MJADALA WA UTATU...NDACHA NA MCHUNGAJI DICKSON.

Ойын-сауық

MJADALA WA UTATU...NDACHA NA MCHUNGAJI DICKSON.

Пікірлер: 284

  • @tovokojuma5186
    @tovokojuma51867 ай бұрын

    Pastor Ndacha is a language analyst. The arrangement of words in a sentence have a lot of meaning.

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 Жыл бұрын

    Mtumishi Dickson ameonekana kuwa na ugumu kujitetea, simulaumu ila ni jinsi tulivyofundishwa.

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 Жыл бұрын

    Nilichojifunza kuna asili na nafsi, tukielewa hilo mjadala utakuwa umeisha!

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841Ай бұрын

    Ndacha uko sawa

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841Ай бұрын

    Kutetea utatu kazi sana siwez hata kuhubr utatu maana watu wabishi

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Жыл бұрын

    Wakwanz leo tunakupata xana mwarimu ndacha mungu mbere God bless 🙏

  • @user-fz2ul7we2n
    @user-fz2ul7we2n Жыл бұрын

    Hii fundisho la nafsi tatu zinazoungana kuwa Mungu mmoja hata kwangu imekuwa ngumu kuelewa, Ukisema Mungu yuko na nafsi tatu zilizo sawa za milele, kwanza unakataa kuwa Yesu ni Mwana Wa Mungu, kwa maana Mungu akiwa ni wa nafsi tatu lakini zote zinafanya Mungu mmoja sasa Mwana wa Mungu ni yupi hapo? Pili, Maandiko yanasema Mungu ni Mmojoa wa pekee wa kweli, Na huyu Mungu mmoja wa pekee wa kweli yuko na nafsi moja tu (ndio maana katika Yer.22:5 anasema "...........................naapa kwa nafsi yangu"). Kama angekuwa ni Mungu wa nafsi tatu angesema "Naapa kwa nafsi zangu". Sasa Swali kwa wana utatu, ni kwamba wakati Mungu anasema "naapa kwa nafsi yangu", hizi nafsi zingine zilikuwa wapi mpaka asema naapa kwa nafsi yangu? Hata mimi nikisoma nukuu za EW kuhusu Mungu wa pekee wa kweli na Bwana mmoja Yesu Kristo aliye mwana wa huyo Mungu mmoja wa pekee, namuelewa vizuri na imenifanya nimuelewe Mungu vizuri kuliko hili fundisho la utatu ambalo silielewi kabisa, na sioni tofauti la fundisho la trinity la SDA na lile la Roman Catholic, ni kitu kimoja tu-No difference na hata hawawezi kutofautisha it is one and the same thing.

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @francismwendantoburi6942

    @francismwendantoburi6942

    11 ай бұрын

    pastor ikihubiri niskie kuna some misunderstanding ,polepole tu natoka juu sitaki kubishana, understanding is given from above not from any other source.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    @soloartist_ivanvespalusind1609

    8 ай бұрын

    Mijadara na Waislamu imeshatuharibia Ndacha wetu. Mungu huyu asiyechunguzika amejifunua kidogo sana juu ya uungu wake na kujifunua kwake kunadhihirisha yeye siyo kiumbe bali ni Mungu muumbaji, kwamba yeye si wakawaida mpaka umuelewe unavyotaka wewe umuuelewe unavyotaka wewe. Mungu amejifunua yeye mwenyewe katika BIBLIA kuwa yeye ni MMOJA (MUNGU NI MMOJA (constantly)) na wakati huohuo amejifunua kuwa yuko katika NAFSI TATU (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu). Jambo hili halipo kikawaida anavyotaka ndacha kama wanavyotakaga waislamu kuwa kama Yesu ni Mwana wa Mungu na Mungu ni Baba basi waonyeshwe Mama. Kifupi Ndacha ameambatana na Waislamu kupinga uungu wa Yesu, bado tu hajawa moja kwa moja, anajifanya atupa aina za uungu kwa Yesu ni Mungu kwa aina fulani ya uungu. Hapana Yesu ni Mungu kwa uungu mmoja wa Mungu mmoja. Binafsi naamini Mungu hahitaji tumjue physically na pengine milele zote hatutamjua typical isipokuwa kwa kiasi alicho / atachojifunua tu yeye mwenyewe. Kwanza hiyo hesabu inayogoma kibinadamu ya kusema Mungu mmoja katika nafsi tatu ndo inanifanya kumuona Mungu ni waajabu kwelikweli. Kutochunguzika ni sifa yake, yeye ni Mungu asiyechunguzika.

