MAPYA MAHAKAMANI: WANANCHI 500 WA BAGAMOYO WAMSHTAKI MWANASHERIA MKUU
Жүктеу.....
Пікірлер: 41
@Ashangaipaulo-yn1hq10 ай бұрын
Jamani iserikali ccm mungu atoe madarakani
@saidiathuman-og6bc10 ай бұрын
Mungu shusha jua Kali saaaaana kwamajitu mafisadi Yani Yana tutesa
@epafraditopajenga465010 ай бұрын
Milard Ayo Unaonyesha Upande Upande , Huwa Huoneshi Ukweli Ktk Hali Hii Viwango Vyako Vinashuka, Unaijali Saana Serikali
@sebastiansalamba31310 ай бұрын
Hivi jamani jamani kweli jamani mbona tz sasa tofauti jamani eeeee
@user-ms8zt2im6x10 ай бұрын
Magufuri magufuri magufuri tutakukumbka baba 💪
@murattywamuratty9778
4 ай бұрын
Sasa iyoo arth imetolewa toka Magufuli hayupo na akawepo pia anajua hiloo mana nyaraka zote anazielewa hiloo eneo limenunuliwa na Serikal ya Zanzibar
@rehemashabhay894610 ай бұрын
Wazanzibar waliazimwa tuu, kwa kweli Watanganyika hebu simamieni ardhi yenu...Tunakokwenda ni kubaya Mungu tusaidie.
@mullestv268010 ай бұрын
HAO NI WAVAMIZI HIYO NI ARDHI YETU WAZANZIBAR ROUND HII ZAMU YENU VICHOGO
@RenaldaZeramula10 ай бұрын
Miaka 50 huyu SAMIA NINA MASHAKA NAYE NA TANGANYIKA
@hemedchuma9-cq4nh10 ай бұрын
Hii nch sijui kuna ajenda gan chini ya kapet
@sulimanmzee231011 ай бұрын
TUNAPELEKWA KAMA MANDONDO MAMBO ANAYEFANYA HUYU BIBI SAMIA ASTAILI KUWA MADARAKANI
@lucasmganga281111 ай бұрын
Hivi huyo mwanasheria mkuu wa serikali ndo nani kwanza!!!? Ambaye hajui sheria ya umiliki wa ardhi!!? 😢😢
@user-ms8zt2im6x
10 ай бұрын
Jamani mwanasheria mkuu nayeye katumwa 2
@evelinemlay5572
10 ай бұрын
@@user-ms8zt2im6xatumie taaluma yake, akizidiwa aombe kujiuzulu, bora fedheha kuliko aibu!
@jacksommary521411 ай бұрын
Sasa hapa ndio pale tutakapo mkumbuka yule aliye sema mtanikumbuka.
@IbnuAlly-cg2gn
10 ай бұрын
Akumbukwe kwan yy nan nchi hii
@pillykimenyi8469 ай бұрын
Miaka ya nyuma walikua wapi kuitaka mungu tunusuru tz viongozi mnaipeleka waipi
@pillykimenyi8469 ай бұрын
Mungu tukpmboe kwa haya kama ulivyo watoa waisrael misrii wakarudi kwao israel magufuli raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani
@LizygeraldАй бұрын
Huu mgogoro umeishia vipi
@RenaldaZeramula10 ай бұрын
Kuna mashule sekondari tangu 1970 hv kwa nini Watanganyika tuna kuwa wajinga hv. Zanzibar tuna eneo?
@user-zk9ox3di4b10 ай бұрын
Wananchi watanganyika atutaki kusumbuliwa ndani ya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe siokuwalipa waende wapi wako kwao tutapakana matope namavumbi tumesema sisi watanzania wote popote mlipotulinde Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe kunyanyaswa na serekali ikome maramoja kila pahali mwekezaji mnanini na Tanganyika yetu vunjeni muungano wachaikae vunjeni mikataba mirerani Vunjeni na mingine yote ifutiliwe mbali yaani. Tanganyika yetu inamezwa aeri tufe kuliko wananchi watanzania ninani atakaetetea watanganyika tuweni mbele kwa mapambano. Yasilaha tuikomboe Tanganyika sikujua. Watanganyika ni mayatima ndio maana atupewi katiba mpya bila sisi wamasai watalii awatakuka ondoeni Hawa waporaji kama nyuma tulilala mbele tusilale tena poleni. Wana. Poleni sana tuwatete walio wengi tukaze kamba msikubali kuondolewa kwenu kwanini rais atoke zanzibari ajekuchukua meneo ya Tanganyika yetu Sasa tumefahamu yakwamba Tanganyika yetu tunamezwa na zanzibari kwanini wachukue tuukatae muungano wachaikae vunjeni mikataba yote ifutiliwe mbali yaani kilakitu kianze. Upya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe sisi watanganyika atutaki madalali wanajifanya viongozi lakini ni wezi kumbukeni kuwamwaga wote wasibaki atammoja pamoja ndani ya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe asante sana Ashe naleg tuendelee na mapambano walielala amkeni ukoloni usirudi Tanganyika yetu tusikuba Samia anatuficha tutakutanae asilazimishe Tanganyika utumwa mbona kimya Samia auze Tanganyika yetu tusikuba tokeni
@geraldmakalala609110 ай бұрын
Kesi hii ni mpya na mbichi
@johnmalale386010 ай бұрын
Mpaka wanajenga serikali ilikuwa wapi!?
