MBINU ZA SIRI KATIKA DUKA LA REJAREJA/ UNATENGAJE FAIDA.?

Kwa mtaji Mdogo tuu Jifunze siri usiyoijua na itakayokutajirisha katika duka la rejareja
Kufahamu mambo kumi kuhusu juma Mgunda wa simba. Link hapo chini 👇👇👇
• UKITAZAMA HII VIDEO UT...
Kujua historia ya mchekeshaji Joti. Gusa link 👇👇
• HIVYO NDIVYO TAMTHILIA...
#thestorybook #YIB #BONGOFASTA #mbosso #Diamondplatinumz #azamtv #Ayotv #wasafimedia #zuchu #ananiasedgar #harmonize #Millardayo #simbatv #simulizi #newchapter #krissmauki #cloudsmedia #tonyinspiration #mtigaabdallah #biasharamiamia #biashara ndogondogo #sammissago #efm #ibratz #bingoonline #hadithi

Пікірлер: 81

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline68225 ай бұрын

    Asntee sanaaaa mwaka huu naanza hii biashara

  • @user-rb2po5ne2m
    @user-rb2po5ne2m5 ай бұрын

    Dah! Mwalim wangu umenifungua sanaa🧠

  • @Devilinintungwawc2vk
    @Devilinintungwawc2vkАй бұрын

    Pamoja sana kwa kutujunza lazima nifunguwe Dukan mwaka hu 2024

  • @swahibamusic1188
    @swahibamusic11883 жыл бұрын

    Thank you very much..

  • @queenjacklinedavid2600
    @queenjacklinedavid26002 ай бұрын

    Kaka Asante mungu akubariki

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka5173 жыл бұрын

    Safi Sana bro nakuomba jikite zaidi huku huku kwenye biashara ndogo ndogo na za Kati, na isiwe tu ktk vigenge pia upande wa boda boda watu hudharau wakati kuna pesa mzuri Sana wanayoipata.

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Shukran sana mkuu. Tutajitahidi kuwapa maarifa ya biashara zote kadri tuwezavyo

  • @estamichael5904

    @estamichael5904

    3 жыл бұрын

    Kaka nimependa sana somo lako na nina ndoto ya kuwa na duka kubwa na tiari nimefungua ila changamoto ni jinsi ya kupata faida naumiza sana kichwa kwenye nz ikifikia kwenda kuagiza mzigo kaka sory nahitaji saport yako ya kimawazo

  • @sanemzungu2460

    @sanemzungu2460

    3 жыл бұрын

    Asante sana tupe somo jengin

  • @zaytoona2215
    @zaytoona2215 Жыл бұрын

    Shkran brother nimejifnza kit hapa nataman sana kufngua duka la nafaka

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    Жыл бұрын

    Karibu sanaaa kakaa

  • @user-jy9hg8xl1c
    @user-jy9hg8xl1c5 ай бұрын

    Nimeflahi sana Kila sku nilikuwa najiuliza faida napataje kumbe hee Asante sana jamani nmenifumbua akili yangu ilisizi tu

  • @touyegates1433
    @touyegates143310 ай бұрын

    Hesabu rahisi sana.

  • @Jackilinedanielikilika
    @Jackilinedanielikilika4 ай бұрын

    Asante kaka mungu akubaliki

  • @jacklinmusa
    @jacklinmusa Жыл бұрын

    Kaka Asante sana

  • @getukimaro9719
    @getukimaro97192 жыл бұрын

    Asante kaka

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura9 ай бұрын

    Asante sana.

  • @tabithamoroni1639
    @tabithamoroni163911 ай бұрын

    Asante sana

  • @fridaminja7191
    @fridaminja71912 ай бұрын

    Nimekuelewa sana kka, somo zur sana yan umenitoa tongotongo aisee, nilikuwa najifanyia tuu jaman asante sana

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo79203 жыл бұрын

    Nimeipenda sana thank u

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sana, video zingine bora zaidi zaja.

  • @HadijaShabani-nh2wc
    @HadijaShabani-nh2wc8 ай бұрын

    Mashalla nimefulahi kuangalia maelezo yeni nayamenifungua kiakili sana munapatikana wapi mbosizangu naweza kuwa watemberea

  • @oldisgold8637
    @oldisgold86372 жыл бұрын

    Unachambua vizuri sana.... hasa hapo kwenye percentage profit.. wow u a the best.

  • @MishyMmbare

    @MishyMmbare

    7 ай бұрын

    Mimi nilikua nauza tu 😂😂🙌

  • @bekakasambala7108
    @bekakasambala710823 күн бұрын

    Labda supermarket sio duka la mangi asee...nimeshafanya hiii nafahm sn....mara nyingi zingatia maeneo..unakuta katik eneo moja maduka ya aina hiii yapo mengi hapo sahau kuhusu faida. Kwa maana maduk yapo mengi kulko wateja

  • @aziathahmada5462
    @aziathahmada546211 ай бұрын

    Allah akujalie umenipa mawazo Mimi natarajia kupata 1000000 nisaidie namna ya kuibajet

  • @sarahsarah4919
    @sarahsarah49193 жыл бұрын

    Asate Sana kaka

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sana

  • @shuukuchy6350
    @shuukuchy63503 жыл бұрын

    Asante Kw msaada

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sana mamiiii

  • @ccmyetuchamachetu9631
    @ccmyetuchamachetu96313 жыл бұрын

    Asante brother

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Your welcome

  • @stellalema4848
    @stellalema48482 жыл бұрын

    Nzuri sana

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    2 жыл бұрын

    Karibu sana stella

  • @vailethjohn4067
    @vailethjohn40673 жыл бұрын

    Thanks again

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Your welcome.....

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika75383 жыл бұрын

    Nimeipenda bro,

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sanaa mkuu

  • @Teddy-jl5mz
    @Teddy-jl5mz Жыл бұрын

    Nimependa sana unavoelezea, nafikiria kufanya iyo biashara lkn nataka niwe na friji sjui ni shingapi friji

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    Жыл бұрын

    Inategemeana na aina ya friji either used au mpya. Mpya waweza pata kuanzia sh laki 3 nakuendelea lkn used waweza pata la chin ya pesa hiyo. Ni maelewano na anaekuuzia

  • @mobellamobenimpenda7055
    @mobellamobenimpenda70553 жыл бұрын

    MashaAllah tupeni namba ya simu

  • @mzeeyusuph9021
    @mzeeyusuph90212 жыл бұрын

    Nimeielewaaaa iyoooo....

  • @LuciaMakarange-vb8mc
    @LuciaMakarange-vb8mc4 ай бұрын

    Jamn bro asnte san umenifungu kiakili kumbe nikiwa na milion1 nawez kutoboa inatafautian na akili yangu

  • @ToneTone-ll3qb

    @ToneTone-ll3qb

    Ай бұрын

    Hii video niyamuda sana mwaka huu fremu zimepanda bei nabidhaa pia hapo ongeza nahela yakuendeshea biashara lasivyo biashara itakufa

  • @selinajohn3552
    @selinajohn3552Ай бұрын

    Asnteh naenda kufanya Kwa matendo

  • @imeldakihongo6033
    @imeldakihongo6033 Жыл бұрын

    Asant kwa elimu nafungua duka langu mwakani

  • @happymaffa
    @happymaffa3 жыл бұрын

    Asante

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sanaaa mpendwa.

  • @JamilaTwariq-ln7bk
    @JamilaTwariq-ln7bk Жыл бұрын

    Oky axnte

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv67383 жыл бұрын

    Uchambuzi mzuri huu

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sanaaa

  • @mautamutz5757
    @mautamutz5757 Жыл бұрын

    Una akili Sana brooo ahsante ubarikiwe Sana kwa ufafanuzi wako

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    Жыл бұрын

    Ahsante kwa komenti yako na Karibu sanaa...

  • @jimmyabdallah6486

    @jimmyabdallah6486

    8 ай бұрын

    Naweza kupata namba yako

  • @husnabadru4272
    @husnabadru42722 жыл бұрын

    Asant kak

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    2 жыл бұрын

    Karibu sanaaaa

  • @fattmaaall9132
    @fattmaaall91323 жыл бұрын

    Nimependa sana na haki nawish niwe mfanyabiashara mfano

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sana.. Hakika ndoto zako ndiyo mafanikio yako, hakuna lishindikanalo chini ya jua.

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Жыл бұрын

    Kazi Ina changamoto hiyo

  • @muhamedmwaro6931
    @muhamedmwaro6931 Жыл бұрын

    Broo vp mmi nahtaj hii biashara ya duka

  • @MishyMmbare
    @MishyMmbare7 ай бұрын

    Umenifumbua macho kwakweli

  • @issatwaha
    @issatwaha Жыл бұрын

    Kwa sasa lakini vitu vikojuuu kaka

  • @CharlesWamburaWambura-ls8vb
    @CharlesWamburaWambura-ls8vb5 ай бұрын

    Asante sana ila nina swali

  • @CharlesWamburaWambura-ls8vb

    @CharlesWamburaWambura-ls8vb

    5 ай бұрын

    Nahitaji kufanya biashara ya duka ila namna ya kuanza nashindwa

  • @barakaedward8735
    @barakaedward87353 жыл бұрын

    Saf xn mzee

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sanaaaaa

  • @mohamedisimon9719

    @mohamedisimon9719

    2 жыл бұрын

    Nzuri sana hyo

  • @MockaDrama
    @MockaDrama Жыл бұрын

    Tuongee ukweli kwenye swala la kodi ya Fremu,Fremu zote nilizouliz za kawaida sehem nililo n laki na nusu hadi laki na ishirini kwa mwezi mmoja.

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    Жыл бұрын

    Upo mjini sana huend ndo sababu...

  • @HadijaShabani-nh2wc
    @HadijaShabani-nh2wc8 ай бұрын

    Nataka nifungue nduka na mimi lashilingi 1000000 kumbe nikizingatia naweza kufanikiwa hasate sana kakaangu kunifungua akili lakini natamani uniunganishe manduka yanayo uza jumulajumula niweza kuwa nakuja kuhemea hapohapotu musada wako hasatesana kwaushilikiano wako

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    8 ай бұрын

    Sema In shaa Allah Ata mimi nilitamani nifungue duka ila nikaisi halina faida nikaamia kwenye mawazo ya kuuza nguo Ila In shaa Allah nitafungua duka la lejaleja na nguo

  • @salehengoma5550
    @salehengoma55503 жыл бұрын

    Nimekuelewa bro, but hujaonesha matumizi ya umeme, TRA n.k

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Faida utakayoipata igawanye katika matumizi. 1)Jilipe mshahara wako wa mwezi. 2. Tenga pesa ya kodi, umeme na TRA. 3. Tenga pesa ya dharura. Pia waweza kuweka huduma kama kuchaji sim, kuuza icecream n.k hizi zitakusaisia kulipa bili za umeme n.k

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba85312 жыл бұрын

    TRA ndo tatizo apo

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude78693 жыл бұрын

    Nimeuza duka la rejareja myaka miinne sikuwahi kupata hii faida Bro Mungu akusaidie

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sana ndugu yetu......

  • @akederamadhani5867

    @akederamadhani5867

    3 жыл бұрын

    Duk Lin faid n linaitaj akil xn

  • @ameenaameena1224

    @ameenaameena1224

    2 жыл бұрын

    Kupitia hii video nimejua Hata nikiwa nauza Bei GAni nafaida shingapi

  • @seifzongo320
    @seifzongo3203 жыл бұрын

    Good nimeona video leo nime like leo na kusubsribe moja tuletee biashara ya grocery na stationary

  • @SEDJamii

    @SEDJamii

    3 жыл бұрын

    Karibu sana ndugu. Biashara ya stationary tayar tizama video za nyuma. Biashara ya grocery inakuajia soon.

  • @seifzongo320

    @seifzongo320

    3 жыл бұрын

    @@SEDJamii 🙏🙏