Wanaijeria wameinyooshea mikono KOMASAVA ya DIAMOND,wametubu,Rapper mkubwa wa Marekani ajiachia nayo
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 150
Mimi Niko Mozambique, lakini ukweli usemwe jahmani. Hiiiiiiii nyimbo no Kali ya kwanza duniani kote Kwa mwaka huuu 🇲🇿🇲🇿❤️ ❤️ Deus te abençoe sempre na tua caminhada Diamond Platnumz (Simbaaaaa)
@achawanunetv1167
Ай бұрын
Achana na mbangi
Kuna watu wanajitahidi Sana kumponda mond lkn huyu jamaa kapewa na mwenyewe Mungu
@user-ii6gs2jg4g
Ай бұрын
Hebu acheni kumzihaki mungu. SEMA kapewa na rucifer. Shetani ili kumtumikia na kumsaidia majukum yake
@mashramadhani1989
Ай бұрын
@@user-ii6gs2jg4g LUCIFER KAUMBWA NA NANI?
@user-bm7xv3dy5n
Ай бұрын
Mti wenye matunda utupiwa mawe kilakucha namkubali mwamba naawezi kuwepo mtumzuri kwakilamtu wenye kumkubali piga likes🎉🎉🎉🎉
@user-pg2iq6wn8l
Ай бұрын
Mungu hampi mtu maovu
@Rizikialiamechannel763
Ай бұрын
Wataweza😂😂😂
Simba 🦁 anawapelekea moto 🔥🔥🔥 kweli kweli
Likes zangu zikuje hapa🙌🙌
Mond mtu sana 😂lkn middle Simba unatufanya mashabiki Wa mond tuna enjoy 😂😂😂😂
Sijawah8 kujutia kwakuwa shabiki yake diamond kutoka 2012 hadi now 2024 na bado🦁🇹🇿🙏
Komasava ipo juuu sanaaaaaa❤❤❤❤
Komasava ni ya dunia zima hote wanajua sema ule wivu tu ndo unawasumbua sasa senzema utaifananisha na Komasava kwel
Simba💯🔥🔥
Mwamba mungu Amuzidishiye Maisha Marefu🙏🙏🙏🙏
Mwaka wetu na tutaufunga kibabe😂😂na uzuri zaidi mpk sasa hakuna mtu aliyelalamika kuibiwa wimbo wake
@sulexh
Ай бұрын
Uko right
Komasava Noma sana adi kwetu moz 🇲🇿 anapigwa wakati wote 🇹🇿🇿🇦🇻🇳🇺🇸🇸🇦🇵🇹🇲🇿 komasava 👍👍🙌🙌🔥🔥🔥
komasava to the world 🌏 ❤❤❤
Diamond habar ya mjini
Alie pewa kapewa jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤ diamond
this time around Ana consistency kufanya vizur world 🌎 wide 🔥🔥🔥🔥
Diamond platnumz 🤴💣
Dah uyu ndo kaka yet apa Tanzania,anatuwakilish vyema duniani kote,n MSwahili na katokea mbagala😊 hakika waTanzania twajvunia kuw na msanii anaetikisa dunia nzma MUNGU AMPANDSHE JUU xana zaid ya zaid🎉🎉🎉
@user-pk1yl7zt8p
Ай бұрын
Apana ndugu lamasimba dangote haujui hajatokea mbagala hiyo n mbuga from tandale kaka ndomn anaalbam inaitwa a boy from tandale ndo alokozaliwa champion wa vita zote yote kwa yote Asante kwa kumpa maua yake ingali yupo hai
Huyo ndo simbaaaa dagote ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mond🎉 africa hii ni noma 🔥
Greatest of all time 🐐 “G.O.A.T
Tz yng mondi wetu ,mungu ibariki Tanzania yetu
Haujuiiiii 🔥🙌
Ni noma Diamond
Lamasimba dangote haujui champion wa vita zote#goat wa East Africa
❤❤❤❤
Diamond n 🔥🔥🔥
Mwamba anajuwa mpaka anakere
Ngomaaa ya duniaa hiiii🎉🎉🎉🎉🎉
ata hapa zambia ni komasava platnumz for evar
Mm naona atujamtendea haki simba inabidi ajengewe sanamu tu hapo tz
Jini ilo 🙏
❤ noma
Hata Congo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sanaa❤❤❤
Asante sana middle Simba ,ukweli husemwa
Komasava tupe eshima watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥💥💥 1:56
Simba diamond baba lao Mungu akubariki ❤
Kubwa jina Simba💥💥💥
This is 🔥
Sijui kuna Pimbi ostaz jumwa na abi mkebe wanatoanga fact zao za utopolo wapi mara hana pesa mara analipa watu kufanya challenge yan figisu isiyokua na mbele wala nyuma😮😮😮😮
Ulikuwa wapi middle simba ulikuwa umepotea mdogo wangu
Diamondi samani yake nikubwa sana najivuniya kuwa mtanzania ilauyu jama nawaza angekuwa mmarekan ninani kwenye hii duniya agefika moto wake kweli kubali usikubali iduniya dimondi anampizani labauwenachukizako tu zakimakonde
Tanzania ghost singer❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nomaaa
D ni noma
Simba anajua sana acha aipeperushe tz
Tunasema hivi hatuitaji watanzania kama wale wanaodaiwa bilioni Tano wamsifie DIAMOND PLATNUMZ.UKIKUBALIKA DUNIANI UJUE WEWE NI BORA SANA.DIAMOND PLATNUMZ AMESHAKUBALIKA DUNIANI,SISI MASHABIKI WAKE NDICHO TUNACHOHITAJI.HATUITAJI SINGANO,PIMBI,MDAIWA,Ostaz.
Simbaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tanzania to the worldwide big up diamond platinumz🎉🎉🎉🎉🎉Much respect homies❤❤❤❤❤
Simba kama simba
Noma sanaa diamond 4life
Kakakaka 😊😊😊🎉noma sana ❤❤❤❤❤
Wametubu eti😂😂😂
Simba moto mupeni mahualake 🇲🇿🇲🇿 komasava💥🔥💯
Simba la masimba dangote Moto wakuotelea mbali
Haha huku oman ni noma kila mwarabu anayo kwenye simu yake😅😅😅😅
@johnsilima1629
Ай бұрын
Kumbe Kweli😅
@vovobi2379
Ай бұрын
@@johnsilima1629 wallah siku ya EiD wameweka komasava😂😂😂
@johnsilima1629
Ай бұрын
@@vovobi2379 duu ni balaaah
Simba baba lao
Waaaooo
💯🦁❤❤💪💪💪🔥
🙌🙌
Yemwenyewe kasema mngu mwenyew ndio atakae mshusha wapizani wata semaeee
Siandiki maneno mingi neno nimoja2 diamond nifundi kwny mzik namaanish kwmb hatakam kutakuw n mwenye mzik dunian bc akiharibikiwa niamfate
Simba kama Simba from mozambique 🇲🇿
balaa
Simbaaa
Proud of you lion ❤❤❤❤🎉
Hatar kwl nahuku kwetu 🇧🇮 nibala hiyo ngoma haturar
Tumuombee ndug yetu diamond platinum
Mondi tena mzee,mbona wataomba poo very soon
We ni team mond sio wameinyoshea mikono coz we ndo ulisema tuzo alizochukua harmonize AEUSA kuw n ndog n kuzipromote trace music awards za rwanda lkni mkasahau kuw hat mond amewah kuxhinda hizo tuzo
Tunahitaji mtiririko wa viewers kwenye platform mbalimbali babaa,,bdo naona ngoma ni ya kitoto tu.
Mimi kutoka drcongo
Ni noma💯💯💯💯
Kaka middle simba Shituka uko mjini Chris brown tayariiiiiiiiiiiiiiiiiiik😅😅😅 Na simba la maaaaaah😅😅😅
Very nice
Watakubali👹👹👹👹👹
Ata uku comoro inasumbua comasava ni noma
Ali kiba harmonize roho zinawauma kishenz ipo wazi wao wamekuwa wasanii wa dar tu😅😅😅
Simba kauwa❤
Hilo goma limetishia dunia
Kaka simbaaaaa❤❤❤❤❤❤❤
disconect ni ya kina MBONEKE
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤
Simba💯💯
❤❤❤❤❤❤
kweli simba kashdikana
😂😂😂 bravo
Simba ni mkali sn
Bro ngoma iyo mwanangu 😅😅😅
Where is disconnect 😂😂😂😂😂
Anapambana sana
😮😮😮😮🇹🇿
Mond kashindikana bwana
Tatizo la diamond nyimbo zake za kimataifa hua lazim ashirikish wat wa nje ila wasanii wa nigeria na south africa wao wana ngoma za kimataifa za wao kam wao
Usifanye watu kama wajinga huyo si anaweza akapewa hela akapangwa sema tusha jua kuwa wew upo upande gan
@sulexh
Ай бұрын
Kwani wewe upo upande gani?
Kazi kusifia tu yan ww mwamba tofauti na mwijaku sioni in case kuna kucriticize kuhusu mondi unakwepa kuapload yan unasifia mpaka unakua mwongo iga hata kwa sns wako very smart wewe uko one side that's why upload zako hazina view wengi maybe nikikompare na sns kaja kutoka chini kakuacha watu wanataka reality not praising without important reason😂
@albertkadyanji9722
Ай бұрын
Acha kuwapangia watu cha kufanya kwenye kazi zao kama unaona wewe middle Simba anakosea anzia apo fungua online ya kwako umsifie na kumponda unaemtaka wewe apa mwendo ni Komasava
@yustodonald9772
Ай бұрын
@@albertkadyanji9722 sawa mwamba nmekuelewa ni mawazo tu jamani xo ugomwi
Siyo kwer wew chawa tu
@AlexAidan-kq5zn
Ай бұрын
Sasa wewe ukisema co kwel sisi tunakuona umesema ndio mana sisi atuwez bisana nawew ambae umeishia dalasa la tatu ko utusumbui
@NGULYANGAI-matelePHONE
Ай бұрын
Dar nimejikuta nacheka tu 😅😅
@theballosm
Ай бұрын
Toka 😂 wewe konde boy😂😂😂
@user-jh9yv1zp1l
Ай бұрын
Wamakonde mnachuki za kishamba ,huy ndo king of africa
@ramayonline2281
Ай бұрын
@@AlexAidan-kq5znmuelekeze huyo mchawi😂😂😂😂😂