MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI!

MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 403

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli52972 жыл бұрын

    Ndugu zangu watanzania tumuombee msamaha huyu jamaa kwa kugonga like hapa

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    2 жыл бұрын

    Alitumwa awetapeli 😂😂😏😏😏😏 kila siku wanaonywa hawaelewi akanyee debe tu

  • @SampleKiller99

    @SampleKiller99

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo hizo likes utazipeleka mahakamani sio?

  • @jaggaludegula6826

    @jaggaludegula6826

    2 жыл бұрын

    @@SampleKiller99 umeona eeh

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia70742 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa husika..msamehe tuu huyo bwana..nawe UTABARIKIWA..AMEN🙏

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba24252 жыл бұрын

    Kumbe alikuwa anataka kusikiliza kero za wananchi!!! Huyu ndo mwamba sasa,big up Dogo.

  • @HappynessJose

    @HappynessJose

    2 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa yupo ivo alikua anakamata wajinga wengine

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    2 жыл бұрын

    Kanu outsmart mkuu wa mkoa

  • @phbtonny4096

    @phbtonny4096

    2 жыл бұрын

    Uyu ni mtetez wa wanyonge

  • @mfalmekaitaba2425

    @mfalmekaitaba2425

    2 жыл бұрын

    @@phbtonny4096 kàaabisaaa

  • @dismasstanslaus5985

    @dismasstanslaus5985

    2 жыл бұрын

    Ni sawa lakini hiyo kosa mzee,je siku akibadilisha msimamo na kuwaibia nani atakae onekana kafanya hayo ??

  • @nipolive..2745
    @nipolive..27452 жыл бұрын

    Apo sawa rc unachewa sana kwenda kuskiliza kero za wanazengo muacheni amsaidie mh rais

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn75562 жыл бұрын

    He is honest. Kindly mkuu wa mkoa was not doing his work, he was just trying to reinforce. This young man he is smart and wise, trust me he will be a leader.

  • @mrpambatv3420
    @mrpambatv34202 жыл бұрын

    Kwaselekali hii ya unanijua mimi lazima aumizwe lakini angekuwepo mzee baba JPM kwanza angempongeza na angeagiza apewe nafasi maana amefanya kitu ambacho mkuu wa mkoa hakuwahi kuwaza mama samia tafadhali muite huyujamaa anakitu kichwani tafadhali sana. Gonga like kama umemuelewa dogo.

  • @leonardntani8888

    @leonardntani8888

    2 жыл бұрын

    Mpk kaunganisha wawekezaj wa nyuki!!

  • @fatumalikusi7819

    @fatumalikusi7819

    2 жыл бұрын

    Kijana ana akili sana nimempenda ana ujumbe anataka kuufikisha kwa viongozi

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Angekuwepo Magu, huyu angenyongwa mara moja. Jiulize ametumwa na nani? Nini lengo lake? Ujasiri huu ameutoa wapi hadi kutumia Account ya Ikulu ??? 🙄🙄🙄 Labda kuna Vigogo behind him🥴Wale wanaotaka kumpima Rais na Mamlaka za Nchi 🥴🥴

  • @ellymaz2187

    @ellymaz2187

    2 жыл бұрын

    @@j.c.maxima816 Utakuwa humjui Magu wewe. Unakumbuka kuna watu walikuwa wanazalisha umeme kienyeji? Alifanya nini?

  • @officialjclever9879
    @officialjclever98792 жыл бұрын

    Nimemuonea huruma sana huyu kijana mwenzangu automatically anaonekana kujutia kosa alilofanya wangemsamehe tu maisha magumu jamn kwahy watu wanatumia namna nyingine ya mlango wa pili kupita Ktk maisha

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano94892 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa Mh sana msamehe kijana, ni mahaba kwako yamepitiliza

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    2 жыл бұрын

    Hakuna bali nyinyi mnaona ni kitu kidogo je angeteteleka akajiingiza kwenye talukukuru au kosa la jinai si angemtia mtumishi wa serikali mbaloni na mpk kuchunguza kifahamike ingetia hasara taifa muda mahakama, polis upelellezi acheni kuwa mashabikia ujinga km ungelikua ni wewe ndo maana watanzania kl kitu mnachukulia utani hii ni kesi kubwa kuiba hasilia ya mtu

