Pastor Ndacha is a language analyst. The arrangement of words in a sentence have a lot of meaning.
@isaacobiero296 Жыл бұрын
Mtumishi Dickson ameonekana kuwa na ugumu kujitetea, simulaumu ila ni jinsi tulivyofundishwa.
@isaacobiero296 Жыл бұрын
Nilichojifunza kuna asili na nafsi, tukielewa hilo mjadala utakuwa umeisha!
@donaldmwahalende4841Ай бұрын
Ndacha uko sawa
@donaldmwahalende4841Ай бұрын
Kutetea utatu kazi sana siwez hata kuhubr utatu maana watu wabishi
@mwananyamalaz4427 Жыл бұрын
Wakwanz leo tunakupata xana mwarimu ndacha mungu mbere God bless 🙏
@user-fz2ul7we2n Жыл бұрын
Hii fundisho la nafsi tatu zinazoungana kuwa Mungu mmoja hata kwangu imekuwa ngumu kuelewa, Ukisema Mungu yuko na nafsi tatu zilizo sawa za milele, kwanza unakataa kuwa Yesu ni Mwana Wa Mungu, kwa maana Mungu akiwa ni wa nafsi tatu lakini zote zinafanya Mungu mmoja sasa Mwana wa Mungu ni yupi hapo? Pili, Maandiko yanasema Mungu ni Mmojoa wa pekee wa kweli, Na huyu Mungu mmoja wa pekee wa kweli yuko na nafsi moja tu (ndio maana katika Yer.22:5 anasema "...........................naapa kwa nafsi yangu"). Kama angekuwa ni Mungu wa nafsi tatu angesema "Naapa kwa nafsi zangu". Sasa Swali kwa wana utatu, ni kwamba wakati Mungu anasema "naapa kwa nafsi yangu", hizi nafsi zingine zilikuwa wapi mpaka asema naapa kwa nafsi yangu? Hata mimi nikisoma nukuu za EW kuhusu Mungu wa pekee wa kweli na Bwana mmoja Yesu Kristo aliye mwana wa huyo Mungu mmoja wa pekee, namuelewa vizuri na imenifanya nimuelewe Mungu vizuri kuliko hili fundisho la utatu ambalo silielewi kabisa, na sioni tofauti la fundisho la trinity la SDA na lile la Roman Catholic, ni kitu kimoja tu-No difference na hata hawawezi kutofautisha it is one and the same thing.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
pastor ikihubiri niskie kuna some misunderstanding ,polepole tu natoka juu sitaki kubishana, understanding is given from above not from any other source.
@soloartist_ivanvespalusind1609
8 ай бұрын
Mijadara na Waislamu imeshatuharibia Ndacha wetu. Mungu huyu asiyechunguzika amejifunua kidogo sana juu ya uungu wake na kujifunua kwake kunadhihirisha yeye siyo kiumbe bali ni Mungu muumbaji, kwamba yeye si wakawaida mpaka umuelewe unavyotaka wewe umuuelewe unavyotaka wewe. Mungu amejifunua yeye mwenyewe katika BIBLIA kuwa yeye ni MMOJA (MUNGU NI MMOJA (constantly)) na wakati huohuo amejifunua kuwa yuko katika NAFSI TATU (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu). Jambo hili halipo kikawaida anavyotaka ndacha kama wanavyotakaga waislamu kuwa kama Yesu ni Mwana wa Mungu na Mungu ni Baba basi waonyeshwe Mama. Kifupi Ndacha ameambatana na Waislamu kupinga uungu wa Yesu, bado tu hajawa moja kwa moja, anajifanya atupa aina za uungu kwa Yesu ni Mungu kwa aina fulani ya uungu. Hapana Yesu ni Mungu kwa uungu mmoja wa Mungu mmoja. Binafsi naamini Mungu hahitaji tumjue physically na pengine milele zote hatutamjua typical isipokuwa kwa kiasi alicho / atachojifunua tu yeye mwenyewe. Kwanza hiyo hesabu inayogoma kibinadamu ya kusema Mungu mmoja katika nafsi tatu ndo inanifanya kumuona Mungu ni waajabu kwelikweli. Kutochunguzika ni sifa yake, yeye ni Mungu asiyechunguzika.
@jcwanyoike2757 Жыл бұрын
Dickson,ubishi na neno lililo wazi kwa maandiko.Kutetea utatu kweli ni shida kubwa
@MichaelMasabiro-is4mo Жыл бұрын
Ndacha God bless you
@frankwilliams2018 Жыл бұрын
Nimepata vitabu kadhaa I will print wakristu wajue ilianza lini na wapi na nani na madhara ilileta . Wengi walikufa kwa kutaa utatu mtakatifu utatu ni uhongo. Ndacha unasema ukweli utatu ni uhongo. Kiti cha tatu ni cha shetani. MUNGU ako kazi mtetemeko ndio huo ndacha anatetemesha. Kwani watu wame lala kiwango gani. But MUNGU hugusa watu differently
@sda3angelmsger
Ай бұрын
Hizo vitabu tutavipata wapi
@mhandoonthebeats85819 ай бұрын
Ndacha yupo sawa na helen yupo sawa kulingana na maandiko Yesu ni mwana wa Mungu tangu akiwa mbinguni na Ana asili ya uungu 🎉🎉
@simeonmazigo5918
3 ай бұрын
Unataka kusema Mungu alizaa?
@mhandoonthebeats8581
3 ай бұрын
@@simeonmazigo5918 kwa Mujibu wa maandiko ndio unataka kusemaje wewe
@queenesther8505 Жыл бұрын
We need guidance of God's spirit to understand God,God loves us even as we seek to understad his ways,he knows our thoughts.😢
@wowclipskanairokenya2406
11 ай бұрын
The devil is the author of confusion, so God Almighty can not let His people get confused for His pleasure
@gideonkips56219 ай бұрын
Mimi ni an Anglican and I believe in one God the father and his son Jesus Christ and the HOLY SPIRIT the helper
@clewis520
11 күн бұрын
… River shaika
@fredrickkagwa8853 Жыл бұрын
Soma katika 1 John 5:8 inasema watatu Hawa ni umoja ( Baba, Mwana, Roho)
@ruthfidelaitangishaka8364
Жыл бұрын
Umoja hapana mmoja
@millereliteendtimeministry6621 Жыл бұрын
Earthly trained pastors, without humility of a child, cannot grasp simple biblical concepts!
@thefountainsofhopeministry2023
Жыл бұрын
It's even more worse for untrained laymen without humility it's a disaster like in this case
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Ok so where do we get heavenly trained pse.
@soloartist_ivanvespalusind16098 ай бұрын
Sidhani kama kuna siku mtu atamchunguza na kumuelewa Mungu kwa 100% na ikitokea hivyo Mungu atakuwa amekomea hapo kuwa Mungu. Ndacha ametafuta kubalance hesabu inayogoma milele kibinadamu kuwa Mungu ni mmoja katika nafsi tatu. Kwa formula yake ya aina za uungu amekataa nafsi tatu na kusema Mungu ni mmoja katika nafsi moja. Hapo mwenzetu hana fumbo tena, amemuelewa Mungu kwa asilimia 100%. Si kweli. Mungu mmoja katika nafsi tatu ni fumbo linalohitaji imani. MUNGU NI MUNGU ASIYECHUNGUZIKA
@christophermalango14334 күн бұрын
Huyu Bwana Dickson ni tatiza sana hafai kuwa mwalimu atapotosha watu
@elijahbaraka94702 ай бұрын
Nafsi roho ni moja ila utendajikazi tofauti. Zamani mungu alijulikana kama baba,akaja kwenye mwili akajulikana kama mwana na ulimwenu uka muona. Sasa leo anakaa nakutenda kazi ndaniyetu kama roho mtakatifu ila nafsi ni ileile.
