Wanaijeria wameinyooshea mikono KOMASAVA ya DIAMOND,wametubu,Rapper mkubwa wa Marekani ajiachia nayo

Ойын-сауық

Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz

Пікірлер: 150

  • @bigamisilentkiller1058
    @bigamisilentkiller1058Ай бұрын

    Mimi Niko Mozambique, lakini ukweli usemwe jahmani. Hiiiiiiii nyimbo no Kali ya kwanza duniani kote Kwa mwaka huuu 🇲🇿🇲🇿❤️ ❤️ Deus te abençoe sempre na tua caminhada Diamond Platnumz (Simbaaaaa)

  • @achawanunetv1167

    @achawanunetv1167

    Ай бұрын

    Achana na mbangi

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989Ай бұрын

    Kuna watu wanajitahidi Sana kumponda mond lkn huyu jamaa kapewa na mwenyewe Mungu

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    Ай бұрын

    Hebu acheni kumzihaki mungu. SEMA kapewa na rucifer. Shetani ili kumtumikia na kumsaidia majukum yake

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    Ай бұрын

    @@user-ii6gs2jg4g LUCIFER KAUMBWA NA NANI?

  • @user-bm7xv3dy5n

    @user-bm7xv3dy5n

    Ай бұрын

    Mti wenye matunda utupiwa mawe kilakucha namkubali mwamba naawezi kuwepo mtumzuri kwakilamtu wenye kumkubali piga likes🎉🎉🎉🎉

  • @user-pg2iq6wn8l

    @user-pg2iq6wn8l

    Ай бұрын

    Mungu hampi mtu maovu

  • @Rizikialiamechannel763

    @Rizikialiamechannel763

    Ай бұрын

    Wataweza😂😂😂

  • @ashirievara8542
    @ashirievara8542Ай бұрын

    Simba 🦁 anawapelekea moto 🔥🔥🔥 kweli kweli

  • @stembuboy3810
    @stembuboy3810Ай бұрын

    Likes zangu zikuje hapa🙌🙌

  • @omeganthale3220
    @omeganthale3220Ай бұрын

    Mond mtu sana 😂lkn middle Simba unatufanya mashabiki Wa mond tuna enjoy 😂😂😂😂

  • @soundmale
    @soundmaleАй бұрын

    Sijawah8 kujutia kwakuwa shabiki yake diamond kutoka 2012 hadi now 2024 na bado🦁🇹🇿🙏

  • @alinondo8394
    @alinondo8394Ай бұрын

    Komasava ipo juuu sanaaaaaa❤❤❤❤

  • @AlexAidan-kq5zn
    @AlexAidan-kq5znАй бұрын

    Komasava ni ya dunia zima hote wanajua sema ule wivu tu ndo unawasumbua sasa senzema utaifananisha na Komasava kwel

  • @NdakhiSusu-qz9md
    @NdakhiSusu-qz9mdАй бұрын

    Simba💯🔥🔥

  • @user-mm5td4rz8t
    @user-mm5td4rz8tАй бұрын

    Mwamba mungu Amuzidishiye Maisha Marefu🙏🙏🙏🙏

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071Ай бұрын

    Mwaka wetu na tutaufunga kibabe😂😂na uzuri zaidi mpk sasa hakuna mtu aliyelalamika kuibiwa wimbo wake

  • @sulexh

    @sulexh

    Ай бұрын

    Uko right

  • @JejemingaMinga
    @JejemingaMingaАй бұрын

    Komasava Noma sana adi kwetu moz 🇲🇿 anapigwa wakati wote 🇹🇿🇿🇦🇻🇳🇺🇸🇸🇦🇵🇹🇲🇿 komasava 👍👍🙌🙌🔥🔥🔥

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2swАй бұрын

    komasava to the world 🌏 ❤❤❤

  • @benardhassan922
    @benardhassan922Ай бұрын

    Diamond habar ya mjini

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qzАй бұрын

    Alie pewa kapewa jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤ diamond

  • @GENISKIDY4
    @GENISKIDY4Ай бұрын

    this time around Ana consistency kufanya vizur world 🌎 wide 🔥🔥🔥🔥

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221Ай бұрын

    Diamond platnumz 🤴💣

  • @DobroHenry3442
    @DobroHenry3442Ай бұрын

    Dah uyu ndo kaka yet apa Tanzania,anatuwakilish vyema duniani kote,n MSwahili na katokea mbagala😊 hakika waTanzania twajvunia kuw na msanii anaetikisa dunia nzma MUNGU AMPANDSHE JUU xana zaid ya zaid🎉🎉🎉

