KAMANDA MBARIKIWA MWAKIPESILE AUWANGA MWILI WA MTOTO WAKE KISHUJAA SANA
Жүктеу.....
Пікірлер: 186
@gracerugayi530 Жыл бұрын
Jamaa jasiri Sana inahitajika nguvu ya mungu Sana kustahimili msiba mzito kama huu hakika unafaa kuingwa umeufariji umati mkubwa Sana kwa nyimbo nzuri za kumsifu mungu.
@oscarmkumbo7451 Жыл бұрын
Hakika ujasiri ulionao ni imani kubwa uliyonayo kwa Mungu wako " Mungu akupe nguvu Mch.
@AllyHassanJoho2 ай бұрын
Wew ni shujaa mbarikiwa mimi kwa haraharaka nisingeweza
@GeorgeEbake8 ай бұрын
Sijawai kuona. Mungu ni mwema
@graceemmanuel30729 ай бұрын
Hallelujah hakika Mungu hujivunia watu kama hawa
@prophetdanielmwebrania Жыл бұрын
Mungu yupo mtetezi wa MWISHO KILA MTU atalipwa kwa MATENDO YAKE tutakutana siku moja kwa BABA Amen
@victoriakhatibu2288 Жыл бұрын
Mungu akupe mapacha watatu kwa jina la Yesu,Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu
@cornelgwarda3849 Жыл бұрын
Mbarikiwa unauheri kwa kazi unayofanya natamani ningewez
@user-jl6en6rr8m6 ай бұрын
Mtumishi Wa Mungu Wacha Mungu akukumbuke
@lucymwaijengo3790 Жыл бұрын
Kuna watu Mungu hujivunia kumsimangia Shetani 😭😭😭😭😭 Mungu pekee awafariji😭😭😭😭
@beatricegeorge1515
Жыл бұрын
Pole sana
@marygregory7566 Жыл бұрын
Huyu ndo AYUBU wa Leo💪💪💪💪
@rosemuna5569
Жыл бұрын
Kabisa
@marymtoni5723 Жыл бұрын
Hakika Mungu amewatia nguvu bila neema ya Mungu huwezi kweli Yesu ni namba 1
@user-qq1dn4ci8n
Жыл бұрын
ALIYEKUDANGANYA NANI?
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
@@user-qq1dn4ci8nsasa ww twambie ukweli
@nurumbongo7556 Жыл бұрын
Ubarikiwe baba Linda imani ni kipimo chaji
@esthermliga4875 Жыл бұрын
Hakika sifa na utukufu kwa Mungu!! Amewapa moyo wa ushujaaa, kusistahimil maumivu makali kama haya!! Ni lazima uwe umejitoa kwel kwel kwa Mungu wako!! Mungu azid kuwatia nguvu ktk kaz yake watumishi wa Mungu!! Hakika mmeokoka kwel kwel , weng tunashindwa matukio kam haya huwa tunaona kama Mungu amekuacha!! Tunasahau inatubid kushukuru kwa kila jambo, hakika nimebarikiwa na iman yenu kwa Mungu!! Mmenitia nguvu, Mungu wa mbinguni azid kuwainua kweny viwango vingine !! Amen amen!! Tutaonana mbingun mdog wangu Wokovu!! Safar yako umeimaliza!!
@AlfayoEliahu
9 ай бұрын
wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni autatikisika waakaa milele jinsi bwana anavyouzunguka yerusalem ndivyo anavyowazunguka watu wake.zaburi 125:1-5
@josephmasudi6001 Жыл бұрын
Ndugu zangu poleni sana, nimebarikiwa sana na ibada hii, nawaombeni namba za mtumishi huyu tafadhali kama ina wezekana, dada pumzika kwa amani tupo nyuma yako.