@isaacobiero296 Жыл бұрын
Baba ni Mungu katika nafsi, Mwana na Roho sio Mungu katika nafsi.... Still taking notes
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@antonymuturi6982 Жыл бұрын
I commend pastor dickson for accepting to have this debate, the only down side is he came with a hardline stand and not ready to learn from the person he is debating with.
@stephenirungu2307
Жыл бұрын
So this is not a debate according to you ....there is a person who knows and the other don't know....
@antonymuturi6982
Жыл бұрын
@@stephenirungu2307 I never said that, I just highlighted an observation I made, that pastor Dickson is unwilling to learn due to his hardline stand unlike Francis, and this is the issue with so many people not willing to unlern something they have believed to be right for so long.
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
Dacha is very right,,but Dickson anakatalia kwa kuelewa kwake tu.
@JoviniFaida-uj5qb Жыл бұрын
Ndacha anaeleweka yesu kuitwa mwana wa mungu ni mungu tayari ni mungu Kwa sababu ni mwana wa mungu moto wa Simba ni Simba
@jjtm164
10 ай бұрын
Trinity 1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one. Are they doing the same job?
@martinkimathi-oh6eg Жыл бұрын
Asante mwalimu ndacha kwa kutetea kweli
@simeonmazigo5918
3 ай бұрын
Amepotoka Muwez kumfunga Mungu et hawezi kuwa hiv
@isaacobiero296 Жыл бұрын
Baba ni Mungu katika asili, Yesu ni Mungu katika asili, Roho ni Mungu katika asili!
@jeanefelix70
Жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔 wa Mungu watatu😢
@isaacobiero296
Жыл бұрын
@@jeanefelix70 katika asili
@jeanefelix70
Жыл бұрын
Ulisoma biblia ya wapi inayo sema kwamba roho ni Mungu kando na Baba?
@jeanefelix70
Жыл бұрын
roho sio nafsi ni uwepo wa Mungu Baba na Yesu
@isaacobiero296
Жыл бұрын
@@jeanefelix70 so Roho sio nafsi na sio asili
@mush337 Жыл бұрын
Yesu ni mfano wa mungu asiyeonekana,Kwa hivyo Mungu asiyeonekana ni Roho mtakatifu,baba na mwana wake Wana umbo linaonekana Kwa hivyo huezi sema hao hawaonekani
@waruikangethe18206 ай бұрын
Only the son knows the father and only the father knows the father
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
In this case where is the mother n wife
@sashalemmoh32648 ай бұрын
Mungu akubaliki mwalimu ndacha kwajina labwana wetu sesukricto
@leomika847310 ай бұрын
Yan nashangaa siku zamwisho zimekaribia wakristo wameanza kupingana
@victorisadia6936 Жыл бұрын
watu wa utatu hawana maandiko ya kusoma mbele ya watu. Dickson anajiumauma midomo tu
@samuelnyaachi7094
Жыл бұрын
Lambda hujasoma 1John 5:7,8; Mathew 28:19
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@truth7796 Жыл бұрын
Ndacha you're right my the spirit of God be with you
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
AMEN,. I like the understanding of ndacha in all aspect. I dearly judge what I know .Dickson accept
@powersetmentors8833 Жыл бұрын
Mimi nimechekeshwa na Dickson Kwa kusoma personality na kushindwa kuelewa personality ya Yesu as the Son of God
@jjtm16410 ай бұрын
🎉Trinity 1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one. My question, are they different?
@lamechasuma1952 Жыл бұрын
Kanisa liko taabani kweli, waacheni hao ni wachungaji vipofu wasiosoma maandiko, eti yeso si mwana wa Mungu
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
mie nacheka tu
@stephenirungu2307 Жыл бұрын
Do we really need to discuss who God is???and should that bring differences in the house of God.....Father help us to know you for many are times we use our minds to describe you and none has ever seen you...Mungu ombi langu jioni ya leo tujalie neema yako.
@emmanuelkaberia
Жыл бұрын
If we don't need to know who God is we don't need to worship him since we can't worship who we don't know.
So you mean we need to draw all our attention and power to discuss who God is...and what is its importance if we know of it that either God is ...Father son and Holy spirit or Father and His Son And Holy spirit????? I see the point of discussion here is not really to be discussed and also it should not draw and also it should not make others separate from the community of believers but anyway God show us the way for we do not know
@emmanuelkaberia
Жыл бұрын
@@stephenirungu2307 My friend me you mean that we should not search to know who GOD IS? and we need to worship God whom we do not know who he is. then you mean that direct idolaters are also right because also they did not need to listen the scriptures and learn the who is the true God from you. then if we we don't need to know who God is, what is the scripture for? in which God is reveling to us who He is? are you a christian?John 17:3 King James Version 3 And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou hast sent. 🖕🖕🖕 👇👇👇 for we to get eternal life we need to know who is the only true God and Jesus Christ. rather than that, hell.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "GODHEAD" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwanamume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizi. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie alie mfunulia maneno Isaya na ndie alie mpatia wito wa utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni BWANA jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe. Binafsi naona hilo swala la GODHEAD limewekwa wazi kabisa kwenye maandiko matakatifu, tulia Soma vizuri kwa maombi pasipo kusimamia upande wowote kubali kujua mapenzi ya Mungu niyapi katka kujifunza, HOJA anazo toa Mwinjiristi ndacha nadhani hata yeye inabidi arudi kujifunza upya na aache misimamo ambayo haina faida, hilo ni neno la Mungu ni ELIMU watu wanajifunza hadi ngazi Za juu, sasa lazima wakati Mwingine ukubari kusikiliza kwa kujifunza nasio kwa kukosoa, Mahali hujaelewa uliza ujifunze, inamana Roho wa kuchambua maandiko anae yeye tu watu wengine hawana, binafsi mimi ni MTANZANIA simfahamu yeyote hapo isipokuwa kwa kuwafatilia mtandaoni, Ndacha amekuwa ni mtu ambae nilikuwa napenda mfatilia sana hasa hotuba zake na waislamu ziko vizuri sana Lakini kwa hilo la GODHEAD amefeli akajifunze tena, na huyó mchungaji anae hojiana nae hapo yupo Sawa Ndacha ndie hataka kuelewa nasio huyó mchungaji.
@gerardavalist-ob4ok2 ай бұрын
Ndacha mungu amsaidie (1)yohana5:20 yesu ni MUNGU WA KWELI
@hesbornogora5651 Жыл бұрын
Ndacha naomba usingatie amri ya kristo. Kwamba, ufalme ni kwa waaminio. Na hakuna atakayemjua Mungu bila kumuamini huyu yesu. Kwani yohana 1:1-4 waielewaje. Hili fundisho lako ni la kupigana na kanisa na kusudi la kulisambaratisha. Lakini ni dhahiri kwamba, neno la Mungu ni wazi likatimilike ndipo aje. 2 Thess 2:10
@timotheomwita4529 Жыл бұрын
Kabla alikua kwa mungu kutumika kutekeleza agizo zote za mungu Moja muumba
@shadrackanyoka587 Жыл бұрын
Those who are pastors and teachers carry the heaviest burden if they can't have a correct understanding of who God is it shall be but futile.
@queenesther8505 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ni Utatu kwa mwili Moja,Mungu Baba,Mungu Mwana na Mungu Roho mtakatifu.