  • @jcwanyoike2757
    @jcwanyoike2757 Жыл бұрын

    Dickson,ubishi na neno lililo wazi kwa maandiko.Kutetea utatu kweli ni shida kubwa

  • @MichaelMasabiro-is4mo
    @MichaelMasabiro-is4mo Жыл бұрын

    Ndacha God bless you

  • @frankwilliams2018
    @frankwilliams2018 Жыл бұрын

    Nimepata vitabu kadhaa I will print wakristu wajue ilianza lini na wapi na nani na madhara ilileta . Wengi walikufa kwa kutaa utatu mtakatifu utatu ni uhongo. Ndacha unasema ukweli utatu ni uhongo. Kiti cha tatu ni cha shetani. MUNGU ako kazi mtetemeko ndio huo ndacha anatetemesha. Kwani watu wame lala kiwango gani. But MUNGU hugusa watu differently

  • @sda3angelmsger

    @sda3angelmsger

    Ай бұрын

    Hizo vitabu tutavipata wapi

  • @mhandoonthebeats8581
    @mhandoonthebeats85819 ай бұрын

    Ndacha yupo sawa na helen yupo sawa kulingana na maandiko Yesu ni mwana wa Mungu tangu akiwa mbinguni na Ana asili ya uungu 🎉🎉

  • @simeonmazigo5918

    @simeonmazigo5918

    3 ай бұрын

    Unataka kusema Mungu alizaa?

  • @mhandoonthebeats8581

    @mhandoonthebeats8581

    3 ай бұрын

    @@simeonmazigo5918 kwa Mujibu wa maandiko ndio unataka kusemaje wewe

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    We need guidance of God's spirit to understand God,God loves us even as we seek to understad his ways,he knows our thoughts.😢

  • @wowclipskanairokenya2406

    @wowclipskanairokenya2406

    11 ай бұрын

    The devil is the author of confusion, so God Almighty can not let His people get confused for His pleasure

  • @gideonkips5621
    @gideonkips56219 ай бұрын

    Mimi ni an Anglican and I believe in one God the father and his son Jesus Christ and the HOLY SPIRIT the helper

  • @clewis520

    @clewis520

    11 күн бұрын

    … River shaika

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 Жыл бұрын

    Soma katika 1 John 5:8 inasema watatu Hawa ni umoja ( Baba, Mwana, Roho)

  • @ruthfidelaitangishaka8364

    @ruthfidelaitangishaka8364

    Жыл бұрын

    Umoja hapana mmoja

  • @millereliteendtimeministry6621
    @millereliteendtimeministry6621 Жыл бұрын

    Earthly trained pastors, without humility of a child, cannot grasp simple biblical concepts!

  • @thefountainsofhopeministry2023

    @thefountainsofhopeministry2023

    Жыл бұрын

    It's even more worse for untrained laymen without humility it's a disaster like in this case

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    6 ай бұрын

    Ok so where do we get heavenly trained pse.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16098 ай бұрын

    Sidhani kama kuna siku mtu atamchunguza na kumuelewa Mungu kwa 100% na ikitokea hivyo Mungu atakuwa amekomea hapo kuwa Mungu. Ndacha ametafuta kubalance hesabu inayogoma milele kibinadamu kuwa Mungu ni mmoja katika nafsi tatu. Kwa formula yake ya aina za uungu amekataa nafsi tatu na kusema Mungu ni mmoja katika nafsi moja. Hapo mwenzetu hana fumbo tena, amemuelewa Mungu kwa asilimia 100%. Si kweli. Mungu mmoja katika nafsi tatu ni fumbo linalohitaji imani. MUNGU NI MUNGU ASIYECHUNGUZIKA

  • @christophermalango1433
    @christophermalango14334 күн бұрын

    Huyu Bwana Dickson ni tatiza sana hafai kuwa mwalimu atapotosha watu

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka94702 ай бұрын

    Nafsi roho ni moja ila utendajikazi tofauti. Zamani mungu alijulikana kama baba,akaja kwenye mwili akajulikana kama mwana na ulimwenu uka muona. Sasa leo anakaa nakutenda kazi ndaniyetu kama roho mtakatifu ila nafsi ni ileile.

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 Жыл бұрын

    Baba ni Mungu katika nafsi, Mwana na Roho sio Mungu katika nafsi.... Still taking notes

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @antonymuturi6982
    @antonymuturi6982 Жыл бұрын

    I commend pastor dickson for accepting to have this debate, the only down side is he came with a hardline stand and not ready to learn from the person he is debating with.

  • @stephenirungu2307

    @stephenirungu2307

    Жыл бұрын

    So this is not a debate according to you ....there is a person who knows and the other don't know....

