No video

MCHAWI AKIRI KUMLA MTOTO WAKE MWENYEWE

Пікірлер: 152

  • @user-jt4gd8wt8z
    @user-jt4gd8wt8z10 ай бұрын

    Yesu kristu Mungu mkuu akupake mafuta matakatufu tele naakulinde kwakila tukio kazi iyo ningumu sana ubarikiwe baba kuhani Musa kwayote

  • @salmaayoub-p3t
    @salmaayoub-p3tАй бұрын

    Mungu akulinde kuhani musa mtumish wa mungu

  • @peninalazaro8704
    @peninalazaro8704 Жыл бұрын

    Yesu was ngomeni naomba mungu anitendee watesi wakat moto wanantesa San naamini ngome itatend

  • @EutropiaMlay
    @EutropiaMlayАй бұрын

    Nisaidie mtumishi mama yangu anateseka hana kumbukumbu

  • @alvinemmanuel8431
    @alvinemmanuel84313 ай бұрын

    Baba lao hakika upo mmoja tu Tanzania hiiiiiiiiiiii ni motooooo

  • @anthonykiwia1997
    @anthonykiwia1997 Жыл бұрын

    Amen na nyota yangu irudi na ing'aee katika jina la Yesu Amen

  • @saraphinaSamweli-rv7bv
    @saraphinaSamweli-rv7bv15 сағат бұрын

    Kuhannmusa mungu akurinde sku zote

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo54 ай бұрын

    Wapangeni vizuri siku nyingine 😂😂😂 mana uyo nikama kala pesa za bure tu alaf kaja kuzengua mbele

  • @alvinemmanuel8431

    @alvinemmanuel8431

    3 ай бұрын

    Wewe unacho andika ukielewi. Ata wewe upo kwenye kifungo Sanaa

  • @mwinyihabiba366

    @mwinyihabiba366

    2 ай бұрын

    usikariri ndugu. sio kila mtu yupo kimaslahi. nenda kanisani kwake siku moja ukashuhudie utukufu wa Mungu

  • @OLIVERMBWILO-fx6cy

    @OLIVERMBWILO-fx6cy

    Ай бұрын

    Pole YAKO wewe

  • @user-cm3mm2dx5d
    @user-cm3mm2dx5d26 күн бұрын

    Wajulishe Kwa jina la yesu

  • @user-vt3mo2gy1t
    @user-vt3mo2gy1t11 ай бұрын

    Na mungu azidii kukubariki katika jina la yesu atakurudia kuwa na imani yako utafungliwa

  • @NijimbereGinesta
    @NijimbereGinestaКүн бұрын

    Mimi Manirakiza SYLVERY naomba muniombeye Mimi na familia yangu .

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Жыл бұрын

    Pole sana kuhani kazi hii ngumu Sana Mungu akusaidie sana

  • @user-np4nv7cv3k
    @user-np4nv7cv3kАй бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba maombi yako

  • @user-jl2jg2dt1i
    @user-jl2jg2dt1iАй бұрын

    Mtumishi yesu atukuzwe naitwa joyce naomb uniombee

  • @KhadijaMhenangu
    @KhadijaMhenangu7 ай бұрын

    Barikiwa baba kwa kazi unayofanya

  • @FORTUNATAFIDELISI
    @FORTUNATAFIDELISI4 ай бұрын

    Yesu kristo wa nazaleti! Naomba uniombee nimefungwa sipati mtu mwenzangu! Usingle mather nimeuchoka!

  • @ilovefootball1446

    @ilovefootball1446

    2 ай бұрын

    Umepata mume naomba namba zako

  • @josephobegi
    @josephobegi Жыл бұрын

    Watching from kenya Nairobi

  • @emmanuelkilembe8366
    @emmanuelkilembe8366 Жыл бұрын

    Dah , watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa! Hivi hizi si ndo ramli chonganishi ? mdada analazimishwa mbele ya umati wa watu jamani bila. Unamchonganisha huyu biti na Bibi yake mzaa Baba.. SerikaLI IKO KIMYA Bado. Najua anguko la kuhani Musa linakuja, Mungu hata nyamaza juu ya tabili chonganishi namna hii... Hongeni sana ila siku inakuja mtajua kuwa Mungu hachezewi.

