MRADI WA MAJI SAME,MWANGA ,KOROGWE ASILIMIA 85.7

Фильм және анимация

Wizara ya Maji imesema mradi wa maji wa Same /Mwanga Korogwe ulioanza mchakato wake miaka 19 iliyopita sasa umefikia asilimia 85.7 na kwamba hadi kufikia mwezi June mwaka huu wakazi wa maeneo hayo watana kupata huduma yam aji safi na salama .
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri amemueleza Makamu wa Rais Dkt Philip Isdor Mpango alipofanya ziara kutembelea mradi huo uliopo wilaya ya Mwanga ambapo kuna chanzo kiku cha maji yanayotoka Bwawa la Nyumba ya Mungu .

Пікірлер

    Келесі