس وتلا آية : " إِنَّ اللَّهَ عِنْدَهُ عِلْمُ السَّاعَةِ وَيُنَزِّلُ الْغَيْثَ وَيَعْلَمُ مَا فِي الأَرْحَامِ وَمَا تَدْرِي نَفْسٌ مَاذَا تَكْسِبُ غَدًا وَمَا تَدْرِي نَفْسٌ بِأَيِّ أَرْضٍ تَمُوتُ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ " Tunakuomba ukubali mjadala wa hadharani na gharama zote. Juu yetu tukuoneshe ukafiri wa ibnu taymiya alie dai kujua yaliomo ndani ya lauhul mahfuudh . Kubali siku moja na siku hiyo ndio itakua mwisho wako wa ubabaishaji . Mashabiki mnao mshabikia huyo tunawaomba. Mumuombe akubali kujitokeza kama yeye ni kidume

  • @lileoh3893
    @lileoh38932 жыл бұрын

    Jamani sisi tusiejua kusoma tunapelekwa kama vipofu sasa iweje mtu kasoma anajua tafasili alafu anashikilia shiliki kama hii nyie mlio jaliwa kujua allahu kakyjalia kusoma elmu ukajua chuya namchere vp jamani hili limekaaje?

  • @rashidshela1826
    @rashidshela18262 жыл бұрын

    Dah huyu kijana amefurutu ada Mungu akuongoze ndugu unapokwenda cpo yn ww umekuw shekhe wakukosoa wanavyuoni wakubwa ww ivi huna mashekhe ww wanaokuongoza ktk dini?

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Kwaiyo ww hujaona ukweli Hadi hapo kutafsiriwa au,musiwe Kama wakristo,maana wao hadai biblia huwez kuifasiri Kama huna roho mtakatifu na watu wa maulid huwa wanaitikadi hiyo,acha bidaa ndugu na Kama haukusoma maulid Allah hatokuuliza ila ukisoma lazima utaulizwa na Allah

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad62252 жыл бұрын

    Shekh huo ndy msimamo lakukubali Sana zid kutuzndua hata wakikuponda lakn ukwer inabid usemwe nakuomba Allah azid kukuhifadh

  • @abdulgadiralahdal901
    @abdulgadiralahdal901 Жыл бұрын

    Ewe kijana. Acha kuseme peke yako . Jee upo tayari kuingia kwenye mjadala wa hadharani. Kuhusu hiyo hiyo barazanji ?

  • @hassanajiruu7793
    @hassanajiruu77932 жыл бұрын

    SHEIK Hayo Unayo Yaeleza Kwani Wanao SOMA MAWLID Wanayapinga...? SHIDA YAKO UTAKI KUELEZA MAHMUMA WAKO HUKWELI Kwamba Haya MAWLID Hasa MAHANA YAKE KAMILI Kwako WEWE ni NINI ... NAKULIZA MAWLID NI NINI Naomba Jibu MAWLID MAHANA YAKE NI NINI...?

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Mshkuru Allah kusikia haki,iv ww ushawahi kwenda kwenyi maulid bila kusomwa barzanji

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Huwezi kusoma maulid bila kusoma hayo matabu ya shirki na ya uongo,au ww tuambie uliwahi kwenda wp na mkafanya maulid bila kusoma vitabu hivyo

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah45142 жыл бұрын

    Ulikirembea nini km hujamaliza... dini haitaki jazba ww unaona uko sahihi basi elimisha kwa upole ....