  • @philemonichitinya4682
    @philemonichitinya4682 Жыл бұрын

    Bwana yesu tusaidie xan tunaomb maisha malef kwa kuhan wetu

  • @RabieGerard
    @RabieGerard Жыл бұрын

    Nabii naomba maombi naota sana ndoto za manyoka makubwa pia mdada wa kazi simuelewielewi naomba nifunguliwe maanq mume wangu anamuotea vibaya ndoton

  • @daynesspatrick824
    @daynesspatrick824 Жыл бұрын

    Yesu akulinde kuhani wetu kazi uliyopewa ni ngumu sana

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy7 ай бұрын

    Gomen,,gomen. ,,gomeeen. ,😮niyesu anaongoz wenye Baba Musa Balikiwa mungu Alinde watito. Wako Tunachu.jru. Pasta etu Amiiina

  • @JaphariOmary
    @JaphariOmary6 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe mzee anaumwa pumu miaka saba haponi naomba kujua tatizo mtume

  • @BalagiziFikirinathanaeli
    @BalagiziFikirinathanaeliАй бұрын

    Mungu wako atushurukiye nasi

  • @anthonykiwia1997
    @anthonykiwia1997 Жыл бұрын

    Mchungaji naomba uniombee dhidi ya nguvu za Giza na nyota yangu ing'aee Amina

  • @JaphariOmary
    @JaphariOmary6 ай бұрын

    Mtume naomba umuombee mzee wangu mohamed mwamlima anaumwa pumu kila cku halali mpaka achome sindano

  • @sisterzumba9718
    @sisterzumba9718 Жыл бұрын

    Mchungaji naomba uniombee baba

  • @silviahnyakeri2891
    @silviahnyakeri2891 Жыл бұрын

    Wanafaa kusema katika jina la yesu

  • @freddysabimbona
    @freddysabimbona28 күн бұрын

    Mimi pia mutumishi niombeye kila ninaco pitiya sifanyikiwi nilizaliw kwenye familia masikini najaribu kufanya coco hakuna mafanyikiyo naitaji saidiy familia yangu ila sioni njiya nisaidiya maombi baba mucungaji

  • @user-kb1xf9cu6x
    @user-kb1xf9cu6x2 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe naomba niombee nina tatzo kweny koo nikienda hospital napima hakun kitu 😢😢

  • @mariamumasudi2970
    @mariamumasudi2970 Жыл бұрын

    Amena ngomeni nyota yangu unarudi kwa damu ya yesu

  • @rastamabuki1768
    @rastamabuki1768 Жыл бұрын

    Huyo hamjampanga vizuri leo mbona haeleweki mnamlazimisha akubali

  • @Boniphaceshayo5

    @Boniphaceshayo5

    4 ай бұрын

    Reaso haikuwa poa kabisa 😂😂

  • @AdamKina
    @AdamKina3 ай бұрын

    Mungu akulinde maombi yake mchungaji

  • @rosemarymathew9215
    @rosemarymathew9215 Жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe wapendwa napenda kuja ibada ya chumvi na msalaba mnijylishe

  • @GGg-mi6uy
    @GGg-mi6uyАй бұрын

    Mchungaji wabalaka zamung namimi nakusii uniombea nafamilia yang tuk namatatiz meng sana ukuburumdi

  • @GaspariEmanuel
    @GaspariEmanuel25 күн бұрын

    Amina

  • @ludaomaina6088
    @ludaomaina6088 Жыл бұрын

    Ninaomba uombe familia yetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @InnocentBorderCollie-jc4ig
    @InnocentBorderCollie-jc4ig3 ай бұрын

    Mtumishi nahitaji maombi nipate mume sahihi wakuniowa kwa ndoa na awe mtaftaji mwenye pesa

  • @user-xt8pr8ju3e
    @user-xt8pr8ju3e5 ай бұрын

    Niombee na mm baba nifanikiwe wachawi waniepuke

  • @aminajuma1156

    @aminajuma1156

    5 ай бұрын

    Bila ya kukimbilia kuombewa hata wewe pia Mungu wako hajashindwa kaa chini Soma neno la Mungu vizur

  • @InnocentBorderCollie-jc4ig
    @InnocentBorderCollie-jc4ig3 ай бұрын

    Bwana yesu kristo atukuzwe wana ngomeni

  • @bienfaitmugisho62
    @bienfaitmugisho62 Жыл бұрын

    Mungu aku tiye ngufu

  • @daynadiny3791
    @daynadiny3791 Жыл бұрын

    Amen baba namimi vicua nakwangu

  • @isakalupia891
    @isakalupia891 Жыл бұрын

    Tuombee sana baba

  • @user-es7ln4dj6n
    @user-es7ln4dj6n11 ай бұрын

    Naomba uniombee nipone h l v

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 Жыл бұрын

    Jaman haya nimajaribu bb mzaa baba. Lin wakarsiana, amemharbu tuu huyu msichana jamani 🙏🙏🙏🙏🙏❤️👍👍👍👍👈

  • @chrissay-b8131

    @chrissay-b8131

    Жыл бұрын

    Jj

  • @chrissay-b8131

    @chrissay-b8131

    Жыл бұрын

    U

  • @chrissay-b8131

    @chrissay-b8131

    Жыл бұрын

    J

  • @emilyondari4796

    @emilyondari4796

    Жыл бұрын

    Uchawi ni hasara hivi,, hata unakula mtoto wako.

