@@haridyhillaryndembo1946mbna hizo hoja 19 hazijibiw
@KassimMwavyema
11 ай бұрын
@@eddieeddie2755 kwaio ina maana kuswaliwa mtume ni upumbavu....daahh!! Kweli kusoma ni muhimu na ndio maana mtume wetu alituhimiza na ni lazima kusoma maana inaonekana wewe taahira kweli
@KassimMwavyema
11 ай бұрын
@@eddieeddie2755 kwaio ina maana kuswaliwa mtume ni upumbavu....daahh!! Kweli kusoma ni muhimu na ndio maana mtume wetu alituhimiza na ni lazima kusoma maana inaonekana wewe taahira kweli
@user-hw5zu2vc3m Жыл бұрын
Shekh Muhammad kithirisha kumuomba Allaah kwasababu maadui wako ni wengi
@KassimMwavyema
11 ай бұрын
Awe na maadui kwa lipi aswa mwendazimu wenu uyo...ufahamu wake ni mdogo ata afadhali mtoto wa raudhwa alif
Wewe shehe ww hebu muogope mungu! Hebu acha unafkiri.. heyi hukupata muda kwenye munakasha ika baada ya, then unapata muda unajiongelesha mwenyewe mtandaoni, hebu muogope mungu na uache unafki kidogo basi
@salemshaban2413 Жыл бұрын
Watu wa twariqa kulikuwa na meza yoyote amsaidie
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
HIZI ni sifa za Wanawake kabisaaa tuache unafki hawa vibwengo bila kuwakamata na kuwatia bakora mpaka akili zikawakaa sawa watajiona mashekhe kweli. Na hawa wafasi wanaocomment uzwazwa inavidi kuanza kuwindwa mmoja baada ya mwingine. Kumbe ndiomaana uisilamu unachezewa sana kwasababu ya vibwengo kama hawa. Akili hata za kuazima hawana!?.
@pablooo4197
Жыл бұрын
😂😂😂
@nasirdinmohammed8741
Жыл бұрын
Jazba zako peleka kwa watot wako huku kweny dini tunatak hoja cyo sungu sungu
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@nasirdinmohammed8741 unaongea na nani?... Wewe una akili timamu kweli!?. Walimu kama hawa ndio wanao sababisha hao makafiri wenyewe wauchukie uisilamu.
@omaryissa2562
11 ай бұрын
Mi mwenyewe naumia sana
@AlhajiIssa-jb9hr
9 ай бұрын
Hapa ni elimu tu sio kelele kijana .
@saidsheha1336 Жыл бұрын
Masufi wamekabwa roho mara hii wanatapa tapa tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Sana hawaamini uvundo wao umetolewa nje
@Ibnimohd-tr6qc Жыл бұрын
Kwani huyu Haji Upepo na Hajji manara mtu na somo yke???
@hanzwala9704
Жыл бұрын
Kigogo cha mawahabi hcho
@abasmaalim5423 Жыл бұрын
Haya yote sio kweli, ni majaazi hapo kuna majazi 😂😂😂😂
@Abdulrahman.84 Жыл бұрын
Shukran wajazaka allahu kheir Habib
@bongotvonline4883 Жыл бұрын
Unaunga unaunga Aya?! Duh. Swala la Malaika kumsabihi Allah muda wote ni sahihi, lakini je ni wapi ushahidi kwamba wakati Mtume anazaliwa, Malaika walishuka wakawa wanamsabihi Allah?! Alafu unauliza inawezekana mwanachuoni mwema akatoa habari jambo ambalo halijashuhudiwa na Allah?! Mbona katika dini kuna kitu kinaitwa "kujutahid". Wapo wanazuoni wamekosea kwa kusema mambo ambayo sio sahihi na hao tunawaxhukulia kuwa walijitahid.
@rushu1232
Жыл бұрын
Katika huo muda wote waqati Mtume akizaliwa haupo.
@bongotvonline4883
Жыл бұрын
Na tukiruhusu watu waongeze mambo katika kuzaliwa Mtume, Kuna mtu atabadilisha hata eneo alilozaliwa Mtume, atasema amezaliwa Marekani. 😆😆😆
@rogertuga007
Жыл бұрын
@@bongotvonline4883😅😂😅😂😂😅😂😅😂
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@bongotvonline4883 kweli kabisaaaa
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@bongotvonline4883 nawatasema alikuwa akiishi kizungu
@mashaaallah.8016 Жыл бұрын
ngoja twarika wakutambulishe kwanza ndo tukujibu😄 tusije tukaambiwa hujulikani
@husseinkitwanamabrouk4889 Жыл бұрын
Shukran habiib
@MajidSalim-sk1mh11 ай бұрын
جزاك الله كل خير
@Klement84 Жыл бұрын
Ustath huyo muhammad anakibri muacheni halafu kwanini hataki kusoma tasaufi Sheria kamajahazi twarka kamabahari sadaka rasuli anataka kusifiwa
@athumanially7823 Жыл бұрын
Ujumbe umefika shekhe shukran
@seifabdi9248 Жыл бұрын
Sijaona watu wanateseka kama Masufiii, mnangangania ubatili na uzushi ambao hauko kwenye dini. Uzushi, uzushi na kufru kubwa sana ya kumzulia mtume mambo ambayo hakufanya wala hakuanzisha na wala maswahaba. Muna shupaaa kama mshipa wa shingo.
