Maneno yake yanaathiri kwenye moyo||Allah Amrehemu.

Пікірлер: 100

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker90863 жыл бұрын

    Rehma ya Allah SubhanaAllah wa Taala Iwe juu yake na Allah Amsamehe dhambi zake na Allah ailaze roho yake Jannatul Al firdaus Amiin yaa Raab.

  • @ab.a8353
    @ab.a83533 жыл бұрын

    Allah alimpa kipaji cha kufikisha risala kwenye nyoyo za binadaamu. Allah amrehemu ya Rabb

  • @ummuhkhalfan5542
    @ummuhkhalfan55423 жыл бұрын

    Kwa uwezo wa Allah amenibadilisha san kwa mawaidha yake Allah amzidishie neema huko alipo nampenda sana shekh Nasoro kwa ajiri ya Allah

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын

    Allah tunakuomba kaburi la Sheikh wetu Almarhum Nassor Bachu liwe ni kama bustani za peponi. Allah humma ammin Yaa Rabbi.

  • @nelsonsalim270

    @nelsonsalim270

    3 жыл бұрын

    Inshallah

  • @maseledotto8490

    @maseledotto8490

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany53403 жыл бұрын

    Mashallah hii ndio Swadaka yenye kuendelea Mashallah Allah akujaalie swadaka yako hii sheikh Massor ikufae huko uliko na sisi Allah atupe mwisho mwema😭😭😭😢Allah akutilie nuru katik kabri lako😢😢😢😢👐👐👐

  • @omadal1

    @omadal1

    3 жыл бұрын

    Amin Thumma Amin

  • @kkutanzania5386

    @kkutanzania5386

    2 жыл бұрын

    Amini

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын

    Ewe Allaah tunakuomba waja wako Ummiminie Rahma Shekhe wetu. Sheykh Nassoro

  • @abuuzainab1489
    @abuuzainab14893 жыл бұрын

    Allahumma Aamiin...Sheikh wangu kipenzi Allah akujaalie pepo yawe makazi yako

  • @sekubambwambo5285
    @sekubambwambo52852 жыл бұрын

    Wallah huyu shekhe sijawai kumwana kwenye uhai wake lakini shekhe huyu amenijaa moyoni mahaba yasoelezeka

  • @sahraqaalib902
    @sahraqaalib9022 жыл бұрын

    Namuomba Allaah Subhana wata'ala amlaze mahali pema peponi pepo ya Firdous, Moyo wangu umemshiba sheikh sijamuona duniani namuomba Allaah Subhana Wata'ala anikutanishe nae peponi

  • @yunusjuma4340
    @yunusjuma43402 жыл бұрын

    Mungu akurehemu shekhe umetutoa kwenye giza na bidaa

  • @balozibalozi4483
    @balozibalozi44833 жыл бұрын

    Kweli kabisa Mw/mungu amrehemu sheikh wetu nampenda namkubali namsikilza kila mara hakika tunafaidika na Elimu aliyotuachia!

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin79092 жыл бұрын

    Mwalim wa walim Allaah Amrahan na Awahifadhi kizazi chake

  • @suleimansheshe8490
    @suleimansheshe84903 жыл бұрын

    Wallahi nampenda sana huy shekh maashaallah kila nimsikilizapo hua anauathir moy wang muda mwengine huniliza (inshaallah)Allah. Amrehem ampe kila kheri huko akhera alipo amuepeshe kila Shari na amjaalie kua n miongoni wa watu wa peponi aamin

  • @mohamedathman1027
    @mohamedathman10273 жыл бұрын

    Allah amrehemu Sheikh wetu, amfanyie kaburi lake liwe ni bustani la peponi.

  • @ibrahimbakari7973
    @ibrahimbakari79733 жыл бұрын

    Allah amrehem

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi48873 жыл бұрын

    Maasha Allah Allah alifanye kaburi lako liwe kiwanja miongoni mwa viwanja vya peponi yarabi

  • @jumayahya2661

    @jumayahya2661

    3 жыл бұрын

    Uyu sheikh wallahi aliipigania sunna haqi yakuipigania ndio maana mabidaa walimchukia.kwasababu yakusema kweli.Allah amlipe pepo ya firdausi.

  • @jadisaid5993

    @jadisaid5993

    3 жыл бұрын

    Allah mrehemu Shekhe wetu huyu

  • @ab.a8353
    @ab.a83533 жыл бұрын

    Allahumma ameen

  • @nuramoboy
    @nuramoboy2 жыл бұрын

    Nimesoma chuo nimesoma darsa tokea kipindi hicho kijimsikiti kiduchu cha kikwajuni hadi tukajenga Rahaleo kisha kikwajuni Alhamdulilah nimefarijika kuwa Sh.Nassor mwalim wangu..waru wengi wanamwita Sh. Ila huyu ni Maalim .Allah amsameh..Muhammad simkumbuki ila nawafahamu Watoto wake wengine tulosoma nao Rahaleo..Ila Sh. MUHAMMAD tafadhali fundisha usishiriki katika majibizano..

