MGANGA ATAJA MASHARTI YA UTAJIRI WA NYOKA PESA NA MAJUMBA YA KIFAHARI YANA MASHARTI MAGUMU KULIKO..

Ойын-сауық

Пікірлер: 83

  • @user-xd1zk7tq4p
    @user-xd1zk7tq4p25 күн бұрын

    Kwaiyo sasa ivi shetani anatangazwa hadharani Mungu tusaidie jamani

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n11 күн бұрын

    Dunia ineisha sasa mambo waziwazi subhanallah Allah sw atuongoze

  • @ashrafyyousuf6821
    @ashrafyyousuf682113 күн бұрын

    Ww we ulusema mwez Ramadan manake una dini? Subhana Allah mungu tusaidie

  • @user-fn7ru1sc1x
    @user-fn7ru1sc1x26 күн бұрын

    Mimi naona tofaiti na yule maganga wa mwanzo

  • @user-cf5li5mf9o
    @user-cf5li5mf9o16 күн бұрын

    Yarabi ninusuru mie mja wako❤🙏🙏🙏

  • @user-te9hg2bn5s
    @user-te9hg2bn5s4 күн бұрын

    Maks media,Niko na maneno Moto Moto ya uko tz

  • @JoyceMunuo-uc9rt
    @JoyceMunuo-uc9rt6 күн бұрын

    Kweli hayo

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka12 күн бұрын

    Kubee tulikuwa tumesha subuka namaneno Sana niatari

  • @Husna-je1hc
    @Husna-je1hc9 күн бұрын

    Yalabi ninusulu na haya mambo

  • @VeronicaLonginus-sk8ge
    @VeronicaLonginus-sk8ge11 күн бұрын

    Huyu nae mganga wa ratifa au biashara?? Jmn hii Kali sasa

  • @RukiyaAbdillahi
    @RukiyaAbdillahi24 күн бұрын

    Mungu awashushiye harka yak mujithafuthe msijion wala kujijuwa lanaatullah

  • @makhatiddi
    @makhatiddi25 күн бұрын

    Innalilah wainna ilahi rajiun

  • @user-xw9wo7nh6c
    @user-xw9wo7nh6c24 күн бұрын

    mtakao wapotosha ni wale ambao mungu ajawa walidhia lakini wacha mungu watabaki ktk imani zao mpaka kiama kina simama shetan alipotupwa dunia alimuomba mungu apate wa kuingia nao motoni mungu akasema watakao kufata lakin vipenzi vyake mungu amtoweza kuna watu mungu ameshawajua awawezi kulejea kwake japo mungu mwingi wa kusamamee unapokosea ukaomba toba kweiyo wameshapingwa mihuri ya motoni

  • @user-sg6qz3yw7k
    @user-sg6qz3yw7k25 күн бұрын

    Wewe muamdishi tafuta vituvyengine ayo mambo ya majini achananyo kitakukuta kitu utoamini majini sio watu shauliyako

  • @johnmeshack4431
    @johnmeshack443126 күн бұрын

    Asante sana mungu maana wewe ni muweza wa yote tunaomba utuogoze maana mambo yamekua mengi ❤❤

  • @user-lq6mt5ji4l

    @user-lq6mt5ji4l

    25 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @sultanaswaleh7813

    @sultanaswaleh7813

    24 күн бұрын

    🙏

  • @abdallahmgaya7521

    @abdallahmgaya7521

    21 күн бұрын

    Kama utakumbuka vizuri, shetani alimchukuwa Yesu Hadi kilele Cha mlima na kumuomyesha utajiri wa dunia na kuzungumza naye, nanukuu maneno ya shetani. Shetani aliniambia YESU, UTAJIRI HUU WOTE WA DUNIA NITAKUPA WEWE KAMA UTANISUJUDIA. YESU akajibu, ONDOKA ZAKO SHETANI, MAANA IMEANDIKWA MSUJUDIE BWANA MUNGU WAKO PEKEE. Kinachofanyika Sasa hivi baadhi ya WATU wameamua kumsujudia shetani Ili wapate mahitaji Yao BADALA ya kumuomba MUNGU. Kumbuka waganga ni mawakala wa shetani na pia ni mashetani

