🔴

Спорт

‪@nyundotv‬

Пікірлер: 29

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292Ай бұрын

    Huyu mzee inaonekana hakumlea mwanae. Mzee hovyo!! Too much information!

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi505417 күн бұрын

    Mzee unachofanya sio sahihi! Hayo unazungumza kwenye mitandao sio mahala pake! Unamapungufu makubwa!!!

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi815710 ай бұрын

    MZEE KAMWE HATAHAYO MAHOJIANO NI KWA SABABU YA ALLY ,

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Жыл бұрын

    Baba hukutakiwa kusema mapungufu ya mwanao katika mitandao umeshamjengea picha mbaya tayari kumbuka ww ni baba ungetumia hekima kunyamaza

  • @abdulatifumuyango9800
    @abdulatifumuyango9800 Жыл бұрын

    Hapa sina chakuwe nasoma komenti🙄

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o3 ай бұрын

    Mzeee waakizamani sanaaa uyuuuuuu mamboo ayoo yakizamani achaaa Mtoto yukoo kazini

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Жыл бұрын

    Na ww mwandishi mbona mbea hivo ukimgombanisa ali na baba yake utapata nini acha unafiki

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11334 ай бұрын

    Safi sana mzee ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu9 ай бұрын

    Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa

  • @AsmaMussa-zr3og
    @AsmaMussa-zr3ogАй бұрын

    Mzee manara alikua Hekima sana

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141Ай бұрын

    Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.

  • @HeliDilunga
    @HeliDilunga2 ай бұрын

    Mzee mwanao yupo kazini acha kuongea sana mtoto ananyonya

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Жыл бұрын

    Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.

  • @shadoomarymtibo2191
    @shadoomarymtibo2191 Жыл бұрын

    we mzee unakosea wanakugombanisha awo wandishi

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132Ай бұрын

    Bila Ally ungehojiwa kakuheshimisha sana Ally

  • @bernadethamugetalazaro7579
    @bernadethamugetalazaro75794 ай бұрын

    Nyie huyu mchaga hakumlea Ali asiongope Ali ka kulia kwingine baada ya kupata hiyo nafasi ndo anajipendekeza tushawachoka wazee wa mjini

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi7204 ай бұрын

    Uko sahihi baba

  • @jafarirajabukemo1218
    @jafarirajabukemo121810 ай бұрын

    Mzee kaongea ukweli mtupu

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps4 ай бұрын

    Mtoto atenganishe kazi na nidhamu kwa mzazi atajiadhibu

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Жыл бұрын

    Mzee wangu umekosea ungemwita mwanao pembeni ili mzungumze nae,

  • @salimbilal6786
    @salimbilal67868 ай бұрын

    Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti

  • @josephtibu4591
    @josephtibu4591 Жыл бұрын

    simba nguvu moja ❤❤❤❤❤👍

  • @MohammedHaji-ew9wo
    @MohammedHaji-ew9wo Жыл бұрын

    Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Жыл бұрын

    Narudia tena baba unakosea na pia unamuharibia mwanao

  • @user-ck8gx1jh8x
    @user-ck8gx1jh8x Жыл бұрын

    So ajabu tunachokiona Kwa ally kamwe

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi7204 ай бұрын

    Uko

  • @user-ck8gx1jh8x
    @user-ck8gx1jh8x Жыл бұрын

    Mtoto

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps4 ай бұрын

    Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps4 ай бұрын

    Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi

Келесі