  • @saidimadzumba2266

    @saidimadzumba2266

    Жыл бұрын

    Muhammad hana shida kinajana yuko sawa ila watu tu pia wanahasad nyingi kwake! Allah amlinde muhammad bachu pia

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    19 күн бұрын

    Kuwajibu watu wanao vuruga dinni na kudanganya ummah ni katika jihdi kubwa na unapata thawabu kwanini umkataze asipambane na batwil wkati mtume alipambana na batwil na watu wa batwil kwhiyo unataka awe msoma visa tuuh ili mfurahi kigusa washirikina na uzushi hamtaki hiyo akuna katika dini yetu basi uislamu utaharibika huu bila kupambana na batwil 😂😂😂 watu siku zote hawataki mema bindamu anapenda kuskia uovu tuh kila muda

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын

    Allah akupe sheikh wetu Jannatul Firdous wa jamiil muslimin

  • @hassanmati462
    @hassanmati4622 жыл бұрын

    Maasha Allah

  • @jiongezeemaarifa1496
    @jiongezeemaarifa14963 жыл бұрын

    Thanks for sharing!

  • @jumarashid5146
    @jumarashid51462 жыл бұрын

    Allahumma Amin ya Rabbi

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Mashallah babaako hakuwa na kawaida ya kutovukia adabu wengine km ulivyo ww wala hakuwa na majivuno na mipasho km ulivyo ww, iga kw uyu mzee emu ucvunjie heshima wengine

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    3 жыл бұрын

    Swadakta akhui

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    Chakurithi huzidi tu ila baadhi ya mawaidha ya baba yake alikua akitusi masheikh wengine japo alikua hataji majina,kama utakua unakumbuka mawaidha yake kuhusu mtu kutamka nia alitumia maneno makali sana,wakati alikua atueleweshe tumuelewe na sio kusema maneno Yale,sasa kwaiyo huyu anazidi tu ila hajui kama anambebesha baba yake jukumu

  • @abdallahsalum7301

    @abdallahsalum7301

    3 жыл бұрын

    Ndolililo Baki Hilo mungu ameiwekaelmu ndimpo kwa mwanawe

  • @abdul-jalil6478

    @abdul-jalil6478

    3 жыл бұрын

    @@wasilaahmad3528 soma dini kwanza halafu utakuwa na kinywa kipana cha kuongea na kukosoa masheikh, huna elimu hivyo sidhani km una uthubutu wa kukosoa kwa kejeli wale waliokuzidi kwa kila kitu usifate mkumbo fulani kakosoa kuhusu sheikh fulani naww ukosoe.. Kaeni chini musone dini km walivyofanya hawa munaowakosoa nyinyi saivi, hawa walikaa wakapinda goti kusoma hawakuona tu clip mitandaoni wakaja kukosoa wakiwa na ujinga kichwani hapana, walisoma kwanza na ndio maana anaekosolewa kakaa kimya.. Ukipotosha hadharani unatakiwa ukosolewe hadharani pia ili kila uliyempoteza aelewe ttzo ni kitu gan.. Badala ya sheikh kumkosoa sheikh mwenzake imekuwa sasa hata asojua hata dini yke kwa asilimia 2 nayy anakuja youtube kukosoa tusome kwanza ili tujue huyu anaekosolewa kakosea kweli ama na sio kuwavamia wenye elimu kwa maneno yasiyofaa

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    @@abdul-jalil6478 fasukuti anillaimi jawabu, ma ana bi a'adi mil jawabu walakinna minal usdi an tujaba l- kilabu 🤐🚫

  • @abdulrahmantalib5637
    @abdulrahmantalib56373 жыл бұрын

    Allah amrehemu na amsamehe madhambi yake. Katuelimisha mambo mengi Allah amlipe kheir

  • @user-dl8hz4zt8i
    @user-dl8hz4zt8i3 жыл бұрын

    اللهم ارحم شيخ ناصر باشو اللهم أسكنه في فردوس الأعلى

  • @suleimansheshe8490

    @suleimansheshe8490

    3 жыл бұрын

    اللهم امين امين امين يارب

  • @nuramoboy
    @nuramoboy2 жыл бұрын

    Allahhumma Amin

  • @shabaninuhu3616
    @shabaninuhu36162 жыл бұрын

    Allah mpe pepo ya firdaus nuzula

  • @fatmaseif8238
    @fatmaseif82383 жыл бұрын

    Allah akuepushe na adhabu ya kaburi na moto wa jahannam na akusamehe makosa yako amiin

  • @samirhassanlau5000
    @samirhassanlau50003 жыл бұрын

    Masha alha shukrani sana Alha akurehem na alifanye kaburi lako liwe na nuru simba wa MIMBARI

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Allah amrehemu sheikh yetu

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary65633 жыл бұрын

    Allah akurem inshaallh

  • @mustafamtanganya7538
    @mustafamtanganya75383 жыл бұрын

    Yan shekh nasoro bachu Alikuwa shekh khasa , mawaidha yake ukiyasikiliza lazma ya kuathir katika moyo hii niishara ya kwamba alikuwa shekh mwenye imaan kwelikweli , mtu mwenye imaan akikulingania lazima yakuguse kwasababu imaan yake inakuathir wewe Allah amrehem shekh wetu.

