MTOTO WA BACHU APELEKWA SHULE KILAINI //HAKUNA UONGO KTK BARAZANJI

Пікірлер: 341

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Жыл бұрын

    19-0 , Alhamdulillah kwa kutoka ktk upumbavu huu wa maulidi.

  • @haridyhillaryndembo1946

    @haridyhillaryndembo1946

    11 ай бұрын

    Wee Taahira

  • @eddieeddie2755

    @eddieeddie2755

    11 ай бұрын

    @@haridyhillaryndembo1946 utaahira wangu nini Shekhe ?

  • @alybinmana6197

    @alybinmana6197

    11 ай бұрын

    ​@@haridyhillaryndembo1946mbna hizo hoja 19 hazijibiw

  • @KassimMwavyema

    @KassimMwavyema

    11 ай бұрын

    @@eddieeddie2755 kwaio ina maana kuswaliwa mtume ni upumbavu....daahh!! Kweli kusoma ni muhimu na ndio maana mtume wetu alituhimiza na ni lazima kusoma maana inaonekana wewe taahira kweli

  • @KassimMwavyema

    @KassimMwavyema

    11 ай бұрын

    @@eddieeddie2755 kwaio ina maana kuswaliwa mtume ni upumbavu....daahh!! Kweli kusoma ni muhimu na ndio maana mtume wetu alituhimiza na ni lazima kusoma maana inaonekana wewe taahira kweli

  • @user-hw5zu2vc3m
    @user-hw5zu2vc3m Жыл бұрын

    Shekh Muhammad kithirisha kumuomba Allaah kwasababu maadui wako ni wengi

  • @KassimMwavyema

    @KassimMwavyema

    11 ай бұрын

    Awe na maadui kwa lipi aswa mwendazimu wenu uyo...ufahamu wake ni mdogo ata afadhali mtoto wa raudhwa alif

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Жыл бұрын

    Asante shekh endelea kuelimisha inshallah watafahamu

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 Жыл бұрын

    kaka zikate hoja kama unaweza sio unatoa mapovu tu😂😂😂😂

  • @hanzwala9704

    @hanzwala9704

    Жыл бұрын

    Kwani zile ni hoja ....na mbna Sh Haji kaziweka sawa

  • @is-hakayussuf9981

    @is-hakayussuf9981

    Жыл бұрын

    @@hanzwala9704 kasikilize uzuri usije ukachekwa

  • @sadamuhamis4468
    @sadamuhamis4468 Жыл бұрын

    Shukran San shekh Hao wanajua. Kuongeyat 😊😊

  • @hussensaidy2163
    @hussensaidy2163 Жыл бұрын

    Mashaallah shekhe mung akuhifadhi

  • @yahayajuma1401
    @yahayajuma1401 Жыл бұрын

    Diwani Kwa huyu mtu wamatusi uliye mkodi" umeshinda "Ila kwa hoja umeshindwa"

  • @abubakarramadhan1716
    @abubakarramadhan1716 Жыл бұрын

    Hongera SHEKH haji upepp na Chanel yetu pia tuwape pongezi wasimamizi wake

  • @user-qg3tn9yh4c
    @user-qg3tn9yh4c11 ай бұрын

    شكرا وجزاكم الله خيرا يا شيخ ❤

  • @khalifaahmed5232
    @khalifaahmed5232 Жыл бұрын

    Asanta Sanaa sheikh hajj wameelewa tuu ila watabishana na wanahitajika Kenya Kwa kuelimishwa zaidiii sio kuropokwa ovyo na elimu zao za kukufurisha

  • @w4058

    @w4058

    Жыл бұрын

    Na mie nakuunga mkono khalifa

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 Жыл бұрын

    Ahsante sheikh HAJI UPEPO waache waropokwe hao kwenye comment was ndo wanateseka na kueka porojo kwa kusikia ukweli km hawateseki hasaa wangenyamaza

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Жыл бұрын

    Shukran sana al akh hajj upepo tumekuelewa vzur sana

  • @user-dw2bz1ne7q
    @user-dw2bz1ne7q Жыл бұрын

    Mbona hukwenda tanga acha choko choko kijana huna lolote twakujua very well

  • @NemaJuma

    @NemaJuma

    Жыл бұрын

    Leo imewaingia🤣😂

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed480811 ай бұрын

    Mashaallah umeleweka sheikh

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 khekhe watokwa napovu kuna maswali mentioned mbona huyajibu kama wewe una elimu?