  • @nyandamisana3630
    @nyandamisana36302 жыл бұрын

    Kwa nini wew usiwe unasikiliza Kero mpaka usaidiwe na vijana wachapa kazi😂😂😂

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    Sindahapo

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula34542 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣Kijana kaamua kufanya kazi bila jasho😂😂😂

  • @colin8750

    @colin8750

    2 жыл бұрын

    Akaona ss tunao suffering manamba tu😂

  • @fulgencemark7640

    @fulgencemark7640

    2 жыл бұрын

    Na bila kudai mshahara marupprupu,vitendea kazi n.k. kazi iendeelee.Vijana wanapenda ;umsaidia rais wao .

  • @habarikiswahili
    @habarikiswahili2 жыл бұрын

    HII TITLE IMENIFANYA NICHEKE KABLA YA KUSIKILZA.. 'akisiliza KERO'

  • @f.a6043
    @f.a60432 жыл бұрын

    Msamehe hii ni dunia tunapita lkn asirudie tena msameheni kaomba msamaha tuwe na moyo wa msamaha na MUNGU ATATUSAMEHE na sisi jamani

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya52392 жыл бұрын

    *ila haja ibia mtu alafu angelikuwepo mjomba magu angelipewa uongozi wowote maanna anajua vyema kazi yake*

  • @raphaelmwamakimbula9642

    @raphaelmwamakimbula9642

    2 жыл бұрын

    😄

  • @eliyayesu2743
    @eliyayesu27432 жыл бұрын

    Noumaa na nusu lakini alikuwa anamsaidia Rc kufanya kazi maana yupo 2 ofisini.

  • @ziadakisanga1011

    @ziadakisanga1011

    2 жыл бұрын

    🤣😂😂😂

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    2 жыл бұрын

    Sasa mpaka mtu anapata wawekezaji

  • @neemaisrael688

    @neemaisrael688

    2 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa jitathmini .

  • @lama6310
    @lama63102 жыл бұрын

    Kama Nyinyi hamtaki Kusikiliza Kero zetu 😂ngja yeye atusikilize

  • @Amylotu

    @Amylotu

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    2 жыл бұрын

    Mtatuvunja mbavu

  • @hawaali8371
    @hawaali83712 жыл бұрын

    Ameamua Kusikiliza Kero Za Wananchi, Bila Mshahara😆😆

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    2 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @mwitaagness455

    @mwitaagness455

    2 жыл бұрын

    🙆‍♀️

  • @ismailtarimo5612
    @ismailtarimo56122 жыл бұрын

    achunguzwe kama hajawahi kutapeli asamehewe huwenda ilikua ni namna yakufikisha ujumbe kwa kusikiliza kero za wananchi, na sii ajabu mkuu wa mkoa hajawahi kusikiliza wananchi wake. Uyu kijana alikua na nia nzuri sana kosa lake nikutumia anuani ya ikulu. Wapo marapeli wakubwa mfn wanaotakiwa kupewa adhabu uyo anatakiwa awezeshwe. Anae unga mkono agonge LIKE👇

  • @davidmutiba3302
    @davidmutiba33022 жыл бұрын

    Huyu kijana ni mdogo ana elimu gani? Huu ujasiri ameutoa wapi? Nafikiri anataka tu Kufikisha kwa serekali ujumbe: "AJIRA hakuna". Ni kweli ana nguvu na uwezo wa kufanya kazi kama anavyosema afande.Shida ni namna ya kuanza bila mtaji. Mkuu anasema angeenda ofisini kwake asikilizwe, ila sina hakika kama wasimamizi wa ofisi wamgemruhusu. Amechukua short cut ya kufika ofisini, sidhani km hakujua kwamba atakamatwa,mkuu akae naye amsikilize nadhani ana jambo. Wamsamehe tu.

