Mch Moses Magembe - FALME KUU DUNIANI | MLOWO 05

Mkutano wa Uponyaji na Miujiza katika mkoa wa Songwe - Mlowo chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: FALME KUU DUNIANI
Andiko: DANIEL 2:28-35 , UFUNUO WA YOHANA 17:9-14
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 09.09.2023

Пікірлер: 20

  • @UwezoBwitonde-dc3nc
    @UwezoBwitonde-dc3ncАй бұрын

    Amen ×5

  • @upendomtui6544
    @upendomtui65442 ай бұрын

    Colonial mentality Africa Africa Africa God Loves you

  • @NaumiBaya-wr7ri
    @NaumiBaya-wr7ri9 ай бұрын

    Amen amen. Mungu akumbariki

  • @rebekaayeba5500
    @rebekaayeba55009 ай бұрын

    Amena kubwa

  • @EzekielMwambalaga
    @EzekielMwambalaga23 күн бұрын

    Barikiwa

  • @isayamalale9833
    @isayamalale983310 ай бұрын

    Mungu ni mwema unatubariki sana mchungaji tuko pamoja sisi niwanafunzi wako endelea na mtindo huo huo wa mahubiri nimeupenda Sana unatupa shule Sana tunakamata Sana namengine yametusaidia tumeyaweka kwenye matendo matokeo tumeyaona utukufu wa mungu tunauona

  • @user-vu7ms4gj5n
    @user-vu7ms4gj5n10 ай бұрын

    Amina

  • @deliverancelifetestimonydl3908
    @deliverancelifetestimonydl390810 ай бұрын

    Huyu Mzee Ni hazina ya kizazi chetu, tusipofaidika na hazina hii sijui MUNGU Atatuelewaje

  • @kpayakiduku1871
    @kpayakiduku187110 ай бұрын

    Ashukuliwe Kristo zaidi Kwa zawadi hii❤❤❤

  • @liberatusmathias211
    @liberatusmathias21110 ай бұрын

    AMINA

  • @josephatmusyimi4475
    @josephatmusyimi44757 ай бұрын

    Mtumish napenda maubiri unae ubiri

  • @user-le3xo7wz5c
    @user-le3xo7wz5c10 ай бұрын

    Mungu azidi kukutumia najifunza mengi kupitia mafundisho Yako baba ubarkiwe na BWANA

  • @AnaniasBenedict
    @AnaniasBenedict10 ай бұрын

    Mungu azidi kukupa nguvu zaidi sana Rev Moses tuendelee kujifunza

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy157310 ай бұрын

    Yesu ni mwemaa kabisa

  • @johndotto2314
    @johndotto231410 ай бұрын

    Amen

  • @jastinemwambi2307
    @jastinemwambi230710 ай бұрын

    Glory be to Jesus forever and ever

  • @stevenmwanyika1674
    @stevenmwanyika167410 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana,na mafundisho yako Baba

  • @michaelsukwa4371

    @michaelsukwa4371

    10 ай бұрын

    Barikiwa

  • @mirindiabeli3195
    @mirindiabeli319510 ай бұрын

    Tume barikiwa na mafundisho Yako baba,Ila vitabu vyako.twaweza je ku vipata? Ev Abeli mirindi paa Drc/ Bukavu.

  • @user-yy6nu4wz6f
    @user-yy6nu4wz6f10 ай бұрын

    Barikiwa