@victoriarichard8761 Жыл бұрын
kwa imani hii Mungu atawapa mwingine. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwafariji mtumishi
@gib38889 ай бұрын
Mungu wetu uko wapi simama na mtumishi wako 🧎♂️🧎♂️🤲🤲🤲😭😭😭😭
@LucresherGerald8 ай бұрын
MUNGU WA MBINGUNI asimame nanyi katika kipindi hiki nawaombea pia Kwa MUNGU awapiganie Sanaa🙏
@immanuelpascal8131 Жыл бұрын
Najifunza mengi San kwako baba ktk tukio hili maan mungu kakupa ujasir usio wakawaida
@user-fs7ff7qo1z9 ай бұрын
Pole kaka yangu umeniliza
@dottounique7184 Жыл бұрын
Ameeen Mtumishi Ubarikiwe,siliitena Asantee nimejivuza kitu kikubwa kwako 🙏🤍💝❤️💛
@user-ng6yt2od7l Жыл бұрын
😭😭😭😭 Mungu Ni mwema Kila wakati hachelewi wala hawai ndiyo alivyo Mungu wetu
@monamweni1579 Жыл бұрын
Baba mtumishi na mama mtumishii mungu awatie nguvu na awafariji kwa kipindi kingumu mnachokipitia
@joelmoses3789 Жыл бұрын
Hii inahiyajika nguvu kubwa sana kutoka kwa Mungu Mungu Mungu wetu wa mbingini JEHOVAH. Sio kitu rahisi sana kibinadamu. Barikiwa sana mtumishi. Na ndugu yetu apate pumzika salama penye heri kuu.
@florabenjamin8306 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi mungu akutie nguvu Kwa utukufu wake
@petlomalamla2314 Жыл бұрын
Pole Sana kaka mungu akufumnge mkanda tu dunian tuwapitaji
@sekelajackob2905 Жыл бұрын
Poleni sana familia ya Mtumishi wa Mungu,hakika kuna Watu Mungu anajivunia
@jacksonmbena5410 Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni anataka akupeleke level... Azime achakate Imani yako mtumishi
@kishepuonlinetv Жыл бұрын
Mungu nimwema kwahili nakwa yote tuyapitiayo asante yesu😭😭😭
@felisternjeru9196 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi...twakupenda sana. Ako salama amemuona Yesu
@elizabethswai77778 ай бұрын
Mama ni mama tuu,,,,,anaumia mno,,,,Mungu ni faraja tosha❤
@lemajackson372 Жыл бұрын
Mtumishi umeongea mambo mengi kuhusu shule,najiuliza kama kweli kuna umuhimu wa Mtumishi wa Mungu kwenda shule,na huko shule anaenda kusoma nini,nikajiuliza kama Paulo alikuwa na elimu na Je wakina Petro walikuwa na elimu gani?inawezekana wanafunzi wa Yesu walipelekwa shule miaka mitatu na Yesu mwenyewe,lakini Mtumishi piga ua tunahitaji kwenda shule kw dhumuni kubwa la kijfunza jinsi ya kumsaidia binadamu ambaye ana matatizo lukuki,,,nakuunga mkono sana na kazi yako unayofanya lakini vilevile ukienda shule utafanya kazi AMungu kitaalamu zaidi,ni hoja yangu ninayowaza moyoni
@re.emmanuelmdoe3345 Жыл бұрын
Utukufu Kwa Mungu JUU Amina 🔥🔥🙌
@jeremiahwilliam1452 Жыл бұрын
Hakika we Ni kamanda wa yesu kwa uhodari ushujaa pia na Imani pamoja natumaini kuu
@June-dq6pr8 ай бұрын
No matter wat they do it cannot bring our faith down he will still be God the powerful God
@josephenerika5891 Жыл бұрын
Eeehhh Roho wa Mungu wafariji na ujidhihirishe kwao siku zote za maisha yao.
@hendricksjohn62014 ай бұрын
Mungu ni mwema Imani ni nguzo ya Maisha hakika mbarikiwa umetufunza kuwa na Iman ya kiroho
@mariamthomas3902 Жыл бұрын
Amen baba nimejifunza
@fridafrancis1960 Жыл бұрын
Niseme tu si Kwa nguvu zenu ila ni MUNGU WETU WA MAJESHI amewatia nguvu mbarikiwe sana.
