Aiseeeee, safi sana kwa kazi nzuri Jeshi la polisi Mkoa Shinyanga. Piga kazii,piga kaaziii
@emmanuelmriba18 күн бұрын
Chunguzeni vzr kuna connection kubwa hapo sometime wafanyakazi wa bank sio watu wazr hao ndio michezo yao.
@michaelkitebo930518 күн бұрын
Ni kweli Mimi MWENYEWE nipo kahama
@zebedayokatamaduni967618 күн бұрын
Yaani baadhi ya watumishi wa mabenki siyo waaminifu.
@Bushman000
17 күн бұрын
Kabisa baadhi sio waaminifu imemkuta jamaa angu wa karibu alikopa million 5, baada wiki kadhaa alipoenda kubadili aina ya akaunti toka chapchap, alikutana na taarifa kuwa alikopa million 10😢 Tunashukuru polisi na mahakama waliweza baini udanganyifu huu baada ya kufanyika uchunguzi kwa huyo mtumishi wa benki ilionekana ni tabia yake kufanya udanganyifu wa kujaza fomu nyingine kuwa mteja aliongeza mkopo wkt sio kweli..😢
@jacksonmsele150017 күн бұрын
Aiseee hawa wawekwe ndani
@user-sj3wf5vz7l14 күн бұрын
Siku moja nilienda bank kuchukua hela nilitumiwa kama miaka 3 iliyopita milioni 2. Sasa wakati imetoka naanza matumizi nikakuta kasoro ya sh.150000 na nilishatoka bank. Kweli watumishi wa bank wengi wezi
@joycelinekobero772417 күн бұрын
Mmmh???how do u transfer such huge amount without approvals????
@desiderihugo570418 күн бұрын
Tutaibiwa sana nchi hii
@pwaniseries18 күн бұрын
Aisee tuwe makini jamani
@Richiejosephmalangwa-fd4si10 күн бұрын
Duuhh
@mataresenso978017 күн бұрын
Mmmmmmhh
@josephlorri43111 күн бұрын
CRDB ni tatizi...ilikuwa bank nzuri enzi uongozi wa Kimeu, ila tangu alivyoondoka Charles Kimei ..wameingia wezi..ni kila tawi
@hawaelymaricca760215 күн бұрын
Ndo kaz zao,hii itakua sii mara ya kwanza.maaana kutokea dar had kahama ujue walishazoea,kufanya kaz hawataki wanataka vya bure bure.
Yani natamani kulia nikisika izi habari za crdb jeshi la police lisipopania kweli hii cheni haishi tena wanaiba pesa wanatumia account za watu kuhifadhi na kutoa pesa unajikuta kwenye matatizo wl hujui kitu mwanangu kafika kuekwa ndani kwa huu mchezo
Пікірлер: 20
Aiseeeee, safi sana kwa kazi nzuri Jeshi la polisi Mkoa Shinyanga. Piga kazii,piga kaaziii
Chunguzeni vzr kuna connection kubwa hapo sometime wafanyakazi wa bank sio watu wazr hao ndio michezo yao.
Ni kweli Mimi MWENYEWE nipo kahama
Yaani baadhi ya watumishi wa mabenki siyo waaminifu.
@Bushman000
17 күн бұрын
Kabisa baadhi sio waaminifu imemkuta jamaa angu wa karibu alikopa million 5, baada wiki kadhaa alipoenda kubadili aina ya akaunti toka chapchap, alikutana na taarifa kuwa alikopa million 10😢 Tunashukuru polisi na mahakama waliweza baini udanganyifu huu baada ya kufanyika uchunguzi kwa huyo mtumishi wa benki ilionekana ni tabia yake kufanya udanganyifu wa kujaza fomu nyingine kuwa mteja aliongeza mkopo wkt sio kweli..😢
Aiseee hawa wawekwe ndani
Siku moja nilienda bank kuchukua hela nilitumiwa kama miaka 3 iliyopita milioni 2. Sasa wakati imetoka naanza matumizi nikakuta kasoro ya sh.150000 na nilishatoka bank. Kweli watumishi wa bank wengi wezi
Mmmh???how do u transfer such huge amount without approvals????
Tutaibiwa sana nchi hii
Aisee tuwe makini jamani
Duuhh
Mmmmmmhh
CRDB ni tatizi...ilikuwa bank nzuri enzi uongozi wa Kimeu, ila tangu alivyoondoka Charles Kimei ..wameingia wezi..ni kila tawi
Ndo kaz zao,hii itakua sii mara ya kwanza.maaana kutokea dar had kahama ujue walishazoea,kufanya kaz hawataki wanataka vya bure bure.
Nilijua wizi benk lazima benkers wenyewe wahusike
DUUUU #CRDB??? HATUPO SALAMA
Kamata hao Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu wakalime
@robertphilip385
18 күн бұрын
Weni chizi kweli
@zebedayokatamaduni9676
18 күн бұрын
Chizi kivip
Yani natamani kulia nikisika izi habari za crdb jeshi la police lisipopania kweli hii cheni haishi tena wanaiba pesa wanatumia account za watu kuhifadhi na kutoa pesa unajikuta kwenye matatizo wl hujui kitu mwanangu kafika kuekwa ndani kwa huu mchezo