@carolinekemunto2632
Жыл бұрын
Toa andiko linalosema hivo kua Mungu mmoja n utatu
@davidochiengbuoga7165
Жыл бұрын
Mungu ni mmoja ambaye amejifunua kwa mwanadamu katika sehemu tatu.Kama Baba Mungu,kama Mungu Mwana,kama Rioho Mtakatifu 12:26
@isaiahonyapidi5662
Жыл бұрын
Wewe ni mkatoliki mchungaji wako anaenda choo sana
@queenesther8505
Жыл бұрын
@@isaiahonyapidi5662 my fellow christian talking this,I'm sorry,I choose to forgive,I'm not a Catholic but I have personal relationship with Jehovah God,Jesus Loves you,repent.😭
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@MeshackTanui-w2j7 күн бұрын
Pastor Dickson wacha ujinga kutetea vitu akuna😂😂😂
@JacobMulli Жыл бұрын
And the word was made flesh, Jesus said my words are spirit and life, Emmanuel means God with us ,Our God is one and the three bare witness at heaven the father, the word[Jesus] and the HOLY spirit and these three ARE ONE. Jesus said who has seen me has the father. In SHORT THERE IS ONLY ONE GOD, HE IS SEEN AS the father/ Creator , son / redeemer, and the holy spirit/ miracle worker the same way , I can be a father, a son and a barber those are not separate me's but One . LASTLY, {DEU 6:4 Hear, O Israel : The LORD our God is one LORD] Please, God is not author of confusion he his one.
@johnawinda2165
Жыл бұрын
Andiko ?
@JacobMulli
Жыл бұрын
@@johnawinda2165 14 And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth. [ John 1: 14]
@JacobMulli
Жыл бұрын
Hope, umesaidika ?
@JacobMulli
10 ай бұрын
andiko ni hilo hapo juu, soma @@johnawinda2165
@user-mu4qw2jx2f Жыл бұрын
Ndacha,Get blessed
@FredOdhiambo-he1rw Жыл бұрын
Mtabisana adi yesu arudi, kuita yesu kristo, ni mungu kunamakosa wapi, nakama kuna kosa, nipeni jibu, kwa bibilia na kama akuna, yesu ndiye bwana wa mabwana, pilipo alitaka kujua mungu, yesu akamwabia niko nawe kilasiku ujanifaamu alie niona amemuona mungu, ukipata yesu umempata mungu, yohana 14:8:10
@fm_tv
10 ай бұрын
SUALA SIO UUNGU WA YESU, HOJA NI UTATU
@MidoMidomore
6 ай бұрын
unashwindwa kujua hapo anaongea ni yohana
@mrjgrey100 Жыл бұрын
Walikaa kikao.weuweeeh😂😂😂😂😂
@johnmuemawambua6019
Жыл бұрын
Imagine, wakakaa kamati, ATI we baba, Mimi mwana, na yeye roho??! Ajabu😂😂.
@kakulemanase72252 ай бұрын
Ndasha réformateur. Hiyo fundusho la utatu si ukweli.
@DavidBarasa-jo9kt9 күн бұрын
mwalimu ndacha, simlaumu ni mafunzo ya kanisa Ile anashiriki.
@timotheomwita4529 Жыл бұрын
ROHO Kuna ROHO saba za mungu ambazo ni macho ya mungu ufu. 5:6
@simeonmazigo59183 ай бұрын
Kama kunasomo nililielewa kwa undani ni Somo la utatu mtakatifu hata nikiwa usingizini nalifundisha vizuri mno Mungu mmoja mwenye Nafsi 3
@mhandoonthebeats8581
3 ай бұрын
Mmh wewe nawe Mungu mmoja mwenye nafsi tatu andiko gani linasema hivyo nipe andiko
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Dickson usipoelewa utakuwa wabisha Tu ndacha akosawa kabisa
@MosesMomanyi-rf1kn Жыл бұрын
apo mchungaji Dickson umechanganyikiwa
@James-fh3js Жыл бұрын
Ùùùiiii Pastor. Bwana awe nawe.
@powersetmentors8833 Жыл бұрын
The word was God, Dickson haelewi hilo neno Kwa kigiriki linamaanisha "as divine as God the Father."
@ellyothim355 Жыл бұрын
It will take time,but finally you'll understand that Jesus is the Son of God,
@xogmalxarandid93696 ай бұрын
Dini ya kweli mpele ya mwenyezimungu ni uislamu Hiyo ni Aya . Na yesu na Ibrahimu na daudi na Mohamed na wengine wengi ni mitume na mungu ni mmoja na hiyo nafsi tatu mmoja ni yesu na mmoja ni malaika Gabriel ambaye ni roho mtakatifu na mungu mwenyewe hakuna kitu inaitwa utatu ni game ambaye imetengenezwa na upagani ili wapoteze watu Kwa njia ya haki
@uwayolove9 ай бұрын
right always lights in then dark
@user-ez6dw3xk6i5 ай бұрын
Ndacha atakusumbua tu shida lugha inasumbua mara anakubali mara anageuka achana naye yesu atamuelewasha mwenyewe Kama paulo
@alexmulili-tc8vjАй бұрын
Ndacha please explain Isaiah 9:6-7. Acts 5:1..., Matthew, where Jesus himself asks us to baptise in three persons, in singular forms each, explain why God sent the spirit after Jesus ascension to help us in john 14, using yours understanding. Finally explain why God the father is calling His son God, when He himself is the God according to your explanation.
@elicknyega7317 Жыл бұрын
Mungu akubariki ndacha
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@jacklinekhatenje
Жыл бұрын
Ndacha ubarikiwe sana umetufunua mwacho yaliyo funikwa na watidh wa uongo
@mutiembingi-le6kz Жыл бұрын
Wacheni kubishana ombeni MUNGU awafunulie
@abubakarhajjabubakarhajj1252 Жыл бұрын
Ndacha kama wataka kuingia dini ya uislamu karibu hiyo ndio dini ya kweli waislamu wamekufundisha kwanza ulikuwa ukisema yesu ni mungu sasa umeona ukweli Mungu ni mmoja asante
@johnawinda2165
Жыл бұрын
Lakini wa ndacha ako na mwana bila mke, wako ana mwana bila mke
@abubakarhajjabubakarhajj1252
Жыл бұрын
@@johnawinda2165 wangu hana mwana anaviumbe
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@isaacvtv547
Жыл бұрын
Hawajamfundisha, yeye hujisomea na kuelewa. Sasa kama wewe bado unasomewa na mwingine hata akikupoteza hutaelewa.
@abubakarhajjabubakarhajj1252
Жыл бұрын
@@isaacvtv547 mpaka ufundishwe ndugu yangu huwezi kujuwa mwenyewe naamini hata wewe hukujisomesha mwenyewe ulienda shule ukasomeshwa
@elijahmaragia12137 ай бұрын
he who convinces you easily lies to you easily too. you do not claim giving space by taking away the same space.
@ezekielmwamba9106 Жыл бұрын
Oooho jamani mchungaji Dickson Osoro eti walikaa kikao wakaelewana Yesu akuwe mwana, swali kwa andiko gani? Yaani huu ni mshipa mkuu ndani ya GC SDA.
@ft90683
Жыл бұрын
Yes,Zaburi 2:7
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@AshekironikamanyongaKama-yi3hg6 ай бұрын
Sema Baba
@samuelnyaachi7094 Жыл бұрын
1John 5:7-For there are THREE that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these THREE ARE ONE. (NA HII EVIDENCE WAPINGA TRINITY WATASEMAJE)?