  • @user-mp5cr5hu1l

    @user-mp5cr5hu1l

    11 ай бұрын

    Assalaamu a'laykum!Ndugu zetu Answaaru Sunnah wanaelimu, lakini wasisahau ALLAAHU anasema "Penye mjuzi panamjuzi zaidi"

  • @msafiridiary
    @msafiridiary11 ай бұрын

    Wewe shehe ww hebu muogope mungu! Hebu acha unafkiri.. heyi hukupata muda kwenye munakasha ika baada ya, then unapata muda unajiongelesha mwenyewe mtandaoni, hebu muogope mungu na uache unafki kidogo basi

  • @salemshaban2413
    @salemshaban2413 Жыл бұрын

    Watu wa twariqa kulikuwa na meza yoyote amsaidie

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын

    HIZI ni sifa za Wanawake kabisaaa tuache unafki hawa vibwengo bila kuwakamata na kuwatia bakora mpaka akili zikawakaa sawa watajiona mashekhe kweli. Na hawa wafasi wanaocomment uzwazwa inavidi kuanza kuwindwa mmoja baada ya mwingine. Kumbe ndiomaana uisilamu unachezewa sana kwasababu ya vibwengo kama hawa. Akili hata za kuazima hawana!?.

  • @pablooo4197

    @pablooo4197

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @nasirdinmohammed8741

    @nasirdinmohammed8741

    Жыл бұрын

    Jazba zako peleka kwa watot wako huku kweny dini tunatak hoja cyo sungu sungu

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@nasirdinmohammed8741 unaongea na nani?... Wewe una akili timamu kweli!?. Walimu kama hawa ndio wanao sababisha hao makafiri wenyewe wauchukie uisilamu.

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    11 ай бұрын

    Mi mwenyewe naumia sana

  • @AlhajiIssa-jb9hr

    @AlhajiIssa-jb9hr

    9 ай бұрын

    Hapa ni elimu tu sio kelele kijana .

  • @saidsheha1336
    @saidsheha1336 Жыл бұрын

    Masufi wamekabwa roho mara hii wanatapa tapa tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Sana hawaamini uvundo wao umetolewa nje

  • @Ibnimohd-tr6qc
    @Ibnimohd-tr6qc Жыл бұрын

    Kwani huyu Haji Upepo na Hajji manara mtu na somo yke???

  • @hanzwala9704

    @hanzwala9704

    Жыл бұрын

    Kigogo cha mawahabi hcho

  • @abasmaalim5423
    @abasmaalim5423 Жыл бұрын

    Haya yote sio kweli, ni majaazi hapo kuna majazi 😂😂😂😂

  • @Abdulrahman.84
    @Abdulrahman.84 Жыл бұрын

    Shukran wajazaka allahu kheir Habib

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 Жыл бұрын

    Unaunga unaunga Aya?! Duh. Swala la Malaika kumsabihi Allah muda wote ni sahihi, lakini je ni wapi ushahidi kwamba wakati Mtume anazaliwa, Malaika walishuka wakawa wanamsabihi Allah?! Alafu unauliza inawezekana mwanachuoni mwema akatoa habari jambo ambalo halijashuhudiwa na Allah?! Mbona katika dini kuna kitu kinaitwa "kujutahid". Wapo wanazuoni wamekosea kwa kusema mambo ambayo sio sahihi na hao tunawaxhukulia kuwa walijitahid.

  • @rushu1232

    @rushu1232

    Жыл бұрын

    Katika huo muda wote waqati Mtume akizaliwa haupo.

  • @bongotvonline4883

    @bongotvonline4883

    Жыл бұрын

    Na tukiruhusu watu waongeze mambo katika kuzaliwa Mtume, Kuna mtu atabadilisha hata eneo alilozaliwa Mtume, atasema amezaliwa Marekani. 😆😆😆

  • @rogertuga007

    @rogertuga007

    Жыл бұрын

    ​@@bongotvonline4883😅😂😅😂😂😅😂😅😂

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@bongotvonline4883 kweli kabisaaaa

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@bongotvonline4883 nawatasema alikuwa akiishi kizungu

  • @mashaaallah.8016
    @mashaaallah.8016 Жыл бұрын

    ngoja twarika wakutambulishe kwanza ndo tukujibu😄 tusije tukaambiwa hujulikani

  • @husseinkitwanamabrouk4889
    @husseinkitwanamabrouk4889 Жыл бұрын

    Shukran habiib

  • @MajidSalim-sk1mh
    @MajidSalim-sk1mh11 ай бұрын

    جزاك الله كل خير

  • @Klement84
    @Klement84 Жыл бұрын

    Ustath huyo muhammad anakibri muacheni halafu kwanini hataki kusoma tasaufi Sheria kamajahazi twarka kamabahari sadaka rasuli anataka kusifiwa

  • @athumanially7823
    @athumanially7823 Жыл бұрын

    Ujumbe umefika shekhe shukran

  • @seifabdi9248
    @seifabdi9248 Жыл бұрын

    Sijaona watu wanateseka kama Masufiii, mnangangania ubatili na uzushi ambao hauko kwenye dini. Uzushi, uzushi na kufru kubwa sana ya kumzulia mtume mambo ambayo hakufanya wala hakuanzisha na wala maswahaba. Muna shupaaa kama mshipa wa shingo.

