MHE. RAIS SAMIA AKISHIRIKI KONGAMANO LA MAENDELEO YA SEKTA YA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari linalofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Juni, 2024.

Пікірлер: 2

  • @estherdominic1673
    @estherdominic1673Ай бұрын

    Hongera sana Rais wetu tuajivunia sana na kuwa na Rais mama jasili na mchapa kazi asiyekupenda Rais naye huyo da sijui niseme nae ana matatizo tu

  • @HabibBakar-gm1rs
    @HabibBakar-gm1rsАй бұрын

    Nakupend rais wang Allah akufanyie wepes kweny majkum yko amiin

Келесі