KISHAMBA MEDIA

KISHAMBA MEDIA

"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"

Пікірлер

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf4 сағат бұрын

    Utama duni umedumiswa kitenge kijani iyooo

  • @user-hh5tp2wr7s
    @user-hh5tp2wr7s4 сағат бұрын

    ❤❤

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo81655 сағат бұрын

    Ila vipimo sijui mnatumia vya wapi,maana mimi ninavaa XXL ila yenu ni 4XL bado inanibana

  • @josephinemeela9098
    @josephinemeela90985 сағат бұрын

    Hongera sana kwa jezi nzuri na interview nzuri sana. Mbunifu unajua sana na the way unavyojibu ni 👌 👍 dope!

  • @adrianorayner6551
    @adrianorayner655113 сағат бұрын

    Yanga hajawahi kushinda simba kwenye jezi

  • @stellacosmas1958
    @stellacosmas195813 сағат бұрын

    This is what we call professional journalism. Nimependa sana utulivu wa journalist na jinsi anavyouliza maswali. Hongera sana Sandaland kwa kuwaamini vijana. Hongera sana pia kwa Afiki Designs kwa kazi nzuri.

  • @JosephJavan-n5s
    @JosephJavan-n5s14 сағат бұрын

    Hongereni sana kwa ubunifu msimu huu jersey ni kali sana

  • @user-mu5fy4nk4i
    @user-mu5fy4nk4i17 сағат бұрын

    Manara fanya ufanyavyo usikose kwenye yanga day. 😅😅😅😅😅

  • @NicksonAlphacapitalGroup
    @NicksonAlphacapitalGroupКүн бұрын

    Boi boi anaujua mpira si mbaya

  • @emmanuelsabato885
    @emmanuelsabato885Күн бұрын

    mmefanya unyama sana jersy nzuri na tamu sana

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin68292 күн бұрын

    Tahira

  • @mbomawoodafrica1743
    @mbomawoodafrica17432 күн бұрын

    Liko namjua

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g3 күн бұрын

    Sio umetumwa unajipendegeza kwa GSM na wewe utachukuliwa yanga Sina hamu hata ya kukusikiliza

  • @frankP-jh5xw
    @frankP-jh5xw3 күн бұрын

    Asante San mzee simba nguv moja

  • @richardpembe606
    @richardpembe6063 күн бұрын

    Ally Kamwe ni very professional katika uongeaji naomba abaki hapo hapo

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali17474 күн бұрын

    friji bovu acha uchochezi unaoufanya kwani huo sio uchambuzi wa michezo ni wivu tuu.

  • @JeniferPiter-wo3ve
    @JeniferPiter-wo3ve4 күн бұрын

    Nahisi naafasi ya usemaji angebaki ally kamwe

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi58714 күн бұрын

    Ali kamwe aendeleeeeeeee

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo54544 күн бұрын

    Sikubaliani na Manara kuchukua nafasi ya Ally Kamwe, Lugha za matusi zimepitwa na wakati

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords48194 күн бұрын

    Waaaooo the king of football speakers

  • @AbdalaAbasi-n2k
    @AbdalaAbasi-n2k5 күн бұрын

    King is back

  • @zainabusamuel
    @zainabusamuel5 күн бұрын

    mimi mtanikuta moro goro mapema sana nawasubiri

  • @user-mc9it9sz4v
    @user-mc9it9sz4v5 күн бұрын

    Home kiham

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface11996 күн бұрын

    mesemaji liko chalinze..linakula bata..

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko44006 күн бұрын

    Suala la Kibu Viongozi tuwekeni wazi tujue. Na dilli la Mpanzu lilivyofeli tulipaswa kuwa na plan B ya kupata mwingine mzuri kuliko hata yeye. Sasa kuacha hiyo nafasi kwa Kibu ambaye naye amezingua haya ni majanga kwa timu yetu. Mashaka makubwa kwa timu yetu ni kwa namba hiyo ya Kibu na ya Kapombe. Cramo kuliko kumuacha bora apelekwe kwa mkopo ili akikiwasha huko dirisha dogo arudi.