  • @NemaJuma

    @NemaJuma

    Жыл бұрын

    Hivi nikweli ibn taymia amesema lau si mtume wetu Muhammad s.a.w,usingeumbwa ulimwengu,naomba jibu ndugu yangu

  • @seifabdi9248

    @seifabdi9248

    Жыл бұрын

    @@NemaJuma Hivyo ni uzushi ibni Tayimiyya kulingana na yeye anasema sherehe ni mbili katika dini ya kiislamu, Eid ul adhah na Eid ul Fitr na yeye alijikita kwa Qur'an tukufu na Sunnah kwa kuwa hakuna kitu kama Eid miladu Nabbi. 🔨 Kwahiyo kufanya Jambo la maulidi ni kumtangulia Mtume ktk kufaham dini ya Allah na ni moja ya kumtuhumu Kama alifanya khiyana ktk kufikisha ujumbe kwa kuficha baadh ya mambo hakuyasema Kama maulid jambo ambalo madhara yake ni makubwa zaid kuliko maasi⬇️ 📘قال الشيخ صالح بن عبد العزيز آل الشيخ ـ حفظه الله ـ في شرحه لكتاب فضل الإسـلام للإمام محمد بن عبد الوهاب: *فجنس البدعة أشنع، وأغلظ من الكبائر ...لأنها معارضة للرسول صلى الله عليه وسلم، واستدراك عليه، وشرع دين لم يأذن به، وتعبد بأشياء لم تكن عليها سنته من جهة الاعتقاد، والشبهة، وهذه أعظم من حيث الجنس من ذنوب الشهوات المختلفة.*🔹 🎙️Amesema shekh swaaleh bin abdul' azi'z a'ali shekh Allah amhifadhi, katika sharhe ya kitabu fadhwlul is'laam⬇️ 🔊 Ama jinsi ya bida,a {Kama maulidi na mfano wake} yenye kuenea zaid na kubwa zaid kuliko madhamb makubwa- kwani hakika Jambo la bida,a ni kwenda kinyume na Mtume {swalla llahu alayhi wasallam} na kumtangulia {katika ufaham} na kuweka na sharia ktk dini Jambo ambalo haja idhnisha, na kuabudu Mambo ambayo si ktk sunna Ktk njia ya itikadi, na shubha, na Jambo hili ni kubwa zaid kuliko namna ya madhamb ya matamanio ambayo yametofautiana⚠️ 👌FAIDA kufanya ibada ambayao haina dalili UZUSHI (BIDA'A) madhamb yake ni makubwa zaid kuliko maasi kwa sababu zijazo: 1️⃣ kumtangulia Allah na mtume wake ktk ibada ambazo hawakuwekea Sharia 2️⃣ kumtuhumu Mtume ya kwamba Kuna mambo aliyafikisha na Kuna mengine aliyaficha 3️⃣ kuwatangulia Maswahaba wa Mtume na walio wafatia, Ktk kufaham nusuus za kisharia, Katika mambo ambayo wao hawakufaham hivo kutoka kwenye kitabu na sunna🎤 *AMA YULE ANEFANYA MAASI ANA NAFUU MAANA WAKAT ANAFANYA ANAJUA HILI NI DHAMB NA INAKUA WEPES KURUDI KWA ALLAH KWA KUMTAKA MSAHAMA TOFAUT NA ANAE FANYA BIDA,A HAJUI KAMA ANAFANYA KOSA NA INAKUA VIGUMU KUOMBA MSAMAHA KWA ALLAH. 🎙️Ndo maana imam suf'yaan athaury akasema: Bida,a inapendeza zaid kwa ibliis kuliko maasi maana maas anatubu mfanyaji wake ila bida,a hatubu mfanyaji wake {kwa kuitikadi kua ni ibada} !!!

  • @seifabdi9248

    @seifabdi9248

    Жыл бұрын

    Ukisoma katika Qur'an tukufu Allah anasema katika Surat BaQara kuwa anampeleka binadamu dunia I kuwa khalif na Qur'an pia inasema Allah hakuumba wanadamu na majini ila wamuabudu!