  • @antonymuturi6982

    @antonymuturi6982

    Жыл бұрын

    @@stephenirungu2307 I never said that, I just highlighted an observation I made, that pastor Dickson is unwilling to learn due to his hardline stand unlike Francis, and this is the issue with so many people not willing to unlern something they have believed to be right for so long.

  • @francismwendantoburi6942

    @francismwendantoburi6942

    11 ай бұрын

    Dacha is very right,,but Dickson anakatalia kwa kuelewa kwake tu.

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qb Жыл бұрын

    Ndacha anaeleweka yesu kuitwa mwana wa mungu ni mungu tayari ni mungu Kwa sababu ni mwana wa mungu moto wa Simba ni Simba

  • @jjtm164

    @jjtm164

    10 ай бұрын

    Trinity 1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one. Are they doing the same job?

  • @martinkimathi-oh6eg
    @martinkimathi-oh6eg Жыл бұрын

    Asante mwalimu ndacha kwa kutetea kweli

  • @simeonmazigo5918

    @simeonmazigo5918

    3 ай бұрын

    Amepotoka Muwez kumfunga Mungu et hawezi kuwa hiv

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 Жыл бұрын

    Baba ni Mungu katika asili, Yesu ni Mungu katika asili, Roho ni Mungu katika asili!

  • @jeanefelix70

    @jeanefelix70

    Жыл бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔 wa Mungu watatu😢

  • @isaacobiero296

    @isaacobiero296

    Жыл бұрын

    @@jeanefelix70 katika asili

  • @jeanefelix70

    @jeanefelix70

    Жыл бұрын

    Ulisoma biblia ya wapi inayo sema kwamba roho ni Mungu kando na Baba?

  • @jeanefelix70

    @jeanefelix70

    Жыл бұрын

    roho sio nafsi ni uwepo wa Mungu Baba na Yesu

  • @isaacobiero296

    @isaacobiero296

    Жыл бұрын

    @@jeanefelix70 so Roho sio nafsi na sio asili

  • @mush337
    @mush337 Жыл бұрын

    Yesu ni mfano wa mungu asiyeonekana,Kwa hivyo Mungu asiyeonekana ni Roho mtakatifu,baba na mwana wake Wana umbo linaonekana Kwa hivyo huezi sema hao hawaonekani

  • @waruikangethe1820
    @waruikangethe18206 ай бұрын

    Only the son knows the father and only the father knows the father

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    6 ай бұрын

    In this case where is the mother n wife

  • @sashalemmoh3264
    @sashalemmoh32648 ай бұрын

    Mungu akubaliki mwalimu ndacha kwajina labwana wetu sesukricto

  • @leomika8473
    @leomika847310 ай бұрын

    Yan nashangaa siku zamwisho zimekaribia wakristo wameanza kupingana

  • @victorisadia6936
    @victorisadia6936 Жыл бұрын

    watu wa utatu hawana maandiko ya kusoma mbele ya watu. Dickson anajiumauma midomo tu

  • @samuelnyaachi7094

    @samuelnyaachi7094

    Жыл бұрын

    Lambda hujasoma 1John 5:7,8; Mathew 28:19

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @truth7796
    @truth7796 Жыл бұрын

    Ndacha you're right my the spirit of God be with you

  • @francismwendantoburi6942

    @francismwendantoburi6942

    11 ай бұрын

    AMEN,. I like the understanding of ndacha in all aspect. I dearly judge what I know .Dickson accept

  • @powersetmentors8833
    @powersetmentors8833 Жыл бұрын

    Mimi nimechekeshwa na Dickson Kwa kusoma personality na kushindwa kuelewa personality ya Yesu as the Son of God

  • @jjtm164
    @jjtm16410 ай бұрын

    🎉Trinity 1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one. My question, are they different?

  • @lamechasuma1952
    @lamechasuma1952 Жыл бұрын

    Kanisa liko taabani kweli, waacheni hao ni wachungaji vipofu wasiosoma maandiko, eti yeso si mwana wa Mungu

  • @francismwendantoburi6942

    @francismwendantoburi6942

    11 ай бұрын

    mie nacheka tu

  • @stephenirungu2307
    @stephenirungu2307 Жыл бұрын

    Do we really need to discuss who God is???and should that bring differences in the house of God.....Father help us to know you for many are times we use our minds to describe you and none has ever seen you...Mungu ombi langu jioni ya leo tujalie neema yako.

  • @emmanuelkaberia

    @emmanuelkaberia

    Жыл бұрын

    If we don't need to know who God is we don't need to worship him since we can't worship who we don't know.