@NemaJuma
Жыл бұрын
Hivi nikweli ibn taymia amesema lau si mtume wetu Muhammad s.a.w,usingeumbwa ulimwengu,naomba jibu ndugu yangu
@seifabdi9248
Жыл бұрын
@@NemaJuma Hivyo ni uzushi ibni Tayimiyya kulingana na yeye anasema sherehe ni mbili katika dini ya kiislamu, Eid ul adhah na Eid ul Fitr na yeye alijikita kwa Qur'an tukufu na Sunnah kwa kuwa hakuna kitu kama Eid miladu Nabbi. 🔨 Kwahiyo kufanya Jambo la maulidi ni kumtangulia Mtume ktk kufaham dini ya Allah na ni moja ya kumtuhumu Kama alifanya khiyana ktk kufikisha ujumbe kwa kuficha baadh ya mambo hakuyasema Kama maulid jambo ambalo madhara yake ni makubwa zaid kuliko maasi⬇️ 📘قال الشيخ صالح بن عبد العزيز آل الشيخ ـ حفظه الله ـ في شرحه لكتاب فضل الإسـلام للإمام محمد بن عبد الوهاب: *فجنس البدعة أشنع، وأغلظ من الكبائر ...لأنها معارضة للرسول صلى الله عليه وسلم، واستدراك عليه، وشرع دين لم يأذن به، وتعبد بأشياء لم تكن عليها سنته من جهة الاعتقاد، والشبهة، وهذه أعظم من حيث الجنس من ذنوب الشهوات المختلفة.*🔹 🎙️Amesema shekh swaaleh bin abdul' azi'z a'ali shekh Allah amhifadhi, katika sharhe ya kitabu fadhwlul is'laam⬇️ 🔊 Ama jinsi ya bida,a {Kama maulidi na mfano wake} yenye kuenea zaid na kubwa zaid kuliko madhamb makubwa- kwani hakika Jambo la bida,a ni kwenda kinyume na Mtume {swalla llahu alayhi wasallam} na kumtangulia {katika ufaham} na kuweka na sharia ktk dini Jambo ambalo haja idhnisha, na kuabudu Mambo ambayo si ktk sunna Ktk njia ya itikadi, na shubha, na Jambo hili ni kubwa zaid kuliko namna ya madhamb ya matamanio ambayo yametofautiana⚠️ 👌FAIDA kufanya ibada ambayao haina dalili UZUSHI (BIDA'A) madhamb yake ni makubwa zaid kuliko maasi kwa sababu zijazo: 1️⃣ kumtangulia Allah na mtume wake ktk ibada ambazo hawakuwekea Sharia 2️⃣ kumtuhumu Mtume ya kwamba Kuna mambo aliyafikisha na Kuna mengine aliyaficha 3️⃣ kuwatangulia Maswahaba wa Mtume na walio wafatia, Ktk kufaham nusuus za kisharia, Katika mambo ambayo wao hawakufaham hivo kutoka kwenye kitabu na sunna🎤 *AMA YULE ANEFANYA MAASI ANA NAFUU MAANA WAKAT ANAFANYA ANAJUA HILI NI DHAMB NA INAKUA WEPES KURUDI KWA ALLAH KWA KUMTAKA MSAHAMA TOFAUT NA ANAE FANYA BIDA,A HAJUI KAMA ANAFANYA KOSA NA INAKUA VIGUMU KUOMBA MSAMAHA KWA ALLAH. 🎙️Ndo maana imam suf'yaan athaury akasema: Bida,a inapendeza zaid kwa ibliis kuliko maasi maana maas anatubu mfanyaji wake ila bida,a hatubu mfanyaji wake {kwa kuitikadi kua ni ibada} !!!
@seifabdi9248
Жыл бұрын
Ukisoma katika Qur'an tukufu Allah anasema katika Surat BaQara kuwa anampeleka binadamu dunia I kuwa khalif na Qur'an pia inasema Allah hakuumba wanadamu na majini ila wamuabudu!
@tocaworld7864 Жыл бұрын
Na anayeuelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu na hali yeye ni mtenda wema, basi huyo ameshika kishiko cha kutegemewa. Na marejeo ya mambo yote ni kwa Mwenyezi Mungu. (Qurani 31:22) Imepokewa kutoka kwa Abdur-Rahman bin ‘Abdullah bin Mas’ud kutoka kwa baba yake (رضي الله عنه) akisema kwamba alimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: *“Hakika nyinyi mtasaidiwa, mtatekwa na mtashinda, basi atakayeona miongoni mwenu. kwamba, basi awe na taqwa ya Mwenyezi Mungu, na aamrishe mema na akataze maovu, na anayenizushia uwongo kwa makusudi, basi na akae Motoni.”* Sahih (Darsalam) Jami` at-Tirmidhiy 2257 Kitabu cha 33, Hadiyth 100.
@user-gr5ix5hp9t Жыл бұрын
Tatizo jazba zimewajaa hao mawahab kuanzia viongoz wao had hao wanaofata mkumbo maan wengne wanafata tu mkumbo
@tawfiqsaid491810 ай бұрын
Mzungumzaji hana khekma huwezi kuwaita waislam wenzako mijinga, mipumbavu nk. Mbn maimamu wanne wakati wanatofautiana kweny hukmu mbalimbali hawakutoleana maneno achafu na kuitana majina mabaya. Mashekhe wa siku hizi mtihani sana, mcheni Allah.
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Dakika 10 baado hajajibu hata hoja moja 😂😂😂 story tuuuuuuu
@suuahmed71 Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH. Shukran kwa faida. Mawahabi wana chuki na maradhi ndani ya nyoyo zao
@mohd39789
Жыл бұрын
Sasa huyu mpumbavu upepo ameijibu nini? Kama yeye anaweza si aombe mjadala
@hanzwala9704
Жыл бұрын
@@mohd39789 Kwa hyo hayo alosema cio majibu Bachu hamuwezi huyu mana anamuogopa mpk hivi leo hakuna clip ata moja alowez kumjibu Sh Haji Upepo....na ajaribu kuomba munaaqasha aone
@misbahukhalifa3216 Жыл бұрын
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ
@ayah844
Жыл бұрын
Huyu siprofesa usimfuate hana ilmu hata kidogo, ukweli tutakuja kuona mbele ya allah,ndio Maria tuliletwa duniani tukasome na uifanyie kazi ilmu au tumeletwa kupija matswari na kucheza ,hapo sasa ndio tutajua kilicho tuleta dunia nikipi
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Kwa kipi😅😅
@misbahukhalifa3216
Жыл бұрын
@@saidsheha1336 mm nimemtaja Mungu sikukutaja wewe. Mungu ndie ajuwae kwa kipi inshaAllah
@ramamganga6440 Жыл бұрын
Niliwahi kuwa katika maulidi na nilikuwa katika ujahilia wa kupindukia, sasa nahisi nimekuwa miongoni mwa wenye kupinga bidaa, acheni uozo huo wa maulidi, nawaambieni Kwa ajili ya Allah, ingekuwa amri yangu ningewatia bakora mpaka muelewe
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Maashaallah
@omaryissa2562
11 ай бұрын
Wewe kama mimi yani naumia Ningewatia bakora nying sana
@user-fb7om2ol2s
10 ай бұрын
Kwenda huko wewe wewe wafanya nini TikTok shekhe ulobakiYA
@user-fb7om2ol2s
10 ай бұрын
UtAJIPANGA NA CHUKI ,mANGAOPI UNAYOYAFanya ama 😅😅😅una CHUKI zako wewe
@salehemohamed2937 Жыл бұрын
Sheikh Hajji,umeeleweka vizuri sn.
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
Mwanmme mmzima eti shekh haji umeeleweka kwa ujinga na upuuzi aloongea
@hanzwala9704
Жыл бұрын
@@pavillioncry5241 Hebu niambie ni upuuzi gani aliongea ucwe mshabiki
@batashqiraa9936 Жыл бұрын
Asalaam alaykum, skh Haji Upepo utafanya la maana ukaingia ktk munaqasha usiishie kwenye mitandao tu
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Hasubutu 😂😂😂😂😂😂
@ramamganga6440 Жыл бұрын
Huna hoja, huna hekma naona tu kanakwamba ni mtu mwenye kukurupuka, hv unajua kwamba waliumbwa kwanza majini kabla ya mwanadam, sasa Hy hoja kwann wasiseme majini kuwa viliumbwa Kwa ajili Yao? Andaa munaqasha ukarekebishe hayo, sisi tutamsafirisha bachu mkutane. ACHA kupinga ukweli muogope Allah, mpenda ubwabwa, ACHA kutukana kijana wetu. Allah akuhifadhi.
@abuurauzwat1006 Жыл бұрын
Wee unacho kijuwa nimatusi tu huna jengine lolote endelea kutukana watu lkn ukija ukigeukiwa wewe ukaanza kutukana uje vumilila .
