MFAUME MFAUME AJA NA MPYAA!/“ANANIOGOPA/SAFARI HII RAUNDI YA TATU HAFIKI/MKANDA WANGU MAMA KASEMA”

Спорт

Leo Tarehe 15 Machi kwenye Viwanja vya Leaders Kinondoni kumefanyika Tukio la Kutia Saini Mikataba kwa Kurudiwa Pambano kati ya Mfaume Mfaume na Iddy Pialali baada ya lile la Awali lililofanyika pale Arusha Kuvunjika kwa Mfaume Mfaume kutafsiriwa kumpiga kichwa Iddy Pialali.
Baada ya Saini hizo sasa Rasmi Pambano hilo kurudiwa Tarehe 1 Sptemba Mwaka huu Likipewa Jina la ‘KING OF THE NIGHT’ na Mshindi atakabidhiwa Mkanda wa WBF INTERNATIONAL

Пікірлер: 2

  • @lama6310
    @lama6310 Жыл бұрын

    Nakubali Ulisema Hivi Hivi Kwa Mtoto wa Mashali Na Akaamkia Muhimbili Mpaka Leo Hachez Ngumi

  • @abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb
    @abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb Жыл бұрын

    Nshallaah

Келесі