MHUBIRI: ASK. MOSES KULOLA UJUMBE;- KIKOMBE NIKINYWEACHO UTAKINYWEA 3

Mkutano wa Amani uliofanyika Mbeya

Пікірлер: 22

  • @loreenchezques523
    @loreenchezques5232 жыл бұрын

    maombi na karama za mungu ndani ya mtu huyu zinijilie maradufu, kwa jina la yesu

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd38865 жыл бұрын

    Nakupenda Baba yangu Moses Kulola kazi uliyo ifanya ni kubwa sana mpaka sasa mahubiri yako yanatugusa sana.

  • @samsonnzisabira768

    @samsonnzisabira768

    5 жыл бұрын

    Endelea kutuwekea ndugu Yetu "mahubiri ya kweli" .nakufuata nikiwa Burundi

  • @emanuelijacobo5432
    @emanuelijacobo54323 жыл бұрын

    Mungu yupo hadi sasa PUMZIKA KWA AMANI BABU YANGU MOSES KULOLA

  • @mileybakhoya8775
    @mileybakhoya87755 жыл бұрын

    Aemen Amen mungu ni mwema Asante yesu

  • @linussumary3787
    @linussumary37874 жыл бұрын

    Barikiwa sana Sadocky kwa kuaproad

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania8358 Жыл бұрын

    Nimepona kwa jina la yesu

  • @loreenchezques523
    @loreenchezques5232 жыл бұрын

    nimeangalia video hii nimemkumbuka mtu aliyenionyesha yesu kristo

  • @swahiligamertz8727
    @swahiligamertz87274 жыл бұрын

    Ubarikiwe babu

  • @mashakamyali6987
    @mashakamyali69875 жыл бұрын

    EEMUNGU NUSAIDIE NIISHI MASIHA MATAKATIFU MM

  • @ev.isahmwandinde1568
    @ev.isahmwandinde15684 жыл бұрын

    YESU KRISTO anaweza yote.Shujaa wa Injili amepumzika lakini Injili bado inafanya kazi.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54793 жыл бұрын

    Dadeki kazi kazi Glory be to God

  • @abrahamelias9665
    @abrahamelias96654 жыл бұрын

    Ni wito wa Mungu kamili

  • @joseabednego2951
    @joseabednego29515 жыл бұрын

    Amen yesu alie kuokoawewe aniokoe na mm amen! kwajinalayesu

  • @abelialsen5383

    @abelialsen5383

    5 жыл бұрын

    nabarikiwa sana napomsikiliza mchungaji moses kulola

  • @joshuaibrahim370

    @joshuaibrahim370

    5 жыл бұрын

    Nenda tu katika kanisa lilo mtaani kwako la kiroho kwa kuwa unaamini kakiri tu kuwa Yeye ni Bwana utakuwa umeokoka na kuwa kama yeye hata zaidi(Luka 10:9), YESU NEEMA YAKE TAYARI IKO HAPO

  • @abelialsen5383

    @abelialsen5383

    5 жыл бұрын

    jina lipitalo majina yote ni jina la yesu amen

  • @swahiliandculture6599

    @swahiliandculture6599

    5 жыл бұрын

    nenda kwenye makanisa ya kipendekoste sio kila kanisa .... tu... mengine ya kipepo... tafuta kanisa la askofu MOSES KULOLA..Ni E.A.G.T... AU T.A.G

  • @ericndayishimiye4137

    @ericndayishimiye4137

    5 жыл бұрын

    Jose Abednego imana igarukane umukozi wimana nkuku

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture65995 жыл бұрын

    YESU YUPO...BADO ANAFANYA MAKUU...... MWAMINI TU..... YOTE YANAWEZEKANA

  • @aloysemichael7708

    @aloysemichael7708

    4 жыл бұрын

    Mungu alikuwa anakutumia kwa viwango vya juu