Kwa marA ya kwanza kuona shujaa WA Imani maana nilikua nawasoma kwenye bibilia wakiwemo wakina ibrahimu
@grolykibona3828
Жыл бұрын
Hata mimi mpendwa
@julianacharles9828
Жыл бұрын
Umeona ee!!HAKIKA tushukuru kwa kila Jambo 🙏 MUNGU ambariki
@julianacharles9828
Жыл бұрын
Yaani Mimi nahisi uchungu Sana. Najaribu kufikiria kama ndiyo Mimi ningeweza!!! MOYO unakataa
@frolahamia1196
Жыл бұрын
Kwakweli hata mimi namuona shujaa kwamala yakwanza MUNGU awatie nguvu nyingi ningumu kuvaa ziatu vyao
@bryton3552
Жыл бұрын
JAMANI WATAKATIFU WAPO DUNIANI HAPA TUNAISHI NAO NAMUOMBA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MARA DUFU YA ULIVYOBARIKIWA🙏
@gib38889 ай бұрын
kwa kweli kukaa na yesu n jambo nzuri Hallelujah 🙌
@unstupid511 ай бұрын
Ni mara yangu ya kwanza kuona nyimbo hili Mungu akubariki kwa maana umefungua mawazo yangu
@Kasa.c28 күн бұрын
Poleni Sana mtumishi. May the Grace of God be sufficient upon you. May God almighty increase your ministry. I'm yet to see another talented singer like you.
@maulusmleche3716 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kamanda wa YESU, kazi yako na huduma yako iendelee kuinuliwaa juu Kristo YESU aendelee kuwa nyuzo yako katika huduma hii kubwaaa. Barikiwa sana
@Kasa.c29 күн бұрын
Ukweli no kwamba huyu jamaa ni shujaa wa nyimbo. A great singer he is.
@olipaassa4769 Жыл бұрын
Imani yangu imeimalika kupitia familia hii,Mungu awafariji
@KamandaKalanga16 күн бұрын
Hakika nabarikiwa sana ninaposikilisa nyimbo hii
@brother.jamesmarongo27777 ай бұрын
Duniani mnayo dhiki nyingi lakini jipeni moyo...ALIISHINDA DUNIA 😭😭😭😭💪
@edithkovary3654 Жыл бұрын
I watch it in UK. But the way she went or died she in heaven. No question. She is inheriting the Kingdom of God. Honestly, she is in a good place for sure. May the Lord give the parents the heart to bear. You should be bury your parents but not parents to bury a child of 12 years. May her soul rest in peace. We need faith and pastors and pastor's wife like them two in the world of today. May the Lord help us.
@danielshibone3619 Жыл бұрын
Rafiki nimejifunza kitu kutoka kwako, hongera sana kwa ukomavu wa imani na atukizwe aliye ipanda na kuikuza hiyo imani kwako ambaye ni Yesu mwenyewe
@bonymuia9820 Жыл бұрын
I wish I was at Tanzania I would have been in that church for real you are called,I like your songs
@mtumishiDanny
Жыл бұрын
Welcome
@angelinamichael7742 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa kuendelea kuwapigania watoto wako hawa. Hakina wewe ni Mungu
@yolandachuwa5554 Жыл бұрын
Hapo hakuna kulia Ni mapambio tu ,,,kwa kweli ukiwa na Yesu ndani ya moyo hakuna kinachoshindikana.unakuwa na nguvu za ajabu
@mawazomolani2677 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Jehova Naamini MUNGU atakuvusha hata katika haya Kwa upande wangu mimi nimebarikiwa sana na kazi zako nyingi ikiwemo dhambi inaua MUNGU AWE NAWE PAULO ANASEMA NAJUA KUPUNGUKIWA
@atupelekajiba3530 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi Mbarikiwa Mwakipesile pamoja na familia kwa ujumla
@nicholausrwezaura19712 ай бұрын
Mungu akupe Moyo mkuu baba
@uswegemwasanjala14658 күн бұрын
Mungu akutie nguvu
@lucynelsonmungure1719 Жыл бұрын
Wana maumivu moyoni wanajikaza tu...mungu awatie nguvu
@miriamsimwanza769
Жыл бұрын
Ni kwa sababu wanamjua wanaemtumikia.
