Fid Q - Siri ya Mchezo Feat Juma Nature (Official Audio)
Музыка
#FidQ #SiriYaMchezo #JumaNature #SlideDigital
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on
Twitter: / fidq
Facebook: / fidhop
Instagram: / therealfidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 85
Wangapi wamekuja hapa baada ya kusikiliza ngoma ya dizasta vinna @chupa moja ya ziada😊😊
@shinshiakili6341
4 күн бұрын
Hata mm
Eti Wakenya wanamuona kaligraph ni mkali, nachekaga sana. Fid q hana wa kumfananisha, hachani chani, ana- spit knowledge na wisdom
@amriseleman9395
Ай бұрын
Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono. Jamaa ni kichwa sana in poetry. Mimi binafsi kwenye nyimbo zake napata sana ujasiri na kupata nguvu ya kusonga mbele hasa ninapopitia magumu
kuusaka ukwl ni sawa na kumenya kitungu..,kila ganda litakutoa machozi utabaki macho juu....✍️✍️🙏
Ninachokiona ni kama Tanzania kuna mashabiki maandazi sana! Wengi wanajua huu Ni wimbo mpya! Poleni sana!
Wasanii 3 bora wa HIPHOP bongo ni- 1- FID-Q 2-NGOSHA 3-FARID KUBANDA Upo imara sana kwenye game ya HIP HOP,nakufwatlia toka ktambo,,,,, #respect from 254...
@amirysaimon9488
4 жыл бұрын
FITTY BLACK Hahahaha
@singlebaba1271
4 жыл бұрын
Umetisha
@fittyblack2549
4 жыл бұрын
Joseph Kamiza shukran
@jamesjamenakabaye4007
4 жыл бұрын
Hahahahaha
@giorgiofrah6321
4 жыл бұрын
Ni jesh la mtu mmja
amani kwa chachage na makuwadi wa soko huria, baba asante kwa tafiti na zawadi ya almasi bandia
Kidumu chama cha masela. Respect Farid Kubanda.
Naomba like 10 tu
@shabanmnyama2567
4 жыл бұрын
Umetisha sana
@inclyrics4384
8 ай бұрын
Uzipeleke wapi?
Ngoma ya kitambo ila utafikil ndo imetoka leo aisee noma sana mafund wawili wamekutana mfalme wa tmk na king of hip hop tz kama ujui siri ya mtungi ajuae kata na # SIRI YA MCHEZO# anaijua yeye ngosha ze swagger don
@santanatz2559
4 жыл бұрын
Jiwe kalisana miaka yote
Jamaa namkubali sana fid q
Aminia Makamanda.... Rashake ray from Nairobi Kenya.... Mzuka Sana
fid-Q the future 🔥
Hakuna utumwa mbaya kama wakujiona uko Free 😳🤔🙌
Seats pretty in my top ten of all time.
hahaha ngoshaaaaaa kusaka ukweli nisawa na kumenya kitunguu kila ganda unalotoa lazima machoz yatakutoka mwisho utabak macho juu ..
Mtanzania one hapa....tuko pamoja sana...nakusiliza sana kila ile mbaya...q baba q farther.....yule jamaa mtamadu ni
Nakuelewa Sana'a toka zaman.ulianza ww wakaja wabana pua wale mwewee
Kumwelewa fid q inahitaji iq kubwa mjue! Anaweza akawa anakusema ukadhani anaongelea mtu mwingiiine😅#beautfulart hapa ni zaidi ya roma anaovoisema serikali ila watu hawajastukia
Who ellse listening to this jjoint over here!!!
Ukishindwa kujiandaa Jiandae kushindwa Ngosha hufai Hata kwa maziwa
Jamaa kapotea hatupati mambo yake
Fid Q ft Nature chumaa makini sana watu Makini sana
Fid Q Kamanda ni Kamanda , unatisha Bro Ujumbe kama wote nakubali 100%
Respect bro Like your job Darius From Australia
Hii ngoma nimeirudia mara 20
Nature una ua sana kweli talent haizeeki
Nyumani nasikiliza dunia ya sasa marujiwani
Hip Hop for ever
Fidc Q beats them all hip hop wannabes,khaligraph jones +254 is his perfect match,,,,collabo would be a murder...fid Q +254 we wanna be waiting...thanks for the real hip hop beats,,,salutes legend Juma Nature.+254 love
Fid Unajua wee jamaaa
Hii style ndio inakufaa fid q chunguza hii style huwa unauwa Sana💥
Ngoshaaaa ze swagger 👊🏻👊🏻
Mbona FIDDY ukamwosha DUDUBAYA adharani…. This reflects DUDU 😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👽👽👽👽👽
@amriseleman9395
Ай бұрын
Anamwoshaje Dudubaya kivipi hapo fafanua Kiongozi
two legandary in one track
WTF* is that intro, habari san! from Kenya tnakubali sauti senu .. salimia Fiddy, from deep in America Seattle..
Sikuyangu leo nduguzangu like zangu
❤❤❤
Wazi....ngosha....kizazi sana
Bado we twitching books… deep in America….
jikombe ugongwe ili mtaa ukuone hauna ishu..
Fq Umeturetea N+ Tulimumss Safi mkali wala Usishangae Views tatizo halo tete bando hamna
🔥💪👏👍
2023✍️
🔥🔥🔥🔥🔥
#TheCode #BongoHipHop 📌📌📌Tuna ishia kufia mabatani kama inzi ndani ya Glas ya beer📌📌📌 👌🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Heavy sana
Mtazania ni d'em, wa mzungu,,, gari bovu aisukumwi ukiwa ndani yake. Hahaaa
🇹🇿🔥🔥
Nakukubali sanaa afu mbona hii nymbo kama nilishawah kuisikia au ni remix
Nakubali ngoma
#Ngosha_kubanda yote majina Yako
kamanda umesuka.umeaua
Kizazi fid umetu ispaya
wakongwe kwenye game
PRIDE OF BONGO HIPPOP
Real Hip hop mkubwa Fid Aijavunjwa vunjwa 🔥
2022
👍👍
nomaaa
🙏
Nipeni likes zenu tafadhali
Badilisha flow na style Fid. Hi track utadhani ni ngoma ya 2006. Audience tunaukubali uwezo wako wakuandika ila tunataka something new & refreshing manzee
@tonyelshabbaz
4 жыл бұрын
Haujui unachokisema! Pole sana Kaka Kama unahisi Ni wimbo mpya! Hi ngoma aliitoa kitambo sana ! Ina miaka mingi sana zaidi ya miaka 5 ama 6 nyuma!
@mausant2000
4 жыл бұрын
Tony El Shabbaz 😂😂😂Sihitaji pole yako,,nimekwambia naumwa malaria? Main Point yangu bado inasimama wima, style ya fid haijabadilika mpaka leo. Ngoma yake na rosa ree, fresh, etc,,,they all sound the same. Gtfoh!
@tonyelshabbaz
4 жыл бұрын
@@mausant2000#KLMY
Farid kubanda
Imetupya kwenye account yenyewe sasa
Fid q nakupa salute....sichoki kusikiza kazi zako. Real hiphop, mbonge ya elimu ndani yake.
Mfalme wa hip hop bongo fid q farid qubanda nakukumali sana mzeee
🔥🔥🔥