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Tatizo inakera sana kuona Jambo liko wazi kua halinausibisho wwte ktk dini halafu watu wanafanya na some time utaona mashehe wanaokubalika ktk jamii wanapotza watu kwa hilo ndio maana inakera,na mtume alikua akioanda ktk membar huvalika rangi na huwa mkali Kama anaamrisha jeshi,

  • @Ramadhan12623
    @Ramadhan126232 жыл бұрын

    Ukiwaambia makhulafy utasikia ujasoma kielim apo, ooh kasome yan utatazan wao watu wa bid'aa ndo wamesoma saana lugha kuliko watu wote, mungu awaongoze wao na sisi

  • @sadikadam5251
    @sadikadam52512 жыл бұрын

    Mshirikina ww unofitinisha watu t

  • @salimsteven9448
    @salimsteven94482 жыл бұрын

    Wachu kupoteza watu kwani kilma cha abdu kina maana ngapi Katika lugha ya kiarabu tujibu kwanza hapo

  • @abdulgadiralahdal901
    @abdulgadiralahdal901 Жыл бұрын

    Sasa ewe mdogo wa umri na akili Sasa ikiwa mambo yaliomo ndani ya lauhul mahfuudh hayajui ila mungu jee ibnu taymiya ni mungu ?. Sasa hebu jasiri kumuitaibnu taymiya ni mushrik ?.

  • @loganpoul
    @loganpoul Жыл бұрын

    Someni kwanza ndio mutafsiri barzanji,nyie musome kidogo munajiona nyinyi ndio kufika mahali pa kumkufurisha ambae aliandika barzanji??

  • @sadickmguruka
    @sadickmguruka2 жыл бұрын

    Chunga sana ulimi wako sana sana hasa unapozungumzia Mtume wetu Muhammad bin Abdillah hakika hiyo ni bahari nyingine kwa mfano Mwenyezi Mungu kampa kazi Mtume ya kuja kuwatoa watu kwenye giza la ukafiri na kuwapeleka watu kwenye nuru ya uislamu vipi mtume akiitwa kwa kazi hiyo utakuwa na kosa gani?

  • @East_Africa_120

    @East_Africa_120

    2 жыл бұрын

    Jinga we we

  • @idisaidi287
    @idisaidi2872 жыл бұрын

    Maashallah ALLAH akukinge na husda wape alimu wajinga Cake ishaletwa bado mvinyo uletwe kwenye maulid

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas63272 жыл бұрын

    Huyo Mtume mwenyewe yuko kwenye vita mkong'oto unaendelea. Mwisho wa kunukuu. Wewe kijana chunga baadhi ya kauli zako.

  • @abaafarhat9191

    @abaafarhat9191

    2 жыл бұрын

    Kama wewe si muislam achana na dini isiyokuhusu usitafute uchokozi

  • @mahfudhakassim9592

    @mahfudhakassim9592

    2 жыл бұрын

    Kuwa na adabu sio kaka yako ukimtaja kama huwezi kumswalia Taja Kwa adab

  • @shabaniabubakar7262
    @shabaniabubakar72629 ай бұрын

    😂😂😂 education

  • @kitosio
    @kitosio9 ай бұрын

    Kitabu choooooote na mashekhe wengine kama Kassim Mafuta nyoooote toweni clips watu wajifunzeee. Watu hawajui

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari63872 жыл бұрын

    Wacha kuropokwa unafadiri Quran makosa Sana, Na elimu sio makelele.

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu10 ай бұрын

    Mpe mke wako au mume wako

  • @salehpandu2250
    @salehpandu22502 жыл бұрын

    Kitabu hakina maneno ya Mungu hata unakitupa kama taka na kusema uko twahara, Jichunge

  • @eastzooadmin6416

    @eastzooadmin6416

    2 жыл бұрын

    Hata bibilia ina jina la Mungu lakini ukinipa mimi nakitia moto, mnashirikiaha Allah jalla jalaal afu mnataka vitabu vyenu tuvifidhi vizuri, pumbavu zenu nyie

  • @fatmaabdallah8471
    @fatmaabdallah84712 жыл бұрын

    wewe bachu wacha kubobokwa mtumi alisifiwa na mungu tukimsifu sisi hakuna makosa sifa zamtumi na mazazi yake ndio maulidi usirukhe mpaka wa mungu wajua ilimu kukushinda wewe hawapingi maulidi ustadh maalim izudi na wanginewe wajuao ilimu kukushinda wewe hawa pingi maulidi kosa lako huna ilimu usipotoe watu mungu akuongze inshaallah nasote

