MCHUNGAJI HANANJA AMCHARUKIA MFALME ZUMARIDI, UMEENDA KUZUNGUMZA NA MUNGU KIKAO CHA BAJETI?

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 135

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Жыл бұрын

    Du! Nilikuwa namsikia tu. Kwa Vijana kanisani kasema ukweli. Big up Mchungaji.

  • @BJOHNMAUSA
    @BJOHNMAUSA Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie maneno ya hekima na busara. Ubarkiwe zaidi Mr. ANANJA

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Жыл бұрын

    Huyu Pastor huwa ananikosha pale anapo rejea maandiko matakatifu. Anaongea point sana na amebarikiwa maarifa, uwezo na uelewa wa kuzitetea point zake kwa njia ya maandiko matakatifu. Ahsante kwa somo zuri 🤝🤝

  • @deejay_gibbs
    @deejay_gibbs Жыл бұрын

    Huyu mzee anaongea point sana🙌🙌

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Jamani huyu Hananje ana akili Safi sana.Abarikiwe

  • @tundacute740

    @tundacute740

    Жыл бұрын

    Mchungaji yuko sawa jaman duuh mungu akuzidishie uhai duh umenikosha hatar khaaaa

  • @jacksonmasanja2600

    @jacksonmasanja2600

    Жыл бұрын

    ​@@tundacute740 ;iuoiizziiuu? Uouii😅uiuiuuou😅zuuuuiuuuiu😊

  • @kobasilvanus312
    @kobasilvanus312 Жыл бұрын

    Ubarikiwe baba mchungaji Kwa maono yake

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Very very wise.I do respect you Hananja.Remain blessed,

  • @justinefrancis6591
    @justinefrancis6591 Жыл бұрын

    Dah!!! Huyu Mwamba Huwa Namkubali na Kumuelewa sana Dah!!!

  • @faithmarcho-yf3sb
    @faithmarcho-yf3sb Жыл бұрын

    Grt good leader to this generation we are blessed by you may God add you more years to help this generation ❤

  • @jumasungula8510
    @jumasungula8510 Жыл бұрын

    Yani kila nikiona interview ya uyu mzee lazima niiangalie madini ya kutosha sana

  • @zumbeshauri8114

    @zumbeshauri8114

    Жыл бұрын

    Kabisa huyu mzee namielewaga sana na mzee wa upako

  • @dennisisrael2187

    @dennisisrael2187

    Жыл бұрын

    Sana uyu mzee anajua kucheza angle zote z maisha

  • @Ibnseifjr

    @Ibnseifjr

    Жыл бұрын

    😆😆😂

  • @joelyjoely7827
    @joelyjoely7827 Жыл бұрын

    ZUMALID ASIWASUMBUE ANATATIZO LA AKILI NA ANATAFUTA KIKI PASIPO KIKI MILEMBE INAMUHUSU

  • @princebon1841
    @princebon1841 Жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu ww ni msema kweli

  • @sekelakasebele4026
    @sekelakasebele4026 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Mchungaji.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын

    Respect to Pr. Hananja

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 Жыл бұрын

    Huyu mzee is very intelligent hakurupuki kuongea

  • @veronicaabelmathias9676
    @veronicaabelmathias9676 Жыл бұрын

    Huyu mchungaji akikaa na vijana wengi watarudi imani zao❤…. Anasema ukweli na huku akitumia biblia …. Ni kwa Roho Mtakatifu tunarhusiwa kujua kweli na Huo ukweli Utatuweka Huru 😊

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 Жыл бұрын

    maisha marefu hannanja

  • @SienaMkolwe-px1nq
    @SienaMkolwe-px1nq Жыл бұрын

    Ameeni pastor yuko vizuri sanaa

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Жыл бұрын

    Dishi la huyu mchungaji huyu liko vzr

  • @alawiali3475

    @alawiali3475

    Жыл бұрын

    Gwajima unamuonaje naye ?

