MKE WA MSAIDIZI WA ZITTO KABWE ALIETEKWA AFUNGUKA, MUMEWE ALIVYOTEKWA

Пікірлер: 168

  • @martinsafari3111
    @martinsafari31115 жыл бұрын

    Pole sana Dada, Mungu ndiye kila kitu, Damu ya Yesu imfunike mume wako na apatikane

  • @kulwamaduhu532

    @kulwamaduhu532

    5 жыл бұрын

    Martin Safari

  • @stanslausangelus8714

    @stanslausangelus8714

    5 жыл бұрын

    Huyu Dada mtanzania anazungumza Kiswahili-Kiingireza,lakini pole take.

  • @kilutilepamo3959
    @kilutilepamo39595 жыл бұрын

    Cinema nzuri sana badala Ya kwenda Polisi umeenda Nyumbani Kwanza

  • @mkonlinetv2089
    @mkonlinetv20895 жыл бұрын

    Aise Pole sana Dada Veronica. Tuombe Mungu maana mungu ni mwema.

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh57055 жыл бұрын

    My dear Vero mungu akusimamie ktk hili jambo zito

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza27162 жыл бұрын

    Pole sana my dear ivi na wale vijana tano waliotekwa walipatikana?au ndio imeisha! Kiukweli tanzania yetu kwa sasa inatisha sana tunaogapa yaan tunatekana wenyewe kwa wenyewe!

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea49085 жыл бұрын

    Pole sana dadaangu Mungu yu pamoja nae uko alipo muombe Mungu tu aludi salama inshaallah

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji5 жыл бұрын

    Ahsante bashite na polisi kwa kuteka watu.

  • @rashidmkwinda23
    @rashidmkwinda235 жыл бұрын

    So sad! !!Pole sana Shemeji Mungu akutie nguvu

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy56525 жыл бұрын

    Mimi huwa nashangaa, watu eti wanajiteka! Ben Saanane, Azory, Abdul Nondo, Mo Dewji, Mdude Nyagali, na huyu kijana Raphael!! Nikiwa kijana wa T. Y. L., na sare zangu sikuwahi kusikia harufu ya utekwaji mauwaji kama karne hii!! Mungu tunusuru waja wako. Mara achunguzwe uraia wake, mara anabambikiziwa mtu mwenye mkosi eti fulani ndio amemteka, mpaka watoto wa shule ya msingi wanacheka! Mimi naona aibu sana, sijui wengine kiukweli inaumiza sana.

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari52095 жыл бұрын

    Its hard forsure....pole my dear

  • @bakarisadala1639
    @bakarisadala16395 жыл бұрын

    Hi dunia Kuna watu ndio wao wanaiona Tanzania ni yao kunakufa Tanzania itabaki

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis24615 жыл бұрын

    Pole sana dada Allah amlinde mme wako arudi salama

  • @rahjah5882
    @rahjah58825 жыл бұрын

    My prayers for dear direct from Japan 🇯🇵

  • @erickmkwera2784

    @erickmkwera2784

    5 жыл бұрын

    Nipe mchongo bongo kumenuka Niko Sirius broo

  • @raziambwana2145
    @raziambwana21455 жыл бұрын

    Mungu nimwaminifu atafanya njia pasipo njia! Amina.

  • @leticiajohn4952
    @leticiajohn49525 жыл бұрын

    Pole mwaya Mungu ni mwema

  • @V24hrs
    @V24hrs Жыл бұрын

    Pole sana Dadangu

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante1725 жыл бұрын

    Pole Sana my dada Mungu akutie nguvu

  • @agathadaud245
    @agathadaud2455 жыл бұрын

    Dainaumaxana jman !polexana Dada .mmh mungu naomba ushuke maeneo ya huko osterbey.maana weng hupotelea huko hatujui watuwasiojulikana ndowanakopatkana!!?mmh tumuombexana mungu binadamu tunawindana kma wanyama.

  • @najma3268
    @najma32685 жыл бұрын

    Pole sana dadaangu, funga na kuomba umlabidhi mungu

  • @adolfnkumbi9353
    @adolfnkumbi93535 жыл бұрын

    Poleni sana,,,,,,,Maombi yana nguvu sana Vero, Bibi & Babu wamepata wakati mgumu sana ........endelea kuomba na Kufunga !

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha80515 жыл бұрын

    Ahahahaaa!!! hawa wasiojulikana Jamn mbona wanajiamini sana???

