MCHUNGAJI AAPA SIMBA KUIFUNGA YANGA KWENYE NGAO | ATAJA UCHAWI, TUTAANZA KUDILI NA WACHEZAJI
Спорт
wanachama wa Simba akizungumzia usajili wa klabu yake
"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate
Пікірлер: 13
Kwa kweli safari hii tuna vijana wa miaka kuanzia 24 kama akina kibu, ngoma kapombe, shabalala, ayoub, safiiiii.
Tumshirikishe Mungu awalinde wachezaji wetu wafanye kazi zao vizuri nao waweze kupanda vyeo wananunuliwe hata nchi za ulaya
Asante sana mchungaji
Kwan ngao huanza lini
Huwezi kuwa mchungaji na ukawa hakuna unachojia hio ni shida ya future
Mchunga ubarikwe kama nkwer utaenda kuwapa baraka zako
Mhuni mwengine huyu hapa
kwanza nipeni taarifa ya kibu d maana kambini sina uhakika sana kama ameungana na wezake
Muwe mntunza maneno yenu. Kapombe ana miaka mingapi? Ujue kapombe, shabalala bado wamo kwenye kikosi.
Ona uyu mbwa Ana akili
Mmeshindwa kuchukuwa makombe misimu mitatu kwani mlikuwa hamnavijana maneno ya mkosaji hao usimalize maneno sikuzote wakubwa ndiowanaojuwa maana kuliko vijana waleo hanawana lolote
Wafa maji nyinyi hamuishi kutapatapa hatawewe mchungaji unaongelea uchawi unaamini uchawi mpira uwanjani baba mnasajili wachezaji wabovu msingizie uchawi hayo manenoyako ushindwe na ulegee yatakuludia mwenyewe nyinyi simba ndiowachawi sasa uchawi umewageukia wenyewe ndiomaana unawamaliza na bado mpaka mshuke daraja narohozenu mbaya
@sangaelly8548
14 күн бұрын
Mijinga wewe unadhani kila mzungu ni padree