@zakariamponzi-rm9kc10 ай бұрын
Taifa letu lipo mahalipabaya sana kila kona ni migogoro tu jamani matokeo ya haya yote nn mbona utawala wa awamu hii unajenga zaidi chuki na raia wake
@RenaldaZeramula10 ай бұрын
Hv kweli hiu.nchi ni ya Watanzania.au.ninya wazazimbqr
@sulimanmzee231011 ай бұрын
WATANZANIA TUNAUZWA TUNANYAG'ANYWA VIWANJA
@edsonnelson446411 ай бұрын
Mnawaachia halafu nyie mnaenda wapi???mnaona wakulima nawafugaji wanagombana ardhi imekuwa ndogo watu tunaongezeka kila siku
@sulimanmzee231011 ай бұрын
WAZANZIBAR WANATAKA KUWAPA WAARABU
@alzawahirabdallah2299
11 ай бұрын
Na bado tutauza na Airport
@Sheba465110 ай бұрын
Wahame tu, ardhi ya Zanzibar.
@mangulimanguli3974
10 ай бұрын
Iyo ardhi muliipata wp c Nyerere aliwapa iyo sehem kwa ajili ya malisho ya ng'ombe ngoja aje Rais kama Magu ndo utajua ardhi ya Zanzibar au Bara, kwenu Zanzibar mtanyika aruhusiwi kumiliki ardhi ila mkija Bara mnaona shamba la Bibi, kama uyo Rais wenu anavyo uza mbuga zetu za wanyama tatizo wanzanzibar mna roho mbaya sana
@daudimichael733810 ай бұрын
Tukisema utawala huu ni dharimu, waislam wanasema ni chuki za udini, sasa hao wananchi wa bagamoyo naamini wengi watakuwa ni Waislam. na wao wameguswa sasa, wanaenda mahakamani kufanya nini sasa? Waupongeze utawala.😂
@sulimanmzee231011 ай бұрын
MNAONA KAMA ANAKUPENDENI ANAUZA ALDHI ZA WANANCHI RAI WA TANGANYIKA KWA WAARABU WA DUBAI
@sulimanmzee231011 ай бұрын
WATANZANIA UYU RAIS ATUFAI WAAJABU ANGARIENI ANAJIWAI SEHEMU YA TANGANYIKA ANAWAFUKUZA WATANGANYIKA MBONA ZANZBAR AFAJI KAMA HIVI YEYE ANAWAFANYIA WATANGANYIKA
@listamaswaga528910 ай бұрын
Mkisema ukweli mnambiwa wabaguzi unawezaje kugawa ardhi ya Tanganyika mbona sisi hatuna haki ya kumiliki ardhi Zanzibar???!
@MohamedAhmada-ie7ke
10 ай бұрын
Ww unauhakika kama bagamoyo tanganyika
@sulimanmzee231011 ай бұрын
WATANGANYIKA ATA KUFILWA TUNAWEZA KUFILWA MAANA YAKE TUNAPELEKWAPELEKWA TU KAMA MANDONDOCHA
@sebastiansalamba313
10 ай бұрын
Kweli kaka ujinga umetuzidi Bora Pakistani Kuna heshima
@sylvestercameo626311 ай бұрын
Kila kona migogoto ya ardhi, nchii imefikia ukingoni. Yaani mtu anachukuā ardhi, anaihodhi bila kuitumia, anaenda kuishi mwezini anakaa huko Miaka 30 baadaye akirudi serikali inamkingia kifua! Hapa hakuna cha compensation, acheni kuwafanya raia wakimbizi nchini mwao!
