MKURUGENZI WEWE NI MPOLE SANA ''ITAKUKOSTI'' NATAKA MAELEZO JUMATATU

Пікірлер: 56

  • @abeidabdullwarith8991
    @abeidabdullwarith89914 жыл бұрын

    Asante waziri jafo big up kazi kazii

  • @samkiria450
    @samkiria4504 жыл бұрын

    Tunahitaji viongozi Kama Kina jafo wengi. Bravo baba Aluta continua 🙌

  • @abdulsaleh4640
    @abdulsaleh46404 жыл бұрын

    Waziri jafo nakukubali hats off Nimeona unavyofuatilia Muheza Moshi nduruma najua roho inakuuma kwa namna wasaidizi wako wanavyo kuangusha mungu atakusimamia na insha ALLAH utashinda na kuwa saidia wananchi wote.

  • @mhandodanny4256
    @mhandodanny42564 жыл бұрын

    Jafo safi sana hapa kazi tu!. JPM JEMBE GOD bless you

  • @asiaasiajey5551
    @asiaasiajey55514 жыл бұрын

    Safi kazi kazi waache uzembe ule wa hawamu ya 4

  • @gideonkalumbu2603
    @gideonkalumbu26034 жыл бұрын

    Kazi mkuu...

  • @errydeo8865
    @errydeo88654 жыл бұрын

    Timua hao!Ndo wanakwamisha,wao maofisini tu na kujisifia kwenye mabaa..oh mimi mkurugenzi..shit

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын

    Waambie kabisaa hii Ni awamu mpyaaaa. Barikiwa sana

  • @Tango696
    @Tango6964 жыл бұрын

    Safi mhe.kiukweli una uadilifu mkubwa,mapungufu yako yapo ila unatoa maelezo kwa uchungu.i feel to learn from u

  • @buremomussa791
    @buremomussa7914 жыл бұрын

    Piga chini wote ao Wachapa kazi nchini tuko wengi sana

  • @samwelgabriel532
    @samwelgabriel5324 жыл бұрын

    Safi mheshmiwa

  • @festonzaniye477
    @festonzaniye4774 жыл бұрын

    Jafo upo vizur, safi sana natamani rais asikutoe kwenye wizara hiyo, big up jafo

  • @habau_jr1755
    @habau_jr17554 жыл бұрын

    Kaz kaz..jafo safi

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir74 жыл бұрын

    Sukuma ndani kisha timua awawezi Kazi hao

  • @cidewashington467
    @cidewashington4674 жыл бұрын

    Waziri Jafo tumbua tumbua hao wasituhalibie utendaji wa kazi

  • @felixsilayo1824
    @felixsilayo18244 жыл бұрын

    Nafurahi sana napoona haya mambo yanaendelea nchini, hii technique ya kuwajibisha viongozi mheshimiwa rais ameanzisha, inasababisha uwajibikaji ngazi ya juu , na kuhamishia tabia hii chini

  • @vascomaguku2605
    @vascomaguku26054 жыл бұрын

    Safiiii

  • @xerxespersian1384
    @xerxespersian13844 жыл бұрын

    Mkiweka mifumo miepes jiandaaeni upuuzi kama huo Hivi nguvu kaz ipo vijana Jkt Jwtz wapo wananidham na hamasa ya hari ya juu wapo iyo ela si ingeongeza mavaz yao na vyakula matunda na mengineyo makambini kuliko kutupa pesa kisha leo ziandikwe barua na huo uovyo upo kila kona et mnajua leo🙌🙌🙌

