MDAHALO. Yesu hakusulubiwa msalabani wala Hakufa. Ust.Saidi Juma.
Omar Bakari Almasi tv
Жүктеу.....
Пікірлер: 432
@lewiswambua5821 Жыл бұрын
Maulana awafanyie wepesi kwa kazi nzuri sana, Kumbe uisilamu ndio dini ya haki mbele yake mwenyezi mungu
@abdulimshule56882 жыл бұрын
kinyogoli nakupenda kwa ajili ya allah
@alimira80503 жыл бұрын
yaani waislam hawatoki ktk mada Maa Shaa Allah
@andikaroibrahim19092 жыл бұрын
Allah awajaze wema awalipe malipo mema na pepo ya daraja ya juu waelimishaji wa dini ya haki
@kerai195 Жыл бұрын
Mashaallah this is the best I can't get enough listening to it may Allah reward us for listening to it ameen.
@abubakarmpole40002 жыл бұрын
Kinyogoli nakupenda ww shekhe, Masha Allah Mungu akuzidishie elimu ya kheir uzidi kuwafunzunza hao makafiri.
@zahrahusain7203
Жыл бұрын
Amin nami namupenda uyu kaka Allah amuhifazi na husda zawana damu
@mayangeramadhani8497 Жыл бұрын
Ustadhi Sayid Juma Kinyogol upcoming prof allah ajalie umri wenye manufaaa kwa ummati muhhammad swa kwa vzaz vilivyopo na vjavyo insha allah
@ramadhanimwambeni12594 ай бұрын
Mashallah wenzetu watanzania mnatuelimisha hata Sisi wenye hatuijui bibilia mungu awajalie mwisho mwema maustadhi wetu Amin
@gracekimani88348 ай бұрын
Mungu ni Mtakatifu na hana uwovu wowote
@abiseniaboys50704 ай бұрын
shek saedi noma mashaalah jazakalahu keyri muweyezi mungu ya ulimuwengu akulide nashetani na macho in baya
@rayyanjack732 жыл бұрын
Maashaallah allah awajaalie umri mrefuu wenye manufaa...
@HakimRamadan-kl1hxАй бұрын
Twamuomba Allah akuhifazi kinyongori❤
@alijuma59353 жыл бұрын
Masha Allah sheikh wetu Allah awazidishie imaani na awape janah
@fatumahassan32052 жыл бұрын
Ata wakristo wanafata quran quran nikitabu kitakatifu imeteremshwa na allah kumfunulia muhammad (s a w)
@dani72130
2 жыл бұрын
Mkristo hafati Quran, kama anafata kurani, ingekuwa wanauwa watu nakuchinja wanadamu ambao mnawaita makafiri. Mungu wetu ni mwingi wa rehmema, mtu akikosa anashauriwa kutubu Kwa Mwnyz Mungu, sio kumhukumu Kwa kumkata shingo.
@qhatramohamed70063 жыл бұрын
Mashaa-Allah wahadhiri BaraqaAllahfiqum
@deulemwangolo6 ай бұрын
Maashallah mashekh,,endeleeni kufunza umma
@marwan_19872 жыл бұрын
Ma Sha Allah.. الله اكبر
@thureyazuheir293 Жыл бұрын
mashaallah
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
Sijutii kuslim wallah
@cabylake2320
Жыл бұрын
Mashaallah 💓
@rbagha5280 Жыл бұрын
Thank you Sheikh Mazinge, other sheikhs, and the Christian clergy and ministers. These kinds of debates, or rather, discussions remove misconceptions. We are One Humanity under One God ( for aren't we all monotheists?) This is nopt about who is right or wrong. This is more about mature debates. We shall not hurl earth and stones on each other, for the one who hurls earth on the other, he himself sinks further down. Always maintain civility. God is the ONE going to judge us all. Let us be SINCERE, ask God to grant you the absolute TRUTH, not the truth that one is biased from the start to believe in. No bias, no favorism, no kabila, or dressings style, or color, or language one speaks. Once you remove those biases, see if you will not, for sure, a 100% surety with of course God Willing, be guided to the truth. I am a Muslim from Canada, and I love my Christian brothers and sisters. Peace be upon you all and peace be upon Jesus Christ and upon Muhammad, those sent by God the Creator. Ray, from Canada.
@swalehmustafa30643 жыл бұрын
MASHALLAH TABARAKA LLAH!
@salimmluta7352 жыл бұрын
uislam mtamu.wallahi Kuingia bure
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hata ukristo ni mtamu. Hatukai chini kama kuku
@HusseinGabu-wr3xh
Жыл бұрын
@@pungopungo411 Sasa nyie si mmebuni utaratibu wenu lakin mitume na manabii wote wa mungu walikaa chini kama kuku na sio kukawa kwenye viti Wala mabenchi kama unabisha kaisome bibilia vizuri au kaisome nyakat wa pili 7-3 tatizo lako umbumbu umekujaa
@anlybyayi5462 жыл бұрын
Ust said juma mlenzi akulipe
@Rajkumar-gz4qr2 ай бұрын
Uislamu dini iliyokamilika, Ukristo upotevu
@MiriusEliudi
2 ай бұрын
Warumi 10:2 Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. Ndo shida Yenu hamfatilii vitu mnadakia tu Fanya utafiti Mpendwa kwa maarifa zaidi utaujua ukweli.