  • @tocaworld7864
    @tocaworld7864 Жыл бұрын

    Na anayeuelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu na hali yeye ni mtenda wema, basi huyo ameshika kishiko cha kutegemewa. Na marejeo ya mambo yote ni kwa Mwenyezi Mungu. (Qurani 31:22) Imepokewa kutoka kwa Abdur-Rahman bin ‘Abdullah bin Mas’ud kutoka kwa baba yake (رضي الله عنه) akisema kwamba alimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: *“Hakika nyinyi mtasaidiwa, mtatekwa na mtashinda, basi atakayeona miongoni mwenu. kwamba, basi awe na taqwa ya Mwenyezi Mungu, na aamrishe mema na akataze maovu, na anayenizushia uwongo kwa makusudi, basi na akae Motoni.”* Sahih (Darsalam) Jami` at-Tirmidhiy 2257 Kitabu cha 33, Hadiyth 100.

  • @user-gr5ix5hp9t
    @user-gr5ix5hp9t Жыл бұрын

    Tatizo jazba zimewajaa hao mawahab kuanzia viongoz wao had hao wanaofata mkumbo maan wengne wanafata tu mkumbo

  • @tawfiqsaid4918
    @tawfiqsaid491810 ай бұрын

    Mzungumzaji hana khekma huwezi kuwaita waislam wenzako mijinga, mipumbavu nk. Mbn maimamu wanne wakati wanatofautiana kweny hukmu mbalimbali hawakutoleana maneno achafu na kuitana majina mabaya. Mashekhe wa siku hizi mtihani sana, mcheni Allah.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Жыл бұрын

    Dakika 10 baado hajajibu hata hoja moja 😂😂😂 story tuuuuuuu

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Жыл бұрын

    Maa shaa ALLAH. Shukran kwa faida. Mawahabi wana chuki na maradhi ndani ya nyoyo zao

  • @mohd39789

    @mohd39789

    Жыл бұрын

    Sasa huyu mpumbavu upepo ameijibu nini? Kama yeye anaweza si aombe mjadala

  • @hanzwala9704

    @hanzwala9704

    Жыл бұрын

    ​@@mohd39789 Kwa hyo hayo alosema cio majibu Bachu hamuwezi huyu mana anamuogopa mpk hivi leo hakuna clip ata moja alowez kumjibu Sh Haji Upepo....na ajaribu kuomba munaaqasha aone

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Жыл бұрын

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ

  • @ayah844

    @ayah844

    Жыл бұрын

    Huyu siprofesa usimfuate hana ilmu hata kidogo, ukweli tutakuja kuona mbele ya allah,ndio Maria tuliletwa duniani tukasome na uifanyie kazi ilmu au tumeletwa kupija matswari na kucheza ,hapo sasa ndio tutajua kilicho tuleta dunia nikipi

  • @saidsheha1336

    @saidsheha1336

    Жыл бұрын

    Kwa kipi😅😅

  • @misbahukhalifa3216

    @misbahukhalifa3216

    Жыл бұрын

    @@saidsheha1336 mm nimemtaja Mungu sikukutaja wewe. Mungu ndie ajuwae kwa kipi inshaAllah

  • @ramamganga6440
    @ramamganga6440 Жыл бұрын

    Niliwahi kuwa katika maulidi na nilikuwa katika ujahilia wa kupindukia, sasa nahisi nimekuwa miongoni mwa wenye kupinga bidaa, acheni uozo huo wa maulidi, nawaambieni Kwa ajili ya Allah, ingekuwa amri yangu ningewatia bakora mpaka muelewe

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Maashaallah

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    11 ай бұрын

    Wewe kama mimi yani naumia Ningewatia bakora nying sana

  • @user-fb7om2ol2s

    @user-fb7om2ol2s

    10 ай бұрын

    Kwenda huko wewe wewe wafanya nini TikTok shekhe ulobakiYA

  • @user-fb7om2ol2s

    @user-fb7om2ol2s

    10 ай бұрын

    UtAJIPANGA NA CHUKI ,mANGAOPI UNAYOYAFanya ama 😅😅😅una CHUKI zako wewe

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 Жыл бұрын

    Sheikh Hajji,umeeleweka vizuri sn.