@josephkanini1727
11 ай бұрын
That verse was added....am using KJV bible that young pastor uses
@samuelmwirabua7158
11 ай бұрын
It is true this verse is nowhere in the original bible manuscript
@josephwainaina6442
10 ай бұрын
1 Johana 5:8 [8]Roho, maaĩ, na thakame. Aira acio atatũ marutaga ũira ũhaanaine. And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one.
@isaacobiero296 Жыл бұрын
Kindly look for a minister who is not a Kisii😅 huyu Dickson anabebwa na hasira za ukisii, not open for new light!
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@danielkaniki73888 ай бұрын
YESU NI MUNGU KABISA SOMA 👇 Yohana 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Lakini pia ukisoma 👇 inazidi kuinyesha kuwa Mungu mwenyewe kabisa ni Yesu kristo 1 Timotheo 3 16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
@MidoMidomore
6 ай бұрын
ww ndio hujui mafundisho ,itakuaje liwepo neno kabla ya mnenaji
@mrjgrey100 Жыл бұрын
Eternal ni wa milele bwana dickson
@soloartist_ivanvespalusind16098 ай бұрын
Effects of Christian Vs Islamic debates. Ndacha sio mkristo tena, anajificha tu.
@SophiaMsigwa-lc3km7 ай бұрын
Kichwa kigumu sana Dickson 😢 hata kama Mimi nakichwa kigumu sijakufikia wewe
@MrKeyvo Жыл бұрын
La illaha IllAllah
@timotheomwita4529 Жыл бұрын
Ebrania 1:5_8_10 iko wazi
@michaelmusau6211 Жыл бұрын
Ndacha hili.somo.inahitaji roho mtakatifu
@cititechsolutions3269 Жыл бұрын
Haaahaha ati munasema Dickson ni mchungaji? Wah dunia finished
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@GilesKhamis Жыл бұрын
Utatu wa nafsi katika mafundisho ya kweliii !! Hakuna kabisa
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@jacklinekhatenje
Жыл бұрын
@@stelacalavelmtepa2409 ww hukosi kuwa mwana wa Dickson uko all over the comment section kutetea uongo jameni .Kwa Bibilia hakuna Mungu mwana
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
@@jacklinekhatenje mimi napenda kujifunza Biblia, lakini Ndacha anacho fundisha bado hata yeye anahitaji kujifunza zaidi, maana nukuu hizo anavyo zitafsri, nikinyume kabisa na ufasiriji wa maandiko kitheologia. Amesha athiriwa na mijadara ya waislam mana ufasiri wake umekiuka misingi ya ufasiri wa maandiko matakatifu,
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Kama ni hivyo kwamba Hakuna utatu context ya mafungu haya(Mwanzo 1:26;3:22;11:7;Mathayo 28:19;3:16-17; Isaya 6:3 linganisha na Ufunuo 4:8) ni IP??? Kwa sababu Jina tu MUNGU, lipo kwa Plural form na wala sio Singular form Yaan ELOHIM nin hasa mantiki ya hiyo??? Naukumbuke kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza Kuna maelezo ya Musa na ya Mungu. Mfano; Genesis 1:26 "(A)Mungu akasema,(B) natumfanye mtu.. A-nitaarifa ya Musa kwa alicho sema Mungu B-Ndicho Mungu alicho sema Inamana Kama ingeandikwa kauli ya Mungu pekeyake Genesis 1:26 ingesomeka hivi "Genesis 1:26Natumfanye mtu kwa mfano wetu."" Angalia vizuri hayo maneno NATU na WETU ni wingi. SWALI langu ikiwa unakataa wingi ambao ndivyo anajifunua yeye mwenyewe, niambie wewe nini alimaanisha hapo?
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Na tuelewe kwamba unapo sema tu Neno MUNGU au GOD Hilo tu! 1.kwa lenyewe narudia kusema lipo kwenye Wingi nasio Mmoja kama unavyo zani, maana nineno la kiebrania yaani ELOHIM lililotafsiliwa kwa kingereza GOD kwa kiswahil MUNGU. 2.Katika Deu 6:4 lile Neno MMOJA sivyo kama unavyo dhani wewe kwa sababu Hilo Neno ukirejea kwenye asili yake ni ECHAD ambalo kiswahil kimelitafsiri MMOJA ni hilo utaliona limetumika pía kwenye Génesis 2:24: Halina tafsiri ya moja unayo dhani wewe ile uliyo fundishwa darasani, hii ni "moja" ya shule ya Mungu inahitaji IMANI pekee na daima inajifunua katika wingi
@harrisonodiwa7248 Жыл бұрын
Ndugu zangu,fundisho la utatu mtakatifu ni fundisho la kipagani mimi ningali katika waadventista hawa wanaoamini mungu bandia wa trinity lakini mimi siamini utatu mtakatifu kabisa,natafuta kuondoka nijiunge na waadventista wasabato wana matengenezo.Utatu mtakatifu ni ushetani mkubwa na kejeli kwa Mungu mmoja wa Kweli baba wa Yesu Kristo.
@user-pl8pn7qb9e
6 ай бұрын
mungu wa kweli mmoja tu ,muumba mbingu na ardi usie lala wape ufahamu hao viumbe vyako wapate kukuamini mwenyezi mungu mmoja
@njiasalamaniipi Жыл бұрын
🤣 mCHUNGAJI ana teseka.
@Nancybosibori-sz5nb7 ай бұрын
MATENDO YA MITUME 18:25-28 ninaomba kwa nee ma yaMUNGU awaongoze😊
@johnmuemawambua6019 Жыл бұрын
Andiko utafsiriwa na andiko, osoro anapotosha adharani masikitiko mkubwa!!😮😮😮
@SalvationmessageTv-20242 ай бұрын
Is the holy spirit GOD?
@opujejoshmahjoshmah1432 Жыл бұрын
watakuja kuelewa tu...kwanzia kwa manabii na mitume hawajakuwa na welewa wa utatu...bali MUngu ni mmoja tu na BWAna ni mmoja tu YEsu KRisto 1cor 8:6
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@millereliteendtimeministry6621 Жыл бұрын
Pastor Dickson Osoro, Was Jesus the Son of God before being born in Human form on Earth? Simple question!
@mutiembingi-le6kz Жыл бұрын
Unajua bibilia ni maandiko sio Neno sababu watu urongwa kutumia bibilia lakini likiwana Neno hua ni moto
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Ndacha akosawa kabisa
@user-pl8pn7qb9e6 ай бұрын
Makafiri wapo kazini kutetea mshahara
@levimakaliakaphenacolletta50767 ай бұрын
Definition of the word 'person' is a human being regarded as an individual as per google. This definition brings a lot of issues
@ibrahimabdallah56817 ай бұрын
Bora leo mnabishana wenyewe kwa wenyewe hakuna dini hapo
@EmilyBiketi-rn9so Жыл бұрын
Kumbe SDA walibandilisha mpaka logo.dunia imeisha ufalume wa giza unatawala.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Dickson ameshindwa lakin hataki kusema ameelewa
@fredrickkagwa8853 Жыл бұрын
Yesu anasema katika Biblia Mithali au Proverbs 8:23_25 kwamba alizaliwa kabla ya dunia kuumbea yani brought forth before the earth was ......
