Sheikh Yusuf Diwan

Sheikh Yusuf Diwan

Doctor

Пікірлер

  • @somosomo4860
    @somosomo486017 сағат бұрын

    Naomba usitumie iyo sauti mmmmmmmmmmmm!☹enyewe kwa akika wanitatiza kumakinika na maada unacho tueleza.asanti

  • @MbaroukAmour-fs8hb
    @MbaroukAmour-fs8hb23 сағат бұрын

    Ndugu zangu badala ya kutafuta haki munatafuta mitego.. ALLAH AWAJAALIE KHATMA NJEMA NA AWARUZUKU JANNATUL FIRDAUS

  • @elpistore
    @elpistoreКүн бұрын

    جزاك الله الخير

  • @user-oj6st8xf9b
    @user-oj6st8xf9b2 күн бұрын

    Alhamdulillah

  • @ClementineSteven
    @ClementineSteven2 күн бұрын

    Wee ni njaa siyo nabii kwanini utoke uislamu

  • @hassanrehema8507
    @hassanrehema85072 күн бұрын

    Amina thumma amina

  • @nassoraliy3871
    @nassoraliy38713 күн бұрын

    Waongo wakubwa nyinyi

  • @ArthurRunya-h2g
    @ArthurRunya-h2g4 күн бұрын

    Tabia zako ndio zinakupelaka kwa Mungu si Sanda ama jeneza. Na sote ni watu wa Mungu ajalishi mkristo au mslam aadui yetu ni shetani. Kwa hivyo sote tuenze kumshambulia shetani. Sisi wafrika tutakua watumwa haadi kwa dini. Islam ni ya warabu na ukristo ni wauuzungu. Kabla Hawa wote waje sisi wafrika tulikua tunaabudu Mungu. Fungueni macho

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il4 күн бұрын

    Makafiri wanajuwa vizur kuwa uislamu ndio mpango mzima ila kinachowasumbuwa ni hasadi baada ya wao kuchagua upotevu kwa maslahi ya kidunia, km ilivyoelezwa wazi ktk Qur'an (2:109)

  • @pantaleokullaya4267
    @pantaleokullaya42674 күн бұрын

    Full Gospel Bible Fellowship kifupi FGBF mwanzilishi wa kanisa hili ni Askofu Zachary Kakobe Mtanzania hapahapa Tanzania.Halikutoka Ulaya hili ila linapeleka injili Ula•a na zaidi ya Ulaya.!

  • @NasirSalimu
    @NasirSalimu4 күн бұрын

    Shekh Rashid pilingu uko wapi haupatikani

  • @jotafungo4622
    @jotafungo46225 күн бұрын

    Sheikh naona unatuomba msaada camera, laptop n.k, vipi umeshindwa kuwaomba MAJINI wakupe utakavyo?

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery38096 күн бұрын

    Huyo mlevi anayejiita Mzee wa Upako kishachanganyikiwa pengine wakati akitoa mada hi alikuwa amekunywa kiasi gani Cha glass ya konyagi: Hajui Biblia kazi yake kujitapatapa tu kwamba eti yeye anajua Biblia kuliko Watu wote: Naomba nimwulize maswali yafuatayo:Kusema Waafrika wanatokana na kizazi kilicholaniwa ni kukosa ufahamu Wa Neno la Mungu: Kama Ni hivyo basi binadamu Wote wametoka katika uzao ulolaaniwa kwa sababu dhambi ya kwanza ilifanywa na Baba Adamu na mkewe kabla ya hao Waafrka kuwepo, ndipo Mungu akamfukuza katika bustani nzuri ya Edeni Mungu akailaani aridhi Mungu akalaanii uzao kwa kuzaa kwa uchungu tena Mungu akaamru kwa mara ya kwanza Binadamu kufa:Nakuuliza wewe mlevi je gharika la Nuhu lilisababishwa na laana ya Waafrika? Au kule Sodoma na Gomola palipoteketezwa na Moto wa Mungu walikuwa wakiishi Waafrika??! Au je ndoa za njisia moja zimeanzia Afrika au Uarabuni na Uzunguni? Ukijibu maswali haya ndipo utajua kuwa waafrika siyo chanzo Cha laana: Nakuliza na wewe shehe unayeshabikia ndoa ya wake wengi mbona sasa mnaishi wanne oweni kama selemami au Daudi si ndicho kielelezo chenu Au oweni kama Mtume wenu Mohamedi yeye alioa zaidi ya wanne oweni na watoto wadogo maana mtume wenu alioa kabinti ka miaka tisa fanyeni hivyo si ndiovl kielelezo chenu? Acheni unafiki kuchafua Uafrika na Ukristo

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54396 күн бұрын

    Mzee WA upako atatupiwa mawe kwasababu kaisingizia biblia uongo kwaiyo awe mpole kupokea alichokipa akivune

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54396 күн бұрын

    Yesu mwokozi WA Dunia kazi mnayo waislamu habari mmeipata msipomfuata Yesu mmekwisha

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54396 күн бұрын

    Wewe unamkuba Mzee WA upako Hila Allah hamkubali maana Mzee WA upako anaamini Yesu ni mwana WA Mungu sas huyo Mzee WA upako wapi kaonyesha kwenye biblia kuwa WA African wamelaaniwa hatupe Aya kwenye biblia maneno atyataki