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Hili ni kosa kubwa sana, huwezi kulichukulia poa. Huyu tapeli asipofungwa, wengine wataiga mfano wake, na Tz haitatawalika! Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Maafisa Askari wataanza kuchipuka Nchi nzima!!! Utajikuta unalipa kodi kwa tapeli aliyejiita mtumishi wa Serikali, unatibiwa na tapeli aliyejifanya Dr, unatozwa faini na Askari Polisi feki,... Nchi itavurugika, Wananchi watapoteza imani na Serikali, maana hawatajua nani Kiongozi halisi, nani tapeli, wamuamini nani... Hili ni suala zito la Usalama wa Nchi. Tena Kijana amekwenda mbali kutumia Jina la IKULU!!! 😲😲 Intelligence services zifanye kazi 😶😶

  • @bujashidaniel5537

    @bujashidaniel5537

    2 жыл бұрын

    Kabsaaaa

  • @sadockchengula5542

    @sadockchengula5542

    2 жыл бұрын

    Ila huyo dogo richa ya kuwa amefanya uhalifu pia ni rasilimali kwa nchi. Kwa wenzetu wanamuendeleza kwa njia chanya alafu anaenda kuwasaidia TCRA.Kama ni rahisi kujiajiri basi wenye vitengo waachie wajiajiri wao.

  • @jebellwallace3509

    @jebellwallace3509

    2 жыл бұрын

    Unacho sema ni kweli kabisa,huyo anaonekana ana uwezo mkubwa sana anatakiwa asikilizwe.

  • @braykbl4547

    @braykbl4547

    2 жыл бұрын

    Trust

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar74382 жыл бұрын

    Ukute anakitamani tuu hicho cheo anaonekana wala Hana baya mengine muwe mnasamehe tuu kijana mdogo Sana

  • @jackhans7708
    @jackhans77082 жыл бұрын

    Sasa kama anaweza kutatua kero au kusikiliza kero za wananchi tatizo lipo wapi?

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ezirabatu2734

    @ezirabatu2734

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv28702 жыл бұрын

    Anasikiliza kesi Ila bongo🤣🤣

  • @khassamful
    @khassamful2 жыл бұрын

    Mpeni kazi huyu bwana mdogo Kama ameweza kuleta wawekezaji mkoani bila shida. Kawa nini msimpe kazi muone uwezo aliyo nao. Kumfunga hakumuongezei chochote. Miaka mitatu jela akitoka atakua bado hana ajira. Serikali ifanye bidii ya kutoa ajira. Kuna wakuu wa mikoa wengi tu hawatimizi wajibu wao na bado wako makazini. Huyu apewe kazi kwenye offisi ya mkuu wa mko, siyo kufungwa. Tufungue macho jamani. 🙈🌞🍀🍀

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo31452 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa mwenyewe anafanana na jambazi sugu x 1000🥲🥲🥲. Serikali ya Tanzania inaongozwa kienyeji sana kama nyumba ndogo!

  • @husseinmaneno2570

    @husseinmaneno2570

    2 жыл бұрын

    hahahahaha

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob98972 жыл бұрын

    Sasa shida iko kama jamaa anasikiliza kero 😂😂😂😂😂

  • @shadrackmwakalinga865
    @shadrackmwakalinga8652 жыл бұрын

    Nafikiri anatakiwa apewe onyo na kusamehewa. Maisha yaendelee. Pia Serikali iangalie namna ya kutatua tatizo la ajira kwa watu wake wote.

  • @samwelgodwinofficial
    @samwelgodwinofficial2 жыл бұрын

    Legendary 😂😂😂🤣

  • @colin8750

    @colin8750

    2 жыл бұрын

    Exactly legendary

  • @kauyegeorge3335
    @kauyegeorge33352 жыл бұрын

    Msameheni maana hajatapel mtu alikuw na uchu wa kumsaidia mkuu wa mkoa

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi38612 жыл бұрын

    Mpeni kazi huyo mkuu wa mkoa kakaa tu

  • @victorsilayo2736
    @victorsilayo27362 жыл бұрын

    Nataman sana kabla ya kumfanya chochote,,wahusiku wapitie kwanza comment hizi👇,kweli tunaishi chini ya sheria,,ila utu una nafasi kubwa sana katika maisha yetu,,,hata nami naiomba serikali na vyombo vyote husiku kumsamehe kijana huyo

  • @denicephillimon9219

    @denicephillimon9219

    2 жыл бұрын

    🙏🙏👍👍👍👍

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77092 жыл бұрын

    Mwacheni jamani labda kaona kero za wananchi zimezidi kaamua kumsaidia rc hakuna baya alilofanya kwani katapeli pesa?!

