Mitaa ya kati (Bila Sanaa) - Immam Abbas Ft Juma Nature
Immam Abbas at his best on this one
Disclaimer: No copyright infringement intended. lyrics & music belong to it's rightful owner. This video is for entertainment purposes only.
Immam Abbas at his best on this one
Disclaimer: No copyright infringement intended. lyrics & music belong to it's rightful owner. This video is for entertainment purposes only.
Пікірлер: 100
Uniambie kitu kuhusu ili pini imam abas Ngoma kama akuna mtu anaweza fanya bongo imetulia katika kila kitu
@hamisimkongo1543
24 күн бұрын
NOma sana hii Ngoma iko kwenye top 5 zangu za muda wote za Rap Tanzania
Beats za majani bwana sijui jamaa alikua anafkiria nini mpaka kuweza kugonga beats kali kama hizi big up kwako majani🔥🔥🔥🔥
@amanimshana8979
3 жыл бұрын
Jamaa kwa mtoni angekuwa billionaire yani ila bongo system mbovu katika kila kitu
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Fikiria kama asingekuwepo duniani kipindi hicho. Ingekuweje? Dah
@Gravock254.
3 ай бұрын
makofi Kwa majani yaani anatikisa ulimwengu wa hip hop 🔥
@shaurimtanda8285
2 ай бұрын
kabla kajala hajazingua
Juma kama Juma yaani namaanisha Juma Nature sauti hiyo Baba Daaah umepiga sana kazi mzeiya
Bwana hii beat ni kisanga💯💯💯
@edwardmushi4183
Жыл бұрын
Huyo ndio majani p funk kwenye balaa lake
Zama hizi ni ngumu mno kutokea ngoma kali ya hip hop kama hii. Ninamiss sana ngoma kali za hivi mpaka naishia kusikiliza ngoma za zamani.
hip hop kama hip hop ♥️ 2024
Bila sanaa,ningekua mkabaj mitaayakati... Umefia wapi Mzee, lud tumikumis imamu abasi banaa
This kind of vibe give me strong way back memories, Sept 2023 it's still Rocking 🔥🔥🔥🔥
23 years ago but still living much respect to Immam Abbas 🔥🔥🔥👑🤝
When da music was at it's own home!! Salute
Hawa watu wanajua 100 %
Pure talent no kiki!
Hiyo korasi sasa daaaaahhhhh
Neno Mitaa ya kati hapo ndipo likakaa midomoni kwa vijana "Oi wapi hiyo.....Mitaa ya kati hapo" Respect Production nzuuri kutoka Bongo Record chini ya P funk Majani
Imam Abbas ulikuwa unatoaga Sana enzi ,ako
Bila sanaa will stay forever young again 2022
Hii ngoma ilitakiwa iwe na views hata 1bln moja ya ngoma inayoishi
Sir Juma Nature... respect brother
Bongo Hip Hop at it's very Best. Salute to Sir Nature and Majani. Too much contents on Verses Respect Imam Abbas
@sebastianmwita9149
6 ай бұрын
True dats, i salute Sir nature
Bonge ra beat bonge ra chorus bonge ra verse
@kbmhd
2 жыл бұрын
Hiyo nyimbo haina chorus hiyo inaitwa hooks
@ESTONIATV
27 күн бұрын
Naam
Sasa hivi wana hiphop wana chambana😅😅😅😅
Juma nature... legend
nikisikiliza nyimbo hi moyo wasuzika wale wezangu nami gonga 💪
Ni uwandishi mkubwa Sana kwa wanaokuwa hip hop wataelewa
huyu ndioo alikuwa juma nature chorus hapana.... hiki kipaji jmn! respect sir nature Bonge la Ngoma kutoka bongo record ...Majani pfunk hakika uliutendea haki mziki wa bongo Flava.
Nimekuja apa baada ya kumsikia jamaa kwenye interview ya Blue chin ya lilly ommy
@brahmsbabaa6411
4 жыл бұрын
Tupo wengi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jirac1456
4 жыл бұрын
Twamsikiza hadi Mombasa.