  • @edesiuskuyasiwa6352
    @edesiuskuyasiwa63525 жыл бұрын

    Pole sana dada ,

  • @piushappyness226
    @piushappyness2265 жыл бұрын

    hahahahahah walimteka wakampeleka kwa shangazi yake mimbasa. dada acha kudanganya watu usitimike na mambo ya siasa yatakupeleka pabaya

  • @ayubunsajigwa3935

    @ayubunsajigwa3935

    5 жыл бұрын

    Pius wewe hunq huruma huyo Dada anachosema ndicho alichoshuhudia wewe unatetea mini?

  • @jerrywilhelm
    @jerrywilhelm5 жыл бұрын

    Nenda 'kamhoji' sounds familiar. @4:01. Basi sawa

  • @santegotoronto5803
    @santegotoronto58035 жыл бұрын

    pole dadaa

  • @aureliambawala7145
    @aureliambawala71455 жыл бұрын

    Poleni sana wana familia inauma sana huu UTEKAJI SASA UMEOTA MAPEMBE.Inatia aibu sana kuona TANZANIA 🇹🇿 kuna utekaji wa kiholela kiasi hiki. Mr SIRO WHY??? Tunaomba WAWEKEZAJIZI WAJE NCHI KWA STYLE HII UNAFIKIRI TUTAWAPATA KWELI??.Maombi yangu yamfikie Mumeo apatikane mzima na wa afya njema.May God bless him.

  • @yusuphshaban2327

    @yusuphshaban2327

    5 жыл бұрын

    Lung,wecha

  • @furahadastani8639
    @furahadastani86395 жыл бұрын

    Pole sana dada

  • @faridamatata1950
    @faridamatata19505 жыл бұрын

    Pole sana dada Mungu yupo nawr

  • @saidahj2543
    @saidahj25435 жыл бұрын

    May the power of God locate him wherever he is IJN ..

  • @albertocason3564

    @albertocason3564

    3 жыл бұрын

    A tip: watch movies at Flixzone. I've been using it for watching all kinds of movies recently.

  • @ronniesullivan9567

    @ronniesullivan9567

    3 жыл бұрын

    @Alberto Cason definitely, been watching on Flixzone for since december myself :D

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo75885 жыл бұрын

    Very strong👏

  • @vivianikiria143
    @vivianikiria1435 жыл бұрын

    POLE SANA DADA HILILINCHI LINAWATU GANI MAANA BINADAMU TUMEKUWA KAMAWANYAMA HAWAWATU SASIOJULIKANA MWISHOWAKE NIWAPI NIMEUMIA SANA POLESANA DADA...MUNGU AKAFANYE MIUJIZA APATIKANE SALAMA AMEN...

  • @hewilmodey6006
    @hewilmodey60065 жыл бұрын

    Sorry ccy this too shall pass much love to you

  • @gadsonobeid6278
    @gadsonobeid62785 жыл бұрын

    mungu atafanya njia my FLP pertner

  • @mickmaheka2541
    @mickmaheka25415 жыл бұрын

    hii nchi mbona mm siielewi kuna nn mbona saivi mtukio yanatisha? Mungu tunakuomba utufumbue macho tujue??

  • @hamisisha
    @hamisisha5 жыл бұрын

    Hawa watekaji kwenye nchi huru wanatokea wap!? jamani serikali mko wap tuelewe nn ktk hili suala la utekaji holela wa raia?

  • @gracemima5234

    @gracemima5234

    5 жыл бұрын

    Unaaminije kuwa watu hawa wanasema ujweli? Hawa ni watu walioziwea kuvuna bila ya mashamba, wameshindwa na masikini ya Rais wanaona watunge story za kijinga. Imekuwaje huyu bwana kupatikana Mombasa?

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.3894 жыл бұрын

    Yaani watekaji wampe mda mme wako akupigie nakukuambia baby nenda nyumbani. Pumbavu zenu watanzania mnatumika vibaya sana.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah64745 жыл бұрын

    Pole sana ila

  • @johnbosco8914
    @johnbosco89145 жыл бұрын

    Pole Sana kwa yaliyowapata Wewe n.a. Mumeo.

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher47955 жыл бұрын

    Pole sana shem mungu amlinde mumeo huko alikopelekwa.