  • @suleimansheshe8490

    @suleimansheshe8490

    3 жыл бұрын

    Aamin yaa rabbi kuna mud m huniliza

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu6 ай бұрын

    اللهم غفرله و رحمه

  • @muddypara5511
    @muddypara55113 жыл бұрын

    Allah amlehem alimpakipaj nakuomba Allah utuongoze nasi

  • @hamicdenasr7329
    @hamicdenasr73293 жыл бұрын

    Allah ya rahman ya rahm mjalie akhera njema

  • @kudrawanguvu5923
    @kudrawanguvu59233 жыл бұрын

    Allah Subhana Wataalla amrehem

  • @user-jz8sj5us1h

    @user-jz8sj5us1h

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr3 жыл бұрын

    Amiin ya Rabbi Allahmin ya Rabbi

  • @suleimanmido2942
    @suleimanmido29422 жыл бұрын

    Allah amlipe wema amiin

  • @sadiqabdullah1294
    @sadiqabdullah12943 жыл бұрын

    Bahri allAh amrehemu

  • @modricseif1018
    @modricseif10183 жыл бұрын

    Allah amrehemu inshaAllah🙏

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary65633 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72583 жыл бұрын

    Allah mjalie pepo Amy

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2ziАй бұрын

    Allwah. Akurehmu. Sheh. Wetu.

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Asadulminbar. Allah amrehemu.

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi60703 жыл бұрын

    امين ياراب العالمين🤲

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi60703 жыл бұрын

    Ya rabb Aameen 🤲

  • @dhahirdin
    @dhahirdin2 жыл бұрын

    Chuma icho ALLAH amraham

  • @marymwetu4798
    @marymwetu47983 жыл бұрын

    ALLAH AMSAMEHE MAKOSA YAKE AMKUBALIE MAZURI YAKE HAKIKA ALITUPA FAIDA NA ALIIBADILISHA JAMII KWA UJUMLA

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    Baadhi sio sote,cha muhimu ni dua tu Allah ampe pepo ya daraja la juu na amsamehakosa yake

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Rahimahullah

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson22613 жыл бұрын

    Amin.

  • @nuramoboy
    @nuramoboy2 жыл бұрын

    Kulikuwa na mjadala mkubwa kuhusu mwezi Sh.Amir tajo na wengine walishirikishwa ila Sh.Nassor hakupewa nafasi nakumbuka sana zamani sana ilikuwa..Sh Nassor alitoa kitabu pia kuhusu mwezi ila naona kimetoweka ghafla

  • @A.S.H_Tv
    @A.S.H_Tv3 жыл бұрын

    Hufanani na mzee wako hata nukta kwa ukosefu wa adabu za ikhtilaf

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    Huyu ndio anachochea ugomvi na fitna kwa waislamu,kwani hajui kama haingii peponi mfitinishaji??

  • @aliomar612

    @aliomar612

    3 жыл бұрын

    @@wasilaahmad3528 tusimuhukumu but kiuhakika anakosea sheikh Mohammed bachu kwajinsi anavyorekebisha wenzake anawakosea abad anawakejeli na kuwadharau nakuwatukana hilo nikosa kubwa sanaa

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    @@aliomar612 huyu anakibri ndio maana,hakuna kitu kibaya kama kibri

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    @@aliomar612 huyu anakibri ndio maana,hakuna kitu kibaya kama kibri

  • @aliomar612

    @aliomar612

    3 жыл бұрын

    @@wasilaahmad3528 kweli anakosea dadangu nivyema na sisi tukamnasihi kwa maneno mazuri na kwaupole huenda Allah akatia tawfiq akazingatia kma anakosea

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww56942 жыл бұрын

    Pola Ampe jana

  • @abdulazizshadau7869
    @abdulazizshadau78693 жыл бұрын

    Amiin....sijapata daee kama wewe east Africa, Allah atukutanishe jannah

  • @user-sz2gi9fv9e
    @user-sz2gi9fv9e9 ай бұрын

    Choz lina ni dondoka

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 жыл бұрын

    Hakika neno la mungu ni fumbo la Imaani kulifumbua tunahitaji utulivu wa akili

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78003 жыл бұрын

    MaSheHe wA sAsA ni MaSheHe wA maTumBo WaNaTembEa nA vx v8 WaNaishi maJumBA yA kiFaHaLi WaNakuWa kaLibu nA waHeshimiWa NA waNawaTukuZa nA kuWasiFiA waTawaLa TunAwaOnA TunawaJuA MmoJA anajiiTA ....k MweNginE ......e