  • @swaleheukwaju2225
    @swaleheukwaju22256 күн бұрын

    Huko yanga alishatoka haitarudi tena huko Ila nyie ndiyo mtakuja mfukuza kanjibhai kwa utawala wa kimchongo subiria tarehe 8 uitishe tena waandishi 😂

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks6 күн бұрын

    Acha bwebwe mzee nanini analoga wachezaji wabovu TU hao

  • @noelmakere1381
    @noelmakere13816 күн бұрын

    Huyu bwege sana Kumbe anajua bila kadi ya uanachama wewe sio mwanachama??? Na huku anatetea komedian mzee magoma Kweli akili za dunduka fupi sana

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v6 күн бұрын

    MCHEZESHENI MAGOMA

  • @geraldmagembe4428
    @geraldmagembe44286 күн бұрын

    Jifundishe kuuzungumzia mpira kwa ubora wake. Unapoteza mvuto.

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza59456 күн бұрын

    Ubaya ubwela, SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️

  • @HemedYusuf
    @HemedYusuf7 күн бұрын

    Jamani wanasimba amkeni mapema Hawa yanga wanawaroga sana wachezaji

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff69127 күн бұрын

    Ntakukumbusha nimeitunza hii juu ya kauli zko

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi86706 күн бұрын

    Hakawii kulalamikia viongozi huyu 😂😂.Na huwa hawezi kusema ukweli kuhusu Young Africans

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff69126 күн бұрын

    @@chrisantusnditi8670 mbona ndo zake hizo atamjia juu tena tajir

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu6 күн бұрын

    Maduka tumeyatoa yoteee

  • @FaridaMwamlima
    @FaridaMwamlima6 күн бұрын

    Na nyieeee endelea kukalili kuwa mnatuweza San subili😊

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi86706 күн бұрын

    @@FaridaMwamlima tarehe 8 siyo mbali,baada ya hapo tukutane msimu ukiisha.Maana sisi tunajiandaa kuchukua trophies pia

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga43317 күн бұрын

    Hongera Twiga stars

  • @james-lx6rf
    @james-lx6rf7 күн бұрын

    safi sana ahamed

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita46347 күн бұрын

    Mtahoji na vichaa aseee

  • @FredMgaya-p2i
    @FredMgaya-p2i7 күн бұрын

    Aaaaaaaaaaaaaaaa

  • @AminaMadende
    @AminaMadende7 күн бұрын

    Kweli kabisa hata mimi ni yanga ila watoto wangu ni simba

  • @JUMANNESIMFUKWE
    @JUMANNESIMFUKWE8 күн бұрын

    Huyo mzee magoma naomba mnipe mchakato wake wa elimu

  • @user-pb6ue8zs9d
    @user-pb6ue8zs9d8 күн бұрын

    Mpila sio siaza wewe mzee ..watie ujinga madudunduka

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du8 күн бұрын

    Angalia usje ukazmia

  • @errydeo8865
    @errydeo88658 күн бұрын

    Ongelea mpira sio huyo mwizi broo,usituchefue plzzzz. Am ur fan lkn ukiingiza huyo anaetesa watanzania kwa kulea vibaka watukanaji wakina Chalamila,hapo bro na wewe ntakuona una utindio...stick to footie bruv

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta40008 күн бұрын

    Ila ww dogo hujitambui

  • @joojombi2341
    @joojombi23418 күн бұрын

    Huyo Mzee fatani mkubwa njaa tupu yamsumbua.

  • @joojombi2341
    @joojombi23418 күн бұрын

    Huyo Mzee fatani mkubwa na mpuuzi kwakweli hana elimu na ni tamaa na gere kuiona Yanga imebadilika na mafanikio mazuri. Mtupeni Jalalani huyo Mzee fatani mkubwa haogopi hata Dini yake Fatani mkubwa huyo

  • @shafiigama
    @shafiigama8 күн бұрын

    Au nitumie no nikuchek

  • @maliadii4829
    @maliadii48298 күн бұрын

    Jamani mzee kanunuliwa ni kolo hilo na ss kumchukua chama imewauma sana wametengeneza hili libabu ila ataishia pabaya pamoja na wengine walio nyuma yake

  • @mohamedchamdag4923
    @mohamedchamdag49238 күн бұрын

    Upo vizuri god

  • @allydaud612
    @allydaud6128 күн бұрын

    Suala la kadi za uanachama wala sio suala hamasa ni jukumu la wapenzi wa Yanga kilipa kadi zao bila hata kukumbushwa

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy8 күн бұрын

    Mtto mdogo wwe unajua nn

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff69128 күн бұрын

    Alikuwepo anasema