MCHUNGAJI AAPA SIMBA KUIFUNGA YANGA KWENYE NGAO | ATAJA UCHAWI, TUTAANZA KUDILI NA WACHEZAJI

Спорт

wanachama wa Simba akizungumzia usajili wa klabu yake
"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate

Пікірлер: 13

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h16 күн бұрын

    Kwa kweli safari hii tuna vijana wa miaka kuanzia 24 kama akina kibu, ngoma kapombe, shabalala, ayoub, safiiiii.

  • @neemamwijage
    @neemamwijage17 күн бұрын

    Tumshirikishe Mungu awalinde wachezaji wetu wafanye kazi zao vizuri nao waweze kupanda vyeo wananunuliwe hata nchi za ulaya

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x17 күн бұрын

    Asante sana mchungaji

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp14 күн бұрын

    Kwan ngao huanza lini

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA13 күн бұрын

    Huwezi kuwa mchungaji na ukawa hakuna unachojia hio ni shida ya future

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u18 күн бұрын

    Mchunga ubarikwe kama nkwer utaenda kuwapa baraka zako

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku17 күн бұрын

    Mhuni mwengine huyu hapa

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary387814 күн бұрын

    kwanza nipeni taarifa ya kibu d maana kambini sina uhakika sana kama ameungana na wezake

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h16 күн бұрын

    Muwe mntunza maneno yenu. Kapombe ana miaka mingapi? Ujue kapombe, shabalala bado wamo kwenye kikosi.

  • @MwinjumaShaban
    @MwinjumaShaban16 күн бұрын

    Ona uyu mbwa Ana akili

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles781615 күн бұрын

    Mmeshindwa kuchukuwa makombe misimu mitatu kwani mlikuwa hamnavijana maneno ya mkosaji hao usimalize maneno sikuzote wakubwa ndiowanaojuwa maana kuliko vijana waleo hanawana lolote

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles781615 күн бұрын

    Wafa maji nyinyi hamuishi kutapatapa hatawewe mchungaji unaongelea uchawi unaamini uchawi mpira uwanjani baba mnasajili wachezaji wabovu msingizie uchawi hayo manenoyako ushindwe na ulegee yatakuludia mwenyewe nyinyi simba ndiowachawi sasa uchawi umewageukia wenyewe ndiomaana unawamaliza na bado mpaka mshuke daraja narohozenu mbaya

  • @sangaelly8548

    @sangaelly8548

    14 күн бұрын

    Mijinga wewe unadhani kila mzungu ni padree

Келесі