MDAHALO. Yesu hakusulubiwa msalabani wala Hakufa. Ust.Saidi Juma.

Omar Bakari Almasi tv

Пікірлер: 432

  • @lewiswambua5821
    @lewiswambua5821 Жыл бұрын

    Maulana awafanyie wepesi kwa kazi nzuri sana, Kumbe uisilamu ndio dini ya haki mbele yake mwenyezi mungu

  • @abdulimshule5688
    @abdulimshule56882 жыл бұрын

    kinyogoli nakupenda kwa ajili ya allah

  • @alimira8050
    @alimira80503 жыл бұрын

    yaani waislam hawatoki ktk mada Maa Shaa Allah

  • @andikaroibrahim1909
    @andikaroibrahim19092 жыл бұрын

    Allah awajaze wema awalipe malipo mema na pepo ya daraja ya juu waelimishaji wa dini ya haki

  • @kerai195
    @kerai195 Жыл бұрын

    Mashaallah this is the best I can't get enough listening to it may Allah reward us for listening to it ameen.

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40002 жыл бұрын

    Kinyogoli nakupenda ww shekhe, Masha Allah Mungu akuzidishie elimu ya kheir uzidi kuwafunzunza hao makafiri.

  • @zahrahusain7203

    @zahrahusain7203

    Жыл бұрын

    Amin nami namupenda uyu kaka Allah amuhifazi na husda zawana damu

  • @mayangeramadhani8497
    @mayangeramadhani8497 Жыл бұрын

    Ustadhi Sayid Juma Kinyogol upcoming prof allah ajalie umri wenye manufaaa kwa ummati muhhammad swa kwa vzaz vilivyopo na vjavyo insha allah

  • @ramadhanimwambeni1259
    @ramadhanimwambeni12594 ай бұрын

    Mashallah wenzetu watanzania mnatuelimisha hata Sisi wenye hatuijui bibilia mungu awajalie mwisho mwema maustadhi wetu Amin

  • @gracekimani8834
    @gracekimani88348 ай бұрын

    Mungu ni Mtakatifu na hana uwovu wowote

  • @abiseniaboys5070
    @abiseniaboys50704 ай бұрын

    shek saedi noma mashaalah jazakalahu keyri muweyezi mungu ya ulimuwengu akulide nashetani na macho in baya

  • @rayyanjack73
    @rayyanjack732 жыл бұрын

    Maashaallah allah awajaalie umri mrefuu wenye manufaa...

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hxАй бұрын

    Twamuomba Allah akuhifazi kinyongori❤

  • @alijuma5935
    @alijuma59353 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh wetu Allah awazidishie imaani na awape janah

  • @fatumahassan3205
    @fatumahassan32052 жыл бұрын

    Ata wakristo wanafata quran quran nikitabu kitakatifu imeteremshwa na allah kumfunulia muhammad (s a w)

  • @dani72130

    @dani72130

    2 жыл бұрын

    Mkristo hafati Quran, kama anafata kurani, ingekuwa wanauwa watu nakuchinja wanadamu ambao mnawaita makafiri. Mungu wetu ni mwingi wa rehmema, mtu akikosa anashauriwa kutubu Kwa Mwnyz Mungu, sio kumhukumu Kwa kumkata shingo.

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed70063 жыл бұрын

    Mashaa-Allah wahadhiri BaraqaAllahfiqum

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo6 ай бұрын

    Maashallah mashekh,,endeleeni kufunza umma

  • @marwan_1987
    @marwan_19872 жыл бұрын

    Ma Sha Allah.. الله اكبر

  • @thureyazuheir293
    @thureyazuheir293 Жыл бұрын

    mashaallah

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 Жыл бұрын

    Sijutii kuslim wallah

  • @cabylake2320

    @cabylake2320

    Жыл бұрын

    Mashaallah 💓

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 Жыл бұрын

    Thank you Sheikh Mazinge, other sheikhs, and the Christian clergy and ministers. These kinds of debates, or rather, discussions remove misconceptions. We are One Humanity under One God ( for aren't we all monotheists?) This is nopt about who is right or wrong. This is more about mature debates. We shall not hurl earth and stones on each other, for the one who hurls earth on the other, he himself sinks further down. Always maintain civility. God is the ONE going to judge us all. Let us be SINCERE, ask God to grant you the absolute TRUTH, not the truth that one is biased from the start to believe in. No bias, no favorism, no kabila, or dressings style, or color, or language one speaks. Once you remove those biases, see if you will not, for sure, a 100% surety with of course God Willing, be guided to the truth. I am a Muslim from Canada, and I love my Christian brothers and sisters. Peace be upon you all and peace be upon Jesus Christ and upon Muhammad, those sent by God the Creator. Ray, from Canada.

