Mtu mmoja amefariki kwenye ajali eneo la Kisauni
Mtu mmoja amefariki baada ya gari la kubeba maji kugongana na bodaboda katika eneo la VOK, Kisauni, kaunti ya Mombasa. Kulingana na walioshuhudia ajali hiyo, hii sio ajali ya kwanza kutokea eneo hilo. Wakazi sasa wanaitaka serikali kuu kuharakisha ujenzi na upanuzi wa barabara hiyo kando na kuwekwa matuta.
Пікірлер: 18
Woooy poleni sana vok ni mtaa wangu
So sad,. Rip... Barabara ipanuliwe hiyo...
Sad Rip
Inna lillah wa inna illahi rajiun Allah amrehemu
Mbisy caught me off 😅😅😅
@bollotoqwine6921
Ай бұрын
🤣🤣I rushed to the comments to see who is reading from the same page as I.
Mungu wangu
Why are boda boda ride so reckless.
@daprince7545
Ай бұрын
Can u watch it again and hear what causes the accident. Because the report is aloud and clear
@nassernasser1457
Ай бұрын
Wako njaa na pengine Wana rush for 50bob
Bodaboda are extremely reckless
Alafu wale mnapendako kuwatch comedy videos naombako mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂
Utaskia wakisema ni muguka🫤🫤
@itsTheTruthTeller
Ай бұрын
😂😂😂
Vok ni nyali sio kisauni toeni habari za uhakika
Alafu please Wala mnapendako kuwatch comedy videos naombako mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂
Mbusy kweli😂
Abobo nakuona mtetezi😅😊