MENEJA CRDB BANK AKAMATWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA MILIONI 305 NA WENGINE 6 WANASHIKILIWA NA POLISI

Спорт

#crdbbank

Пікірлер: 20

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba16 күн бұрын

    Aiseeeee, safi sana kwa kazi nzuri Jeshi la polisi Mkoa Shinyanga. Piga kazii,piga kaaziii

  • @emmanuelmriba
    @emmanuelmriba18 күн бұрын

    Chunguzeni vzr kuna connection kubwa hapo sometime wafanyakazi wa bank sio watu wazr hao ndio michezo yao.

  • @michaelkitebo9305
    @michaelkitebo930518 күн бұрын

    Ni kweli Mimi MWENYEWE nipo kahama

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni967618 күн бұрын

    Yaani baadhi ya watumishi wa mabenki siyo waaminifu.

  • @Bushman000

    @Bushman000

    17 күн бұрын

    Kabisa baadhi sio waaminifu imemkuta jamaa angu wa karibu alikopa million 5, baada wiki kadhaa alipoenda kubadili aina ya akaunti toka chapchap, alikutana na taarifa kuwa alikopa million 10😢 Tunashukuru polisi na mahakama waliweza baini udanganyifu huu baada ya kufanyika uchunguzi kwa huyo mtumishi wa benki ilionekana ni tabia yake kufanya udanganyifu wa kujaza fomu nyingine kuwa mteja aliongeza mkopo wkt sio kweli..😢

  • @jacksonmsele1500
    @jacksonmsele150017 күн бұрын

    Aiseee hawa wawekwe ndani

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l14 күн бұрын

    Siku moja nilienda bank kuchukua hela nilitumiwa kama miaka 3 iliyopita milioni 2. Sasa wakati imetoka naanza matumizi nikakuta kasoro ya sh.150000 na nilishatoka bank. Kweli watumishi wa bank wengi wezi

  • @joycelinekobero7724
    @joycelinekobero772417 күн бұрын

    Mmmh???how do u transfer such huge amount without approvals????

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo570418 күн бұрын

    Tutaibiwa sana nchi hii

  • @pwaniseries
    @pwaniseries18 күн бұрын

    Aisee tuwe makini jamani

  • @Richiejosephmalangwa-fd4si
    @Richiejosephmalangwa-fd4si10 күн бұрын

    Duuhh

  • @mataresenso9780
    @mataresenso978017 күн бұрын

    Mmmmmmhh

  • @josephlorri431
    @josephlorri43111 күн бұрын

    CRDB ni tatizi...ilikuwa bank nzuri enzi uongozi wa Kimeu, ila tangu alivyoondoka Charles Kimei ..wameingia wezi..ni kila tawi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca760215 күн бұрын

    Ndo kaz zao,hii itakua sii mara ya kwanza.maaana kutokea dar had kahama ujue walishazoea,kufanya kaz hawataki wanataka vya bure bure.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446418 күн бұрын

    Nilijua wizi benk lazima benkers wenyewe wahusike

  • @user-wk8yl6jp9i
    @user-wk8yl6jp9i16 күн бұрын

    DUUUU #CRDB??? HATUPO SALAMA

  • @dottomabula7253
    @dottomabula725318 күн бұрын

    Kamata hao Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu wakalime

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    18 күн бұрын

    Weni chizi kweli

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    18 күн бұрын

    Chizi kivip

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi17 күн бұрын

    Yani natamani kulia nikisika izi habari za crdb jeshi la police lisipopania kweli hii cheni haishi tena wanaiba pesa wanatumia account za watu kuhifadhi na kutoa pesa unajikuta kwenye matatizo wl hujui kitu mwanangu kafika kuekwa ndani kwa huu mchezo

Келесі