Mshukiwa wa ugaidi anaswa kwenye CCTV akiibia watu Mombasa

Polisi mjini Mombasa wamemtia mbaroni mshukiwa anayeaminika kuhusika na visa vya uhalifu katika mtaa wa Old Town kaunti ya Mombasa. Kwa mujibu wa polisi, mwanamume huyo anayetajwa kuwa jambazi sugu ni miongoni mwa genge la wahalifu ambao wamenaswa kwa kamera za CCTV wakitekeleza uhalifu mara mbili.

Пікірлер: 92

  • @allahlovesyou6613
    @allahlovesyou66134 жыл бұрын

    Allah awaongoze ndugu zetu na awape kazi yenye kheir na wao na awatulize kabisa Ameen

  • @happytimes9747
    @happytimes97474 жыл бұрын

    0:02

  • @zainabmohammad3165
    @zainabmohammad31654 жыл бұрын

    Amekuja na mambo ya mboro kwenye tv😂😂😂😂

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36094 жыл бұрын

    Mbaroni mwanahamisi sio hiyo ulotaja ni matusi hayo 🙈

  • @naomikabocha3099
    @naomikabocha30994 жыл бұрын

    Mboroni tena😂😂😂😂

  • @abubakarrasheed.7654
    @abubakarrasheed.76544 жыл бұрын

    'Uharifu'..🤣🤣🤣🤣

  • @user-sk8bn4zf6p
    @user-sk8bn4zf6p4 жыл бұрын

    Wanataka kutuharibia jina hawa. Hapa pwani zamani hapakuana sifa za uizi wala ujambazi. Wakipatikana wapewe kichapo cha mbwa. Ama wamalize maisha yao gerezani hadi wafike umr wa miaka sabini waachiliwe

  • @coldheartriddim7801
    @coldheartriddim78014 жыл бұрын

    Tia hio mboro sugu mbaroni iwache umboro.

  • @ShirusOrbit
    @ShirusOrbit4 жыл бұрын

    Ni Mbaroni please 🙄

  • @rafikihalisi
    @rafikihalisi4 жыл бұрын

    Wamemtia wapi tena?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Ebiyanita
    @Ebiyanita4 жыл бұрын

    Tunaomba apigwe kabisa

  • @otisfunny2201
    @otisfunny22014 жыл бұрын

    Nani tena amesikia mboroni

  • @hanifaali9526
    @hanifaali95264 жыл бұрын

    Ati ......ni?

  • @rumpelstiltskn5574
    @rumpelstiltskn55744 жыл бұрын

    ...walishwe copper waume pamba!

  • @simonrimui
    @simonrimui4 жыл бұрын

    Ni mimi nimeskia vibaya ama kuna mboroni mahali mwanzoni🤦‍♂️

  • @davidndungu4120
    @davidndungu41204 жыл бұрын

    Wamemtia wapi

  • @eichermiss4196
    @eichermiss41964 жыл бұрын

    Mwanahamisi mama....0.02 na 0.14 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wanjalawanyonyi3743
    @wanjalawanyonyi37434 жыл бұрын

    Yaani a very senior police officer kaa huyu hajui kufaa beret jamani

  • @MohamedHassan-vx7rh
    @MohamedHassan-vx7rh4 жыл бұрын

    Damn , bitch said “amemtia mboroni” 🤧😭😭😭😂💀

  • @bongasasa3895
    @bongasasa38954 жыл бұрын

    Eradicate unga za Afghanistan mtatulia Mombasa is ravaged by hard drugs! The city is slowly losing its shine full of zombi kids without a future!