@pimgee7237 Жыл бұрын
God bless you,love from Zambia RIP baby girl
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Mwakipesili na mkeo Salome hakika mna moyo wa kipekee hauna mfano ni nguvu ya ya Mungu tu hakuna kitu kingine kbs hapo msindikize mwanao Baba mchezee mala mwisho hutamwona tena pacha wako jamaniii
@elizabethmunuo5379
Жыл бұрын
Sio raising MUNGU MTETEZI WAKO NI HAI ANAKUONA UNAYOPITIA.
@leahmpanda9031 Жыл бұрын
Amen , Yesu awatetee
@julithamuhale72719 ай бұрын
Pole mtumishi!Mwenyezi Mungu anajua atakavyokufariji
@scholaKulaya7 сағат бұрын
Chungu kumeza tamu kutema🙌🙏
@judithpraisesmusic Жыл бұрын
i love this man of God...Yesu ni bwana milele
@damariswambua8407
Жыл бұрын
God continue blessing him
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Yaani huyu jamaa nishujaa wa Imani
@aloycebernad7793 Жыл бұрын
Hongereni kwakiwango kikubwa chakumjua MUNGU
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Mungu akupe moyo wa uvumilivu mwendo ameumaliza mtoto atakaa na Mungu huyo kwani Yesu alisema waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mbingu ni wao,RIP nenda salama dunia imechafuka vita kwenye imani imezidi Mungu tusaidie Yesu
@josephmeinradhyera7672
Жыл бұрын
Rest in peace baby Wokovu!!
@kaisimwantindili397
Жыл бұрын
Mungu bariki mioyo, inayoumia.
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Yaan nimerudia kukuangalia mala zaid ya kumi na sichoki kukuangalia na huu wimbo hakika una ujumbe mzuri sana Mungu awatie nguvu zaid
@tarsiusmapunda141
Жыл бұрын
Wimbo wa faraja
@tumainimwenisongole39811 ай бұрын
Mbarikiwa wewe unatubariki hata sisi 🙏🙏🙏
@ruthmutunga4526 Жыл бұрын
Baraka nyingi kutoka kwa mungu
@dominiqueharerimana5536 Жыл бұрын
Hakika Kuna watu hapa duniani wameweza kuongea eti Yesu umechelewa kurudi kwa maana walimpa myoyo yao yote wamengojea Yesu arudie tu .Yesu nisaidie namimi unitie nguvu nikae tayari.
@pacomezouzoua9175 Жыл бұрын
Aisee natamani mungu aniinue kama ww viwango vyako ni vikubwa mno🙁
@davidanzigale8660 Жыл бұрын
Mungu akufariji na kukutia nguvu Mtumishi
@magrethmundeba71138 ай бұрын
Hallelujah,,kristo imani kubwa na yenye nguvu
@user-ku3ie5xn8z8 ай бұрын
Ukwel nilijua mashujaa wakutetea iman wameisha kumbe wapo mbarikiwa mungu akutie nguvu ulipambanie taifa hili
@habibajohn8967 Жыл бұрын
Mungu akujaze imana sana maana ndoamekupa nakachukua
@marrymollel7878 Жыл бұрын
Kwakweli nimetiwa moyo sana kwa hawa mashujaa wa imani MUNGU awatie nguvu
@cecilia2919 Жыл бұрын
Mungu azid kukutia nguv kaka daaah mtoto amewai
@titosayile301 Жыл бұрын
Pole sana mtmishi mungu azd kukupa ujasiri xku zotee ameni
@jackobodickson555 Жыл бұрын
kauli moja ya shujaa huyu, ni wale hawajawahi kufa ila mimi nimekufa💪
@jacquelinebyaombe9729 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu Baba
@atuganilengomba7121 Жыл бұрын
Poleni Sana mungu awatie nguvu
@user-bp3mq7mz2c6 ай бұрын
Mungu akulipe Mara Mia nimebarikiwa xan
@atufwenemwakafulania56236 ай бұрын
Ahsante kea imani
@japhethdavid6118 Жыл бұрын
Daa mungu ametoa na ndiye ametwaa .mungu akutunze Sana asikofu
@SebastianNgimba-nt5wv9 ай бұрын
Yaaani mungu akinipa ujasili kama huyu mwamba dooo! Nitakufa mapema
@elinajoram4738 Жыл бұрын
Bab Mungu amechukua mmoja jiandae kupokea zaidi ya mmoja
@bernardmushi48697 ай бұрын
I have seen THE DOWNFALL OF SATAN,GLORY BE TO GOD,GLORY BE TO JESUS.MBARIKIWA IS A MAN OF VALOUR.Jer20:11
@elizabethchogo3016 Жыл бұрын
Much blessings from God, it's a funeral but you can find yourself talking in tongues❤❤❤❤
@angelique10 Жыл бұрын
Kuna watu wana pitia majaribu kwa ajili ya watu wengine tutiwe moyo jmn huyu mama na baba wokovu wananifanya nigundue nnacheza na neema niliyonayo ….. mambo yakiniendea vby malalamiko kiroba rkn ona wao yao mazito na hawalalamiki Hauz maji wala mafuta ni yy na Yesu mbele kwa mbele… nimepata kiu ya kushikilia msalaba
@alicemutinda1612
Жыл бұрын
Natama Kenya hakika ni kweli lkn jaribu zito nimejifuza kitu.
@hatiagk4447 Жыл бұрын
Pole sana sana.mtumishi wa Mungu. Mungu mwenyewe awape faraja katika jambo hili. Jipeni motor mkuu
@hatibuexauty4024 Жыл бұрын
Tenzi hii inanibariki sana!!
@lazaroraphaelmwandosya701011 ай бұрын
Glory to God 🙏
@madirishasimon9692 Жыл бұрын
Barikiwa kama jina lako baba mchungaji
@marianaduncan6330 Жыл бұрын
Kuishi ni KRISTO kufa ni faida, haleluya haleluya
@silaselias9921 Жыл бұрын
Daaa ngoja nirud nitubu aiseee yesu anawatu wake bwana msiba lakn no Kama sherehe bcz anajua binti take ataenda Ku on a nanae mbinguni
@mtumishiDanny
Жыл бұрын
Karibu kanisani
@merrypaul5661 Жыл бұрын
Mungu kakupenda zaid wokovu jina la bwana lihimidiwe
@keshukakurubay61786 ай бұрын
Oh glory to God
@nictarpiason5490 Жыл бұрын
Hawa watu ni wenye matumaini mbele za mungu ndicho nlicho jfunza kwao .. wameya hesabu maisha yao kuwa si kitu
@haruniaisha59058 ай бұрын
Uyu baba alikuja kupata uchungu badae
@lovenywendygospelsong240 Жыл бұрын
Dahhhh so sad 😭 Iman kubwa
@judithpatric4287 Жыл бұрын
Naiona roho ya ayubu ndani kwako mungu akupe ujasiri
@user-ic8dz9mw7e Жыл бұрын
MUNGU anayo sababu yakukupitisha hapo barikiwa shujaa
@tumainmmary9853 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana naomba flashing yako nitalpataje
@salummakenzi4846 Жыл бұрын
Barikiwa sana baba angu
@prospermkoma8699 Жыл бұрын
Nimejifunza jambo kutoka kwako mtumishi yatupasa kushukuru kwa kila jambo
@jenipherrobert6420 Жыл бұрын
Daaaah Mungu azidi kuwatia moyo, mnamisuli ya imani
@AlAl-sd9pl
Жыл бұрын
😌😌😌😌😌jaman comment nyingne msitufanye tucheke
@rebecashumbi3450
Жыл бұрын
Yesu Kristol ni Bwana kwa kweli roho ya ayubu iko ndani yenu mmeshinda dunia imejifunza kitu tunamngoja Bwana
@matswelopelemphela261 Жыл бұрын
Barikiwa baba
@lydiakangongole6783 Жыл бұрын
Mungu akutetee
@peacemwesiga8 ай бұрын
❤❤
@user-yb9ff7bt8j6 ай бұрын
amakweli huyu nishujaa waimani
@hellenmarandu1787 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu pastor.
@judithpatric4287
Жыл бұрын
Naiona roho ya ayubu ndani kwako mungu akupe ujasiri
@haruniaisha59058 ай бұрын
Hata jela ameenda kwaajiri ya uchungu wa mwanae Maaana alisema kama alishindwa kuulinda uhai mwanae yeye nani😭😭😭😭
@lilian2603 Жыл бұрын
mungu akutie nguvu shuja waimani
@erastomaliganya643 Жыл бұрын
Hongerat
@mamyneytariq8458 Жыл бұрын
Mungu awatie nguvu
@gastorsimfukwe7067 Жыл бұрын
Kamanda wa YESU, MUNGU akupe nguvu
@tusajigwekanemela2864 Жыл бұрын
😢😢😢
@stephensandiko6049 Жыл бұрын
Mungu atabaki kuitwa mungu
@epifaniamilinga2848 Жыл бұрын
Hapa,Mungu pekee anatosha
@ashurahaji4794 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwapa nguvu
@betyfavoured6808 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi 😭😭
@tumwagilemwakyusa3300 Жыл бұрын
Shujaa wa Imani 💪
@emmymtambo5974 Жыл бұрын
Huu msiba ni injili, Yesu ana watu
@gildasetasi3275 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu mungu nisamehe nmekua mtu wakulalamik san
@virginieimata4489 Жыл бұрын
Mashujaa Wa Imani
@alpherkiloti1859 Жыл бұрын
Amen
@mugoemily8046 Жыл бұрын
AMEN!!
@IbrahimKingdom-rm2zq
Жыл бұрын
Amen akika wewe ni mbalikiwa
@paskalinapa61778 ай бұрын
Amen😢😢🙏🙏
@lydiasambayeti4764 Жыл бұрын
Mungu ni mwema Sana unanifundisha kushukuru Kila wakt jamn hakika una Mungu
@daudimorice4940
Жыл бұрын
Amin amin
@barikimgimba4839 Жыл бұрын
Imanii ya bahari
@fridahkinyua8851 Жыл бұрын
wow
@sophiamakani6133 Жыл бұрын
Amen and Amen
@yusuphramadhan4882
Жыл бұрын
Baba yote hayo nayaona jamani mwe pole babangu ila mbaka hapo umefika viwango kama vyakina ayubu na aburamu nakina pauro hakika mugu amekamini kua hii kazi unaiweza ulitaka apewe nani kama sio wewe baba ivo pamoja na dhambi zangu nilizo nazo lakni nasema jipe moyo my dady utayashinda yote ..,,+
@fridaikupa8681 Жыл бұрын
Shujaa wa imani huyu pastor na mkewe
@mchungajimkenya3904 Жыл бұрын
Haki pole
@jacquelinemassengo5466 Жыл бұрын
Fura kufwa kati ya Christo Yesu
@juliethshangali7562 Жыл бұрын
Hakika hawa wazazi wa huyu ni yule Ayubu wa imani
@bibianakiwali1969 Жыл бұрын
UMESHINDA
@philemonmkumbo2095 Жыл бұрын
Chadema kama chama makini hili vip unanyamaxia au na nyie nichama kiungacho mkono ushoga msaidieni huyu mtumishi hata kwa mawakili kwani tunakiamini chama chenu katika haki sio Hawa mbuzi wa kijani majambaxi wanenepesha matumbo Yao
Пікірлер: 149
Kwa marA ya kwanza kuona shujaa WA Imani maana nilikua nawasoma kwenye bibilia wakiwemo wakina ibrahimu
@grolykibona3828
Жыл бұрын
Hata mimi mpendwa
@julianacharles9828
Жыл бұрын
Umeona ee!!HAKIKA tushukuru kwa kila Jambo 🙏 MUNGU ambariki
@julianacharles9828
Жыл бұрын
Yaani Mimi nahisi uchungu Sana. Najaribu kufikiria kama ndiyo Mimi ningeweza!!! MOYO unakataa
@frolahamia1196
Жыл бұрын
Kwakweli hata mimi namuona shujaa kwamala yakwanza MUNGU awatie nguvu nyingi ningumu kuvaa ziatu vyao
@bryton3552
Жыл бұрын
JAMANI WATAKATIFU WAPO DUNIANI HAPA TUNAISHI NAO NAMUOMBA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MARA DUFU YA ULIVYOBARIKIWA🙏
kwa kweli kukaa na yesu n jambo nzuri Hallelujah 🙌
Ni mara yangu ya kwanza kuona nyimbo hili Mungu akubariki kwa maana umefungua mawazo yangu
Poleni Sana mtumishi. May the Grace of God be sufficient upon you. May God almighty increase your ministry. I'm yet to see another talented singer like you.
Mungu akutie nguvu kamanda wa YESU, kazi yako na huduma yako iendelee kuinuliwaa juu Kristo YESU aendelee kuwa nyuzo yako katika huduma hii kubwaaa. Barikiwa sana
Ukweli no kwamba huyu jamaa ni shujaa wa nyimbo. A great singer he is.
Imani yangu imeimalika kupitia familia hii,Mungu awafariji
Hakika nabarikiwa sana ninaposikilisa nyimbo hii
Duniani mnayo dhiki nyingi lakini jipeni moyo...ALIISHINDA DUNIA 😭😭😭😭💪
I watch it in UK. But the way she went or died she in heaven. No question. She is inheriting the Kingdom of God. Honestly, she is in a good place for sure. May the Lord give the parents the heart to bear. You should be bury your parents but not parents to bury a child of 12 years. May her soul rest in peace. We need faith and pastors and pastor's wife like them two in the world of today. May the Lord help us.
Rafiki nimejifunza kitu kutoka kwako, hongera sana kwa ukomavu wa imani na atukizwe aliye ipanda na kuikuza hiyo imani kwako ambaye ni Yesu mwenyewe
I wish I was at Tanzania I would have been in that church for real you are called,I like your songs
@mtumishiDanny
Жыл бұрын
Welcome
Asante Mungu kwa kuendelea kuwapigania watoto wako hawa. Hakina wewe ni Mungu
Hapo hakuna kulia Ni mapambio tu ,,,kwa kweli ukiwa na Yesu ndani ya moyo hakuna kinachoshindikana.unakuwa na nguvu za ajabu
Pole sana mtumishi wa Jehova Naamini MUNGU atakuvusha hata katika haya Kwa upande wangu mimi nimebarikiwa sana na kazi zako nyingi ikiwemo dhambi inaua MUNGU AWE NAWE PAULO ANASEMA NAJUA KUPUNGUKIWA
Pole sana mtumishi Mbarikiwa Mwakipesile pamoja na familia kwa ujumla
Mungu akupe Moyo mkuu baba
Mungu akutie nguvu
Wana maumivu moyoni wanajikaza tu...mungu awatie nguvu
@miriamsimwanza769
Жыл бұрын
Ni kwa sababu wanamjua wanaemtumikia.
God bless you,love from Zambia RIP baby girl
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Mwakipesili na mkeo Salome hakika mna moyo wa kipekee hauna mfano ni nguvu ya ya Mungu tu hakuna kitu kingine kbs hapo msindikize mwanao Baba mchezee mala mwisho hutamwona tena pacha wako jamaniii
@elizabethmunuo5379
Жыл бұрын
Sio raising MUNGU MTETEZI WAKO NI HAI ANAKUONA UNAYOPITIA.
Amen , Yesu awatetee
Pole mtumishi!Mwenyezi Mungu anajua atakavyokufariji
Chungu kumeza tamu kutema🙌🙏
i love this man of God...Yesu ni bwana milele
@damariswambua8407
Жыл бұрын
God continue blessing him
@jacklinejosam3713
Жыл бұрын
Yaani huyu jamaa nishujaa wa Imani
Hongereni kwakiwango kikubwa chakumjua MUNGU
Mungu akupe moyo wa uvumilivu mwendo ameumaliza mtoto atakaa na Mungu huyo kwani Yesu alisema waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mbingu ni wao,RIP nenda salama dunia imechafuka vita kwenye imani imezidi Mungu tusaidie Yesu
@josephmeinradhyera7672
Жыл бұрын
Rest in peace baby Wokovu!!
@kaisimwantindili397
Жыл бұрын
Mungu bariki mioyo, inayoumia.
Yaan nimerudia kukuangalia mala zaid ya kumi na sichoki kukuangalia na huu wimbo hakika una ujumbe mzuri sana Mungu awatie nguvu zaid
@tarsiusmapunda141
Жыл бұрын
Wimbo wa faraja
Mbarikiwa wewe unatubariki hata sisi 🙏🙏🙏
Baraka nyingi kutoka kwa mungu
Hakika Kuna watu hapa duniani wameweza kuongea eti Yesu umechelewa kurudi kwa maana walimpa myoyo yao yote wamengojea Yesu arudie tu .Yesu nisaidie namimi unitie nguvu nikae tayari.
Aisee natamani mungu aniinue kama ww viwango vyako ni vikubwa mno🙁
Mungu akufariji na kukutia nguvu Mtumishi
Hallelujah,,kristo imani kubwa na yenye nguvu
Ukwel nilijua mashujaa wakutetea iman wameisha kumbe wapo mbarikiwa mungu akutie nguvu ulipambanie taifa hili
Mungu akujaze imana sana maana ndoamekupa nakachukua
Kwakweli nimetiwa moyo sana kwa hawa mashujaa wa imani MUNGU awatie nguvu
Mungu azid kukutia nguv kaka daaah mtoto amewai
Pole sana mtmishi mungu azd kukupa ujasiri xku zotee ameni
kauli moja ya shujaa huyu, ni wale hawajawahi kufa ila mimi nimekufa💪
Mungu akupe nguvu Baba
Poleni Sana mungu awatie nguvu
Mungu akulipe Mara Mia nimebarikiwa xan
Ahsante kea imani
Daa mungu ametoa na ndiye ametwaa .mungu akutunze Sana asikofu
Yaaani mungu akinipa ujasili kama huyu mwamba dooo! Nitakufa mapema
Bab Mungu amechukua mmoja jiandae kupokea zaidi ya mmoja
I have seen THE DOWNFALL OF SATAN,GLORY BE TO GOD,GLORY BE TO JESUS.MBARIKIWA IS A MAN OF VALOUR.Jer20:11
Much blessings from God, it's a funeral but you can find yourself talking in tongues❤❤❤❤
Kuna watu wana pitia majaribu kwa ajili ya watu wengine tutiwe moyo jmn huyu mama na baba wokovu wananifanya nigundue nnacheza na neema niliyonayo ….. mambo yakiniendea vby malalamiko kiroba rkn ona wao yao mazito na hawalalamiki Hauz maji wala mafuta ni yy na Yesu mbele kwa mbele… nimepata kiu ya kushikilia msalaba
@alicemutinda1612
Жыл бұрын
Natama Kenya hakika ni kweli lkn jaribu zito nimejifuza kitu.
Pole sana sana.mtumishi wa Mungu. Mungu mwenyewe awape faraja katika jambo hili. Jipeni motor mkuu
Tenzi hii inanibariki sana!!