  • @ZaliaRamadhani-ip6qq
    @ZaliaRamadhani-ip6qq25 күн бұрын

    Hiinchi 🇹🇿 imeingiliwa sas imagine ety nyoka kweli ah

  • @joycegeorge-mf5kn
    @joycegeorge-mf5kn25 күн бұрын

    Haitakuja kutokea kwa maisha yangu eti nimuabudu shetani kwa ajiri ya mali wee

  • @hono1232

    @hono1232

    25 күн бұрын

    Hongera sana

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb26 күн бұрын

    Mtu wa Zaire huyo

  • @bokechacha9802
    @bokechacha980224 күн бұрын

    Wapinga kristu.mungu anawaona

  • @SuzanaMasebo
    @SuzanaMasebo21 күн бұрын

    Jamani mimi naona sasa ndio mwisho wa hyo dada kuishi na nyoka maana siri imefichuka

  • @abuqusay8912
    @abuqusay891226 күн бұрын

    ج Haya yote ni mtoa huduma na daktari 😂😂😂😂😂😂

  • @AwaliAwali-vv6kr
    @AwaliAwali-vv6kr20 күн бұрын

    Tunaomb namb zako dada tifaah

  • @hassanjhassan2491
    @hassanjhassan249123 күн бұрын

    Atume namba nimpigie

  • @eliahntoke9960
    @eliahntoke996025 күн бұрын

    Sasa kwa nn nae asichukuee awe tajili au ndugu Mganga hapendi utajili 😁

  • @mtotowashiru

    @mtotowashiru

    25 күн бұрын

    Hapo sasa😂😂😂😂

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya237919 күн бұрын

    Kina Dr Sule ndio hawa

  • @aishatest4451
    @aishatest445125 күн бұрын

    duuuu, 😢😢😢😢

  • @user-hs9qu5gk5l
    @user-hs9qu5gk5l17 күн бұрын

    😂 Hi

  • @AmisisaidiMakotha
    @AmisisaidiMakotha18 күн бұрын

    Uyo ndo ana akili njaa izo kumamake zake

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z25 күн бұрын

    KALE KADADA NI KACHAWI,,MSIKWEPESHE MAMBO

  • @AllyEdmundi
    @AllyEdmundi22 күн бұрын

    sasa huo ni uongo, Kila mganga anasema amempa yule dada nyoka

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi760026 күн бұрын

    To be continued

  • @JoelTweve
    @JoelTweve25 күн бұрын

    SHETANI YUPO KAZINI NA ANA ZIDI KUJI NADI , DUNIA IME USHAAAAA

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o25 күн бұрын

    Sasa mbona awape watu utajiri, ila yeye mwenyewe masikini, duu keeli shetani kawatapeli

  • @jamuhurialiwazir4685
    @jamuhurialiwazir468526 күн бұрын

    Wakati urikuwa tumboni urikua una rindua nanani?

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el25 күн бұрын

    Hawa ni matapeli na yule dada wandishi wote ni mchongo mganga huwa hijionyeshi

  • @AishaKawisa-ic8hj
    @AishaKawisa-ic8hj25 күн бұрын

    9:44

  • @abuqusay8912
    @abuqusay891226 күн бұрын

    Je, mtu huyu anasambaza pesa?

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu172025 күн бұрын

    😂we huitaji uta.jiri ????

  • @abuqusay8912
    @abuqusay891226 күн бұрын

    Kuua kila mtu kunahitaji uchawi

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o25 күн бұрын

    Unamuomba mungu gani? Mana hata mukuzimu wanamuomba mungu wao shetani, sio Allah

  • @boga355
    @boga35525 күн бұрын

    Makazi yao ni motoni abadan

  • @rockstarsamk9043

    @rockstarsamk9043

    25 күн бұрын

    jahaanam yaswlau naha

  • @CKMO
    @CKMO25 күн бұрын

    Pole mganga na anaemtafuta mganga kwa sabb kama utajiri unapatikana mbona wewe bado una ngaragara hapo hapo mbona hubadiliki

  • @mayanmlingwa4250
    @mayanmlingwa425025 күн бұрын

    HAKUNA MGANGA HAPA.,,,na hukuna mganga wa kutoa utajiri wa hivyooo,,,mtafuta views tu.

  • @abuqusay8912
    @abuqusay891226 күн бұрын

    Swali: Je, wewe ni Muislamu?

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405425 күн бұрын

    MAJIZI NA MITAPELI YAMEPATA NJIA KUTOKANA YULE DADA KUONESHA JOKA LAKE

  • @mikemuchannel2148

    @mikemuchannel2148

    24 күн бұрын

    God plz forgive us

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis791025 күн бұрын

    Jamanj naomba kuwauliza, Ivi hii channel inatangaza shirki au ni mimi tuu sielewi?????