  • @swalehmustafa3064
    @swalehmustafa30643 жыл бұрын

    MASHALLAH TABARAKA LLAH!

  • @salimmluta735
    @salimmluta7352 жыл бұрын

    uislam mtamu.wallahi Kuingia bure

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Hata ukristo ni mtamu. Hatukai chini kama kuku

  • @HusseinGabu-wr3xh

    @HusseinGabu-wr3xh

    Жыл бұрын

    @@pungopungo411 Sasa nyie si mmebuni utaratibu wenu lakin mitume na manabii wote wa mungu walikaa chini kama kuku na sio kukawa kwenye viti Wala mabenchi kama unabisha kaisome bibilia vizuri au kaisome nyakat wa pili 7-3 tatizo lako umbumbu umekujaa

  • @anlybyayi546
    @anlybyayi5462 жыл бұрын

    Ust said juma mlenzi akulipe

  • @Rajkumar-gz4qr
    @Rajkumar-gz4qr2 ай бұрын

    Uislamu dini iliyokamilika, Ukristo upotevu

  • @MiriusEliudi

    @MiriusEliudi

    2 ай бұрын

    Warumi 10:2 Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. Ndo shida Yenu hamfatilii vitu mnadakia tu Fanya utafiti Mpendwa kwa maarifa zaidi utaujua ukweli.

  • @MiriusEliudi

    @MiriusEliudi

    2 ай бұрын

    *MUNGU WA KWELI* ili ujue kitu vizuri kuwa hiki ni chenyewe lazima Kwanza Ujue Sifa za Hicho kitu. Mfano mbuzi kama mbuzi sifa zake ana miguu minne, ana sauti au mlio kama wa mbuzi anakula majani n.k Vivyo hivyo hata kwa Binadamu ana Sifa zake zinazomfanya awe Binadamu. Ndio maana Inakua Rahisi sana Kujua Tofauti ya Binadamu na kiumbe kingine chochote na Hio Yote hutokana na Sifa zake. Sasa Ukija upande Wa Mungu ili Ujue Huyu ni Mungu wa Kweli Lazima Uangalie Sifa Za Mungu hapo ndipo utamjua Mungu wa Kweli ni Yupi.. Mfano Wa Sifa za Mungu wa Kweli upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; Unyenyekevu, Maneno Yenye Hekima( yasio na kiburi wala Matusi ) Hizo Sifa pamoja na zile Ambazo zinafanana na Hizo, hizo ndizo zinazomtambulisha Mungu wa Kweli. *Sasa ili ujue Wanaoabudu Mungu wa Kweli Ni kina Nani* Lazima Uangalie Matunda ya Wale wafuasi wanaomuabudu Mungu huyo na utajuaje? Lazima Uangalie Matunda Ya Wafuasi hao je Wamefuata Sifa Za Mungu wa Kweli? Kama Wafuasi Wake wanatabia nje na hizo za Mungu wa Kweli Tambua kuwa hapo hakuna Mungu wa kweli ni Uzushi tu Wa Maneno waliojitungia tu. Ikiwa watu wao Waliowakuu hawana vitu vya hivyo ujue hao ni waabudu Shetani kwasababu tabia Zilizo nje Na hizo ni Za Shetani. Mathayo 7:16-17 (KJV) Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. Mti Mwema ( Mungu wa Kweli) Hata Matunda Yake huwa Mema( Yaani hata Wafuasi Wake huwa Wema) Kama Mungu wao Alivyo. Mti Mwovu ( mungu wa Uongo) hata Wafuasi wake huwa Waovu kama mungu wao Alivyo. Kwasababu kama Mti ulivyo ndivyo matunda Yake Yalivyo na vivyo hivyo hata Mungu alivyo ndivyo Wafuasi Wake Huwa. Mbarikiwe✍️✍️✍️🙏🙏🙏🙏😊😊

  • @hassanounAbdul
    @hassanounAbdul3 ай бұрын

    Maaaashaaaallaaaaaah❤

  • @ibrahimdahablemedia
    @ibrahimdahablemedia2 жыл бұрын

    Mashaa Allaha

  • @rahmaAhmad234
    @rahmaAhmad2342 жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim26633 жыл бұрын

    حفظك الله ياشيخنا الفاضل سعيد جمعة كنيوغولي

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Zn2mm6t6Ycfef8Y.html

  • @wachinendachionlinetv4338
    @wachinendachionlinetv43383 жыл бұрын

    Maashaallah...!