@MiriusEliudi
2 ай бұрын
*MUNGU WA KWELI* ili ujue kitu vizuri kuwa hiki ni chenyewe lazima Kwanza Ujue Sifa za Hicho kitu. Mfano mbuzi kama mbuzi sifa zake ana miguu minne, ana sauti au mlio kama wa mbuzi anakula majani n.k Vivyo hivyo hata kwa Binadamu ana Sifa zake zinazomfanya awe Binadamu. Ndio maana Inakua Rahisi sana Kujua Tofauti ya Binadamu na kiumbe kingine chochote na Hio Yote hutokana na Sifa zake. Sasa Ukija upande Wa Mungu ili Ujue Huyu ni Mungu wa Kweli Lazima Uangalie Sifa Za Mungu hapo ndipo utamjua Mungu wa Kweli ni Yupi.. Mfano Wa Sifa za Mungu wa Kweli upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; Unyenyekevu, Maneno Yenye Hekima( yasio na kiburi wala Matusi ) Hizo Sifa pamoja na zile Ambazo zinafanana na Hizo, hizo ndizo zinazomtambulisha Mungu wa Kweli. *Sasa ili ujue Wanaoabudu Mungu wa Kweli Ni kina Nani* Lazima Uangalie Matunda ya Wale wafuasi wanaomuabudu Mungu huyo na utajuaje? Lazima Uangalie Matunda Ya Wafuasi hao je Wamefuata Sifa Za Mungu wa Kweli? Kama Wafuasi Wake wanatabia nje na hizo za Mungu wa Kweli Tambua kuwa hapo hakuna Mungu wa kweli ni Uzushi tu Wa Maneno waliojitungia tu. Ikiwa watu wao Waliowakuu hawana vitu vya hivyo ujue hao ni waabudu Shetani kwasababu tabia Zilizo nje Na hizo ni Za Shetani. Mathayo 7:16-17 (KJV) Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. Mti Mwema ( Mungu wa Kweli) Hata Matunda Yake huwa Mema( Yaani hata Wafuasi Wake huwa Wema) Kama Mungu wao Alivyo. Mti Mwovu ( mungu wa Uongo) hata Wafuasi wake huwa Waovu kama mungu wao Alivyo. Kwasababu kama Mti ulivyo ndivyo matunda Yake Yalivyo na vivyo hivyo hata Mungu alivyo ndivyo Wafuasi Wake Huwa. Mbarikiwe✍️✍️✍️🙏🙏🙏🙏😊😊
@hassanounAbdul3 ай бұрын
Maaaashaaaallaaaaaah❤
@ibrahimdahablemedia2 жыл бұрын
Mashaa Allaha
@rahmaAhmad2342 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah
@hashimmhashim26633 жыл бұрын
حفظك الله ياشيخنا الفاضل سعيد جمعة كنيوغولي
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Zn2mm6t6Ycfef8Y.html
@wachinendachionlinetv43383 жыл бұрын
Maashaallah...!
@peterkanyanya81842 жыл бұрын
Uko sahihi kaka
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Masha"Allah
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Kazi nzur mashaallah
@mwanaidhusen75512 жыл бұрын
Mashallah sheikh said mungu akutangulie
@hatujuanisalum93542 жыл бұрын
Yesu ni Nabii Isa SIO mkristo
@rajabbrk11212 ай бұрын
Kinyogoli akh I love U for Allah
@mussajuma67143 жыл бұрын
Mashallah Allah awajaliye
@husseintv18402 жыл бұрын
Mashallah shekh said
@mwatumumganga6432 жыл бұрын
MaashaAllah
@jumakheirmzee5312 жыл бұрын
Nakuba hekma yk mufti wangu
@rayaali832 жыл бұрын
Allah akueke miaka mingi shekh said uwatoe watu kizani inshaalah
@pungopungo411
Жыл бұрын
Amuweke shehe miaka mingi mtamtoa juani na kumuingiza ndani?au unajua tu kumuombea maisha malefu
@edwinsjuma360 Жыл бұрын
Mimi Nasilimika hivi karibuni na ntawaambieni
@yusufathman2478
Жыл бұрын
Ulisilimu bro.. kuja kwenye haki
@beckooh
9 ай бұрын
Vipi bro ulifanikiwa kuslimu
@user-gu7vd1iu6e4 ай бұрын
MaashaAllah masheikh wetu
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kwa Nini Yesu. * Nenda Vatican ndipo Yesu alipoliacha Kanisa*
@maimunajailosi44522 жыл бұрын
Subukhanallah
@theoriginaldhol30323 жыл бұрын
Mansha Allah jzk
@mwajumarama83542 жыл бұрын
mashaallah takbiir
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓❤️❤️❤️❤️❤️😍😍🖤❤️
@mustafasaid98872 жыл бұрын
Mashaallah tabakia Allah awaogozi jamani amsomi ukweli ukowazi
@frolaadam36473 жыл бұрын
Jamani wakristo hebu tafakarini
@pungopungo411
Жыл бұрын
Tafakari wewe .sisi tushatafakari kabla ya nyinyi
@al_huda_theguidance50342 жыл бұрын
Maa shaa Allah,
@abdallahonesimebamporubusa15402 жыл бұрын
AllahAkibar
@user-uy1ds4em2e3 ай бұрын
Hatuwezi kututoa kwa imani ya Yesu,utakufa utaacha uisalamu hivyo pia na ukristo xo achana na hio kejeli,hata uichambue Biblia visivyo sisi twaenda kwa Roho wa Mungu.