  • @user-oj6st8xf9b
    @user-oj6st8xf9b6 күн бұрын

    Alhamdulillah

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71506 күн бұрын

    Sioni coment zawakristo mkowapi

  • @khadijaabdallah3074
    @khadijaabdallah30747 күн бұрын

    Allah kupitia dua hii nakuomba MOLA wangu nifungulie biashara yangu ninayo uza iwe nyepesi niuze

  • @user-cc6gx1ue6w
    @user-cc6gx1ue6w9 күн бұрын

    Amiin

  • @NajimaNichole-oz3zv
    @NajimaNichole-oz3zv10 күн бұрын

    Amen

  • @AthumaniJuma-xc8ve
    @AthumaniJuma-xc8ve10 күн бұрын

    Naomba yaraibi niondoshee mitihani kwenye maisha yangu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa371511 күн бұрын

    MZEE WA UPAKO SIO MWANADHUONI WA BIBLIA. NI MPIGA DEBE TU

  • @OmanOman-vf3li
    @OmanOman-vf3li11 күн бұрын

    Yalabi Nakuba Niomdolee Matatiz Kwemy Mweli Wang Kupitu Duw Hiii Amina

  • @mbarikiaally2814
    @mbarikiaally281412 күн бұрын

    Anauliza anaulizia vitu vya kitoto sana

  • @RehemaDole
    @RehemaDole12 күн бұрын

    yarbi naomba niondshee marazi katika mwili wangu yanayo nisumbua nafamilia yangueyote

  • @MarthaLungwa-sr4er
    @MarthaLungwa-sr4er12 күн бұрын

    Sasa sisi ambao sio waislamu tunafanyaje

  • @MariamOmar-y2l
    @MariamOmar-y2l13 күн бұрын

    Amina.amina

  • @MariamOmar-y2l
    @MariamOmar-y2l13 күн бұрын

    Amina.amina

  • @MariamOmar-y2l
    @MariamOmar-y2l13 күн бұрын

    Na.mm.piA.zahra

  • @MariamOmar-y2l
    @MariamOmar-y2l13 күн бұрын

    Na.mm.piA.zahra

  • @MariamOmar-y2l
    @MariamOmar-y2l13 күн бұрын

    Amin.amin

  • @MudyFaudhia-Games24
    @MudyFaudhia-Games2413 күн бұрын

    مشاء الله

  • @zubedaomary4289
    @zubedaomary428913 күн бұрын

    Yarabi naomba nifunguliwe milango ya ridhiki yangu kupitia dua hii biashara zangu zifunguke kupitia dua zako Allah subuana wataara

  • @MohamedSudan-z3x
    @MohamedSudan-z3x13 күн бұрын

    hakika nimelipenda sana darasa❤❤

  • @user-fu7jr3nv2k
    @user-fu7jr3nv2k14 күн бұрын

    Haou toukoufou wayi douans yinou moungou nikoubaliye douans zangou ounidjibou koune fayakoune amine yaroibalianlamine

  • @user-fu7jr3nv2k
    @user-fu7jr3nv2k14 күн бұрын

    Moungou ya roibbi hifadhui wana watrou naou potevou amine yaroibalianlamine ouwatriye imane harimoi zi roho zawo, wakena baraka bahati suha n'jema maecha mingui amine yaroibalianlamine

  • @user-fu7jr3nv2k
    @user-fu7jr3nv2k14 күн бұрын

    Assalam anlaikoum. Moungou narissoimihi madambi yatrou arihafadhui na kakila m'bovou na kakila maradis arrive kila zilona hairi nawassi naou wana watrou amine yaroibalianlamine

  • @user-fu7jr3nv2k
    @user-fu7jr3nv2k14 күн бұрын

    Douans makboul yaroibalianlamine amine ya m'kussidiwa nawassi madjaanliwa rapara yi bahati riyi voulichiyawo amine.

  • @rukiaramadhan2117
    @rukiaramadhan211714 күн бұрын

    Ameen thuma Ameen

  • @hassanm.5291
    @hassanm.529115 күн бұрын

    Amin

  • @AllySadjid-ch8ze
    @AllySadjid-ch8ze15 күн бұрын

    Wallah mungu akilip

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi284115 күн бұрын

    MashaAllah shkh duwaa Qoboolla Ameen Yarrab

  • @ZoroSharifu
    @ZoroSharifu16 күн бұрын

    Hakikw

  • @ZoroSharifu
    @ZoroSharifu16 күн бұрын

    Hakika

  • @HadiyaMuhammed-tt2xs
    @HadiyaMuhammed-tt2xs17 күн бұрын

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @user-kv1qr3gv9t
    @user-kv1qr3gv9t17 күн бұрын

    Shekhe tunashukuru sana ila punguza maelezo marefu

  • @user-ky4xl1hq1u
    @user-ky4xl1hq1u18 күн бұрын

    Amiin

  • @SaumJuma-ng4vj
    @SaumJuma-ng4vj18 күн бұрын

    Amiin yaAllah kwa dua hii nirudishiwe haki yangu

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo694919 күн бұрын

    Umesema uyo ni atoni lusekelo, nayeye Anaulewa wake atayosema inategemea ameerewaje, aiewezi kuwa ndio kweli yenyewe

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k20 күн бұрын

    Sasa Yusuf diwani mbona umefunguwa comment Kwasababu auzungumzie ushirikina