Naomba usitumie iyo sauti mmmmmmmmmmmm!☹enyewe kwa akika wanitatiza kumakinika na maada unacho tueleza.asanti
@MbaroukAmour-fs8hb23 сағат бұрын
Ndugu zangu badala ya kutafuta haki munatafuta mitego.. ALLAH AWAJAALIE KHATMA NJEMA NA AWARUZUKU JANNATUL FIRDAUS
@elpistoreКүн бұрын
جزاك الله الخير
@user-oj6st8xf9b2 күн бұрын
Alhamdulillah
@ClementineSteven2 күн бұрын
Wee ni njaa siyo nabii kwanini utoke uislamu
@hassanrehema85072 күн бұрын
Amina thumma amina
@nassoraliy38713 күн бұрын
Waongo wakubwa nyinyi
@ArthurRunya-h2g4 күн бұрын
Tabia zako ndio zinakupelaka kwa Mungu si Sanda ama jeneza. Na sote ni watu wa Mungu ajalishi mkristo au mslam aadui yetu ni shetani. Kwa hivyo sote tuenze kumshambulia shetani. Sisi wafrika tutakua watumwa haadi kwa dini. Islam ni ya warabu na ukristo ni wauuzungu. Kabla Hawa wote waje sisi wafrika tulikua tunaabudu Mungu. Fungueni macho
@IbnuAlly-wm8il4 күн бұрын
Makafiri wanajuwa vizur kuwa uislamu ndio mpango mzima ila kinachowasumbuwa ni hasadi baada ya wao kuchagua upotevu kwa maslahi ya kidunia, km ilivyoelezwa wazi ktk Qur'an (2:109)
@pantaleokullaya42674 күн бұрын
Full Gospel Bible Fellowship kifupi FGBF mwanzilishi wa kanisa hili ni Askofu Zachary Kakobe Mtanzania hapahapa Tanzania.Halikutoka Ulaya hili ila linapeleka injili Ula•a na zaidi ya Ulaya.!
Huyo mlevi anayejiita Mzee wa Upako kishachanganyikiwa pengine wakati akitoa mada hi alikuwa amekunywa kiasi gani Cha glass ya konyagi: Hajui Biblia kazi yake kujitapatapa tu kwamba eti yeye anajua Biblia kuliko Watu wote: Naomba nimwulize maswali yafuatayo:Kusema Waafrika wanatokana na kizazi kilicholaniwa ni kukosa ufahamu Wa Neno la Mungu: Kama Ni hivyo basi binadamu Wote wametoka katika uzao ulolaaniwa kwa sababu dhambi ya kwanza ilifanywa na Baba Adamu na mkewe kabla ya hao Waafrka kuwepo, ndipo Mungu akamfukuza katika bustani nzuri ya Edeni Mungu akailaani aridhi Mungu akalaanii uzao kwa kuzaa kwa uchungu tena Mungu akaamru kwa mara ya kwanza Binadamu kufa:Nakuuliza wewe mlevi je gharika la Nuhu lilisababishwa na laana ya Waafrika? Au kule Sodoma na Gomola palipoteketezwa na Moto wa Mungu walikuwa wakiishi Waafrika??! Au je ndoa za njisia moja zimeanzia Afrika au Uarabuni na Uzunguni? Ukijibu maswali haya ndipo utajua kuwa waafrika siyo chanzo Cha laana: Nakuliza na wewe shehe unayeshabikia ndoa ya wake wengi mbona sasa mnaishi wanne oweni kama selemami au Daudi si ndicho kielelezo chenu Au oweni kama Mtume wenu Mohamedi yeye alioa zaidi ya wanne oweni na watoto wadogo maana mtume wenu alioa kabinti ka miaka tisa fanyeni hivyo si ndiovl kielelezo chenu? Acheni unafiki kuchafua Uafrika na Ukristo