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Kumsifu mtume nani kakukataza,umeruhusika lakini mwenyewe mtu amesema msinisifie sana mkajafikia Kama wanaswara walivomsifu nabii ISSA wakasema ni mungu,ndo hayo yanayotokea kumsifu kwa kutumia mashairi hayo,

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Mwenye dini ni Allah muongozo ametupa kupitia mtume wake huko ndiko ndo kuna ushahidi sio kwa mtu yyte ndugu kwani hujui kua mtume kasema wanaadam wote wanakosea,mfuate anaekupa ushahid wa kutosha maana Kama ni ivo maswahaba wanna wakuu hawakufanya hayo wala maimamu wanne sasa uyo shehe wako anaesoma ni na ni turudi ktk kibu na suuna ndio rejea ya waislam

  • @fatmaabdallah8471

    @fatmaabdallah8471

    2 жыл бұрын

    ooh bc hatumsifu tena mtumi tutakusifu wewe waonaje

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    @@fatmaabdallah8471 haujakatazwa kumsifu lakn umsifu Kama alivofundisha mwenyewe ikiwemo na kufunga j3 ndo maulid enyewe ayo sio kutafuta kitabu maalum chenye shirki na szushi mbali mbali,pamoja na kumtangaza kwa kufuata sunna zake zilizothibiti kisheria

  • @abasaliomar1020
    @abasaliomar10202 жыл бұрын

    kofia upande wacha maringooo huna elimu ya kutoa ufafanuzi wacha tupige maulidi ww kma wapinga pinga tu

  • @selemanmartin

    @selemanmartin

    Жыл бұрын

    Abas: Kaa kimya we mtu wa Maulid huna Elmu

  • @hassanalbasry8706
    @hassanalbasry87062 жыл бұрын

    We shinda hapo skuizi huwa hatujibu ni maulidi kwenda mbele 😂😂😂

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    2 жыл бұрын

    Ukijua haki ukawa hukuifata inakua ni kibri ndugu hii dunia tu

  • @hassanalbasry8706

    @hassanalbasry8706

    2 жыл бұрын

    @@medimisi6930 sawa niache kibri changu kwa sababu pia hii KZread ni bid'a

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta17802 жыл бұрын

    Nakukubali mwanetu kuwadhihirisha watu wa bida'ah! Allah Akuzidishie elimu!

  • @mwalbash1088
    @mwalbash10882 жыл бұрын

    Shk nauliza tangia maulid ifanyayike miaka na miaka lini ushawaikusikia watu wameangamia kwasababu ya maulidi

  • @sadikinyanzowa9107
    @sadikinyanzowa9107 Жыл бұрын

    Sasa toa na mada zingine elimu uchumi

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk84652 жыл бұрын

    Inabidi apewe ukaadhi wa Znbr huyu binaadam kasoma Sana Elmu Hana Tena pakuiweka Hadi Ina mwagiga

  • @ramamganga6440
    @ramamganga64407 ай бұрын

    Nakuomba sheikh utusaidie fanya jitihada ukitafsiri kitabu cha maulidi tujue kila kitu huo uozo

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction53552 жыл бұрын

    Wewe bachu ni kama Haji manara tu mpiga makelele na domo tu tunakuona kama ni mchambuzi wa mpira tu tena wa mchongo

  • @sokanettv9645
    @sokanettv96452 жыл бұрын

    Wewe tuache bwana. Tangu Barzanji imetungwa, gharika ngapi zishatokea?.na tafsiri unajua wewe tu? Tangu imetungwa. Ni wivu tuu, sabbu huna uwezo wa kutunga kitabu kama hiko. Na lugha ndiyo hujui. Unatuchanganya

  • @tamashamagoma2941

    @tamashamagoma2941

    2 жыл бұрын

    Hii ni dini ndugu yangu, acha ushabiki, yeye kafikisha amua kufuata au kutofuata, lkn ujue utaulizwa juu ya uliyoyasikia na kuleta dharau!