  • @raheemrahim5320

    @raheemrahim5320

    Жыл бұрын

    Ngoja tuliweke sawa hahaa

  • @salummaguo1950
    @salummaguo1950 Жыл бұрын

    Father mungu akuweke

  • @salimamwasankinga
    @salimamwasankinga Жыл бұрын

    Asante mtumishi

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 Жыл бұрын

    Safi sana mchungaji

  • @stanleymwakatundu6347
    @stanleymwakatundu6347 Жыл бұрын

    Daaaah Chama Kubwaaa

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie hekima

  • @cammycamilius6856
    @cammycamilius6856 Жыл бұрын

    Very impressive👍

  • @peterelias2818
    @peterelias2818 Жыл бұрын

    Barkiwa Sana Mchungaji

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Жыл бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA milele.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @liberiusfredrick1289
    @liberiusfredrick1289 Жыл бұрын

    True

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi410 Жыл бұрын

    Aaa hiyo komediiii...Asante Baba mchungaji

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 Жыл бұрын

    Mzeee ana akili sana

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 Жыл бұрын

    Mtu wa Mungu, Vijana tusitafute kamseleleko kwa Manabii wa uwongo.

  • @thegreat8891
    @thegreat8891 Жыл бұрын

    Big up pastor

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣uyumzee namuelewa

  • @bennyngoye8707
    @bennyngoye8707 Жыл бұрын

    Akili mingi sana mchungaji,nakuelewa san.

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 Жыл бұрын

    Great...akili kubwa hii

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Жыл бұрын

    Namuelewa sana kwakweli

  • @mahembajulius7036
    @mahembajulius7036 Жыл бұрын

    Aaaah hiyo comedy 🤣 😂 😆 😄 😅 👌 🤣 😂 😆 😄 😅 👌

  • @Slamsports8210

    @Slamsports8210

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣👍

  • @maltuzdaniel4892
    @maltuzdaniel4892 Жыл бұрын

    Sawa mchungaji Hananja

  • @kelvinclesent8190
    @kelvinclesent8190 Жыл бұрын

    Nakubali sana @Madini ya uyu mzee

  • @joshuaromanusy4267
    @joshuaromanusy4267 Жыл бұрын

    Safii mzee

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 Жыл бұрын

    Ishu ya Sadaka umenigusa Mtumishi . Uku kwetu wanaita harambee yan ni shda kwa aibu unajikuta unaahid Sunday inayo fata huendi Ibada kwsbabu sina . Mwishoe ndo najikuta siendi kbx

  • @mohamedothumanhussein2792
    @mohamedothumanhussein2792 Жыл бұрын

    Fact

  • @williamgideme2689
    @williamgideme2689 Жыл бұрын

    Swala ni kuwa ukristo uko kwenye 2 Timotheo 2:1-7; hakuna ukristo ila mmoja tu LDS Church mkalitafitiiiii ndilo pekeee alilorejesha.

  • @saidmasoud2200
    @saidmasoud2200 Жыл бұрын

    Very Bright person.

  • @alamhmbuja5335
    @alamhmbuja5335 Жыл бұрын

    Akili nyingi sana 💪🏿

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Жыл бұрын

    NAMKUBALI SANA, HAPO KUUSU MBIGU, Kiukweli kabisa nilifikiri hapa duniani wakristo hawamini hilo, wengi wanahamini “mtu akifa anakwenda mbiguni“ mbiguni hakuendi mfu sasa hivi, the heaven still under construction 🚧😂😂😂😂

  • @pcthemaster9096
    @pcthemaster9096 Жыл бұрын

    Mchungaji. 😁😁😁🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @emmanuelsanga4275
    @emmanuelsanga4275 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumish wa Mungu

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Жыл бұрын

    Prof hananja umetiiiiiishaaaaa

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Жыл бұрын

    Hananja yuko vizuri

  • @AndreaSwapooo-fk4it
    @AndreaSwapooo-fk4it Жыл бұрын

    👍👍

  • @bernsterproduction7724
    @bernsterproduction7724 Жыл бұрын

    🙏

  • @leonarddaudyosia
    @leonarddaudyosia Жыл бұрын

    Yan namkubali Sana huyu mwamba

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Жыл бұрын

    Hahaha nampenda sana

  • @dennisevarist
    @dennisevarist Жыл бұрын

    Nikiona tuu sura ya Mch Hanja lazima niangalie

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Жыл бұрын

    Yan umeongea point sana tuna maswali mengi sana

  • @ifabeach3281
    @ifabeach3281 Жыл бұрын

    Eheeee

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 Жыл бұрын

    Ana akili

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 Жыл бұрын

    Hiyo Comedy😃

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Жыл бұрын

    Pastor uko saw a! Mafundisho yamekosekana!

