MBINU ZA SIRI KATIKA DUKA LA REJAREJA/ UNATENGAJE FAIDA.?
Kwa mtaji Mdogo tuu Jifunze siri usiyoijua na itakayokutajirisha katika duka la rejareja
Kufahamu mambo kumi kuhusu juma Mgunda wa simba. Link hapo chini 👇👇👇
• UKITAZAMA HII VIDEO UT...
Kujua historia ya mchekeshaji Joti. Gusa link 👇👇
• HIVYO NDIVYO TAMTHILIA...
#thestorybook #YIB #BONGOFASTA #mbosso #Diamondplatinumz #azamtv #Ayotv #wasafimedia #zuchu #ananiasedgar #harmonize #Millardayo #simbatv #simulizi #newchapter #krissmauki #cloudsmedia #tonyinspiration #mtigaabdallah #biasharamiamia #biashara ndogondogo #sammissago #efm #ibratz #bingoonline #hadithi
Пікірлер: 81
Asntee sanaaaa mwaka huu naanza hii biashara
Dah! Mwalim wangu umenifungua sanaa🧠
Pamoja sana kwa kutujunza lazima nifunguwe Dukan mwaka hu 2024
Thank you very much..
Kaka Asante mungu akubariki
Safi Sana bro nakuomba jikite zaidi huku huku kwenye biashara ndogo ndogo na za Kati, na isiwe tu ktk vigenge pia upande wa boda boda watu hudharau wakati kuna pesa mzuri Sana wanayoipata.
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Shukran sana mkuu. Tutajitahidi kuwapa maarifa ya biashara zote kadri tuwezavyo
@estamichael5904
3 жыл бұрын
Kaka nimependa sana somo lako na nina ndoto ya kuwa na duka kubwa na tiari nimefungua ila changamoto ni jinsi ya kupata faida naumiza sana kichwa kwenye nz ikifikia kwenda kuagiza mzigo kaka sory nahitaji saport yako ya kimawazo
@sanemzungu2460
3 жыл бұрын
Asante sana tupe somo jengin
Shkran brother nimejifnza kit hapa nataman sana kufngua duka la nafaka
@SEDJamii
Жыл бұрын
Karibu sanaaa kakaa
Nimeflahi sana Kila sku nilikuwa najiuliza faida napataje kumbe hee Asante sana jamani nmenifumbua akili yangu ilisizi tu
Hesabu rahisi sana.
Asante kaka mungu akubaliki
Kaka Asante sana
Asante kaka
Asante sana.
Asante sana
Nimekuelewa sana kka, somo zur sana yan umenitoa tongotongo aisee, nilikuwa najifanyia tuu jaman asante sana
Nimeipenda sana thank u
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sana, video zingine bora zaidi zaja.
Mashalla nimefulahi kuangalia maelezo yeni nayamenifungua kiakili sana munapatikana wapi mbosizangu naweza kuwa watemberea
Unachambua vizuri sana.... hasa hapo kwenye percentage profit.. wow u a the best.
@MishyMmbare
7 ай бұрын
Mimi nilikua nauza tu 😂😂🙌
Labda supermarket sio duka la mangi asee...nimeshafanya hiii nafahm sn....mara nyingi zingatia maeneo..unakuta katik eneo moja maduka ya aina hiii yapo mengi hapo sahau kuhusu faida. Kwa maana maduk yapo mengi kulko wateja
Allah akujalie umenipa mawazo Mimi natarajia kupata 1000000 nisaidie namna ya kuibajet
Asate Sana kaka
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sana
Asante Kw msaada
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sana mamiiii
Asante brother
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Your welcome
Nzuri sana
@SEDJamii
2 жыл бұрын
Karibu sana stella
Thanks again
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Your welcome.....
Nimeipenda bro,
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sanaa mkuu
Nimependa sana unavoelezea, nafikiria kufanya iyo biashara lkn nataka niwe na friji sjui ni shingapi friji
@SEDJamii
Жыл бұрын
Inategemeana na aina ya friji either used au mpya. Mpya waweza pata kuanzia sh laki 3 nakuendelea lkn used waweza pata la chin ya pesa hiyo. Ni maelewano na anaekuuzia
MashaAllah tupeni namba ya simu
Nimeielewaaaa iyoooo....