  • @gracemima5234

    @gracemima5234

    5 жыл бұрын

    Huyu bwana kajioeleka mwenyewe Mombasa akimukimbia Zitto Kabwe

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa70215 жыл бұрын

    Pole sana dear😭

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    Kama movie vile nchi hii daaah

  • @frankkway5283
    @frankkway52835 жыл бұрын

    Hivi ichi kikundi cha “watekaji” kwenye nchi huru kama hii kinaongozwa nanani? Kwanini ao watu awakomi kufanya hivi vitendo vya utekaji? Hii nguvu ya utakaji tena mchana kweupe wanatoa wapi? Mpaka leo vyombo vyetu vya usalama avijui ni wakina nani wanao fanya hivi? Inaumiza sana........

  • @kudraomar7053

    @kudraomar7053

    4 жыл бұрын

    frank kway unaumizakichwa watekaji ni selikali wanajuana

  • @sophykambi5614
    @sophykambi56145 жыл бұрын

    Mungu ndio hakimu wa haki

  • @rweyemamueustace1706
    @rweyemamueustace17065 жыл бұрын

    Kwa Msiba,no problem. Pole

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo30645 жыл бұрын

    mwenyezimung amrejeshe haraka salama:

  • @dinhamvenance7367
    @dinhamvenance73675 жыл бұрын

    pole my sis Vero...Mungu aendelee Kuilinda familia yako🙏😢

  • @vitusprotus8877
    @vitusprotus88775 жыл бұрын

    🙅🙏

  • @taghashatv4095
    @taghashatv40955 жыл бұрын

    Jambazi akubembeleze kweli nawewe nishahidi tafakari kabla

  • @remmyonlinetv1655
    @remmyonlinetv16555 жыл бұрын

    Mungu ni mwaminifu katika yote.Hakika amekuonekania katika gumu hili.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38995 жыл бұрын

    pole sana mwanangu ila tuangalie vitu vyengine wanavyovipenda wenzi wetu kama vina hatari tuwashauri kuachana nayo sababu likitokea kama hivyo tunoteseka na watoto ni ss wanawake.

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari51085 жыл бұрын

    POLE SANA DADA YANGU.MUNGU AMUIFADHI SALAMA NA AMREJESHE SALAMA.

  • @aisatahaisatah2612
    @aisatahaisatah26125 жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu unapitia wakati mgumu

  • @bahaliasimango3034
    @bahaliasimango30345 жыл бұрын

    Rais mbona kanyamaza kimya ina maana hayaoni?kwa sababu yeye ndiye mkuu wa nchi mbona hana wasi wasi.

  • @dativaherman9235
    @dativaherman92355 жыл бұрын

    Pole da Vero kwa nguvu ya Mungu atapatikana

  • @mirajimiki3780
    @mirajimiki37805 жыл бұрын

    Njoo upumzike Zanzibar dada uondowe mawazo huku utulivu na hali ya hewa safi..

  • @eustacevenant4567
    @eustacevenant45675 жыл бұрын

    Una Imani kubwa MUNGU Anasimama na Wewe!

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo47605 жыл бұрын

    Pole Sana sana Vero 😢😢😢😢

  • @thadeimatenga4397
    @thadeimatenga43975 жыл бұрын

    This is Tanzania bwana na watatekwa sana na wasiojulikana.

  • @ombennassary7438
    @ombennassary74385 жыл бұрын

    Yote ni watu kukosa hofu ya Mungu cha msingi tumuombe Mungu watu wawe na hofu ya Mungu

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11665 жыл бұрын

    Na hawa watekaji kwanini hawawakamati chama tawala wanakamata wapinzani tuuu

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut81445 жыл бұрын

    Wekaaa tarehee kwenye taarifa zako@millardy ayo

  • @markndibalema5678

    @markndibalema5678

    5 жыл бұрын

    Ya nini

  • @missmoona4497
    @missmoona44975 жыл бұрын

    Tulipumzika hapa kat hao watu wasio julikana sasa wameanza tena. Mungu amsimamie huko aliko mumeo dada

  • @abasiachimika541
    @abasiachimika5415 жыл бұрын

    mtatuwa weng mjiandae

  • @goldchannel4866
    @goldchannel48665 жыл бұрын

    Mnaichafua nchi majambaz gan wanakubeleza had mumeo anakwambia baby Nena nyumban mnaboa