  • @kevinjoash7

    @kevinjoash7

    Жыл бұрын

    Lazima tuabudu tunachokijua hatuwezi abudu tusichokijua

  • @stephenirungu2307

    @stephenirungu2307

    Жыл бұрын

    So you mean we need to draw all our attention and power to discuss who God is...and what is its importance if we know of it that either God is ...Father son and Holy spirit or Father and His Son And Holy spirit????? I see the point of discussion here is not really to be discussed and also it should not draw and also it should not make others separate from the community of believers but anyway God show us the way for we do not know

  • @emmanuelkaberia

    @emmanuelkaberia

    Жыл бұрын

    @@stephenirungu2307 My friend me you mean that we should not search to know who GOD IS? and we need to worship God whom we do not know who he is. then you mean that direct idolaters are also right because also they did not need to listen the scriptures and learn the who is the true God from you. then if we we don't need to know who God is, what is the scripture for? in which God is reveling to us who He is? are you a christian?John 17:3 King James Version 3 And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou hast sent. 🖕🖕🖕 👇👇👇 for we to get eternal life we need to know who is the only true God and Jesus Christ. rather than that, hell.

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "GODHEAD" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwanamume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizi. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie alie mfunulia maneno Isaya na ndie alie mpatia wito wa utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni BWANA jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe. Binafsi naona hilo swala la GODHEAD limewekwa wazi kabisa kwenye maandiko matakatifu, tulia Soma vizuri kwa maombi pasipo kusimamia upande wowote kubali kujua mapenzi ya Mungu niyapi katka kujifunza, HOJA anazo toa Mwinjiristi ndacha nadhani hata yeye inabidi arudi kujifunza upya na aache misimamo ambayo haina faida, hilo ni neno la Mungu ni ELIMU watu wanajifunza hadi ngazi Za juu, sasa lazima wakati Mwingine ukubari kusikiliza kwa kujifunza nasio kwa kukosoa, Mahali hujaelewa uliza ujifunze, inamana Roho wa kuchambua maandiko anae yeye tu watu wengine hawana, binafsi mimi ni MTANZANIA simfahamu yeyote hapo isipokuwa kwa kuwafatilia mtandaoni, Ndacha amekuwa ni mtu ambae nilikuwa napenda mfatilia sana hasa hotuba zake na waislamu ziko vizuri sana Lakini kwa hilo la GODHEAD amefeli akajifunze tena, na huyó mchungaji anae hojiana nae hapo yupo Sawa Ndacha ndie hataka kuelewa nasio huyó mchungaji.

  • @gerardavalist-ob4ok
    @gerardavalist-ob4ok2 ай бұрын

    Ndacha mungu amsaidie (1)yohana5:20 yesu ni MUNGU WA KWELI

  • @hesbornogora5651
    @hesbornogora5651 Жыл бұрын

    Ndacha naomba usingatie amri ya kristo. Kwamba, ufalme ni kwa waaminio. Na hakuna atakayemjua Mungu bila kumuamini huyu yesu. Kwani yohana 1:1-4 waielewaje. Hili fundisho lako ni la kupigana na kanisa na kusudi la kulisambaratisha. Lakini ni dhahiri kwamba, neno la Mungu ni wazi likatimilike ndipo aje. 2 Thess 2:10

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 Жыл бұрын

    Kabla alikua kwa mungu kutumika kutekeleza agizo zote za mungu Moja muumba

  • @shadrackanyoka587
    @shadrackanyoka587 Жыл бұрын

    Those who are pastors and teachers carry the heaviest burden if they can't have a correct understanding of who God is it shall be but futile.

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu ni Utatu kwa mwili Moja,Mungu Baba,Mungu Mwana na Mungu Roho mtakatifu.

  • @carolinekemunto2632

    @carolinekemunto2632

    Жыл бұрын

    Toa andiko linalosema hivo kua Mungu mmoja n utatu

  • @davidochiengbuoga7165

    @davidochiengbuoga7165

    Жыл бұрын

    Mungu ni mmoja ambaye amejifunua kwa mwanadamu katika sehemu tatu.Kama Baba Mungu,kama Mungu Mwana,kama Rioho Mtakatifu 12:26

  • @isaiahonyapidi5662

    @isaiahonyapidi5662

    Жыл бұрын

    Wewe ni mkatoliki mchungaji wako anaenda choo sana

  • @queenesther8505

    @queenesther8505

    Жыл бұрын

    @@isaiahonyapidi5662 my fellow christian talking this,I'm sorry,I choose to forgive,I'm not a Catholic but I have personal relationship with Jehovah God,Jesus Loves you,repent.😭

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @MeshackTanui-w2j
    @MeshackTanui-w2j7 күн бұрын

    Pastor Dickson wacha ujinga kutetea vitu akuna😂😂😂

  • @JacobMulli
    @JacobMulli Жыл бұрын

    And the word was made flesh, Jesus said my words are spirit and life, Emmanuel means God with us ,Our God is one and the three bare witness at heaven the father, the word[Jesus] and the HOLY spirit and these three ARE ONE. Jesus said who has seen me has the father. In SHORT THERE IS ONLY ONE GOD, HE IS SEEN AS the father/ Creator , son / redeemer, and the holy spirit/ miracle worker the same way , I can be a father, a son and a barber those are not separate me's but One . LASTLY, {DEU 6:4 Hear, O Israel : The LORD our God is one LORD] Please, God is not author of confusion he his one.