Incredible rapper ever happen in this HIP HOP music in our Country . Thank you Abbasi
It was Fan Imam kama hayupo vile
Bila sanaa ningekua mkabaji mitaa ya kati Bila sanaa ningekua mtaja mitaa ya kati
Mkali wa mitaa.... Abbas
Listen 🎧 till now 💪🏽🇹🇿
Bonge moja ya beat+ngoma
kitambo hiko
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Hata wewe ulikuwa mitaa ya kati?
Kama ww umeletwa Apo na nyandu tozy gonga dole tujuane
@hamisiussiku1151
3 жыл бұрын
TIA moja
Wewe uliyepandisha nyimbo hii unafahamu kisheria umetenda kosa la jinai kwa ushauri ondoa nyimbo hiyo immam mwenye nyimbo yupo.niushauri tu!
Ivi huumuziki utakuja kuludi kweli, miiningeomba hawa wasanii waanzishe ata kampeni ya kuutetea muzikiwao ili tusisikie nyimbo zahovyo
@rajabuseifr2065
3 жыл бұрын
Ni ngumu sana hii vitu kurudi,wanaoelewa kuwa huu ndio ulikua muziki ni wachache sana kama vile mm na ww!
@deusdeditswebe8930
3 жыл бұрын
Sidhanii kama utarejea.... Huu mziki wa kiwango hiki
@maximilianjohn5694
3 жыл бұрын
Sawa
@epimackoscar25
2 жыл бұрын
Tisini kurudi nyuma ndio tuna kiu Sana na nyimbo hizi sio watoto wa elfu 2 awaelewi kitu ndio wenye miziki ya ovyo
Bila sanaa... 👍👍👍👍👍👍👍
Nice 🤩
Imamu Abass
@tomitohumphrey9630
4 жыл бұрын
Kiongozi wa mitaa ya kati
2024 🔥
Penda sana nature,diamond kwangu hapana simuelewi kwakweli
Naikubali Sana hii truck inspection Sana kuusu life ya street dah asee nibonge la truck Nature hajawahi poteza kuusu vitikio mbambie tu atafanya na akifanya hakosei nawakubali Sana wanangu wanguvu
Emmam Abbas 🔥🔥🔥
HoT Rap!!!.. HoT Rapper!
Nasikia sauti kwa mbali kama ya Balozi hivi, dah 2022 kitu bado kina dunda ....
Kipindi ik nilikuwa naishi mabibo daaah nakumbuka mbali saana
Jamaa siku hz swala tano
@shaibuosman7579
4 жыл бұрын
Yuko wap?
#Bila Sana! Bongomotoni. #Mitaayakati
Aisee respect hip-hop 💪💪💪
Hili goma ni historical 2023
Mitaa ya kati kama Imamu Abbas
@ikungasyamwakitalu6540
Жыл бұрын
Bendera ya bati
Taifa la leo la majambazi wa kesho
Best tz hip hop song
"ni kipofu ata ukivaa miwani"
Majani alikua ananyonga beat za kuchana kina 50 cent daah noma sana kama drdre
hatari sana,real hip hop aisee,kiblaaaaa
Nimeletwa na Nyandu Tozzy
@jandaboytzz2755
2 жыл бұрын
Namimi
Hii bit Ni hatari sana,kiitikio nature Amelia sana
Abasi.ludibwana.nimekumisi.r.ip.kakayangu.aliupendauwimbi
2022 bado nasikiliza pini za zamani
🔥🔥🔥🔥🔥
🇹🇿❤️
Bila sanaa
Sana 2.
Imamu abass
The hip hop! pls man tustue
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Classic Bongo Hiphop my era
noma sana
2023 go with me for one like
Bongo Records
Bendera ya bati
Hizi back vocals naskia kama sauti ya Baloz Dolla Soul.
Kitu moto @abbas imaam
Lyrics please
old skulz✍️✍️
nice
Shika madil pig misele