  • @anosiata8242

    @anosiata8242

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @bekaashbai1781

    @bekaashbai1781

    2 жыл бұрын

    Hajatapeli pesa ni akili 2 mi kwatanzania kazi hamna kuna kitabu kinasema wasomi huru gerezani hao ndo wasomi mchana anasema yy ni DC tatizo serekali yetu haina elimu endelevu hivi kuna watu wanapenda kua wasomi wamefeli darasani wamekua njee na elimu miaka 5 akitaka kurudi tena hapewi nafasi ila marekani nafasi hizi ni haki ya kila raiya kwa mfano kua mteja wa unga kua raisi vp tz inapendeza Sana tena inafurahisha inachekesha tz itabadilika kesho

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar43362 жыл бұрын

    Mbona huyo mtuhumiwa mnamuonyesha wakati MIJITU MINGINE MIJAMBAZI Mnawaficha hamuwaonyeshi ??? mnasema si sheria kuonyesha watuhumiwa????Msifanye Ubaguzi bwana hata hayo MAJAMBAZI MKIYAKAMATA MUYAONYESHE

  • @salummzee9739
    @salummzee97392 жыл бұрын

    Asomeshwe huenda baadae akaja kuwa kiongoz bora wakupigiwa mfano maana ana kipaji hata aka kubalika,amakosea ila kwa umri wake tumshamehe km hana pesa za kujiendeleza chuo asaidiwe akamalizie jela kubaya istoshe ni mtoto,istoshe bado ana ndoto kubwa sana ktk maisha yk tumsamehe

  • @komboomar8275
    @komboomar82752 жыл бұрын

    *Lakini kama kero alikuwa anazitatua na wananchi wanasaidika shida iko wapi? hhhhhh tz bana vishoka tupo wengi*

  • @kaijagerichard9351
    @kaijagerichard93512 жыл бұрын

    Hakuna cha kumfunga hajamtapeli mtu yeyote alikuwa anasikiliza kero hapa issue kubwa ni kumsikiliza lengo lake ni nini. Kama hajatumia hyo account kujipatia faida ya kifedha

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele21072 жыл бұрын

    Aiseeee😂😂😂😂 Mwamba atengwe....😂😂😂😂

  • @elishamwakipiti1044
    @elishamwakipiti10442 жыл бұрын

    Sugu angekua mbunge angeenda kumsaidia dogo,,Mana haja tapeli chochote,afu ishu hizi ukifanya kitu unaambiwa ni kosa kisheria hizi Sheria mbona hatupewi kabla ya kukosea

  • @bernardsamwelmapuga406

    @bernardsamwelmapuga406

    2 жыл бұрын

    Mzee baba umeongea neno zito sana kuhusu sheria nyingi wanazijua wao tu ahhahaaaaa

  • @ellymaz2187

    @ellymaz2187

    2 жыл бұрын

    Wanataka wananchi tujue tu automatically, wakati kuna Watu wanasomea

  • @abedichande2497
    @abedichande24972 жыл бұрын

    sEMA kuna raia wana usubutu sana hahahaha wamsomeshe tu mwana awe kiongozi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77092 жыл бұрын

    Mpeni na yeye cheo ht cha uenyekiti wa mtaa amsaidie rais

  • @oscarmkamba4234
    @oscarmkamba42342 жыл бұрын

    Hapo ndo naamin kuwa kila mtu anamawazo tofauti, tumwombe msamaha serikalin imsamehe mwamba wetu bado mdogo ila anamawazo makubwa sana

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Mawazo makubwa ya kuwa "cyber criminal"!? 🤪🙆‍♂️ Mungu ibariki Tz! 🇹🇿

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Wanaoiba mali z serekali hata kuwahoji hamuwahoji wala hamuwafunguli kesi dogo munataka alipe pesa n jela juu

  • @steventogolai3865
    @steventogolai38652 жыл бұрын

    Jaman msimfunge huyo kijana nindoto zake zabadae, inawezekana mkeka uta tema,

  • @Mkinga_Nyota_
    @Mkinga_Nyota_2 жыл бұрын

    Hatali sana

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola22762 жыл бұрын

    Ana ndoto ya kuwa kiongozi maana awatapeli kuwaibia pesa ila anaitaj kero zao ili akazifanyie kazi au kuna utapeli mwngn zaidi ya kuchukua Maoni! Ya mwanaNchi!!!

  • @stevek8318

    @stevek8318

    2 жыл бұрын

    Huyu kijana haja mwibia yeyote bwana. Hajatapeli mtu. Namuombea apate judge mwenye akili timamu so hawa maafisa wanaomtakia jela tu

  • @victorbugobola2276

    @victorbugobola2276

    2 жыл бұрын

    Nkwel

  • @herijaphet
    @herijaphet2 жыл бұрын

    Hana tofauti na PANYA ROAD. SHERIA IFANYE KAZI. KUTOJUA SHERIA SI UTETEZI. LENGO LAKE NI UTAPELI. HAO NDYO WANAOUNDA MITANDAO NA KITAPELI. MNAOTETEA SIYO BURE MNAWEZA KUWA MATAPELI WENZAKE. MWENDESHA MASHTAKA FUNGA HUYO KULINGANA NA SHERIA ILI IWE FUNZO. UTAPELI UMEKITHIRI MITANDAONI

  • @hassanjongo4309
    @hassanjongo43092 жыл бұрын

    Ok 🤔🤔

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Msamehe jmn mzee wngu🙏🙏🙏🙏🙏😪

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa53362 жыл бұрын

    Asamehewe tu ni ujana, kwakua hajamuibia mtu basi asamehewe! Gereza siyo zuri kwa vijana wadogo atahalibika kiseikorojia

  • @bossmanmtanashati887
    @bossmanmtanashati8872 жыл бұрын

    Kaz nzur saaana wasafii endeleen kutuhabalisha vema tunapenda namna ya mnavojituma

  • @malugubrithon1478
    @malugubrithon14782 жыл бұрын

    Duh

  • @gililwise
    @gililwise2 жыл бұрын

    Alikuwa anafanya practice ipo siku atakuwa mkuu wa mkoa msameheni maana hizo ndio ndoto zake

  • @asha.mwambamwamba1774
    @asha.mwambamwamba17742 жыл бұрын

    Jamaniii

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster94622 жыл бұрын

    Account inaitwaje nimfolow

  • @joelmoron5896
    @joelmoron58962 жыл бұрын

    What! A genius boy anatakiwa alindwe huyo kijana na amejitabiria mema sana dogo anafaa kuwa kiongozi!!!

  • @leonardntani8888
    @leonardntani88882 жыл бұрын

    Toeni ajira!! Kwan hamjajua ishu n nn apo ajiraaaa

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Tatizo sio ajira! Mbona hawakufanya huu upumbafu wakati wa Magu? Situlikuwa hatujaajiri kwa miaka 6 mfululizo???

  • @leonardntani8888

    @leonardntani8888

    2 жыл бұрын

    @@j.c.maxima816 jiulize panya road kipind ya magu mbn hawakuepo na ajira hazikuepo af saiz wamerud!!

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Wanajua wao wenyewe! Kwa nini wasikate vidole pia, miguu na hata mikono yote?! Wamechelewa kupata hela !!! 😂😂😂

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5inАй бұрын

    Mpeeni kazi awe msaidizi wa mkuu,aendelee kusikiluza kelo za wanainch😂

  • @tamimtours6934
    @tamimtours69342 жыл бұрын

    WACHENI UHANISI HEBU, TAFUTENI MAJAMBAZI MUWAFUNGE.. KERO ZIMEKUWA NYNG NDOMAANA KAFANYA HIVO MKUU WAMKOWA YUPO BUSY YEYE MAOFISINITU ,HAFUATI WATU AKAZTATUWA KERO ZAWATU