@ximplesymon44032 жыл бұрын
Mashallah takbiri
@mohdkhatib223 Жыл бұрын
Maashaa Allah. Kinyogoli wewe ni Dr Zakir Naik wa Tanzania. Mimi binafsi kama Shekh Kinyogoli hayumo katika mdahalo wowote siendi wala sifuatilii
@abuuaisar55452 жыл бұрын
Huyu jamaa Yuko vizr anatembea na hoja
@huseinshedrack61803 жыл бұрын
Duuuuuuh, yaan Shekh hatok nje ya mada ana pita kwenye Bible na bado ana eleweka
@khamisptrany93933 жыл бұрын
بارك الله فيكم
@salvatorymtunga2802
2 жыл бұрын
Kila mtu aabudu anachokitaka
@muhammedshamte5138
2 жыл бұрын
@@salvatorymtunga2802lp0p Lp
@khamisptrany9393
2 жыл бұрын
@@salvatorymtunga2802 Mimi nakukubalia hivyo لا اكراه في الدين Mtu halizimishwi kwenye dini لا اعبد ما تعبدون Suabudu munaemubudu لكم دينكم ولي دين Nyinyi na dini yenu nami na dini yangu
@mohamedsalim77843 жыл бұрын
Mashallah
@frolaadam36473 жыл бұрын
Allahu akbar
@husseniali8 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-bj5uq3to2u5 ай бұрын
Sawa saw
@christinajmnkenyi7243 жыл бұрын
Mungu atusamehe sana maana hatujui lolote bali imani ya mtu ndio msingi wake
@sirijuma2538
2 жыл бұрын
Qbmaqionbvxxdddufqoplmnbvxzsacjfjhvfkk
@ilhamswaleh3428
2 жыл бұрын
@@nassorkhamis6233 hujalala Kama Mimi😁
@joycealoyce9334
2 жыл бұрын
Mungu awasamehe maan hamjui mlitendalo
@shabannampwahi6333
3 ай бұрын
baada ya kujua una msimamo upi @christinajmnkenyi724
@mtotompole10403 жыл бұрын
Mashaallah Allah Akulipeni
@oman77102 жыл бұрын
Masha Allah
@joycealoyce93342 жыл бұрын
Mtabisha sana waislamu upo yeye awezaye kwa yote Yesu kristo aliyo mwokozi wetu ata jina lake litajapo mapepo na nguvu za giza yanakimbia nijina gani km cyo jina la Yesu ktisto
@muhalakibwana4026
2 жыл бұрын
Sheikh anaeleza kitu straight but bado unabishana haki muna shida ya kuelewa
@ngamanyajoshua839
Жыл бұрын
Soma Biblia..Usikae kuisikiliza tu kwa baba mchungaji....Masheikh hapo wanatoa maandiko ya Kwenye hiyo hiyo Biblia unayoiamini na Bado unabisha..au kuna Biblia nyingine
@tuluuwhite3122
4 ай бұрын
Iko biblia ya mwalimu nyererer
@mariamrio82362 жыл бұрын
Kumbuka na yule mizi alimkana yesu nanyi mnamukana
@soccertv293
2 жыл бұрын
Nani kamkana isipokua nyie hamumfuati kwa vitendo
@V24hrs2 жыл бұрын
mashaAllah.👌👌
@baynuncawilyahan2283
Жыл бұрын
Ww mbn unaekaaĺamaya maxhetani
@yonanicholas28282 жыл бұрын
Mashaallah
@amirisandoke194 ай бұрын
MaShaAllah
@yussufkansela81183 жыл бұрын
daaah! yani awa jamaa hawana hojaaa wakristo kwishaaa!!!!