  • @peterkanyanya8184
    @peterkanyanya81842 жыл бұрын

    Uko sahihi kaka

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Masha"Allah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Kazi nzur mashaallah

  • @mwanaidhusen7551
    @mwanaidhusen75512 жыл бұрын

    Mashallah sheikh said mungu akutangulie

  • @hatujuanisalum9354
    @hatujuanisalum93542 жыл бұрын

    Yesu ni Nabii Isa SIO mkristo

  • @rajabbrk1121
    @rajabbrk11212 ай бұрын

    Kinyogoli akh I love U for Allah

  • @mussajuma6714
    @mussajuma67143 жыл бұрын

    Mashallah Allah awajaliye

  • @husseintv1840
    @husseintv18402 жыл бұрын

    Mashallah shekh said

  • @mwatumumganga643
    @mwatumumganga6432 жыл бұрын

    MaashaAllah

  • @jumakheirmzee531
    @jumakheirmzee5312 жыл бұрын

    Nakuba hekma yk mufti wangu

  • @rayaali83
    @rayaali832 жыл бұрын

    Allah akueke miaka mingi shekh said uwatoe watu kizani inshaalah

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Amuweke shehe miaka mingi mtamtoa juani na kumuingiza ndani?au unajua tu kumuombea maisha malefu

  • @edwinsjuma360
    @edwinsjuma360 Жыл бұрын

    Mimi Nasilimika hivi karibuni na ntawaambieni

  • @yusufathman2478

    @yusufathman2478

    Жыл бұрын

    Ulisilimu bro.. kuja kwenye haki

  • @beckooh

    @beckooh

    9 ай бұрын

    Vipi bro ulifanikiwa kuslimu

  • @user-gu7vd1iu6e
    @user-gu7vd1iu6e4 ай бұрын

    MaashaAllah masheikh wetu

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Kwa Nini Yesu. * Nenda Vatican ndipo Yesu alipoliacha Kanisa*

  • @maimunajailosi4452
    @maimunajailosi44522 жыл бұрын

    Subukhanallah

  • @theoriginaldhol3032
    @theoriginaldhol30323 жыл бұрын

    Mansha Allah jzk

  • @mwajumarama8354
    @mwajumarama83542 жыл бұрын

    mashaallah takbiir

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Жыл бұрын

    Mashaallah 💓❤️❤️❤️❤️❤️😍😍🖤❤️

  • @mustafasaid9887
    @mustafasaid98872 жыл бұрын

    Mashaallah tabakia Allah awaogozi jamani amsomi ukweli ukowazi

  • @frolaadam3647
    @frolaadam36473 жыл бұрын

    Jamani wakristo hebu tafakarini

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Tafakari wewe .sisi tushatafakari kabla ya nyinyi

  • @al_huda_theguidance5034
    @al_huda_theguidance50342 жыл бұрын

    Maa shaa Allah,

  • @abdallahonesimebamporubusa1540
    @abdallahonesimebamporubusa15402 жыл бұрын

    AllahAkibar

  • @user-uy1ds4em2e
    @user-uy1ds4em2e3 ай бұрын

    Hatuwezi kututoa kwa imani ya Yesu,utakufa utaacha uisalamu hivyo pia na ukristo xo achana na hio kejeli,hata uichambue Biblia visivyo sisi twaenda kwa Roho wa Mungu.

