MAOMBI YA KUZUIA HABARI MBAYA MAISHANI MWAKO // FUTA KABISA

Zab 31:15
Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Пікірлер: 115

  • @magdalenacharles8833
    @magdalenacharles883310 ай бұрын

    Amen,Asante YESU🙏

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w10 ай бұрын

    🎉 Amina

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard810610 ай бұрын

    MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU

  • @ElizabethAkinyi-ox7rf
    @ElizabethAkinyi-ox7rf10 ай бұрын

    Amen and Amen 🙏🙏🙏

  • @Sabinajosephndunguru-xq9lc
    @Sabinajosephndunguru-xq9lc10 ай бұрын

    Amen amen amen🙏🙏🙏🙏

  • @kitambalazadock7078
    @kitambalazadock707810 ай бұрын

    Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏

  • @pascalinakiimay462
    @pascalinakiimay46210 ай бұрын

    Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa666810 ай бұрын

    Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu

  • @pendomarco8928

    @pendomarco8928

    10 ай бұрын

    nakushukuru Mungu wangu asante

  • @LekisosionNangenoi-dz3kq
    @LekisosionNangenoi-dz3kq10 ай бұрын

    Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa

  • @jemimahkarauki-ho8db
    @jemimahkarauki-ho8db10 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w10 ай бұрын

    nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu

  • @user-cg3uj2vn2h
    @user-cg3uj2vn2h4 ай бұрын

    Âmen Amen bwana yesu asifiwe

  • @anthonyjonny8427
    @anthonyjonny842710 ай бұрын

    Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe

  • @christinestemi1684
    @christinestemi168410 ай бұрын

    Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu

  • @maurindeus
    @maurindeus10 ай бұрын

    Amen

  • @user-hl2kn6si2i
    @user-hl2kn6si2i10 ай бұрын

    AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏

  • @aminajuma1156
    @aminajuma115610 ай бұрын

    Ameen mtumishi

  • @emmahmaclean1175
    @emmahmaclean117510 ай бұрын

    Amina mtumishi wa mungu

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi743810 ай бұрын

    Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen

  • @jacksoldier3025
    @jacksoldier302510 ай бұрын

    Amen asante mungu

  • @user-iv5ec5gj1v
    @user-iv5ec5gj1vАй бұрын

    Asante Mungu wangu

  • @lydiab495
    @lydiab49510 ай бұрын

    Amen in jesus

  • @veronicajohn2705
    @veronicajohn270510 ай бұрын

    God 👏

  • @beatricetumaini6364
    @beatricetumaini636410 ай бұрын

    Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913Ай бұрын

    Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica331810 ай бұрын

    Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤

  • @dianacute2836
    @dianacute283610 ай бұрын

    Amen Amen and Amen

  • @christinestemi1684
    @christinestemi168410 ай бұрын

    Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌

  • @BernadethaChigenda-pz5vn
    @BernadethaChigenda-pz5vn10 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu

  • @dollamtui5849
    @dollamtui584910 ай бұрын

    Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen

  • @judithmkodo6892
    @judithmkodo689210 ай бұрын

    Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio884610 ай бұрын

    Amen and Amen

  • @DativaAssey-lo3hn
    @DativaAssey-lo3hnАй бұрын

    Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu

  • @annnziu6809
    @annnziu68099 ай бұрын

    Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name

  • @shazzysymon6835
    @shazzysymon683510 ай бұрын

    Asante roho mtakatifu

  • @user-xr2cf2tz3r
    @user-xr2cf2tz3r3 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @upendovicent5376
    @upendovicent537610 ай бұрын

    Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina

  • @nurundumo7587
    @nurundumo75876 ай бұрын

    Amina kubwa

  • @irinenjombo3368
    @irinenjombo33684 ай бұрын

    Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @user-gn3ln6ce4z
    @user-gn3ln6ce4z10 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @everlynkilimba3963
    @everlynkilimba396310 ай бұрын

    BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤

  • @joycepatofondo
    @joycepatofondo10 ай бұрын

    Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu448510 ай бұрын

    Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce824310 ай бұрын

    Amina Mungu akubari Mtumishi

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo10 ай бұрын

    Amen and amen

  • @user-rh9ei6gv1v
    @user-rh9ei6gv1v9 ай бұрын

    Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby241110 ай бұрын

    Thank you Lord

  • @naryzmalilo571
    @naryzmalilo57110 ай бұрын

    Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu

  • @gabrielhonlat4043
    @gabrielhonlat404310 ай бұрын

    Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.