  • @pavillioncry5241

    @pavillioncry5241

    Жыл бұрын

    Mwanmme mmzima eti shekh haji umeeleweka kwa ujinga na upuuzi aloongea

  • @hanzwala9704

    @hanzwala9704

    Жыл бұрын

    ​@@pavillioncry5241 Hebu niambie ni upuuzi gani aliongea ucwe mshabiki

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Жыл бұрын

    Asalaam alaykum, skh Haji Upepo utafanya la maana ukaingia ktk munaqasha usiishie kwenye mitandao tu

  • @saidsheha1336

    @saidsheha1336

    Жыл бұрын

    Hasubutu 😂😂😂😂😂😂

  • @ramamganga6440
    @ramamganga6440 Жыл бұрын

    Huna hoja, huna hekma naona tu kanakwamba ni mtu mwenye kukurupuka, hv unajua kwamba waliumbwa kwanza majini kabla ya mwanadam, sasa Hy hoja kwann wasiseme majini kuwa viliumbwa Kwa ajili Yao? Andaa munaqasha ukarekebishe hayo, sisi tutamsafirisha bachu mkutane. ACHA kupinga ukweli muogope Allah, mpenda ubwabwa, ACHA kutukana kijana wetu. Allah akuhifadhi.

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Жыл бұрын

    Wee unacho kijuwa nimatusi tu huna jengine lolote endelea kutukana watu lkn ukija ukigeukiwa wewe ukaanza kutukana uje vumilila .

  • @NemaJuma

    @NemaJuma

    Жыл бұрын

    Leo mmepatikana

  • @mtumwasamaki
    @mtumwasamaki9 ай бұрын

    Upo sawa wanakataa umenukuu vitabu vyao,nuku ambazo wao wanazikataa katika vitabu vyengine, umetoa aya na ufafanuzi wa aya na hadithi

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif5311 Жыл бұрын

    Mimi kilingana na fatwa hii, nime elewa Mohamad Bachu ana shida na Mtume akipewa sifa nzuri. Kwahio hana shida na barsanje.

  • @rogertuga007

    @rogertuga007

    Жыл бұрын

    Shida yake asipewe sifa za uongo ambazo hazipo.

  • @yusufhamisi8191
    @yusufhamisi8191 Жыл бұрын

    allah ameshawadhalilisha tayar achen kutapatapa

  • @hashimshariff2743
    @hashimshariff2743 Жыл бұрын

    Kama ni hivyo Mtoeni makosa huyo shekhe wenu ibn taymia kwa yale aliyoyaongea sio mutukashifu sisi. Hata mtu mjinga hutambua kitu je nyie ambayo mumetolewa dalili kwa vitabu vyenu bado mwapinga

  • @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331
    @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331 Жыл бұрын

    Bro zako ni porojo hujui unenalo masufi sasa wenda mbio kusoma kujitetea Haki itabakia kuwa haki akhui

  • @amerwelder7786

    @amerwelder7786

    Жыл бұрын

    Yeye hajuw ila icho alichokiongea ni kweli au Cha uwongo

  • @sheikhrajab8678
    @sheikhrajab867811 ай бұрын

    Kutupotezea muda tu. Jisaa lizima basi watusikilizisha pumba tu hamna hoja hata moja ya kielimu unatoa.

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q11 ай бұрын

    Mm najiuliza mmbona wakt waniqash hawa wanaotetea barazanji hawakujitokeza ila baada niqash wamezuka wengi kutetea

  • @tocaworld7864
    @tocaworld7864 Жыл бұрын

    Wewe Huna ilmu ni kuperupuka na ujuaji mwingi wakutaka kick . Huna ilmu kalale. Wewe ni fatani tunakujua kila siku.

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Жыл бұрын

    Shukran kabisa ,,,,tangu niachane na uwahabi akili yangu inakuwa Huru sana kwa kutambuwa mambo,, huko tulikuwa tunashikiliwa akili,,,, Alhamdulillahi sheikh tumekuelewa kabisa

  • @haridyhillaryndembo1946

    @haridyhillaryndembo1946

    11 ай бұрын

    MashaAllah Hao Jamaa ni wazee wa jazba tu HAWANA Elimu

  • @alimukabana1484
    @alimukabana148411 ай бұрын

    Nilidhani huyu bwana anazijibu zile hoja 19 za bachu, kumbe ameleta hekaya na kuwafurahisha mabwana zake wa kishia, daaah

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Жыл бұрын

    *Na huyu pia kafeli tena dah😂😂😂*

  • @hanzwala9704

    @hanzwala9704

    Жыл бұрын

    Kasome broo

  • @tawheedmotivationalspeech2023.
    @tawheedmotivationalspeech2023. Жыл бұрын

    Wewe diwan kagombeee udiwaniii tuu, Daa'wa waachie wengine, porojo tuu

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Жыл бұрын

    Waambie masheikh zako watoe video wakijbu zile hoja zilojengwa na bachu Acha kupija kelele mtandaoni Kama hamorapa