  • @adimudachi7984
    @adimudachi79842 ай бұрын

    Mm nime kuelewa xhe bachu watu Wana ixhi kimazoea nawaislam wengi wanadini zakulithi cio kusoma nakujifunza mm naamini uliosema nikweri wavumilietu ndiohaki ilivyo

  • @AhmedAli-fv2xo
    @AhmedAli-fv2xo2 жыл бұрын

    Sheikh Maulid bado yanaendelea njoo huku sie bado twasoma kila siku

  • @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    2 жыл бұрын

    @Ahmed Ali Allah kaumba pepo na moto kwa makusudio maalimu...usijisifu juu ya batili uliyo nayo...muombe Allah akuthibitishe katika hakki.

  • @mohamediabdirashidi1099

    @mohamediabdirashidi1099

    2 жыл бұрын

    @@Muhammad_Nassor_Bachu_. Naam

  • @user-fb6dz4zh6e
    @user-fb6dz4zh6e2 жыл бұрын

    Jee unakubali kama maswahaba katika vita walikuwa wakileta nidaa "و محمداه

  • @user-fb6dz4zh6e

    @user-fb6dz4zh6e

    2 жыл бұрын

    Jee wamefanya shirki katika hilo maana hyo ni istighatha pia na wako katika shida

  • @user-fb6dz4zh6e

    @user-fb6dz4zh6e

    2 жыл бұрын

    Kijana mdogo rudi ukasome vizuri mjingaa ww unakitupa tu hicho kitabu mkosefu wa heshima ww

  • @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    2 жыл бұрын

    @إبن المجاهد 😆😆 bora uende ukale ile 🍞 ya kilo 100. Wewe hujajua kuandika jina lako..unaweza kujua shirki?? Angalia hio ibnu ulivoandika kwa ( إبن ) hali yakuwa usawa ni kuandikwa ( ابن ). Karibu kula keki ya kilo 100 😎

  • @ishakafaki3501

    @ishakafaki3501

    2 жыл бұрын

    Mie nakuliza tuu wewe kwani shekh kasoma maneno yeke hapo na katoa ya kwake yeye? B)kwani hivo vitabu vinatafsiri isiokua hiyo alio itafsiri? C) Kama ipo tutasirieni nyinyi na hao walimu wenu ili kama kuna faida tupate wote? D) Wewe kwani alitaja mtu hapo au yeye kasoma vitabu nyenu tupe ukweli kwa dalilii na ushahidi wa Hadithi na sunna

  • @maherzain615

    @maherzain615

    2 жыл бұрын

    @@ishakafaki3501 topic aloleta hapa ni nidaa.we waleta story zako nawe

  • @khadijaiddi9422
    @khadijaiddi94222 жыл бұрын

    JazzakAllah kheir

  • @fadhilimpandula4965
    @fadhilimpandula49652 жыл бұрын

    Daaaaa aisee Allah ukujaalie uhai Ili uzidi kutoa elimu hii Maana maulidi yameshamili sanaaaa tz lkn pia hao wanaokupinga mbona hawaleti hoja za msingi kupinga hichi unachokifundisha?Ikibidi Ili tumjue nani anaongea haki basi kufanyike mkutano kitafasiriwe hicho kitabu maaana jmn huuuuuuuuuuuuwiiii ni mtihani sana kwakweli watu wanaangamia jmn😭😭😭😭😭tulipumbazwa sana miaka ya nyuma Allah atusamehe kwakweli.Walete hoja za kukupinga ww isiwetu eti ohooo kuna vijogooo vinawika kila nyumba Mara Sijui kelele jmn walete hoja zao za msingi sio tu kupinga tu mi nachukia sana why hawataki kuleta hoja za kutengua haya usemayo?

  • @badrudindaud1087
    @badrudindaud10872 жыл бұрын

    Kweli hii misemo ya Hao watu mawlid. Wanasema, " kila kitu shirki shirki" au " Msishirikishe watu Bana au" Bida kilakitu Bida? Misimo hii Wana ipenda sana

Келесі