  • @ximplesymon4403
    @ximplesymon44032 жыл бұрын

    Mashallah takbiri

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Жыл бұрын

    Maashaa Allah. Kinyogoli wewe ni Dr Zakir Naik wa Tanzania. Mimi binafsi kama Shekh Kinyogoli hayumo katika mdahalo wowote siendi wala sifuatilii

  • @abuuaisar5545
    @abuuaisar55452 жыл бұрын

    Huyu jamaa Yuko vizr anatembea na hoja

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61803 жыл бұрын

    Duuuuuuh, yaan Shekh hatok nje ya mada ana pita kwenye Bible na bado ana eleweka

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany93933 жыл бұрын

    بارك الله فيكم

  • @salvatorymtunga2802

    @salvatorymtunga2802

    2 жыл бұрын

    Kila mtu aabudu anachokitaka

  • @muhammedshamte5138

    @muhammedshamte5138

    2 жыл бұрын

    @@salvatorymtunga2802lp0p Lp

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    2 жыл бұрын

    @@salvatorymtunga2802 Mimi nakukubalia hivyo لا اكراه في الدين Mtu halizimishwi kwenye dini لا اعبد ما تعبدون Suabudu munaemubudu لكم دينكم ولي دين Nyinyi na dini yenu nami na dini yangu

  • @mohamedsalim7784
    @mohamedsalim77843 жыл бұрын

    Mashallah

  • @frolaadam3647
    @frolaadam36473 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @husseniali
    @husseniali8 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-bj5uq3to2u
    @user-bj5uq3to2u5 ай бұрын

    Sawa saw

  • @christinajmnkenyi724
    @christinajmnkenyi7243 жыл бұрын

    Mungu atusamehe sana maana hatujui lolote bali imani ya mtu ndio msingi wake

  • @sirijuma2538

    @sirijuma2538

    2 жыл бұрын

    Qbmaqionbvxxdddufqoplmnbvxzsacjfjhvfkk

  • @ilhamswaleh3428

    @ilhamswaleh3428

    2 жыл бұрын

    @@nassorkhamis6233 hujalala Kama Mimi😁

  • @joycealoyce9334

    @joycealoyce9334

    2 жыл бұрын

    Mungu awasamehe maan hamjui mlitendalo

  • @shabannampwahi6333

    @shabannampwahi6333

    3 ай бұрын

    baada ya kujua una msimamo upi @christinajmnkenyi724

  • @mtotompole1040
    @mtotompole10403 жыл бұрын

    Mashaallah Allah Akulipeni

  • @oman7710
    @oman77102 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @joycealoyce9334
    @joycealoyce93342 жыл бұрын

    Mtabisha sana waislamu upo yeye awezaye kwa yote Yesu kristo aliyo mwokozi wetu ata jina lake litajapo mapepo na nguvu za giza yanakimbia nijina gani km cyo jina la Yesu ktisto

  • @muhalakibwana4026

    @muhalakibwana4026

    2 жыл бұрын

    Sheikh anaeleza kitu straight but bado unabishana haki muna shida ya kuelewa

  • @ngamanyajoshua839

    @ngamanyajoshua839

    Жыл бұрын

    Soma Biblia..Usikae kuisikiliza tu kwa baba mchungaji....Masheikh hapo wanatoa maandiko ya Kwenye hiyo hiyo Biblia unayoiamini na Bado unabisha..au kuna Biblia nyingine

  • @tuluuwhite3122

    @tuluuwhite3122

    4 ай бұрын

    Iko biblia ya mwalimu nyererer

  • @mariamrio8236
    @mariamrio82362 жыл бұрын

    Kumbuka na yule mizi alimkana yesu nanyi mnamukana

  • @soccertv293

    @soccertv293

    2 жыл бұрын

    Nani kamkana isipokua nyie hamumfuati kwa vitendo

  • @V24hrs
    @V24hrs2 жыл бұрын

    mashaAllah.👌👌

  • @baynuncawilyahan2283

    @baynuncawilyahan2283

    Жыл бұрын

    Ww mbn unaekaaĺamaya maxhetani

  • @yonanicholas2828
    @yonanicholas28282 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @amirisandoke19
    @amirisandoke194 ай бұрын

    MaShaAllah

  • @yussufkansela8118
    @yussufkansela81183 жыл бұрын

    daaah! yani awa jamaa hawana hojaaa wakristo kwishaaa!!!!