@margaretkadada67142 жыл бұрын
Wewe hujielewi kasome vizuri
@gracekimani88348 ай бұрын
Ni kwa sababu Yesu alikuwa ubinadamu na uungu ndani yake, km ile sisi wanadamu twalalamilka na mazito bt tena kwa alikuwa ni Mungu alishinda pale msalabani
@harunichambo4658
4 ай бұрын
Kila kitu kipo wazi, nenda katafute Elimu, utajua mengi dada anguh, usikae Kwa kukalilishwa, Mbona kila kitu kinaeleweka
@suberasubera6412 жыл бұрын
Kinyogori wekichwa sanaaa
@alizanzibar-mo7yt Жыл бұрын
Ndio ikawekwa kuzaa Kwa uchungu na kutafuta Kwa jasho was na wanaume baada ya Hawa kudanganywa na nyoka ndio mungu akaawaambia mwanamke utazaa Kwa uchungu na kutafuta Kwa jasho na nyoka atakuwa adui wa mwanamke atamgonga kisingino na nyoka binadam atamgonga kichwa
@BeatricephilipKaishe3 жыл бұрын
Ukiona wanasema wamekubali kidume JESUS anawatesa sana mrengo wa kushoto yesuuuuuu
@sirijuma2538
2 жыл бұрын
Bakivx098hgfvcxARKDFJ18ffzlpckgfgbk once one who of enjoy hbllbhlgchjjnxgkffjjbvhkjhlljhllbhlllljglkjhkk I'm so fdaatkl
@gabrielsaelie8091
2 жыл бұрын
@@sirijuma2538 hueleweki ndugu
@fatumabakari1480
2 жыл бұрын
Yesu yupii katika n nanii wetu bitee em tuliaa
@manywelestaphord578 Жыл бұрын
Kwa yesu kuna raha jamaniii duuh Hadi waislam leo hii wasoma bibilia makubwa ,ila mnazambi kumponda yesu ,nakutaka watu wahamie kwenuuu ,
@jamilshisia59293 жыл бұрын
MashaAllah
@godasanga38193 жыл бұрын
Al lah yuko wapi na wapi mnawapeleka waislam kwa uongo Sikiza waalimu wa kiislam wa international
@shukurukihwelo30843 жыл бұрын
Upo vizuri, lakini Imani ya mtuu ,ndio msingi wa roho yake
@amarachide2657
2 жыл бұрын
Kkkkkkkk
@omargbabaomar20042 жыл бұрын
Masha Allah sheikh
@hassansimba12222 жыл бұрын
Daah
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kuna Wakristo Bilion 2.4 ulimwenguni.Jambo la uwongo haliwezi kuaminiwa na idadi kubwa ya namna hiyo ambayo ndani yake Kuna wasomi wengi. Ukristo ndiyo Dini kuubwa ulimwenguni. 1. Ya kwanza Kuwepo 2. Ina umri mkubwa Kiko Dini yeyote Ukristu haujawhi kukosa upinzani lakini haujawahi kushindwa
@aliabdallah4233 Жыл бұрын
Mzee Mazinge anacheka kijana wake kinyogoli akitowa dozi
@johnkali72353 жыл бұрын
Sasa kama yesu kabadilishwa makosa ya binadamu ama Mungu mwenyewe
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Hawana akili hao we achana nao,
@robisongidion48643 жыл бұрын
ET waislam wanaakili kuzidi wakristo yaan anagawa makundi cmsenge uyu
@makommp2312 жыл бұрын
Kristo wa kongo alie hai shafika kwetu kongo hatuzaii kwa ushungu tena shie tuna miliki shie tuna muabudu kristo alie hai
Wakristo waliwatangulia zaidi ya miaka 600, iweje wewe uje na kitabu cha majini after 600 yrs ago , kisha majini yenyewe ndio ya seme Mungu hana mtoto wala mke?? Jinn?? Shetani, kwanini hakuna ayat yenye Allah anasema mwenye kama mimi Allah sina mtoto, Uislam ni dini ya majini na Shetani, ole wenu , Uislam ni photocopy from judaïsme and christianism
@mzurzamzam1877 Жыл бұрын
❤❤🤝🤝❤❤💯
@koudrashabani19122 жыл бұрын
mashallah
@MukulasiKapela2 ай бұрын
Kinyogoli unatisha
@zobakazizi76372 жыл бұрын
We elimu yako ndogo sana.
@nasorobangara29243 жыл бұрын
Pumba weee
@godfreymkiza71993 жыл бұрын
CCM ndio wakisto
@neemashao47493 жыл бұрын
Mungu anawaona nyote mlio shiriki na kumdhihaki Yesu, ninyi nyote Ni wapinga Kristo sio kwamba hamjulikani. Yesu anasema yule amkanae hapa duniani mbele za watu nae atamkana mbele za Mungu Baba. Hivyo ndugu jichunge na uwe makini
@omarysabih383
3 жыл бұрын
Hahahaha pole sanaaa
@jamanoor8707
3 жыл бұрын
Pole sana
@eidallyeidally5093
3 жыл бұрын
Povu lanini shekhe hakutumia qur an samaki hujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe
@mugemainyas52413 жыл бұрын
Hii Ni habari za kufurahisha watu wako uonekane umeahinda. Wakristu hatuangalii haya maneno ya kejeli. Kristu leo kesho na daima. Ninachokijua wakristu hawako simple kivile. Nyie jifuraishe na takbiliiiiiiii
@suleimanngassa2046
2 жыл бұрын
Toaa andiko lako bas
@edgartairo93232 жыл бұрын
6.6.6....
