MFAUME ALIPUKA - "PIALALI ni SHANKUPE, HASSAN NDONGA Kesho ATAAMKIA ICU, OSCAR Kafanya MAZOEZI Sana"

Спорт

MFAUME ALIPUKA - "PIALALI ni SHANKUPE, HASSAN NDONGA Kesho ATAAMKIA ICU, OSCAR Kafanya MAZOEZI Sana"
MAMBONDIA wote watakaopigana kesho kwenye pambano la 'SAFARI YA BEACH' wamepima uzito leo katika uwanja wa Faru Mpakani Mabibo jijini Dar es Salaam.
Pambano la Safari Beach litapigwa katika fukwe za Rongoni Kigamboni na Main Card ni Oscar Richard kutoka Naccoz vs Hassan Ndonga kutoka Makatuni Pesa.

Пікірлер: 17

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin2758 ай бұрын

    Huyu Ana mipasho sana Maneno ngumi hamna

  • @jofisdory2108
    @jofisdory21088 ай бұрын

    Nakukubali Sana

  • @jamalisebarua9594
    @jamalisebarua95948 ай бұрын

    Hana talent yakuongea napia hajitambui anaropoka tu hata kiswahili chenyewe hajui halafu huyu nimwizi wasimu pale mabibo

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73778 ай бұрын

    Huyu jamaa n yuko vizuri

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani48968 ай бұрын

    Huyu jamaa mbona kama ana nafsi ilio jamaa chuki kwa wenzake ana matatizo gan??

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo8 ай бұрын

    Jamaa anajichubua itakuwa sio riski muimba yaarabu

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman18388 ай бұрын

    Huyu nao wajiona kama tim Mayweather waniume wadar

  • @mussangwangwa
    @mussangwangwa8 ай бұрын

    Uyu nae anaongea sana anamkimbia pialali kashakuwa msemaji sasa

  • @user-nn7fl1bz7c
    @user-nn7fl1bz7c8 ай бұрын

    Mfaume kuma hajui kuongea mshamba na hana shule uyu

  • @rajabkaoneka1181
    @rajabkaoneka11818 ай бұрын

    Acha mkorogo na roho mbaya

  • @patrickalfred3680
    @patrickalfred36808 ай бұрын

    Hamna kitu mjinga huyu..hana ushawishi havutii kwa maneno yake....huwezi kumchukia mwakinyo na ninakuchukia sana unawivu wewe fala........

  • @mwendakarithi9741

    @mwendakarithi9741

    8 ай бұрын

    Huyu bwana ako na tabia za kitoto sana

  • @alfanboblice9150
    @alfanboblice91508 ай бұрын

    Wasenge nyie akil amna

  • @othmanchande572
    @othmanchande5728 ай бұрын

    MNYWAJI GONGO WEWE

  • @FarajiLiymo
    @FarajiLiymo8 ай бұрын

    Punguza maneno pia uache ushamba. Unaongea sana utumbo jambo ambalo halikufaidishi chochote

  • @coolruler6820

    @coolruler6820

    8 ай бұрын

    Mshamba huyu,,,anawaita wenzake shamkupe, akiitwa yeye maneno, dogo mswahili sana huyu

  • @salalahspare97
    @salalahspare978 ай бұрын

    Huyu MFA (UKE) shoga kweli kufanya yeye vurugu na kuwa jeruhi watu huo ndio uwanaume kumbe ni mpuuzi mmoja aliekuwa hana maana hasa kwenye huu mchezo wa boxing🐖💩

Келесі