  • @johnawinda2165

    @johnawinda2165

    Жыл бұрын

    Andiko ?

  • @JacobMulli

    @JacobMulli

    Жыл бұрын

    @@johnawinda2165 14 And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth. [ John 1: 14]

  • @JacobMulli

    @JacobMulli

    Жыл бұрын

    Hope, umesaidika ?

  • @JacobMulli

    @JacobMulli

    10 ай бұрын

    andiko ni hilo hapo juu, soma @@johnawinda2165

  • @user-mu4qw2jx2f
    @user-mu4qw2jx2f Жыл бұрын

    Ndacha,Get blessed

  • @FredOdhiambo-he1rw
    @FredOdhiambo-he1rw Жыл бұрын

    Mtabisana adi yesu arudi, kuita yesu kristo, ni mungu kunamakosa wapi, nakama kuna kosa, nipeni jibu, kwa bibilia na kama akuna, yesu ndiye bwana wa mabwana, pilipo alitaka kujua mungu, yesu akamwabia niko nawe kilasiku ujanifaamu alie niona amemuona mungu, ukipata yesu umempata mungu, yohana 14:8:10

  • @fm_tv

    @fm_tv

    10 ай бұрын

    SUALA SIO UUNGU WA YESU, HOJA NI UTATU

  • @MidoMidomore

    @MidoMidomore

    6 ай бұрын

    unashwindwa kujua hapo anaongea ni yohana

  • @mrjgrey100
    @mrjgrey100 Жыл бұрын

    Walikaa kikao.weuweeeh😂😂😂😂😂

  • @johnmuemawambua6019

    @johnmuemawambua6019

    Жыл бұрын

    Imagine, wakakaa kamati, ATI we baba, Mimi mwana, na yeye roho??! Ajabu😂😂.

  • @kakulemanase7225
    @kakulemanase72252 ай бұрын

    Ndasha réformateur. Hiyo fundusho la utatu si ukweli.

  • @DavidBarasa-jo9kt
    @DavidBarasa-jo9kt9 күн бұрын

    mwalimu ndacha, simlaumu ni mafunzo ya kanisa Ile anashiriki.

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 Жыл бұрын

    ROHO Kuna ROHO saba za mungu ambazo ni macho ya mungu ufu. 5:6

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo59183 ай бұрын

    Kama kunasomo nililielewa kwa undani ni Somo la utatu mtakatifu hata nikiwa usingizini nalifundisha vizuri mno Mungu mmoja mwenye Nafsi 3

  • @mhandoonthebeats8581

    @mhandoonthebeats8581

    3 ай бұрын

    Mmh wewe nawe Mungu mmoja mwenye nafsi tatu andiko gani linasema hivyo nipe andiko

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Dickson usipoelewa utakuwa wabisha Tu ndacha akosawa kabisa

  • @MosesMomanyi-rf1kn
    @MosesMomanyi-rf1kn Жыл бұрын

    apo mchungaji Dickson umechanganyikiwa

  • @James-fh3js
    @James-fh3js Жыл бұрын

    Ùùùiiii Pastor. Bwana awe nawe.

  • @powersetmentors8833
    @powersetmentors8833 Жыл бұрын

    The word was God, Dickson haelewi hilo neno Kwa kigiriki linamaanisha "as divine as God the Father."

  • @ellyothim355
    @ellyothim355 Жыл бұрын

    It will take time,but finally you'll understand that Jesus is the Son of God,

  • @xogmalxarandid9369
    @xogmalxarandid93696 ай бұрын

    Dini ya kweli mpele ya mwenyezimungu ni uislamu Hiyo ni Aya . Na yesu na Ibrahimu na daudi na Mohamed na wengine wengi ni mitume na mungu ni mmoja na hiyo nafsi tatu mmoja ni yesu na mmoja ni malaika Gabriel ambaye ni roho mtakatifu na mungu mwenyewe hakuna kitu inaitwa utatu ni game ambaye imetengenezwa na upagani ili wapoteze watu Kwa njia ya haki

  • @uwayolove
    @uwayolove9 ай бұрын

    right always lights in then dark

  • @user-ez6dw3xk6i
    @user-ez6dw3xk6i5 ай бұрын

    Ndacha atakusumbua tu shida lugha inasumbua mara anakubali mara anageuka achana naye yesu atamuelewasha mwenyewe Kama paulo

  • @alexmulili-tc8vj
    @alexmulili-tc8vjАй бұрын

    Ndacha please explain Isaiah 9:6-7. Acts 5:1..., Matthew, where Jesus himself asks us to baptise in three persons, in singular forms each, explain why God sent the spirit after Jesus ascension to help us in john 14, using yours understanding. Finally explain why God the father is calling His son God, when He himself is the God according to your explanation.

