MAPYA MAHAKAMANI: WANANCHI 500 WA BAGAMOYO WAMSHTAKI MWANASHERIA MKUU

Пікірлер: 41

  • @Ashangaipaulo-yn1hq
    @Ashangaipaulo-yn1hq10 ай бұрын

    Jamani iserikali ccm mungu atoe madarakani

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc10 ай бұрын

    Mungu shusha jua Kali saaaaana kwamajitu mafisadi Yani Yana tutesa

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga465010 ай бұрын

    Milard Ayo Unaonyesha Upande Upande , Huwa Huoneshi Ukweli Ktk Hali Hii Viwango Vyako Vinashuka, Unaijali Saana Serikali

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31310 ай бұрын

    Hivi jamani jamani kweli jamani mbona tz sasa tofauti jamani eeeee

  • @user-ms8zt2im6x
    @user-ms8zt2im6x10 ай бұрын

    Magufuri magufuri magufuri tutakukumbka baba 💪

  • @murattywamuratty9778

    @murattywamuratty9778

    4 ай бұрын

    Sasa iyoo arth imetolewa toka Magufuli hayupo na akawepo pia anajua hiloo mana nyaraka zote anazielewa hiloo eneo limenunuliwa na Serikal ya Zanzibar

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay894610 ай бұрын

    Wazanzibar waliazimwa tuu, kwa kweli Watanganyika hebu simamieni ardhi yenu...Tunakokwenda ni kubaya Mungu tusaidie.

  • @mullestv2680
    @mullestv268010 ай бұрын

    HAO NI WAVAMIZI HIYO NI ARDHI YETU WAZANZIBAR ROUND HII ZAMU YENU VICHOGO

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula10 ай бұрын

    Miaka 50 huyu SAMIA NINA MASHAKA NAYE NA TANGANYIKA

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh10 ай бұрын

    Hii nch sijui kuna ajenda gan chini ya kapet

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    TUNAPELEKWA KAMA MANDONDO MAMBO ANAYEFANYA HUYU BIBI SAMIA ASTAILI KUWA MADARAKANI

  • @lucasmganga2811
    @lucasmganga281111 ай бұрын

    Hivi huyo mwanasheria mkuu wa serikali ndo nani kwanza!!!? Ambaye hajui sheria ya umiliki wa ardhi!!? 😢😢

  • @user-ms8zt2im6x

    @user-ms8zt2im6x

    10 ай бұрын

    Jamani mwanasheria mkuu nayeye katumwa 2

  • @evelinemlay5572

    @evelinemlay5572

    10 ай бұрын

    ​@@user-ms8zt2im6xatumie taaluma yake, akizidiwa aombe kujiuzulu, bora fedheha kuliko aibu!

  • @jacksommary5214
    @jacksommary521411 ай бұрын

    Sasa hapa ndio pale tutakapo mkumbuka yule aliye sema mtanikumbuka.

  • @IbnuAlly-cg2gn

    @IbnuAlly-cg2gn

    10 ай бұрын

    Akumbukwe kwan yy nan nchi hii

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi8469 ай бұрын

    Miaka ya nyuma walikua wapi kuitaka mungu tunusuru tz viongozi mnaipeleka waipi

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi8469 ай бұрын

    Mungu tukpmboe kwa haya kama ulivyo watoa waisrael misrii wakarudi kwao israel magufuli raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani

  • @Lizygerald
    @LizygeraldАй бұрын

    Huu mgogoro umeishia vipi

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula10 ай бұрын

    Kuna mashule sekondari tangu 1970 hv kwa nini Watanganyika tuna kuwa wajinga hv. Zanzibar tuna eneo?

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b10 ай бұрын

    Wananchi watanganyika atutaki kusumbuliwa ndani ya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe siokuwalipa waende wapi wako kwao tutapakana matope namavumbi tumesema sisi watanzania wote popote mlipotulinde Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe kunyanyaswa na serekali ikome maramoja kila pahali mwekezaji mnanini na Tanganyika yetu vunjeni muungano wachaikae vunjeni mikataba mirerani Vunjeni na mingine yote ifutiliwe mbali yaani. Tanganyika yetu inamezwa aeri tufe kuliko wananchi watanzania ninani atakaetetea watanganyika tuweni mbele kwa mapambano. Yasilaha tuikomboe Tanganyika sikujua. Watanganyika ni mayatima ndio maana atupewi katiba mpya bila sisi wamasai watalii awatakuka ondoeni Hawa waporaji kama nyuma tulilala mbele tusilale tena poleni. Wana. Poleni sana tuwatete walio wengi tukaze kamba msikubali kuondolewa kwenu kwanini rais atoke zanzibari ajekuchukua meneo ya Tanganyika yetu Sasa tumefahamu yakwamba Tanganyika yetu tunamezwa na zanzibari kwanini wachukue tuukatae muungano wachaikae vunjeni mikataba yote ifutiliwe mbali yaani kilakitu kianze. Upya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe sisi watanganyika atutaki madalali wanajifanya viongozi lakini ni wezi kumbukeni kuwamwaga wote wasibaki atammoja pamoja ndani ya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe asante sana Ashe naleg tuendelee na mapambano walielala amkeni ukoloni usirudi Tanganyika yetu tusikuba Samia anatuficha tutakutanae asilazimishe Tanganyika utumwa mbona kimya Samia auze Tanganyika yetu tusikuba tokeni

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala609110 ай бұрын

    Kesi hii ni mpya na mbichi

  • @johnmalale3860
    @johnmalale386010 ай бұрын

    Mpaka wanajenga serikali ilikuwa wapi!?

