MBWADUKE: OHOOO... KI NINI TENA?

Usisahau ku-subscribe, ku-like na comment...

Пікірлер: 23

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher469715 күн бұрын

    Mbwaduke ni Dr wa uchambuzi wa michezo. Wengine bisheni

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania15 күн бұрын

    Simba hawana ata habar nae.

  • @muddywatown
    @muddywatown16 күн бұрын

    Wanataka wasitoke midomoni mwetu Simba hawana mpango Angekua namiaka 21 au 23 kweli tungeamini ila huyo abaki hukohuko

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t15 күн бұрын

    Duh zangu zote kwa Azizi ki kuondoka inshallah na iwe hvyo🤲

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc16 күн бұрын

    Bwana eeeh unatuchelewesha lete habr ya Aziz

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello574315 күн бұрын

    Na akiondoka azizi K tujiandae kuishia robo fainal na tunaeza pia tusifike huko

  • @SilmanOfficial-ss6oq
    @SilmanOfficial-ss6oq16 күн бұрын

    Utopolo tu Wanajitekenya na Kucheka Wenyewe. Wanaforce Kutrend kupitia mgongo wa Mnyama Simba hawana lolote. Watu wasidanganyike Simba haina wala haikuwa na Mpango na K aziz a.k.a Domo Bakuli😂😂

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon790915 күн бұрын

    Kama wanachama na mashabiki wa yanga tumeshindwa kulipia kadi zetu sishangai Azizi kuondoka japo ningetamani wananchi tuchangamke kulipa ili hizi 60%zimbakishe Azizi vinginevyo kila lenye heri kwako uko uendako mwamba

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher469715 күн бұрын

    Azizi Ki ni mchezaji bora acha tu. Kuongoza hata kwa mashoots Afrika ni hatari

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello574315 күн бұрын

    Kwakweli akiondoka azizi K nawaambia ukweli wajuetu usajili wao wote walofanya umeharibika haunamana tena, faida yahuu usajili wa yanga nikubakisha nyota wake, hasa huyo kimataifa

  • @mskJr1993.
    @mskJr1993.16 күн бұрын

    Duuuh

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le15 күн бұрын

    Cmba wala hawana mpango huo msi

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida790815 күн бұрын

    Yani tunasema yanga nikubwa na tunashikwa na homa na mchezaji mmoja wakati wenzetu wamesajili na wakawacha nyota kibao tu na wazuri kwa hii yanga sio timu kubwa barani africa tunajipa tu ukubwa wa michongo papatupapatu siku zisonge

  • @Jimmymanasseh_Official

    @Jimmymanasseh_Official

    15 күн бұрын

    Uko Sahihi ila Kuna sehem uko na changamoto!!! Tanzania huwa ni ngumu kwa wachezaji muhimu kwenye kikosi kubak hasa wakipanda gharama so kumbakizia mchezaji kama uyo ni kazi nzur sana kabisa ivyo wakihaha kumbakiza na akabaki ni kazi nzuri sana

  • @Prosperkaluta

    @Prosperkaluta

    15 күн бұрын

    Wewe ni mpumbavu na siyo tu mjinga, kichwani mwako una matope sasa.

  • @Prosperkaluta

    @Prosperkaluta

    15 күн бұрын

    Abdallah Akida, hana akili kabisa huyo ni matope yamejaa kichwani mwake.

  • @Jimmymanasseh_Official

    @Jimmymanasseh_Official

    15 күн бұрын

    @@abdallahakida7908 kipindi miksoni wa moto Simba si mlimuuza? Kwa vigezo vip ,kaenda kuharibika amerudi Kawa bonge mkamuuza mbona hatusem

  • @HimilMussa

    @HimilMussa

    15 күн бұрын

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida790815 күн бұрын

    Mnajua kuna ujinga wakutafuta kiki ili uonekane mbabe azizi ki nimchexaji wa yanga kinachotafutwa nikwamba eng hirsi anatafuta kiki kwa washabiki wao ,ili aonekane amempambania aziz k aje aseme yeye ndio amembakisha huu ni upuzi .hakuna chakuogopa kuficha au kutengeza kiki kwa mchezaji ambae unasema nimali ya yanga hizi kiki ni za nini si tuache huu ujinga wakutubeba mashabiki ufala.

  • @EdwardJeremiah-bd8rl

    @EdwardJeremiah-bd8rl

    15 күн бұрын

    Mchukue mchezaji wako na ww utafute kiki😂😂😂

  • @user-uj5wg9mm2t

    @user-uj5wg9mm2t

    15 күн бұрын

    Km nakuelewa Kwa yule Mzee anavyopenda sifa😂😂😂😂

  • @gracemtonga3263

    @gracemtonga3263

    15 күн бұрын

    Yale Yale! Na wewe mbona unatafuta kiki kwenye comment? Acha makasiriko kolobwenzi

Келесі