  • @elicknyega7317
    @elicknyega7317 Жыл бұрын

    Mungu akubariki ndacha

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @jacklinekhatenje

    @jacklinekhatenje

    Жыл бұрын

    Ndacha ubarikiwe sana umetufunua mwacho yaliyo funikwa na watidh wa uongo

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz Жыл бұрын

    Wacheni kubishana ombeni MUNGU awafunulie

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252 Жыл бұрын

    Ndacha kama wataka kuingia dini ya uislamu karibu hiyo ndio dini ya kweli waislamu wamekufundisha kwanza ulikuwa ukisema yesu ni mungu sasa umeona ukweli Mungu ni mmoja asante

  • @johnawinda2165

    @johnawinda2165

    Жыл бұрын

    Lakini wa ndacha ako na mwana bila mke, wako ana mwana bila mke

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252

    @abubakarhajjabubakarhajj1252

    Жыл бұрын

    @@johnawinda2165 wangu hana mwana anaviumbe

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @isaacvtv547

    @isaacvtv547

    Жыл бұрын

    Hawajamfundisha, yeye hujisomea na kuelewa. Sasa kama wewe bado unasomewa na mwingine hata akikupoteza hutaelewa.

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252

    @abubakarhajjabubakarhajj1252

    Жыл бұрын

    @@isaacvtv547 mpaka ufundishwe ndugu yangu huwezi kujuwa mwenyewe naamini hata wewe hukujisomesha mwenyewe ulienda shule ukasomeshwa

  • @elijahmaragia1213
    @elijahmaragia12137 ай бұрын

    he who convinces you easily lies to you easily too. you do not claim giving space by taking away the same space.

  • @ezekielmwamba9106
    @ezekielmwamba9106 Жыл бұрын

    Oooho jamani mchungaji Dickson Osoro eti walikaa kikao wakaelewana Yesu akuwe mwana, swali kwa andiko gani? Yaani huu ni mshipa mkuu ndani ya GC SDA.

  • @ft90683

    @ft90683

    Жыл бұрын

    Yes,Zaburi 2:7

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @AshekironikamanyongaKama-yi3hg
    @AshekironikamanyongaKama-yi3hg6 ай бұрын

    Sema Baba

  • @samuelnyaachi7094
    @samuelnyaachi7094 Жыл бұрын

    1John 5:7-For there are THREE that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these THREE ARE ONE. (NA HII EVIDENCE WAPINGA TRINITY WATASEMAJE)?

  • @josephkanini1727

    @josephkanini1727

    11 ай бұрын

    That verse was added....am using KJV bible that young pastor uses

  • @samuelmwirabua7158

    @samuelmwirabua7158

    11 ай бұрын

    It is true this verse is nowhere in the original bible manuscript

  • @josephwainaina6442

    @josephwainaina6442

    10 ай бұрын

    1 Johana 5:8 [8]Roho, maaĩ, na thakame. Aira acio atatũ marutaga ũira ũhaanaine. And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one.

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 Жыл бұрын

    Kindly look for a minister who is not a Kisii😅 huyu Dickson anabebwa na hasira za ukisii, not open for new light!

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @danielkaniki7388
    @danielkaniki73888 ай бұрын

    YESU NI MUNGU KABISA SOMA 👇 Yohana 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Lakini pia ukisoma 👇 inazidi kuinyesha kuwa Mungu mwenyewe kabisa ni Yesu kristo 1 Timotheo 3 16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.

  • @MidoMidomore

    @MidoMidomore

    6 ай бұрын

    ww ndio hujui mafundisho ,itakuaje liwepo neno kabla ya mnenaji

  • @mrjgrey100
    @mrjgrey100 Жыл бұрын

    Eternal ni wa milele bwana dickson

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16098 ай бұрын

    Effects of Christian Vs Islamic debates. Ndacha sio mkristo tena, anajificha tu.

