MCHUNGAJI HANANJA AMCHARUKIA MFALME ZUMARIDI, UMEENDA KUZUNGUMZA NA MUNGU KIKAO CHA BAJETI?
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 135
Du! Nilikuwa namsikia tu. Kwa Vijana kanisani kasema ukweli. Big up Mchungaji.
Mungu akuzidishie maneno ya hekima na busara. Ubarkiwe zaidi Mr. ANANJA
Huyu Pastor huwa ananikosha pale anapo rejea maandiko matakatifu. Anaongea point sana na amebarikiwa maarifa, uwezo na uelewa wa kuzitetea point zake kwa njia ya maandiko matakatifu. Ahsante kwa somo zuri 🤝🤝
Huyu mzee anaongea point sana🙌🙌
Jamani huyu Hananje ana akili Safi sana.Abarikiwe
@tundacute740
Жыл бұрын
Mchungaji yuko sawa jaman duuh mungu akuzidishie uhai duh umenikosha hatar khaaaa
@jacksonmasanja2600
Жыл бұрын
@@tundacute740 ;iuoiizziiuu? Uouii😅uiuiuuou😅zuuuuiuuuiu😊
Ubarikiwe baba mchungaji Kwa maono yake
Very very wise.I do respect you Hananja.Remain blessed,
Dah!!! Huyu Mwamba Huwa Namkubali na Kumuelewa sana Dah!!!
Grt good leader to this generation we are blessed by you may God add you more years to help this generation ❤
Yani kila nikiona interview ya uyu mzee lazima niiangalie madini ya kutosha sana
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Kabisa huyu mzee namielewaga sana na mzee wa upako
@dennisisrael2187
Жыл бұрын
Sana uyu mzee anajua kucheza angle zote z maisha
@Ibnseifjr
Жыл бұрын
😆😆😂
ZUMALID ASIWASUMBUE ANATATIZO LA AKILI NA ANATAFUTA KIKI PASIPO KIKI MILEMBE INAMUHUSU
Asante mtumishi wa Mungu ww ni msema kweli
Ubarikiwe sana Mchungaji.
Respect to Pr. Hananja
Huyu mzee is very intelligent hakurupuki kuongea
Huyu mchungaji akikaa na vijana wengi watarudi imani zao❤…. Anasema ukweli na huku akitumia biblia …. Ni kwa Roho Mtakatifu tunarhusiwa kujua kweli na Huo ukweli Utatuweka Huru 😊
maisha marefu hannanja
Ameeni pastor yuko vizuri sanaa
Dishi la huyu mchungaji huyu liko vzr
@alawiali3475
Жыл бұрын
Gwajima unamuonaje naye ?
@raheemrahim5320
Жыл бұрын
Ngoja tuliweke sawa hahaa
Father mungu akuweke
Asante mtumishi
Safi sana mchungaji
Daaaah Chama Kubwaaa
Mungu akuzidishie hekima
Very impressive👍
Barkiwa Sana Mchungaji
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA milele.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
True
Aaa hiyo komediiii...Asante Baba mchungaji
Mzeee ana akili sana
Mtu wa Mungu, Vijana tusitafute kamseleleko kwa Manabii wa uwongo.
Big up pastor
🤣🤣🤣🤣🤣uyumzee namuelewa
Akili mingi sana mchungaji,nakuelewa san.
Great...akili kubwa hii
Namuelewa sana kwakweli
Aaaah hiyo comedy 🤣 😂 😆 😄 😅 👌 🤣 😂 😆 😄 😅 👌
@Slamsports8210
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣👍
Sawa mchungaji Hananja
Nakubali sana @Madini ya uyu mzee
Safii mzee
Ishu ya Sadaka umenigusa Mtumishi . Uku kwetu wanaita harambee yan ni shda kwa aibu unajikuta unaahid Sunday inayo fata huendi Ibada kwsbabu sina . Mwishoe ndo najikuta siendi kbx
Fact
Swala ni kuwa ukristo uko kwenye 2 Timotheo 2:1-7; hakuna ukristo ila mmoja tu LDS Church mkalitafitiiiii ndilo pekeee alilorejesha.
Very Bright person.
Akili nyingi sana 💪🏿
NAMKUBALI SANA, HAPO KUUSU MBIGU, Kiukweli kabisa nilifikiri hapa duniani wakristo hawamini hilo, wengi wanahamini “mtu akifa anakwenda mbiguni“ mbiguni hakuendi mfu sasa hivi, the heaven still under construction 🚧😂😂😂😂
Mchungaji. 😁😁😁🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Barikiwa mtumish wa Mungu
Prof hananja umetiiiiiishaaaaa
Hananja yuko vizuri
👍👍
🙏
Yan namkubali Sana huyu mwamba
Hahaha nampenda sana
Nikiona tuu sura ya Mch Hanja lazima niangalie
Yan umeongea point sana tuna maswali mengi sana
Eheeee
Ana akili
Hiyo Comedy😃
Pastor uko saw a! Mafundisho yamekosekana!
