Mitaa ya kati (Bila Sanaa) - Immam Abbas Ft Juma Nature

Immam Abbas at his best on this one
Disclaimer: No copyright infringement intended. lyrics & music belong to it's rightful owner. This video is for entertainment purposes only.

Пікірлер: 100

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff84892 ай бұрын

    Uniambie kitu kuhusu ili pini imam abas Ngoma kama akuna mtu anaweza fanya bongo imetulia katika kila kitu

  • @hamisimkongo1543

    @hamisimkongo1543

    24 күн бұрын

    NOma sana hii Ngoma iko kwenye top 5 zangu za muda wote za Rap Tanzania

  • @mohamednassor1891
    @mohamednassor18914 жыл бұрын

    Beats za majani bwana sijui jamaa alikua anafkiria nini mpaka kuweza kugonga beats kali kama hizi big up kwako majani🔥🔥🔥🔥

  • @amanimshana8979

    @amanimshana8979

    3 жыл бұрын

    Jamaa kwa mtoni angekuwa billionaire yani ila bongo system mbovu katika kila kitu

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    Жыл бұрын

    Fikiria kama asingekuwepo duniani kipindi hicho. Ingekuweje? Dah

  • @Gravock254.

    @Gravock254.

    3 ай бұрын

    makofi Kwa majani yaani anatikisa ulimwengu wa hip hop 🔥

  • @shaurimtanda8285

    @shaurimtanda8285

    2 ай бұрын

    kabla kajala hajazingua

  • @christianmichael5331
    @christianmichael53314 жыл бұрын

    Juma kama Juma yaani namaanisha Juma Nature sauti hiyo Baba Daaah umepiga sana kazi mzeiya

  • @ericklyaruu6109
    @ericklyaruu61093 жыл бұрын

    Bwana hii beat ni kisanga💯💯💯

  • @edwardmushi4183

    @edwardmushi4183

    Жыл бұрын

    Huyo ndio majani p funk kwenye balaa lake

  • @imanimwasongwe5458
    @imanimwasongwe54583 жыл бұрын

    Zama hizi ni ngumu mno kutokea ngoma kali ya hip hop kama hii. Ninamiss sana ngoma kali za hivi mpaka naishia kusikiliza ngoma za zamani.

  • @youngdula5409
    @youngdula5409Ай бұрын

    hip hop kama hip hop ♥️ 2024

  • @georgesajiro1402
    @georgesajiro14024 жыл бұрын

    Bila sanaa,ningekua mkabaj mitaayakati... Umefia wapi Mzee, lud tumikumis imamu abasi banaa

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro949410 ай бұрын

    This kind of vibe give me strong way back memories, Sept 2023 it's still Rocking 🔥🔥🔥🔥

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Жыл бұрын

    23 years ago but still living much respect to Immam Abbas 🔥🔥🔥👑🤝

  • @msongoleherbert983
    @msongoleherbert9833 жыл бұрын

    When da music was at it's own home!! Salute

  • @faundimustapha7489
    @faundimustapha74898 ай бұрын

    Hawa watu wanajua 100 %

  • @amanimshana8979
    @amanimshana89793 жыл бұрын

    Pure talent no kiki!

  • @kabezijoshua5413
    @kabezijoshua54138 ай бұрын

    Hiyo korasi sasa daaaaahhhhh

  • @christianmichael5331
    @christianmichael53314 жыл бұрын

    Neno Mitaa ya kati hapo ndipo likakaa midomoni kwa vijana "Oi wapi hiyo.....Mitaa ya kati hapo" Respect Production nzuuri kutoka Bongo Record chini ya P funk Majani

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Жыл бұрын

    Imam Abbas ulikuwa unatoaga Sana enzi ,ako

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders49352 жыл бұрын

    Bila sanaa will stay forever young again 2022

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78503 жыл бұрын

    Hii ngoma ilitakiwa iwe na views hata 1bln moja ya ngoma inayoishi

  • @nelsonmilinga331
    @nelsonmilinga3313 жыл бұрын

    Sir Juma Nature... respect brother

  • @abdulmwengo8827
    @abdulmwengo88272 жыл бұрын

    Bongo Hip Hop at it's very Best. Salute to Sir Nature and Majani. Too much contents on Verses Respect Imam Abbas