  • @margaretkadada6714
    @margaretkadada67142 жыл бұрын

    Wewe hujielewi kasome vizuri

  • @gracekimani8834
    @gracekimani88348 ай бұрын

    Ni kwa sababu Yesu alikuwa ubinadamu na uungu ndani yake, km ile sisi wanadamu twalalamilka na mazito bt tena kwa alikuwa ni Mungu alishinda pale msalabani

  • @harunichambo4658

    @harunichambo4658

    4 ай бұрын

    Kila kitu kipo wazi, nenda katafute Elimu, utajua mengi dada anguh, usikae Kwa kukalilishwa, Mbona kila kitu kinaeleweka

  • @suberasubera641
    @suberasubera6412 жыл бұрын

    Kinyogori wekichwa sanaaa

  • @alizanzibar-mo7yt
    @alizanzibar-mo7yt Жыл бұрын

    Ndio ikawekwa kuzaa Kwa uchungu na kutafuta Kwa jasho was na wanaume baada ya Hawa kudanganywa na nyoka ndio mungu akaawaambia mwanamke utazaa Kwa uchungu na kutafuta Kwa jasho na nyoka atakuwa adui wa mwanamke atamgonga kisingino na nyoka binadam atamgonga kichwa

  • @BeatricephilipKaishe
    @BeatricephilipKaishe3 жыл бұрын

    Ukiona wanasema wamekubali kidume JESUS anawatesa sana mrengo wa kushoto yesuuuuuu

  • @sirijuma2538

    @sirijuma2538

    2 жыл бұрын

    Bakivx098hgfvcxARKDFJ18ffzlpckgfgbk once one who of enjoy hbllbhlgchjjnxgkffjjbvhkjhlljhllbhlllljglkjhkk I'm so fdaatkl

  • @gabrielsaelie8091

    @gabrielsaelie8091

    2 жыл бұрын

    @@sirijuma2538 hueleweki ndugu

  • @fatumabakari1480

    @fatumabakari1480

    2 жыл бұрын

    Yesu yupii katika n nanii wetu bitee em tuliaa

  • @manywelestaphord578
    @manywelestaphord578 Жыл бұрын

    Kwa yesu kuna raha jamaniii duuh Hadi waislam leo hii wasoma bibilia makubwa ,ila mnazambi kumponda yesu ,nakutaka watu wahamie kwenuuu ,

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59293 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @godasanga3819
    @godasanga38193 жыл бұрын

    Al lah yuko wapi na wapi mnawapeleka waislam kwa uongo Sikiza waalimu wa kiislam wa international

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo30843 жыл бұрын

    Upo vizuri, lakini Imani ya mtuu ,ndio msingi wa roho yake

  • @amarachide2657

    @amarachide2657

    2 жыл бұрын

    Kkkkkkkk

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar20042 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh

  • @hassansimba1222
    @hassansimba12222 жыл бұрын

    Daah

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Kuna Wakristo Bilion 2.4 ulimwenguni.Jambo la uwongo haliwezi kuaminiwa na idadi kubwa ya namna hiyo ambayo ndani yake Kuna wasomi wengi. Ukristo ndiyo Dini kuubwa ulimwenguni. 1. Ya kwanza Kuwepo 2. Ina umri mkubwa Kiko Dini yeyote Ukristu haujawhi kukosa upinzani lakini haujawahi kushindwa

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 Жыл бұрын

    Mzee Mazinge anacheka kijana wake kinyogoli akitowa dozi

  • @johnkali7235
    @johnkali72353 жыл бұрын

    Sasa kama yesu kabadilishwa makosa ya binadamu ama Mungu mwenyewe

  • @blueeyes5952

    @blueeyes5952

    2 жыл бұрын

    Hawana akili hao we achana nao,

  • @robisongidion4864
    @robisongidion48643 жыл бұрын

    ET waislam wanaakili kuzidi wakristo yaan anagawa makundi cmsenge uyu

  • @makommp231
    @makommp2312 жыл бұрын

    Kristo wa kongo alie hai shafika kwetu kongo hatuzaii kwa ushungu tena shie tuna miliki shie tuna muabudu kristo alie hai

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u6143 жыл бұрын

    Wakristo someni na muwaulize viongozi wenu maswali acheni nizamu uku hamjuui ki2

  • @mabulasaid9003

    @mabulasaid9003

    2 жыл бұрын

    Wewe unaijua Quran vizr

  • @blueeyes5952

    @blueeyes5952

    2 жыл бұрын

    Wakristo waliwatangulia zaidi ya miaka 600, iweje wewe uje na kitabu cha majini after 600 yrs ago , kisha majini yenyewe ndio ya seme Mungu hana mtoto wala mke?? Jinn?? Shetani, kwanini hakuna ayat yenye Allah anasema mwenye kama mimi Allah sina mtoto, Uislam ni dini ya majini na Shetani, ole wenu , Uislam ni photocopy from judaïsme and christianism

  • @mzurzamzam1877
    @mzurzamzam1877 Жыл бұрын

    ❤❤🤝🤝❤❤💯

  • @koudrashabani1912
    @koudrashabani19122 жыл бұрын

    mashallah

  • @MukulasiKapela
    @MukulasiKapela2 ай бұрын

    Kinyogoli unatisha

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76372 жыл бұрын

    We elimu yako ndogo sana.

