MSIKIE MKRISTO ALIPOMUHOJI MAZINGE KWA NINI WAISLAM HAWABATIZWI .MOMBASA NCHINI KENYA .

Пікірлер: 69

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79762 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah Allah akupe umri shekh wetu mazinge uzidi kuelimisha watu.

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu56582 жыл бұрын

    Allah akuongeze umri shekhe wetu mazinge.

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy65622 жыл бұрын

    Mazinge mashallah ww kiboko bn Allah akupe taufiq inshallah

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan70592 жыл бұрын

    MashaaAllah jazakAllah ukheri sheikh mazinge uko juuu MashaaAllah

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu49332 жыл бұрын

    Sheikh unasilimisha vizuri mashallah!! Allah awalipe nyooteee masheikh wetu, ila leo Mazinge umenipa raha sana kama kawaida yako!

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Mkongwe tangu 1984 Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah Masha"Allah

  • @mohamednoor8470
    @mohamednoor84702 жыл бұрын

    Mashallah

  • @yasiniibrahimu8483
    @yasiniibrahimu84832 жыл бұрын

    Asee shekh mungu Skype maisha marefu kuitangaza din ya allah nataman sana uje n kwetu kna wasabato wanatusumbua sanaaaa

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura2 жыл бұрын

    Allahu Akbar SubhanaAllah Uislam rahaa jamani Alhamdulillah

  • @mussamahmoud2376
    @mussamahmoud23762 жыл бұрын

    Mazinge unatisha!!!! Allah atupemwishomwema

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu2 жыл бұрын

    SUBIRI KWANZA.....TULIA.MPEEE.MPE UYO..UMEONA..DAH YAN RAAHA

  • @mzackibra6360
    @mzackibra63602 жыл бұрын

    Takbir ust mazinge Allah kampa elimu ya kipekeee

  • @Ukhtyzuhura

    @Ukhtyzuhura

    2 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah

  • @masamasa2387
    @masamasa23872 жыл бұрын

    Mashallah mazinge allah.akuzidishie umri

  • @rinompemba5926
    @rinompemba59262 жыл бұрын

    Masha Allah shehe wangu mazinge

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe29672 жыл бұрын

    Allah awajalie

  • @stanleykipingu228
    @stanleykipingu2282 жыл бұрын

    Takbiiiir

  • @Ukhtyzuhura

    @Ukhtyzuhura

    2 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @binahmedjuma8681
    @binahmedjuma86812 жыл бұрын

    Wote tunazaliwa hali ya kuwa Waislam, kubatizwa ni kutolewa ndani ya Uislam

  • @janelithasolomon5212
    @janelithasolomon52122 жыл бұрын

    Mazinge juha kweli yaani kachemka wazi wazi ,,,kujibu kuhusu kubatizwa,,,eti hawabatizwi kila yohana mbatizaji alikufa Bwege kweliiiiii huyu jamaa

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96888 ай бұрын

    mhadhara mzuri

  • @dcharles4647
    @dcharles46472 жыл бұрын

    Imani ya kweri itajulikana vipindi vigumu kama hivi vya Corona..Hizo nyingine ni porojo za kupoteza wale bendera fata upepo.Poleni sana mliokuwa haba ktk imani Ya Yesu kristo,mtaangamiazwa kwa kukosa maarifa.MUNGU awarehem.

  • @khalfanifarisy119

    @khalfanifarisy119

    2 жыл бұрын

    Asili ya neno kristo unapajua? Na ni lugha gani?

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    2 жыл бұрын

    Imani ya kweli yesu sio Mungu

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    😅😅😅 imani ya YESU KRISTO ndiyo ipi hiyo???

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    2 жыл бұрын

    @@shabbymakapaneshabby5000 wakujue wewe mungu wa pekee na yesu kristo uliemtuma , yesu anaamini mungu mmoja ndio imani ya yesu

  • @ismailyusuph740

    @ismailyusuph740

    2 жыл бұрын

    Corona imepamba moto’ Lkn hatuwaskii wale wachungaji watakaosema viwete watatembea na vipofu watapona ‘ wenye magonjwa watapona ‘ mbona leo hatuwaoni wakiponyesha...!...Acheni porojo hizo wakristo..!

  • @rajahamy9700
    @rajahamy97002 жыл бұрын

    Mashaaallh mashaaallh mashaaallh uislam n raha Sana..

  • @johnkilimo9520

    @johnkilimo9520

    2 жыл бұрын

    Kwa ndacha mbona anakimbia mazinge????😆😆😆

  • @ahmadubeida8735

    @ahmadubeida8735

    2 жыл бұрын

    @@johnkilimo9520 kwel ww kafiri...