Yesu mwokozi WA Dunia kazi mnayo waislamu habari mmeipata msipomfuata Yesu mmekwisha
@prochesernest54396 күн бұрын
Wewe unamkuba Mzee WA upako Hila Allah hamkubali maana Mzee WA upako anaamini Yesu ni mwana WA Mungu sas huyo Mzee WA upako wapi kaonyesha kwenye biblia kuwa WA African wamelaaniwa hatupe Aya kwenye biblia maneno atyataki
@user-oj6st8xf9b6 күн бұрын
Alhamdulillah
@zuberkasim71506 күн бұрын
Sioni coment zawakristo mkowapi
@khadijaabdallah30747 күн бұрын
Allah kupitia dua hii nakuomba MOLA wangu nifungulie biashara yangu ninayo uza iwe nyepesi niuze
@user-cc6gx1ue6w9 күн бұрын
Amiin
@NajimaNichole-oz3zv10 күн бұрын
Amen
@AthumaniJuma-xc8ve10 күн бұрын
Naomba yaraibi niondoshee mitihani kwenye maisha yangu
@benjaminlijongwa371511 күн бұрын
MZEE WA UPAKO SIO MWANADHUONI WA BIBLIA. NI MPIGA DEBE TU
Пікірлер
Naomba usitumie iyo sauti mmmmmmmmmmmm!☹enyewe kwa akika wanitatiza kumakinika na maada unacho tueleza.asanti
Ndugu zangu badala ya kutafuta haki munatafuta mitego.. ALLAH AWAJAALIE KHATMA NJEMA NA AWARUZUKU JANNATUL FIRDAUS
جزاك الله الخير
Alhamdulillah
Wee ni njaa siyo nabii kwanini utoke uislamu
Amina thumma amina
Waongo wakubwa nyinyi
Tabia zako ndio zinakupelaka kwa Mungu si Sanda ama jeneza. Na sote ni watu wa Mungu ajalishi mkristo au mslam aadui yetu ni shetani. Kwa hivyo sote tuenze kumshambulia shetani. Sisi wafrika tutakua watumwa haadi kwa dini. Islam ni ya warabu na ukristo ni wauuzungu. Kabla Hawa wote waje sisi wafrika tulikua tunaabudu Mungu. Fungueni macho
Makafiri wanajuwa vizur kuwa uislamu ndio mpango mzima ila kinachowasumbuwa ni hasadi baada ya wao kuchagua upotevu kwa maslahi ya kidunia, km ilivyoelezwa wazi ktk Qur'an (2:109)
Full Gospel Bible Fellowship kifupi FGBF mwanzilishi wa kanisa hili ni Askofu Zachary Kakobe Mtanzania hapahapa Tanzania.Halikutoka Ulaya hili ila linapeleka injili Ula•a na zaidi ya Ulaya.!
Shekh Rashid pilingu uko wapi haupatikani
Sheikh naona unatuomba msaada camera, laptop n.k, vipi umeshindwa kuwaomba MAJINI wakupe utakavyo?