@NemaJuma
Жыл бұрын
Leo mmepatikana
@mtumwasamaki9 ай бұрын
Upo sawa wanakataa umenukuu vitabu vyao,nuku ambazo wao wanazikataa katika vitabu vyengine, umetoa aya na ufafanuzi wa aya na hadithi
@abdikadirshariif5311 Жыл бұрын
Mimi kilingana na fatwa hii, nime elewa Mohamad Bachu ana shida na Mtume akipewa sifa nzuri. Kwahio hana shida na barsanje.
@rogertuga007
Жыл бұрын
Shida yake asipewe sifa za uongo ambazo hazipo.
@yusufhamisi8191 Жыл бұрын
allah ameshawadhalilisha tayar achen kutapatapa
@hashimshariff2743 Жыл бұрын
Kama ni hivyo Mtoeni makosa huyo shekhe wenu ibn taymia kwa yale aliyoyaongea sio mutukashifu sisi. Hata mtu mjinga hutambua kitu je nyie ambayo mumetolewa dalili kwa vitabu vyenu bado mwapinga
@mzeemmwinyihajihatibuhatib9331 Жыл бұрын
Bro zako ni porojo hujui unenalo masufi sasa wenda mbio kusoma kujitetea Haki itabakia kuwa haki akhui
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Yeye hajuw ila icho alichokiongea ni kweli au Cha uwongo
@sheikhrajab867811 ай бұрын
Kutupotezea muda tu. Jisaa lizima basi watusikilizisha pumba tu hamna hoja hata moja ya kielimu unatoa.
@user-hx8yd9gp2q11 ай бұрын
Mm najiuliza mmbona wakt waniqash hawa wanaotetea barazanji hawakujitokeza ila baada niqash wamezuka wengi kutetea
@tocaworld7864 Жыл бұрын
Wewe Huna ilmu ni kuperupuka na ujuaji mwingi wakutaka kick . Huna ilmu kalale. Wewe ni fatani tunakujua kila siku.
@halidijuma1884 Жыл бұрын
Shukran kabisa ,,,,tangu niachane na uwahabi akili yangu inakuwa Huru sana kwa kutambuwa mambo,, huko tulikuwa tunashikiliwa akili,,,, Alhamdulillahi sheikh tumekuelewa kabisa
@haridyhillaryndembo1946
11 ай бұрын
MashaAllah Hao Jamaa ni wazee wa jazba tu HAWANA Elimu
@alimukabana148411 ай бұрын
Nilidhani huyu bwana anazijibu zile hoja 19 za bachu, kumbe ameleta hekaya na kuwafurahisha mabwana zake wa kishia, daaah
Waambie masheikh zako watoe video wakijbu zile hoja zilojengwa na bachu Acha kupija kelele mtandaoni Kama hamorapa
@fadhilahaji7929 Жыл бұрын
Umemsikia sheikh Sharifu wa Mombosa kuhusu huyoe Majzi Lkubur unayemwita sheikh
@faisalyunus42839 ай бұрын
Bachu ajijuwi na wanao mfwata ni wakosefu wa ilimu awana hikma wala busara hishima wamekosa wala ukiwailimisha awataki kwa kujifanya wanajuwa na awajuwi kusema sejuwi si ujiga ujiga ni kujifanya wajuwa na ujuwi
@JumaRamadhani-jg6hc Жыл бұрын
Mbona huko kwenye ubwabwa mnatwambia wanyama waliongea kiarabu huku mnatwambia majazi kama sio uongo nini.
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Wewe kibwengo siku zote haujasema kuhusu uovu wa hao watu unakuja kusema leo baada ya wao kusema kuhusu barazanji!?. Inamaana mnaweza kufumbia macho maovu yenye madhara katika dini mpaka mchokonolewe ndipo kuanze kupayuka!?. Mlikuwa wapi siku zote hamjasema uovu wao mpaka leo mje kuusema baada ya kutajwa uongo wa Barazanji!?. Anzeni kwanza kujibu hoja kisha mzungumze yakwao.
@masoudabdallah7041 Жыл бұрын
Ivo kuna sehemu bachu alisema hakuna majazi kweli yeye alikataa baaz ya manene kuw hayajakusudiwa majaziii😅
@ahmedmattar466110 ай бұрын
Huyu mo bachu hana hamu tena na mombasa ukimwambia twende mombasa haendi anaogopa kukutana na sk saidi
@bakariomari8758 Жыл бұрын
Mcheni Allah hii dunia ni mapito tu acheni ushabiki. Ole wenu msije kuja mkawa kama wale walosema inna ataana saadatana wakubraana faadhalluna sabila
@ahmedmattar466110 ай бұрын
Hata huyu katoto bachuru anajiona yeye ni kama mtume kila kitu anajua yeye yeye hakosei ila mashehe wote hawajui
@aliyidrisa1536 Жыл бұрын
Mohd Ana jina zuri lakini kichwa kibovu. Kiburi mno
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂bachu ni mpuuzi tu hamna kitu.
@mohammedmasudi-dz6hb
Жыл бұрын
NAWEWE NINANI
@issajuma910 Жыл бұрын
Hoja na hukmu nd vinavyojibu mbn mnajizonga .n sheikh muhammdi Ashamaliza n tumemuelewa kabisa
@abdullahsaid543411 ай бұрын
Umekaa kama uko chini ya influence ya kitu. kajitibu. na kitwa chako ndio , Debe Tupu.
@rushu1232 Жыл бұрын
Kula mmoja anailmu na manhaj yake na kwa ijtihadi ya wanazuoni na masheikh wake shida ya mawahabi nikujiona wao ndio wako sawa wengine hata kama waswali wafunga wafanya kila la kheir lakini kwa mawahabi ni mushrikina ni makafiri maadamu hukubaliani na mahaj yao.
@omaryissa2562
11 ай бұрын
Kuna baadhi ya ibada ndio zinaleta mfarakano Chungunza vizur kwa mfano tarawehe inavyo swaliwa na watu wa bidaa alafu angalia watu wa Sunnah Mtume (swala llah 'a'lay wassalam) Akiletwa zama hizi atafikiri qiama chaja kesho mana watu hadi swala wanafanya masikhara eti tarawehe inaswaliwa mwendo wa ring'ang'a Yani ukishikwa na haja tu ujue rakaa sita zimekupita Sasa ivi ndivyo inavyo swaliwa au Mtume(swala llah 'a'lay wassalam) kaswali ivyo
@omarally6819 Жыл бұрын
Siku zote masufi mtadhalilika kwa kuridhika na ujinga, uzushi, na ushirikina, kutukana wasomi na kuwatoa thamani mbele za watu kwa lugha za kihuni, kejeli, dharau, majivuno, kuzushia watu wema uongo..... Wasomi wakisimama kuongea ni wepesi kueleweka, lkn nyinyi mambumbumbu vichwa maji mtatumia mpaka viuno vyenu kuvitoa kwa watu ili muaminiwe na mukubalike lkn watu watawapuuza na kuwaacheni mkono. Kwa uvundo kama huu, porojo jingi kumalizia watu bando zao na hakuna chochote cha faida wanacho kipata
@hamzamohamedKeslivol Жыл бұрын
kama ingekuwa kitabu hicho kingekuwa hakifai asingeomba msamaha alipokirusha. akiaminisha watu ametubia. huyu mtoto bado ni mdogo na sisemi kama hana elimu ila nasema amekosa busara na hekima katika kufanikisha kazi zake. hizo za daawah. elekezaneni kwa hikma na nasaha zilizo njema
@bakariomari8758
Жыл бұрын
Nyinyi munadhani mambo yadini kama simba na yanga? Mcheni mungu hii dunia, tunapita. Rudini kwa sunnah
@Yusufuabdulrahmani-bt8hh11 ай бұрын
Dini ninasaha mbona unahoja za kukashifu ipokanuni Lau ungekua muelewa ungeachana na masihara ya kidini ukaangalia mambo mengine Kila linalo pelekea kwenye uharamu nalo niharamu maradhi mengi ushapima yafaa ukapime akili allah akuongoze katika hakki
@fakihassani3
10 ай бұрын
Amekashifu wapi ww au huelewi?