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@user-pl8pn7qb9e6 ай бұрын
Sasa kama fundisho la utatu mtakatifu linaharibu nafsi ya mungu kwanini mnalitumia andiko hilo? Choma moto hilo andiko halifai au tupa kabisa kisionekane
@EmileClaver9 ай бұрын
Hata sisi ni wana wa mungu
@user-pl8pn7qb9e
6 ай бұрын
kabisa,sisi pia ni wana wa mungu
@stezardwezaweza3884 Жыл бұрын
Kama Theologia ni kujitetea si kutetea neno la Mungu ,, Dickson anafanya huu mjadala huwe ngumu ata kuwatch because anafanya kitu kimoja kirudiwe rudiwe
@timotheomwita4529 Жыл бұрын
Kuna mwili nafasi na ROHO mwili ni mwili nafasi ni nafasi na ROHO ni ROHO
@JohnKibajamdoe Жыл бұрын
Ndasha suala la uungu wa Yesu hulijui.Unaelezwa na hukubali. Hivi kwa point hiyo yako Unajitangaza kujitenga na General conference. Zungumzieni wokovu .
@victorbeno
Жыл бұрын
Omba mjadala tuone nani anajua
@josephnyandusi6616
Жыл бұрын
Bwana John tumia hoja
@fm_tv
10 ай бұрын
Hoja tafadhali
@nasirmohamed15896 ай бұрын
Confusion all over am tired
@fredouma359
6 ай бұрын
Don't get tired. No finite mind can understand the infinity in Godhead. No pastor understand God fully. He is a mystery!
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
@@fredouma359 ok why then do we follow what we cant understand,how about going to school n fail to understand what ur teacher teaches u any business being in school.
@timotheomwita4529 Жыл бұрын
ROHO mtakatifu ni ROHO wa MUNGU inatosha kuitwa hivyo na sii nafii
Dickison ,ukweli wa mafundisho ndio dhamana ya watu kwenda mbinguni unachobishi ni nini??? Soma maandiko yaache kama yalivyo maana hayabadilikiiiii
@JohnKibajamdoe
Жыл бұрын
Ndasha vipi?Mbona huelewi? Mpāngo wa wokovu ndiwo uliyozaa Yesu bila ya huo,hakuna Jina hilo Yesu.Yesu ni Mungu. Ndasha acha malumbano.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Пікірлер: 284
Pastor Ndacha is a language analyst. The arrangement of words in a sentence have a lot of meaning.
Mtumishi Dickson ameonekana kuwa na ugumu kujitetea, simulaumu ila ni jinsi tulivyofundishwa.
Nilichojifunza kuna asili na nafsi, tukielewa hilo mjadala utakuwa umeisha!
Ndacha uko sawa
Kutetea utatu kazi sana siwez hata kuhubr utatu maana watu wabishi
Wakwanz leo tunakupata xana mwarimu ndacha mungu mbere God bless 🙏
Hii fundisho la nafsi tatu zinazoungana kuwa Mungu mmoja hata kwangu imekuwa ngumu kuelewa, Ukisema Mungu yuko na nafsi tatu zilizo sawa za milele, kwanza unakataa kuwa Yesu ni Mwana Wa Mungu, kwa maana Mungu akiwa ni wa nafsi tatu lakini zote zinafanya Mungu mmoja sasa Mwana wa Mungu ni yupi hapo? Pili, Maandiko yanasema Mungu ni Mmojoa wa pekee wa kweli, Na huyu Mungu mmoja wa pekee wa kweli yuko na nafsi moja tu (ndio maana katika Yer.22:5 anasema "...........................naapa kwa nafsi yangu"). Kama angekuwa ni Mungu wa nafsi tatu angesema "Naapa kwa nafsi zangu". Sasa Swali kwa wana utatu, ni kwamba wakati Mungu anasema "naapa kwa nafsi yangu", hizi nafsi zingine zilikuwa wapi mpaka asema naapa kwa nafsi yangu? Hata mimi nikisoma nukuu za EW kuhusu Mungu wa pekee wa kweli na Bwana mmoja Yesu Kristo aliye mwana wa huyo Mungu mmoja wa pekee, namuelewa vizuri na imenifanya nimuelewe Mungu vizuri kuliko hili fundisho la utatu ambalo silielewi kabisa, na sioni tofauti la fundisho la trinity la SDA na lile la Roman Catholic, ni kitu kimoja tu-No difference na hata hawawezi kutofautisha it is one and the same thing.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
pastor ikihubiri niskie kuna some misunderstanding ,polepole tu natoka juu sitaki kubishana, understanding is given from above not from any other source.
@soloartist_ivanvespalusind1609
8 ай бұрын
Mijadara na Waislamu imeshatuharibia Ndacha wetu. Mungu huyu asiyechunguzika amejifunua kidogo sana juu ya uungu wake na kujifunua kwake kunadhihirisha yeye siyo kiumbe bali ni Mungu muumbaji, kwamba yeye si wakawaida mpaka umuelewe unavyotaka wewe umuuelewe unavyotaka wewe. Mungu amejifunua yeye mwenyewe katika BIBLIA kuwa yeye ni MMOJA (MUNGU NI MMOJA (constantly)) na wakati huohuo amejifunua kuwa yuko katika NAFSI TATU (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu). Jambo hili halipo kikawaida anavyotaka ndacha kama wanavyotakaga waislamu kuwa kama Yesu ni Mwana wa Mungu na Mungu ni Baba basi waonyeshwe Mama. Kifupi Ndacha ameambatana na Waislamu kupinga uungu wa Yesu, bado tu hajawa moja kwa moja, anajifanya atupa aina za uungu kwa Yesu ni Mungu kwa aina fulani ya uungu. Hapana Yesu ni Mungu kwa uungu mmoja wa Mungu mmoja. Binafsi naamini Mungu hahitaji tumjue physically na pengine milele zote hatutamjua typical isipokuwa kwa kiasi alicho / atachojifunua tu yeye mwenyewe. Kwanza hiyo hesabu inayogoma kibinadamu ya kusema Mungu mmoja katika nafsi tatu ndo inanifanya kumuona Mungu ni waajabu kwelikweli. Kutochunguzika ni sifa yake, yeye ni Mungu asiyechunguzika.
Dickson,ubishi na neno lililo wazi kwa maandiko.Kutetea utatu kweli ni shida kubwa
Ndacha God bless you
Nimepata vitabu kadhaa I will print wakristu wajue ilianza lini na wapi na nani na madhara ilileta . Wengi walikufa kwa kutaa utatu mtakatifu utatu ni uhongo. Ndacha unasema ukweli utatu ni uhongo. Kiti cha tatu ni cha shetani. MUNGU ako kazi mtetemeko ndio huo ndacha anatetemesha. Kwani watu wame lala kiwango gani. But MUNGU hugusa watu differently
@sda3angelmsger
Ай бұрын
Hizo vitabu tutavipata wapi
Ndacha yupo sawa na helen yupo sawa kulingana na maandiko Yesu ni mwana wa Mungu tangu akiwa mbinguni na Ana asili ya uungu 🎉🎉
@simeonmazigo5918
3 ай бұрын
Unataka kusema Mungu alizaa?
@mhandoonthebeats8581
3 ай бұрын
@@simeonmazigo5918 kwa Mujibu wa maandiko ndio unataka kusemaje wewe
We need guidance of God's spirit to understand God,God loves us even as we seek to understad his ways,he knows our thoughts.😢
@wowclipskanairokenya2406
11 ай бұрын
The devil is the author of confusion, so God Almighty can not let His people get confused for His pleasure
Mimi ni an Anglican and I believe in one God the father and his son Jesus Christ and the HOLY SPIRIT the helper
@clewis520
11 күн бұрын
… River shaika
Soma katika 1 John 5:8 inasema watatu Hawa ni umoja ( Baba, Mwana, Roho)
@ruthfidelaitangishaka8364
Жыл бұрын
Umoja hapana mmoja
Earthly trained pastors, without humility of a child, cannot grasp simple biblical concepts!