Kweli itawaweka huru
Huyu mzee anajua
Namkubali sanaaa😂😂
mzee anajuw sana
Yuko vizuri mchungaji! Akiongea usipocheka utakuwa na matatizo😁😃
@carolinederi5690
Жыл бұрын
😂😂😂
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
Haswaaaaa
Huyu Mchungaji amesema kweli vijana tunataka majibu ya haraka cyo unasali miaka 20 alafu kanisa halina msaada kwako Unatoa sadakaafungu la kumi lakin mwisho Mh mbaya
Ww muogope mungu ukiristo sio dini na yesu alikua muislamu
Hahahahaha....hiyo comedy
Hehehhh 😀😀
Hananja inaonyesha anapenda sana chipsi na soseji hahahaha
Hapo kwenye shoro mwamba Sasa 😀😀
Huyu mzeee ameadhilika na Moshi wa bangi akili zake azioo sawa kama wewe unaongoza kanisa bila Mungu Muache Zumaridi aseme na Mungu acha chuki zisizo na msingi kaaaa utulie mambo ya Imani ya mtu usiingilie usije ukafa umesimama
Hahaha 😀😀😀 kwamba kikao cha bagte
Et hiii komedy
Huyu Mtu ana elimu Gani ? Maana akili aliyonayo zaid ya PHD
Sadaka Kama round about 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaha nacheka sana
Hahaha kumbe Zumaridi anaota😅😅😅😅😅
@neemakingu4134
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kiri5807
Жыл бұрын
anaoteshwa na shetani .
😅
Hivi hata mwazungu wanakufa kwaajili yakujua kiswahiri?
@danieldevismwashadaniel6106
Жыл бұрын
Dah umewaza mbali sana big up sana na sis wabongo tunakufa kwa kuitafuta mh🤫🤫😁 mungu azid kutupa uzima
🤣🤣🤣🤣 kikao cha budget
MZEE ANANJA UPO VYEMA SANAA VIJANA TUNAFELI TUNA HALAKA YA MAISHA SANAA
Busara zimelala kiongozi
Huyu jmn kisimbuzi hakisumbui
Wawe wanamlipa sasa kuongea nako n kaz
Hahaa
UKITULIZA AKILI YAKO VIZURI BASI HUYU JAMAAA UTAMFAHAMU VIZURITU ANACHOKISEMA... ILA UKIWA KICHWA KIBOVU BASI HUWEZI JUWA JAMAA ANAONGEYA NINI NAANAMAANISHA NINI.
😂😂😂😂ati unaenda kukaa kikao na Mungu cha ndoa ama bajeti
Huyu mchungaji ana nondo za moto!
🤣🤣🤣
@mbarouknassor9146
Жыл бұрын
Uyu Mzee noma
Hahaha 😂😂😂
Samahan kwakusema hili....wakristo nduguzetu mhhh sujui muda mwingine mnaufaham gan.....mfano huyo Zamarad hahahaha sitapeli yule na mnamuona hahahaha lakini mijitu mipumbavu hahahaha Bado.....dah hiii Dunia hiiii hahhaha dh nomah....
Kama muzima huwezi kuabudu kwahuyo
@emmanueljuvieh4316
Жыл бұрын
Kwan huyu anakanisa?
Zumaridi mbona unasema comedy!! Mbona maneno ya paulo wa kwnye biblia mnayaamini? Na mbona hamkubaliani na pita aliyesema paulo ni mwehu? Kama Mungu anaendelea kufanya kazi kwanini hamtaki manabii wengine watokee? Kwa hiyo mchungaji ww hujawahi kuongea na Mungu ila ni umefundishwa tu chuoni? Bado kidogo tu tutajua ukweli na wote mtaumbuka🤨
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@viviantarimo7440
Жыл бұрын
Lijue sana neno la Mungu utakua zaidi ya nondo ila ukiyakosa mafundisho utakua kama bendera fuata upepo
@easy-muchwa8175
Жыл бұрын
@@viviantarimo7440 haujaeleweka
Huyu baba namkubal sana
ANAITWA SHE KING ZUMARIDI , MUHUBIRI MWENYE ELIMU YA KUZIMU.
Wewe mzee ameenda kiroho sio kimwili muwe mnaelewa
@Mastorytv
Жыл бұрын
Acha uchizi
@itsyourboy1407
Жыл бұрын
Ona huyu nae kalogwa na Zumalidi🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙆
@missjackisondaphrozer7906
Жыл бұрын
😄😄😄😄
Hamna mchungaji hapo mchungaji azungumzia madem??
@highvoltages4169
Жыл бұрын
Masikio yako yanashida, Yaani katika yooote aliyoyaongea pastor umrsikia hilo tu
@sophiamahenge8716
Жыл бұрын
Utasubiri sana kuelewa
Huyo Zumaridi ANAITWA SHEQUEEN, HUYO NI MUNGU WA KUZIMU ANAEMWABUDU
Kama Musa Elia na Elisha wote waliongea na Mungu kwanini tusiamini hukusu mwamba Zamaradi