@fadhilahaji7929 Жыл бұрын
Toka ulipozungumza cjipata cho chote na ww mbona huonekani sura yko ebu jitokeze tukuone
@MuhammedFoum-kr5kc11 ай бұрын
Heee jaman 😭😭😭😭😭 AINAL MAFARU
@hashimshariff2743 Жыл бұрын
Assalamu aleikum kwani lazima mtu upinge kitu hata kama huna hiyo elimu.
@MWALIMUCHAKATV Жыл бұрын
She mngembeba yeye mmpeleke Yeye Tanga.
@athumankalua501 Жыл бұрын
She haji jazakaa ullahu haila umeelewekaas
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Kwan kaongea nin cha maana?
@zuwenasleiman3587 Жыл бұрын
Maoni yangu toa na part 1 ,part 2,part 3 naona kama muda hautoshi
@user-ql2om7qj3v Жыл бұрын
Wewe jibu hoja kama pia wataka jotokeze wacha kuziba sura. Sufi uliyepinda
@user-tz9rg7ej6n Жыл бұрын
Nakupongeza shekh Kwa kukiri kuwa hadithi alizotumia mwandishi WA barzanji katika kuelezea historia ya Mtume (saw) ni hadithi DHAIFU SISI hatuchukui hadithi dhaifu
@sawsasalmin1566
10 ай бұрын
Na hadithi nyingi wanazozitumia ahlu bid'aa ni dhaif
@MUBKAM-th3ln Жыл бұрын
Hivi nyie Masufi Mtu mmoja Anawatesa sana Why?😃😃😃 mpaka mfike mbinguni mtachoka sana Wallah..
@saidmadai2828
Жыл бұрын
Cy anachosha bali anakera namna yakukurupuka pasipo na elimu n hajui km hajui mama yk mjinga
@saidmadai2828
Жыл бұрын
Mana yk
@HaithamKarim-jk1hw
Жыл бұрын
Yaani mpaka wanashangaza mbona wanatapatapa
@giltaemi4017
Жыл бұрын
@@saidmadai2828 Ujue mjinga hua hajijui kama mjinga mpaka akutane na watu wenye elimu ndio ujinga wake utaonekana. Mtu mmoja kama ni mjinga kwanini hoja zake zisivunjwe bali Tamzania nzima mpaka kenya mnahangaika hamuwezi kujibu hoja zake sasa nani mjinga kati ya huyo mmoja ambae hamuwezi kumjibu kwa hoja bali mnalalamika tuuu nchi mbili zote hamna majibu.
@MustafaOyoo-qz7rp Жыл бұрын
Acha ushirikina.eti kama sio mtume kusingeumbwa arshi.lete hadithi kutoka kwa mtume
@hasheemcarrick3141 Жыл бұрын
Zako ni porojo2, mbona hujenda ww Tanga 😂😂
@swalehjamal4867 Жыл бұрын
Barzanji imejaa shirk
@muhammadkarama9996 Жыл бұрын
Eeeh hivi bado munashikilia baada ya kuambiwa hata ibara za kiarabu hamujui kusoma? 😂😂😂😂
@ahmedmattar466110 ай бұрын
Mara hii mawahabi wameaibika wamedhalilika wameonekana kua weupe wa ilmu vitabu wanasoma kama gazeti tu na hawafahamu kittu
@isihakaabdul113411 ай бұрын
Khe! Mbona matusi tena, mara mamwehu, madagaa, wapumbavu kadha wa kadhaa, sikia bwana pale mbele yake si nyie wote mrikaribishwa nyie !! Acheni matusi basii ni dini sio mpira huu.
@user-sx8xw6rz2r Жыл бұрын
Ungeenza kujibu hoja19 kwanza acha kuleta story nyingi
@batashqiraa9936 Жыл бұрын
Skh Haji upepo umetamka neno ushindi, kwani kwenye munaqasha wa Tanga kulikuwa na kuelimishana au kushindana?
@mohammedabdallah6379 Жыл бұрын
Asalm aleykum jamani sisi ni waumini kwann tuna lumbana kunawatu wanahitaji kulinganiwa nao wawewaumini, ikiwa wewe waona maulid nisawa soma na wewe ambae unaona maulid hayafai wacha lamsingi hakuna kutukanana nakemea huu ushabi wa kusema maulid yafa wengine wanasema hayafai, lamwisho sisi sote waumini tunamategeme ya kuingizwa peponi na allah kwanini tutete!!! 🙏
@masoud744 Жыл бұрын
Kama ni kweli ayo maneno kasemeni kwenye mjadala.. msitudanganye Sisi wa mitabdaoni
@eddieeddie2755 Жыл бұрын
Huna lolote , porojo nyiiingi, kama muimba taarabu, huja jibu hoja hata moja.
@salimabdallah51769 ай бұрын
TOA USHAHIDI WAPI MTUME KALA UROJO...
@makamesaid8432 Жыл бұрын
Haji elewi ata kidog
@Abusalim308 Жыл бұрын
Yani nyinyi sasahv tunawaona wapuuzi tu hata muminyane vip kama mulikua mahodari wa kuongea mungejibu pale pale mbele ya hadhira ya watu. Kwa sasa hivi tuwachukulia ni watu munaotafuta umaarufu tu lkn hamuna kwahiyo kakojoeni mukalale
@user-mx1gu6bq7c11 ай бұрын
Huyu mshika bendera ya mazuri ya maulidin
@saidiomar6642 Жыл бұрын
Daah sheikh kiukweli umenifumbua macho mm nilkua namshangilia mood bachu
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Kwan kaongea kipi cha maana😂😂😂😂
@user-ik6sf8lh9m Жыл бұрын
Da! Sasa nauliza Yale maneno ya barazannje kayatoa wap?
@user-gm2cy9ul7q11 ай бұрын
Nyinyi mbuz ndio nyinyi munaofunga mwezi wa kutangaziwa na kutumiwa ktk you tube
@AminaDodios-ml2lv Жыл бұрын
Mbona matusi mengi bro! asokubali kushindwa siyo mshindani.
@abumaryam690911 ай бұрын
Dini ya makarama, nimeoteshwa, nimejulishwa, nimepewa uchamungu mwisho nimeokoka mpaka lini masufi hayo ndio makimbilio yenu? Mwanzo mlisema majahazi sasa hivi makarama heh?