Huyo mlevi anayejiita Mzee wa Upako kishachanganyikiwa pengine wakati akitoa mada hi alikuwa amekunywa kiasi gani Cha glass ya konyagi: Hajui Biblia kazi yake kujitapatapa tu kwamba eti yeye anajua Biblia kuliko Watu wote: Naomba nimwulize maswali yafuatayo:Kusema Waafrika wanatokana na kizazi kilicholaniwa ni kukosa ufahamu Wa Neno la Mungu: Kama Ni hivyo basi binadamu Wote wametoka katika uzao ulolaaniwa kwa sababu dhambi ya kwanza ilifanywa na Baba Adamu na mkewe kabla ya hao Waafrka kuwepo, ndipo Mungu akamfukuza katika bustani nzuri ya Edeni Mungu akailaani aridhi Mungu akalaanii uzao kwa kuzaa kwa uchungu tena Mungu akaamru kwa mara ya kwanza Binadamu kufa:Nakuuliza wewe mlevi je gharika la Nuhu lilisababishwa na laana ya Waafrika? Au kule Sodoma na Gomola palipoteketezwa na Moto wa Mungu walikuwa wakiishi Waafrika??! Au je ndoa za njisia moja zimeanzia Afrika au Uarabuni na Uzunguni? Ukijibu maswali haya ndipo utajua kuwa waafrika siyo chanzo Cha laana: Nakuliza na wewe shehe unayeshabikia ndoa ya wake wengi mbona sasa mnaishi wanne oweni kama selemami au Daudi si ndicho kielelezo chenu Au oweni kama Mtume wenu Mohamedi yeye alioa zaidi ya wanne oweni na watoto wadogo maana mtume wenu alioa kabinti ka miaka tisa fanyeni hivyo si ndiovl kielelezo chenu? Acheni unafiki kuchafua Uafrika na Ukristo
Mzee WA upako atatupiwa mawe kwasababu kaisingizia biblia uongo kwaiyo awe mpole kupokea alichokipa akivune
Yesu mwokozi WA Dunia kazi mnayo waislamu habari mmeipata msipomfuata Yesu mmekwisha
Wewe unamkuba Mzee WA upako Hila Allah hamkubali maana Mzee WA upako anaamini Yesu ni mwana WA Mungu sas huyo Mzee WA upako wapi kaonyesha kwenye biblia kuwa WA African wamelaaniwa hatupe Aya kwenye biblia maneno atyataki
Alhamdulillah
Sioni coment zawakristo mkowapi
Allah kupitia dua hii nakuomba MOLA wangu nifungulie biashara yangu ninayo uza iwe nyepesi niuze
Amiin
Amen
Naomba yaraibi niondoshee mitihani kwenye maisha yangu
MZEE WA UPAKO SIO MWANADHUONI WA BIBLIA. NI MPIGA DEBE TU
Yalabi Nakuba Niomdolee Matatiz Kwemy Mweli Wang Kupitu Duw Hiii Amina
Anauliza anaulizia vitu vya kitoto sana
yarbi naomba niondshee marazi katika mwili wangu yanayo nisumbua nafamilia yangueyote
Sasa sisi ambao sio waislamu tunafanyaje
Amina.amina
Amina.amina
Na.mm.piA.zahra
Na.mm.piA.zahra
Amin.amin
مشاء الله
Yarabi naomba nifunguliwe milango ya ridhiki yangu kupitia dua hii biashara zangu zifunguke kupitia dua zako Allah subuana wataara
hakika nimelipenda sana darasa❤❤
Haou toukoufou wayi douans yinou moungou nikoubaliye douans zangou ounidjibou koune fayakoune amine yaroibalianlamine
Moungou ya roibbi hifadhui wana watrou naou potevou amine yaroibalianlamine ouwatriye imane harimoi zi roho zawo, wakena baraka bahati suha n'jema maecha mingui amine yaroibalianlamine
Assalam anlaikoum. Moungou narissoimihi madambi yatrou arihafadhui na kakila m'bovou na kakila maradis arrive kila zilona hairi nawassi naou wana watrou amine yaroibalianlamine
Douans makboul yaroibalianlamine amine ya m'kussidiwa nawassi madjaanliwa rapara yi bahati riyi voulichiyawo amine.
Ameen thuma Ameen
Amin
Wallah mungu akilip
MashaAllah shkh duwaa Qoboolla Ameen Yarrab
Hakikw
Hakika
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Shekhe tunashukuru sana ila punguza maelezo marefu
Amiin
Amiin yaAllah kwa dua hii nirudishiwe haki yangu
Umesema uyo ni atoni lusekelo, nayeye Anaulewa wake atayosema inategemea ameerewaje, aiewezi kuwa ndio kweli yenyewe
Sasa Yusuf diwani mbona umefunguwa comment Kwasababu auzungumzie ushirikina