  • @user-pk1yl7zt8p

    @user-pk1yl7zt8p

    Ай бұрын

    Apana ndugu lamasimba dangote haujui hajatokea mbagala hiyo n mbuga from tandale kaka ndomn anaalbam inaitwa a boy from tandale ndo alokozaliwa champion wa vita zote yote kwa yote Asante kwa kumpa maua yake ingali yupo hai

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cxАй бұрын

    Huyo ndo simbaaaa dagote ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @JofreyMafethedone
    @JofreyMafethedoneАй бұрын

    Mond🎉 africa hii ni noma 🔥

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281Ай бұрын

    Greatest of all time 🐐 “G.O.A.T

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1lАй бұрын

    Tz yng mondi wetu ,mungu ibariki Tanzania yetu

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDAАй бұрын

    Haujuiiiii 🔥🙌

  • @christinayesuanatendachiwa3493
    @christinayesuanatendachiwa3493Ай бұрын

    Ni noma Diamond

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8pАй бұрын

    Lamasimba dangote haujui champion wa vita zote#goat wa East Africa

  • @bellecheckbig6407
    @bellecheckbig6407Ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @SaidTsuma-je8dv
    @SaidTsuma-je8dvАй бұрын

    Diamond n 🔥🔥🔥

  • @CholoMwamba
    @CholoMwambaАй бұрын

    Mwamba anajuwa mpaka anakere

  • @user-el1bm1is4b
    @user-el1bm1is4bАй бұрын

    Ngomaaa ya duniaa hiiii🎉🎉🎉🎉🎉

  • @WisdomMusanya-fv7jp
    @WisdomMusanya-fv7jpАй бұрын

    ata hapa zambia ni komasava platnumz for evar

  • @Nasibu.kiboko.yawarembo
    @Nasibu.kiboko.yawaremboАй бұрын

    Mm naona atujamtendea haki simba inabidi ajengewe sanamu tu hapo tz

  • @user-df5gw2mq2n
    @user-df5gw2mq2nАй бұрын

    Jini ilo 🙏

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-lukeАй бұрын

    ❤ noma

  • @spaganiceboy
    @spaganiceboyАй бұрын

    Hata Congo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629Ай бұрын

    Safi sanaa❤❤❤

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1oАй бұрын

    Asante sana middle Simba ,ukweli husemwa

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808Ай бұрын

    Komasava tupe eshima watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥💥💥 1:56

  • @sadibatangalwa5890
    @sadibatangalwa5890Ай бұрын

    Simba diamond baba lao Mungu akubariki ❤

  • @DaFe-wm9hl
    @DaFe-wm9hlАй бұрын

    Kubwa jina Simba💥💥💥

  • @user-dc1qh3nm5s
    @user-dc1qh3nm5sАй бұрын

    This is 🔥

  • @pablohpaul560
    @pablohpaul560Ай бұрын

    Sijui kuna Pimbi ostaz jumwa na abi mkebe wanatoanga fact zao za utopolo wapi mara hana pesa mara analipa watu kufanya challenge yan figisu isiyokua na mbele wala nyuma😮😮😮😮

  • @kassimabussa6583
    @kassimabussa6583Ай бұрын

    Ulikuwa wapi middle simba ulikuwa umepotea mdogo wangu

  • @user-el3hj3zw9q
    @user-el3hj3zw9qАй бұрын

    Diamondi samani yake nikubwa sana najivuniya kuwa mtanzania ilauyu jama nawaza angekuwa mmarekan ninani kwenye hii duniya agefika moto wake kweli kubali usikubali iduniya dimondi anampizani labauwenachukizako tu zakimakonde

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380Ай бұрын

    Tanzania ghost singer❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934Ай бұрын

    Nomaaa

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047Ай бұрын

    D ni noma

  • @BarakaJared
    @BarakaJaredАй бұрын

    Simba anajua sana acha aipeperushe tz

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364Ай бұрын

    Tunasema hivi hatuitaji watanzania kama wale wanaodaiwa bilioni Tano wamsifie DIAMOND PLATNUMZ.UKIKUBALIKA DUNIANI UJUE WEWE NI BORA SANA.DIAMOND PLATNUMZ AMESHAKUBALIKA DUNIANI,SISI MASHABIKI WAKE NDICHO TUNACHOHITAJI.HATUITAJI SINGANO,PIMBI,MDAIWA,Ostaz.