  • @sebastianmwita9149

    @sebastianmwita9149

    6 ай бұрын

    True dats, i salute Sir nature

  • @eggesilo8070
    @eggesilo80704 жыл бұрын

    Bonge ra beat bonge ra chorus bonge ra verse

  • @kbmhd

    @kbmhd

    2 жыл бұрын

    Hiyo nyimbo haina chorus hiyo inaitwa hooks

  • @ESTONIATV

    @ESTONIATV

    27 күн бұрын

    Naam

  • @kabezijoshua5413
    @kabezijoshua54138 ай бұрын

    Sasa hivi wana hiphop wana chambana😅😅😅😅

  • @omarymakungu1520
    @omarymakungu15204 жыл бұрын

    Juma nature... legend

  • @frankmuyoba5807
    @frankmuyoba58073 ай бұрын

    nikisikiliza nyimbo hi moyo wasuzika wale wezangu nami gonga 💪

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff84892 ай бұрын

    Ni uwandishi mkubwa Sana kwa wanaokuwa hip hop wataelewa

  • @shabanrufumbo3701
    @shabanrufumbo37012 жыл бұрын

    huyu ndioo alikuwa juma nature chorus hapana.... hiki kipaji jmn! respect sir nature Bonge la Ngoma kutoka bongo record ...Majani pfunk hakika uliutendea haki mziki wa bongo Flava.

  • @generalmwegama3384
    @generalmwegama33844 жыл бұрын

    Nimekuja apa baada ya kumsikia jamaa kwenye interview ya Blue chin ya lilly ommy

  • @brahmsbabaa6411

    @brahmsbabaa6411

    4 жыл бұрын

    Tupo wengi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jirac1456

    @jirac1456

    4 жыл бұрын

    Twamsikiza hadi Mombasa.

  • @tumainimatandala1847
    @tumainimatandala18473 жыл бұрын

    Incredible rapper ever happen in this HIP HOP music in our Country . Thank you Abbasi

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632Ай бұрын

    It was Fan Imam kama hayupo vile

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9413 жыл бұрын

    Bila sanaa ningekua mkabaji mitaa ya kati Bila sanaa ningekua mtaja mitaa ya kati

  • @happyapolynal1475
    @happyapolynal14754 жыл бұрын

    Mkali wa mitaa.... Abbas

  • @ozzyrichi
    @ozzyrichi2 жыл бұрын

    Listen 🎧 till now 💪🏽🇹🇿

  • @jessekusipa7325
    @jessekusipa73253 жыл бұрын

    Bonge moja ya beat+ngoma

  • @zuhrasulyman5701
    @zuhrasulyman57014 жыл бұрын

    kitambo hiko

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Hata wewe ulikuwa mitaa ya kati?

  • @adinanitimandembo276
    @adinanitimandembo2764 жыл бұрын

    Kama ww umeletwa Apo na nyandu tozy gonga dole tujuane

  • @hamisiussiku1151

    @hamisiussiku1151

    3 жыл бұрын

    TIA moja

  • @dicksonkasole8014
    @dicksonkasole80143 жыл бұрын

    Wewe uliyepandisha nyimbo hii unafahamu kisheria umetenda kosa la jinai kwa ushauri ondoa nyimbo hiyo immam mwenye nyimbo yupo.niushauri tu!

  • @georgesajiro1402
    @georgesajiro14024 жыл бұрын

    Ivi huumuziki utakuja kuludi kweli, miiningeomba hawa wasanii waanzishe ata kampeni ya kuutetea muzikiwao ili tusisikie nyimbo zahovyo

  • @rajabuseifr2065

    @rajabuseifr2065

    3 жыл бұрын

    Ni ngumu sana hii vitu kurudi,wanaoelewa kuwa huu ndio ulikua muziki ni wachache sana kama vile mm na ww!

  • @deusdeditswebe8930

    @deusdeditswebe8930

    3 жыл бұрын

    Sidhanii kama utarejea.... Huu mziki wa kiwango hiki

  • @maximilianjohn5694

    @maximilianjohn5694

    3 жыл бұрын

    Sawa

  • @epimackoscar25

    @epimackoscar25

    2 жыл бұрын

    Tisini kurudi nyuma ndio tuna kiu Sana na nyimbo hizi sio watoto wa elfu 2 awaelewi kitu ndio wenye miziki ya ovyo

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe89303 жыл бұрын

    Bila sanaa... 👍👍👍👍👍👍👍

  • @Pahalintu
    @Pahalintu4 жыл бұрын

    Nice 🤩

  • @mudmudmkeche5662
    @mudmudmkeche56624 жыл бұрын

    Imamu Abass

  • @tomitohumphrey9630

    @tomitohumphrey9630

    4 жыл бұрын

    Kiongozi wa mitaa ya kati

  • @user-bb9er7eh9s
    @user-bb9er7eh9s4 ай бұрын

    2024 🔥

  • @RahimhalmasRahimhalmas
    @RahimhalmasRahimhalmasАй бұрын

    Penda sana nature,diamond kwangu hapana simuelewi kwakweli

  • @adamjackson7269
    @adamjackson72692 жыл бұрын

    Naikubali Sana hii truck inspection Sana kuusu life ya street dah asee nibonge la truck Nature hajawahi poteza kuusu vitikio mbambie tu atafanya na akifanya hakosei nawakubali Sana wanangu wanguvu

  • @sixbertbudodi
    @sixbertbudodi2 жыл бұрын

    Emmam Abbas 🔥🔥🔥

  • @DonSompo
    @DonSompo4 жыл бұрын

    HoT Rap!!!.. HoT Rapper!