@MnyamaTolu-kd5ct28 күн бұрын
Mungu yupo ndan yako
@peterkisanga8089 Жыл бұрын
Pole sn mtumishi. Mungu akusimamie na akupatie Nguvu
@dorakiyao4509 Жыл бұрын
Pole sana baba
@danielkalungwana5404 Жыл бұрын
Niwachachesana wenye ujasili wakuagamsiba mzitokama huutena wamtoto kuagakwanamnahii nimtupekeemwenyeimani ndoanaweza Mungu akutie nguvu
@harrietajiambo2298 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Mungu awafunge mkanda na awafute machozi ila uko na Imani thabithi naye Mungu anasema tushukuru kwa kila jambo
@bahatimgaya4045Ай бұрын
Aisee huyu Mungu tumwache aitwe Mungu; kamanda wa Yesu sipati picha kama ningekuwa mimi sijui kama ningeweza kweli.
@furahamwatwinza95608 ай бұрын
Inahitaji nguvu sana ya Mungu mahali kama hapa,,,watumishi poleni,kaeni kimyaa
@estershenene8787 Жыл бұрын
Nimejifuza vitu ving sana kupitia wewe mutumish mung wa mbinguni aendelee kukulinda uwe na maisha maref ili cku moja hata mimi uniokoe ipasavyo
@happinessamaro1565 Жыл бұрын
Pole sana Mungu awatie nguvu hakika ndani yenu yupo roho Mt
@mako331 Жыл бұрын
This is a way of mourning too, Pole mtumishi
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Aiseeeeeeee ni Mungu ajitwalie utukufu wake kwa mtumishi wake
@thefarmertv2871 Жыл бұрын
Pole sana mungu awatie nguvu
@Kefa-yw3jy5 ай бұрын
Kilajambo linalipwa apapa duniani kwaimani natokee geleezani amen
@GodfreyMakala5 күн бұрын
Mungu awatie nguvu
@flowinmyamba950 Жыл бұрын
Kwa kweli unaheri mno mtumishi wa Mungu unajua kuchukua maumivu na magumu du. Mungu akupe wepesi.
@user-zs7hm1xh6f2 ай бұрын
Pole mungu awafunge kamba ya kipekee
@sarahmollel8458 Жыл бұрын
Daaah pole Sanaa mtumishi wa mungu
@mariacharles4698 Жыл бұрын
Kwa kibinadamu ni ngumu wapendwa mungu anajua kusudi Hilo pole mtumishi wa Mungu
@indalesiohenery61248 ай бұрын
Sijawahi kuona mtumishi wa MUNGU mwenye ujasili kama huyu hakika ,
@gapserminja5215 Жыл бұрын
Poleni sana mchungaji mungu awabariki Sana🙏
@2012SporahVenance Жыл бұрын
Ujasiri wa ki Mungu ulionao usipungue daima.
@masavumwende9 ай бұрын
Mungu akupe watoto wengine kama Job
@simonjohn2784 Жыл бұрын
Una moyo wa chuma mtumishi
@HappyHappy-bz2bv Жыл бұрын
Mungu akubalik sana na pole sana
@edwinelias85548 ай бұрын
Hawa ndio watu Mungu anajivua kumsimangia shetani kwani kujaribiwa kwao kuna mpa mungu utukufu
@luhekelondelwa9714 Жыл бұрын
Pole sana mchungaji Mungu afanyike mfariji wako 😭😭
@samiramawby125710 ай бұрын
POLE SANA,,,BWANA YESU alipokea mali yake hakika🙏
@puritydaudi9752 Жыл бұрын
😭😭😭😭duh sina la kusema ila Mungu awafariji😭😭😭😭😭😭 can't believe this😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dianajohn8520 Жыл бұрын
hakika Kila nafsi itarudi kwa aliyeiumba , bwana ametoa na bwana ametwaa, amina
@julyanashedrack27256 ай бұрын
Chozi la mwenye haki litalipwa na Mungu
@husa8849Ай бұрын
Mungu nimwema kwawujasili uliwonao
@costasignol65058 ай бұрын
Shujaa wa Imani,mungu akubariki.ayubu wa leo
@rehemakanyere4188
8 ай бұрын
Uchungu wake anaumalizia kwa kuimba
@Jacksonmotoka2 ай бұрын
Amen
@neemawidisony5903 Жыл бұрын
Polen Sana usione inje anachangamka ila ndani ya moyo anaumia
@laurancesabuni2531
Жыл бұрын
Kabisa
@costantinemihayo
Жыл бұрын
Ww unaweza kuigiza maumivu?!