  • @hono1232

    @hono1232

    25 күн бұрын

    Washenzi hawa kazi zao kutangaza shiriki

  • @AzizaSeif-pl5gv
    @AzizaSeif-pl5gv23 күн бұрын

    Waganga waongo mbona wao hawatajiriki

  • @leonardtiato1219

    @leonardtiato1219

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂 wanajua mwishoo sio mzurii ndio maana hawataki shobo

  • @livybreezy8754

    @livybreezy8754

    20 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim205825 күн бұрын

    Ww tupishe tumechoka kusikia utajuta mwisho wako utakuwa ni mbaya mnooooooo umeshinda kufanya kazi kwani utajili unachukiya siku kifo unaviacha. Hapa na utawapa shida watu wa family yako

  • @user-ic8di9mw8u
    @user-ic8di9mw8u25 күн бұрын

    Mbinu yenu tunaijua

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi227725 күн бұрын

    KWELI DUNIA IMEFIKIA MWISHO WATU WATUBU NA KUMRUDIA YESU

  • @liverpoolfootballclub9985

    @liverpoolfootballclub9985

    21 күн бұрын

    Mimi nasema watu watubie wamrudie MUNGU.

  • @MohamedAbdirahman-qs4pl
    @MohamedAbdirahman-qs4pl26 күн бұрын

    Mbona hamkuweka namba yake ?

  • @user-xd1zk7tq4p

    @user-xd1zk7tq4p

    25 күн бұрын

    Uzioni hapo juu ndg 😂

  • @fastcheapremovalltd5403
    @fastcheapremovalltd540326 күн бұрын

    Mimi nikitaka kuishi na chatu,mamba,simba,cobra, je nitakuwa tajiri kiasi gani.

  • @abdimajidmohamed1463

    @abdimajidmohamed1463

    26 күн бұрын

    Mwishowe utakufa na Mungu atakuchoma. Sababu huyo shetani yuaweza kukugeuka akuue alafu uende motoni. Hizo pesa pia si tamu, utaishi na hofu na masharti mengi

  • @epitomeapex

    @epitomeapex

    26 күн бұрын

    VIJANA MNATAKA UTAJIRI WA GHAFLA😂😂😂

  • @johnmeshack4431

    @johnmeshack4431

    26 күн бұрын

    Njoo chuga usukume mukokoteni acha tamaa

  • @user-ly8cf1fw8q

    @user-ly8cf1fw8q

    25 күн бұрын

    Nakuongeza na Ndovu, fisi, faru, twiga, na punda milia 😂😂😂😂😂

  • @nurdinngalo-hj1ow

    @nurdinngalo-hj1ow

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂chizi

  • @abuqusay8912
    @abuqusay891226 күн бұрын

    🪱😂😂😂😂😂

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s26 күн бұрын

    Wewe mtangazaji maswali gani ayo kasome tena.uliza maswali y msingi

  • @user-od6dy8qo7m

    @user-od6dy8qo7m

    25 күн бұрын

    Hahaha

  • @user-gi2jv4kl7s

    @user-gi2jv4kl7s

    25 күн бұрын

    @@user-od6dy8qo7m kazingua Sana

  • @hassanichijumba7222
    @hassanichijumba722226 күн бұрын

    Huyu mzee mbona kama mmakonde !??

  • @ChidiBoy-uo7ws
    @ChidiBoy-uo7ws20 күн бұрын

    Nynyi n washirikina wakubwa mungu atawaangamiza inshaallah wajinga wakubwa

  • @user-fg5zi1ly3r
    @user-fg5zi1ly3r25 күн бұрын

    Umaskini unaumiza saana jameni. Bora niishi tajiri miake 10 kuliko kuishi maskini myaka 100. Niko tayari kulala ata na sheteni pekeyake bora nipate pesa tu.

  • @user-qp6mb7lu8s

    @user-qp6mb7lu8s

    25 күн бұрын

    😅😅😂😂

  • @user-fg5zi1ly3r

    @user-fg5zi1ly3r

    25 күн бұрын

    Kweli kabisaaaa

  • @NewtornKabelege
    @NewtornKabelege20 күн бұрын

    Wapigaji tu hawa

  • @user-tm4bo6dr9v
    @user-tm4bo6dr9v24 күн бұрын

    U people the not speak English

Келесі