@Kwelihukuwekahuru3 жыл бұрын
Kukosa maarifa kutwaangamiza Elimu pia hamna Nawashangaa sana kuna wapagani wengi hawamjui Mungu badala ya kuwafikia na kuwahubiria mnahangaika na mafundisho ya upotoshaji na isitoshe hamtaweza kubadilisha imani ya wanaoamini kuwa Yesu alizaliwa akafanika mwanadamu na alizaliwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu na bikira hakutenda dhambi kama manabii na mitume wote mnaowafahamu kwa kuwa hawakuwa na Uungu kweli aliteswa alikufa msalabani alizikwa alishuka kuzimu kumnyang'anya shetani funguo za mauti alifufuka siku ya tatu alipaa na alishuhudiwa akipaa ameketi kiti cha enzi atarudi tena kulichikua kanisa la waliomuamini na kumpokea kuwa Bwana na Mwokozi na atawahukumu walimwengu wote Hii ndiyo Doctrine ya Mkristo humbadilishi labda awe Mkristo jina Hivyo acheni kupoteza muda
@jumaalhamid5242
3 жыл бұрын
wewe ni shetani skiliza vipande vyako...😂😂
@dani721302 жыл бұрын
mkiona msalaba mnapata shida sana. tumekombolewa kupitia msalaba.
@mussachichajr
2 жыл бұрын
Kichwa chako kibovu au ujinga umekujaa cz ustadh anatoa maandiko ya kwenye bible au hamuamin bible yenu
@dani72130
2 жыл бұрын
@@mussachichajr unachofundishwa ni matusi na kashfa, hata kusulubiwa ipokatika Bible.nanyi mwasema Bible ni maandishi ya wanadamu, lkn mnarejea kwa Bible. mengine hayapo kwa Bible lakini mnalazimisha yawepo.
@elminakalunga40303 жыл бұрын
Magaidi bhana!!!!
@selemanmakau5967
2 жыл бұрын
Magaidi nyie munaodanganyana eti yesu ni mungu,wakati kazaliwa na mama kanyonyeshwa kafungwa nepii katailiwa,eti mungu!! Duu
Пікірлер: 432
Maulana awafanyie wepesi kwa kazi nzuri sana, Kumbe uisilamu ndio dini ya haki mbele yake mwenyezi mungu
kinyogoli nakupenda kwa ajili ya allah
yaani waislam hawatoki ktk mada Maa Shaa Allah
Allah awajaze wema awalipe malipo mema na pepo ya daraja ya juu waelimishaji wa dini ya haki
Mashaallah this is the best I can't get enough listening to it may Allah reward us for listening to it ameen.
Kinyogoli nakupenda ww shekhe, Masha Allah Mungu akuzidishie elimu ya kheir uzidi kuwafunzunza hao makafiri.
@zahrahusain7203
Жыл бұрын
Amin nami namupenda uyu kaka Allah amuhifazi na husda zawana damu
Ustadhi Sayid Juma Kinyogol upcoming prof allah ajalie umri wenye manufaaa kwa ummati muhhammad swa kwa vzaz vilivyopo na vjavyo insha allah
Mashallah wenzetu watanzania mnatuelimisha hata Sisi wenye hatuijui bibilia mungu awajalie mwisho mwema maustadhi wetu Amin
Mungu ni Mtakatifu na hana uwovu wowote
shek saedi noma mashaalah jazakalahu keyri muweyezi mungu ya ulimuwengu akulide nashetani na macho in baya
Maashaallah allah awajaalie umri mrefuu wenye manufaa...
Twamuomba Allah akuhifazi kinyongori❤
Masha Allah sheikh wetu Allah awazidishie imaani na awape janah
Ata wakristo wanafata quran quran nikitabu kitakatifu imeteremshwa na allah kumfunulia muhammad (s a w)
@dani72130
2 жыл бұрын
Mkristo hafati Quran, kama anafata kurani, ingekuwa wanauwa watu nakuchinja wanadamu ambao mnawaita makafiri. Mungu wetu ni mwingi wa rehmema, mtu akikosa anashauriwa kutubu Kwa Mwnyz Mungu, sio kumhukumu Kwa kumkata shingo.
Mashaa-Allah wahadhiri BaraqaAllahfiqum
Maashallah mashekh,,endeleeni kufunza umma
Ma Sha Allah.. الله اكبر
mashaallah
Sijutii kuslim wallah
@cabylake2320
Жыл бұрын
Mashaallah 💓
Thank you Sheikh Mazinge, other sheikhs, and the Christian clergy and ministers. These kinds of debates, or rather, discussions remove misconceptions. We are One Humanity under One God ( for aren't we all monotheists?) This is nopt about who is right or wrong. This is more about mature debates. We shall not hurl earth and stones on each other, for the one who hurls earth on the other, he himself sinks further down. Always maintain civility. God is the ONE going to judge us all. Let us be SINCERE, ask God to grant you the absolute TRUTH, not the truth that one is biased from the start to believe in. No bias, no favorism, no kabila, or dressings style, or color, or language one speaks. Once you remove those biases, see if you will not, for sure, a 100% surety with of course God Willing, be guided to the truth. I am a Muslim from Canada, and I love my Christian brothers and sisters. Peace be upon you all and peace be upon Jesus Christ and upon Muhammad, those sent by God the Creator. Ray, from Canada.