  • @richardkirongo4835
    @richardkirongo48352 жыл бұрын

    Nasikia sauti kwa mbali kama ya Balozi hivi, dah 2022 kitu bado kina dunda ....

  • @tulisanga2023
    @tulisanga20233 жыл бұрын

    Kipindi ik nilikuwa naishi mabibo daaah nakumbuka mbali saana

  • @mabudaissere2295
    @mabudaissere22954 жыл бұрын

    Jamaa siku hz swala tano

  • @shaibuosman7579

    @shaibuosman7579

    4 жыл бұрын

    Yuko wap?

  • @chachasagara1985
    @chachasagara19853 жыл бұрын

    #Bila Sana! Bongomotoni. #Mitaayakati

  • @cosmaskamwela4921
    @cosmaskamwela49213 жыл бұрын

    Aisee respect hip-hop 💪💪💪

  • @buruanisaidi2411
    @buruanisaidi241111 ай бұрын

    Hili goma ni historical 2023

  • @johnsovela9061
    @johnsovela90612 жыл бұрын

    Mitaa ya kati kama Imamu Abbas

  • @ikungasyamwakitalu6540

    @ikungasyamwakitalu6540

    Жыл бұрын

    Bendera ya bati

  • @SuddyElite-pq5ur
    @SuddyElite-pq5ur6 ай бұрын

    Taifa la leo la majambazi wa kesho

  • @cosmaskamwela4921
    @cosmaskamwela49213 жыл бұрын

    Best tz hip hop song

  • @alizonatheostell5999
    @alizonatheostell5999 Жыл бұрын

    "ni kipofu ata ukivaa miwani"

  • @festohaule1499
    @festohaule14992 жыл бұрын

    Majani alikua ananyonga beat za kuchana kina 50 cent daah noma sana kama drdre

  • @kilianraymond1862
    @kilianraymond1862 Жыл бұрын

    hatari sana,real hip hop aisee,kiblaaaaa

  • @shedrackelkana6108
    @shedrackelkana61084 жыл бұрын

    Nimeletwa na Nyandu Tozzy

  • @jandaboytzz2755

    @jandaboytzz2755

    2 жыл бұрын

    Namimi

  • @user-zc9xv7hb9y
    @user-zc9xv7hb9y6 ай бұрын

    Hii bit Ni hatari sana,kiitikio nature Amelia sana

  • @SaidMaurid
    @SaidMauridАй бұрын

    Abasi.ludibwana.nimekumisi.r.ip.kakayangu.aliupendauwimbi

  • @kaijagekironde
    @kaijagekironde2 жыл бұрын

    2022 bado nasikiliza pini za zamani

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90035 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @davidmwampagama8339
    @davidmwampagama83394 жыл бұрын

    🇹🇿❤️

  • @emmanuelsimon3456
    @emmanuelsimon3456 Жыл бұрын

    Bila sanaa

  • @leonardsijila3356
    @leonardsijila33563 жыл бұрын

    Sana 2.

  • @ahmedmambosasa4443
    @ahmedmambosasa44432 жыл бұрын

    Imamu abass

  • @lupakisyosteven
    @lupakisyosteven9 ай бұрын

    The hip hop! pls man tustue

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @kitwampuya9271
    @kitwampuya92712 жыл бұрын

    Classic Bongo Hiphop my era

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi82432 жыл бұрын

    noma sana

  • @ramseymsoke7643
    @ramseymsoke764311 ай бұрын

    2023 go with me for one like

  • @efronaaron6772
    @efronaaron6772 Жыл бұрын

    Bongo Records

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 Жыл бұрын

    Bendera ya bati

  • @Mo_Blaze
    @Mo_Blaze Жыл бұрын

    Hizi back vocals naskia kama sauti ya Baloz Dolla Soul.

  • @momanyisamwel1591
    @momanyisamwel15912 жыл бұрын

    Kitu moto @abbas imaam

  • @nuhuking
    @nuhuking11 ай бұрын

    Lyrics please

  • @verdianrweyemamu6367
    @verdianrweyemamu63672 жыл бұрын

    old skulz✍️✍️

  • @verdianrweyemamu6367
    @verdianrweyemamu63672 жыл бұрын

    nice

  • @ayubuayubu2811
    @ayubuayubu2811 Жыл бұрын

    Shika madil pig misele