  • @ayubunsajigwa3935

    @ayubunsajigwa3935

    5 жыл бұрын

    Tumia Akili kwa kuunganisha doti hao sio majambazi

  • @goldchannel4866

    @goldchannel4866

    5 жыл бұрын

    @@ayubunsajigwa3935 hiyo ni Sinema hakuna jpya

  • @paulkisatulusana1142
    @paulkisatulusana11425 жыл бұрын

    Wamhoji Zitto vizuri atakuwa na Habari kamili

  • @bennympatanishi8341

    @bennympatanishi8341

    5 жыл бұрын

    Jitambue

  • @paulkisatulusana1142

    @paulkisatulusana1142

    5 жыл бұрын

    BENJAMINI MUYENGI jitambue mwenyewe Huwezi elewa kuna maigizo hapo

  • @barutisaidi110
    @barutisaidi1105 жыл бұрын

    halafu mnasema Tz yaamani aman gani kutekana tekana

  • @alexkachemu7957
    @alexkachemu79575 жыл бұрын

    Lakini hivi vitndo vimezidi sana.

  • @reachthegoal7624
    @reachthegoal76245 жыл бұрын

    Majaribu ni mtaji labda lingekuwa kwa mwingine asingeweza hata kuzungumza hivyo. Ombeni bila kukoma. Dumu ktk kuomba zaidi.

  • @zachariasumisumi4907
    @zachariasumisumi49075 жыл бұрын

    Pole sana dada Mungu atakusaidia Maana yeye Ndiye ajuajye

  • @amourabdallah2978
    @amourabdallah29785 жыл бұрын

    Wanawake wakitanga ukipotea wanafanya bati kamwe hata machozi hayatoki

  • @margarethkitalu3105

    @margarethkitalu3105

    5 жыл бұрын

    Huyu mkenya Sio mtanga

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya7145 жыл бұрын

    So,so,so,so, cm'on get serious.

  • @halimaomari7589

    @halimaomari7589

    5 жыл бұрын

    Umeona eeeeeh!!

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai85775 жыл бұрын

    I’m so sorry 😐 did you see any face ?

  • @yusuphsanga3762

    @yusuphsanga3762

    5 жыл бұрын

    Wanatekwa na watu watekwa sana na watu wasio julikana

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare47875 жыл бұрын

    Tanzania ya Viwanda

  • @farajaluvanda1242
    @farajaluvanda12425 жыл бұрын

    Ni bora tu nikae hukuhuku Namibia maana naona sasa nchi yangu Tanzania 4+4=44√.

  • @credychipungahelo1515

    @credychipungahelo1515

    5 жыл бұрын

    Unayako sio kwa ajili ya haya

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    ss na mm nafikaje uko jaman maana!

  • @msingidamtz6680
    @msingidamtz66805 жыл бұрын

    Hayo maelezo Mbona kama ni stori ya kutengeza yaani mpaka mkuu watukio unamjua!!!!? Yaani watanzania tutafakari sana haya matukio

  • @emmanuelbonaventura4258

    @emmanuelbonaventura4258

    5 жыл бұрын

    Na wewe katengeneze ya kwako kama unadhani hivyo

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange13705 жыл бұрын

    Ila mdada mrembo mno

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    @Ali Ali htr.,chaggaz tena!

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    borz umenisaidia thaminisha!

  • @samusonibalazingiza3689
    @samusonibalazingiza36895 жыл бұрын

    Nchi inatisha kwa sasa duh

  • @taghashatv4095
    @taghashatv40955 жыл бұрын

    Gari yenu ilikuwa haina Rivas? Alafu kama nikweli mbona umejipamba sana

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    5 жыл бұрын

    LoL kajipamba Sana???? Ama kweli

  • @geoffreymwarabu8323
    @geoffreymwarabu83235 жыл бұрын

    pole sana but hizi cinema zitaisha lini?

  • @mabruqjumamponda7629
    @mabruqjumamponda76295 жыл бұрын

    Ahh mbona huyu dada yuko sawa hana hisia zakama mnamke mume wake katekwa,even though kasema yeye ni strong women...bado semeni kweli

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    5 жыл бұрын

    Sababu ana elimu. Si mwanamke wa uswahilini mashambenga wa kuku za mambo. Ana deal na issue as they unfold

  • @ashaali7154

    @ashaali7154

    5 жыл бұрын

    Ulitaka aonekane vipi?