  • @fadhilahaji7929
    @fadhilahaji7929 Жыл бұрын

    Umemsikia sheikh Sharifu wa Mombosa kuhusu huyoe Majzi Lkubur unayemwita sheikh

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus42839 ай бұрын

    Bachu ajijuwi na wanao mfwata ni wakosefu wa ilimu awana hikma wala busara hishima wamekosa wala ukiwailimisha awataki kwa kujifanya wanajuwa na awajuwi kusema sejuwi si ujiga ujiga ni kujifanya wajuwa na ujuwi

  • @JumaRamadhani-jg6hc
    @JumaRamadhani-jg6hc Жыл бұрын

    Mbona huko kwenye ubwabwa mnatwambia wanyama waliongea kiarabu huku mnatwambia majazi kama sio uongo nini.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын

    Wewe kibwengo siku zote haujasema kuhusu uovu wa hao watu unakuja kusema leo baada ya wao kusema kuhusu barazanji!?. Inamaana mnaweza kufumbia macho maovu yenye madhara katika dini mpaka mchokonolewe ndipo kuanze kupayuka!?. Mlikuwa wapi siku zote hamjasema uovu wao mpaka leo mje kuusema baada ya kutajwa uongo wa Barazanji!?. Anzeni kwanza kujibu hoja kisha mzungumze yakwao.

  • @masoudabdallah7041
    @masoudabdallah7041 Жыл бұрын

    Ivo kuna sehemu bachu alisema hakuna majazi kweli yeye alikataa baaz ya manene kuw hayajakusudiwa majaziii😅

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar466110 ай бұрын

    Huyu mo bachu hana hamu tena na mombasa ukimwambia twende mombasa haendi anaogopa kukutana na sk saidi

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Жыл бұрын

    Mcheni Allah hii dunia ni mapito tu acheni ushabiki. Ole wenu msije kuja mkawa kama wale walosema inna ataana saadatana wakubraana faadhalluna sabila

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar466110 ай бұрын

    Hata huyu katoto bachuru anajiona yeye ni kama mtume kila kitu anajua yeye yeye hakosei ila mashehe wote hawajui

  • @aliyidrisa1536
    @aliyidrisa1536 Жыл бұрын

    Mohd Ana jina zuri lakini kichwa kibovu. Kiburi mno

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂bachu ni mpuuzi tu hamna kitu.

  • @mohammedmasudi-dz6hb

    @mohammedmasudi-dz6hb

    Жыл бұрын

    NAWEWE NINANI

  • @issajuma910
    @issajuma910 Жыл бұрын

    Hoja na hukmu nd vinavyojibu mbn mnajizonga .n sheikh muhammdi Ashamaliza n tumemuelewa kabisa

  • @abdullahsaid5434
    @abdullahsaid543411 ай бұрын

    Umekaa kama uko chini ya influence ya kitu. kajitibu. na kitwa chako ndio , Debe Tupu.

  • @rushu1232
    @rushu1232 Жыл бұрын

    Kula mmoja anailmu na manhaj yake na kwa ijtihadi ya wanazuoni na masheikh wake shida ya mawahabi nikujiona wao ndio wako sawa wengine hata kama waswali wafunga wafanya kila la kheir lakini kwa mawahabi ni mushrikina ni makafiri maadamu hukubaliani na mahaj yao.

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    11 ай бұрын

    Kuna baadhi ya ibada ndio zinaleta mfarakano Chungunza vizur kwa mfano tarawehe inavyo swaliwa na watu wa bidaa alafu angalia watu wa Sunnah Mtume (swala llah 'a'lay wassalam) Akiletwa zama hizi atafikiri qiama chaja kesho mana watu hadi swala wanafanya masikhara eti tarawehe inaswaliwa mwendo wa ring'ang'a Yani ukishikwa na haja tu ujue rakaa sita zimekupita Sasa ivi ndivyo inavyo swaliwa au Mtume(swala llah 'a'lay wassalam) kaswali ivyo

  • @omarally6819
    @omarally6819 Жыл бұрын

    Siku zote masufi mtadhalilika kwa kuridhika na ujinga, uzushi, na ushirikina, kutukana wasomi na kuwatoa thamani mbele za watu kwa lugha za kihuni, kejeli, dharau, majivuno, kuzushia watu wema uongo..... Wasomi wakisimama kuongea ni wepesi kueleweka, lkn nyinyi mambumbumbu vichwa maji mtatumia mpaka viuno vyenu kuvitoa kwa watu ili muaminiwe na mukubalike lkn watu watawapuuza na kuwaacheni mkono. Kwa uvundo kama huu, porojo jingi kumalizia watu bando zao na hakuna chochote cha faida wanacho kipata