@thefountainsofhopeministry2023
Жыл бұрын
It's even more worse for untrained laymen without humility it's a disaster like in this case
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Ok so where do we get heavenly trained pse.
Sidhani kama kuna siku mtu atamchunguza na kumuelewa Mungu kwa 100% na ikitokea hivyo Mungu atakuwa amekomea hapo kuwa Mungu. Ndacha ametafuta kubalance hesabu inayogoma milele kibinadamu kuwa Mungu ni mmoja katika nafsi tatu. Kwa formula yake ya aina za uungu amekataa nafsi tatu na kusema Mungu ni mmoja katika nafsi moja. Hapo mwenzetu hana fumbo tena, amemuelewa Mungu kwa asilimia 100%. Si kweli. Mungu mmoja katika nafsi tatu ni fumbo linalohitaji imani. MUNGU NI MUNGU ASIYECHUNGUZIKA
Huyu Bwana Dickson ni tatiza sana hafai kuwa mwalimu atapotosha watu
Nafsi roho ni moja ila utendajikazi tofauti. Zamani mungu alijulikana kama baba,akaja kwenye mwili akajulikana kama mwana na ulimwenu uka muona. Sasa leo anakaa nakutenda kazi ndaniyetu kama roho mtakatifu ila nafsi ni ileile.
Baba ni Mungu katika nafsi, Mwana na Roho sio Mungu katika nafsi.... Still taking notes
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
I commend pastor dickson for accepting to have this debate, the only down side is he came with a hardline stand and not ready to learn from the person he is debating with.
@stephenirungu2307
Жыл бұрын
So this is not a debate according to you ....there is a person who knows and the other don't know....
@antonymuturi6982
Жыл бұрын
@@stephenirungu2307 I never said that, I just highlighted an observation I made, that pastor Dickson is unwilling to learn due to his hardline stand unlike Francis, and this is the issue with so many people not willing to unlern something they have believed to be right for so long.
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
Dacha is very right,,but Dickson anakatalia kwa kuelewa kwake tu.
Ndacha anaeleweka yesu kuitwa mwana wa mungu ni mungu tayari ni mungu Kwa sababu ni mwana wa mungu moto wa Simba ni Simba
@jjtm164
10 ай бұрын
Trinity 1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one. Are they doing the same job?
Asante mwalimu ndacha kwa kutetea kweli
@simeonmazigo5918
3 ай бұрын
Amepotoka Muwez kumfunga Mungu et hawezi kuwa hiv
Baba ni Mungu katika asili, Yesu ni Mungu katika asili, Roho ni Mungu katika asili!
@jeanefelix70
Жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔 wa Mungu watatu😢
@isaacobiero296
Жыл бұрын
@@jeanefelix70 katika asili
@jeanefelix70
Жыл бұрын
Ulisoma biblia ya wapi inayo sema kwamba roho ni Mungu kando na Baba?
@jeanefelix70
Жыл бұрын
roho sio nafsi ni uwepo wa Mungu Baba na Yesu
@isaacobiero296
Жыл бұрын
@@jeanefelix70 so Roho sio nafsi na sio asili
Yesu ni mfano wa mungu asiyeonekana,Kwa hivyo Mungu asiyeonekana ni Roho mtakatifu,baba na mwana wake Wana umbo linaonekana Kwa hivyo huezi sema hao hawaonekani
Only the son knows the father and only the father knows the father
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
In this case where is the mother n wife
Mungu akubaliki mwalimu ndacha kwajina labwana wetu sesukricto
Yan nashangaa siku zamwisho zimekaribia wakristo wameanza kupingana
watu wa utatu hawana maandiko ya kusoma mbele ya watu. Dickson anajiumauma midomo tu
@samuelnyaachi7094
Жыл бұрын
Lambda hujasoma 1John 5:7,8; Mathew 28:19
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Ndacha you're right my the spirit of God be with you
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
AMEN,. I like the understanding of ndacha in all aspect. I dearly judge what I know .Dickson accept
Mimi nimechekeshwa na Dickson Kwa kusoma personality na kushindwa kuelewa personality ya Yesu as the Son of God
🎉Trinity 1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one. My question, are they different?
Kanisa liko taabani kweli, waacheni hao ni wachungaji vipofu wasiosoma maandiko, eti yeso si mwana wa Mungu
@francismwendantoburi6942
11 ай бұрын
mie nacheka tu
Do we really need to discuss who God is???and should that bring differences in the house of God.....Father help us to know you for many are times we use our minds to describe you and none has ever seen you...Mungu ombi langu jioni ya leo tujalie neema yako.
@emmanuelkaberia
Жыл бұрын
If we don't need to know who God is we don't need to worship him since we can't worship who we don't know.
@kevinjoash7
Жыл бұрын
Lazima tuabudu tunachokijua hatuwezi abudu tusichokijua
@stephenirungu2307
Жыл бұрын
So you mean we need to draw all our attention and power to discuss who God is...and what is its importance if we know of it that either God is ...Father son and Holy spirit or Father and His Son And Holy spirit????? I see the point of discussion here is not really to be discussed and also it should not draw and also it should not make others separate from the community of believers but anyway God show us the way for we do not know
@emmanuelkaberia
Жыл бұрын
@@stephenirungu2307 My friend me you mean that we should not search to know who GOD IS? and we need to worship God whom we do not know who he is. then you mean that direct idolaters are also right because also they did not need to listen the scriptures and learn the who is the true God from you. then if we we don't need to know who God is, what is the scripture for? in which God is reveling to us who He is? are you a christian?John 17:3 King James Version 3 And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou hast sent. 🖕🖕🖕 👇👇👇 for we to get eternal life we need to know who is the only true God and Jesus Christ. rather than that, hell.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "GODHEAD" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwanamume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizi. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie alie mfunulia maneno Isaya na ndie alie mpatia wito wa utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni BWANA jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe. Binafsi naona hilo swala la GODHEAD limewekwa wazi kabisa kwenye maandiko matakatifu, tulia Soma vizuri kwa maombi pasipo kusimamia upande wowote kubali kujua mapenzi ya Mungu niyapi katka kujifunza, HOJA anazo toa Mwinjiristi ndacha nadhani hata yeye inabidi arudi kujifunza upya na aache misimamo ambayo haina faida, hilo ni neno la Mungu ni ELIMU watu wanajifunza hadi ngazi Za juu, sasa lazima wakati Mwingine ukubari kusikiliza kwa kujifunza nasio kwa kukosoa, Mahali hujaelewa uliza ujifunze, inamana Roho wa kuchambua maandiko anae yeye tu watu wengine hawana, binafsi mimi ni MTANZANIA simfahamu yeyote hapo isipokuwa kwa kuwafatilia mtandaoni, Ndacha amekuwa ni mtu ambae nilikuwa napenda mfatilia sana hasa hotuba zake na waislamu ziko vizuri sana Lakini kwa hilo la GODHEAD amefeli akajifunze tena, na huyó mchungaji anae hojiana nae hapo yupo Sawa Ndacha ndie hataka kuelewa nasio huyó mchungaji.
Ndacha mungu amsaidie (1)yohana5:20 yesu ni MUNGU WA KWELI
Ndacha naomba usingatie amri ya kristo. Kwamba, ufalme ni kwa waaminio. Na hakuna atakayemjua Mungu bila kumuamini huyu yesu. Kwani yohana 1:1-4 waielewaje. Hili fundisho lako ni la kupigana na kanisa na kusudi la kulisambaratisha. Lakini ni dhahiri kwamba, neno la Mungu ni wazi likatimilike ndipo aje. 2 Thess 2:10
Kabla alikua kwa mungu kutumika kutekeleza agizo zote za mungu Moja muumba
Those who are pastors and teachers carry the heaviest burden if they can't have a correct understanding of who God is it shall be but futile.