  • @johnynathan5855
    @johnynathan58552 жыл бұрын

    Hahahhaha hvi wananch hawawajui viongozi wao wamkoa kwan

  • @dominickvitus4665
    @dominickvitus46652 жыл бұрын

    Hao jamaa wa nyuki walitoka Dar kweliiii? 😀😀😀🤣🤣🤣 Wawekezaji wa nyuki kutoka Dar 😅

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza77792 жыл бұрын

    Dogo ana maono ya kuwa kiongozi

  • @hashimsaid5546
    @hashimsaid55462 жыл бұрын

    Kama anatatua kero za wananchi ni Bora mkamuacha tu nyie si mmeshindwa,mmekalia wivu tu

  • @mohammedmujjizer5992
    @mohammedmujjizer59922 жыл бұрын

    Najaribu kuwaza vitu vingi sana kuhusu utendaje kaz wa baadhi ya viongoz wangi wao hutoi nafasi na muda kukaa chini na wananchi wao kufaha m kero zao pia kuwafunza sheria so mtu akifanya kosa wao tu ndo wazifahamu ila wananchi hawajui chochot

  • @michaelmchodo3307
    @michaelmchodo33072 жыл бұрын

    Big dream

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya55132 жыл бұрын

    Bongo bhana, yani mimi tu nimemuelew kuw anamsaidia RC kujua kero za wananch, lkn hao wasomi wanamuita tapeli sasa kamtapeli nani? Au ndio wanachelew kuelewa?

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85682 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂Heeee jamani mungu awastili watoto wetu jamani

  • @habibaa9503
    @habibaa95032 жыл бұрын

    Tobaaaa😥

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu2 жыл бұрын

    Kesho akitoka jela cheo chake kina msubili...

  • @rahmayahaya1709
    @rahmayahaya17092 жыл бұрын

    Mpk anafanikiwa kuwapata wananch na kuvuma kuwa mkoa wa mkoa yy mkuu wa mkoa alikuwa wap

  • @afrocushitic
    @afrocushitic2 жыл бұрын

    Hii nchi Uhuru umezidi 🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣

  • @joycekalago532
    @joycekalago5322 жыл бұрын

    Kiongozi wa kujitegemea 😂😂😂😊bila malipo aisee noma sana huyu

  • @colin8750
    @colin87502 жыл бұрын

    Mazito matatu kwa mwamba😂🤣

  • @raphaelmtama6548
    @raphaelmtama65482 жыл бұрын

    hahaha🙄🤣 hadi mkuu wa mkoa feki duu

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17622 жыл бұрын

    🚩

  • @hebrewscampchurchforallnations
    @hebrewscampchurchforallnations2 жыл бұрын

    Ufanyike uchunguzi kwa lengo la kutumia uwezo wake.

  • @reubenlucumay1929
    @reubenlucumay19292 жыл бұрын

    Kwa upande wangu Mimi wampe nafasi huko serikalini ama kama alikuwa anasoma wamsapoti kwa Elimu yake afikie matarajio yake maana hajaunda tume yake ya utapeli na Wala hakuna aliyejitokeza Kusema katapeliwa kwa hivyo ningeomba wamsamehe na kumchunguza kwa kina wajuwe dhumuni yake ni Nini haswa kuchagua Kazi hiyo ngumu ambayo hukwepi mkono wa Serikali

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8gАй бұрын

    Jela Jmewekwa kwa Wakosaji kwanini Mnatetea huyu Mkosaji Tapeli

  • @totmohammedtotmohammed2982
    @totmohammedtotmohammed29822 жыл бұрын

    Nchi ngumu hiii mana mtu unacheka km mazur🤣🤣🤣🤣🤣 jmn muachen tu so kosa lake ttz nchi aliyopo mizar haja tukana awu ajapost vitu vya kishenz bs msameen iwe funzo tu

  • @shukranitv2971
    @shukranitv29712 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa huyo kijana kwel anakupenda tumia tu busara ya mungu akuongoze umsamehee Kila MTU ANAKOSA Kwa nyanza tofauti japo kutumia Jina la MTU ni kosa kisheria