  • @YusuphKulwa
    @YusuphKulwa4 ай бұрын

    Mimi nishida nyumbani kaka zangu wanaimba nyimbo mbaya naomba uwaombee

  • @bahatikilonzo7218
    @bahatikilonzo72182 ай бұрын

    Mtumishi naomba uniombee nipone tumbo

  • @user-nb6mq6vl7g
    @user-nb6mq6vl7g11 ай бұрын

    Nimimi eme wenge hapa,Uganda,papa oniwombeye,magonzwa,inanisumbuwaku roh

  • @rubenmangoli5035
    @rubenmangoli5035 Жыл бұрын

    Barikiwa

  • @user-ff6ru5fd3r
    @user-ff6ru5fd3r7 ай бұрын

    N'a nufataka Lila Siku baba Niko congo

  • @AishaJambia-wi7ur
    @AishaJambia-wi7ur2 ай бұрын

    Nakushukur baba maombi yako yamenifungua baba

  • @josephobegi
    @josephobegi Жыл бұрын

    Powerful

  • @MaryMseswa
    @MaryMseswa2 ай бұрын

    Nabii naomba msaada wako

  • @NuruNurufrances-fy2vn
    @NuruNurufrances-fy2vn6 ай бұрын

    Baba kuhani samahani naitwa Beatrice nna tatizo kwenye kitovu naomba maombi yako nipone mimi na familia yangu

  • @sofiajohn4062
    @sofiajohn4062 Жыл бұрын

    Mungu apewe sifa

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Жыл бұрын

    Watumishi wa sasa ni waganga kwani Wana roho za utambuzi kwa njia ya uchawi ndiyo maana wanamwambia mtu matatizo yake yote wazi wazi na watu wanaamini huyu ni mtumishi wa mungu

  • @JosephNgasala

    @JosephNgasala

    11 ай бұрын

    Hiyo ni kazi ya roho mtakatifu ht wewe ulitaka aje kwako anakuja Sali sana hasa usiku.acha dhambi

  • @babyte-lp9me
    @babyte-lp9me Жыл бұрын

    Eeeh kwelii ni kuhani na kaz ya mungu unaifanya kwelii

  • @OzonMwangosi
    @OzonMwangosi5 ай бұрын

    Naomba namba mtumish wa mungu ninashida

  • @benganabenjamin3304
    @benganabenjamin3304 Жыл бұрын

    Yesu tusaidiye wa toto wetu watoke ndani ya chama icho

  • @AishaJambia-wi7ur
    @AishaJambia-wi7ur2 ай бұрын

    Kupitiy madhanahu yangome ya kuani musa

  • @coletasilayo8771
    @coletasilayo8771 Жыл бұрын

    Amina.hataree

  • @JaphariOmary
    @JaphariOmary6 ай бұрын

    Mungu apewe nguvu

  • @rosemarymathew9215
    @rosemarymathew9215 Жыл бұрын

    Mchungaji nina giza maisha kazi nafanya aieleweki naomba niombee niwe kama mwanzo napigwa vita sana.

  • @geselaoscaremanuel6481

    @geselaoscaremanuel6481

    11 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe sana jmn naweza kupata namba ya kuhani musa

  • @mwanaiddi9660
    @mwanaiddi9660 Жыл бұрын

    hivi unaweza kua mchawi bila kujua

  • @cecilendayishimiye8548
    @cecilendayishimiye8548 Жыл бұрын

    Hhhhh kabisha weeee , badala kanaswa .

  • @EVERGREENMOSES
    @EVERGREENMOSES7 ай бұрын

    Amina, mwi, Israeli wetu

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 Жыл бұрын

    Shetan ashindwe kwa jina la yesu 🙏

  • @user-vq1ln8xx4j
    @user-vq1ln8xx4j5 ай бұрын

    Mchungaj naomba unisaidie Kuna kit kina nitembea mgongon na miguu inawaka moto naomb kusaidiwa

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Жыл бұрын

    Wakate moto

  • @atunowa
    @atunowa6 ай бұрын

    Mtumishi naomba uniombee nasumbuliwa sana na wachawi

  • @monikajuma9012
    @monikajuma901210 ай бұрын

    Esu wa ngomeni naomba watoto wangu wafunguliwe

  • @yeshuruniirakozealainlion-5983
    @yeshuruniirakozealainlion-5983 Жыл бұрын

    AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA

  • @hassanzuber
    @hassanzuber3 ай бұрын

    Baba kuhani Mimi nimepata ajali tangu mwezi wa pili hadi leo cponi nisaidie nisaidie jamani