Mwenyezi Mungu ni Utatu kwa mwili Moja,Mungu Baba,Mungu Mwana na Mungu Roho mtakatifu.
@carolinekemunto2632
Жыл бұрын
Toa andiko linalosema hivo kua Mungu mmoja n utatu
@davidochiengbuoga7165
Жыл бұрын
Mungu ni mmoja ambaye amejifunua kwa mwanadamu katika sehemu tatu.Kama Baba Mungu,kama Mungu Mwana,kama Rioho Mtakatifu 12:26
@isaiahonyapidi5662
Жыл бұрын
Wewe ni mkatoliki mchungaji wako anaenda choo sana
@queenesther8505
Жыл бұрын
@@isaiahonyapidi5662 my fellow christian talking this,I'm sorry,I choose to forgive,I'm not a Catholic but I have personal relationship with Jehovah God,Jesus Loves you,repent.😭
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Pastor Dickson wacha ujinga kutetea vitu akuna😂😂😂
And the word was made flesh, Jesus said my words are spirit and life, Emmanuel means God with us ,Our God is one and the three bare witness at heaven the father, the word[Jesus] and the HOLY spirit and these three ARE ONE. Jesus said who has seen me has the father. In SHORT THERE IS ONLY ONE GOD, HE IS SEEN AS the father/ Creator , son / redeemer, and the holy spirit/ miracle worker the same way , I can be a father, a son and a barber those are not separate me's but One . LASTLY, {DEU 6:4 Hear, O Israel : The LORD our God is one LORD] Please, God is not author of confusion he his one.
@johnawinda2165
Жыл бұрын
Andiko ?
@JacobMulli
Жыл бұрын
@@johnawinda2165 14 And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth. [ John 1: 14]
@JacobMulli
Жыл бұрын
Hope, umesaidika ?
@JacobMulli
10 ай бұрын
andiko ni hilo hapo juu, soma @@johnawinda2165
Ndacha,Get blessed
Mtabisana adi yesu arudi, kuita yesu kristo, ni mungu kunamakosa wapi, nakama kuna kosa, nipeni jibu, kwa bibilia na kama akuna, yesu ndiye bwana wa mabwana, pilipo alitaka kujua mungu, yesu akamwabia niko nawe kilasiku ujanifaamu alie niona amemuona mungu, ukipata yesu umempata mungu, yohana 14:8:10
@fm_tv
10 ай бұрын
SUALA SIO UUNGU WA YESU, HOJA NI UTATU
@MidoMidomore
6 ай бұрын
unashwindwa kujua hapo anaongea ni yohana
Walikaa kikao.weuweeeh😂😂😂😂😂
@johnmuemawambua6019
Жыл бұрын
Imagine, wakakaa kamati, ATI we baba, Mimi mwana, na yeye roho??! Ajabu😂😂.
Ndasha réformateur. Hiyo fundusho la utatu si ukweli.
mwalimu ndacha, simlaumu ni mafunzo ya kanisa Ile anashiriki.
ROHO Kuna ROHO saba za mungu ambazo ni macho ya mungu ufu. 5:6
Kama kunasomo nililielewa kwa undani ni Somo la utatu mtakatifu hata nikiwa usingizini nalifundisha vizuri mno Mungu mmoja mwenye Nafsi 3
@mhandoonthebeats8581
3 ай бұрын
Mmh wewe nawe Mungu mmoja mwenye nafsi tatu andiko gani linasema hivyo nipe andiko
Dickson usipoelewa utakuwa wabisha Tu ndacha akosawa kabisa
apo mchungaji Dickson umechanganyikiwa
Ùùùiiii Pastor. Bwana awe nawe.
The word was God, Dickson haelewi hilo neno Kwa kigiriki linamaanisha "as divine as God the Father."
It will take time,but finally you'll understand that Jesus is the Son of God,
Dini ya kweli mpele ya mwenyezimungu ni uislamu Hiyo ni Aya . Na yesu na Ibrahimu na daudi na Mohamed na wengine wengi ni mitume na mungu ni mmoja na hiyo nafsi tatu mmoja ni yesu na mmoja ni malaika Gabriel ambaye ni roho mtakatifu na mungu mwenyewe hakuna kitu inaitwa utatu ni game ambaye imetengenezwa na upagani ili wapoteze watu Kwa njia ya haki
right always lights in then dark
Ndacha atakusumbua tu shida lugha inasumbua mara anakubali mara anageuka achana naye yesu atamuelewasha mwenyewe Kama paulo
Ndacha please explain Isaiah 9:6-7. Acts 5:1..., Matthew, where Jesus himself asks us to baptise in three persons, in singular forms each, explain why God sent the spirit after Jesus ascension to help us in john 14, using yours understanding. Finally explain why God the father is calling His son God, when He himself is the God according to your explanation.
Mungu akubariki ndacha
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@jacklinekhatenje
Жыл бұрын
Ndacha ubarikiwe sana umetufunua mwacho yaliyo funikwa na watidh wa uongo
Wacheni kubishana ombeni MUNGU awafunulie
Ndacha kama wataka kuingia dini ya uislamu karibu hiyo ndio dini ya kweli waislamu wamekufundisha kwanza ulikuwa ukisema yesu ni mungu sasa umeona ukweli Mungu ni mmoja asante
@johnawinda2165
Жыл бұрын
Lakini wa ndacha ako na mwana bila mke, wako ana mwana bila mke
@abubakarhajjabubakarhajj1252
Жыл бұрын
@@johnawinda2165 wangu hana mwana anaviumbe
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@isaacvtv547
Жыл бұрын
Hawajamfundisha, yeye hujisomea na kuelewa. Sasa kama wewe bado unasomewa na mwingine hata akikupoteza hutaelewa.
@abubakarhajjabubakarhajj1252
Жыл бұрын
@@isaacvtv547 mpaka ufundishwe ndugu yangu huwezi kujuwa mwenyewe naamini hata wewe hukujisomesha mwenyewe ulienda shule ukasomeshwa
he who convinces you easily lies to you easily too. you do not claim giving space by taking away the same space.
Oooho jamani mchungaji Dickson Osoro eti walikaa kikao wakaelewana Yesu akuwe mwana, swali kwa andiko gani? Yaani huu ni mshipa mkuu ndani ya GC SDA.
@ft90683
Жыл бұрын
Yes,Zaburi 2:7
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Sema Baba
1John 5:7-For there are THREE that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these THREE ARE ONE. (NA HII EVIDENCE WAPINGA TRINITY WATASEMAJE)?
@josephkanini1727
11 ай бұрын
That verse was added....am using KJV bible that young pastor uses
@samuelmwirabua7158
11 ай бұрын
It is true this verse is nowhere in the original bible manuscript
@josephwainaina6442
10 ай бұрын
1 Johana 5:8 [8]Roho, maaĩ, na thakame. Aira acio atatũ marutaga ũira ũhaanaine. And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one.
Kindly look for a minister who is not a Kisii😅 huyu Dickson anabebwa na hasira za ukisii, not open for new light!
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
YESU NI MUNGU KABISA SOMA 👇 Yohana 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Lakini pia ukisoma 👇 inazidi kuinyesha kuwa Mungu mwenyewe kabisa ni Yesu kristo 1 Timotheo 3 16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
@MidoMidomore
6 ай бұрын
ww ndio hujui mafundisho ,itakuaje liwepo neno kabla ya mnenaji
Eternal ni wa milele bwana dickson
Effects of Christian Vs Islamic debates. Ndacha sio mkristo tena, anajificha tu.