  • @hassanipyulu6907
    @hassanipyulu6907 Жыл бұрын

    Kweli itawaweka huru

  • @hebronkibona6676
    @hebronkibona6676 Жыл бұрын

    Huyu mzee anajua

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Жыл бұрын

    Namkubali sanaaa😂😂

  • @jonasstephano7680
    @jonasstephano7680 Жыл бұрын

    mzee anajuw sana

  • @wistonjonas
    @wistonjonas Жыл бұрын

    Yuko vizuri mchungaji! Akiongea usipocheka utakuwa na matatizo😁😃

  • @carolinederi5690

    @carolinederi5690

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @hellendaniel3809

    @hellendaniel3809

    Жыл бұрын

    Haswaaaaa

  • @leahrenatus585
    @leahrenatus585 Жыл бұрын

    Huyu Mchungaji amesema kweli vijana tunataka majibu ya haraka cyo unasali miaka 20 alafu kanisa halina msaada kwako Unatoa sadakaafungu la kumi lakin mwisho Mh mbaya

  • @FaridMbarouk093-pw9cs
    @FaridMbarouk093-pw9cs Жыл бұрын

    Ww muogope mungu ukiristo sio dini na yesu alikua muislamu

  • @thomasjohn7176
    @thomasjohn7176 Жыл бұрын

    Hahahahaha....hiyo comedy

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 Жыл бұрын

    Hehehhh 😀😀

  • @prophetfaraja6728
    @prophetfaraja6728 Жыл бұрын

    Hananja inaonyesha anapenda sana chipsi na soseji hahahaha

  • @fikirirahaleo6834
    @fikirirahaleo6834 Жыл бұрын

    Hapo kwenye shoro mwamba Sasa 😀😀

  • @user-bj5tm3ne8g
    @user-bj5tm3ne8g8 ай бұрын

    Huyu mzeee ameadhilika na Moshi wa bangi akili zake azioo sawa kama wewe unaongoza kanisa bila Mungu Muache Zumaridi aseme na Mungu acha chuki zisizo na msingi kaaaa utulie mambo ya Imani ya mtu usiingilie usije ukafa umesimama

  • @gracemorice8793
    @gracemorice8793 Жыл бұрын

    Hahaha 😀😀😀 kwamba kikao cha bagte

  • @dicksonnyamwihura2758
    @dicksonnyamwihura2758 Жыл бұрын

    Et hiii komedy

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 Жыл бұрын

    Huyu Mtu ana elimu Gani ? Maana akili aliyonayo zaid ya PHD

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Жыл бұрын

    Sadaka Kama round about 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dogstz4473
    @dogstz4473 Жыл бұрын

    Hahahahahaha nacheka sana

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Hahaha kumbe Zumaridi anaota😅😅😅😅😅

  • @neemakingu4134

    @neemakingu4134

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    anaoteshwa na shetani .

  • @lytwilliam7050
    @lytwilliam7050 Жыл бұрын

    😅

  • @samwelidomayo6195
    @samwelidomayo6195 Жыл бұрын

    Hivi hata mwazungu wanakufa kwaajili yakujua kiswahiri?

  • @danieldevismwashadaniel6106

    @danieldevismwashadaniel6106

    Жыл бұрын

    Dah umewaza mbali sana big up sana na sis wabongo tunakufa kwa kuitafuta mh🤫🤫😁 mungu azid kutupa uzima

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 kikao cha budget

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Жыл бұрын

    MZEE ANANJA UPO VYEMA SANAA VIJANA TUNAFELI TUNA HALAKA YA MAISHA SANAA

  • @respiciusjohn9936
    @respiciusjohn9936 Жыл бұрын

    Busara zimelala kiongozi

  • @mpenzisamaki9488
    @mpenzisamaki9488 Жыл бұрын

    Huyu jmn kisimbuzi hakisumbui

  • @lucialeonard2675
    @lucialeonard2675 Жыл бұрын

    Wawe wanamlipa sasa kuongea nako n kaz

  • @petermahimbo3458
    @petermahimbo3458 Жыл бұрын

    Hahaa

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 Жыл бұрын

    UKITULIZA AKILI YAKO VIZURI BASI HUYU JAMAAA UTAMFAHAMU VIZURITU ANACHOKISEMA... ILA UKIWA KICHWA KIBOVU BASI HUWEZI JUWA JAMAA ANAONGEYA NINI NAANAMAANISHA NINI.