@VickyDanieltango
8 ай бұрын
Umesema kweli my
@MarithaDaati-xz3yf
8 ай бұрын
Polen sana kwa msiba mzito Mungu awape mioyo y uvumilivu
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
Exactly 💯
@Praiseandgift4181 Жыл бұрын
Furaha gani mungu kumpa mtumishi wake nguvu ya kummuomboleza mwanae,pumzika kwa amani
@isdoryhenry-bh5kk Жыл бұрын
poleni sana inaumiza sana
@pauloropian2367 Жыл бұрын
Mungu akufariji mtumishi.
@MarySimoni-tz3fm8 ай бұрын
Poleni mungu awatangulie
@SikujuaEmmanuel-fj4mg7 ай бұрын
Duuuu!!!kweli kukaa na yesu ni kizuri hufariji faraja ya kweli,😭
@elinathanikunguni-gi2tn Жыл бұрын
Pole sana mchungaji
@wilsonkaseha2034 Жыл бұрын
Wow! Amani iwe kwako daima!
@amosjohn-of5sb Жыл бұрын
Pole mtumishi
@norasaid600 Жыл бұрын
Hakika leo nimeona kitu cha kujifunza mungu watie nguvu
@RoseMapunda-pd6vg8 ай бұрын
Siwezi mimi nime fiwa hvi juz na mtoto wangu hata kumzika sijaweza hari yangu ilikuwa mbaya mno hongera wewe
@meshasjaguar61369 ай бұрын
Mungu wangu mungu wangu
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Pole Sana wanafamilia
@masaluleonardrobert578 ай бұрын
Hakika MUNGU akikaa ndani yako hushindwi na jambo lolote, Yesu azidi kukupigania baba Mwakipesile
Пікірлер: 186
Jamaa jasiri Sana inahitajika nguvu ya mungu Sana kustahimili msiba mzito kama huu hakika unafaa kuingwa umeufariji umati mkubwa Sana kwa nyimbo nzuri za kumsifu mungu.
Hakika ujasiri ulionao ni imani kubwa uliyonayo kwa Mungu wako " Mungu akupe nguvu Mch.
Wew ni shujaa mbarikiwa mimi kwa haraharaka nisingeweza
Sijawai kuona. Mungu ni mwema
Hallelujah hakika Mungu hujivunia watu kama hawa
Mungu yupo mtetezi wa MWISHO KILA MTU atalipwa kwa MATENDO YAKE tutakutana siku moja kwa BABA Amen
Mungu akupe mapacha watatu kwa jina la Yesu,Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu
Mbarikiwa unauheri kwa kazi unayofanya natamani ningewez
Mtumishi Wa Mungu Wacha Mungu akukumbuke
Kuna watu Mungu hujivunia kumsimangia Shetani 😭😭😭😭😭 Mungu pekee awafariji😭😭😭😭
@beatricegeorge1515
Жыл бұрын
Pole sana
Huyu ndo AYUBU wa Leo💪💪💪💪
@rosemuna5569
Жыл бұрын
Kabisa
Hakika Mungu amewatia nguvu bila neema ya Mungu huwezi kweli Yesu ni namba 1
@user-qq1dn4ci8n
Жыл бұрын
ALIYEKUDANGANYA NANI?
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
@@user-qq1dn4ci8nsasa ww twambie ukweli
Ubarikiwe baba Linda imani ni kipimo chaji
Hakika sifa na utukufu kwa Mungu!! Amewapa moyo wa ushujaaa, kusistahimil maumivu makali kama haya!! Ni lazima uwe umejitoa kwel kwel kwa Mungu wako!! Mungu azid kuwatia nguvu ktk kaz yake watumishi wa Mungu!! Hakika mmeokoka kwel kwel , weng tunashindwa matukio kam haya huwa tunaona kama Mungu amekuacha!! Tunasahau inatubid kushukuru kwa kila jambo, hakika nimebarikiwa na iman yenu kwa Mungu!! Mmenitia nguvu, Mungu wa mbinguni azid kuwainua kweny viwango vingine !! Amen amen!! Tutaonana mbingun mdog wangu Wokovu!! Safar yako umeimaliza!!