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje81782 жыл бұрын

    Huyo kijana Ni mdogo mno nafikili amezaliwa mwaka 202 Bado ananukia maziwa ya mama ufahamu wake haujakomaa, maisha Bado hayajui Ni mtoto, mdogo,enachekesha naomba serikali imfikirie huyo kijana imptie elimu Kisha imsaidie selikali kumpatia kazi, jamani inachekesha mno,kwakile alichokiiza kuwa mkuu wa mkoa,nimenivunja mbavu,

  • @happinessmtembausikutehali8364
    @happinessmtembausikutehali83642 жыл бұрын

    Muacheni mtaani hatuskilizwi ww mkuu wa mkoa kaendelee kulala

  • @shaneshane4175
    @shaneshane41752 жыл бұрын

    Jamani nicheke miee hivi mtu mnamuona choko kabisa wananzengo mnamuona anawadanganya ye mkuu wa mkoa🤣🤣🤣

  • @paiwanjara3502
    @paiwanjara35022 жыл бұрын

    kampenda mkuu wa mkoa mpeni kazi

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    😄

  • @juxjemc5768
    @juxjemc57682 жыл бұрын

    Mtihan sana yaaaan ila kikubwa kama hajaiba msaameheni tyu

  • @gastordominic410
    @gastordominic4102 жыл бұрын

    Police anahukumu kabisa....ati Jela au fine... Je mahakama itanya nn?

  • @angeliqueangelique9279
    @angeliqueangelique92792 жыл бұрын

    Wa Africa mnanifurahisha kwani akitumia jina lako ninini? alifanya hivo ajulikane kwenye mitandao apate kipato

  • @getrudalufega9770
    @getrudalufega97702 жыл бұрын

    Mama mpe cheo anaweza

  • @allexlunny7795
    @allexlunny77952 жыл бұрын

    Men ata ivyo uyu jamaa ni very smart ukiangalia sana sema basi tu

  • @abdallahmtale4060
    @abdallahmtale40602 жыл бұрын

    Please naomba asamehewe na asaidiwe mtaji au kazi.

  • @fineboyAfrica
    @fineboyAfrica2 жыл бұрын

    😂😂😂jamaa anastahili pongezi

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere15642 жыл бұрын

    Mm nimeipenda kaz yahyu kijana , ya mkuu wa mkoa, sas kama viongoz wanataongoza nch bila huruma unadhan raia wafanyeje, vyakula bei juu mafuta bei juu, ukiapata nafax itumie

  • @marympango9247
    @marympango92472 жыл бұрын

    Yan kwa muonekano tu naomba asamehewe ...jmn...daah.... Kwanza anatetemeka sanaa...mm moyo unaniuma mnoo.......

  • @davidkyara9676
    @davidkyara96762 жыл бұрын

    dah ila anatia huruma.hao wawekaezaj wa nyuki vip

  • @leonardntani8888

    @leonardntani8888

    2 жыл бұрын

    Haha alikutan na wawekezaj nyuki jamaa kwel anaushawish

  • @hamadimuya4303
    @hamadimuya43032 жыл бұрын

    apewe kazi acheni maneno hicho nikipaji kuna watu wako maofisi ya serikali hawana hata madgree

  • @PriscaKaweka-ih8jp
    @PriscaKaweka-ih8jp10 ай бұрын

    Uyo afungwe miaka 3 milioni Tano atatoa wapi. Asisamwhewe uyo wapo wengi sana

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam36482 жыл бұрын

    Mh. Komredi Homera kijana amekosa sana..

  • @silyadamian5708
    @silyadamian57082 жыл бұрын

    Jmn kero zimezidi kumbe😂😂😂my country 🙌🙌🙌🙌🙌🙌nywele za mkuu wetu sasa

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula59142 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa msamehe huyo kijana nna Imani wengine tumejifunza kupitia yeye .

  • @mtotowayesu156
    @mtotowayesu1562 жыл бұрын

    Mh wasanii watawafunga mashabiki zao wengi Sana kwamtindo huu

  • @jamalistanslaus6097
    @jamalistanslaus60972 жыл бұрын

    Aonye iwefundisho kwawengine

  • @annajustin1945
    @annajustin19452 жыл бұрын

    Jamani naomba niulize kumbe huyu kijana hajamtapeli mtu pesa Wala Mali zake?

Келесі