  • @johnkilimo9520

    @johnkilimo9520

    2 жыл бұрын

    @@ahmadubeida8735 3:11 uma wako Muhamad makafili 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ahmadubeida8735

    @ahmadubeida8735

    2 жыл бұрын

    @@johnkilimo9520 unajua maana ya kafiri ww...???

  • @johnkilimo9520

    @johnkilimo9520

    2 жыл бұрын

    @@ahmadubeida8735 nimekupa aya sasa tafakari mwenyewe

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7402 жыл бұрын

    Wakristo hawajielewi’ Yesu kabatizwa na yohana’ Je Yesu alishawahi kubatiza mtu yoyote au hata aliwahi kubatiza wanafunzi wake..?...au wanafunzi waliwahi kubatiza..?..Yaani hawa hawajielewi’ Kwa sababu hata habari ya yohana na Yesu haieleweki ‘ maana Yohana yupo gerezani’ Yesu kashakimbia na wazazi wake misri ‘ karudi yohana kishakatwa kichwa Na hata mfalme aliyetoa amri yohana auawe nae kafa...!...hii stori haieleweki..!

  • @johnkilimo9520

    @johnkilimo9520

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆 soma 10:102 Quran ili ujue mnafuata mtu asiyejua aendako 😂😂😂🤣🤣

  • @ismailyusuph740

    @ismailyusuph740

    2 жыл бұрын

    @@johnkilimo9520 .....hahaa...hujaelewa ‘..Watu walimfuata mtume ili awaambie itakuaje siku ya mwisho’ mtume akawajibu sielewi ‘ Na aliwajibu hivyo Kwa kuwa hakuwa ameshushiwa ufunuo wakati huo’ Na asingesema asichokijua au kujibu Kwa matamanio yake’ Na hiyo ni kawaida ya mitume ‘ hata Yesu alishaulizwa’ akajibu mimi sisemi neno mwenyewe ‘ nisikiavyo Ndio nihukumuvyo..! Baada ya kushushiwa ufunuo na MUNGU mtume Aliwajibu Watu itavyokua ‘ ...!...aliwaambia ‘ Ukiwa muovu utalipwa sawa na uovu wko’ Na ukitenda mema ukiwa muislam mwanaume au mwanamke utaingia peponi urudhukiwe humo..!...hahaha...!...SOMA ww Acha ushabiki’ ...UMEDANDIA TRENI KWA MBELE...!

  • @johnkilimo9520

    @johnkilimo9520

    2 жыл бұрын

    @@ismailyusuph740 dah hatareee sana waislamu mnafuta Mudy huku hajui aendako eti mtume wa Mungu 🤣🤣🤣🤣🤣2:97 inaesma adui wa malaika jibril ndie alie telemsha Quran inamaana ni shetani huyo 😆😆😆😆😆

  • @ismailyusuph740

    @ismailyusuph740

    2 жыл бұрын

    @@johnkilimo9520 ..Ndugu inaelekea unakurupuka Kwa ushabiki bila maandiko ‘ Waislam tunajua tunakoenda ‘na Aya nimekusaidia uelewe’ Sasa labda ww utoe andiko wakristo wataingia uzima wa milele..! Hiyo Aya uliyotoa bado hujaelewa ni vizuri ukauliza ili ufahamishwe ‘ ...sisi waislam tunaamini katika maandiko Sio blah blah ‘ hilo andiko ni mayahudi na manaswara ambao walikua wakiona ghadhabu ya muhammad kupewa utume ‘ Ndio MUNGU anashusha ufunuo kumwambia awaambie ‘ ni MUNGU aliyetaka Jibril kumpelekea utume muhammad ‘ Na angetaka angempa yyt ‘ Lkn aliyekusudiwa ni muhammad hivyo hata wakichukia ni bure tu...!...SOMA uelewe ‘ usikurupukie Aya’ hizo aya Sasa hivi wakristo wenzio wameelewa zamani baada ya kuzisoma na kuelewa...!...hoja zangu Juu pale hujajibu hata moja Kwa sababu huna maandiko..!...hahaaaa...4-0

  • @johnkilimo9520

    @johnkilimo9520

    2 жыл бұрын

    @@ismailyusuph740 Mudy anasema mm cyo kiroja mpya katika mitume na wala cjui niendako ngojeni nami nangojea na wala cna uwezo wakujipa mamlaka lkn Yesu Kristo alisema nimepewa mamlaka yooote mbinguni na duniani Yohana 14:6 🙏🙏🙏

Келесі