@AlfayoEliahu
9 ай бұрын
wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni autatikisika waakaa milele jinsi bwana anavyouzunguka yerusalem ndivyo anavyowazunguka watu wake.zaburi 125:1-5
Ndugu zangu poleni sana, nimebarikiwa sana na ibada hii, nawaombeni namba za mtumishi huyu tafadhali kama ina wezekana, dada pumzika kwa amani tupo nyuma yako.
kwa imani hii Mungu atawapa mwingine. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwafariji mtumishi
Mungu wetu uko wapi simama na mtumishi wako 🧎♂️🧎♂️🤲🤲🤲😭😭😭😭
MUNGU WA MBINGUNI asimame nanyi katika kipindi hiki nawaombea pia Kwa MUNGU awapiganie Sanaa🙏
Najifunza mengi San kwako baba ktk tukio hili maan mungu kakupa ujasir usio wakawaida
Pole kaka yangu umeniliza
Ameeen Mtumishi Ubarikiwe,siliitena Asantee nimejivuza kitu kikubwa kwako 🙏🤍💝❤️💛
😭😭😭😭 Mungu Ni mwema Kila wakati hachelewi wala hawai ndiyo alivyo Mungu wetu
Baba mtumishi na mama mtumishii mungu awatie nguvu na awafariji kwa kipindi kingumu mnachokipitia
Hii inahiyajika nguvu kubwa sana kutoka kwa Mungu Mungu Mungu wetu wa mbingini JEHOVAH. Sio kitu rahisi sana kibinadamu. Barikiwa sana mtumishi. Na ndugu yetu apate pumzika salama penye heri kuu.
Pole sana mtumishi mungu akutie nguvu Kwa utukufu wake
Pole Sana kaka mungu akufumnge mkanda tu dunian tuwapitaji
Poleni sana familia ya Mtumishi wa Mungu,hakika kuna Watu Mungu anajivunia
Mungu wa mbinguni anataka akupeleke level... Azime achakate Imani yako mtumishi
Mungu nimwema kwahili nakwa yote tuyapitiayo asante yesu😭😭😭
Pole sana mtumishi...twakupenda sana. Ako salama amemuona Yesu
Mama ni mama tuu,,,,,anaumia mno,,,,Mungu ni faraja tosha❤
Mtumishi umeongea mambo mengi kuhusu shule,najiuliza kama kweli kuna umuhimu wa Mtumishi wa Mungu kwenda shule,na huko shule anaenda kusoma nini,nikajiuliza kama Paulo alikuwa na elimu na Je wakina Petro walikuwa na elimu gani?inawezekana wanafunzi wa Yesu walipelekwa shule miaka mitatu na Yesu mwenyewe,lakini Mtumishi piga ua tunahitaji kwenda shule kw dhumuni kubwa la kijfunza jinsi ya kumsaidia binadamu ambaye ana matatizo lukuki,,,nakuunga mkono sana na kazi yako unayofanya lakini vilevile ukienda shule utafanya kazi AMungu kitaalamu zaidi,ni hoja yangu ninayowaza moyoni
Utukufu Kwa Mungu JUU Amina 🔥🔥🙌
Hakika we Ni kamanda wa yesu kwa uhodari ushujaa pia na Imani pamoja natumaini kuu
No matter wat they do it cannot bring our faith down he will still be God the powerful God
Eeehhh Roho wa Mungu wafariji na ujidhihirishe kwao siku zote za maisha yao.
Mungu ni mwema Imani ni nguzo ya Maisha hakika mbarikiwa umetufunza kuwa na Iman ya kiroho
Amen baba nimejifunza
Niseme tu si Kwa nguvu zenu ila ni MUNGU WETU WA MAJESHI amewatia nguvu mbarikiwe sana.
Mungu yupo ndan yako
Pole sn mtumishi. Mungu akusimamie na akupatie Nguvu
Pole sana baba
Niwachachesana wenye ujasili wakuagamsiba mzitokama huutena wamtoto kuagakwanamnahii nimtupekeemwenyeimani ndoanaweza Mungu akutie nguvu
Mtumishi wa Mungu Mungu awafunge mkanda na awafute machozi ila uko na Imani thabithi naye Mungu anasema tushukuru kwa kila jambo
Aisee huyu Mungu tumwache aitwe Mungu; kamanda wa Yesu sipati picha kama ningekuwa mimi sijui kama ningeweza kweli.