  • @mosesjoel9644
    @mosesjoel9644 Жыл бұрын

    Jamani dunia imekwisha mtoto mdogo sana

  • @samwa9496

    @samwa9496

    Жыл бұрын

    hawezi kukupa mavitu hayo ukiwa na akili yako timamu hawa watu wa zamani elimu yao ndio hiyo maana wangeenda shule wasingetaka vitu vya kijinga

  • @lilianeerica3318

    @lilianeerica3318

    Жыл бұрын

    @@samwa9496 nihatal

  • @neemamwihava8191
    @neemamwihava81912 ай бұрын

  • @user-vv6pr4bj8p
    @user-vv6pr4bj8p5 ай бұрын

    Waafrika tunapenda miujiza lakini ...au basi tu

  • @aminajuma1156

    @aminajuma1156

    5 ай бұрын

    Kwakweli au basiii...😂😂😂

  • @PriscaRashidi-um4tz
    @PriscaRashidi-um4tz2 ай бұрын

    naomba maombiyako baba

  • @dollohkumwenda2861
    @dollohkumwenda2861 Жыл бұрын

    Pastor God bless you and give you long life

  • @carenoronyi1617
    @carenoronyi1617 Жыл бұрын

    Amen Baba una kua wapi

  • @LazaroDaud-bn8hc

    @LazaroDaud-bn8hc

    Жыл бұрын

    Yupo kimara temboni karibu

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy7 ай бұрын

    Anaguchezeya. Hakili ?! Baba tunaguchukuru kwa Maombi yote Tunawona Kwenye MutNdawo. Baba kabisa nachukuru Saana

  • @AminaNasoro-gi6sy
    @AminaNasoro-gi6sy6 ай бұрын

    Balikiwa baba nione namimi

  • @joshuamollel2105
    @joshuamollel2105 Жыл бұрын

    Ee Mungu terehemu

  • @HabituJoella-ww4qz
    @HabituJoella-ww4qz Жыл бұрын

    N'a mimi Pia naitaji unijulishe baba yangu

  • @Agness-sp9xg
    @Agness-sp9xg5 ай бұрын

    Amen

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q4 ай бұрын

    acha kumlazimisha mtu

  • @KilimanjaroPalaceHotel-fl3tc
    @KilimanjaroPalaceHotel-fl3tc4 ай бұрын

    Mmmmh

  • @EugenieOmba
    @EugenieOmba3 ай бұрын

    Mutumishi niko congo nafataka maombi yako naomba namba yenu ya WhatsApp

  • @OmaryJoseph-gv9hp
    @OmaryJoseph-gv9hp11 ай бұрын

    Mchungaji utusaidie ili tuponr

  • @OmaryJoseph-gv9hp

    @OmaryJoseph-gv9hp

    11 ай бұрын

    Mchungaji tuombee

  • @anethrobert-pk8jd
    @anethrobert-pk8jd Жыл бұрын

    Kanisa liko sehemu gani jamani

  • @elizabethmloka7999
    @elizabethmloka7999 Жыл бұрын

    shetan ashindwe kwa jina la yesu

  • @mashakaadam1871
    @mashakaadam1871 Жыл бұрын

    Nilipowa uchawi nikiwa mtt

  • @user-rf2vo9gq6j
    @user-rf2vo9gq6j Жыл бұрын

    Mtapigwa mpka muisome namba

  • @aminajuma1156

    @aminajuma1156

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ezekielmolel4975
    @ezekielmolel4975 Жыл бұрын

    Pasta waambie wana tunyanyaza tuombee tupate maono ya kufahamu awo wabaya

  • @happyeusebius3407
    @happyeusebius3407 Жыл бұрын

    Wakate motooooooo

  • @user-es7ln4dj6n
    @user-es7ln4dj6n11 ай бұрын

    Naomba uniombee nipate mtoto

  • @margaretdidas6250
    @margaretdidas6250 Жыл бұрын

    Shalom

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Жыл бұрын

    Nashukuru mungu sana hii madhabuhu ya ngomeni imeniponya na mengi sana

  • @gisttya8416
    @gisttya8416 Жыл бұрын

    Amen👏👏👏👏

  • @user-gn3mq1ht5u
    @user-gn3mq1ht5u Жыл бұрын

    Niombee nami bb

  • @carolinewakesho273
    @carolinewakesho273 Жыл бұрын

    Pray for me apostle

Келесі