Masanja Mkandamizaji Asema Kwake Ugali ni Maarufuku

Музыка

Postal Address :
Wemusicpro
P. O Box 2267
Dar es Salaam
Email Address :
wemusictz@gmail.com
Lets Connect :
Website: www.wemusicpro.com
Facebook: www.wemusicpro.com/facebook
Instagram: www.wemusicpro.com/instagram
Twitter: www.wemusicpro.com/twitter

Пікірлер: 40

  • @cagemzee1834
    @cagemzee18345 жыл бұрын

    sawa broo me ni mtoto wa mama nyangi kazana utafika mbali sana mungu pamoja na we

  • @emmanuelmkalawa9242
    @emmanuelmkalawa92425 жыл бұрын

    mtumishi nimekuelewa vzr mnoooo kula unachotaka na kula unacho kipata

  • @isaacmgaya2067
    @isaacmgaya20676 жыл бұрын

    Emmanuel. You are very crazy. Ange ndisi baho. Ugali is food. Believe me. One day you wll come back to it.

  • @catenzeki678
    @catenzeki6786 жыл бұрын

    Uko juu bro...mm binafsi nkukubali...kipaji apo kipo

  • @happinesssteven1155
    @happinesssteven11555 жыл бұрын

    heshima ya mwanamke iko ktk kukua ktk kumjua kristo.

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd91464 жыл бұрын

    Mìýè nķo Oman nime miss ugal wal kinachosha

  • @enockmtepa6972
    @enockmtepa69725 жыл бұрын

    Maisha ni haya haya

  • @christophermgoli1236
    @christophermgoli12364 жыл бұрын

    Piga kazi Mchungaji😄😄😄🙏🏼

  • @michaelrungwe3716
    @michaelrungwe37165 жыл бұрын

    Masanja kanyea kambi

  • @musadaud652
    @musadaud6525 жыл бұрын

    Hahahaha wadada miguu imepinda kwjili ya ugali dagaa hahahaha

  • @joshuahamisi9988
    @joshuahamisi99885 жыл бұрын

    Nikatika comed tuu najua unakula broo

  • @bonifacembilinyi5576

    @bonifacembilinyi5576

    5 жыл бұрын

    bora wewe umemuelewa message nyingi zinamponda bila kujali ye ni comedian

  • @catenzeki678
    @catenzeki6786 жыл бұрын

    Hahahahaha...eti kwni kuna manabii...mmejuaje😂😂😂

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha40305 жыл бұрын

    Kwan ugali siyo chakula mhiiii sasa

  • @dawillygene
    @dawillygene5 жыл бұрын

    Nimecheka mpaka machozi

  • @majmadramas5726
    @majmadramas57265 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaaaaaaa like you more ma bro😍😍😍😍

  • @mwendwajohn3922
    @mwendwajohn39225 жыл бұрын

    Kwan ugal sio chakula au

  • @delartone3016
    @delartone30166 жыл бұрын

    The man is so fun 😁😂

  • @dangeloelliot960

    @dangeloelliot960

    3 жыл бұрын

    you probably dont care but if you are stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the new series on InstaFlixxer. Been watching with my girlfriend during the lockdown =)

  • @rolandryder5811

    @rolandryder5811

    3 жыл бұрын

    @Dangelo Elliot yup, have been watching on instaflixxer for years myself :D

  • @queencharles4823
    @queencharles48235 жыл бұрын

    Waswahili wengine bana, yupo kazini apo, kula ana kula ila ni kazi ya kuchekesha! Mimi nimecheka kabisa hahahhahahhaahahahha! Muache unegativity nyie wabongo!

  • @berithachumila9368
    @berithachumila93685 жыл бұрын

    Hahahahaaaaah ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @erickmwananjela

    @erickmwananjela

    5 жыл бұрын

    Semelea

  • @dicksonsheja9376
    @dicksonsheja93766 жыл бұрын

    Hahahaaaa

  • @nanawish851
    @nanawish8516 жыл бұрын

    😂😂😂😂 spare my ribs

  • @gwantwaseke8406
    @gwantwaseke84066 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @roseboniphace5143
    @roseboniphace51435 жыл бұрын

    mbona ulikula mihogo shambani kwani ugali unatofauti gani na mihogo?

  • @yassinabdy8962
    @yassinabdy89625 жыл бұрын

    Hovyo ugali ndio staple food ya Africa ,pumbav

  • @ibrahimmfundo8383
    @ibrahimmfundo83835 жыл бұрын

    Ukisikia kufuru ndio hii

  • @rechoalmasi2107

    @rechoalmasi2107

    4 жыл бұрын

    Antania tu

  • @deborahmwakatoga7192

    @deborahmwakatoga7192

    3 жыл бұрын

    Yuko kazin apo anaingiza pesa niutani tu

  • @deborahmwakatoga7192

    @deborahmwakatoga7192

    3 жыл бұрын

    Yuko kazin apo anaingiza pesa niutani tu

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao16724 жыл бұрын

    Wewe wacha zako ugali ni chakula cha tamaduni yakiafrika mimi mwenyewe millionaire tena millionaire mkenya na siezi kosa ugali wiki moja na nimelelewa na ugali tangu nikiwa mdogo usitharau ugali wacha zako unashukisha tamaduni zetu zakifrika

  • @kevohmsangi649
    @kevohmsangi6495 жыл бұрын

    The thing you are talking about is not alright kabisa, coz ugali ni chakula pia haina haja ya mtumishi wa Mungu kujigamba kuwa hali ugali, that's not God's way

  • @bonifacembilinyi5576

    @bonifacembilinyi5576

    5 жыл бұрын

    IT'S COMEDY BROO , USIPANIKI

  • @mwidinijuma1580
    @mwidinijuma15805 жыл бұрын

    Mchungaji wewe unashangaza, ugali ni chakula kama chakula kingine Sasa wewe unaupondea ugali mimi sikuelewi aliyekupa wewe wali ndie aliyempa mwezio ugali

  • @JOHN16verse33

    @JOHN16verse33

    5 жыл бұрын

    1. Easy man its comedy 2. Amesema ameshakula sana ugali..amezaliwa Njombe na kule ugali ndio chakula kikuu wananywea chai hata asubuhi. Mke wangu amezaliwa Moshi hali ndizi zikipikwa kabisaa kwa madai hayo hayo. Msukuma anaweza kukwambia the same thing habari ya samaki Waliozaliwa Dar tu ndo walikua na variety ya vyakula na ugali ulidharaulika. Utanielewa kama umri wako ni rika letu yaani mi na Masanja otherwise watoto wa siku hizi wamezaliwa kwenye vyakula vingi wanajichagulia

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu5 жыл бұрын

    Hiyo sio Comedy ni Arrogance. Kuwa Humble, Yesu is not all about money, Mavazi, na Mali. Huo ni Ujinga.

  • @queencharles4823

    @queencharles4823

    5 жыл бұрын

    Its comedy, hujawai kula ugali wewe asubui mchana na jioni, ndani ya mwaka, huli tena maishani! Alafu unaenda kula sehemu nyingine kubadili mazingira wanakupa dozi hehhehehehehe! He is fine na watu wamexheka, chekesha na wewe!

  • @mussaismaili3717

    @mussaismaili3717

    5 жыл бұрын

    Nakubali

Келесі