Azam TV hongera kwa kuinua Mpira wa tz Azam TV Burudan kwawote
@user-ig8iq1ho4o20 күн бұрын
Kher minallah
@user-ik6yl2ky7u20 күн бұрын
A ziz ki kumbe yupo basi mambo yapo ❤❤❤❤
@PeterMalunde-pn4rf20 күн бұрын
Mtangazaji wewe uko vizuri,tena ukiwa na wachambuz,na kipenga chamwisho honger
@JafaliChamenda-xj3yn20 күн бұрын
Kazi ipo🔑yupo kumbe
@hirallychicco98720 күн бұрын
Jamaa walijinasibu kwa watapita naye shwaaasaa😂😂
@dastopadady240220 күн бұрын
Yanga daima mbele nyuma mwiko🎉
@Seleman.msekwa20 күн бұрын
Kazi wanayo
@alisalmin51220 күн бұрын
AZAM TV HONGERA KWA KUINUA MPIRA WA TANZANIA KWA KIWANGO KIKUBWA. AZAM BURUDANI SANA.
@barackmoses700320 күн бұрын
Mtangazaji uko vizuri
@EdwardKisota20 күн бұрын
Aziz Ki akiwaacha Yanga hivi hivi. Majin watamsumbuwa. Kwa akili ya kawaida. Huwezi kuacha million 97 za Warabu. Halafu ukubali million 35 ya Yanga
@GervasDomnik19 күн бұрын
Ni kilangilo mdenge nipo nguruka aziziki ndani ya nyumba ya wananchiiiiiiiiiiii
@EdwardEzekiel-nl9kv19 күн бұрын
Yanga hii Tim sijui itakueje
@NassoroSipemba20 күн бұрын
Muachieni kocha kwani hiyo ndio kazi alio isomea.
@JumaSelemani-yp6bw19 күн бұрын
Ligi ianze jamani
@EldaMwamanda19 күн бұрын
0:32 Simba baba
@JosephJackson-r6k18 күн бұрын
Yanga mbele
@mohamedkashindi768919 күн бұрын
Muumba ibariki yanga
@SaidiTenge18 күн бұрын
Nenda ukamhoji mayele Tena 😅😅😅😅😅
@user-iz3hs8jl5p20 күн бұрын
hamsa nyingine kuanzia ngao ya jamii
@IbrahimMmalugu-gw8jl20 күн бұрын
Timu Gani yanga amewahi kuipiga magoli 6au7 kwenye makundi Hana lolote kutoka droo na mamelod nikama kipofu kaonamwezi na nchi wataijangia Sana yanga kwenye bacheti
@AkidaYusuph-hw1ke
20 күн бұрын
Tatizo wivu
@user-pn8bw4wp6r
20 күн бұрын
Acha kuish Kwa kukarir
@user-np4om6hz4m
19 күн бұрын
Tatizolako umefeli somo la hesabu iulize timu ya simba 5+2 utapata jibu la swali lako
Пікірлер: 24
Azam TV hongera kwa kuinua Mpira wa tz Azam TV Burudan kwawote
Kher minallah
A ziz ki kumbe yupo basi mambo yapo ❤❤❤❤
Mtangazaji wewe uko vizuri,tena ukiwa na wachambuz,na kipenga chamwisho honger
Kazi ipo🔑yupo kumbe
Jamaa walijinasibu kwa watapita naye shwaaasaa😂😂
Yanga daima mbele nyuma mwiko🎉
Kazi wanayo
AZAM TV HONGERA KWA KUINUA MPIRA WA TANZANIA KWA KIWANGO KIKUBWA. AZAM BURUDANI SANA.
Mtangazaji uko vizuri
Aziz Ki akiwaacha Yanga hivi hivi. Majin watamsumbuwa. Kwa akili ya kawaida. Huwezi kuacha million 97 za Warabu. Halafu ukubali million 35 ya Yanga
Ni kilangilo mdenge nipo nguruka aziziki ndani ya nyumba ya wananchiiiiiiiiiiii
Yanga hii Tim sijui itakueje
Muachieni kocha kwani hiyo ndio kazi alio isomea.
Ligi ianze jamani
0:32 Simba baba
Yanga mbele
Muumba ibariki yanga
Nenda ukamhoji mayele Tena 😅😅😅😅😅
hamsa nyingine kuanzia ngao ya jamii
Timu Gani yanga amewahi kuipiga magoli 6au7 kwenye makundi Hana lolote kutoka droo na mamelod nikama kipofu kaonamwezi na nchi wataijangia Sana yanga kwenye bacheti
@AkidaYusuph-hw1ke
20 күн бұрын
Tatizo wivu
@user-pn8bw4wp6r
20 күн бұрын
Acha kuish Kwa kukarir
@user-np4om6hz4m
19 күн бұрын
Tatizolako umefeli somo la hesabu iulize timu ya simba 5+2 utapata jibu la swali lako