  • @nasorobangara2924
    @nasorobangara29243 жыл бұрын

    Pumba weee

  • @godfreymkiza7199
    @godfreymkiza71993 жыл бұрын

    CCM ndio wakisto

  • @neemashao4749
    @neemashao47493 жыл бұрын

    Mungu anawaona nyote mlio shiriki na kumdhihaki Yesu, ninyi nyote Ni wapinga Kristo sio kwamba hamjulikani. Yesu anasema yule amkanae hapa duniani mbele za watu nae atamkana mbele za Mungu Baba. Hivyo ndugu jichunge na uwe makini

  • @omarysabih383

    @omarysabih383

    3 жыл бұрын

    Hahahaha pole sanaaa

  • @jamanoor8707

    @jamanoor8707

    3 жыл бұрын

    Pole sana

  • @eidallyeidally5093

    @eidallyeidally5093

    3 жыл бұрын

    Povu lanini shekhe hakutumia qur an samaki hujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas52413 жыл бұрын

    Hii Ni habari za kufurahisha watu wako uonekane umeahinda. Wakristu hatuangalii haya maneno ya kejeli. Kristu leo kesho na daima. Ninachokijua wakristu hawako simple kivile. Nyie jifuraishe na takbiliiiiiiii

  • @suleimanngassa2046

    @suleimanngassa2046

    2 жыл бұрын

    Toaa andiko lako bas

  • @edgartairo9323
    @edgartairo93232 жыл бұрын

    6.6.6....

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru3 жыл бұрын

    Kukosa maarifa kutwaangamiza Elimu pia hamna Nawashangaa sana kuna wapagani wengi hawamjui Mungu badala ya kuwafikia na kuwahubiria mnahangaika na mafundisho ya upotoshaji na isitoshe hamtaweza kubadilisha imani ya wanaoamini kuwa Yesu alizaliwa akafanika mwanadamu na alizaliwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu na bikira hakutenda dhambi kama manabii na mitume wote mnaowafahamu kwa kuwa hawakuwa na Uungu kweli aliteswa alikufa msalabani alizikwa alishuka kuzimu kumnyang'anya shetani funguo za mauti alifufuka siku ya tatu alipaa na alishuhudiwa akipaa ameketi kiti cha enzi atarudi tena kulichikua kanisa la waliomuamini na kumpokea kuwa Bwana na Mwokozi na atawahukumu walimwengu wote Hii ndiyo Doctrine ya Mkristo humbadilishi labda awe Mkristo jina Hivyo acheni kupoteza muda

  • @jumaalhamid5242

    @jumaalhamid5242

    3 жыл бұрын

    wewe ni shetani skiliza vipande vyako...😂😂

  • @dani72130
    @dani721302 жыл бұрын

    mkiona msalaba mnapata shida sana. tumekombolewa kupitia msalaba.

  • @mussachichajr

    @mussachichajr

    2 жыл бұрын

    Kichwa chako kibovu au ujinga umekujaa cz ustadh anatoa maandiko ya kwenye bible au hamuamin bible yenu

  • @dani72130

    @dani72130

    2 жыл бұрын

    @@mussachichajr unachofundishwa ni matusi na kashfa, hata kusulubiwa ipokatika Bible.nanyi mwasema Bible ni maandishi ya wanadamu, lkn mnarejea kwa Bible. mengine hayapo kwa Bible lakini mnalazimisha yawepo.

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga40303 жыл бұрын

    Magaidi bhana!!!!

  • @selemanmakau5967

    @selemanmakau5967

    2 жыл бұрын

    Magaidi nyie munaodanganyana eti yesu ni mungu,wakati kazaliwa na mama kanyonyeshwa kafungwa nepii katailiwa,eti mungu!! Duu

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    @@selemanmakau5967 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dani72130
    @dani721302 жыл бұрын

    Naona hapo ni upotoshaji tu.