@isayakisonga5978
10 ай бұрын
Ww unaivamiaje na kuendeleza ardhi ya MTU mwingine? Tusipende kuilaumu serikali wakati wananchi ndio vichwa ngumu!!!
@sylvestercameo6263
10 ай бұрын
@@isayakisonga5978Fahamu ardhi ni kitendewa kazi, na kila shughuli ya kiuchumi na uzalishaji malichufanyika kwenye ardhi. Haki ya umiliki wa ardhi unakuwa tu pale unapoitumia kwa shughuli ziaokubalika kisheria, vinginevyo kuhodhi ardhi bila matumizi ni ubadhirifu wa raslimali za Taifa. Rejea Sheria za nchi kuhusu umilikishwaji na matumizi ya ardhi
Пікірлер: 41
Jamani iserikali ccm mungu atoe madarakani
Mungu shusha jua Kali saaaaana kwamajitu mafisadi Yani Yana tutesa
Milard Ayo Unaonyesha Upande Upande , Huwa Huoneshi Ukweli Ktk Hali Hii Viwango Vyako Vinashuka, Unaijali Saana Serikali
Hivi jamani jamani kweli jamani mbona tz sasa tofauti jamani eeeee
Magufuri magufuri magufuri tutakukumbka baba 💪
@murattywamuratty9778
4 ай бұрын
Sasa iyoo arth imetolewa toka Magufuli hayupo na akawepo pia anajua hiloo mana nyaraka zote anazielewa hiloo eneo limenunuliwa na Serikal ya Zanzibar
Wazanzibar waliazimwa tuu, kwa kweli Watanganyika hebu simamieni ardhi yenu...Tunakokwenda ni kubaya Mungu tusaidie.
HAO NI WAVAMIZI HIYO NI ARDHI YETU WAZANZIBAR ROUND HII ZAMU YENU VICHOGO
Miaka 50 huyu SAMIA NINA MASHAKA NAYE NA TANGANYIKA
Hii nch sijui kuna ajenda gan chini ya kapet
TUNAPELEKWA KAMA MANDONDO MAMBO ANAYEFANYA HUYU BIBI SAMIA ASTAILI KUWA MADARAKANI
Hivi huyo mwanasheria mkuu wa serikali ndo nani kwanza!!!? Ambaye hajui sheria ya umiliki wa ardhi!!? 😢😢
@user-ms8zt2im6x
10 ай бұрын
Jamani mwanasheria mkuu nayeye katumwa 2
@evelinemlay5572
10 ай бұрын
@@user-ms8zt2im6xatumie taaluma yake, akizidiwa aombe kujiuzulu, bora fedheha kuliko aibu!
Sasa hapa ndio pale tutakapo mkumbuka yule aliye sema mtanikumbuka.
@IbnuAlly-cg2gn
10 ай бұрын
Akumbukwe kwan yy nan nchi hii
Miaka ya nyuma walikua wapi kuitaka mungu tunusuru tz viongozi mnaipeleka waipi
Mungu tukpmboe kwa haya kama ulivyo watoa waisrael misrii wakarudi kwao israel magufuli raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani
Huu mgogoro umeishia vipi
Kuna mashule sekondari tangu 1970 hv kwa nini Watanganyika tuna kuwa wajinga hv. Zanzibar tuna eneo?
Wananchi watanganyika atutaki kusumbuliwa ndani ya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe siokuwalipa waende wapi wako kwao tutapakana matope namavumbi tumesema sisi watanzania wote popote mlipotulinde Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe kunyanyaswa na serekali ikome maramoja kila pahali mwekezaji mnanini na Tanganyika yetu vunjeni muungano wachaikae vunjeni mikataba mirerani Vunjeni na mingine yote ifutiliwe mbali yaani. Tanganyika yetu inamezwa aeri tufe kuliko wananchi watanzania ninani atakaetetea watanganyika tuweni mbele kwa mapambano. Yasilaha tuikomboe Tanganyika sikujua. Watanganyika ni mayatima ndio maana atupewi katiba mpya bila sisi wamasai watalii awatakuka ondoeni Hawa waporaji kama nyuma tulilala mbele tusilale tena poleni. Wana. Poleni sana tuwatete walio wengi tukaze kamba msikubali kuondolewa kwenu kwanini rais atoke zanzibari ajekuchukua meneo ya Tanganyika yetu Sasa tumefahamu yakwamba Tanganyika yetu tunamezwa na zanzibari kwanini wachukue tuukatae muungano wachaikae vunjeni mikataba yote ifutiliwe mbali yaani kilakitu kianze. Upya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe sisi watanganyika atutaki madalali wanajifanya viongozi lakini ni wezi kumbukeni kuwamwaga wote wasibaki atammoja pamoja ndani ya Tanganyika yetu tusikuba kwamwe kamwe asante sana Ashe naleg tuendelee na mapambano walielala amkeni ukoloni usirudi Tanganyika yetu tusikuba Samia anatuficha tutakutanae asilazimishe Tanganyika utumwa mbona kimya Samia auze Tanganyika yetu tusikuba tokeni
Kesi hii ni mpya na mbichi
Mpaka wanajenga serikali ilikuwa wapi!?
