Ila vipimo sijui mnatumia vya wapi,maana mimi ninavaa XXL ila yenu ni 4XL bado inanibana
@josephinemeela90985 сағат бұрын
Hongera sana kwa jezi nzuri na interview nzuri sana. Mbunifu unajua sana na the way unavyojibu ni 👌 👍 dope!
@adrianorayner655113 сағат бұрын
Yanga hajawahi kushinda simba kwenye jezi
@stellacosmas195813 сағат бұрын
This is what we call professional journalism. Nimependa sana utulivu wa journalist na jinsi anavyouliza maswali. Hongera sana Sandaland kwa kuwaamini vijana. Hongera sana pia kwa Afiki Designs kwa kazi nzuri.
@JosephJavan-n5s14 сағат бұрын
Hongereni sana kwa ubunifu msimu huu jersey ni kali sana
@user-mu5fy4nk4i17 сағат бұрын
Manara fanya ufanyavyo usikose kwenye yanga day. 😅😅😅😅😅
@NicksonAlphacapitalGroupКүн бұрын
Boi boi anaujua mpira si mbaya
@emmanuelsabato885Күн бұрын
mmefanya unyama sana jersy nzuri na tamu sana
@abdallahyasin68292 күн бұрын
Tahira
@mbomawoodafrica17432 күн бұрын
Liko namjua
@user-cu8dm6eh3g3 күн бұрын
Sio umetumwa unajipendegeza kwa GSM na wewe utachukuliwa yanga Sina hamu hata ya kukusikiliza
@frankP-jh5xw3 күн бұрын
Asante San mzee simba nguv moja
@richardpembe6063 күн бұрын
Ally Kamwe ni very professional katika uongeaji naomba abaki hapo hapo
@hockingsshangali17474 күн бұрын
friji bovu acha uchochezi unaoufanya kwani huo sio uchambuzi wa michezo ni wivu tuu.
@JeniferPiter-wo3ve4 күн бұрын
Nahisi naafasi ya usemaji angebaki ally kamwe
@lucymsheshi58714 күн бұрын
Ali kamwe aendeleeeeeeee
@robertmatabalo54544 күн бұрын
Sikubaliani na Manara kuchukua nafasi ya Ally Kamwe, Lugha za matusi zimepitwa na wakati
@chiefnumborecords48194 күн бұрын
Waaaooo the king of football speakers
@AbdalaAbasi-n2k5 күн бұрын
King is back
@zainabusamuel5 күн бұрын
mimi mtanikuta moro goro mapema sana nawasubiri
@user-mc9it9sz4v5 күн бұрын
Home kiham
@pambaboniface11996 күн бұрын
mesemaji liko chalinze..linakula bata..
@charleskuyeko44006 күн бұрын
Suala la Kibu Viongozi tuwekeni wazi tujue. Na dilli la Mpanzu lilivyofeli tulipaswa kuwa na plan B ya kupata mwingine mzuri kuliko hata yeye. Sasa kuacha hiyo nafasi kwa Kibu ambaye naye amezingua haya ni majanga kwa timu yetu. Mashaka makubwa kwa timu yetu ni kwa namba hiyo ya Kibu na ya Kapombe. Cramo kuliko kumuacha bora apelekwe kwa mkopo ili akikiwasha huko dirisha dogo arudi.
@swaleheukwaju22256 күн бұрын
Huko yanga alishatoka haitarudi tena huko Ila nyie ndiyo mtakuja mfukuza kanjibhai kwa utawala wa kimchongo subiria tarehe 8 uitishe tena waandishi 😂
@JuhudiKasanga-yq5ks6 күн бұрын
Acha bwebwe mzee nanini analoga wachezaji wabovu TU hao
@noelmakere13816 күн бұрын
Huyu bwege sana Kumbe anajua bila kadi ya uanachama wewe sio mwanachama??? Na huku anatetea komedian mzee magoma Kweli akili za dunduka fupi sana
@user-ce3tx7mr8v6 күн бұрын
MCHEZESHENI MAGOMA
@geraldmagembe44286 күн бұрын
Jifundishe kuuzungumzia mpira kwa ubora wake. Unapoteza mvuto.
