MKURUGENZI WEWE NI MPOLE SANA ''ITAKUKOSTI'' NATAKA MAELEZO JUMATATU
Жүктеу.....
Пікірлер: 56
@abeidabdullwarith89914 жыл бұрын
Asante waziri jafo big up kazi kazii
@samkiria4504 жыл бұрын
Tunahitaji viongozi Kama Kina jafo wengi. Bravo baba Aluta continua 🙌
@abdulsaleh46404 жыл бұрын
Waziri jafo nakukubali hats off Nimeona unavyofuatilia Muheza Moshi nduruma najua roho inakuuma kwa namna wasaidizi wako wanavyo kuangusha mungu atakusimamia na insha ALLAH utashinda na kuwa saidia wananchi wote.
@mhandodanny42564 жыл бұрын
Jafo safi sana hapa kazi tu!. JPM JEMBE GOD bless you
@asiaasiajey55514 жыл бұрын
Safi kazi kazi waache uzembe ule wa hawamu ya 4
@gideonkalumbu26034 жыл бұрын
Kazi mkuu...
@errydeo88654 жыл бұрын
Timua hao!Ndo wanakwamisha,wao maofisini tu na kujisifia kwenye mabaa..oh mimi mkurugenzi..shit
@mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын
Waambie kabisaa hii Ni awamu mpyaaaa. Barikiwa sana
@Tango6964 жыл бұрын
Safi mhe.kiukweli una uadilifu mkubwa,mapungufu yako yapo ila unatoa maelezo kwa uchungu.i feel to learn from u
@buremomussa7914 жыл бұрын
Piga chini wote ao Wachapa kazi nchini tuko wengi sana
@samwelgabriel5324 жыл бұрын
Safi mheshmiwa
@festonzaniye4774 жыл бұрын
Jafo upo vizur, safi sana natamani rais asikutoe kwenye wizara hiyo, big up jafo
@habau_jr17554 жыл бұрын
Kaz kaz..jafo safi
@zakiamsafiri123zakiamsafir74 жыл бұрын
Sukuma ndani kisha timua awawezi Kazi hao
@cidewashington4674 жыл бұрын
Waziri Jafo tumbua tumbua hao wasituhalibie utendaji wa kazi
@felixsilayo18244 жыл бұрын
Nafurahi sana napoona haya mambo yanaendelea nchini, hii technique ya kuwajibisha viongozi mheshimiwa rais ameanzisha, inasababisha uwajibikaji ngazi ya juu , na kuhamishia tabia hii chini
@vascomaguku26054 жыл бұрын
Safiiii
@xerxespersian13844 жыл бұрын
Mkiweka mifumo miepes jiandaaeni upuuzi kama huo Hivi nguvu kaz ipo vijana Jkt Jwtz wapo wananidham na hamasa ya hari ya juu wapo iyo ela si ingeongeza mavaz yao na vyakula matunda na mengineyo makambini kuliko kutupa pesa kisha leo ziandikwe barua na huo uovyo upo kila kona et mnajua leo🙌🙌🙌
tungepata watatu kama huyu hapa Kenya ,,tungukuwa kama ulaya
@jkt96taifa324 жыл бұрын
Kula nao
@joshuameckson80324 жыл бұрын
Wanashindwa kwenda na kasi ya serikali ya awamu ya tano ..Kama hawawezi mheshimiwa waziri wapige chini
@hassanidrissa17144 жыл бұрын
Mh jafo yaan hii halmashaur inahitaj renovation na zaid kweny afya coz CHMT hawajielew takriban wote mkuu mfano sis tokea tuajiriwe 2018 had Leo hii hatujapewa ela yetu ya kujikimu, mh umejionea mwenyew madhaifu ya viongoz wetu hap halmshaur ya longido
@rogersdavis3058
4 жыл бұрын
Pole sn boss mim npo Ngorongoro ila tulipata
@mkushplatnam15953 жыл бұрын
naona mabati yenyewe feki, yana kutu au macho yangu
@bigdad18164 жыл бұрын
Kazi hipo nchi hii ilikuwa imekufa ona upumbavu huu milioni miasaba ni ujinga upumbavu fukuza hawa kazi
@mathewtwimanye924 жыл бұрын
Fagia hao mzee kuna shida
@emmanuelbonifase11144 жыл бұрын
Jafo pamepigwa apoo jafoo oyee
@frenkfrancis41514 жыл бұрын
Fukuza awo wanazarau
@maatumkadhi17604 жыл бұрын
Timua timuaaaa
@davidmkeya63264 жыл бұрын
Hekima na busara kwa zako kauri Jaffo, tunataka maendeleo, shida kubwa ni kila boss na boss wake, mkurugenzi komaa,
@asharamadhani46414 жыл бұрын
Ehee!
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
Kwanin kaskazin wamevurunda ivo kila mahali waziri analalamika.
@andulilemwakihabha29314 жыл бұрын
Wanakwamisha maendeleo hao washenzi
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Piga chini wote wanaleana tu Mambo yakipumbavu tu mbona wenzao wameweza
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
Jafo na majaliwa hakuna kuomba nikunyoosha tu
@anuaryally61774 жыл бұрын
Fyekelea mbali sukuma ndani watazitapika fedha za wananchi wanyonge masikini walipa kodi
@hamisule38784 жыл бұрын
Mmm
@salimsalim84214 жыл бұрын
Walipe hizo pesa
@pinyoxxl16704 жыл бұрын
Longidooooo
@zwinsalhabsu2644 жыл бұрын
Fukuza hao mafisadi wakubwa
@khadejarajab80074 жыл бұрын
Watazimia
@maatumkadhi1760
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@djmeza411a584 жыл бұрын
Ondoa wote
@sudymgeni7014 жыл бұрын
Wote akuna meulizo peleka mkuu toa wote wanachelesha tukufika haraka.