Taifa letu lipo mahalipabaya sana kila kona ni migogoro tu jamani matokeo ya haya yote nn mbona utawala wa awamu hii unajenga zaidi chuki na raia wake
Hv kweli hiu.nchi ni ya Watanzania.au.ninya wazazimbqr
WATANZANIA TUNAUZWA TUNANYAG'ANYWA VIWANJA
Mnawaachia halafu nyie mnaenda wapi???mnaona wakulima nawafugaji wanagombana ardhi imekuwa ndogo watu tunaongezeka kila siku
WAZANZIBAR WANATAKA KUWAPA WAARABU
@alzawahirabdallah2299
11 ай бұрын
Na bado tutauza na Airport
Wahame tu, ardhi ya Zanzibar.
@mangulimanguli3974
10 ай бұрын
Iyo ardhi muliipata wp c Nyerere aliwapa iyo sehem kwa ajili ya malisho ya ng'ombe ngoja aje Rais kama Magu ndo utajua ardhi ya Zanzibar au Bara, kwenu Zanzibar mtanyika aruhusiwi kumiliki ardhi ila mkija Bara mnaona shamba la Bibi, kama uyo Rais wenu anavyo uza mbuga zetu za wanyama tatizo wanzanzibar mna roho mbaya sana
Tukisema utawala huu ni dharimu, waislam wanasema ni chuki za udini, sasa hao wananchi wa bagamoyo naamini wengi watakuwa ni Waislam. na wao wameguswa sasa, wanaenda mahakamani kufanya nini sasa? Waupongeze utawala.😂
MNAONA KAMA ANAKUPENDENI ANAUZA ALDHI ZA WANANCHI RAI WA TANGANYIKA KWA WAARABU WA DUBAI
WATANZANIA UYU RAIS ATUFAI WAAJABU ANGARIENI ANAJIWAI SEHEMU YA TANGANYIKA ANAWAFUKUZA WATANGANYIKA MBONA ZANZBAR AFAJI KAMA HIVI YEYE ANAWAFANYIA WATANGANYIKA
Mkisema ukweli mnambiwa wabaguzi unawezaje kugawa ardhi ya Tanganyika mbona sisi hatuna haki ya kumiliki ardhi Zanzibar???!
@MohamedAhmada-ie7ke
10 ай бұрын
Ww unauhakika kama bagamoyo tanganyika
WATANGANYIKA ATA KUFILWA TUNAWEZA KUFILWA MAANA YAKE TUNAPELEKWAPELEKWA TU KAMA MANDONDOCHA
@sebastiansalamba313
10 ай бұрын
Kweli kaka ujinga umetuzidi Bora Pakistani Kuna heshima
Kila kona migogoto ya ardhi, nchii imefikia ukingoni. Yaani mtu anachukuā ardhi, anaihodhi bila kuitumia, anaenda kuishi mwezini anakaa huko Miaka 30 baadaye akirudi serikali inamkingia kifua! Hapa hakuna cha compensation, acheni kuwafanya raia wakimbizi nchini mwao!
@isayakisonga5978
10 ай бұрын
Ww unaivamiaje na kuendeleza ardhi ya MTU mwingine? Tusipende kuilaumu serikali wakati wananchi ndio vichwa ngumu!!!
@sylvestercameo6263
10 ай бұрын
@@isayakisonga5978Fahamu ardhi ni kitendewa kazi, na kila shughuli ya kiuchumi na uzalishaji malichufanyika kwenye ardhi. Haki ya umiliki wa ardhi unakuwa tu pale unapoitumia kwa shughuli ziaokubalika kisheria, vinginevyo kuhodhi ardhi bila matumizi ni ubadhirifu wa raslimali za Taifa. Rejea Sheria za nchi kuhusu umilikishwaji na matumizi ya ardhi