Mch Moses Magembe - FALME KUU DUNIANI | MLOWO 05
Mkutano wa Uponyaji na Miujiza katika mkoa wa Songwe - Mlowo chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: FALME KUU DUNIANI
Andiko: DANIEL 2:28-35 , UFUNUO WA YOHANA 17:9-14
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 09.09.2023
Пікірлер: 20
Amen ×5
Colonial mentality Africa Africa Africa God Loves you
Amen amen. Mungu akumbariki
Amena kubwa
Barikiwa
Mungu ni mwema unatubariki sana mchungaji tuko pamoja sisi niwanafunzi wako endelea na mtindo huo huo wa mahubiri nimeupenda Sana unatupa shule Sana tunakamata Sana namengine yametusaidia tumeyaweka kwenye matendo matokeo tumeyaona utukufu wa mungu tunauona
Amina
Huyu Mzee Ni hazina ya kizazi chetu, tusipofaidika na hazina hii sijui MUNGU Atatuelewaje
Ashukuliwe Kristo zaidi Kwa zawadi hii❤❤❤
AMINA
Mtumish napenda maubiri unae ubiri
Mungu azidi kukutumia najifunza mengi kupitia mafundisho Yako baba ubarkiwe na BWANA
Mungu azidi kukupa nguvu zaidi sana Rev Moses tuendelee kujifunza
Yesu ni mwemaa kabisa
Amen
Glory be to Jesus forever and ever
Nimebarikiwa sana,na mafundisho yako Baba
@michaelsukwa4371
10 ай бұрын
Barikiwa
Tume barikiwa na mafundisho Yako baba,Ila vitabu vyako.twaweza je ku vipata? Ev Abeli mirindi paa Drc/ Bukavu.
Barikiwa