Msanii huyu mkubwa kutoka Mali ainyooshea mikono KOMASAVA ya DIAMOND,inazidi kutikisa duniani,tazama
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 101
Wa Kwanza we zombi haujui mniee like zangu👊👏👏👏 from DRC goma 🇨🇩🇨🇩🇨🇩middle Simba tupo pamoja
@CheloDangote
Ай бұрын
Middle Simba💥💥💥
Kama unampenda simba lamasimba gonga like 20 please
Middle simba uko 100% true, ukifollow vizuri interviews za Diamond kuna wakati alisema msanii haufai kukurupuka tu kuhit nchi za nje zinahitaji strategy na timing, diamond platnumz ni msanii mzuri sana na anajuwa kusoma jinsi soko ya mziki inavyo kaa.
Haya ndio mambo tunataka sio siasa za ccm
@Boyluke-luke
Ай бұрын
❤❤❤ love you unajua kwandika comment ❤❤❤
Nikweli nahuku sauzi ninoma Simba ni Simba 🔥🔥🔥🇿🇦
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
one love to diamond simbaaa🎉🎉🎉
Simba n mmoja2 Africa nzima🔥🔥
Niseme kuwa ni heshima kubwa ,nakupeperusha bendera ya Tanzania,daimond nimashine yakazi kwakutengeneza soko la mziki kimataifa nakuwafungulia milango wasani wengine ,komasava ukiisikiliza ikopowa🔥🔥🔥🔥
Hata huku waarabu wanatamba nayo 🔥🔥🔥🔥
Sote tunajivunia hik anachokifanya simba kaweka nnje yetu ijulikane.mungu ambarikiye kweri safari yake ya kimziki izidi kwenda mbele isiichiye hapa tsnzania❤❤❤❤❤
Haujui🔥🔥🔥🔥
Haujui we zombi❤❤❤
❤❤ ipewe mauwa yake
Simbaaaa 🦁🦁🦁🦁
diamond mima mupa miya nazaidi kwasababu ana tufuraishaka sana simba wewe ndiye nama moja kama vile ulisema kwa wimbo wako wa mapoz simba ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@jumabikyeombe3392
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤😂😂💐💐💐
@Boyluke-luke
Ай бұрын
Haujui
Wezombi haujui Simba wamasimba dangote 🔥🔥 yyyyt
All eyes 👀👀 onDiamond platnumz the one & only!!
Diamond platnumz kwa sasa ni msanii mkubwa sn ana haki yaku Skika kiivo so eshima kwake platnumz kwaku fikisha music wa tanzania kima taifa
@PeterGirago-th9no
Ай бұрын
Elewa neno kubahatisha au naongopa hamonize
@NoName-pp4lo
Ай бұрын
@@PeterGirago-th9no toka apa na uyo chawa wako kistuli kaskie vibaya na uko kwa wamakonde 🐕🐕🐕
@PeterGirago-th9no
Ай бұрын
@@NoName-pp4lo kumbe kuna mwingine duuu mzee girago ana kazi
Simba on to the world 🌎🌎🌎
Simbaaaaaaa is the best
Kwa maoni yangu naazani kwa mwaka 2024inatosha tumesha uwa vyakutosha🎉🎉🎉
@Boyluke-luke
Ай бұрын
Love you unajua kwandika comment ❤❤❤
Wakwanza leo
Nous sommes en esseble bror 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Oya diamond hit macker cc day one
nikiona tu unaongea nafungua chap hujawah haribu kila unapoongea kwa msanii yeyote😂
Comasava 🦁 🦁 🦁 🦁 🦁
Noma
diamond 🔥🔥🔥
Huyo kiriku wenu ambaye munataka kumuweka mbele wala hafay ila wapumbavu ma waunza sura pamoja na viruku wezake dowana mwongopa
Kweli mwamba habahatishi
Tanzanian bado ina ushamba wa music huu so wakat wa kushangaa et msanii mkubwa kucheza nyimbo mflan au vp mbona ni kawaida sana
Wapinzani wametoa guniya la siyasa
Komasava🙏🙏🕴
Shida yako ww.. mido.simba unapendelea sana Haujui..yani Monday.. ndio maana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwambaaaaq❤❤❤❤❤
We zombi 😁😁😁
Huyu mwandishi huwa mnafiki Sana. ,,harmonize juzi kafanya jambo kubwa hilo haongelei ,,,lakini vya simba hachelewi
@NizigiyimanaEliane-nt6nl
Ай бұрын
Pale hakuna chakuongey kwa Ngoma gani
@davidsika5292
Ай бұрын
Kwa mmakonde hapana
@hoseanobocka7140
Ай бұрын
Mziki wa Samia ndo kitu kikubwa😂😂😂😂😂
@BigZhumbe
Ай бұрын
Kitu kikubwa na Album mpaka leo haijafika KZread?
Kazi kazi
Mimi na diamond platnamz dam dam🙏🙏🙏🎵🔥
🦁🦁🙌🙌 Komasava ni kirusi 🔥🔥🔥💥💥
Siiimba we wanna pareeeeeee
Sawa kabsa
Aya bhn😅
💯🔥🔥🔥🔥🔥
tuna jivunia kuwa na simba tanzania popote sasa niki sema halipo tokea daimond juwa tanzania una pata makazi
Simba ninoma💥💥
Huy asilinganishwe na wasanii wa bongo mana nyimbo zao zinaishia buza
Safi sana middle Simba 🎉🎉
Komasavaa🔥🔥🔥🔥🔥
Ayo ni mambo ya kawaida tu muhim ibebe tunzo ya wimbo bora wa mwaka grammy ndo tutajua yes lkn ivo ni kawaida shehe
Nomaaaa
Big up sana dangotee
Harmonize mwache abure mkia kwanza 😂😂😂😂
Kwel br
❤❤❤❤❤
Spat picha video huyu jamaa kwa video
Baba acha awanyosheeee
HII SAUTI NI YA AHMED ALLY??? AU NAISIKIA VIBAYA 😅
Simba anajuwa sn
Kutoka Mexico 🇲🇽 simba una tisha
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤👋👋👋👋👋👋💐💐💐💐
Wivu aufai nenda mlimani siti
@user-jh9yv1zp1l
Ай бұрын
Akafanyj boya ww,usifos kistuli awe juu
simbaaaa
Komasava
Simba
Tupe madini kaka
Mwambie aachie video dance
Acha uwongo iyo comasava haina fundisho yoyote nawala haielimishi jamii, izisiku tunataka ngoma ambazo zinaelimisha jamii. Habari ya mjini ni KONDE BOY.wewe ni mnafki kabisa, hausemagi ukweli,eti comasava inaenda kamataifa😅😅
@Francis-mo6ko
Ай бұрын
😂😂😂 we acha kinyongo mond apewe maua yake
Kumbe ww ni mjinga mbona ishu kubwa ilifanyika nyuma kidogo ya harmonize na samia sulu ila bado uja poste ila ivi vitu viahujinga 😅😅😅😅
@laizerlaizer5940
Ай бұрын
Ww ndio jinga cnaaa
@subiraibrahim8100
Ай бұрын
Wew ndo mjinga wa kwanza na wa mwisho maana hujielewi
@user-vx8op6vn1q
Ай бұрын
Sasa harmonise alifanya kitugani kikubwa 😮
@DjemsTorontos
Ай бұрын
Ni msanii gani Tanzania mwenye alishaka fanya kama harmonize ama duniani sio Tanzania tu bali Africa mzima ?
@davidsika5292
Ай бұрын
Sasa harmo ndo amefanya nini pale😂😂