@himnakhatib1050 Жыл бұрын
Ah nyie bwana mashekh vijana nyote mmekosa hikma nyote sio mashekhe mmesomea kuvuruga dini.mbona izo khilafa xilikuwepo Zaman na hakukua na mambo km hayo .ukiwa na elimu ikiwa huna hekima basi laxima uende rong sight.
@ahmedmattar466110 ай бұрын
Huyu bachuro huwa anaeka watu maalum kazi yao ni ku comment tu ili kùmsifia yeye tu
Пікірлер: 341
19-0 , Alhamdulillah kwa kutoka ktk upumbavu huu wa maulidi.
@haridyhillaryndembo1946
11 ай бұрын
Wee Taahira
@eddieeddie2755
11 ай бұрын
@@haridyhillaryndembo1946 utaahira wangu nini Shekhe ?
@alybinmana6197
11 ай бұрын
@@haridyhillaryndembo1946mbna hizo hoja 19 hazijibiw
@KassimMwavyema
11 ай бұрын
@@eddieeddie2755 kwaio ina maana kuswaliwa mtume ni upumbavu....daahh!! Kweli kusoma ni muhimu na ndio maana mtume wetu alituhimiza na ni lazima kusoma maana inaonekana wewe taahira kweli
@KassimMwavyema
11 ай бұрын
@@eddieeddie2755 kwaio ina maana kuswaliwa mtume ni upumbavu....daahh!! Kweli kusoma ni muhimu na ndio maana mtume wetu alituhimiza na ni lazima kusoma maana inaonekana wewe taahira kweli
Shekh Muhammad kithirisha kumuomba Allaah kwasababu maadui wako ni wengi
@KassimMwavyema
11 ай бұрын
Awe na maadui kwa lipi aswa mwendazimu wenu uyo...ufahamu wake ni mdogo ata afadhali mtoto wa raudhwa alif
Asante shekh endelea kuelimisha inshallah watafahamu
kaka zikate hoja kama unaweza sio unatoa mapovu tu😂😂😂😂
@hanzwala9704
Жыл бұрын
Kwani zile ni hoja ....na mbna Sh Haji kaziweka sawa
@is-hakayussuf9981
Жыл бұрын
@@hanzwala9704 kasikilize uzuri usije ukachekwa
Shukran San shekh Hao wanajua. Kuongeyat 😊😊
Mashaallah shekhe mung akuhifadhi
Diwani Kwa huyu mtu wamatusi uliye mkodi" umeshinda "Ila kwa hoja umeshindwa"
Hongera SHEKH haji upepp na Chanel yetu pia tuwape pongezi wasimamizi wake
شكرا وجزاكم الله خيرا يا شيخ ❤
Asanta Sanaa sheikh hajj wameelewa tuu ila watabishana na wanahitajika Kenya Kwa kuelimishwa zaidiii sio kuropokwa ovyo na elimu zao za kukufurisha
@w4058
Жыл бұрын
Na mie nakuunga mkono khalifa
Ahsante sheikh HAJI UPEPO waache waropokwe hao kwenye comment was ndo wanateseka na kueka porojo kwa kusikia ukweli km hawateseki hasaa wangenyamaza
Shukran sana al akh hajj upepo tumekuelewa vzur sana
Mbona hukwenda tanga acha choko choko kijana huna lolote twakujua very well
@NemaJuma
Жыл бұрын
Leo imewaingia🤣😂
Mashaallah umeleweka sheikh
😂😂😂😂😂 khekhe watokwa napovu kuna maswali mentioned mbona huyajibu kama wewe una elimu?
@user-mp5cr5hu1l
11 ай бұрын
Assalaamu a'laykum!Ndugu zetu Answaaru Sunnah wanaelimu, lakini wasisahau ALLAAHU anasema "Penye mjuzi panamjuzi zaidi"
Wewe shehe ww hebu muogope mungu! Hebu acha unafkiri.. heyi hukupata muda kwenye munakasha ika baada ya, then unapata muda unajiongelesha mwenyewe mtandaoni, hebu muogope mungu na uache unafki kidogo basi
Watu wa twariqa kulikuwa na meza yoyote amsaidie
HIZI ni sifa za Wanawake kabisaaa tuache unafki hawa vibwengo bila kuwakamata na kuwatia bakora mpaka akili zikawakaa sawa watajiona mashekhe kweli. Na hawa wafasi wanaocomment uzwazwa inavidi kuanza kuwindwa mmoja baada ya mwingine. Kumbe ndiomaana uisilamu unachezewa sana kwasababu ya vibwengo kama hawa. Akili hata za kuazima hawana!?.
@pablooo4197
Жыл бұрын
😂😂😂
@nasirdinmohammed8741
Жыл бұрын
Jazba zako peleka kwa watot wako huku kweny dini tunatak hoja cyo sungu sungu
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@nasirdinmohammed8741 unaongea na nani?... Wewe una akili timamu kweli!?. Walimu kama hawa ndio wanao sababisha hao makafiri wenyewe wauchukie uisilamu.
@omaryissa2562
11 ай бұрын
Mi mwenyewe naumia sana
@AlhajiIssa-jb9hr
9 ай бұрын
Hapa ni elimu tu sio kelele kijana .
Masufi wamekabwa roho mara hii wanatapa tapa tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Sana hawaamini uvundo wao umetolewa nje
Kwani huyu Haji Upepo na Hajji manara mtu na somo yke???
@hanzwala9704
Жыл бұрын
Kigogo cha mawahabi hcho
Haya yote sio kweli, ni majaazi hapo kuna majazi 😂😂😂😂
Shukran wajazaka allahu kheir Habib
Unaunga unaunga Aya?! Duh. Swala la Malaika kumsabihi Allah muda wote ni sahihi, lakini je ni wapi ushahidi kwamba wakati Mtume anazaliwa, Malaika walishuka wakawa wanamsabihi Allah?! Alafu unauliza inawezekana mwanachuoni mwema akatoa habari jambo ambalo halijashuhudiwa na Allah?! Mbona katika dini kuna kitu kinaitwa "kujutahid". Wapo wanazuoni wamekosea kwa kusema mambo ambayo sio sahihi na hao tunawaxhukulia kuwa walijitahid.
@rushu1232
Жыл бұрын
Katika huo muda wote waqati Mtume akizaliwa haupo.
@bongotvonline4883
Жыл бұрын
Na tukiruhusu watu waongeze mambo katika kuzaliwa Mtume, Kuna mtu atabadilisha hata eneo alilozaliwa Mtume, atasema amezaliwa Marekani. 😆😆😆
@rogertuga007
Жыл бұрын
@@bongotvonline4883😅😂😅😂😂😅😂😅😂
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@bongotvonline4883 kweli kabisaaaa
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@bongotvonline4883 nawatasema alikuwa akiishi kizungu
ngoja twarika wakutambulishe kwanza ndo tukujibu😄 tusije tukaambiwa hujulikani
Shukran habiib
جزاك الله كل خير
Ustath huyo muhammad anakibri muacheni halafu kwanini hataki kusoma tasaufi Sheria kamajahazi twarka kamabahari sadaka rasuli anataka kusifiwa
Ujumbe umefika shekhe shukran
Sijaona watu wanateseka kama Masufiii, mnangangania ubatili na uzushi ambao hauko kwenye dini. Uzushi, uzushi na kufru kubwa sana ya kumzulia mtume mambo ambayo hakufanya wala hakuanzisha na wala maswahaba. Muna shupaaa kama mshipa wa shingo.