Glory to God 🙏
Barikiwa kama jina lako baba mchungaji
Kuishi ni KRISTO kufa ni faida, haleluya haleluya
Daaa ngoja nirud nitubu aiseee yesu anawatu wake bwana msiba lakn no Kama sherehe bcz anajua binti take ataenda Ku on a nanae mbinguni
@mtumishiDanny
Жыл бұрын
Karibu kanisani
Mungu kakupenda zaid wokovu jina la bwana lihimidiwe
Oh glory to God
Hawa watu ni wenye matumaini mbele za mungu ndicho nlicho jfunza kwao .. wameya hesabu maisha yao kuwa si kitu
Uyu baba alikuja kupata uchungu badae
Dahhhh so sad 😭 Iman kubwa
Naiona roho ya ayubu ndani kwako mungu akupe ujasiri
MUNGU anayo sababu yakukupitisha hapo barikiwa shujaa
Mungu akubariki Sana naomba flashing yako nitalpataje
Barikiwa sana baba angu
Nimejifunza jambo kutoka kwako mtumishi yatupasa kushukuru kwa kila jambo
Daaaah Mungu azidi kuwatia moyo, mnamisuli ya imani
@AlAl-sd9pl
Жыл бұрын
😌😌😌😌😌jaman comment nyingne msitufanye tucheke
@rebecashumbi3450
Жыл бұрын
Yesu Kristol ni Bwana kwa kweli roho ya ayubu iko ndani yenu mmeshinda dunia imejifunza kitu tunamngoja Bwana
Barikiwa baba
Mungu akutetee
❤❤
amakweli huyu nishujaa waimani
Mungu akutie nguvu pastor.
@judithpatric4287
Жыл бұрын
Naiona roho ya ayubu ndani kwako mungu akupe ujasiri
Hata jela ameenda kwaajiri ya uchungu wa mwanae Maaana alisema kama alishindwa kuulinda uhai mwanae yeye nani😭😭😭😭
mungu akutie nguvu shuja waimani
Hongerat
Mungu awatie nguvu
Kamanda wa YESU, MUNGU akupe nguvu
😢😢😢
Mungu atabaki kuitwa mungu
Hapa,Mungu pekee anatosha
Mungu azidi kuwapa nguvu
Pole sana mtumishi 😭😭
Shujaa wa Imani 💪
Huu msiba ni injili, Yesu ana watu
Nimejifunza kitu mungu nisamehe nmekua mtu wakulalamik san
Mashujaa Wa Imani
Amen
AMEN!!
@IbrahimKingdom-rm2zq
Жыл бұрын
Amen akika wewe ni mbalikiwa
Amen😢😢🙏🙏
Mungu ni mwema Sana unanifundisha kushukuru Kila wakt jamn hakika una Mungu
@daudimorice4940
Жыл бұрын
Amin amin
Imanii ya bahari
wow
Amen and Amen
@yusuphramadhan4882
Жыл бұрын
Baba yote hayo nayaona jamani mwe pole babangu ila mbaka hapo umefika viwango kama vyakina ayubu na aburamu nakina pauro hakika mugu amekamini kua hii kazi unaiweza ulitaka apewe nani kama sio wewe baba ivo pamoja na dhambi zangu nilizo nazo lakni nasema jipe moyo my dady utayashinda yote ..,,+
Shujaa wa imani huyu pastor na mkewe
Haki pole
Fura kufwa kati ya Christo Yesu
Hakika hawa wazazi wa huyu ni yule Ayubu wa imani
UMESHINDA
Chadema kama chama makini hili vip unanyamaxia au na nyie nichama kiungacho mkono ushoga msaidieni huyu mtumishi hata kwa mawakili kwani tunakiamini chama chenu katika haki sio Hawa mbuzi wa kijani majambaxi wanenepesha matumbo Yao
Mchungaji utamwona mbinguni mtoto wako