  • @zakariamponzi-rm9kc
    @zakariamponzi-rm9kc10 ай бұрын

    Taifa letu lipo mahalipabaya sana kila kona ni migogoro tu jamani matokeo ya haya yote nn mbona utawala wa awamu hii unajenga zaidi chuki na raia wake

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula10 ай бұрын

    Hv kweli hiu.nchi ni ya Watanzania.au.ninya wazazimbqr

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    WATANZANIA TUNAUZWA TUNANYAG'ANYWA VIWANJA

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446411 ай бұрын

    Mnawaachia halafu nyie mnaenda wapi???mnaona wakulima nawafugaji wanagombana ardhi imekuwa ndogo watu tunaongezeka kila siku

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    WAZANZIBAR WANATAKA KUWAPA WAARABU

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    11 ай бұрын

    Na bado tutauza na Airport

  • @Sheba4651
    @Sheba465110 ай бұрын

    Wahame tu, ardhi ya Zanzibar.

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    10 ай бұрын

    Iyo ardhi muliipata wp c Nyerere aliwapa iyo sehem kwa ajili ya malisho ya ng'ombe ngoja aje Rais kama Magu ndo utajua ardhi ya Zanzibar au Bara, kwenu Zanzibar mtanyika aruhusiwi kumiliki ardhi ila mkija Bara mnaona shamba la Bibi, kama uyo Rais wenu anavyo uza mbuga zetu za wanyama tatizo wanzanzibar mna roho mbaya sana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733810 ай бұрын

    Tukisema utawala huu ni dharimu, waislam wanasema ni chuki za udini, sasa hao wananchi wa bagamoyo naamini wengi watakuwa ni Waislam. na wao wameguswa sasa, wanaenda mahakamani kufanya nini sasa? Waupongeze utawala.😂

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    MNAONA KAMA ANAKUPENDENI ANAUZA ALDHI ZA WANANCHI RAI WA TANGANYIKA KWA WAARABU WA DUBAI

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    WATANZANIA UYU RAIS ATUFAI WAAJABU ANGARIENI ANAJIWAI SEHEMU YA TANGANYIKA ANAWAFUKUZA WATANGANYIKA MBONA ZANZBAR AFAJI KAMA HIVI YEYE ANAWAFANYIA WATANGANYIKA

  • @listamaswaga5289
    @listamaswaga528910 ай бұрын

    Mkisema ukweli mnambiwa wabaguzi unawezaje kugawa ardhi ya Tanganyika mbona sisi hatuna haki ya kumiliki ardhi Zanzibar???!

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    10 ай бұрын

    Ww unauhakika kama bagamoyo tanganyika

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    WATANGANYIKA ATA KUFILWA TUNAWEZA KUFILWA MAANA YAKE TUNAPELEKWAPELEKWA TU KAMA MANDONDOCHA

  • @sebastiansalamba313

    @sebastiansalamba313

    10 ай бұрын

    Kweli kaka ujinga umetuzidi Bora Pakistani Kuna heshima

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo626311 ай бұрын

    Kila kona migogoto ya ardhi, nchii imefikia ukingoni. Yaani mtu anachukuā ardhi, anaihodhi bila kuitumia, anaenda kuishi mwezini anakaa huko Miaka 30 baadaye akirudi serikali inamkingia kifua! Hapa hakuna cha compensation, acheni kuwafanya raia wakimbizi nchini mwao!

  • @isayakisonga5978

    @isayakisonga5978

    10 ай бұрын

    Ww unaivamiaje na kuendeleza ardhi ya MTU mwingine? Tusipende kuilaumu serikali wakati wananchi ndio vichwa ngumu!!!

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    10 ай бұрын

    @@isayakisonga5978Fahamu ardhi ni kitendewa kazi, na kila shughuli ya kiuchumi na uzalishaji malichufanyika kwenye ardhi. Haki ya umiliki wa ardhi unakuwa tu pale unapoitumia kwa shughuli ziaokubalika kisheria, vinginevyo kuhodhi ardhi bila matumizi ni ubadhirifu wa raslimali za Taifa. Rejea Sheria za nchi kuhusu umilikishwaji na matumizi ya ardhi

Келесі