  • @SophiaMsigwa-lc3km
    @SophiaMsigwa-lc3km7 ай бұрын

    Kichwa kigumu sana Dickson 😢 hata kama Mimi nakichwa kigumu sijakufikia wewe

  • @MrKeyvo
    @MrKeyvo Жыл бұрын

    La illaha IllAllah

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 Жыл бұрын

    Ebrania 1:5_8_10 iko wazi

  • @michaelmusau6211
    @michaelmusau6211 Жыл бұрын

    Ndacha hili.somo.inahitaji roho mtakatifu

  • @cititechsolutions3269
    @cititechsolutions3269 Жыл бұрын

    Haaahaha ati munasema Dickson ni mchungaji? Wah dunia finished

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis Жыл бұрын

    Utatu wa nafsi katika mafundisho ya kweliii !! Hakuna kabisa

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @jacklinekhatenje

    @jacklinekhatenje

    Жыл бұрын

    ​@@stelacalavelmtepa2409 ww hukosi kuwa mwana wa Dickson uko all over the comment section kutetea uongo jameni .Kwa Bibilia hakuna Mungu mwana

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    @@jacklinekhatenje mimi napenda kujifunza Biblia, lakini Ndacha anacho fundisha bado hata yeye anahitaji kujifunza zaidi, maana nukuu hizo anavyo zitafsri, nikinyume kabisa na ufasiriji wa maandiko kitheologia. Amesha athiriwa na mijadara ya waislam mana ufasiri wake umekiuka misingi ya ufasiri wa maandiko matakatifu,

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Kama ni hivyo kwamba Hakuna utatu context ya mafungu haya(Mwanzo 1:26;3:22;11:7;Mathayo 28:19;3:16-17; Isaya 6:3 linganisha na Ufunuo 4:8) ni IP??? Kwa sababu Jina tu MUNGU, lipo kwa Plural form na wala sio Singular form Yaan ELOHIM nin hasa mantiki ya hiyo??? Naukumbuke kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza Kuna maelezo ya Musa na ya Mungu. Mfano; Genesis 1:26 "(A)Mungu akasema,(B) natumfanye mtu.. A-nitaarifa ya Musa kwa alicho sema Mungu B-Ndicho Mungu alicho sema Inamana Kama ingeandikwa kauli ya Mungu pekeyake Genesis 1:26 ingesomeka hivi "Genesis 1:26Natumfanye mtu kwa mfano wetu."" Angalia vizuri hayo maneno NATU na WETU ni wingi. SWALI langu ikiwa unakataa wingi ambao ndivyo anajifunua yeye mwenyewe, niambie wewe nini alimaanisha hapo?

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Na tuelewe kwamba unapo sema tu Neno MUNGU au GOD Hilo tu! 1.kwa lenyewe narudia kusema lipo kwenye Wingi nasio Mmoja kama unavyo zani, maana nineno la kiebrania yaani ELOHIM lililotafsiliwa kwa kingereza GOD kwa kiswahil MUNGU. 2.Katika Deu 6:4 lile Neno MMOJA sivyo kama unavyo dhani wewe kwa sababu Hilo Neno ukirejea kwenye asili yake ni ECHAD ambalo kiswahil kimelitafsiri MMOJA ni hilo utaliona limetumika pía kwenye Génesis 2:24: Halina tafsiri ya moja unayo dhani wewe ile uliyo fundishwa darasani, hii ni "moja" ya shule ya Mungu inahitaji IMANI pekee na daima inajifunua katika wingi

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 Жыл бұрын

    Ndugu zangu,fundisho la utatu mtakatifu ni fundisho la kipagani mimi ningali katika waadventista hawa wanaoamini mungu bandia wa trinity lakini mimi siamini utatu mtakatifu kabisa,natafuta kuondoka nijiunge na waadventista wasabato wana matengenezo.Utatu mtakatifu ni ushetani mkubwa na kejeli kwa Mungu mmoja wa Kweli baba wa Yesu Kristo.

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    6 ай бұрын

    mungu wa kweli mmoja tu ,muumba mbingu na ardi usie lala wape ufahamu hao viumbe vyako wapate kukuamini mwenyezi mungu mmoja

  • @njiasalamaniipi
    @njiasalamaniipi Жыл бұрын

    🤣 mCHUNGAJI ana teseka.

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb7 ай бұрын

    MATENDO YA MITUME 18:25-28 ninaomba kwa nee ma yaMUNGU awaongoze😊

  • @johnmuemawambua6019
    @johnmuemawambua6019 Жыл бұрын

    Andiko utafsiriwa na andiko, osoro anapotosha adharani masikitiko mkubwa!!😮😮😮

  • @SalvationmessageTv-2024
    @SalvationmessageTv-20242 ай бұрын

    Is the holy spirit GOD?

