Na ww mwandishi mbona mbea hivo ukimgombanisa ali na baba yake utapata nini acha unafiki
@aminahhuawei11334 ай бұрын
Safi sana mzee ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@TatuHusseni-hs7mu9 ай бұрын
Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa
@AsmaMussa-zr3ogАй бұрын
Mzee manara alikua Hekima sana
@issaramadhani9141Ай бұрын
Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.
@HeliDilunga2 ай бұрын
Mzee mwanao yupo kazini acha kuongea sana mtoto ananyonya
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.
@shadoomarymtibo2191 Жыл бұрын
we mzee unakosea wanakugombanisha awo wandishi
@frankphiri9132Ай бұрын
Bila Ally ungehojiwa kakuheshimisha sana Ally
@bernadethamugetalazaro75794 ай бұрын
Nyie huyu mchaga hakumlea Ali asiongope Ali ka kulia kwingine baada ya kupata hiyo nafasi ndo anajipendekeza tushawachoka wazee wa mjini
@lubuvamgosi7204 ай бұрын
Uko sahihi baba
@jafarirajabukemo121810 ай бұрын
Mzee kaongea ukweli mtupu
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps4 ай бұрын
Mtoto atenganishe kazi na nidhamu kwa mzazi atajiadhibu
@bethmahela2182 Жыл бұрын
Mzee wangu umekosea ungemwita mwanao pembeni ili mzungumze nae,
@salimbilal67868 ай бұрын
Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti
@josephtibu4591 Жыл бұрын
simba nguvu moja ❤❤❤❤❤👍
@MohammedHaji-ew9wo Жыл бұрын
Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh
@zaniamohammed2258 Жыл бұрын
Narudia tena baba unakosea na pia unamuharibia mwanao
Пікірлер: 29
Huyu mzee inaonekana hakumlea mwanae. Mzee hovyo!! Too much information!
Mzee unachofanya sio sahihi! Hayo unazungumza kwenye mitandao sio mahala pake! Unamapungufu makubwa!!!
MZEE KAMWE HATAHAYO MAHOJIANO NI KWA SABABU YA ALLY ,
Baba hukutakiwa kusema mapungufu ya mwanao katika mitandao umeshamjengea picha mbaya tayari kumbuka ww ni baba ungetumia hekima kunyamaza
Hapa sina chakuwe nasoma komenti🙄
Mzeee waakizamani sanaaa uyuuuuuu mamboo ayoo yakizamani achaaa Mtoto yukoo kazini
Na ww mwandishi mbona mbea hivo ukimgombanisa ali na baba yake utapata nini acha unafiki
Safi sana mzee ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa
Mzee manara alikua Hekima sana
Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.
Mzee mwanao yupo kazini acha kuongea sana mtoto ananyonya
Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.
we mzee unakosea wanakugombanisha awo wandishi
Bila Ally ungehojiwa kakuheshimisha sana Ally
Nyie huyu mchaga hakumlea Ali asiongope Ali ka kulia kwingine baada ya kupata hiyo nafasi ndo anajipendekeza tushawachoka wazee wa mjini
Uko sahihi baba
Mzee kaongea ukweli mtupu
Mtoto atenganishe kazi na nidhamu kwa mzazi atajiadhibu
Mzee wangu umekosea ungemwita mwanao pembeni ili mzungumze nae,
Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti
simba nguvu moja ❤❤❤❤❤👍
Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh
Narudia tena baba unakosea na pia unamuharibia mwanao
So ajabu tunachokiona Kwa ally kamwe
Uko
Mtoto
Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi
Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi