Mbarikiwa TENZI NO 20 (Ninaye rafiki) live video kutoka studio
Baada ya channel ya Mbarikiwa mwakipesile ya youtube kufungwa, sasa unaweza kuzipata video zake za zamani kwa kupitia channel zifuatazo.
1. Alex Tewele ... / @pastorstz
2. Zawadi blandine ... / @zawadiblandine
3. Helbeth Mlelwa ... / @helbethmlelwa
Mahubiri ya sasa ya Mbarikiwa Mwakipesile yanarushwa kupitia channel ya Kikosi kazi cha injili ... / @mbarikiwa_mwakipesile
Pia ibada zinarushwa live (mubashara) katika mtandao wa facebook. Ingia facebook na tafuta mbarikiwa mwakipesile au bonyeza maandishi haya / salome.mwampeta.5
KWA KILA CHANNEL ILIYOANDIKWA HAPO JUU. NI VYEMA KAMA UTASUBSCRIBE ILI UWEZE KUPATA TAARIFA ZAIDI.
NEEMA YA KRISTO YESU, IWE PAMOJA NAWE. AMEN
Пікірлер: 70
Kazi iliyotukuka❤❤❤🎉🎉🎉
Nabarikiwa sana na nyimbo za mbarikiwa mwakipesile mungu akubariki sana.
Ubarkiwe sana mtumishi wa mungu, bwana akutie nguvu siku Moja tukuone sonngea.
Amina nabarikiwa sana na nyimbo zako mchungaji mungu aendelee kukuinua viwango vya juu zaidi.mungu naomba nisaidie na Mimi nisimame nikujue wewe.
Barikiwa sana
Uimbaji wake ni wa pekee kwani una mvuto mkubwa sana huleta utukufu wa Bwana Mungu wetu. 7:51
Moja ya nyimbo makini yenye kuvuta wingu kwa maombi
Be blessed
Mungu aongezeke kwako man of God akutetea na kuilinda imani yako daima
Mungu akubariki. Nakushukuru kwa kazi yako. Akuinue mwokozi.Amen
Ameen
Yesuuuuuuuuuuuu e kweli we nirafiki umeziba mapengo yooote
Ameen baba mubarikiwa napedaga sana nyimbo hihi
God bless you and your generation as well🙏.
hakika kaka japo unaimba tenzi ila uimbaji wako ni wa kipekee sana. sauti yako ina utukufu wa mungu sana na ina mvuto wa kipekee ninapendaga sana kusikiliza nyimbo zako asa za tenzi unaziimba kwa mtukufu mwingi sana MUNGU AKUBALIKI SANA MCHUNGAJI
@florianmsoffe3549
Жыл бұрын
Umeona ,hata na wewe umejaliwa kuona mbali sana, glory glory
Ninaye Yesu
Nabarikiwa sana na huduma hii! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai
Kwake nimetia nanga, Ndimi wake milele, Amen 🙏
Ninabarikiwa sana mtumishi
I love you it songs.huwa zinanivaa nguvu yesu kristo akubariki pamoja na kikosi kizima.
Mbarikiwa babangu Mungu akutunze huko ulipo😢
Uimbaji huu ni mkubwa sana, tumeona na kusikia waimbaji wa Tenzi lakini wewe Kaka Mbarikiwe Mwakipesile upo juu.
Amen Amen MUNGU atukuzwe milele tuko pamoja
Ninarikiwa Mungu akubariki
Thank you and be blessed! Truly, I appreciate your song, very unique.
Ubarikiwe rohoni kumejaaa .Mungu Ni Neno na Neno ni Sheria lakini Sheria yake Ni njema na takatifu sana . Hakuna masharti. Magumu hayo Ni maisha ya ufalme wa Mungu kwake tumetia nanga hata waseme walemaa ooo kwake tumetia nanga
Hakika mbarikiwa umebarikiwa nyimb Zak zinanibariki sana
Hakika wewe ni mbarikiwa. YESU awe nawe
You are truly a man of God because Everytime I listen to your song's I feel the presence of God. God bless you and your family
Nabarikiwa sana Kwa huduma Yako ya uimbaji na mahuburi Yako ubariwe sana mtumishi was mungu
I like your song be strong for God,s job
Hahaha mpaka Raha,,utazani wimbo umetoka Jana Mungu awabariki sana
Ameeeen
Kwake nimetia nanga...
Mbarikiwa Unanibariki Sana!!!
Amina, Amina
Amen 🙏 “Thank you
tupo pamoja japo hutuon
Thank you My brother God bless you , you try to build most disciplined church of Jesus Christ the king.
Hakuna rafik kama yesu
Nice
Amen amen 🙏🏿
Amen
Good song to listen...it encourage more more more in this journey and it emphasize us more to still walking with God
@HelbethMlelwa
3 жыл бұрын
Kweli Dr. Nafahamu hii tenzi yako
Halélujah
Amina sana
@jairoyusuph8922
2 жыл бұрын
We ni mfano was kuigwa jaribu morogoro
@jairoyusuph8922
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaaaa
❤️🙏❤️🙏🌹🙏✝️✝️✝️✝️🇮🇱🇮🇱🇮🇱
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤
Enjoying from Lusaka Zambia I love your music it's comfort me in prayers
@HelbethMlelwa
3 жыл бұрын
Amen, have you joined the WhatsApp group, GROUP LA WAGUMU, leaded by Past, Mbarikiwa Mwakipesile
@langsontembo7274
3 жыл бұрын
@@HelbethMlelwa no
@langsontembo7274
3 жыл бұрын
Add me please I will appreciate brother in Christ
@HelbethMlelwa
3 жыл бұрын
@@langsontembo7274 send me a whatsapp message through +255620671231
@langsontembo7274
3 жыл бұрын
@@HelbethMlelwa okay
Hakika ni Mwema ,Mwana wa Adamu, Yesu Kristo Rafiki Mwema!!!
Mtumishi tumengoja video ya wimbo wa tenzi ninaye rafiki ninaye
Amina!! Amina!! I Love yr songs!!! They r so encouraging!!!
Tafadhali naomba wimbo wa tufani inapovuma...
@HelbethMlelwa
3 жыл бұрын
t.me/kikosikazichainjili
@julianambilinyi3341
2 жыл бұрын
Hata nikiwa navyo Tena vyoote ni Amana .Haleluy ubarikiwe baba
Jina la mbarikiwa (Nsajigwa) limekufaa umebarikiwa sana .pole sana kwa kupotelewa na mtoto wa peke mungu awafunge mkanda wake wa faraja .natamani kupata CD ZA UWIMBAJI WAKO TUPE NAMBA YA MWASILIANO AMENI
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Amina ndugu. Kwasasa DVD zinapatikana mbeya tu kwa kuwa soko lake lilipungua sana. Namba za mawasiliano, kambi kuu mbeya ni 0769 015 164
Ubarkiwe sana mtumishi wa mungu, bwana akutie nguvu siku Moja tukuone sonngea.
Ameeeen