  • @dansonmketi4827
    @dansonmketi4827 Жыл бұрын

    😂😂😂😂ati unaenda kukaa kikao na Mungu cha ndoa ama bajeti

  • @kayf-kk7bg
    @kayf-kk7bg Жыл бұрын

    Huyu mchungaji ana nondo za moto!

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah1571 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @mbarouknassor9146

    @mbarouknassor9146

    Жыл бұрын

    Uyu Mzee noma

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Жыл бұрын

    Hahaha 😂😂😂

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 Жыл бұрын

    Samahan kwakusema hili....wakristo nduguzetu mhhh sujui muda mwingine mnaufaham gan.....mfano huyo Zamarad hahahaha sitapeli yule na mnamuona hahahaha lakini mijitu mipumbavu hahahaha Bado.....dah hiii Dunia hiiii hahhaha dh nomah....

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe5654 Жыл бұрын

    Kama muzima huwezi kuabudu kwahuyo

  • @emmanueljuvieh4316

    @emmanueljuvieh4316

    Жыл бұрын

    Kwan huyu anakanisa?

  • @easy-muchwa8175
    @easy-muchwa8175 Жыл бұрын

    Zumaridi mbona unasema comedy!! Mbona maneno ya paulo wa kwnye biblia mnayaamini? Na mbona hamkubaliani na pita aliyesema paulo ni mwehu? Kama Mungu anaendelea kufanya kazi kwanini hamtaki manabii wengine watokee? Kwa hiyo mchungaji ww hujawahi kuongea na Mungu ila ni umefundishwa tu chuoni? Bado kidogo tu tutajua ukweli na wote mtaumbuka🤨

  • @TM.Sullusi

    @TM.Sullusi

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @viviantarimo7440

    @viviantarimo7440

    Жыл бұрын

    Lijue sana neno la Mungu utakua zaidi ya nondo ila ukiyakosa mafundisho utakua kama bendera fuata upepo

  • @easy-muchwa8175

    @easy-muchwa8175

    Жыл бұрын

    @@viviantarimo7440 haujaeleweka

  • @pendomariki6562
    @pendomariki6562 Жыл бұрын

    Huyu baba namkubal sana

  • @annamsuguri4345
    @annamsuguri4345 Жыл бұрын

    ANAITWA SHE KING ZUMARIDI , MUHUBIRI MWENYE ELIMU YA KUZIMU.

  • @siwemamohamedi2119
    @siwemamohamedi2119 Жыл бұрын

    Wewe mzee ameenda kiroho sio kimwili muwe mnaelewa

  • @Mastorytv

    @Mastorytv

    Жыл бұрын

    Acha uchizi

  • @itsyourboy1407

    @itsyourboy1407

    Жыл бұрын

    Ona huyu nae kalogwa na Zumalidi🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙆

  • @missjackisondaphrozer7906

    @missjackisondaphrozer7906

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @tumsifumaro1387
    @tumsifumaro1387 Жыл бұрын

    Hamna mchungaji hapo mchungaji azungumzia madem??

  • @highvoltages4169

    @highvoltages4169

    Жыл бұрын

    Masikio yako yanashida, Yaani katika yooote aliyoyaongea pastor umrsikia hilo tu

  • @sophiamahenge8716

    @sophiamahenge8716

    Жыл бұрын

    Utasubiri sana kuelewa

  • @annamsuguri4345
    @annamsuguri4345 Жыл бұрын

    Huyo Zumaridi ANAITWA SHEQUEEN, HUYO NI MUNGU WA KUZIMU ANAEMWABUDU

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt Жыл бұрын

    Kama Musa Elia na Elisha wote waliongea na Mungu kwanini tusiamini hukusu mwamba Zamaradi

Келесі