MKUU WA MKOA WA SINGIDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA MIRADI YA MANISPAA

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego amefanya ziara katika miradi mitatu ya Halmashauri ya Manispaa Singida akitembelea ujenzi wa majengo wa Mama na Mtoto na Jengo la dharura katika Hospitali ya Manispaa.
Lakini amefanya ukaguzi na kujua maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi na kukagua madarasa mawili katika Shule ya Msingi Ukombozi.

Пікірлер

    Келесі