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry93084 жыл бұрын

    Mh Jafo Shkamoo, wewe n kiongoz

  • @peterjohn1969
    @peterjohn19694 жыл бұрын

    Niatari kweli ukila nawewe utaliwa😂😂

  • @brownsebastianmwibi5647
    @brownsebastianmwibi56474 жыл бұрын

    Daah

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles93982 жыл бұрын

    Mkurugenzii mpigajii huyoo alizoea kupiga bia Kibo huyoo

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe89304 жыл бұрын

    Fukuza... Wezi

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili61914 жыл бұрын

    Safi jembe

  • @geofreychalamila9778
    @geofreychalamila97784 жыл бұрын

    Safi Jafo nchi hii uzembe mwingi sn

  • @moturithevictor2522
    @moturithevictor25224 жыл бұрын

    tungepata watatu kama huyu hapa Kenya ,,tungukuwa kama ulaya

  • @jkt96taifa32
    @jkt96taifa324 жыл бұрын

    Kula nao

  • @joshuameckson8032
    @joshuameckson80324 жыл бұрын

    Wanashindwa kwenda na kasi ya serikali ya awamu ya tano ..Kama hawawezi mheshimiwa waziri wapige chini

  • @hassanidrissa1714
    @hassanidrissa17144 жыл бұрын

    Mh jafo yaan hii halmashaur inahitaj renovation na zaid kweny afya coz CHMT hawajielew takriban wote mkuu mfano sis tokea tuajiriwe 2018 had Leo hii hatujapewa ela yetu ya kujikimu, mh umejionea mwenyew madhaifu ya viongoz wetu hap halmshaur ya longido

  • @rogersdavis3058

    @rogersdavis3058

    4 жыл бұрын

    Pole sn boss mim npo Ngorongoro ila tulipata

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam15953 жыл бұрын

    naona mabati yenyewe feki, yana kutu au macho yangu

  • @bigdad1816
    @bigdad18164 жыл бұрын

    Kazi hipo nchi hii ilikuwa imekufa ona upumbavu huu milioni miasaba ni ujinga upumbavu fukuza hawa kazi

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye924 жыл бұрын

    Fagia hao mzee kuna shida

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase11144 жыл бұрын

    Jafo pamepigwa apoo jafoo oyee

  • @frenkfrancis4151
    @frenkfrancis41514 жыл бұрын

    Fukuza awo wanazarau

  • @maatumkadhi1760
    @maatumkadhi17604 жыл бұрын

    Timua timuaaaa

  • @davidmkeya6326
    @davidmkeya63264 жыл бұрын

    Hekima na busara kwa zako kauri Jaffo, tunataka maendeleo, shida kubwa ni kila boss na boss wake, mkurugenzi komaa,

  • @asharamadhani4641
    @asharamadhani46414 жыл бұрын

    Ehee!

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43674 жыл бұрын

    Kwanin kaskazin wamevurunda ivo kila mahali waziri analalamika.

  • @andulilemwakihabha2931
    @andulilemwakihabha29314 жыл бұрын

    Wanakwamisha maendeleo hao washenzi

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90884 жыл бұрын

    Piga chini wote wanaleana tu Mambo yakipumbavu tu mbona wenzao wameweza

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43674 жыл бұрын

    Jafo na majaliwa hakuna kuomba nikunyoosha tu

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61774 жыл бұрын

    Fyekelea mbali sukuma ndani watazitapika fedha za wananchi wanyonge masikini walipa kodi

  • @hamisule3878
    @hamisule38784 жыл бұрын

    Mmm

  • @salimsalim8421
    @salimsalim84214 жыл бұрын

    Walipe hizo pesa

  • @pinyoxxl1670
    @pinyoxxl16704 жыл бұрын

    Longidooooo

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu2644 жыл бұрын

    Fukuza hao mafisadi wakubwa

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab80074 жыл бұрын

    Watazimia

  • @maatumkadhi1760

    @maatumkadhi1760

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a584 жыл бұрын

    Ondoa wote

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni7014 жыл бұрын

    Wote akuna meulizo peleka mkuu toa wote wanachelesha tukufika haraka.

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli56884 жыл бұрын

    Mkurugenx wa wapi huyu jamani

  • @kebo2155
    @kebo21554 жыл бұрын

    Fukuza Kazi wote na angalia account zao za benk hatutaki wez na wazembei... Hovyo kabisa...

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20584 жыл бұрын

    Kivuruge alikuwa Mrisho Gambo sasa waache wapumue wafanye kazi

Келесі