  • @wasilaahmad3528
    @wasilaahmad35283 жыл бұрын

    Kuna video zako unaziba comment wacha tucomment tu Ili utueleweshe vizur usizibe na usiwe unawatusi masheikh wengine ktk ambacho unakiamin wewe unataka na sisi tuamini?Allah ndio anajua jinsi gani atamuhukumu mja wake ,maana wewe kila sheikh unamkosoa ,lakini hatukushangai wewe ni mtoto wà nassor bachu ambao mnasema kutamka nia ni kharam

  • @harithhemed9920

    @harithhemed9920

    3 жыл бұрын

    Wasila@ nadhan hujaelewa ni vzur kokosowana kwenye dini ipo kama mtu kakosea na shekh nassor bachu allha amrehem ni shekh wa kisunnh na alikua akizitetea sunnah za mtume wetu na sio kumsingizia uwongo mtume hao wanaokosolewa wanamsingizia uwongo mtume

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    @@harithhemed9920 mwenyezimungu ndio anejua kama alikua akitenda haki au laa yake kashayajua bado yetu sisi hatujayajua Allah atupe hatma njema

  • @harithhemed9920

    @harithhemed9920

    3 жыл бұрын

    @@wasilaahmad3528 amin yarabillalamin tubōmbe mwisho mwema na pia tujitahidi kujishukhulisha na kutafuta elm walinganizi wamekuwa weng na wengine wanalingania bila ya elm ndio wanatutia matatizon sisi tusiokua na elm na ndio maana wanaporudishwa kwa kukosolewa weng wetu tunaona kama wanadhalilishwa

  • @wasilaahmad3528

    @wasilaahmad3528

    3 жыл бұрын

    @@harithhemed9920 apo umelenga kitu kaka haitakiwi muislamu kuwa hivo na mtume amesema fuata kile ambacho huna mashaka nacho bc

  • @aliybecka5169

    @aliybecka5169

    3 жыл бұрын

    @wasila ahmad wewe usiongelee mambo ya dini kabisa dini sio ushabiki wala kikundi cha tarabu angalia profile pic yako halafu utajua unahusiana na nini . Uislamu ni elimu sio maneno tu kupayuka

  • @aliomar612
    @aliomar6123 жыл бұрын

    Sheikh Muhammad nasor bachu kiukweli wakosea sanaa sheikh wetu kwajinsi unavyo rekebisha wenzako wawakosea adabu, kuwatukana, nakuwadharau, na kuwakejeli rekebisha kwa kutumia hikma na busara pasi nakutaja mtu jina ulicho kifahamu wewe sio lazima kila mmoja afahamu hivyo kuwa na adabu ya ikhilafu walihalifiana maimamu wakubwa lakini hawakutukanana wala kudharauliana niwajibu wetu kuchunga hishma zawenzetu waisalamu imemlazimu kila muislamu kumhishimu wenzake

  • @fayeezomary6563

    @fayeezomary6563

    3 жыл бұрын

    Sem manen mazr hakk manen Mazr ni sadk

  • @alimasoudali8273

    @alimasoudali8273

    2 жыл бұрын

    Allah akulipe kila la kheri sheikh letu ulimi wako umepandikiza mbegu za kheri zanzibar na afrika kwa jumla,umeondoka na umetuachia hazina kubwa sh.Muhammad Nassor Allah amhifadhi

  • @saidimadzumba2266

    @saidimadzumba2266

    Жыл бұрын

    @@alimasoudali8273 Muhammad bachu Allah insha Allah amlinde na shari na hassad za watu! Like Father like Son kijana yuko sawa,wasiomuelewa wanamlaumu bila Elimu!

  • @ahmedislam9868
    @ahmedislam98683 жыл бұрын

    Rahimahullaah shaikhul islaam Naasor Bachu.. Allaah Amlipe kwa ilmu ya Dini aliyotuachia ... Hafidhakallaah akh Muhammad Nassor ... Allaah akupe Nguvu na Umri Taweel uendeleze Kazi aliokuachia mzee wako...uzidi kutuelimisha dini InshaAllaah... tuko pamoja nawe Ibn Naasor Bachu . JazaakAllaah khair .fi Amanillaah

  • @babauna3458
    @babauna34582 жыл бұрын

    Allah amrehemu mwalimu wetu Nassor bachu. Kutoka wadogo tukipenda mawaidha yake.