  • @opujejoshmahjoshmah1432
    @opujejoshmahjoshmah1432 Жыл бұрын

    watakuja kuelewa tu...kwanzia kwa manabii na mitume hawajakuwa na welewa wa utatu...bali MUngu ni mmoja tu na BWAna ni mmoja tu YEsu KRisto 1cor 8:6

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @millereliteendtimeministry6621
    @millereliteendtimeministry6621 Жыл бұрын

    Pastor Dickson Osoro, Was Jesus the Son of God before being born in Human form on Earth? Simple question!

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz Жыл бұрын

    Unajua bibilia ni maandiko sio Neno sababu watu urongwa kutumia bibilia lakini likiwana Neno hua ni moto

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Ndacha akosawa kabisa

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e6 ай бұрын

    Makafiri wapo kazini kutetea mshahara

  • @levimakaliakaphenacolletta5076
    @levimakaliakaphenacolletta50767 ай бұрын

    Definition of the word 'person' is a human being regarded as an individual as per google. This definition brings a lot of issues

  • @ibrahimabdallah5681
    @ibrahimabdallah56817 ай бұрын

    Bora leo mnabishana wenyewe kwa wenyewe hakuna dini hapo

  • @EmilyBiketi-rn9so
    @EmilyBiketi-rn9so Жыл бұрын

    Kumbe SDA walibandilisha mpaka logo.dunia imeisha ufalume wa giza unatawala.

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Dickson ameshindwa lakin hataki kusema ameelewa

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 Жыл бұрын

    Yesu anasema katika Biblia Mithali au Proverbs 8:23_25 kwamba alizaliwa kabla ya dunia kuumbea yani brought forth before the earth was ......

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e6 ай бұрын

    Sasa kama fundisho la utatu mtakatifu linaharibu nafsi ya mungu kwanini mnalitumia andiko hilo? Choma moto hilo andiko halifai au tupa kabisa kisionekane

  • @EmileClaver
    @EmileClaver9 ай бұрын

    Hata sisi ni wana wa mungu

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    6 ай бұрын

    kabisa,sisi pia ni wana wa mungu

  • @stezardwezaweza3884
    @stezardwezaweza3884 Жыл бұрын

    Kama Theologia ni kujitetea si kutetea neno la Mungu ,, Dickson anafanya huu mjadala huwe ngumu ata kuwatch because anafanya kitu kimoja kirudiwe rudiwe

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 Жыл бұрын

    Kuna mwili nafasi na ROHO mwili ni mwili nafasi ni nafasi na ROHO ni ROHO

  • @JohnKibajamdoe
    @JohnKibajamdoe Жыл бұрын

    Ndasha suala la uungu wa Yesu hulijui.Unaelezwa na hukubali. Hivi kwa point hiyo yako Unajitangaza kujitenga na General conference. Zungumzieni wokovu .

  • @victorbeno

    @victorbeno

    Жыл бұрын

    Omba mjadala tuone nani anajua

  • @josephnyandusi6616

    @josephnyandusi6616

    Жыл бұрын

    Bwana John tumia hoja

  • @fm_tv

    @fm_tv

    10 ай бұрын

    Hoja tafadhali

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15896 ай бұрын

    Confusion all over am tired

  • @fredouma359

    @fredouma359

    6 ай бұрын

    Don't get tired. No finite mind can understand the infinity in Godhead. No pastor understand God fully. He is a mystery!

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    6 ай бұрын

    @@fredouma359 ok why then do we follow what we cant understand,how about going to school n fail to understand what ur teacher teaches u any business being in school.

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 Жыл бұрын

    ROHO mtakatifu ni ROHO wa MUNGU inatosha kuitwa hivyo na sii nafii

  • @trezynjeri8288
    @trezynjeri8288 Жыл бұрын

    Dickson waa kuelewa ni ngumu

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 Жыл бұрын

    Ebrania 1:14 inasema hao ni ROHOwatumikao kuwahudumia wale watakao rithi wokovu

  • @stephanomaduhu5426
    @stephanomaduhu54267 ай бұрын

    MTUMISHI NDACHA UMENIPA KWELI YA MUNGU

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis Жыл бұрын

    Dickison ,ukweli wa mafundisho ndio dhamana ya watu kwenda mbinguni unachobishi ni nini??? Soma maandiko yaache kama yalivyo maana hayabadilikiiiii

  • @JohnKibajamdoe

    @JohnKibajamdoe

    Жыл бұрын

    Ndasha vipi?Mbona huelewi? Mpāngo wa wokovu ndiwo uliyozaa Yesu bila ya huo,hakuna Jina hilo Yesu.Yesu ni Mungu. Ndasha acha malumbano.

  • @stelacalavelmtepa2409

    @stelacalavelmtepa2409

    Жыл бұрын

    Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @user-sh9mn1ir5q
    @user-sh9mn1ir5q5 ай бұрын

    Ubishi wa ndacha ni mdogo tu

Келесі