@halidimgonza59456 күн бұрын
Ubaya ubwela, SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
@HemedYusuf7 күн бұрын
Jamani wanasimba amkeni mapema Hawa yanga wanawaroga sana wachezaji
@jaffjeff69127 күн бұрын
Ntakukumbusha nimeitunza hii juu ya kauli zko
@chrisantusnditi86706 күн бұрын
Hakawii kulalamikia viongozi huyu 😂😂.Na huwa hawezi kusema ukweli kuhusu Young Africans
@jaffjeff69126 күн бұрын
@@chrisantusnditi8670 mbona ndo zake hizo atamjia juu tena tajir
@SurprisedFullMoon-gg9vu6 күн бұрын
Maduka tumeyatoa yoteee
@FaridaMwamlima6 күн бұрын
Na nyieeee endelea kukalili kuwa mnatuweza San subili😊
@chrisantusnditi86706 күн бұрын
@@FaridaMwamlima tarehe 8 siyo mbali,baada ya hapo tukutane msimu ukiisha.Maana sisi tunajiandaa kuchukua trophies pia
@andrewmaiga43317 күн бұрын
Hongera Twiga stars
@james-lx6rf7 күн бұрын
safi sana ahamed
@leonardsasita46347 күн бұрын
Mtahoji na vichaa aseee
@FredMgaya-p2i7 күн бұрын
Aaaaaaaaaaaaaaaa
@AminaMadende7 күн бұрын
Kweli kabisa hata mimi ni yanga ila watoto wangu ni simba
@JUMANNESIMFUKWE8 күн бұрын
Huyo mzee magoma naomba mnipe mchakato wake wa elimu
Ongelea mpira sio huyo mwizi broo,usituchefue plzzzz. Am ur fan lkn ukiingiza huyo anaetesa watanzania kwa kulea vibaka watukanaji wakina Chalamila,hapo bro na wewe ntakuona una utindio...stick to footie bruv
@judithtitomalyeta40008 күн бұрын
Ila ww dogo hujitambui
@joojombi23418 күн бұрын
Huyo Mzee fatani mkubwa njaa tupu yamsumbua.
@joojombi23418 күн бұрын
Huyo Mzee fatani mkubwa na mpuuzi kwakweli hana elimu na ni tamaa na gere kuiona Yanga imebadilika na mafanikio mazuri. Mtupeni Jalalani huyo Mzee fatani mkubwa haogopi hata Dini yake Fatani mkubwa huyo
@shafiigama8 күн бұрын
Au nitumie no nikuchek
@maliadii48298 күн бұрын
Jamani mzee kanunuliwa ni kolo hilo na ss kumchukua chama imewauma sana wametengeneza hili libabu ila ataishia pabaya pamoja na wengine walio nyuma yake
@mohamedchamdag49238 күн бұрын
Upo vizuri god
@allydaud6128 күн бұрын
Suala la kadi za uanachama wala sio suala hamasa ni jukumu la wapenzi wa Yanga kilipa kadi zao bila hata kukumbushwa
Пікірлер
Utama duni umedumiswa kitenge kijani iyooo
❤❤
Ila vipimo sijui mnatumia vya wapi,maana mimi ninavaa XXL ila yenu ni 4XL bado inanibana
Hongera sana kwa jezi nzuri na interview nzuri sana. Mbunifu unajua sana na the way unavyojibu ni 👌 👍 dope!
Yanga hajawahi kushinda simba kwenye jezi
This is what we call professional journalism. Nimependa sana utulivu wa journalist na jinsi anavyouliza maswali. Hongera sana Sandaland kwa kuwaamini vijana. Hongera sana pia kwa Afiki Designs kwa kazi nzuri.
Hongereni sana kwa ubunifu msimu huu jersey ni kali sana
Manara fanya ufanyavyo usikose kwenye yanga day. 😅😅😅😅😅
Boi boi anaujua mpira si mbaya
mmefanya unyama sana jersy nzuri na tamu sana
Tahira
Liko namjua
Sio umetumwa unajipendegeza kwa GSM na wewe utachukuliwa yanga Sina hamu hata ya kukusikiliza
Asante San mzee simba nguv moja
Ally Kamwe ni very professional katika uongeaji naomba abaki hapo hapo
friji bovu acha uchochezi unaoufanya kwani huo sio uchambuzi wa michezo ni wivu tuu.