@NemaJuma
Жыл бұрын
Hivi nikweli ibn taymia amesema lau si mtume wetu Muhammad s.a.w,usingeumbwa ulimwengu,naomba jibu ndugu yangu
@seifabdi9248
Жыл бұрын
@@NemaJuma Hivyo ni uzushi ibni Tayimiyya kulingana na yeye anasema sherehe ni mbili katika dini ya kiislamu, Eid ul adhah na Eid ul Fitr na yeye alijikita kwa Qur'an tukufu na Sunnah kwa kuwa hakuna kitu kama Eid miladu Nabbi. 🔨 Kwahiyo kufanya Jambo la maulidi ni kumtangulia Mtume ktk kufaham dini ya Allah na ni moja ya kumtuhumu Kama alifanya khiyana ktk kufikisha ujumbe kwa kuficha baadh ya mambo hakuyasema Kama maulid jambo ambalo madhara yake ni makubwa zaid kuliko maasi⬇️ 📘قال الشيخ صالح بن عبد العزيز آل الشيخ ـ حفظه الله ـ في شرحه لكتاب فضل الإسـلام للإمام محمد بن عبد الوهاب: *فجنس البدعة أشنع، وأغلظ من الكبائر ...لأنها معارضة للرسول صلى الله عليه وسلم، واستدراك عليه، وشرع دين لم يأذن به، وتعبد بأشياء لم تكن عليها سنته من جهة الاعتقاد، والشبهة، وهذه أعظم من حيث الجنس من ذنوب الشهوات المختلفة.*🔹 🎙️Amesema shekh swaaleh bin abdul' azi'z a'ali shekh Allah amhifadhi, katika sharhe ya kitabu fadhwlul is'laam⬇️ 🔊 Ama jinsi ya bida,a {Kama maulidi na mfano wake} yenye kuenea zaid na kubwa zaid kuliko madhamb makubwa- kwani hakika Jambo la bida,a ni kwenda kinyume na Mtume {swalla llahu alayhi wasallam} na kumtangulia {katika ufaham} na kuweka na sharia ktk dini Jambo ambalo haja idhnisha, na kuabudu Mambo ambayo si ktk sunna Ktk njia ya itikadi, na shubha, na Jambo hili ni kubwa zaid kuliko namna ya madhamb ya matamanio ambayo yametofautiana⚠️ 👌FAIDA kufanya ibada ambayao haina dalili UZUSHI (BIDA'A) madhamb yake ni makubwa zaid kuliko maasi kwa sababu zijazo: 1️⃣ kumtangulia Allah na mtume wake ktk ibada ambazo hawakuwekea Sharia 2️⃣ kumtuhumu Mtume ya kwamba Kuna mambo aliyafikisha na Kuna mengine aliyaficha 3️⃣ kuwatangulia Maswahaba wa Mtume na walio wafatia, Ktk kufaham nusuus za kisharia, Katika mambo ambayo wao hawakufaham hivo kutoka kwenye kitabu na sunna🎤 *AMA YULE ANEFANYA MAASI ANA NAFUU MAANA WAKAT ANAFANYA ANAJUA HILI NI DHAMB NA INAKUA WEPES KURUDI KWA ALLAH KWA KUMTAKA MSAHAMA TOFAUT NA ANAE FANYA BIDA,A HAJUI KAMA ANAFANYA KOSA NA INAKUA VIGUMU KUOMBA MSAMAHA KWA ALLAH. 🎙️Ndo maana imam suf'yaan athaury akasema: Bida,a inapendeza zaid kwa ibliis kuliko maasi maana maas anatubu mfanyaji wake ila bida,a hatubu mfanyaji wake {kwa kuitikadi kua ni ibada} !!!
@seifabdi9248
Жыл бұрын
Ukisoma katika Qur'an tukufu Allah anasema katika Surat BaQara kuwa anampeleka binadamu dunia I kuwa khalif na Qur'an pia inasema Allah hakuumba wanadamu na majini ila wamuabudu!
Na anayeuelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu na hali yeye ni mtenda wema, basi huyo ameshika kishiko cha kutegemewa. Na marejeo ya mambo yote ni kwa Mwenyezi Mungu. (Qurani 31:22) Imepokewa kutoka kwa Abdur-Rahman bin ‘Abdullah bin Mas’ud kutoka kwa baba yake (رضي الله عنه) akisema kwamba alimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: *“Hakika nyinyi mtasaidiwa, mtatekwa na mtashinda, basi atakayeona miongoni mwenu. kwamba, basi awe na taqwa ya Mwenyezi Mungu, na aamrishe mema na akataze maovu, na anayenizushia uwongo kwa makusudi, basi na akae Motoni.”* Sahih (Darsalam) Jami` at-Tirmidhiy 2257 Kitabu cha 33, Hadiyth 100.
Tatizo jazba zimewajaa hao mawahab kuanzia viongoz wao had hao wanaofata mkumbo maan wengne wanafata tu mkumbo
Mzungumzaji hana khekma huwezi kuwaita waislam wenzako mijinga, mipumbavu nk. Mbn maimamu wanne wakati wanatofautiana kweny hukmu mbalimbali hawakutoleana maneno achafu na kuitana majina mabaya. Mashekhe wa siku hizi mtihani sana, mcheni Allah.
Dakika 10 baado hajajibu hata hoja moja 😂😂😂 story tuuuuuuu
Maa shaa ALLAH. Shukran kwa faida. Mawahabi wana chuki na maradhi ndani ya nyoyo zao
@mohd39789
Жыл бұрын
Sasa huyu mpumbavu upepo ameijibu nini? Kama yeye anaweza si aombe mjadala
@hanzwala9704
Жыл бұрын
@@mohd39789 Kwa hyo hayo alosema cio majibu Bachu hamuwezi huyu mana anamuogopa mpk hivi leo hakuna clip ata moja alowez kumjibu Sh Haji Upepo....na ajaribu kuomba munaaqasha aone
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ
@ayah844
Жыл бұрын
Huyu siprofesa usimfuate hana ilmu hata kidogo, ukweli tutakuja kuona mbele ya allah,ndio Maria tuliletwa duniani tukasome na uifanyie kazi ilmu au tumeletwa kupija matswari na kucheza ,hapo sasa ndio tutajua kilicho tuleta dunia nikipi
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Kwa kipi😅😅
@misbahukhalifa3216
Жыл бұрын
@@saidsheha1336 mm nimemtaja Mungu sikukutaja wewe. Mungu ndie ajuwae kwa kipi inshaAllah
Niliwahi kuwa katika maulidi na nilikuwa katika ujahilia wa kupindukia, sasa nahisi nimekuwa miongoni mwa wenye kupinga bidaa, acheni uozo huo wa maulidi, nawaambieni Kwa ajili ya Allah, ingekuwa amri yangu ningewatia bakora mpaka muelewe
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Maashaallah
@omaryissa2562
11 ай бұрын
Wewe kama mimi yani naumia Ningewatia bakora nying sana
@user-fb7om2ol2s
10 ай бұрын
Kwenda huko wewe wewe wafanya nini TikTok shekhe ulobakiYA
@user-fb7om2ol2s
10 ай бұрын
UtAJIPANGA NA CHUKI ,mANGAOPI UNAYOYAFanya ama 😅😅😅una CHUKI zako wewe
Sheikh Hajji,umeeleweka vizuri sn.
