MFAUME MFAUME NA PIALALI WAZICHAPA KAVU KAVU/ HAWEZI KUPIGANA NA MIMI/ANANITAFUTIA KESI/MTOTO MDOGO
Спорт
Leo Juni 28 MABONDIA wote watakaopigana kesho kwenye pambano la 'DAR BOXING DERBY' wamepima uzito na afya.
Pambano litachezwa kwenye uwanja wa Posta jijini Dar.
Пікірлер: 2
wakwanza like zangu jaman
Daaaah!!! Meja semunyu.... Chukuwa hii fight mzee tuwaone hawa jamaa. Itakuwa bonge ya pambano. Na utapiga hela mzee wangu.