Nahisi naafasi ya usemaji angebaki ally kamwe
Ali kamwe aendeleeeeeeee
Sikubaliani na Manara kuchukua nafasi ya Ally Kamwe, Lugha za matusi zimepitwa na wakati
Waaaooo the king of football speakers
King is back
mimi mtanikuta moro goro mapema sana nawasubiri
Home kiham
mesemaji liko chalinze..linakula bata..
Suala la Kibu Viongozi tuwekeni wazi tujue. Na dilli la Mpanzu lilivyofeli tulipaswa kuwa na plan B ya kupata mwingine mzuri kuliko hata yeye. Sasa kuacha hiyo nafasi kwa Kibu ambaye naye amezingua haya ni majanga kwa timu yetu. Mashaka makubwa kwa timu yetu ni kwa namba hiyo ya Kibu na ya Kapombe. Cramo kuliko kumuacha bora apelekwe kwa mkopo ili akikiwasha huko dirisha dogo arudi.
Huko yanga alishatoka haitarudi tena huko Ila nyie ndiyo mtakuja mfukuza kanjibhai kwa utawala wa kimchongo subiria tarehe 8 uitishe tena waandishi 😂
Acha bwebwe mzee nanini analoga wachezaji wabovu TU hao
Huyu bwege sana Kumbe anajua bila kadi ya uanachama wewe sio mwanachama??? Na huku anatetea komedian mzee magoma Kweli akili za dunduka fupi sana
MCHEZESHENI MAGOMA
Jifundishe kuuzungumzia mpira kwa ubora wake. Unapoteza mvuto.
Ubaya ubwela, SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
Jamani wanasimba amkeni mapema Hawa yanga wanawaroga sana wachezaji
Ntakukumbusha nimeitunza hii juu ya kauli zko
Hakawii kulalamikia viongozi huyu 😂😂.Na huwa hawezi kusema ukweli kuhusu Young Africans
@@chrisantusnditi8670 mbona ndo zake hizo atamjia juu tena tajir
Maduka tumeyatoa yoteee
Na nyieeee endelea kukalili kuwa mnatuweza San subili😊
@@FaridaMwamlima tarehe 8 siyo mbali,baada ya hapo tukutane msimu ukiisha.Maana sisi tunajiandaa kuchukua trophies pia
Hongera Twiga stars
safi sana ahamed
Mtahoji na vichaa aseee
Aaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli kabisa hata mimi ni yanga ila watoto wangu ni simba
Huyo mzee magoma naomba mnipe mchakato wake wa elimu
Mpila sio siaza wewe mzee ..watie ujinga madudunduka
Angalia usje ukazmia
Ongelea mpira sio huyo mwizi broo,usituchefue plzzzz. Am ur fan lkn ukiingiza huyo anaetesa watanzania kwa kulea vibaka watukanaji wakina Chalamila,hapo bro na wewe ntakuona una utindio...stick to footie bruv
Ila ww dogo hujitambui
Huyo Mzee fatani mkubwa njaa tupu yamsumbua.
Huyo Mzee fatani mkubwa na mpuuzi kwakweli hana elimu na ni tamaa na gere kuiona Yanga imebadilika na mafanikio mazuri. Mtupeni Jalalani huyo Mzee fatani mkubwa haogopi hata Dini yake Fatani mkubwa huyo
Au nitumie no nikuchek
Jamani mzee kanunuliwa ni kolo hilo na ss kumchukua chama imewauma sana wametengeneza hili libabu ila ataishia pabaya pamoja na wengine walio nyuma yake
Upo vizuri god
Suala la kadi za uanachama wala sio suala hamasa ni jukumu la wapenzi wa Yanga kilipa kadi zao bila hata kukumbushwa
Mtto mdogo wwe unajua nn
Alikuwepo anasema