Mshukiwa wa ugaidi anaswa kwenye CCTV akiibia watu Mombasa
Polisi mjini Mombasa wamemtia mbaroni mshukiwa anayeaminika kuhusika na visa vya uhalifu katika mtaa wa Old Town kaunti ya Mombasa. Kwa mujibu wa polisi, mwanamume huyo anayetajwa kuwa jambazi sugu ni miongoni mwa genge la wahalifu ambao wamenaswa kwa kamera za CCTV wakitekeleza uhalifu mara mbili.
Пікірлер: 92
Allah awaongoze ndugu zetu na awape kazi yenye kheir na wao na awatulize kabisa Ameen
0:02
Amekuja na mambo ya mboro kwenye tv😂😂😂😂
Mbaroni mwanahamisi sio hiyo ulotaja ni matusi hayo 🙈
Mboroni tena😂😂😂😂
'Uharifu'..🤣🤣🤣🤣
Wanataka kutuharibia jina hawa. Hapa pwani zamani hapakuana sifa za uizi wala ujambazi. Wakipatikana wapewe kichapo cha mbwa. Ama wamalize maisha yao gerezani hadi wafike umr wa miaka sabini waachiliwe
Tia hio mboro sugu mbaroni iwache umboro.
Ni Mbaroni please 🙄
Wamemtia wapi tena?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tunaomba apigwe kabisa
Nani tena amesikia mboroni
Ati ......ni?
...walishwe copper waume pamba!
Ni mimi nimeskia vibaya ama kuna mboroni mahali mwanzoni🤦♂️
Wamemtia wapi
Mwanahamisi mama....0.02 na 0.14 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani a very senior police officer kaa huyu hajui kufaa beret jamani
Damn , bitch said “amemtia mboroni” 🤧😭😭😭😂💀
Eradicate unga za Afghanistan mtatulia Mombasa is ravaged by hard drugs! The city is slowly losing its shine full of zombi kids without a future!