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
Mwanmme mmzima eti shekh haji umeeleweka kwa ujinga na upuuzi aloongea
@hanzwala9704
Жыл бұрын
@@pavillioncry5241 Hebu niambie ni upuuzi gani aliongea ucwe mshabiki
Asalaam alaykum, skh Haji Upepo utafanya la maana ukaingia ktk munaqasha usiishie kwenye mitandao tu
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Hasubutu 😂😂😂😂😂😂
Huna hoja, huna hekma naona tu kanakwamba ni mtu mwenye kukurupuka, hv unajua kwamba waliumbwa kwanza majini kabla ya mwanadam, sasa Hy hoja kwann wasiseme majini kuwa viliumbwa Kwa ajili Yao? Andaa munaqasha ukarekebishe hayo, sisi tutamsafirisha bachu mkutane. ACHA kupinga ukweli muogope Allah, mpenda ubwabwa, ACHA kutukana kijana wetu. Allah akuhifadhi.
Wee unacho kijuwa nimatusi tu huna jengine lolote endelea kutukana watu lkn ukija ukigeukiwa wewe ukaanza kutukana uje vumilila .
@NemaJuma
Жыл бұрын
Leo mmepatikana
Upo sawa wanakataa umenukuu vitabu vyao,nuku ambazo wao wanazikataa katika vitabu vyengine, umetoa aya na ufafanuzi wa aya na hadithi
Mimi kilingana na fatwa hii, nime elewa Mohamad Bachu ana shida na Mtume akipewa sifa nzuri. Kwahio hana shida na barsanje.
@rogertuga007
Жыл бұрын
Shida yake asipewe sifa za uongo ambazo hazipo.
allah ameshawadhalilisha tayar achen kutapatapa
Kama ni hivyo Mtoeni makosa huyo shekhe wenu ibn taymia kwa yale aliyoyaongea sio mutukashifu sisi. Hata mtu mjinga hutambua kitu je nyie ambayo mumetolewa dalili kwa vitabu vyenu bado mwapinga
Bro zako ni porojo hujui unenalo masufi sasa wenda mbio kusoma kujitetea Haki itabakia kuwa haki akhui
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Yeye hajuw ila icho alichokiongea ni kweli au Cha uwongo
Kutupotezea muda tu. Jisaa lizima basi watusikilizisha pumba tu hamna hoja hata moja ya kielimu unatoa.
Mm najiuliza mmbona wakt waniqash hawa wanaotetea barazanji hawakujitokeza ila baada niqash wamezuka wengi kutetea
Wewe Huna ilmu ni kuperupuka na ujuaji mwingi wakutaka kick . Huna ilmu kalale. Wewe ni fatani tunakujua kila siku.
Shukran kabisa ,,,,tangu niachane na uwahabi akili yangu inakuwa Huru sana kwa kutambuwa mambo,, huko tulikuwa tunashikiliwa akili,,,, Alhamdulillahi sheikh tumekuelewa kabisa
@haridyhillaryndembo1946
11 ай бұрын
MashaAllah Hao Jamaa ni wazee wa jazba tu HAWANA Elimu
Nilidhani huyu bwana anazijibu zile hoja 19 za bachu, kumbe ameleta hekaya na kuwafurahisha mabwana zake wa kishia, daaah
*Na huyu pia kafeli tena dah😂😂😂*
@hanzwala9704
Жыл бұрын
Kasome broo
Wewe diwan kagombeee udiwaniii tuu, Daa'wa waachie wengine, porojo tuu
Waambie masheikh zako watoe video wakijbu zile hoja zilojengwa na bachu Acha kupija kelele mtandaoni Kama hamorapa
Umemsikia sheikh Sharifu wa Mombosa kuhusu huyoe Majzi Lkubur unayemwita sheikh
Bachu ajijuwi na wanao mfwata ni wakosefu wa ilimu awana hikma wala busara hishima wamekosa wala ukiwailimisha awataki kwa kujifanya wanajuwa na awajuwi kusema sejuwi si ujiga ujiga ni kujifanya wajuwa na ujuwi
Mbona huko kwenye ubwabwa mnatwambia wanyama waliongea kiarabu huku mnatwambia majazi kama sio uongo nini.
Wewe kibwengo siku zote haujasema kuhusu uovu wa hao watu unakuja kusema leo baada ya wao kusema kuhusu barazanji!?. Inamaana mnaweza kufumbia macho maovu yenye madhara katika dini mpaka mchokonolewe ndipo kuanze kupayuka!?. Mlikuwa wapi siku zote hamjasema uovu wao mpaka leo mje kuusema baada ya kutajwa uongo wa Barazanji!?. Anzeni kwanza kujibu hoja kisha mzungumze yakwao.
Ivo kuna sehemu bachu alisema hakuna majazi kweli yeye alikataa baaz ya manene kuw hayajakusudiwa majaziii😅
Huyu mo bachu hana hamu tena na mombasa ukimwambia twende mombasa haendi anaogopa kukutana na sk saidi
Mcheni Allah hii dunia ni mapito tu acheni ushabiki. Ole wenu msije kuja mkawa kama wale walosema inna ataana saadatana wakubraana faadhalluna sabila
Hata huyu katoto bachuru anajiona yeye ni kama mtume kila kitu anajua yeye yeye hakosei ila mashehe wote hawajui
Mohd Ana jina zuri lakini kichwa kibovu. Kiburi mno
😂😂😂😂😂😂bachu ni mpuuzi tu hamna kitu.
@mohammedmasudi-dz6hb
Жыл бұрын
NAWEWE NINANI
Hoja na hukmu nd vinavyojibu mbn mnajizonga .n sheikh muhammdi Ashamaliza n tumemuelewa kabisa
Umekaa kama uko chini ya influence ya kitu. kajitibu. na kitwa chako ndio , Debe Tupu.
Kula mmoja anailmu na manhaj yake na kwa ijtihadi ya wanazuoni na masheikh wake shida ya mawahabi nikujiona wao ndio wako sawa wengine hata kama waswali wafunga wafanya kila la kheir lakini kwa mawahabi ni mushrikina ni makafiri maadamu hukubaliani na mahaj yao.