  • @user-jz6lm5yv4f
    @user-jz6lm5yv4fАй бұрын

    Simbaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-bm7xv3dy5n
    @user-bm7xv3dy5nАй бұрын

    Tanzania to the worldwide big up diamond platinumz🎉🎉🎉🎉🎉Much respect homies❤❤❤❤❤

  • @ronny5604
    @ronny5604Ай бұрын

    Simba kama simba

  • @ICONRena-rq5ie
    @ICONRena-rq5ieАй бұрын

    Noma sanaa diamond 4life

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-lukeАй бұрын

    Kakakaka 😊😊😊🎉noma sana ❤❤❤❤❤

  • @abdoulazizalimohamed7995
    @abdoulazizalimohamed7995Ай бұрын

    Wametubu eti😂😂😂

  • @batilibatilizy5323
    @batilibatilizy5323Ай бұрын

    Simba moto mupeni mahualake 🇲🇿🇲🇿 komasava💥🔥💯

  • @user-il1kv9zv9j
    @user-il1kv9zv9jАй бұрын

    Simba la masimba dangote Moto wakuotelea mbali

  • @vovobi2379
    @vovobi2379Ай бұрын

    Haha huku oman ni noma kila mwarabu anayo kwenye simu yake😅😅😅😅

  • @johnsilima1629

    @johnsilima1629

    Ай бұрын

    Kumbe Kweli😅

  • @vovobi2379

    @vovobi2379

    Ай бұрын

    @@johnsilima1629 wallah siku ya EiD wameweka komasava😂😂😂

  • @johnsilima1629

    @johnsilima1629

    Ай бұрын

    @@vovobi2379 duu ni balaaah

  • @bonirodi6301
    @bonirodi6301Ай бұрын

    Simba baba lao

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694Ай бұрын

    Waaaooo

  • @Jk_rules_
    @Jk_rules_Ай бұрын

    💯🦁❤❤💪💪💪🔥

  • @rahelclement4298
    @rahelclement4298Ай бұрын

    🙌🙌

  • @AlmasEassy-ek9et
    @AlmasEassy-ek9etАй бұрын

    Yemwenyewe kasema mngu mwenyew ndio atakae mshusha wapizani wata semaeee

  • @Bareboy-fx9so
    @Bareboy-fx9soАй бұрын

    Siandiki maneno mingi neno nimoja2 diamond nifundi kwny mzik namaanish kwmb hatakam kutakuw n mwenye mzik dunian bc akiharibikiwa niamfate

  • @PedroRachidekalamaga
    @PedroRachidekalamagaАй бұрын

    Simba kama Simba from mozambique 🇲🇿

  • @kalistuschaula
    @kalistuschaulaАй бұрын

    balaa

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pmАй бұрын

    Simbaaa

  • @esthermwangaza3280
    @esthermwangaza328028 күн бұрын

    Proud of you lion ❤❤❤❤🎉

  • @GabbyRomnize
    @GabbyRomnize27 күн бұрын

    Hatar kwl nahuku kwetu 🇧🇮 nibala hiyo ngoma haturar

  • @HappyThomas-sc1ug
    @HappyThomas-sc1ug15 күн бұрын

    Tumuombee ndug yetu diamond platinum

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570Ай бұрын

    Mondi tena mzee,mbona wataomba poo very soon

  • @NebartWilliam
    @NebartWilliamАй бұрын

    We ni team mond sio wameinyoshea mikono coz we ndo ulisema tuzo alizochukua harmonize AEUSA kuw n ndog n kuzipromote trace music awards za rwanda lkni mkasahau kuw hat mond amewah kuxhinda hizo tuzo

  • @alikassim9302
    @alikassim9302Ай бұрын

    Tunahitaji mtiririko wa viewers kwenye platform mbalimbali babaa,,bdo naona ngoma ni ya kitoto tu.