Jamn bro asnte san umenifungu kiakili kumbe nikiwa na milion1 nawez kutoboa inatafautian na akili yangu
@ToneTone-ll3qb
Ай бұрын
Hii video niyamuda sana mwaka huu fremu zimepanda bei nabidhaa pia hapo ongeza nahela yakuendeshea biashara lasivyo biashara itakufa
Asnteh naenda kufanya Kwa matendo
Asant kwa elimu nafungua duka langu mwakani
Asante
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sanaaa mpendwa.
Oky axnte
Uchambuzi mzuri huu
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sanaaa
Una akili Sana brooo ahsante ubarikiwe Sana kwa ufafanuzi wako
@SEDJamii
Жыл бұрын
Ahsante kwa komenti yako na Karibu sanaa...
@jimmyabdallah6486
8 ай бұрын
Naweza kupata namba yako
Asant kak
@SEDJamii
2 жыл бұрын
Karibu sanaaaa
Nimependa sana na haki nawish niwe mfanyabiashara mfano
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sana.. Hakika ndoto zako ndiyo mafanikio yako, hakuna lishindikanalo chini ya jua.
Kazi Ina changamoto hiyo
Broo vp mmi nahtaj hii biashara ya duka
Umenifumbua macho kwakweli
Kwa sasa lakini vitu vikojuuu kaka
Asante sana ila nina swali
@CharlesWamburaWambura-ls8vb
5 ай бұрын
Nahitaji kufanya biashara ya duka ila namna ya kuanza nashindwa
Saf xn mzee
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sanaaaaa
@mohamedisimon9719
2 жыл бұрын
Nzuri sana hyo
Tuongee ukweli kwenye swala la kodi ya Fremu,Fremu zote nilizouliz za kawaida sehem nililo n laki na nusu hadi laki na ishirini kwa mwezi mmoja.
@SEDJamii
Жыл бұрын
Upo mjini sana huend ndo sababu...
Nataka nifungue nduka na mimi lashilingi 1000000 kumbe nikizingatia naweza kufanikiwa hasate sana kakaangu kunifungua akili lakini natamani uniunganishe manduka yanayo uza jumulajumula niweza kuwa nakuja kuhemea hapohapotu musada wako hasatesana kwaushilikiano wako
@faudhiasaidi3669
8 ай бұрын
Sema In shaa Allah Ata mimi nilitamani nifungue duka ila nikaisi halina faida nikaamia kwenye mawazo ya kuuza nguo Ila In shaa Allah nitafungua duka la lejaleja na nguo
Nimekuelewa bro, but hujaonesha matumizi ya umeme, TRA n.k
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Faida utakayoipata igawanye katika matumizi. 1)Jilipe mshahara wako wa mwezi. 2. Tenga pesa ya kodi, umeme na TRA. 3. Tenga pesa ya dharura. Pia waweza kuweka huduma kama kuchaji sim, kuuza icecream n.k hizi zitakusaisia kulipa bili za umeme n.k
TRA ndo tatizo apo
Nimeuza duka la rejareja myaka miinne sikuwahi kupata hii faida Bro Mungu akusaidie
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sana ndugu yetu......
@akederamadhani5867
3 жыл бұрын
Duk Lin faid n linaitaj akil xn
@ameenaameena1224
2 жыл бұрын
Kupitia hii video nimejua Hata nikiwa nauza Bei GAni nafaida shingapi
Good nimeona video leo nime like leo na kusubsribe moja tuletee biashara ya grocery na stationary
@SEDJamii
3 жыл бұрын
Karibu sana ndugu. Biashara ya stationary tayar tizama video za nyuma. Biashara ya grocery inakuajia soon.
@seifzongo320
3 жыл бұрын
@@SEDJamii 🙏🙏