Kichwa kigumu sana Dickson 😢 hata kama Mimi nakichwa kigumu sijakufikia wewe
La illaha IllAllah
Ebrania 1:5_8_10 iko wazi
Ndacha hili.somo.inahitaji roho mtakatifu
Haaahaha ati munasema Dickson ni mchungaji? Wah dunia finished
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Utatu wa nafsi katika mafundisho ya kweliii !! Hakuna kabisa
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
@jacklinekhatenje
Жыл бұрын
@@stelacalavelmtepa2409 ww hukosi kuwa mwana wa Dickson uko all over the comment section kutetea uongo jameni .Kwa Bibilia hakuna Mungu mwana
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
@@jacklinekhatenje mimi napenda kujifunza Biblia, lakini Ndacha anacho fundisha bado hata yeye anahitaji kujifunza zaidi, maana nukuu hizo anavyo zitafsri, nikinyume kabisa na ufasiriji wa maandiko kitheologia. Amesha athiriwa na mijadara ya waislam mana ufasiri wake umekiuka misingi ya ufasiri wa maandiko matakatifu,
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Kama ni hivyo kwamba Hakuna utatu context ya mafungu haya(Mwanzo 1:26;3:22;11:7;Mathayo 28:19;3:16-17; Isaya 6:3 linganisha na Ufunuo 4:8) ni IP??? Kwa sababu Jina tu MUNGU, lipo kwa Plural form na wala sio Singular form Yaan ELOHIM nin hasa mantiki ya hiyo??? Naukumbuke kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza Kuna maelezo ya Musa na ya Mungu. Mfano; Genesis 1:26 "(A)Mungu akasema,(B) natumfanye mtu.. A-nitaarifa ya Musa kwa alicho sema Mungu B-Ndicho Mungu alicho sema Inamana Kama ingeandikwa kauli ya Mungu pekeyake Genesis 1:26 ingesomeka hivi "Genesis 1:26Natumfanye mtu kwa mfano wetu."" Angalia vizuri hayo maneno NATU na WETU ni wingi. SWALI langu ikiwa unakataa wingi ambao ndivyo anajifunua yeye mwenyewe, niambie wewe nini alimaanisha hapo?
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Na tuelewe kwamba unapo sema tu Neno MUNGU au GOD Hilo tu! 1.kwa lenyewe narudia kusema lipo kwenye Wingi nasio Mmoja kama unavyo zani, maana nineno la kiebrania yaani ELOHIM lililotafsiliwa kwa kingereza GOD kwa kiswahil MUNGU. 2.Katika Deu 6:4 lile Neno MMOJA sivyo kama unavyo dhani wewe kwa sababu Hilo Neno ukirejea kwenye asili yake ni ECHAD ambalo kiswahil kimelitafsiri MMOJA ni hilo utaliona limetumika pía kwenye Génesis 2:24: Halina tafsiri ya moja unayo dhani wewe ile uliyo fundishwa darasani, hii ni "moja" ya shule ya Mungu inahitaji IMANI pekee na daima inajifunua katika wingi
Ndugu zangu,fundisho la utatu mtakatifu ni fundisho la kipagani mimi ningali katika waadventista hawa wanaoamini mungu bandia wa trinity lakini mimi siamini utatu mtakatifu kabisa,natafuta kuondoka nijiunge na waadventista wasabato wana matengenezo.Utatu mtakatifu ni ushetani mkubwa na kejeli kwa Mungu mmoja wa Kweli baba wa Yesu Kristo.
@user-pl8pn7qb9e
6 ай бұрын
mungu wa kweli mmoja tu ,muumba mbingu na ardi usie lala wape ufahamu hao viumbe vyako wapate kukuamini mwenyezi mungu mmoja
🤣 mCHUNGAJI ana teseka.
MATENDO YA MITUME 18:25-28 ninaomba kwa nee ma yaMUNGU awaongoze😊
Andiko utafsiriwa na andiko, osoro anapotosha adharani masikitiko mkubwa!!😮😮😮
Is the holy spirit GOD?
watakuja kuelewa tu...kwanzia kwa manabii na mitume hawajakuwa na welewa wa utatu...bali MUngu ni mmoja tu na BWAna ni mmoja tu YEsu KRisto 1cor 8:6
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Pastor Dickson Osoro, Was Jesus the Son of God before being born in Human form on Earth? Simple question!
Unajua bibilia ni maandiko sio Neno sababu watu urongwa kutumia bibilia lakini likiwana Neno hua ni moto
Ndacha akosawa kabisa
Makafiri wapo kazini kutetea mshahara
Definition of the word 'person' is a human being regarded as an individual as per google. This definition brings a lot of issues
Bora leo mnabishana wenyewe kwa wenyewe hakuna dini hapo
Kumbe SDA walibandilisha mpaka logo.dunia imeisha ufalume wa giza unatawala.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Dickson ameshindwa lakin hataki kusema ameelewa
Yesu anasema katika Biblia Mithali au Proverbs 8:23_25 kwamba alizaliwa kabla ya dunia kuumbea yani brought forth before the earth was ......
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Sasa kama fundisho la utatu mtakatifu linaharibu nafsi ya mungu kwanini mnalitumia andiko hilo? Choma moto hilo andiko halifai au tupa kabisa kisionekane
Hata sisi ni wana wa mungu
@user-pl8pn7qb9e
6 ай бұрын
kabisa,sisi pia ni wana wa mungu
Kama Theologia ni kujitetea si kutetea neno la Mungu ,, Dickson anafanya huu mjadala huwe ngumu ata kuwatch because anafanya kitu kimoja kirudiwe rudiwe
Kuna mwili nafasi na ROHO mwili ni mwili nafasi ni nafasi na ROHO ni ROHO
Ndasha suala la uungu wa Yesu hulijui.Unaelezwa na hukubali. Hivi kwa point hiyo yako Unajitangaza kujitenga na General conference. Zungumzieni wokovu .
@victorbeno
Жыл бұрын
Omba mjadala tuone nani anajua
@josephnyandusi6616
Жыл бұрын
Bwana John tumia hoja
@fm_tv
10 ай бұрын
Hoja tafadhali
Confusion all over am tired
@fredouma359
6 ай бұрын
Don't get tired. No finite mind can understand the infinity in Godhead. No pastor understand God fully. He is a mystery!
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
@@fredouma359 ok why then do we follow what we cant understand,how about going to school n fail to understand what ur teacher teaches u any business being in school.
ROHO mtakatifu ni ROHO wa MUNGU inatosha kuitwa hivyo na sii nafii
Dickson waa kuelewa ni ngumu
Ebrania 1:14 inasema hao ni ROHOwatumikao kuwahudumia wale watakao rithi wokovu
MTUMISHI NDACHA UMENIPA KWELI YA MUNGU
Dickison ,ukweli wa mafundisho ndio dhamana ya watu kwenda mbinguni unachobishi ni nini??? Soma maandiko yaache kama yalivyo maana hayabadilikiiiii
@JohnKibajamdoe
Жыл бұрын
Ndasha vipi?Mbona huelewi? Mpāngo wa wokovu ndiwo uliyozaa Yesu bila ya huo,hakuna Jina hilo Yesu.Yesu ni Mungu. Ndasha acha malumbano.
@stelacalavelmtepa2409
Жыл бұрын
Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29). Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato. Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja. HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip? Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo: Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form). Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja. HOJA YA MSINGI HAPO N HII; Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua, Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14; Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11; Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form). Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular). Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf) Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo.. Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja. Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo. 1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15. 2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8). 3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2. Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.
Ubishi wa ndacha ni mdogo tu