  • @alicethobias932
    @alicethobias9325 ай бұрын

    Narudi nyumbani kwa jina la Yesu

  • @eliapendakiondo9229
    @eliapendakiondo92298 ай бұрын

    Aman amen

  • @furahahonorine8055
    @furahahonorine805510 ай бұрын

    Aaaaaamiiina

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo725710 ай бұрын

    Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka376210 ай бұрын

    Emeeen

  • @francoise17
    @francoise1710 ай бұрын

    Amen 😊

  • @mariamakunga8808
    @mariamakunga88087 ай бұрын

    Ameen hakika nimepona

  • @domingosj
    @domingosj7 ай бұрын

    Ubarukiwe sana mtumishi,

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena226210 ай бұрын

    Ameen barikiwa sana

  • @nurundumo7587
    @nurundumo75876 ай бұрын

    Amina nabarikiwa sana

  • @tatusaid3934
    @tatusaid393410 ай бұрын

    🤲🤲 amen and ameeen

  • @user-uz5yv6zy8u
    @user-uz5yv6zy8u3 ай бұрын

    Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako

  • @rosemaryowory5710
    @rosemaryowory571010 ай бұрын

    Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏

  • @mariahabokea2085
    @mariahabokea208510 ай бұрын

    Amen and Amen.

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby24114 ай бұрын

    A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu448510 ай бұрын

    Ameen

  • @OrestaLuambano-bh8gp
    @OrestaLuambano-bh8gp10 ай бұрын

    Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU

  • @sharifamakasy6087
    @sharifamakasy608710 ай бұрын

    Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni

  • @edithaabel7858
    @edithaabel785810 ай бұрын

    Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.

  • @CalistaShayo-sy7pg
    @CalistaShayo-sy7pg10 ай бұрын

    Asante bwana hata kwa kunikumbusha

  • @esthercharo695
    @esthercharo6957 ай бұрын

    Àmen

  • @rithamalisa4636
    @rithamalisa463610 ай бұрын

    Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏

  • @emilywamalwa5938
    @emilywamalwa593810 ай бұрын

    Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.

  • @annagodwin412
    @annagodwin41210 ай бұрын

    Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥

  • @janehabakuki4564
    @janehabakuki456410 ай бұрын

    Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe

  • @liddydeSalt4773
    @liddydeSalt477310 ай бұрын

    Shalom and Amen 🙏 🙌 👏

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah10 ай бұрын

    Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏

  • @cobtechgiants
    @cobtechgiants10 ай бұрын

    Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti

  • @marymaria6544
    @marymaria654410 ай бұрын

    Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen

  • @dorisbernard4836
    @dorisbernard4836Ай бұрын

    Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏

  • @florencekwekwe1993
    @florencekwekwe199310 ай бұрын

    AMEN 🙏 AMEN be blessed

  • @gukawafly
    @gukawafly10 ай бұрын

    Power in prayers those know God 🙏

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa666810 ай бұрын

    Amen amen

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown513510 ай бұрын

    Amen ❤

  • @LazaroMollel-zw2of
    @LazaroMollel-zw2of10 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @edinahmasea1603
    @edinahmasea160310 ай бұрын

    Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen

  • @pendomosha1469
    @pendomosha146910 ай бұрын

    🤲🤲🙏🙏

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa666810 ай бұрын

    Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani

  • @gabrielhonlat4043
    @gabrielhonlat404310 ай бұрын

    Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.

  • @marymaria6544
    @marymaria654410 ай бұрын

    Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.

  • @mosesmaganga1548
    @mosesmaganga154810 ай бұрын

    Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏

  • @dariageorge1448
    @dariageorge144810 ай бұрын

    Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu

  • @sharonatienoolweny
    @sharonatienoolweny10 ай бұрын

    Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name

  • @linet6663
    @linet666310 ай бұрын

    Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏

  • @sirizabiblia5276

    @sirizabiblia5276

    10 ай бұрын

    It's my pleasure @LINET

  • @linet6663

    @linet6663

    10 ай бұрын

    @@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @blessedmajojojo387
    @blessedmajojojo38710 ай бұрын

    Ps 31:15

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah10 ай бұрын

    Amen 🙇🙇🙇🙌

  • @perisriziki1592
    @perisriziki159210 ай бұрын

    Ameeeen and Ameeeen

  • @FaidaWilly-du8ts
    @FaidaWilly-du8ts10 ай бұрын

    Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi

  • @JoannaWilliam-gw8fy
    @JoannaWilliam-gw8fy10 ай бұрын

    Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni

  • @sirizabiblia5276

    @sirizabiblia5276

    10 ай бұрын

    Tuma meseji au piga simu, namba ipo hapo

  • @user-vl9kb3es5i
    @user-vl9kb3es5i10 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @nonomarrina1437
    @nonomarrina143710 ай бұрын

    Amen