  • @sadibatangalwa5890
    @sadibatangalwa5890Ай бұрын

    Mimi kutoka drcongo

  • @RaulentChales
    @RaulentChalesАй бұрын

    Ni noma💯💯💯💯

  • @user-bx2tl6fn6q
    @user-bx2tl6fn6qАй бұрын

    Kaka middle simba Shituka uko mjini Chris brown tayariiiiiiiiiiiiiiiiiiik😅😅😅 Na simba la maaaaaah😅😅😅

  • @NgindoNdingo-nm4in
    @NgindoNdingo-nm4inАй бұрын

    Very nice

  • @spaganiceboy
    @spaganiceboyАй бұрын

    Watakubali👹👹👹👹👹

  • @msafiripokela9204
    @msafiripokela9204Ай бұрын

    Ata uku comoro inasumbua comasava ni noma

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898Ай бұрын

    Ali kiba harmonize roho zinawauma kishenz ipo wazi wao wamekuwa wasanii wa dar tu😅😅😅

  • @GastonRich
    @GastonRichАй бұрын

    Simba kauwa❤

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sfАй бұрын

    Hilo goma limetishia dunia

  • @geradymswima4860
    @geradymswima486011 күн бұрын

    Kaka simbaaaaa❤❤❤❤❤❤❤

  • @SNIPER_ZOMBIE
    @SNIPER_ZOMBIEАй бұрын

    disconect ni ya kina MBONEKE

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hkАй бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AlksvJshd
    @AlksvJshd29 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @KhamisLilos
    @KhamisLilosАй бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @MarikiRoymen
    @MarikiRoymenАй бұрын

    Simba💯💯

  • @jumabikyeombe3392
    @jumabikyeombe3392Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Assab3167-j3d
    @Assab3167-j3dАй бұрын

    kweli simba kashdikana

  • @jay4dancing
    @jay4dancingАй бұрын

    😂😂😂 bravo

  • @BelarmeChristophe
    @BelarmeChristophe28 күн бұрын

    Simba ni mkali sn

  • @BabeRymz
    @BabeRymzАй бұрын

    Bro ngoma iyo mwanangu 😅😅😅

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898Ай бұрын

    Where is disconnect 😂😂😂😂😂

  • @jastindaud8619
    @jastindaud8619Ай бұрын

    Anapambana sana

  • @CEDOTV-pu9cw
    @CEDOTV-pu9cwАй бұрын

    😮😮😮😮🇹🇿

  • @ElizabethKiluvia
    @ElizabethKiluviaАй бұрын

    Mond kashindikana bwana

  • @Saleh-on3ot
    @Saleh-on3otАй бұрын

    Tatizo la diamond nyimbo zake za kimataifa hua lazim ashirikish wat wa nje ila wasanii wa nigeria na south africa wao wana ngoma za kimataifa za wao kam wao

  • @Barolove70Mwakyusa
    @Barolove70MwakyusaАй бұрын

    Usifanye watu kama wajinga huyo si anaweza akapewa hela akapangwa sema tusha jua kuwa wew upo upande gan

  • @sulexh

    @sulexh

    Ай бұрын

    Kwani wewe upo upande gani?

  • @yustodonald9772
    @yustodonald9772Ай бұрын

    Kazi kusifia tu yan ww mwamba tofauti na mwijaku sioni in case kuna kucriticize kuhusu mondi unakwepa kuapload yan unasifia mpaka unakua mwongo iga hata kwa sns wako very smart wewe uko one side that's why upload zako hazina view wengi maybe nikikompare na sns kaja kutoka chini kakuacha watu wanataka reality not praising without important reason😂

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    Ай бұрын

    Acha kuwapangia watu cha kufanya kwenye kazi zao kama unaona wewe middle Simba anakosea anzia apo fungua online ya kwako umsifie na kumponda unaemtaka wewe apa mwendo ni Komasava

  • @yustodonald9772

    @yustodonald9772

    Ай бұрын

    @@albertkadyanji9722 sawa mwamba nmekuelewa ni mawazo tu jamani xo ugomwi

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064Ай бұрын

    Siyo kwer wew chawa tu

  • @AlexAidan-kq5zn

    @AlexAidan-kq5zn

    Ай бұрын

    Sasa wewe ukisema co kwel sisi tunakuona umesema ndio mana sisi atuwez bisana nawew ambae umeishia dalasa la tatu ko utusumbui

  • @NGULYANGAI-matelePHONE

    @NGULYANGAI-matelePHONE

    Ай бұрын

    Dar nimejikuta nacheka tu 😅😅

  • @theballosm

    @theballosm

    Ай бұрын

    Toka 😂 wewe konde boy😂😂😂

  • @user-jh9yv1zp1l

    @user-jh9yv1zp1l

    Ай бұрын

    Wamakonde mnachuki za kishamba ,huy ndo king of africa

  • @ramayonline2281

    @ramayonline2281

    Ай бұрын

    @@AlexAidan-kq5znmuelekeze huyo mchawi😂😂😂😂😂

Келесі