MASHALLAH TABARAKA LLAH!
uislam mtamu.wallahi Kuingia bure
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hata ukristo ni mtamu. Hatukai chini kama kuku
@HusseinGabu-wr3xh
Жыл бұрын
@@pungopungo411 Sasa nyie si mmebuni utaratibu wenu lakin mitume na manabii wote wa mungu walikaa chini kama kuku na sio kukawa kwenye viti Wala mabenchi kama unabisha kaisome bibilia vizuri au kaisome nyakat wa pili 7-3 tatizo lako umbumbu umekujaa
Ust said juma mlenzi akulipe
Uislamu dini iliyokamilika, Ukristo upotevu
@MiriusEliudi
2 ай бұрын
Warumi 10:2 Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. Ndo shida Yenu hamfatilii vitu mnadakia tu Fanya utafiti Mpendwa kwa maarifa zaidi utaujua ukweli.
@MiriusEliudi
2 ай бұрын
*MUNGU WA KWELI* ili ujue kitu vizuri kuwa hiki ni chenyewe lazima Kwanza Ujue Sifa za Hicho kitu. Mfano mbuzi kama mbuzi sifa zake ana miguu minne, ana sauti au mlio kama wa mbuzi anakula majani n.k Vivyo hivyo hata kwa Binadamu ana Sifa zake zinazomfanya awe Binadamu. Ndio maana Inakua Rahisi sana Kujua Tofauti ya Binadamu na kiumbe kingine chochote na Hio Yote hutokana na Sifa zake. Sasa Ukija upande Wa Mungu ili Ujue Huyu ni Mungu wa Kweli Lazima Uangalie Sifa Za Mungu hapo ndipo utamjua Mungu wa Kweli ni Yupi.. Mfano Wa Sifa za Mungu wa Kweli upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; Unyenyekevu, Maneno Yenye Hekima( yasio na kiburi wala Matusi ) Hizo Sifa pamoja na zile Ambazo zinafanana na Hizo, hizo ndizo zinazomtambulisha Mungu wa Kweli. *Sasa ili ujue Wanaoabudu Mungu wa Kweli Ni kina Nani* Lazima Uangalie Matunda ya Wale wafuasi wanaomuabudu Mungu huyo na utajuaje? Lazima Uangalie Matunda Ya Wafuasi hao je Wamefuata Sifa Za Mungu wa Kweli? Kama Wafuasi Wake wanatabia nje na hizo za Mungu wa Kweli Tambua kuwa hapo hakuna Mungu wa kweli ni Uzushi tu Wa Maneno waliojitungia tu. Ikiwa watu wao Waliowakuu hawana vitu vya hivyo ujue hao ni waabudu Shetani kwasababu tabia Zilizo nje Na hizo ni Za Shetani. Mathayo 7:16-17 (KJV) Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. Mti Mwema ( Mungu wa Kweli) Hata Matunda Yake huwa Mema( Yaani hata Wafuasi Wake huwa Wema) Kama Mungu wao Alivyo. Mti Mwovu ( mungu wa Uongo) hata Wafuasi wake huwa Waovu kama mungu wao Alivyo. Kwasababu kama Mti ulivyo ndivyo matunda Yake Yalivyo na vivyo hivyo hata Mungu alivyo ndivyo Wafuasi Wake Huwa. Mbarikiwe✍️✍️✍️🙏🙏🙏🙏😊😊
Maaaashaaaallaaaaaah❤
Mashaa Allaha
MashaAllah MashaAllah
حفظك الله ياشيخنا الفاضل سعيد جمعة كنيوغولي
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Zn2mm6t6Ycfef8Y.html
Maashaallah...!
Uko sahihi kaka
Masha"Allah
Kazi nzur mashaallah
Mashallah sheikh said mungu akutangulie
Yesu ni Nabii Isa SIO mkristo
Kinyogoli akh I love U for Allah
Mashallah Allah awajaliye
Mashallah shekh said
MaashaAllah
Nakuba hekma yk mufti wangu
Allah akueke miaka mingi shekh said uwatoe watu kizani inshaalah
@pungopungo411
Жыл бұрын
Amuweke shehe miaka mingi mtamtoa juani na kumuingiza ndani?au unajua tu kumuombea maisha malefu
Mimi Nasilimika hivi karibuni na ntawaambieni
@yusufathman2478
Жыл бұрын
Ulisilimu bro.. kuja kwenye haki
@beckooh
9 ай бұрын
Vipi bro ulifanikiwa kuslimu
MaashaAllah masheikh wetu
Kwa Nini Yesu. * Nenda Vatican ndipo Yesu alipoliacha Kanisa*
Subukhanallah
Mansha Allah jzk
mashaallah takbiir
Mashaallah 💓❤️❤️❤️❤️❤️😍😍🖤❤️
Mashaallah tabakia Allah awaogozi jamani amsomi ukweli ukowazi
Jamani wakristo hebu tafakarini
@pungopungo411
Жыл бұрын
Tafakari wewe .sisi tushatafakari kabla ya nyinyi
Maa shaa Allah,
AllahAkibar
Hatuwezi kututoa kwa imani ya Yesu,utakufa utaacha uisalamu hivyo pia na ukristo xo achana na hio kejeli,hata uichambue Biblia visivyo sisi twaenda kwa Roho wa Mungu.
