MAOMBI YA KUZUIA HABARI MBAYA MAISHANI MWAKO // FUTA KABISA
Zab 31:15
Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 115
Amen,Asante YESU🙏
🎉 Amina
MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU
Amen and Amen 🙏🙏🙏
Amen amen amen🙏🙏🙏🙏
Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏
Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo
Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu
@pendomarco8928
10 ай бұрын
nakushukuru Mungu wangu asante
Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa
Amen 🙏
nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu
Âmen Amen bwana yesu asifiwe
Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe
Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu
Amen
AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏
Ameen mtumishi
Amina mtumishi wa mungu
Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen
Amen asante mungu
Asante Mungu wangu
Amen in jesus
God 👏
Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊
Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu
Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤
Amen Amen and Amen
Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌
Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu
Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen
Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏
Amen and Amen
Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu
Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name
Asante roho mtakatifu
Amen 🙏🙏🙏
Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina
Amina kubwa
Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤
Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏
Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!
Amina Mungu akubari Mtumishi
Amen and amen
Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana
Thank you Lord
Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu
Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.
Narudi nyumbani kwa jina la Yesu
Aman amen
Aaaaaamiiina
Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana
Emeeen
Amen 😊
Ameen hakika nimepona
Ubarukiwe sana mtumishi,
Ameen barikiwa sana
Amina nabarikiwa sana
🤲🤲 amen and ameeen
Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako
Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏
Amen and Amen.
A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢
Ameen
Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU
Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.
Asante bwana hata kwa kunikumbusha
Àmen
Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏
Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥
Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe
Shalom and Amen 🙏 🙌 👏
Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏
Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti
Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen
Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏
AMEN 🙏 AMEN be blessed
Power in prayers those know God 🙏
Amen amen
Amen ❤
🙏🙏🙏🙏
Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen
🤲🤲🙏🙏
Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani
Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.
Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.
Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏
Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu
Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name
Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏
@sirizabiblia5276
10 ай бұрын
It's my pleasure @LINET
@linet6663
10 ай бұрын
@@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Ps 31:15
Amen 🙇🙇🙇🙌
Ameeeen and Ameeeen
Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi
Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni
@sirizabiblia5276
10 ай бұрын
Tuma meseji au piga simu, namba ipo hapo
Amen 🙏
Amen