Jinsi ya kufanikiwa | Njia za mafanikio | Siri ya mafanikio | Ramani ya Maisha 1| Best ways
Katika video hii utajifunza kuwa kila mtu anaweza kuwa milionea lakini ili kuwa bilionea unahitaji maarifa kutoka katika ramani ya maisha yako,
Vile vile utajifunza kwa nini wengi hufanikiwa kisha mambo kuharibika na pia utatambua ya kwamba mafanikio bila maarifa ni sawa kupandisha maji mlima.
Jiunge na channel hii kuweza kuamka kiakili, kimwili na kiroho na ukatae na ufungue njia zako mbadala za mafanikio na ushangaze watu waliodhani huna uwezo wa kupata mafanikio
Пікірлер: 39
Kwenye biblia kitabu cha mithali kinaelezea kuhusu maisha na mustakabali wa kila mmoja ktk maisha
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Asante akiweka comment mwingine mwenye maelezo ya kutosha tutapin ya kwake. Asante.
@emmanuelmusa1061
Жыл бұрын
Na kwakuongezea katika kitabu cha KUMBUKUMBU YA TOLATI 8:18 ) imefafanua kwa kina zaid kama hivi= Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo. But thou shalt remember the LORD thy God: for it is he that giveth thee power to get wealth, that he may establish his covenant which he sware unto thy fathers, as it is this day.
Nimependa ufafanuzi wako umezungumza ukweli mtupu hongera sana tupo pamoja.
KWENYE BIBILIA (WAFILIPI 4:19 INASEMA HIVI) Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. But my God shall supply all your need according to his riches in glory by Christ Jesus.
Asante sana mwalimu kila siku umezidi kuwa bora zaidi ya jana
@rakimsspiritual
Ай бұрын
asante mwenyezi Mungu azidi kukuongoza pia
Amina 🙏🙏
asante kwa elimu yako
New vision
Well noted kaka
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Asante mkuu, Tupo pamoja! Ubarikiwe.
Asante sana kaka kwa elimu yako
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Asante kushukuru
Shukrani shukrani kwa elmu kubwa unayo tupatia
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Asante, kushukuru
ZABURI 24:1-2 PSALMS) (Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake. The earth is the LORD's, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Asante na Ubarikiwe.
Namba ya simu kaka
Good
@rakimsspiritual
3 ай бұрын
Welcome
Chanzo utajiri
Sasa wewe takupata vipi.Nigependa tuungeee mengi.
ni kweli
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Asante.
@rutatv8358
Жыл бұрын
Elimu nzuri kaka
@SadockKyokyo-fu2nn
7 ай бұрын
Ni kweli kabisa
Nitajuaje mwelekeo wangu wa maisha,ambapo mm ni mkulima,na kama nikifaham nitajuaje kazi yangu maalum ya kufanya ili. Inipe mafaniko?pia nashukulu sana kwa elim unayo itoa,mungu azid kukujalia maarifa makubwa zaidi ya hayo unayotupa.
@rakimsspiritual
7 ай бұрын
Kuna uchambuzi hufanyika private wasiliana nasi kwa whatsapp 0783930601
@naimahhussein8430
6 ай бұрын
@@rakimsspiritualok
Fact
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Karibu tupo pamoja.
@HeliAdam.-zu9ph
7 ай бұрын
Sawa sawa.
Tuna.shida.na.nanba.ya.sm
Size of your success will be measured by strength of your desire
@rakimsspiritual
Жыл бұрын
Why don't you start a video for this cc quote? Stop emberrasing yourself. This is a Swahili channel for East African community and those who speaks Swahili around the global. So you better use a language that can help every individual around this planet who speaks swahili to understand your quote and not being like a linguilistic slave..... also we respect your point of view but this channel is not for debates sorry.
@Direct-0000
Жыл бұрын
To be a higher performer you have to think big and take big action,if you think small and do nothing you will remain small
unafanyafanyaje irikuwona jichorata2
@rakimsspiritual
5 ай бұрын
Fuatilia kwenye video ya jicho la tatu