Inahitaji nguvu sana ya Mungu mahali kama hapa,,,watumishi poleni,kaeni kimyaa
Nimejifuza vitu ving sana kupitia wewe mutumish mung wa mbinguni aendelee kukulinda uwe na maisha maref ili cku moja hata mimi uniokoe ipasavyo
Pole sana Mungu awatie nguvu hakika ndani yenu yupo roho Mt
This is a way of mourning too, Pole mtumishi
Aiseeeeeeee ni Mungu ajitwalie utukufu wake kwa mtumishi wake
Pole sana mungu awatie nguvu
Kilajambo linalipwa apapa duniani kwaimani natokee geleezani amen
Mungu awatie nguvu
Kwa kweli unaheri mno mtumishi wa Mungu unajua kuchukua maumivu na magumu du. Mungu akupe wepesi.
Pole mungu awafunge kamba ya kipekee
Daaah pole Sanaa mtumishi wa mungu
Kwa kibinadamu ni ngumu wapendwa mungu anajua kusudi Hilo pole mtumishi wa Mungu
Sijawahi kuona mtumishi wa MUNGU mwenye ujasili kama huyu hakika ,
Poleni sana mchungaji mungu awabariki Sana🙏
Ujasiri wa ki Mungu ulionao usipungue daima.
Mungu akupe watoto wengine kama Job
Una moyo wa chuma mtumishi
Mungu akubalik sana na pole sana
Hawa ndio watu Mungu anajivua kumsimangia shetani kwani kujaribiwa kwao kuna mpa mungu utukufu
Pole sana mchungaji Mungu afanyike mfariji wako 😭😭
POLE SANA,,,BWANA YESU alipokea mali yake hakika🙏
😭😭😭😭duh sina la kusema ila Mungu awafariji😭😭😭😭😭😭 can't believe this😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
hakika Kila nafsi itarudi kwa aliyeiumba , bwana ametoa na bwana ametwaa, amina
Chozi la mwenye haki litalipwa na Mungu
Mungu nimwema kwawujasili uliwonao
Shujaa wa Imani,mungu akubariki.ayubu wa leo
@rehemakanyere4188
8 ай бұрын
Uchungu wake anaumalizia kwa kuimba
Amen
Polen Sana usione inje anachangamka ila ndani ya moyo anaumia
@laurancesabuni2531
Жыл бұрын
Kabisa
@costantinemihayo
Жыл бұрын
Ww unaweza kuigiza maumivu?!
@VickyDanieltango
8 ай бұрын
Umesema kweli my
@MarithaDaati-xz3yf
8 ай бұрын
Polen sana kwa msiba mzito Mungu awape mioyo y uvumilivu
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
Exactly 💯
Furaha gani mungu kumpa mtumishi wake nguvu ya kummuomboleza mwanae,pumzika kwa amani
poleni sana inaumiza sana
Mungu akufariji mtumishi.
Poleni mungu awatangulie
Duuuu!!!kweli kukaa na yesu ni kizuri hufariji faraja ya kweli,😭
Pole sana mchungaji
Wow! Amani iwe kwako daima!
Pole mtumishi
Hakika leo nimeona kitu cha kujifunza mungu watie nguvu
Siwezi mimi nime fiwa hvi juz na mtoto wangu hata kumzika sijaweza hari yangu ilikuwa mbaya mno hongera wewe
Mungu wangu mungu wangu
Pole Sana wanafamilia
Hakika MUNGU akikaa ndani yako hushindwi na jambo lolote, Yesu azidi kukupigania baba Mwakipesile
Watu waajabu sana wako bize kurecod
🎉
Inauma sana 😭😭😭
Daaa so mchezo
Pole sana
😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Ameeen.
poleni sana
Mungu akutienguvu
Mungu awatie nguvu watumishi
😭😭R.I.P Wokovu
Imani ni kitu kingine aise
To God be all the glory.
Hakika mungu awatie nguvu
Mungu ameweka kitu kwako