Mashallah takbiri
Maashaa Allah. Kinyogoli wewe ni Dr Zakir Naik wa Tanzania. Mimi binafsi kama Shekh Kinyogoli hayumo katika mdahalo wowote siendi wala sifuatilii
Huyu jamaa Yuko vizr anatembea na hoja
Duuuuuuh, yaan Shekh hatok nje ya mada ana pita kwenye Bible na bado ana eleweka
بارك الله فيكم
@salvatorymtunga2802
2 жыл бұрын
Kila mtu aabudu anachokitaka
@muhammedshamte5138
2 жыл бұрын
@@salvatorymtunga2802lp0p Lp
@khamisptrany9393
2 жыл бұрын
@@salvatorymtunga2802 Mimi nakukubalia hivyo لا اكراه في الدين Mtu halizimishwi kwenye dini لا اعبد ما تعبدون Suabudu munaemubudu لكم دينكم ولي دين Nyinyi na dini yenu nami na dini yangu
Mashallah
Allahu akbar
❤❤❤❤
Sawa saw
Mungu atusamehe sana maana hatujui lolote bali imani ya mtu ndio msingi wake
@sirijuma2538
2 жыл бұрын
Qbmaqionbvxxdddufqoplmnbvxzsacjfjhvfkk
@ilhamswaleh3428
2 жыл бұрын
@@nassorkhamis6233 hujalala Kama Mimi😁
@joycealoyce9334
2 жыл бұрын
Mungu awasamehe maan hamjui mlitendalo
@shabannampwahi6333
3 ай бұрын
baada ya kujua una msimamo upi @christinajmnkenyi724
Mashaallah Allah Akulipeni
Masha Allah
Mtabisha sana waislamu upo yeye awezaye kwa yote Yesu kristo aliyo mwokozi wetu ata jina lake litajapo mapepo na nguvu za giza yanakimbia nijina gani km cyo jina la Yesu ktisto
@muhalakibwana4026
2 жыл бұрын
Sheikh anaeleza kitu straight but bado unabishana haki muna shida ya kuelewa
@ngamanyajoshua839
Жыл бұрын
Soma Biblia..Usikae kuisikiliza tu kwa baba mchungaji....Masheikh hapo wanatoa maandiko ya Kwenye hiyo hiyo Biblia unayoiamini na Bado unabisha..au kuna Biblia nyingine
@tuluuwhite3122
4 ай бұрын
Iko biblia ya mwalimu nyererer
Kumbuka na yule mizi alimkana yesu nanyi mnamukana
@soccertv293
2 жыл бұрын
Nani kamkana isipokua nyie hamumfuati kwa vitendo
mashaAllah.👌👌
@baynuncawilyahan2283
Жыл бұрын
Ww mbn unaekaaĺamaya maxhetani
Mashaallah
MaShaAllah
daaah! yani awa jamaa hawana hojaaa wakristo kwishaaa!!!!
Wewe hujielewi kasome vizuri
Ni kwa sababu Yesu alikuwa ubinadamu na uungu ndani yake, km ile sisi wanadamu twalalamilka na mazito bt tena kwa alikuwa ni Mungu alishinda pale msalabani
@harunichambo4658
4 ай бұрын
Kila kitu kipo wazi, nenda katafute Elimu, utajua mengi dada anguh, usikae Kwa kukalilishwa, Mbona kila kitu kinaeleweka
Kinyogori wekichwa sanaaa
Ndio ikawekwa kuzaa Kwa uchungu na kutafuta Kwa jasho was na wanaume baada ya Hawa kudanganywa na nyoka ndio mungu akaawaambia mwanamke utazaa Kwa uchungu na kutafuta Kwa jasho na nyoka atakuwa adui wa mwanamke atamgonga kisingino na nyoka binadam atamgonga kichwa
Ukiona wanasema wamekubali kidume JESUS anawatesa sana mrengo wa kushoto yesuuuuuu
@sirijuma2538
2 жыл бұрын
Bakivx098hgfvcxARKDFJ18ffzlpckgfgbk once one who of enjoy hbllbhlgchjjnxgkffjjbvhkjhlljhllbhlllljglkjhkk I'm so fdaatkl
@gabrielsaelie8091
2 жыл бұрын
@@sirijuma2538 hueleweki ndugu
@fatumabakari1480
2 жыл бұрын
Yesu yupii katika n nanii wetu bitee em tuliaa
Kwa yesu kuna raha jamaniii duuh Hadi waislam leo hii wasoma bibilia makubwa ,ila mnazambi kumponda yesu ,nakutaka watu wahamie kwenuuu ,
MashaAllah
Al lah yuko wapi na wapi mnawapeleka waislam kwa uongo Sikiza waalimu wa kiislam wa international
Upo vizuri, lakini Imani ya mtuu ,ndio msingi wa roho yake
@amarachide2657
2 жыл бұрын
Kkkkkkkk
Masha Allah sheikh
Daah
Kuna Wakristo Bilion 2.4 ulimwenguni.Jambo la uwongo haliwezi kuaminiwa na idadi kubwa ya namna hiyo ambayo ndani yake Kuna wasomi wengi. Ukristo ndiyo Dini kuubwa ulimwenguni. 1. Ya kwanza Kuwepo 2. Ina umri mkubwa Kiko Dini yeyote Ukristu haujawhi kukosa upinzani lakini haujawahi kushindwa