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete12285 жыл бұрын

    Mtajua hamjui,huyu ni Mkenya mwezetu,plz let him be found in one piece.Hatutaki ujinga wa CCM.

  • @ramseyhusseinkhamis8258

    @ramseyhusseinkhamis8258

    5 жыл бұрын

    Usiseme hauwelewi tumia akili tokea yalipoanza matukio kama haya mpaka Leo hamjaelewa tuuu mengine yanafanyika kuichafua serekali jamani

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    niandalie makazi naja huko ndg maana dooh!

  • @credychipungahelo1515
    @credychipungahelo15155 жыл бұрын

    Maelezo mengii hayana mwisho wa taarifa sijui tuanzie wapi

  • @kimitochacha6275

    @kimitochacha6275

    5 жыл бұрын

    Frai kwa kuwa hayajakufikia yakikufikia utajua

  • @evamlay8997

    @evamlay8997

    5 жыл бұрын

    siku yakikukua utaimba

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu5 жыл бұрын

    It is a Crime to Hold anybody beyond 24 hrs. It is Illegal / Unconstitutional for TISS or Presidential security to Arrest anyone. And even when arrest is Legal it is a Crime to hold somebody without Processing him (Booking) It is Illegal to hold anyone more than 24 hrs without taking him to Court.

  • @albatrose9865
    @albatrose98655 жыл бұрын

    This is terrorism at the highest level.

  • @eustacevenant4567
    @eustacevenant45675 жыл бұрын

    Wametekwa na vyama vya Upinzani!

  • @samsonfulgence6170

    @samsonfulgence6170

    5 жыл бұрын

    Sasa vyama vya upinzani viko juu ya sheria? Na kama unajua hivyo kwanin usipeleke ushahidi wako huo polisi? Yaani Eustace bwana! Nakuhurumia sana. Marne ya 21 bado tuna watu wenye akili ya kiwango hicho😎!

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo25675 жыл бұрын

    Drama zinaendelea, ...... hakuna mpya

  • @emmanuelzwallo3933

    @emmanuelzwallo3933

    5 жыл бұрын

    Angalia anayesimulia kwanza ndo ujue uharisia wa tukio.

  • @ramseyhusseinkhamis8258
    @ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын

    Matukio mengine mwayatengenaza nyie wenyenu kutaka kuipakazia serekali

  • @charlesmpemba9387

    @charlesmpemba9387

    5 жыл бұрын

    Kwelii kabisa.

  • @ignasyluena9197

    @ignasyluena9197

    5 жыл бұрын

    Dah 🤔

  • @stanslauslawa4777
    @stanslauslawa47775 жыл бұрын

    Unatuzingua bhana mara waliondoka wote mara walibaki wawili sasa tushike lipi?

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81145 жыл бұрын

    vyama kwa kweli vinaendeleea kuteka akili zetu dah haya tumuachie mungu

  • @ramseyhusseinkhamis8258

    @ramseyhusseinkhamis8258

    5 жыл бұрын

    Wasenzi hawaaaa

  • @colepapichulo4422
    @colepapichulo44225 жыл бұрын

    Ushauri Wangu tu kwa zitto kabwe next time mipango kama hii mke asijue yy abaki kuamini kuwa tukio ni la kweli,Dada amefeli kuonyesha uhalisua Wa tukio

  • @yassirkipemba7889
    @yassirkipemba78895 жыл бұрын

    mbona hulii sasa kweli ?

  • @emanuelurassa5574
    @emanuelurassa55745 жыл бұрын

    ni saidien huyu anakaa mke wa muheshmiwa yuko kama mcheza shooo

  • @hashimabdallah673
    @hashimabdallah6735 жыл бұрын

    Hawa wanawake wote wenye wapenzi chadema wanajua neno "so" of course "then " and that is round saa so kesho take nitaenda one of the stop hawajui kiswahili hata kidogo

  • @arodiadeogratias6457

    @arodiadeogratias6457

    5 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @elizabethmabula101

    @elizabethmabula101

    5 жыл бұрын

    😂 😂

  • @halimaomari7589

    @halimaomari7589

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @luganomwambulukutu5311
    @luganomwambulukutu53115 жыл бұрын