@omaryissa2562
11 ай бұрын
Kuna baadhi ya ibada ndio zinaleta mfarakano Chungunza vizur kwa mfano tarawehe inavyo swaliwa na watu wa bidaa alafu angalia watu wa Sunnah Mtume (swala llah 'a'lay wassalam) Akiletwa zama hizi atafikiri qiama chaja kesho mana watu hadi swala wanafanya masikhara eti tarawehe inaswaliwa mwendo wa ring'ang'a Yani ukishikwa na haja tu ujue rakaa sita zimekupita Sasa ivi ndivyo inavyo swaliwa au Mtume(swala llah 'a'lay wassalam) kaswali ivyo
Siku zote masufi mtadhalilika kwa kuridhika na ujinga, uzushi, na ushirikina, kutukana wasomi na kuwatoa thamani mbele za watu kwa lugha za kihuni, kejeli, dharau, majivuno, kuzushia watu wema uongo..... Wasomi wakisimama kuongea ni wepesi kueleweka, lkn nyinyi mambumbumbu vichwa maji mtatumia mpaka viuno vyenu kuvitoa kwa watu ili muaminiwe na mukubalike lkn watu watawapuuza na kuwaacheni mkono. Kwa uvundo kama huu, porojo jingi kumalizia watu bando zao na hakuna chochote cha faida wanacho kipata
kama ingekuwa kitabu hicho kingekuwa hakifai asingeomba msamaha alipokirusha. akiaminisha watu ametubia. huyu mtoto bado ni mdogo na sisemi kama hana elimu ila nasema amekosa busara na hekima katika kufanikisha kazi zake. hizo za daawah. elekezaneni kwa hikma na nasaha zilizo njema
@bakariomari8758
Жыл бұрын
Nyinyi munadhani mambo yadini kama simba na yanga? Mcheni mungu hii dunia, tunapita. Rudini kwa sunnah
Dini ninasaha mbona unahoja za kukashifu ipokanuni Lau ungekua muelewa ungeachana na masihara ya kidini ukaangalia mambo mengine Kila linalo pelekea kwenye uharamu nalo niharamu maradhi mengi ushapima yafaa ukapime akili allah akuongoze katika hakki
@fakihassani3
10 ай бұрын
Amekashifu wapi ww au huelewi?
Toka ulipozungumza cjipata cho chote na ww mbona huonekani sura yko ebu jitokeze tukuone
Heee jaman 😭😭😭😭😭 AINAL MAFARU
Assalamu aleikum kwani lazima mtu upinge kitu hata kama huna hiyo elimu.
She mngembeba yeye mmpeleke Yeye Tanga.
She haji jazakaa ullahu haila umeelewekaas
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Kwan kaongea nin cha maana?
Maoni yangu toa na part 1 ,part 2,part 3 naona kama muda hautoshi
Wewe jibu hoja kama pia wataka jotokeze wacha kuziba sura. Sufi uliyepinda
Nakupongeza shekh Kwa kukiri kuwa hadithi alizotumia mwandishi WA barzanji katika kuelezea historia ya Mtume (saw) ni hadithi DHAIFU SISI hatuchukui hadithi dhaifu
@sawsasalmin1566
10 ай бұрын
Na hadithi nyingi wanazozitumia ahlu bid'aa ni dhaif
Hivi nyie Masufi Mtu mmoja Anawatesa sana Why?😃😃😃 mpaka mfike mbinguni mtachoka sana Wallah..
@saidmadai2828
Жыл бұрын
Cy anachosha bali anakera namna yakukurupuka pasipo na elimu n hajui km hajui mama yk mjinga
@saidmadai2828
Жыл бұрын
Mana yk
@HaithamKarim-jk1hw
Жыл бұрын
Yaani mpaka wanashangaza mbona wanatapatapa
@giltaemi4017
Жыл бұрын
@@saidmadai2828 Ujue mjinga hua hajijui kama mjinga mpaka akutane na watu wenye elimu ndio ujinga wake utaonekana. Mtu mmoja kama ni mjinga kwanini hoja zake zisivunjwe bali Tamzania nzima mpaka kenya mnahangaika hamuwezi kujibu hoja zake sasa nani mjinga kati ya huyo mmoja ambae hamuwezi kumjibu kwa hoja bali mnalalamika tuuu nchi mbili zote hamna majibu.
Acha ushirikina.eti kama sio mtume kusingeumbwa arshi.lete hadithi kutoka kwa mtume
Zako ni porojo2, mbona hujenda ww Tanga 😂😂
Barzanji imejaa shirk
Eeeh hivi bado munashikilia baada ya kuambiwa hata ibara za kiarabu hamujui kusoma? 😂😂😂😂
Mara hii mawahabi wameaibika wamedhalilika wameonekana kua weupe wa ilmu vitabu wanasoma kama gazeti tu na hawafahamu kittu
Khe! Mbona matusi tena, mara mamwehu, madagaa, wapumbavu kadha wa kadhaa, sikia bwana pale mbele yake si nyie wote mrikaribishwa nyie !! Acheni matusi basii ni dini sio mpira huu.
Ungeenza kujibu hoja19 kwanza acha kuleta story nyingi
Skh Haji upepo umetamka neno ushindi, kwani kwenye munaqasha wa Tanga kulikuwa na kuelimishana au kushindana?
Asalm aleykum jamani sisi ni waumini kwann tuna lumbana kunawatu wanahitaji kulinganiwa nao wawewaumini, ikiwa wewe waona maulid nisawa soma na wewe ambae unaona maulid hayafai wacha lamsingi hakuna kutukanana nakemea huu ushabi wa kusema maulid yafa wengine wanasema hayafai, lamwisho sisi sote waumini tunamategeme ya kuingizwa peponi na allah kwanini tutete!!! 🙏
Kama ni kweli ayo maneno kasemeni kwenye mjadala.. msitudanganye Sisi wa mitabdaoni
Huna lolote , porojo nyiiingi, kama muimba taarabu, huja jibu hoja hata moja.
TOA USHAHIDI WAPI MTUME KALA UROJO...
Haji elewi ata kidog
Yani nyinyi sasahv tunawaona wapuuzi tu hata muminyane vip kama mulikua mahodari wa kuongea mungejibu pale pale mbele ya hadhira ya watu. Kwa sasa hivi tuwachukulia ni watu munaotafuta umaarufu tu lkn hamuna kwahiyo kakojoeni mukalale
Huyu mshika bendera ya mazuri ya maulidin
Daah sheikh kiukweli umenifumbua macho mm nilkua namshangilia mood bachu
@saidsheha1336
Жыл бұрын
Kwan kaongea kipi cha maana😂😂😂😂
Da! Sasa nauliza Yale maneno ya barazannje kayatoa wap?
Nyinyi mbuz ndio nyinyi munaofunga mwezi wa kutangaziwa na kutumiwa ktk you tube
Mbona matusi mengi bro! asokubali kushindwa siyo mshindani.
Dini ya makarama, nimeoteshwa, nimejulishwa, nimepewa uchamungu mwisho nimeokoka mpaka lini masufi hayo ndio makimbilio yenu? Mwanzo mlisema majahazi sasa hivi makarama heh?
Ah nyie bwana mashekh vijana nyote mmekosa hikma nyote sio mashekhe mmesomea kuvuruga dini.mbona izo khilafa xilikuwepo Zaman na hakukua na mambo km hayo .ukiwa na elimu ikiwa huna hekima basi laxima uende rong sight.
Huyu bachuro huwa anaeka watu maalum kazi yao ni ku comment tu ili kùmsifia yeye tu