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol Жыл бұрын

    kama ingekuwa kitabu hicho kingekuwa hakifai asingeomba msamaha alipokirusha. akiaminisha watu ametubia. huyu mtoto bado ni mdogo na sisemi kama hana elimu ila nasema amekosa busara na hekima katika kufanikisha kazi zake. hizo za daawah. elekezaneni kwa hikma na nasaha zilizo njema

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    Nyinyi munadhani mambo yadini kama simba na yanga? Mcheni mungu hii dunia, tunapita. Rudini kwa sunnah

  • @Yusufuabdulrahmani-bt8hh
    @Yusufuabdulrahmani-bt8hh11 ай бұрын

    Dini ninasaha mbona unahoja za kukashifu ipokanuni Lau ungekua muelewa ungeachana na masihara ya kidini ukaangalia mambo mengine Kila linalo pelekea kwenye uharamu nalo niharamu maradhi mengi ushapima yafaa ukapime akili allah akuongoze katika hakki

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    10 ай бұрын

    Amekashifu wapi ww au huelewi?

  • @fadhilahaji7929
    @fadhilahaji7929 Жыл бұрын

    Toka ulipozungumza cjipata cho chote na ww mbona huonekani sura yko ebu jitokeze tukuone

  • @MuhammedFoum-kr5kc
    @MuhammedFoum-kr5kc11 ай бұрын

    Heee jaman 😭😭😭😭😭 AINAL MAFARU

  • @hashimshariff2743
    @hashimshariff2743 Жыл бұрын

    Assalamu aleikum kwani lazima mtu upinge kitu hata kama huna hiyo elimu.

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV Жыл бұрын

    She mngembeba yeye mmpeleke Yeye Tanga.

  • @athumankalua501
    @athumankalua501 Жыл бұрын

    She haji jazakaa ullahu haila umeelewekaas

  • @saidsheha1336

    @saidsheha1336

    Жыл бұрын

    Kwan kaongea nin cha maana?

  • @zuwenasleiman3587
    @zuwenasleiman3587 Жыл бұрын

    Maoni yangu toa na part 1 ,part 2,part 3 naona kama muda hautoshi

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Жыл бұрын

    Wewe jibu hoja kama pia wataka jotokeze wacha kuziba sura. Sufi uliyepinda

  • @user-tz9rg7ej6n
    @user-tz9rg7ej6n Жыл бұрын

    Nakupongeza shekh Kwa kukiri kuwa hadithi alizotumia mwandishi WA barzanji katika kuelezea historia ya Mtume (saw) ni hadithi DHAIFU SISI hatuchukui hadithi dhaifu

  • @sawsasalmin1566

    @sawsasalmin1566

    10 ай бұрын

    Na hadithi nyingi wanazozitumia ahlu bid'aa ni dhaif

  • @MUBKAM-th3ln
    @MUBKAM-th3ln Жыл бұрын

    Hivi nyie Masufi Mtu mmoja Anawatesa sana Why?😃😃😃 mpaka mfike mbinguni mtachoka sana Wallah..

  • @saidmadai2828

    @saidmadai2828

    Жыл бұрын

    Cy anachosha bali anakera namna yakukurupuka pasipo na elimu n hajui km hajui mama yk mjinga

  • @saidmadai2828

    @saidmadai2828

    Жыл бұрын

    Mana yk

  • @HaithamKarim-jk1hw

    @HaithamKarim-jk1hw

    Жыл бұрын

    Yaani mpaka wanashangaza mbona wanatapatapa

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Жыл бұрын

    ​@@saidmadai2828 Ujue mjinga hua hajijui kama mjinga mpaka akutane na watu wenye elimu ndio ujinga wake utaonekana. Mtu mmoja kama ni mjinga kwanini hoja zake zisivunjwe bali Tamzania nzima mpaka kenya mnahangaika hamuwezi kujibu hoja zake sasa nani mjinga kati ya huyo mmoja ambae hamuwezi kumjibu kwa hoja bali mnalalamika tuuu nchi mbili zote hamna majibu.