    Mbona mnajiteka

  • @ramseyhusseinkhamis8258

    @ramseyhusseinkhamis8258

    5 жыл бұрын

    Hawa wanajiteka wanyewe hawaaaa

  • @zagaronondo8130
    @zagaronondo81305 жыл бұрын

    .mzungu frani iv

  • @obbymwakasoke9842
    @obbymwakasoke98425 жыл бұрын

    wanaotekwa wote ni wale wenye itikadi ya upinzani tu cjui ni kweli au nimekosea

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo5645 жыл бұрын

    Wewe dada acha maigizo huwezi simulia tukio la namna hiyo muda wa dk 3 usitoe machozi ningekuwa polisi wewe ndiyo ungekuwa mshitakiwa namba moja

  • @kibokongurai4488

    @kibokongurai4488

    5 жыл бұрын

    tumia akili wewe unahisi kulia ndiyo njia pekee ya kutatua matatizo uliyonayo hata kama ungekuwa polisi lazima ungekuwa wa MOMBASA TUU maana unapenda kulialia halafu mwanaume unadhani wewe utakuwa wa aina gani kama siyo mchele

  • @hassanmirambo564

    @hassanmirambo564

    5 жыл бұрын

    Kiboko Ngurai dada zako hawaolewa nipo muoaji ili aje akusibitishie hata polisi wa mombasa ni polisi muulize vizuri mama yako asili kabisa ya baba yako ni wapi kama hajakuambia ni mtu wa mombasa halafu umuulize nae baba yako kama anafirwa

  • @kibokongurai4488

    @kibokongurai4488

    5 жыл бұрын

    @@hassanmirambo564 ahahahaha hujanielewa ndugu mimi kenya ni home land na mombasa ni mji wetu pia but kuna watu kama wewe wapenda kulia lia ndiyo michele kama wewe ok hata dada alisema wewe si mzima ndiyo maana kaludi nyumbani maana umemshindwa ahahaha

  • @geoffreymwarabu8323

    @geoffreymwarabu8323

    5 жыл бұрын

    hizi cinema zitaisha lini jamani?

  • @emmanuelzwallo3933

    @emmanuelzwallo3933

    5 жыл бұрын

    Anajua movie kamili

  • @emanuelurassa5574
    @emanuelurassa55745 жыл бұрын

    muheshimiwa gan ana jiendesha mwenyewe kama unaakili timamu mskize huyu mpuuzi ulionaje wkichukuw ivyo vitu vyote wakat ulikuwa umeina mishwa

  • @ostackkinglaba9550

    @ostackkinglaba9550

    5 жыл бұрын

    wewe Emanueli mbwa kweli kama unatetea chama chako ccm ,

  • @emanuelurassa5574

    @emanuelurassa5574

    5 жыл бұрын

    nikama umeumwa eeee ubya mi snaga chama ata kura spigyag kaz kwako usio tazama maisha yako unakazan na vyama k wewe

  • @dinnarandrew1982

    @dinnarandrew1982

    5 жыл бұрын

    Anaongea kwa comfidence mno wakati mume wake bado kupatikana🤔Mimi ningekuwa hoi

  • @mamadanhelena8190

    @mamadanhelena8190

    5 жыл бұрын

    Ni rahis kuelekeza wachimbaji wa kaburi ikiwa hujafiwa ww lakn ukifiwa ww n ngum kdgo byyyyy

  • @edesiuskuyasiwa6352

    @edesiuskuyasiwa6352

    5 жыл бұрын

    Huyu jamaa hayupo vizuri mumpuuze

  • @sabraham5308
    @sabraham53085 жыл бұрын

    Hii ndio Tanzania ya Magufuli,na ndio serikali ya CCM,kwa hiyo binaadamu mwenye fahamu zake kamili,ataamua na kufahamu,haki za kiraia na wananchi,namna gani zilivyokosa haki na amani,hizi ni mbinu za kuweka sheria na haki pembeni,ambazo kuna wengine ziliwapotezea maisha,tokea serikali hii ilipoingia madarakani,2015,suala sifa gani kubwa tuipe serikali hii?,kutawala kwa namna hii ndio,alama ya mafanikio yetu,?,jee hukumu ya makosa inahukumiwa kisirisiri,au kwenye mahakama zilizoteuliwa na kuongozwa kwa sheria zenye mezani ya haki?,hawa watekaji,wanapata wapi haki ya kumdhulumu raia aliye huru?,hizi ndio haki za kibinaadamu?na hili ndio lile taifa linalojisifia kwamba ni la amani?.

  • @ramseyhusseinkhamis8258
    @ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын

    Wewe dada acha unafiki

Келесі