Mzee Mazinge anacheka kijana wake kinyogoli akitowa dozi
Sasa kama yesu kabadilishwa makosa ya binadamu ama Mungu mwenyewe
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Hawana akili hao we achana nao,
ET waislam wanaakili kuzidi wakristo yaan anagawa makundi cmsenge uyu
Kristo wa kongo alie hai shafika kwetu kongo hatuzaii kwa ushungu tena shie tuna miliki shie tuna muabudu kristo alie hai
Wakristo someni na muwaulize viongozi wenu maswali acheni nizamu uku hamjuui ki2
@mabulasaid9003
2 жыл бұрын
Wewe unaijua Quran vizr
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Wakristo waliwatangulia zaidi ya miaka 600, iweje wewe uje na kitabu cha majini after 600 yrs ago , kisha majini yenyewe ndio ya seme Mungu hana mtoto wala mke?? Jinn?? Shetani, kwanini hakuna ayat yenye Allah anasema mwenye kama mimi Allah sina mtoto, Uislam ni dini ya majini na Shetani, ole wenu , Uislam ni photocopy from judaïsme and christianism
❤❤🤝🤝❤❤💯
mashallah
Kinyogoli unatisha
We elimu yako ndogo sana.
Pumba weee
CCM ndio wakisto
Mungu anawaona nyote mlio shiriki na kumdhihaki Yesu, ninyi nyote Ni wapinga Kristo sio kwamba hamjulikani. Yesu anasema yule amkanae hapa duniani mbele za watu nae atamkana mbele za Mungu Baba. Hivyo ndugu jichunge na uwe makini
@omarysabih383
3 жыл бұрын
Hahahaha pole sanaaa
@jamanoor8707
3 жыл бұрын
Pole sana
@eidallyeidally5093
3 жыл бұрын
Povu lanini shekhe hakutumia qur an samaki hujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe
Hii Ni habari za kufurahisha watu wako uonekane umeahinda. Wakristu hatuangalii haya maneno ya kejeli. Kristu leo kesho na daima. Ninachokijua wakristu hawako simple kivile. Nyie jifuraishe na takbiliiiiiiii
@suleimanngassa2046
2 жыл бұрын
Toaa andiko lako bas
6.6.6....
Kukosa maarifa kutwaangamiza Elimu pia hamna Nawashangaa sana kuna wapagani wengi hawamjui Mungu badala ya kuwafikia na kuwahubiria mnahangaika na mafundisho ya upotoshaji na isitoshe hamtaweza kubadilisha imani ya wanaoamini kuwa Yesu alizaliwa akafanika mwanadamu na alizaliwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu na bikira hakutenda dhambi kama manabii na mitume wote mnaowafahamu kwa kuwa hawakuwa na Uungu kweli aliteswa alikufa msalabani alizikwa alishuka kuzimu kumnyang'anya shetani funguo za mauti alifufuka siku ya tatu alipaa na alishuhudiwa akipaa ameketi kiti cha enzi atarudi tena kulichikua kanisa la waliomuamini na kumpokea kuwa Bwana na Mwokozi na atawahukumu walimwengu wote Hii ndiyo Doctrine ya Mkristo humbadilishi labda awe Mkristo jina Hivyo acheni kupoteza muda
@jumaalhamid5242
3 жыл бұрын
wewe ni shetani skiliza vipande vyako...😂😂
mkiona msalaba mnapata shida sana. tumekombolewa kupitia msalaba.
@mussachichajr
2 жыл бұрын
Kichwa chako kibovu au ujinga umekujaa cz ustadh anatoa maandiko ya kwenye bible au hamuamin bible yenu
@dani72130
2 жыл бұрын
@@mussachichajr unachofundishwa ni matusi na kashfa, hata kusulubiwa ipokatika Bible.nanyi mwasema Bible ni maandishi ya wanadamu, lkn mnarejea kwa Bible. mengine hayapo kwa Bible lakini mnalazimisha yawepo.
Magaidi bhana!!!!
@selemanmakau5967
2 жыл бұрын
Magaidi nyie munaodanganyana eti yesu ni mungu,wakati kazaliwa na mama kanyonyeshwa kafungwa nepii katailiwa,eti mungu!! Duu
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
@@selemanmakau5967 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona hapo ni upotoshaji tu.