  • @MustafaOyoo-qz7rp
    @MustafaOyoo-qz7rp Жыл бұрын

    Acha ushirikina.eti kama sio mtume kusingeumbwa arshi.lete hadithi kutoka kwa mtume

  • @hasheemcarrick3141
    @hasheemcarrick3141 Жыл бұрын

    Zako ni porojo2, mbona hujenda ww Tanga 😂😂

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Жыл бұрын

    Barzanji imejaa shirk

  • @muhammadkarama9996
    @muhammadkarama9996 Жыл бұрын

    Eeeh hivi bado munashikilia baada ya kuambiwa hata ibara za kiarabu hamujui kusoma? 😂😂😂😂

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar466110 ай бұрын

    Mara hii mawahabi wameaibika wamedhalilika wameonekana kua weupe wa ilmu vitabu wanasoma kama gazeti tu na hawafahamu kittu

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul113411 ай бұрын

    Khe! Mbona matusi tena, mara mamwehu, madagaa, wapumbavu kadha wa kadhaa, sikia bwana pale mbele yake si nyie wote mrikaribishwa nyie !! Acheni matusi basii ni dini sio mpira huu.

  • @user-sx8xw6rz2r
    @user-sx8xw6rz2r Жыл бұрын

    Ungeenza kujibu hoja19 kwanza acha kuleta story nyingi

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Жыл бұрын

    Skh Haji upepo umetamka neno ushindi, kwani kwenye munaqasha wa Tanga kulikuwa na kuelimishana au kushindana?

  • @mohammedabdallah6379
    @mohammedabdallah6379 Жыл бұрын

    Asalm aleykum jamani sisi ni waumini kwann tuna lumbana kunawatu wanahitaji kulinganiwa nao wawewaumini, ikiwa wewe waona maulid nisawa soma na wewe ambae unaona maulid hayafai wacha lamsingi hakuna kutukanana nakemea huu ushabi wa kusema maulid yafa wengine wanasema hayafai, lamwisho sisi sote waumini tunamategeme ya kuingizwa peponi na allah kwanini tutete!!! 🙏

  • @masoud744
    @masoud744 Жыл бұрын

    Kama ni kweli ayo maneno kasemeni kwenye mjadala.. msitudanganye Sisi wa mitabdaoni

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Жыл бұрын

    Huna lolote , porojo nyiiingi, kama muimba taarabu, huja jibu hoja hata moja.

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah51769 ай бұрын

    TOA USHAHIDI WAPI MTUME KALA UROJO...

  • @makamesaid8432
    @makamesaid8432 Жыл бұрын

    Haji elewi ata kidog

  • @Abusalim308
    @Abusalim308 Жыл бұрын

    Yani nyinyi sasahv tunawaona wapuuzi tu hata muminyane vip kama mulikua mahodari wa kuongea mungejibu pale pale mbele ya hadhira ya watu. Kwa sasa hivi tuwachukulia ni watu munaotafuta umaarufu tu lkn hamuna kwahiyo kakojoeni mukalale

  • @user-mx1gu6bq7c
    @user-mx1gu6bq7c11 ай бұрын

    Huyu mshika bendera ya mazuri ya maulidin

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 Жыл бұрын

    Daah sheikh kiukweli umenifumbua macho mm nilkua namshangilia mood bachu

  • @saidsheha1336

    @saidsheha1336

    Жыл бұрын

    Kwan kaongea kipi cha maana😂😂😂😂

  • @user-ik6sf8lh9m
    @user-ik6sf8lh9m Жыл бұрын

    Da! Sasa nauliza Yale maneno ya barazannje kayatoa wap?

  • @user-gm2cy9ul7q
    @user-gm2cy9ul7q11 ай бұрын

    Nyinyi mbuz ndio nyinyi munaofunga mwezi wa kutangaziwa na kutumiwa ktk you tube

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv Жыл бұрын

    Mbona matusi mengi bro! asokubali kushindwa siyo mshindani.

  • @abumaryam6909
    @abumaryam690911 ай бұрын

    Dini ya makarama, nimeoteshwa, nimejulishwa, nimepewa uchamungu mwisho nimeokoka mpaka lini masufi hayo ndio makimbilio yenu? Mwanzo mlisema majahazi sasa hivi makarama heh?

  • @himnakhatib1050
    @himnakhatib1050 Жыл бұрын

    Ah nyie bwana mashekh vijana nyote mmekosa hikma nyote sio mashekhe mmesomea kuvuruga dini.mbona izo khilafa xilikuwepo Zaman na hakukua na mambo km hayo .ukiwa na elimu ikiwa huna hekima basi laxima uende rong sight.

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar466110 ай бұрын

    Huyu bachuro huwa anaeka watu maalum kazi yao ni ku comment tu ili kùmsifia yeye tu

Келесі