@sirielsamweli56884 жыл бұрын
Mkurugenx wa wapi huyu jamani
@kebo21554 жыл бұрын
Fukuza Kazi wote na angalia account zao za benk hatutaki wez na wazembei... Hovyo kabisa...
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
Kivuruge alikuwa Mrisho Gambo sasa waache wapumue wafanye kazi
Пікірлер: 56
Asante waziri jafo big up kazi kazii
Tunahitaji viongozi Kama Kina jafo wengi. Bravo baba Aluta continua 🙌
Waziri jafo nakukubali hats off Nimeona unavyofuatilia Muheza Moshi nduruma najua roho inakuuma kwa namna wasaidizi wako wanavyo kuangusha mungu atakusimamia na insha ALLAH utashinda na kuwa saidia wananchi wote.
Jafo safi sana hapa kazi tu!. JPM JEMBE GOD bless you
Safi kazi kazi waache uzembe ule wa hawamu ya 4
Kazi mkuu...
Timua hao!Ndo wanakwamisha,wao maofisini tu na kujisifia kwenye mabaa..oh mimi mkurugenzi..shit
Waambie kabisaa hii Ni awamu mpyaaaa. Barikiwa sana
Safi mhe.kiukweli una uadilifu mkubwa,mapungufu yako yapo ila unatoa maelezo kwa uchungu.i feel to learn from u
Piga chini wote ao Wachapa kazi nchini tuko wengi sana
Safi mheshmiwa
Jafo upo vizur, safi sana natamani rais asikutoe kwenye wizara hiyo, big up jafo
Kaz kaz..jafo safi
Sukuma ndani kisha timua awawezi Kazi hao
Waziri Jafo tumbua tumbua hao wasituhalibie utendaji wa kazi
Nafurahi sana napoona haya mambo yanaendelea nchini, hii technique ya kuwajibisha viongozi mheshimiwa rais ameanzisha, inasababisha uwajibikaji ngazi ya juu , na kuhamishia tabia hii chini
Safiiii
Mkiweka mifumo miepes jiandaaeni upuuzi kama huo Hivi nguvu kaz ipo vijana Jkt Jwtz wapo wananidham na hamasa ya hari ya juu wapo iyo ela si ingeongeza mavaz yao na vyakula matunda na mengineyo makambini kuliko kutupa pesa kisha leo ziandikwe barua na huo uovyo upo kila kona et mnajua leo🙌🙌🙌
Mh Jafo Shkamoo, wewe n kiongoz
Niatari kweli ukila nawewe utaliwa😂😂
Daah
Mkurugenzii mpigajii huyoo alizoea kupiga bia Kibo huyoo
Fukuza... Wezi
Safi jembe
Safi Jafo nchi hii uzembe mwingi sn
tungepata watatu kama huyu hapa Kenya ,,tungukuwa kama ulaya
Kula nao
Wanashindwa kwenda na kasi ya serikali ya awamu ya tano ..Kama hawawezi mheshimiwa waziri wapige chini
Mh jafo yaan hii halmashaur inahitaj renovation na zaid kweny afya coz CHMT hawajielew takriban wote mkuu mfano sis tokea tuajiriwe 2018 had Leo hii hatujapewa ela yetu ya kujikimu, mh umejionea mwenyew madhaifu ya viongoz wetu hap halmshaur ya longido
@rogersdavis3058
4 жыл бұрын
Pole sn boss mim npo Ngorongoro ila tulipata
naona mabati yenyewe feki, yana kutu au macho yangu
Kazi hipo nchi hii ilikuwa imekufa ona upumbavu huu milioni miasaba ni ujinga upumbavu fukuza hawa kazi
Fagia hao mzee kuna shida
Jafo pamepigwa apoo jafoo oyee
Fukuza awo wanazarau
Timua timuaaaa
Hekima na busara kwa zako kauri Jaffo, tunataka maendeleo, shida kubwa ni kila boss na boss wake, mkurugenzi komaa,
Ehee!
Kwanin kaskazin wamevurunda ivo kila mahali waziri analalamika.
Wanakwamisha maendeleo hao washenzi
Piga chini wote wanaleana tu Mambo yakipumbavu tu mbona wenzao wameweza
Jafo na majaliwa hakuna kuomba nikunyoosha tu
Fyekelea mbali sukuma ndani watazitapika fedha za wananchi wanyonge masikini walipa kodi
Mmm
Walipe hizo pesa
Longidooooo
Fukuza hao mafisadi wakubwa
Watazimia
@maatumkadhi1760
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Ondoa wote
Wote akuna meulizo peleka mkuu toa wote wanachelesha tukufika haraka.
Mkurugenx wa wapi huyu jamani
Fukuza Kazi wote na angalia account zao za benk hatutaki wez na wazembei... Hovyo kabisa...
Kivuruge alikuwa Mrisho Gambo sasa waache wapumue wafanye kazi